Kiswahili Trial Exams Paper 1 Questions - Alliance Boys High School Mock December 2020

Share via Whatsapp

MAAGIZO

  1. Jibu maswali mawili. 
  2. Swali la kwanza ni la lazima.
  3. Swali la pili lichaguliwe kutoka kwa maswali matatu yaliyobaki.
  4. Kila swali lina alama 20.
  5. Kila insha isipungue maneno 400
Swali  Alama  Alama za Mwanafunzi 
 1  20  
 2  20  
 3  20  
 4  20  
 JUMLA  40  


MASWALI

  1. Wewe ni mwandishi wa habari. Umepata nafasi ya kumwalika Waziri wa Teknolojia studioni ili kuangazia kwa kina faida na hasara za teknolojia katika jamii. Andika dayolojia kati yenu.
  2. Matokeo mema ya mitihani hutegemea juhudi za walimu pekee. Jadili
  3. Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali, mchumia juani hulia kivulini.
  4. Tunga kisa kitakachoanza kwa maneno yafuatayo. Moyo wangu ulidunda kwa matarajio makuu...
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Trial Exams Paper 1 Questions - Alliance Boys High School Mock December 2020.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest