Click a link below to access exams | |
2023 Class 8 Exams Many Sets>> | 2023 Grade 7 Exams Many Sets>> |
2023 Grade 6 Exams Many Sets>> | 2023 Grade 5 Exams Many Sets>> |
2023 Grade 4 Exams Many Sets>> |
ART AND CRAFT
MUSIC
SOCIAL STUDIES
Study the map and answer questions 21-27.
Use the diagram below to answer questions 30 and 31.
Use the map of Eastern Africa below to answer questions 32-35.
C.R.E
SCIENCE & TECHNOLOGY
Use the diagram below to answer questions 4-7.
Oviduct
AGRICULTURE
HOMESCIENCE
PHYSICAL HEALTH EDUCATION
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 1 hadi 5.
Kutoka: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. 11/5/2021 10:00a.m
Kwa: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
MADA: NAFASI YA KUJIFUNZA
Hujambo rafiki mpendwa? Nataraji ujumbe huu utakupata ukiwa mzima. Habari ya huko kwenu? Nimekuandikia hii barua ili kuomba ruhusa ya kuja kukutembelea wakati wa likizo ya Agosti. Ningependa kujifunza mengi kuhusu intaneti katika duka lenu la "Kituo cha Kompyuta."
Mwalimu wetu ametuhimiza kuzuru mahali panapotoa huduma ya intaneti. Tafadhali nifahamishe tarehe na siku utakapopatikana. Tumia anwani yangu. Mola akubariki.
Wako mpendwa,
Njeri.
Soma shairi hili kisha ujibu maswali 6 - 10.
Kioo!
Kioo!
Kuna mzuri
niambiye
Kuliko miye?
Aha!
Kwani una doa?
Labda una ila!
Au una dosari!
Pengine una walakini!
Kweli umejiangalia?
Hebu songea karibu
Uwe kama pua na madomo
Sasa jitazame!
Sasa jipekue!
Sasa jichunguze!
Umegundua nini?
Umeridhika na uloona?
Nakuasa mwandani;
Uzuri wa mkakasi
Ndani kipande cha mti!
Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali yafuatayo 11 - 15.
Ukulima ni mojawapo ya kazi muhimu katika nchi yetu. Faida za ukulima ni nyingi na hazina hesabu.
Faida ya kwanza ya ukulima ni kwa wananchi. Kila mwananchi anahitaji chakula ili aweze kupata afya ya kumwezesha kufanya kazi. Ili taifa kuendelea linahitaji wananchi wenye afya. Afya hii hutokana na chakula kinachotokana na ukulima.
Faida ya pili ya ukulima ni kwa mkulima. Mkulima anapouza mazao ya shamba hupata pesa. nyingi. Pesa hizi humwezesha kujifanyia shughuli zake kama vile kujijengea nyumba, kulipia watoto wake karo, kulipa bili ya umeme na kadhalika. Kwa jumla ukulima unaweza kumwezesha mkulima kuishi maisha ya raha na jamii yake.
Vilevile faida ya ukulima ni kwa serikali. Kuna mazao ya shambani ambayo huuzwa katika nchi za nje na kuletea nchi yetu pesa nyingi za kigeni. Serikali inapopata pesa za kigeni huzitumia kufanya maendeleo mbalimbali kama vile kujenga barabara, hospitali, shule na kufanya miradi mbalimbali ya maendeleo.
Viwanda mbalimbali vya kutengeneza bidhaa za kilimo pia hujengwa. Hii inamaanisha kuwa wananchi watapata ujira viwandani. Wananchi hupata mshahara wa kuwawezesha kuendelea na maisha yao nayo serikali itapata kodi kutoka kwa wafanyakazi na wenye viwanda.
Jaza pengo hizi nambari 16 hadi 20.
Madereva wanaokiuka sheria (16)_____________ barabara (17)____________kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka. Hata kama (18)_______________ ajali (19) _____________zinaweza (20)_______________.
A | B | C | D | |
16. | ya | za | cha | kwa |
17. | zafaa | yanafaa | wanafaa | inafaa |
18. | mtu pweke ni uvundo | asiyekuja hakuthamini | asiyekuwepo na lake halipo | ajali haina kinga |
19. | nyingine | nyingineyo | zingine | zingineyo |
20. | kuzuia | kuzuilika | kuzuwika | kuzuilisha |
Kuanzia swali la 21 hadi 30, chagua jibu sahihi.
Vivumishi vifutavyo ni vya aina gani?
INSHA
Andika insha kuhusu:-
"NCHI YANGU FAHARI YANGU"
Read the passage below and answer questions 1-5.
At this moment the windows of the cottage shook violently at the loud report of a cannon that appeared almost close to the cliff. All sprains to their feet, and looking through the window saw a rocket whizzing high in the air. As Andrew and Seth rushed out to the terrance a fearful sight presented. Brightly illumined by a blue light revenues cutter lay fixed on the iron rack. A wave rolled completely over her, and at once extinguished the light, at the same moment a tremendous crash was heard as her mast fell over the side.
Without loss of time Andrew and Seth had seized two coils of rope from the cottage stores and were making their way along the cliff to the projecting point at the right entrance to the bay.
Before long the mast, with six men clinging to it was washed against the cliff exactly below the point. But by the time Andrew and
Seth arrived only one remained alive, a Negro of about fourteen, whom they rescued by means of ropes.
The three now cautiously picked their way among loose stones on the dangerous paths and soon arrived at the cottage, where the Negro boy was made comfortable and fed and was soon fast asleep upon some clean straw in the kitchen.
Read the passage below and answer questions 6 to 10.
Osogo: Over the past few months, I have gained some weight. My parents had to buy me a new uniform.
Kirui: I have had a similar experience. I am heavier and taller. How do you like my new uniform and shoes?
Osogo: You look very smart! I am also growing hair under my armpits.
Kirui: I am also experiencing similar changes. At first, I was worried but my mother told me that this is normal. She said that I have to take extra care with personal hygiene. She advised me to have a bath, brush my teeth and wear clean clothes every day!
Osogo: My father advised me to do the same. Sometimes, I do not understand myself. I can be happy and easy but after a while, I feel sad. I cannot explain why this happens.
Kirui: Same with me! In my case, I can easily pick quarrels with friends, This has been happening a lot lately. This worries me alot.
Osogo: We should be more aware of our feelings. It is not fair to always quarrel and argue with our friends.
Kirui: That is true. We should also apologize when we are on the wrong. Our friends may not always understand our behaviour.
Osogo: I will talk to the guidance teacher later today. I need her advise. She also has these informative charts about growing boys and girls in her office. They are interesting to look at.
Kirui: I will go with you. I have a few questions of my own I need to ask her. She always has answers to her questions. She is very kind and always ready to listen to us and offer help.
Read the passage below and answer questions 11 to 15.
If you can read well then you can understand better what you are learning. Good reading skill enables you to keep learning new things all throughout your life.
Reading boosts one's vocabulary, the number of words you can use and improves your writing skills. We should learn to keep in touch with events in the world by reading newspapers and fanctual books. To develop our imagination and own abilities to write interesting stories it is advisable to read alot of fiction materials.
The more we read, the better our language becomes. The better we read, the more we enjoy reading. We discover that one of the best tools is also one of life's greatest pleasure. However, most of us do not have access to many books.
This is where a library comes in handy. We can always borrow books from the library and return when we are through. This way we end up reading a lot and we benefit more. Alternatively, one can make a library among his or her friends and exchange books. This way you will buy fewer book but end up reading very many.
Knowledge, so they say is power. We can only write or talk what we know. The more we read, the brighter we get. Reading is a hobby that can keep us from bad company and peer pressure.
The material you read should be right for your age. Don't pollute your mind with dirty materials.
The new knowledge we want to acquire are in books. The best friends should be people who get us books we haven't read to make a difference in our lives.
Read the passage below. It contains blank spaces numbered 17 to 21. For each blank space,choose the best answer from the alternatives given.
It was a sports day ___17____ our school. Everyone looked ___18___. By around eight o'clock in the morning ___19___ the pupils had arrived. The pupils from our neighbouring school had also arrived. We were the ___20___ of athletics games. When the bell rung, we assembled at the assembly ground. ___21___ of the participants were already in their games uniform.
A | B | C | D | |
17. | on | from | in | at |
18. | smart | dirt | smarted | good |
19. | ? | , | . | : |
20. | host | owner | post | cost |
21. | any | even | each | much |
For questions 22 - 30, fill in the blanks with the correct word:-
COMPOSITION
Write an interesting story about:-
THE SCHOOL TRIP THAT I WILL NEVER FORGET
QUESTIONS
A company sold the following vehicles in December. Answer the questions below.
Type of car | Tally marks |
Vans | llll llll llll ll |
Lorrries | llll llll llll llll ll |
Tractors | llll ll |
QUESTIONS
X | Y | Z | |
A. | Handle | String | Model |
B. | Model | Handle | String |
C. | String | Handle | Model |
D. | Handle | Model | String |
Study the map of Tumaini area below and answer questions 21 to 25.
CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION
ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION
C.R.E.
I.R.E
SCIENCE AND TECHNOLOGY
Part of the plant | Function | |
A. | Leaves | Making food for the plant. |
B. | Roots | Removing excess water. |
C. | Stem | Holds the plant firmly in the ground. |
D. | Flowers | Support the plant. |
AGRICULTURE
HOMESCIENCE
PHYSICAL AND HEALTH EDUCATION
Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali 1-5
(Mwasia anapiga gumzo na babu yake. Mazungumzo yanakuwa hivi)
Mwasia: Shikamoo babu?
Babu: Marahaba. Umeshindaje mjukuu wangu?
Mwasia: Nimeshinda vyema. Nashukuru kwa kunijulia hali. Jana ulisema kwamba leo tutazungumzia suala fulani. Ikiwa unayo nafasi tunaweza kuzungumza badala ya kuyaweka mambo kiporo.
Babu: Sawa, kaa kitako tuzungumze. Nilitaka uniambie ni nini kiini cha vijana wa siku hizi kukaidi mila zetu. Kwani mmesahau kwamba mwacha mila ni mtumwa?
Mwasia: Ni kweli kwamba baadhi ya vijana wameonyesha maasi hasa kwa kuiga utamaduni wa kigeni usiofaa. Inasikitisha kuwaona wengine wakivaa mavazi ya aibu, kutumia lugha ya kuudhi na kushiriki ndoa za jinsia moja.
Babu: (Akatikisa kichwa kwa masikitiko). Haya ni baadhi ya mambo yanayotukera sisi wazee. Suala la mapenzi ya kiholela halionekani kama mwiko siku hizi.
Mwasia: Vijana hawa wanafaa wajirekebishe. Hata hivyo kuna mila ambazo zinafaa kuachwa nyuma kwani haziongezi thamani katika maisha ya jamii.
Babu: Zipi hizo?
Mwasia: Mila kama kurithi wajane, ukeketaji, kafara ya damu ya binadamu na kuwanyima wasichana urithi zimepitwa na wakati.
Babu: Sisi wazee tulijiendea tu kama gari lisilo na taa wala kidhibiti mwendo. Mnapaswa kutumia elimu yenu kubadili mkondo wa maisha katika jamii.
Mwasia: Hayo ni kweli babu. Pia vijana lazima watumie akili vizuri wasiwe kama ng'ombe asiye na nadhari. (Wanaendeleza mazungumzo kwa muda kisha wanaagana)
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 6 - 9
Kuku na mwewe walikuwa marafiki wa chanda na petc. Walijitahidi sana kuwalea na kuwaelekeza wana wao kwa njia iliyofaa. Yamkini, walimaizi kuwa mtoto umleavyo ndiyo akuavyo. Aghalabu mwewe aliamka mapema akaanza shughuli ya kusaka riziki. Zipo nyakati, japo kwa nadra sana, ambapo kuku alijitwika jukumu la kutafuta chakula. Chochote walichopata walitumia pamoja, jambo ambalo liliwavutia sana ndege wengine.
Wakati fulani, kiangazi kikali kilivamia enco lile ikawa kwamba mwewe akitoka angekawia hata kwa juma zima kabla ya kurudi na chakula. Wakati mwingine, hata hakuwaona watoto wake kwani alifika usiku na kuamkia kazi mapema. Hata hivyo, hakuwa na wahaka kwani alijua rafikiye kuku alimtunzia wana kama ndugu. Laiti angalijua! Jambo usilolijua ni usiku wa giza totoro.
Mwewe alipitisha majuma mawili bila kuwaona wanawe. Asubuhi moja, alijihisi mchovu akashindwa kufuata shughuli zake za kawaida. Kuku alidhani kuwamwenzake ameshaelekea mawindoni. Mwewe akiwa nje kwenye mti mmoja alimwona kuku akiwapa wanawe kiamshakinywa. Watoto wa mwewe waliodhoofika kupita kiasi waliambiwa kuwa hapakuwa na chakula chao.
Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi Mwewe aliteremka kwa ghadhabu, akamshika mtoto mmoja wa kuku na kumrarua vipandevipande. Kuku alipoona hayo, aliwachukua wanawe waliosalia akatorokea kwa binadamu kuomba hifadhi. Usuhuba wao ulifikia kikomo papo hapo.
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 10 - 12
Nchi iliyo na misitu hunufaika kwa njia nyingi. Mbali na kuwa makao ya wanyama walio kivutio cha watalii, pia hutupa mvua ya kutosha. Kilimo huendeshwa msimu baada ya msimu hivyo kukabiliana na uhitaji wa chakula. Wakazi wanaweza kutumia miti iliyojikaukia kupata kuni au kuchomea makaa. Isitoshe, wanaweza kupata mbao za kujengea na kuundia samani almradi ukataji wa miti uandamane sambamba na upanzi wa mingine.
Uharibifu wa misitu huwaacha wenyeji wakisaga meno kwa masikitiko. Vyanzo vya maji hukauka. Vivuli vya kujikinga na jua huadimika kama kaburi la baniani. Upepo nao huvuma bila kizuizi, jambo ambalo hupelekea kung'olewa kwa mimea na mapaa ya majengo. Upepo uo huo huwa na mavumbi yanayowachafua watu na kuwasabibishia shida za macho. Sote hatuna budi kuitikia mwito wa serikali wa kuilinda misitu yetu.
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 13 - 15
Usalama ni uwepo wa amani, bila tishio wala hatari yoyote. Kila mmoja hupenda kukaa palipo na usalama. Mtoto akilelewa katika hali ya vurugu maisha yake huathirika vibaya. Yeye hukosa kujiamini na akiwa mbele ya watu hugeuka bubu. Ni rahisi kumtambua mtoto kama huyo akiwa shuleni. Mara nyingi hujitenga na shughuli wanazoshiriki wenzake hasa michezo, majadiliano na shughuli za vyama vya wanafunzi shuleni.
Ni muhimu kuelewa kuwa wakati mwingine, matendo ya mtu yanaweza kumsababishia utovu wa usalama. Mifano ni wale wanaojipalia makaa kwa kudandia magari yapitayo kwa kasi, kuchezea karibu na barabara au visima vya maji. Wengine huchezeana michezo inayowaweka katika hatari ya kujeruhiana.
Jukumu la kudumisha usalama halifai kuachiwa wazazi na walezi pekee. Lazima tujaliane maslahi popote tulipo. Ukihisi kwamba unakabiliwa na tishio la aina yoyote, mjulishe mzazi, mwalimu au mtu mzima unayemthamini.
Soma kifungu kifuatacho. Kina nafasi 16 mpaka 20. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Jaza kila pengo kwa jibu sahihi.
Kuna aina nyingi ___16___ ndege wa porini. Ndege mmojawapo ___17___ sana na watu ni ___18___. Hii ni kwa sababu ___19___ kuyaiga maneno ___20___ na watu
A | B | C | D | |
16. | ya | wa | za | kwa |
17. | anayejulikana | wanaojulikana | anaojulikana | wanajulikana |
18. | njiwa | kasuku | heroe | ninga |
19. | ameweza | angeweza | ataweza | anaweza |
20. | yanayosema | anayosema | yanayosemwa | wanaosema |
Kuanzia nambari 21 mpaka 30,chagua jibu sahihi.
INSHA
Andika insha ya maelezo kuhusu:
SIKU YA MICHEZO SHULENI
Read the conversation below. It contains blank spaces 1- 5. For each blank space, select the best alternative from the choices given.
Bakari: Dad is mad with me today.
Ahmed: What happened?
Bakari: I rode his bicycle without his permission.
Ahmed: (1) ____________________________________________
Bakari: Yes, but everything seem hot air.
Ahmed: (2) ____________________________________________
Bakari: Certainly no! seems dad is biased.
Ahmed: (3) ____________________________________________
Bakari: I need an elder to talk to my dad.
Ahmed: (4) ____________________________________________
Bakari: Thank you for your concern!
Ahmed: (5) ____________________________________________
Read the passage below and answer questions 6 to 9.
At first, Jack tried to peep through the window but because of the deep shadow of the trees and darkness inside, he could not make out clearly any object so we lifted the latch and opened the door. We observed that the latch was made of iron and almost caten away with rust. The hinges too were in a similar condition and they creaked as the door swung back.
There was no furniture in the apartment save a little wooden stool and an iron pot, the latter almost caten through with rust.
Read the passage below and answer questions 10 to 12.
Once upon time, there lived an elephant and his friend the chameleon. The elephant loved the chameleon very much as he helped him change his colour. The elephant was safe whenever there was war in the forest for nobody would see him and the chameleon. When war was over, the elephant's colour would be back to normal with the help he got from the chameleon. But the chameleon never let his friend know how he did it.
Each day, the elephant would beg him to tell him the secret behind but the chameleon would just make a prolonged laughter.
Read the passage below and answer questions 13 to 15.
As the bus sped on, Wandera sat quietly on his seat by the window. He watched the trees and the hills which seemed to be racing in the opposite direction. That was fun, but could not really capture - his full attention. What really mattered to him was that he would soon be in Nairobi.
Read the passage below. For each blank space, select the best alternative from the choices given.
People are ___16___ when they ___17___ how some animals travel ___18___ long distance in ___19___ numbers. These journeys are called ___20___.
A. | B. | C. | D. | |
16. | shocked | amazed | saddened | excited |
17. | read | learn | hear | tell |
18. | at | in | for | about |
19. | huge | large | many | small |
20. | migration | movements | transfers | immigrations |
For questions 21 to 23, use the correct conjuction to fill in the blank space.
For questions 24 to 26, use the correct preposition to fill in the gap.
For questions 27 to 30, use the correct adverb to fill in.
COMPOSITION
Complete the story below making it as interesting as possible.
A WEDDING CEREMONY
QUESTIONS