0 votes
9.5k views
in Isimu Jamii by
Fafanua sababu tano za watu kuhamisha na kuchanganya msimbo katika mawasiliano.

1 Answer

0 votes
by
  • Haja ya kuleta usiri au ufaraga katika mawasiliano yao.
  • Haja ya kujinasibisha/kujihusisha na kikundi fulani cha watu wanaotumia lugha Fulani.
  • Ukosefu wa tafsiri katika baadhi ya istilahi, misammiati au dhana.
  • Hali ya msemaji kukosa kujua au kusahau neno fulani katika lugha ya mawasiliano.
  • Kasumba kwamba lugha fulani ni duni katika muktadha fulani wa kimawasiliano.
  • Haja ya kujieleza kikamilifu na kueleweka miongoni mwa hadhira inayokwazwa kimawasiliano na lughha Fulani – msemaji aweza kuhamisha ndimi ili kufidia upungufu wa hadhira yake.

Related questions

0 votes
2 answers
0 votes
0 answers
0 votes
11 answers
Welcome to EasyElimu Questions and Answers, where you can ask questions and receive answers from other members of the community.

6.4k questions

9.6k answers

6 comments

590 users

...