KISWAHILI PAPER 1 - KAPSABET BOYS 2019 TRIAL MOCK EXAMINATION

Share via Whatsapp

MAAGIZO

  • Karatasi hii ina maswali manne.
  • Jibu maswali mawili pekee
  • Swali la kwanza ni la lazima.
  • Chagua swali moja kwa yale matatu yaliyobaki.
  • Kila insha isipungue maneno 400.
  • Kila insha ina alama 20.
  1. Ndugu yako ameamua kuasi ukapera. Andika ratiba itakayotumiwa siku ya arusi yake.
  2. Eleza mikakati ambayo serikali ya Kenya imeweka kukabiliana na mashambulizi ya mara kwa mara ya Kigaidi nchini.
  3. Andika insha kuonyesha busara iliyomo katika methali “Mchelea mwana kulia hulia mwenyewe”.
  4. Andika insha itakayomalizika kwa maneno haya:
    ……………Nilikumbuka ushauri niliopewa na mama mazazi mara kwa mara. Uchungu usiomithilika ulinichoma moyoni, laiti ningalijua.


MARKING SCHEME

  1. INSHA
    • Mwanafunziazingatiemuundowaratiba
    • Anwani/mada
    • Saa
    • Tukio/shughuli

      TANBIHI
    • Shughulizifafanuliwevizuri
    • Matukioyafuatanevilivyo
  1.  
    1. MikakatiiliyowekwanaserikalikukabiliananaMagaidinchini:
    2. Kuhamasishanakuwatakaraiawawe macho.
    3. Kuanzishampangowanyumbakumi-kilamtuamfahamujiraniyake.
    4. Kuwekakamerazasiri /CCTV katikamaeneomuhimu.
    5. Kuimarishaukaguzinaulinzimipakani
    6. Kukabiliananamakundiharamukamavileal-Shabaab – huko Somalia.
    7. Mtahiniwaatungekisakinachoashiriakujutakwaajiliyakukosakutiliamaananinasaha/wosia/mawaidha.
    8. Kisakioanenamanenoaliyopewa, la sivyoatuzwe BKO.
  2. Lazimamtahiniwaamalizeinshakwamanenoaliyopewa, la sivyoapeweBk 03
  3. Asipojihusishaamejitungiaswali, kwahivyo apewe Bk 03
Join our whatsapp group for latest updates

Download KISWAHILI PAPER 1 - KAPSABET BOYS 2019 TRIAL MOCK EXAMINATION.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest