Shadda na Kiimbo - Sarufi na Matumizi ya Lugha Kiswahili Notes

Share via Whatsapp


Utangulizi

  • Shada(Shadda) na Kiimbo ni namna ya kutamka neno au fungu la maneno kwa namna tofauti kuleta maana mbalimbali


Shadda/Shada

  • Mkazo unaowekwa kwenye silabi fulani ya neno ikiwa imetamkwa kwa msisitizo.
  • Silabi ni tamko moja katika neno/herufi moja au zaidi ambazo hutamkwa pamoja
  • Alama ya ritifaa hutumiwa kutambulisha shadda
  • Huwekwa kwenye silabi ya pili kutoka ya mwisho, kwenye vitenzi vishirikishi vya silabi moja au kubadilisha maana ya neno
    k.m.
    - ka'lamu, i'mba, thu,mni, 'leta n.k.
    - Kitabu 'ki mezani
    - Bara' bara (njia), ba'rabara (sawa sawa), wala'kini (lakini), wa'lakini (kasoro/dosari/ila)


Kiimbo

  • Jinsi sauti inavyopanda na kushuka mtu anapoongea.
  • Huibua maana halisi ya maneno yanayosemwa kama ifuatavyo:

    Sentensi za taarifa
    - Mtoto anaandika barua.

    Sentensi za maswali
    - Mtoto anaandika barua?

    Sentensi za mshangao
    - Mtoto anaandika barua!

    Sentensi za amri
    - Kachezeeni nje!

    Sentensi za rai/ombi
    - Nisaidi
    e/eni.

 

Join our whatsapp group for latest updates

Download Shadda na Kiimbo - Sarufi na Matumizi ya Lugha Kiswahili Notes.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest