Kiswahili Paper 1 Questions And Answers - Form 4 Term 2 Opener 2021

Share via Whatsapp

MAAGIZO

  • Andika insha mbili. Swali la kwanza ni la LAZIMA
  • Chagua insha ya pili kutoka kwa maswali yaliyosalia.
  • Kila insha isipungue maneno 400.
  • Kila insha itatuzwa (alama 20.)
  1. Wewe ni katibu wa vijana katika kijii chako. Andika kumbukumbu za mkutano wenu uliojadili matatizo yanayowakumba vijana.
  2. Muungano wa Afrika Mashariki una manufaa mengi. Fafanua.
  3. Pilipili usioila yakuashiani?
  4. ………………….. hili lilikuwa jambo la ajabu ambalo sikuwa nimelishuhudia maishani mwangu.


MARKING SCHEME

  1. Majibu yazingatie yafuatayo.
    1. Kichwa kiwe na tarehe, mahali na wakati panapofanyika mkutano.
    2. Waliohudhuria.
    3. Waliokosa kuhudhuria kwa udhuru.
    4. Waliokosa bila udhuru.
    5. Ajenda.
      • Kusoma na kuthibitisha kwa kumbukumbu ya kwanza
      • Shughuli nyinginezo ziwe kumbukumbu ya mwisho.
      • Ajenda za mkutano wa vijana zijadili:
        • Siasa
        • Dawa za kulevya
        • Ukosefu wa kazi
        • Usalama wa vijana vijijini
  2. Manufaa ya muungano wa Afrika Mashariki.
    1. Kuimarisha uchumi nchi husika
    2. Kupanua Soko la bidhaa
    3. Kuimarisha Mawasiliano
    4. Umoja wa jamii
    5. Kuimarisha usalama wa mataifa
    6. Kuimarisha utaifa
    7. Utangamano wa michezo.
    8. Kudumisha uhusiano wa kidplomasia.
  3. Ni swali la methali
    Abainishe maana ya methali kisha atungie kisa kinachothibitisha methali hiyo.
    Maana: Jambo lisilokuhusu linakukera kivipi au kwa njia gani?
    • Ni vyema kutoingilia mambo yasiotuhusu na yanayoweza kuleta matatizo kama vile ugomvi au vita kati ya watu wawili.
    • Akitoa kisa kisichooana na methali atakuwa amejitungia swali.
  4. Kisa lazima kimalizike kwa maneno haya na kisiongezwe chochote.
    • Kisa kieleze jambo kuu la ajabu. Liwe zuri kupita kiasi au baya asana.
    • Kisa kioane barabara na dhamiri na maudhui yaliyokusudiwa
    • Kisa kiweze kumwacha msemaji na mvuto pamoja na taharuki ili kutosheleza kimalizio.
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Paper 1 Questions And Answers - Form 4 Term 2 Opener 2021.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest