MAAGIZO
- Andika insha mbili. Insha ya kwanza ni ya lazima.
- Kisha chagua insha nyingine moja kati ya hizo tatu zilizobakia.
- Kila insha isipungue maneno 400
- Kila insha ina alama 20
- Kila insha lazima iandikwe kwa lugha ya Kiswahili.
- Wewe ni mhariri wa Gazeti la Mwangaza. Andika tahariri ukiangazia changamoto zinazoikumba sekta ya elimu nchini.
- Maradhi ya kuambukiza ni hatari si kwa afya ya taifa tu bali pia kwa iktisadi ya nchi. Ni suala ambalo serikali na wadau wengine wanafaa kulivalia njuga. Jadili.
- Tunga kisa kitakachodhihirisha maana ya methali ifuatayo; Mchumia juani hulia uvulini.
- Andika insha itakayoanza kwa maneno haya;
Nilishusha pumzi,nikashukuru Maulana. Masaibu yangu yalikuwa yamefika kikomo na mustakabali wangu ulikuwa angavu.
Join our whatsapp group for latest updates
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Download Kiswahili Paper 1 Questions and Answers - Moi Kabarak High School Mock 2020/2021.
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Why download?
- ✔ To read offline at any time.
- ✔ To Print at your convenience
- ✔ Share Easily with Friends / Students