Kiswahili Paper 1 (102/1)
1. Lazima:
Wewe ni meneja katika kampuni ya Jitihada ambapo pamekuwa na visa nya ukiukaji wa maadili ya kikazi. Waandikie wafanyakazi memo kuwaonya dhidi ya jambo hili.

2. "Rununu(simutamba) imeleta athari mbaya katika jamii." Jadili.
3. Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali: Usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
4. Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo:
