Maswali
MAAGIZO
- Andika insha mbili. Swali la kwanza ni la lazima.
- Kisha chagua insha nyingine moja kutoka kwa hizo tatu zilizobakia.
- Kila insha isipungue maneno 400.
- Kila insha ina alama 20.
- Kila insha lazima iandikwe kwa lugha ya Kiswahili
- Wewe kama msimamizi wa mifumo ya elimu umealikwa na mwandishi wa habari ili kuhojiwa kuhusu changamoto zinazokumba mfumo mpya wa elimu ya umilisi. Andika mahojiano hayo.
- Serikali za majimbo zitawafaa wananchi wote. Fafanua.
- Mchagua nazi hupata koroma. Thibitisha ukweli wa methali hii.
- Anza insha kwa maneno haya; Nilizinduka jimbi la kwanza na kujiandaa kwenda katika hafla…….
Join our whatsapp group for latest updates
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Download Kiswahili Paper 1 Questions - Baringo North Joint Evaluation Mock Exams 2022.
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Why download?
- ✔ To read offline at any time.
- ✔ To Print at your convenience
- ✔ Share Easily with Friends / Students