0 votes
1.4k views
in Kigogo by
Ni jinsi gani mwandishi wa Tamthilia ya Kigogo anadhamiria kujenga jamii mpya

1 Answer

0 votes
by
Mwandishi anadhamiria kuonyesha uongozi mbaya na athari zake hasa katika mataifa yanayoendea.Viongozi hutumia mbinu mbalimbali kuongoza zinazowanyanyasa wananchi huku wakijinufaisha wenyewe bila kujali.

Kuonyesha kuwa ili kijenga jamii mpya, mapinduzi ni muhimu na ni sharti wananchi wajitolee kwa uzalendo ili kupigania haki zao na usawa na kupinga viongozi wasiofaa.

Mwandishi anaonyesha kuwa licha ya changamoto zinazomkumba mwanamke katika jamii, mwanamke ana nafasi muhimu katika uongozi na kuleta maendeleo katika jamii.

Read more at: https://www.easyelimu.com/high-school-notes/kiswahili-notes/mwongozo-wa-kigogo/item/515-jalada-anwani-na-dhamira-ya-mwandishi
Welcome to EasyElimu Questions and Answers, where you can ask questions and receive answers from other members of the community.

6.4k questions

9.6k answers

6 comments

590 users

...