- Hii ni barua ya msomaji wa jarida kwa mhariri mkuu wa jarida/gazeti fulani akitoa maoni yake kuhusu jambo fulani kama vile uchumi, kisa, sera za serikali au habari zozote zinazoendelea kwa wakati huo
Muundo
- Anwani ya mwandishi (wima au mshazari)
- Tarehe ya kuandikwa (usiweke jina).
- Marejeleo - REJ: SUD/MSS/054/009 (nambari ya kumbukumbu, faili au nambari ya barua)
- Anwani ya mwandikiwa na cheo k.m.
Mhariri wa Gazeti la ‘Nation',
S.L.P 89000, Nairobi.
Iwapo ni mwanafunzi anaandika - Kupitia kwa: MWALIMU MKUU, anwani
- Mtajo k.m. Kwa Bwana/Bibi/Profesa/Daktari/Mhubiri
- Kichwa cha barua k.m. MINT: KUENEZWA CHUKI KUPITIA GAZETI LAKO.
- Utangulizi
(Mintaarafu ya chuki mliyoeneza kuhusu wakaazi wa matopeni nimeamua kusimama nao tisti kama kigongo na kukataa katakata jambo hilo. Kwa kweli insikitisha kuona gazeti imara kama hili likifanya haya…) - Mwili (matatizo, madhara, mapendekezo, shukrani n,k)
- Hitimisho (Natumai, Nitashukuru…)
- Thibitisho: (Wako mwaminifu/mtiifu, sahihi, jina /cheo)
- Nakala kwa:
Mfano
Kwa Mhariri Mkuu
Jarida la Mwenda Zake Leo
MINT : HATUA YA SERIKALI KUFADHILI SEKTA YA BODABODA
...ujumbe...
Na [jina]
Join our whatsapp group for latest updates
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Download Barua kwa Mhariri - Kiswahili Insha Notes.
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Why download?
- ✔ To read offline at any time.
- ✔ To Print at your convenience
- ✔ Share Easily with Friends / Students