Uundaji wa maneno - Sarufi na Matumizi ya Lugha Kiswahili Notes

Share via Whatsapp


Nomino Kutokana na Mzizi wa Kitenzi

  • danganya-kudanganya, mdanganyifu,udanganyifu
  • soma-kusoma, masomo,msomi,usomaji
  • unda-kuunda, muundaji,uundaji,muundo
  • funika-kufunika, kifuniko, mfunikaji, ufunikaji


Kitenzi Kutokana na Mzizi wa Nomino

  • mlo-kula
  • mlevi-kulewa, kulevuka
  • mwimbaji-kuimba
  • fikra-kufikiri
  • malezi-kulea
  • fumbo-kufumba, kufumbua


Nomino Kutokana na Mzizi wa Nomino

  • mwimbaji-kuimba, wimbo, uimbaji, kiimbo
  • mchezo-kucheza, uchezaji, mchezaji
  • ulaghai-kulaghai, mlaghai
  • hesabu-kuhesabu,uhesabu
  • mdhalimu- kudhulumu, dhuluma, udhalimu


Nomino Kutokana na Mzizi wa Kivumishi

  • -refu-mrefu, urefu, urefushaji
  • - baya-mbaya, ubaya
  • -zuri-mzuri, uzuri
  • -kali-mkali, ukali
  • -eupe-mweupe,weupe


Kivumishi Kutokana na Mzizi wa Nomino

  • ujinga -jinga
  • werevu -erevu
  • mzuri -zuri
  • mpumbavu -pumbavu
  • mpyoro -pyoro

 



Kitenzi Kutokana na Mzizi wa Kivumishi

  • haramu-kuharamisha, kuharamika
  • halali-kuhalalisha, kuhalalika
  • -fupi-kufupisha, kufupika
  • bora-kuboresha, kuboreka
    -refu-kurefusha, kurefuka
  • sahihi-kusahihisha, kusahihika
  • -sikivu-kusikia
  • -danganyifu-kudanganya


Kivumishi Kutokana na Mzizi wa Kitenzi

  • dunisha - duni
  • Haramisha - haramu
  • fupisha -fupi
  • sahilisha -sahili
  • tukuka -tukufu
  • fahamu -fahamivu
  • teua -teule
  • nyamaza -nyamavu
  • ongoka -ongofu
  • sahihisha -sahihi
  • danganya -danganyifu


Kitenzi Kutokana na Kielezi

  • haraka-harakisha
  • zaidi-zidisha
  • bidii-bidiisha
  • hima-himiza
Join our whatsapp group for latest updates

Download Uundaji wa maneno - Sarufi na Matumizi ya Lugha Kiswahili Notes.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest