KISWAHILI Paper 1 Questions and Answers - Form 3 End Term 1 Exams 2023

Share via Whatsapp

Maagizo

  • Andika insha mbili. Insha ya kwanza ni ya lazima . Insha ya pili ichaguliwe kutoka vichwa vitatu vilivyobakia.
  • Insha zako zisipungue maneno 400
  • Kila insha ni alama 20.
  1. Wewe kama katibu wa kamati andalizi, katika hafla ya kutoa tuzo kwa wanafunzi bora katika mtihani wa K.C.S.E 2015. Andika barua ya mwaliko kwa wazazi na marafiki.
  2. Simu tamba(Rununu) zina manufaa mengi kuliko hasara. Jadli.
  3. Dau la mnyonge haliendi joshi.
  4. Uwanja ulifurika furifuri huku sauti ya mratibu ikipasua hewa…..Endelea.

MWONGOZO

  1.  
    1. Hii ni baruia rasm
      Ifuate muundo wa barua rasmi
      Izingatie kiini/maudhui ya anwani – yaani itoe mwaliko.
      Muundo (Barua rasmi)
    2.  
      1. Huwa na anwani mbili- anayetoa mwaliko n amwalikwa.
      2. Jina la anayetoa mwaliko na la anyealikwa.
      3. Hutaj amahali pa mwaliko/ sherehe itakapofanyika.
      4. Shughuli ya mwaliko.
      5. iku, tarehe, saa – huonyeshwa.
      6. Manjina ya waalikwa kama wasaidizi wa mgeni wa heshima yanaweza kuorodheshwa.
  2. Hili ni swali la mjadala
    • Mwanafunzi aangazie pande mbili za insha (upande wa kuunga mkono na kupinga)
    • Ahitimishe kwa kutoa msimamo.
      Manufaa- (Kuunga mkono)
    • Hurahisisha mawasiliano.
    • Shughuli za kibiashara.
    • Hujenga mahusiano.
    • Chombo cha kuelimisha
      Hasara- (Kupinga)
    • HUsababisha kudorora kwa maadili – ponografia miongoni mwa vijana.
    • Uzembe – kupitia kwa arafa michezo n.k.
    • Wakati mwingine hutoa habari zinazofaa kujulikana
    • Huharibu mahusiano katika ndoa.
    • Mtahini azingatie haja nyingine mwafaka.
      Mwanafunzi akiengemea upande mmoja amepotoka.
  3. Swali hili ni la methali.
    • Metahli in amaana kuw Dau (chombo) cha mnyonge hakifanikiwi (kwenda joshi)
    • Maana ya ndani- jambo lolote analojaribu kufabnya mnyonge aghalabu halifanikiwi. –
    • Mwanafunzi azigatie pande mbili- Dau la mnyonge na kueenda joshi.
  4. Hili ni swali la mdokezo.
    Mwanafunzi aanzie kwa maneno aliyopewa kasha ayakukuze kuwa mtungo.
Join our whatsapp group for latest updates

Download KISWAHILI Paper 1 Questions and Answers - Form 3 End Term 1 Exams 2023.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest