- Julisho, tangazo au notisi.
ILANI TAFADHALI USITUMIE SIMU YA MKONO NDANI YA BENKI |
ILANI YA SERIKALI KUHUSU KUZUKA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
Serikali imetoa ilani kwa wananchi kuhusu kuzuka kwa ugonjwa wa kipindupindu. Kila mwananchi anatakikana kuzingatia mambo yafuatayo ili kudhibiti maambukizi.
- Mtu asinywe maji kabla kuyachemsha
- Kupika chakula hadi kiive vizuri
- Kutoenda haja nje bali kutumia vyoo vya mashimo
- Mtu anawe mikono yake kwa sabuni baada ya kutoka msalani
- Mtu asile matunda au mboga za majani bila kuziosha kwanza
- Anayeonyesha dalili ya ugonjwa wa kipindupindu apelekwe katika kituo cha afya mara moja.
- Uchuuzi wa vyakula umepigwa marufuku
- Ufuliaji nguo motoni pia umepigwa marufuku
Watakaokaidi maagizo katika (g) na (h) watachukuliwa hatua kali za kisheria ya kutozwa faini ya shilingi elfu tano au kifungo cha miezi miwili gerezani.
Download Isha ya Ilani - Kiswahili Insha Notes.
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Why download?
- ✔ To read offline at any time.
- ✔ To Print at your convenience
- ✔ Share Easily with Friends / Students