Kiswahili Paper 1 Questions and Answers - Form 4 Term 1 Opener Exams 2023

Share via Whatsapp

MAAGIZO KWA MTAHINIWA:

  • Karatasi hii ina maswali manne.
  • Jibu maswali mawili pekee. Kila swali lina alama ishirini.
  • Swali la kwanza ni la lazima.
  • Chagua swali lingine lolote moja kutoka yale matatu yaliyosalia.
  1. Wewe ni katibu wa chama cha Kiswahili shuleni mwenu. Chama chenu kimefanya mkutano kuhusu changamoto zinazokabili Kiswahili shuleni mwenu. Andaa kumbukumbu za mkutano huo.[Alama 20]
  2. Jadili mikakati ambayo sharti itiliwe maanani ili kukabiliana na changamoto za utumizi na wenezi wa dawa za kulevya nchini Kenya. [Alama 20]
  3. Simulia kisa ili kuthibitisha maana ya methali ifuatayo: Mui huwa mwema. [Alama 20]
  4. Maliza insha yako kwa:[Alama 20]
    …..na hapo ndipo nilipong’amua kuwa, mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.


MARKING SCHEME

Swali la kwanza.

  • Kuibuka kwa lugha ya sheng
  • Uhaba wa vitabu
  • Vipindi vichache tukilinganisha na kingereza
  • Ukosefu wa vielelezo mwema
  • Mtazamo hasi kwa wana lugha
  • Unenaji wa kingereza kutiwa shangwe zaidi kama lugha rasmi shuleni.
  • Ukosefu wa sera madhubuti kwa Kiswahili shuleni.
  • Maktaba zimeshughulikia vitabu vya kingereza
  • Vyombo vya habari (kingereza)
  • Mipango michache ya kutafitiki Kiswahili

Swali la pili.

  • Wana kuelimisha vizuri kuhusu madhara yaletwayo na dawa za kulevya.
  • Kubuni sheria kali kwa wanaotumia.
  • Kufunza askari wa kupambana na walanguzi wa dawa za kulevya.
  • Wazazi kufuata nidhamu ya watoto wao wakati wa likizo.
  • Kuadhibu vikali wauzaji wa dawa za kulevya.
  • Watumizi wa dawa za kulevya kupewa nasaha na wasHika dau husika.

Swali la tatu.

  • Ni sharti mtahiniwa atoe maana ya ndani na nje ya methali. Kisha asimulie kisa kitakachooana na methali.

Swali la nne.

  • Ni sharti mtahiniwa ahitimishe kwa kipengele alichopewa.
  • Kisa atakachosimulia ni sharti kioane na kipengele alichopewa.
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Paper 1 Questions and Answers - Form 4 Term 1 Opener Exams 2023.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest