Usemi Halisi; Usemi wa Taarifa - Sarufi na Matumizi ya Lugha Kiswahili Notes

Share via Whatsapp


Usemi Halisi

  • Maneno halisi kama yanavyotamkwa na msemaji.
  • Huandikwa bila kugeuza chochote.
  • Huanzia kwa herufi kubwa.
  • Hunukuliwa kwa alama za usemi ambazo huandikwa zikiwa mbili mbili na moja moja katika dondoo ndogo k.m. “Mwambie ‘ugua pole’ ukimuona,” baba aliniambia.
  • Koma hutumiwa mwanzoni au mwishoni mwake.
  • Msemaji mpya anapoanza kusema, unapaswa kufungua aya mpya k.m.
    Alimuuliza, “Huendi kwa nini?”
    “Sikupewa ruhusa,” alijibu Zahara.
  • Baada ya (?) na (!) na (.) maneno huanzia kwa herufi kubwa k.m. "Lo! Unatoka wapi saa hii?" Aliniuliza.


Usemi wa Taarifa

  • Ripoti kuhusu mambo yaliyosemwa na mtu mwingine.
  • Si lazima maneno yatokee yalivyosemwa. Yanaweza kubadilishwa mradi ujumbe ubakie ule ule.
  • Alama za mtajo, kiulizi na hisi hazitumiki.
  • Maneno “kwamba’ na ‘kuwa’ hutumiwa.
  • Baadhi ya maneno na viambishi hubadilika k.m. 
    usemi halisi Usemi wa taarifa
    -angu
    -etu
    -enu
    -ako
    wiki ijayo
    kesho
    leo
    sasa
    huyu
    hii
    ta/ki
    ni
    na
    jana
    Lo!
    ?
    -ake
    -ao
    -ao
    -ake
    wiki iliyofuata
    siku iliyofuata
    siku hiyo
    wakati huo
    huyo
    hiyo
    nge
    a
    li
    siku iliyotangulia
    alishangaa
    alitaka kujua

 

Join our whatsapp group for latest updates

Download Usemi Halisi; Usemi wa Taarifa - Sarufi na Matumizi ya Lugha Kiswahili Notes.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest