Print this page

KCSE 2016 Kiswahili Paper 1 Questions with Marking Scheme

Share via Whatsapp
  1. Lazima
    Wewe ni katibu wa kamati inayochunguza jinsi ya kupambana na tatizo sugu la dawa za kulevya. Andika ripoti ukitoa mapendekezo ya kamati.
  2. “Utalii una faida nyingi kuliko madhara nchini Kenya.” Jadili.
  3. Andika insha inayobainisha maana ya methali: Chombo cha kuzama hakina usukani.
  4. Tunga kisa kitakachomalizika kwa:
    “Niligugumia ile chupa ya maji kwa pupa. Sikuamini kuwa kiu yangu ingekatika. Baada ya kumaliza kunywa maji yote, ndipo nilipotambua kwa kweli kuwa maji ni uhai.

Join our whatsapp group for latest updates

Download KCSE 2016 Kiswahili Paper 1 Questions with Marking Scheme.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Read 4953 times Last modified on Friday, 22 September 2023 06:44

Related items

Get on WhatsApp Download as PDF