Kiswahili Paper 1 Questions - Baringo North Joint Evaluation Mock Exams 2022

Share via Whatsapp

Maswali

MAAGIZO

  • Andika insha mbili. Swali la kwanza ni la lazima.
  • Kisha chagua insha nyingine moja kutoka kwa hizo tatu zilizobakia.
  • Kila insha isipungue maneno 400.
  • Kila insha ina alama 20.
  • Kila insha lazima iandikwe kwa lugha ya Kiswahili

 

  1. Wewe kama msimamizi wa mifumo ya elimu umealikwa na mwandishi wa habari ili kuhojiwa  kuhusu changamoto zinazokumba mfumo mpya wa elimu ya umilisi. Andika mahojiano hayo.
  2. Serikali za majimbo zitawafaa wananchi wote. Fafanua.
  3. Mchagua nazi hupata koroma. Thibitisha ukweli wa methali hii.
  4. Anza insha kwa maneno haya;  Nilizinduka jimbi la kwanza na kujiandaa kwenda katika hafla…….
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Paper 1 Questions - Baringo North Joint Evaluation Mock Exams 2022.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?