Insha ya Dayalojia - Kiswahili Insha Notes

Share via Whatsapp
  • Mazungumzo kati ya watu wawili au zaidi kuhusu jambo au mada fulani


Muundo

  1. Kichwa
    • Kichwa kizuri kitaje:
      • Ni dayalojia ya nani na nani?
      • Kuhusu nini?
      • Wapi?(ingawa si lazima)
    • mfano
      DAYALOJIA BAINA YA WAZIRI WA USALAMA NA MWANAHARAKATI (BW. KALINDE) AFISINI MWAKE
  2. Utangulizi
    • mwanafunzi awafanye wahusika wake kuamkuana
    • Mmoja(mwenyeji) amkaribishe mwenzake
    • Watangulize mada/sababu ya dayalijia yao
  3. mwili
    • Hoja zote zijumuishwe kwenye dayalojia
  4. hitimisho
    • Hitimisho idhihirike aidha kwa muhtasari wa waliyokuwa wakizungumzia au
    • Shukrani na kuagana
Join our whatsapp group for latest updates

Download Insha ya Dayalojia - Kiswahili Insha Notes.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest