0 votes
7.8k views
in Isimu Jamii by
Taja sifa za sajili ya shuleni.

3 Answers

0 votes
by
  1. Lugha ya heshima
  2. Lugha ya upole na Adabu ya mwanafunzi
  3. Msamiati maalum na unaoana na mazingira
  4. Kuzingatia sarufi.
0 votes
by
1.lugha sanifu hutumika.

2.lugha ya upole na unyenyekevu hutumika. 

3.ni lugha ambayo una utaani.

4.wakatinyingine huwa ya kuamrisha haswa mwanafunzi akoseapo mwalimu.

5.huwa na msamiati maalum,kwamfano ;mwalimu,darasa,dawati nakadalika
0 votes
by
1.Ina msamiati maalum 

Related questions

0 votes
0 answers
asked Mar 24 in Isimu Jamii by 0748946XXX
0 votes
11 answers
Welcome to EasyElimu Questions and Answers, where you can ask questions and receive answers from other members of the community.

6.4k questions

9.6k answers

6 comments

590 users

...