0 votes
442 views
in Sarufi na Matumizi ya Lugha by

Toa maelezo ya msamiati ufuatao. 

  1. Nomino
  2. Kielezi
  3. Kiunganishi
  4. Kiwakilishi

1 Answer

0 votes
by
  1. Nomino – jina la mtu, kitu, mahali, hali
  2. Kielezi - neno linaloeleza zaidi kuhusu kitenzi.
  3. Kiunganishi – Neno linalounganisha mawazo katika sentensi
  4. Kiwakilishi – neno linalowakilisha au linalosimama badala ya nomino katika sentensi.
Welcome to EasyElimu Questions and Answers, where you can ask questions and receive answers from other members of the community.

6.4k questions

9.6k answers

6 comments

590 users

...