Utangulizi
- Hojaji ni maswali ambayo hutumiwa kama msingi wa kufanyia utafiti na huelekezwa kwa mhojiwa.
Aina
Hojaji Wazi
- Hojaji yenye maswali ambayo mhojiwa anaruhusiwa kuyajibu kwa maneno yake mwenyewe.
UCHAGUZI NA VIONGOZI
- Una maoni gani kuhusu uchaguzi wa kila baada ya miaka mitatu?
………………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………… - Kwa nini una maoni hayo?
………………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………… - Wewe ungependelea utaratibu gani wa uchaguzi?
………………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………… - Je ni kweli viongozi hung'ang'ania mamlaka?
.............................................................................................................................
............................................................................................................................. - Je viongozi hung'ang'ania uongozi kwa sababu zipi?
- …………………………………………………………....………………………
- ……………………………………………………………………………………
- ……………………………………………….….…………………………….….
Hojaji Funge
- Hojaji ambapo mhojiwa anapewa majibu kadha ambayo anatakiwa kuchagua mojawapo bila kuwa na uhuru wa kuandika atakayo.
MATATIZO YA KIJAMII
Tia alama kwenye jibu unaloafiki
- Jamii yetu inawakandamiza wanawake?
Ndiyo ( ) La ( ) - Tatizo kubwa la jamii yetu kwa sasa ni umaskini na ugonjwa.
Kweli ( ) Si kweli ( )
Join our whatsapp group for latest updates
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Download Hojaji - Kiswahili Insha Notes.
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Why download?
- ✔ To read offline at any time.
- ✔ To Print at your convenience
- ✔ Share Easily with Friends / Students