Thursday, 05 October 2023 12:24

Kiswahili Questions and Answers - Grade 4 Mid Term 3 Exam 2023 Set 1

Share via Whatsapp

Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali 1 hadi 5

G4SwaMT3S12023Q1

Becky: ___1___ Tenzy.
Tenzy: Sijambo Becky.
Becky: Habari ___2___kwenu? Na wazazi wako? Mimi niko salama kwa neema ya mungu. Na unaelekea wapi?
Tenzy: Nimetumwa sokoni na nyanya kumnunulia ___3___vya jioni.
Becky: Mbona leo unaenda sokoni peke yako? Wakina Njeri na Pembo hawako? Je kwa familia yenu mko watoto ___4___
Tenzy: Ukianza hadithi ya watoto utaendelea kusoma kweli. Hizo ni maswali za upuzi na ujinga. Ongea na mimi mambo ya masomo ama swali inahusu watoto kama mimi na ___5___
Becky: Pole sana Tenzy kama nimekukosea!

   A  B  C  D
 1.  Shikamoo  Hujambo   Alamsiki   Hatujambo 
 2.  Za  ya  la   cha 
 3.  Vyakula  viakula   Sokoni   Pesa 
 4.  Mingapi  ngapi   vingapi  Wangapi 
 5.  sisi  nyote  wewe  nami


Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 6 hadi 13

Hapo zamani za kale paliondokea marafiki wawili walipendana kama chanda na pete. Hawa wanyama walikua pundamilia na fisi. Walipendana na kufanya kazi zao zote pamoja. Wanyama hawa walifanana kwa rangi. Walikuwa na mchanganyiko wa nyeusi kwenye nyeupe.

Siku moja pundamilia alienda kutafutia watoto wake Vyakula akawacha watoto wake wawili wakilala.Kurudi pundamilia hakupata mtoto wake mmoja. Kuuliza, fisi,akajibu, alimwona akikimbia kuelekea mtoni. Ni kama alienda kuchota maji na atarudi tu.Fisi aliendelea tu kulala,kwenye "kitanda"chake.

Pundamilia alingoja mpaka jioni bila kuona mtoto wake.

  1. Pundamilia na fisi walikua
    1. Maadui
    2. Marafiki
    3. Majirani
    4. Wazazi
  2. Mtoto wa pundamilia alienda wapi?
    1. mtoni
    2. kucheza
    3. alikulwa na fisi
    4. alibebwa na maji
  3. Wingi wa neno “kitanda” ni
    1. kitanda
    2. vitanda
    3. Makitanda
    4. vitandani
  4. Pundamilia hula ___________________________
    1. Nyasi
    2. nyama
    3. wadudu
    4. Wanyama wengine
  5. Katikati ya wanyama hawa yupi alikuwa na watoto?
    1. pundamilia
    2. Fisi
    3. Farasi
    4. punda
  6. Rangi ya pundamilia ni
    1. nyekundu
    2. nyeusi
    3. samawati
    4. kijani
  7. Ni kweli kusema
    1. Fisi hukula nyama
    2. Fisi ni kubwa kama pundamilia
    3. Pundamilia anafanana na tembo kwa rang
    4. Pundamilia anataga mayai kubwa
  8. Kwa nini Pundamilia aliwacha watoto wake peke yao?
    1. Kutembea kiasi
    2. Kuinda wanyama wengine
    3. Kutafuta Vyakula
    4. Kuchota maji mtoni

Jaza pengo kutoka swali 14 hadi 18

Mwikali na Kanini ___14___. Magharibi ya mji  ___15___ Kangundo. Wao ___16___ shule ya Msingi ya Mkengesia. Shule hiyo huwa ___17___ na kwao na huwabidi watumie pikipiki ili kufika shuleni. Wao huchukua ___18___ wa saa moja kufika huko.

   A  B   C   D 
 14.  wanaishi  waliishi   walikaa   huketi 
 15.  wa  za  ya  la
 16.  husoma  husomwa  husomea   husomewa 
 17.  bali  mbali   karibu   kuliko 
 18.  mda  wakati   dakika   muda 

 

Kutoka swali 19 hadi 30, chagua jibu sahihi kulingana na maagizo uliyopewa.

  1. Neno "mwanafunzi” iko katika ngeli gani?
    1. LI - YA
    2. A - WA
    3. KI - VI
    4. U-I

Tambua neno lililopigiwa mstari

  1. Darasa letu ni safi kuliko lenu.
    1. Nomino
    2. kitenzi
    3. Kielezi
    4. Kivumishi
  2. Kinyume cha neno "simama" ni
    1. Inama
    2. Anguka
    3. Keti
    4. lala
  3. Nguo hili huvaliwa na ________________________
    G1ILAMT3S12023Q10
    1. Wasichana
    2. Babu
    3. Wavulana
    4. Mapacha
  4. Andika kwa wingi
    Kichwa changu kina nywele.
    1. Vichwa vyangu vina nywele
    2. Kichwa changu kina nywele
    3. Vichwa vyetu vina manywele
    4. Vichwa vyetu vina nywele
  5. Umbo hili ni _____________________________________
    Oval 2
    1. Duara dufu
    2. Mraba
    3. Duara mche
    4. Duara
  6. Robo tatu kwa nambari ni _____________________________
    1. 4/3
    2. 2/4
    3. 3/4
    4. 3/3
  7. Paka yuko ____________________________ meza.
    G4SwaMT3S12023Q26
    1. kando ya
    2. juu ya
    3. ndani ya
    4. chini ya

Kanusha sentensi hii

  1. Kazungu alioga jana
    1. Kazungu alioga juzi
    2. Kazungu alioga juzi
    3. Kazungu hajaoga jana
    4. Kazungu hajaoga jana

Kamilisha methali

  1. Mtoto wa ___________________________ ni nyoka
    1. kiluilui
    2. mayai
    3. nyoka
    4. sumu
  2. ____________________________ hutumia dira
    1. Mseremala
    2. Mwalimu
    3. Rubani
    4. Mkulima
  3. Mwala ni mfupi kama
    1. meza
    2. ndovu
    3. mlingoti
    4. nyundo

MARKING SCHEME

  1. B
  2. A
  3. A
  4. D
  5. C
  6. B
  7. C
  8. B
  9. A
  10. A
  11. B
  12. A
  13. C
  14. A
  15. C
  16. A
  17. B
  18. D
  19. B
  20. C
  21. C
  22. A
  23. D
  24. A
  25. C
  26. D
  27. Kazungu hakuoga jana
  28. C
  29. C
  30. D
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Questions and Answers - Grade 4 Mid Term 3 Exam 2023 Set 1.


Tap Here to Download for 30/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students