KISWAHILI KARATASI YA 2 Marking Scheme - 2017 KITUI MOCK EXAMINATION

Share via Whatsapp
  1. UFAHAMU
    1. Mashirika yasiyo ya kiserikali huleta maendeleo muhimu humu nchini. 1 x 2 = 2
    2.  
      1. Miradi ya kupambana na ugonjwa wa ukimwi
      2. Miradi ya maji ya kunywa
      3. Miradi ya kilimo
      4. Miradi ya uhifadhi wa mazingira
      5. Miradi ya ufadhili wa masomo 5 x 1 = 5
    3. Kwa sababu walaghai wa kitaalamu wameingilia sekta hii na kuwapora wafadhili pesa zao. 1 x 2 = 2
    4.  
      1. Kupitia uandishi wa mapendekezo ya miradi isiyokuwepo
      2. Kutumia pesa kwa njia ambazo hazikukusudiwa
      3. Viongozi wa mashirika huzuru mataifa ya kigeni kwa kisingizio cha kuhudhuria makongamano ya maendeleo
      4. Baadhi ya mashirika hutumia pesa nyingi kwa masuala ya uatawala na usimamizi 4 x 1 = 4
    5.  
      1. walaghai – Wadanganyifu, wajanja
      2. kuwapora – kuwanyanganya 2 x 1 = 2
  1. MUHTASARI
    1.  
      • Yaliyomo kwenye mtaala ni mengi mno
      • Mtaala ni mzigo mzito kwa wanafunzi
      • Unaegemea mtihani 3 x 1 = 3 + 1(mtiririko) = 4
    2.  
      • Wanafunzi hufika darasa la tano bila kujua kusoma kazi ya darasa la pili
      • Baadhi ya wanafunzi hukamilisha darasa la nane bila kupata maarifa ya kimsing
      • Madarasa hayatoshi japo yamejengwa
      • Idadi ya wanafunzi ni kubwa sana
      • Walimu walioajiriwa hawatoshi
      • Idadi ya walimu kwa wanafunzi ni kubwa sana
      • Ufisadi
      • Wanafunzi hawana msukumo wa kusoma
      • Ukosefu wa vifaa vya kusoma kama vitabu
      • Mfumo wa kikasuku kwani watoto hawajui chochote nje ya mtihani 9 x 1 = 9 + 2 (mtiririko) = 11
  1. MATUMIZI YA LUGHA
    1. Hewa kutoka mapafuni na kupitia mdomoni lakini kiasi cha hewa hii hupitia kwa pua. 1 x 2 = 2
    2.  ‘ka’ ya mtiririko / mfuatano / mfululizo wa vitenzi.        2 x 1 = 2
    3. Kivumishi – Vitabu vile ni vyake
      Kiwakilishi – Vile ni vyake
      Kielezi – Alipika vile alivyoagizwa 3 x 1 = 3
    4. Kanisani ndimo wapatikanapo wezi.                   1 x 1 = 1
    5.  
      1. Mvua ilipopusa baba alienda kondeni          1 x 1 = 1
      2. Majoka yale yaliyauma matoto makono       1 x 2 = 2
    6. Chakula kimepikwa na mama                              1 x 2 = 2
    7.  
      1. Uwezekano wa jambo kufanyika – Chakula kimepikika
      2. Mtenda hadhihirishwi katika sentensi – Kiti kimevunjika 1 x 2 = 2
    8.  
      1. Amkeni – Kushurutisha watu wengi
      2. Dukani – Kuonyesha kielezi cha mahali 2 x 1 = 2
    9.  
      1. Kasisi alitushauri kuwa ilifaa tuziache tamaduni ambazo hazitufai
      2. Kasisi alitushauri tuziache tamaduni zisizofaa 1 x 2 = 2
    10.  
      1. Mtoto alikuwa amelala (TS)
      2. Mtoto alikuwa kitandani (t)
    11.  
      1. ‘Ngali’ – Hakuna matumaini / uwezekano wa kumwona / wakati wa kitendo umepita.
      2. Kuna uwezekano / matumaini 2 x 1 = 2
    12.  
      1. Hali ya mazoea
      2. Hali isiyodhihirika 2 x 1 = 2
    13. Mara kwa mara    1 x 1 = 1
    14. Weka shadda katika maneno haya
      1. mtoto – m’toto
      2. mto – ‘mto
    15.  
      1. Silabi funge ni silabi inayoishia kwa konsonati mfano Muktadha labda
      2. Silabi wazi ni silabi inayoishia kwa irabu / vokali kwa mfano mama 2 x 1 = 2
    16.  
      1. Jua – Juvya
      2. Kana – Kanya  2 x 1 = 2
    17. Ni      –   nafsi
      ta       –   wakati ujao
      m       –   mtendwa
      tafut  –   mzizi
      ish     –   kauli ya kutendesha
      a        –   kiishio 6 x ½ = 3
    18. Alipata pigo kubwa alipoambiwa kuwa figo yake haifanyi kazi Kadiria majibu ya wanafunzi
    19.  
      matawi
    20. Alaye
      Ampigaye   1 x1 = 1
  1. ISIMU JAMII
    1.  
      1. Kiswahili kama lugha ya kibantu.
        Kiswahili ni lugha asili ya wabantu
      2. Kiswahili kama lugha ya mseto.
        Kiswahili ni lugha ya mseto iliyotokana na mwingilino wa wabantu na waarabu wakati wa enzi za biashara ya utumwa.
      3. Kiswahili ni lugha ya kiarabu
        Kiswahili ni lugha iliyoletwa na waarabu waliofika katika pwani ya Afrika mashariki kwa minajili ya biashara. Zozote 2 x 1 = 2
    2.  
      1. Biashara ya watuma
      2. Dini – kiswahili kueeneza ukristo na uislamu
      3. Vita – watu waliopigana katika vita vya kwanza na vya pili vya dunia
      4. Ukoloni – walikitumia kiswahili kwa wenyeji
      5. Wamishonari – walikitumia kiswahili kufundisha watu kusoma na kuandika
      6.  Machapisho – vitabu na majarida
      7. Vyombo vya habari kama vile magazeti na redio. Zozote 4 x 2 = 8
Join our whatsapp group for latest updates

Download KISWAHILI KARATASI YA 2 Marking Scheme - 2017 KITUI MOCK EXAMINATION.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest