Kiswahili - Class 8 Schemes of Work Term 1 2023

Rate this item
(0 votes)

RATIBA YA MAFUNZI YA KISWAHILI
DARASA LA 8
MUHULA 3 2023

WIKI KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA MAFUNZO NYENZO ASILIA MAONI
MUHULA 1  
1  Kufungua Marudio na Mazoezi
2 1  KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA   Maamkizi 

Kufikia mwisho wa kipindi,mwanafunzi aweze:

  • Kuamkiana kwa njia ifaayo.
  • Kubainisha matumizi ya msamiati wa adabu na heshima. 
  • Kuuliza na kujibu maswali juu ya adabu njema.
  • Kutoa maelezo ya jinsi ya kusalimu na kujibu salamu.
  • Kuiga na kuigiza kuhusu salamu.
  • kurudia matumizi ya msamiati wa maamkizi. 
  • Picha
  • Michoro.
  • Chati ya maamkizi.
  • Kamusi. 
  • Kiswahili sanifu darasa la nane uk 2
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
  • Kuigiza michezo na kutumia misamiati mpya kwa usahihi. 
  • Kurejelea somo lililopita
  • Kuzungumza juu ya picha na michoro.
  • Kusoma ufahamu.
  • Kuongoza kupitia maswali ya ufahamu.
  • Kujadili mada inafunza nini.
  • Kufanya zoezi.
  • Picha/michoro
  • Kamusi
  • Wanafunzi wenyewe. 
  • Kiswahili sanifu darasa la nane uk 2
 
   3  MSAMIATI   Shairi 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma shairi kwa ufasaha.
  • Kuikiri shairi kwa mahadhi mazuri.
  • Kufafanua ujumbe wa shairi.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka 
  • Kurejelea kipindi kilichopita.
  • Kueleza maana ya maneno mpya.
  • Kukariri shairi kwa mahadhi mazuri.
  • Kushindana kwenye makundi.
  • Kuzungumza na kujadili funzo.  
  • Kamusi
  • Shairi kitabuni.
  • Wanafunzi wenyewe
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 4.
 
   4 SARUFI  Viambishi vya ugeni.  

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya viambishi.
  • Kutaja aina ya viambishi na kubainisha viambishi vya ngeli.
  • Kutumia viambishi vya ngeli katika sentensi. 
  • Kurejelea somo lililopita.
  • Kueleza aina ya viambishi ngeli.
  • Kutoa maelezo kuhusu viambishi vya ngeli.
  • Kupitia zoezi kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Chati.
  • jedwali la viambishi ngeli 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 5.
 
   5  KUANDIKA  Insha 

Mwanafunzi aweze kuandika insha kwa:

  • Kujaza pengo kwa usahihi.
  • Kutumia manano ya heshima ifaayo katika insha.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. 
  • Kushindana darasani juu ya msamiati juu ya adabu waliyojifunza.
  • Kuuliza na kujibu maswali juu ya heshima na adabu njema.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kuandika insha.
  • Kusahihisha insha. 
 
  • Kielelezo cha insha.

Tajriba ya wanafunzi. 
 
  • Kiswahili Sanifu Darasa la 8 Uk 7
 
 3  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA Msamiati wa akisami. 

Mwanafunzi aweze

  • Kubainisha akisami pamoja na maelezo yake.
  • Kuandika na kuhesabu akisami kwa usahihi. 

  • Kuuliza maswali juu ya akisami.
  • Kuandika na kuonyesha akisami kwa michoro.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha zoezi lililofanywa. 
  • Michoro.
  • Picha.
  • Kadi za akisami.
  • Kamusi
  • Chati za akisami.
 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 8
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu kwa ufasaha.
  • Kutumia msamiati mpya kwa usahihi.
  • Kueleza funzo la hadithi hii. 
  • Kuuliza maswali juu ya kazi.
  • Kuhimiza wanafunzi kutoa hadithi fupifupi
  • Kueleza maana ya maneno mpya.
  • Kusoma ufahamu.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kamusi.


 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 9.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 9
 
   3  MSAMIATI   Misemo na methali 

Mwanafunzi aweze

  • kubainisha misemo na methali.
  • Kufafanua maana ya misemo na methali.
  • Kutumia misemo na methali katika sentensi kwa usahihi. 
  • Kuuliza maana za misemo.
  • Kueleza umuhimu wa misemo na methali katika lugha.
  • Kuandika misemo na methali ubaoni.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha zoezi.
  • Vielelezo vya misemo na methali.
  • Kamusi
  • Kitabuni. 
  • Kiswahili sanifu uk 11 darasa la 8.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 9 – 10.
 
   4 SARUFI  Vivumishi visivyo chukua viambishi ngeli.

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha vivumishi visivyochukua viambishi ngeli katika umoja na wingi.
  • Kutumia vivumishi hivyo katika sentensi. 
  • Kutaja vivumishi.
  • Kuonyesha vivumishi vinavyobadilika katika ngeli mbali mbali.
  • Kuonyesha vivumishi visivyochukua viambishi ngeli.
  • Kupitia somo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha. 
  • Chati 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 12.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 11.
 
   5 KUANDIKA Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha akitumia maneneo aliyopewa kwa usahihi.
  • Kubui kisa kulingana na kichwa alichopewa.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. 
  • Kueleza maana ya misemo waliyofunzwa.
  • Kueleza hatua za kufuata.
  • Kueleza kisa.
  • Kupitaia funzo kwa sauti.
  • Kuandika insha.
  • Kusahihisha insha.
 
  • Insha ya kubuni.
  • Kielelezo cha insha. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 14.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 12 – 13
 
 4  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Tarakimu (10,000,000 – 100,000,000) 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kuzungumza tarakimu za idadi(10,000,000 – 100,000,000)
  • Kuhesabu na kuandika tarakimu. 
    .
  • Kusoma tarakimu chini ya 10,000,000
  • Kuandika tarakimu ubaoni.
  • Kufundisha tarakimu
  • Kutamka tarakimu kwa usahihi.
  • Kuafanya zoezi. 
  • Kadi za tarakimu.
  • Ramani ya ulimwengu.
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 20.
  • Mwongozo uk 14 – 15
 
   2 KUSOMA  Ufahamu 

Mwanafunzi aweze: 

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kutaja majina ya sayari.
  • Kutumia msamiati wa sayari kwa usahihi 
  • Kuuliza maswali juu ya anga.
  • Kuona picha na kueleza wanachokiona.
  • Kusoma ufahamu na kufanya zoezi. 
  •  Picha
  • kamusi 
  • Kiswahili  sanifu darasa la 8 uk 21.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 16 - 17
 
   3 MSAMIATI   Vitate 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya neon vitate.
  • Kutumia vitate katika sentensi.
  • Kueleza maana mbalimbali za vitate. 
  • Kuandika somo la alfabeti na silabi.
  • Kuorodhesha vitate ubaoni.
  • Kutoa maana ya vitate katika kamusi.
  • Kutunga sentensi kutumia vitate.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kadi
  • Uba
  • Chaki
  • kamusi 
  • Kiswahili sanifu uk 23.Darasa la 8.
  • Mwongozo wa mwalomu uk 17 -18.
 
   4  SARUFI   Vihihishi 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya vihihishi.
  • Kubainisha mifano ya vihihishi.
  • Kutumia vihihishi katika sentensi kwa usahihi.
  •  Kutaja na kueleza vitate.
  • Kueleza vihihishi na kutoa mifano na matumizi yake.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kutumia vihihishi katika sentensi.
  • Kufanya zoezi. 
  • Chati zenye vihihishi 
  • Kiswahili sanifu uk 23.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 19.
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha ya kujaza mapengo kwa maneno aliyopewa kwa usahihi.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. 
  • Kutoa hadithi fupi.
  • Kuandika insha.
  • Kusahihisha insha
  • Kutoa hatua zilizoajika. 
  • Wanafunzi
  • Vielelezo vya insha.
 
  • Kiswahili Sanifu darsa la 8 uk 25
  • Mwongozo wa mwalimu uk 20
 
 5  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA   Dira

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha msamiati wa dira.
  • Kuchora dira yenye pembe 16
  • Kutumia msamiati wa dira kwa usahihi. 
 
  • Kueleza uchi zilizotajwa katika funzo la tarakimu.
  • Kutaja pembe za dunia.
  • Kuchora dira la somo hili.
  • Kusoma yaliyokitabuni kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Picha
  • Michoro
  • Chati ya dira 
  • Kiswahili sanifu uk 26
  • Mwongozo wa mwalimu uk 21
 
   3  MSAMIATI   Methali 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma methali na maana zake kwa ufasaha.
  • Kubainisha umuhimu wa methali.
  • Kutumia methali katika sentensi kwa usahihi 
  • Kukamilisha methali za funzo lililopita.
  • Kueleza umuhimu wa methali.
  • Kuandika methali moja kwa moja ubaoni.
  • Kupitia funzo   kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Chati za methali
  • Kamusi
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 28
  • Mwongozo wa mwalimu uk 23 – 24
 
   4  SARUFI   Vihisishi 

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha aina mbalimbalimya vihisishi na mifano yake.
  • Kutoa na kutumia mifano sahihi ya aina ya vihisishi katika sentensi kwa usahihi 
  • Kutaja na kueleza aina ya vihisishi.
  • Kuthoa mifano kwenye sentensi.
  • Kueleza matumizi yake.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Fanya zoezi 
  • Chati
  • Soma kitabu. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 29
  • Mwongozo wa mwalimu uk 24 – 25.
 
   5  KUANDIKA   Barua ya kirafiki. 

Mwanafunzi aweze :

  • Kuandika insha kwa kujaza mapengo kwa usahihi akitumia maneno aliyopewa.
  • Kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi. 
  • Kueleza maana ya baadhi ya misemo.
  • Kueleza maana ya misemo.
  • Kuongeza ujuzi wa kuandika barua ya kirafiki.
  • Kuandika insha.Kusahihisha insha.
 
  • Vielelezo vya barua ya kirafiki.
  • Wanafunzi. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 30.
  • Mwongozo wa mwalimu uk wa 24 – 25.
 
 6  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Mali ya asili 

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana yana ya mali ya asili.
  • Kuorodhesha maliasili zinazopatikana nchini.
  • Kufafanua faida za maliasili na wajibu wake. 
  • Kutaja mapambo ya mwili.
  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kutoa maelezo juu ya maliasili.
  • Kushindana juu ya msamiati ya maliasili. 
  • Ramani ya Kenya
  • Picha
  • Michoro
  • kamusi 
  • Kiswahili sanifu uk 38 darasa la 8.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 27 - 28
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma kwa ufasaha.
  • Kujibu maswali ya ufahamu
  • Kuzingatia mafunzo katika somo. 
  • Kuzungumza juu ya picha/mchoro
  • Kueleza maana ya maneno mpya.
  • Kusoma kimya kimya
  • Kusoma kwa sauti
  • Kupitia maswali kwa sauti
  • Kufanya mazoezi. 
  • Picha/michoro
  • Vifaa halisi
  • Ramani ya Kenya.  
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 39
  • Mwongozo wa mwalimu uk 28 – 29.
 
   3  MSAMIATI   Methali

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma methali.
  • Kutoa methali zinazopangana kimaana.
  • Kutumia methali kwa usahihi. 
    kwa sauti.
  • Kufanya zoezi na kusahihisha. 
  • Kueleza maana ya methali.
  • Kueleza umuhimu wa methali katika lugha.
  • Kupitia funzo  
  • Chati ya methali.
  • Kamusi
  • Funzo Kitabuni.
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 40.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 29 - 30
 
   4 SARUFI Viunganishi

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana ya viunganishi.
  • Kubainisha mifano ya viunganishi vya sababu.
  • Kutumia viunganishi vya sababu katika sentensi. 
  • Kutaja aina za madini zinazopatikana.
  • Kueleza maana ya viunganishi vya sababu na kutoa mifano.
  • Kutoa mifano zaidi katika sentensi.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kusaidia na kusahihisha 
  • Vielelezo vya viunganishi vya sababu 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 41
  • Mwongozo wa mwalimu uk 30
 
   5  KUANDIKA  Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuakifisha insha aliyopewa kwa usahihi.
  • Kuandika insha kulingana na kichwa alichopewa.
  • Kuandia kwa hati zinazosomeka.  
  • Kutoa hadithi fupi.
  • Kutaja baadhi ya alama za kuakifisha na kueleza matumizi yake.
  • Kusoma insha na kuakifisha kimyakimya.
  • Kuwapa insha.
  • Kusahihisha insha. 
  • Vielelezo vya insha ya michezo
  • Kiswahili Sanifu darasa la 8 uk 42.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 31.
 
7 Mtihani wa muhula kati na likizo
 8  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Majina ya wizara mbalimbali

 Mwanafunzi aweze:

  • Kutaja majina ya wizara mbalimbali.
  • Kueleza shughuli ya wizara mbalimbali. 
  • Kutaja baadhi ya majina ya mawaziroi na wizara.
  • Kutaja wizara Fulani na kueleza inahusaka na nini.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kueleza shughuli za wizara zilizoorodheshwa..
  • Kufanya zoezi. 
  • Bango
  • Kamusi
  • Magazeti
  • Redio
  • Runinga. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 44.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 33 – 34.
 
   2  KUSOMA  Ufahamu  

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kujadili makala na kutoa maoni yake. 
  • Kutaja maana ya maneno mpya.
  • Kusoma ufahamu kwa kwa sauti.
  • Kusoma kimya.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kamusi
  • wanafunzi
 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 45
  • Mwongozo wa mwalimu uk 34 – 35.
 
   3  MSAMIATI   Visawe 

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana ya visawe.
  • Kubainisha na kutumia visawe katika sentensi.
  • Kutaja vinyume vya maneno.
  • Kutaja maneneo yenya maana sawa
  • Kupitia orodha ya maneno kitabuni.
  • Kutumia hayo maneno kwenye Kwenya sentensi.
  • Kufanya zoezi. 
  • Picha/michoro
  • Chati
  • Kamusi Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 46
  • Mwongozo wa mwalimu uk 35 - 36.
 
   4  SARUFI   Viunganishi 

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha viambishi vya chaguo na vya nyongeza.
  • Kulimia viunganishi vya chaguo vya nyongeza kwa usahihi. 
  • Kueleza maana ya viunganishi.
  • Kutoa mifano zaidi katika sentensi
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi
  • Kusahihisha 
  • Chati
  • Funzo
  • Kitabuni 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 Uk 47
  • Mwongozo wa mwalimu uk 36 - 37
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha kwa usahihi kulingana na kichwa alichopewa.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka na nadhifu. 
  • Kutaja majina ya wizara mbalimbali
  • Kupitia funzo kwa sauti makala ya ufahamu
  • Kuwaeleza vipengele muhimu (vidokezo)
  • Kuandika insha
  • Kusahihisha. 
  • Makala ya ufahamu.
  • Kiswahili sanifu uk 47 darasa la8
  • Mwongozo wa mwalimu uk 37 – 38.
 
 9  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA   Ngonjera 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya ngonjera.
  • Kukariri ngonjera kwa mahadhi mazuri
  • Kufafanua ujumbe wa ngonjera 
  • Kutaja fani mbalimbali za ushairi kwa kuwauliza maswali.
  • Kueleza maana ya ugonjwa.
  • Kusoma kimyakimya.
  • Kusoma ngonjera Kwa sauti
  • Kueleza ujumbe 
  • Kielelezo cha ngonjera.
  • kamusi
 
  • Kiswahili darasa la 8 uk54.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 38 - 39
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze

  • kusoma kwa ufasaha.
  • Kueleza utanzi ni aina gani ya shairi.
  • Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. 
  • Kukariri baadhya beti ya ngonjera.
  • Kuwauliza kuhusu kanuni za ushairi.
  • Kusoma kimya kimya.
  • Kuteua wanafunzi Fulani kusoma kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kielelezo cha utanzu
  • Kamusi 
  • Kiswahili Sanifu darasa la 8 uk 56
  • Mwongozo wa mwalimu uk 39 – 40.
 
   3  MSAMIATI  Nomino za makundi.

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana ya nomino za makundi.
  • Kutumia nomino za makundi katika sentensi.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka na nadhifu.  
  • Kukariri shairi la utenzi.
  • Kueleza juu ya nomino za makundi
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kutumia nomino za makundi katika sentensi.
  • Kufanya zoezi.
  • Picha
  • Michoro
  • Chaki
  • Ubao. 
  • Kiswahili sanifu uk 57
  • Mwongozo wa mwalimu uk 40 – 41.
 
   4  SARUFI   Viunganishi, unganishi

Mwanafunzi aweze,

  • Kueleza maana ya viunganishi.
  • Kubainisha mifano ya viunganishi.
  • Kutumia viunganishi kwa usahihi 
  • Kutaja aina ya viunganishi.
  • Kueleza maana ya viunganishi unganishi.
  • Kutoa mifano zaidi.
  • Kupitia funzo kwa sauti
  • Kufanya zoezi 
 
  • Vielelezo vya viunganishi. 
  • Kiswahili sanifu Darasa la 8 uk 58
  • Mwongozo wa mwalimu uk 41 - 42
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuakifisha insha aliyopewa kwa usahihi.
  • Kutunga shairi kwa kuzingatia arudhi kulingana na kichwa.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. 

  • Kutaja aina za mashairi.
  • Kuwaeleza vidokezo vya kufuata unapoandika.
  • Kuandika mashairi (Kutunga) kuzingatia kanuni za kutunga shairi.
  • Kusahihisha
  • Kufanya masahihisho
 
  • Gazeti
  • Jalada
  • Wanafunzi wenyewe
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 59
  • Mwongozo wa mwalimu uk 42 – 43
 
 10  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA   Msamiati wa mahakamani.

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha msamiati wa mahakama.
  • Kutumia msamiati wa mahakamanim kwa usahihi.
  • Kueleza msamiati wa mahakamani.
  • Kueleza wajibu wa watu waliohusika mahakamani.
  • Kueleza kisa cha kuwachanganishaKuzungumza juu ya michoroKupitia funzo kwa sauti.
  • Kueleza wajibu wa watu wanaohusika mahakamani.
  • Kufanya zoezi 
  • Picha
  • Michoro
  • Kamusi
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 60
  • Mwongozo wa mwalimu uk 43 – 44
 
   2  KUSOMA   Ufahamu

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kujadili ujumbe wa makala.
  • Kutumia msamiati mpya katika sentensi. 
 
  • Kutazama picha.
  • Kuwauliza maswali kuhusu picha.
  • Kusoma kimyakimya.
  • Kupitia funzo
  • Kufanya zoezi  
  • Picha/michoro.
  • Kamusi
  • Wanafuynzi wenyewe.
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 61.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 44 – 45.
 
   3  KUSOMA   Ufahamu

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma kwa ufasaha.
  • Kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kueleza maana ya msamiati mpya.
  • Kutumia msamiati
  • Mpya ipasavyo kwenye sentensi
  • Kutaja msamiati wa mekoni.
  • Kuzungumzia picha/ michoro
  • Kutoa maana ya maneno mpya.
  • Kusoma kimya kimya. 
  • Kufanya zoezi
  • Kusahihisha
  • Vifaa halisi
  • Picha/michoro.
  • Kamusi
  • Wanafunzi wenyewe. 
  • Kiswahili sanifu uk 73
  • Mwongozo wa mwalimu uk 49 – 50.
 
   4  MSAMIATI   Methali 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kubainisha maana na matumizi ya methali.
  • Kutumia methali kwa usahihi.
  • Kuandika na kufanya zoezi. 
  • Kueleza maana ya methali.
  • Kueleza umuhimu wa medhali.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi
  • Kusahihisha. 
  • Chati ya methali na maana yake. 
  • Kiswahili sanifu darasa 8 uk 75
  • Mwongozo wa mwalimu uk 50 - 51
 
   5  SARUFI   Matumizi ya `si` 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza matumizi ya `si`
  • Kutumia `si` katika sentensi kwa usahihi. 
  • Kutaja methali zinazotumia si
  • Kutoa maelezo.
  • Kuongoza kupitia funzo kwa sauti.
  • Kupitia zoezi kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Chati yenye sentensi za `si` katika ngeli yote.
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 76
  • Mwongozo wa mwalimu uk 51 - 52.
 
 11  1  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha ya kubuni kwa usahihi.
  • Kuandika insha ya maelezo kwa usahihi.
  • Kuandika kwa hati inayosomeka.
  • Kuimba wimbo wenye maadili
  • Kusimulia kuhusu karamu ulizohudhuria
  • Kueleza mambo muhimu.
  • Kueleza namna ya kupika chakula tamu.
  • Kuandika insha
  • Kusahihisha 
  • Resipe ya vyakula
  • Wanafunzi wenyewe.
 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 77
  • Mwongozo wa mwalimu uk 52 - 53
 
   2  MSAMIATI  Methali 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma methali na maana yake.
  • Kubainisha maana na matumizi ya methali.
  • Kutumia methali kwa usahihi. 
  • Kueleza umuhimu wa methali.
  • Kuandika methali mojamoja ubaoni.
  • Kueleza maana ya methali.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Chati ya methali
  • Kamusi. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 62
  • Mwongozo wa mwalimu uk 45 - 46
 
   3  SARUFI  Maneno ya kutilia mkazo

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya takriri.
  • Kubainisha maneno ya kutilia mkazo.
  • Kutumia maneno ya kutilia mkazo katika sentensi.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kukamilisha methali za funzo lililopita.
  • Kuwaongoza kupitia funzo kwa sauti.
  • Kutumia takriri katika sentensi.
  • Kupitia zoezi kwa sauti.
  • Kufanya zoezi
  • Kusahihisha. 
  • Kadi za takriri
  • Ubao
  • chaki. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 63
  • Mwongozo wa mwalimu uk 46 - 47
 
   4  KUANDIKA   Insha (kumbukumbu)

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha insha za kumbukumbu na sifa zake.
  • Kuandika insha ya kumbukumbu
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. 

  • Kueleza maana ya kumbukumbu.
  • Kuwaongoza kutaja hatua (vidokezo) Vinavyofuatwa kuandikwa.
  • Kupitia funzo 
  • Kwa sauti
  • Kuandika wakitumia mfano waliosoma.
  • Kusahihisha.
  • Kielelezo cha insha.
  • Funzo la kitabu 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 64
  • Mwongozo wa mwalimu uk 47 - 48
 
   5  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Mekoni 

Mwanafunzi aweze:

  • Kufafanua baadhi ya msamiati wa mekoni.
  • Kujadili shughuli za mekoni.
  • Kutumia msamiati wa mekoni kwa usahihi 
  • Kukamilisha methali za funzo lililopita.
  • Kuwauliza kuhusu mekoni.
  • Kuzungumzia michoro kitabuni.
  • Kufanya zoezi.
  • Picha/michoro
  • Vifaa halisa
  • kamusi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 72.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 48
 
 12 - 13     Marudio na Maandalizi ya mtihani wa mwisho wa muhula     
 14    Mtihani wa mwiso wa muhula na kufunga     
MUHULA 2  
 1    Kufungua,marudio na mazoezi     
 2  1  KUSOMA   Ufahamu 

Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze:

  • Kusoma ufahamu na kuelewa habari aliyosoma.
  • Kueleza maana ya msamiati na kujibu maswali ya ufahamu. 
  • Kusoma kwa ufasaha
  • Kutunga sentensi.
  • Kujibu maswali ya ufahamu 
  •  Picha vitabuni. 
  • Kiswahili mufti 125 - 129
  • Kiswahili sanifu
  • Kiswahili kwa darasa.1,  2, 3.
 
   2  NGELI
SARUFI 
Ngeli ya
I – I 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja nomino katika ngeli ya I – I
  • Kuchambua ngeli hii akirejelea viambishi ngeli,Virejeshi, viunganishi,vivumishi na vikanusha
  • Kufanya zoezi. 
  • Kusoma mifano ya majina na sentensi.
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi. 
  • Bango
  • Jedwali
  • Kamusi
  • Kiswahili mufti  127 – 129
 
   3  KUSIKILIZA NA KUONGEA Jina la sifa kutokana na sifa 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kuunda maneno ya sifa kutokana na sifa.
  • Kutaja methali zinazotumia maneno yaliyopewa.
  • Kujibu maswali kwa kutamka.
  • Kuunda majina ya sifa.
  • Kufanya zoezi. 
  •  Nakala 
  • Kiswahili mufti  130
 
   4  KUANDIKA   Kutendesha na kutendeka.

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kubadilisha vitenzi katika kauli ya kutendeshwa na kutendeka.
  • Kutunga sentensi sahihi.
  • Kufanya zoezi kwa ufasaha. 
  • Kutunga sentensi
  • Kubadilisha vitenzi.
  • Kufanya kazi. 
  • Kamusi ya Kiswahili
  • Ubao. 
  • Kiswahili mufti  131
 
   5  MSAMIATI   Maliasili 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutambua msamiatiwa maliasili.
  • Kutunga sentensi sahihi zenye msamiati huo
  • Kutambua maliasili. 
  • Kusoma kwa ufahamu.
  • Kutunga sentens
  • Kusoma zoezi 
  • Kamusi
  • Bango 
  • Kiswahili mufti  131 - 132
 
 3  1  KUSOMA   Ufahamu 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kusoma kwa ufasaha na kutamka maneno kwa usahihi.
  • Kutunga sentensi kwa kutumia maneno magumu.
  • Kujibu maswali ya ufahamu. 

  • Kusoma kwa ufasaha
  • Kutunga sentensi.
  • Kufanya zoezi  
  • Kadi za maneno 
  • Kiswahili mufti 135 - 13
  • Kiswahili kwa darasa
  • Kiswahili sanifu
 
   2  SARUFI  Ngeli ya PA – KU - MU. 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja maneno katika ngeli hii.
  • Kuchambua ngeli hii kwa kuchambiua viambishi ngeli, virejeshi, viunganishi, vivumishi na vikanushi. 
  • Kutaja nomino.
  • Kuchora jedwali.
  • Kujibu maswali. 
  •  Jedwali. 
  • Kiswahili mufti 138 - 142
 
   3  KUSIKILIZA NA KUONGEA.   Watu mbalimbali 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja majina ya watu mbalimbali.
  • Kujadili umuhimu wao.
    Kufanya zoezi. 

  • Kutaja majina ya watu.
  • Kujadili kwenye vikundi.
  • Kujibu maswali kwa kutamka. 
  • Kamusi
  • Bango
  • Kadi za maneno 
  •  Kiswahili mufti 142
 
   4  KUANDIKA   Insha ya maelezo.

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha kwa mtiririko mzuri na kufuata utaratibu unaofaaKutumia msamiati unaofaa katika insha hii. 
  • Kuandika insha ya maelezo.  
 
  • Nakala 
 
  • Kiswahili mufti 143
 
   5  MSAMIATI  Tarakimu

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja idadi wliopewa kwa maneno.
    Kujibu maswali kwa usahihi 
  • Kusoma tarakimu
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi  
 
  • Bango
 
  • Kiswahili mufti 143 -144
 
 4  1  KUSOMA   Ufahamu 


Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

  • Kusoma kwa sauti na kutamka maneno harakaharaka
  • Kutumia maneno magumu
  • Kujibu maswali harakaharaka. 

  • Kusoma kwa ufasaha.
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi. 
 
  • Kadi za maneno
  • Kiswahili sanifu
  • Kiswahili kwa darasa
  • Kiswahili mufti 148 - 150
 
   2  SARUFI   Vihisishi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutambua maana ya vihisishi na jinsi vinavyotumiwa.
  • Kutunga sentensi akitumia vihisishi kwa usahihi.
  • Kueleza maana
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi 
 
  • Bango 
 
  • Kiswahili mufti148 - 150
 
   3 KUSIKILIZA NA KUONGEA  Tasfida Kujifunza umuhimu wa maadili.

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kufanya zoezi kwa usahihi na adabu njema.
  • Kutunga sentensi akitumia maneno ya adabu. 
  • Kutaja maneno ya adabu njema.
  • Kutamka maneno hayo.
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi. 
 
  • Nakala 
 
  • Kiswahili mufti 151.
 
   4  KUANDIKA   Insha ya mazungumzo

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutambua utaratibu wa kuandika insha hii;
  • Kuandika insha ya mazungumzo kwa utaratibu .
  • Kutumia maneno ya adabu katika uandishi wa insha hii. 
  • Kutambua maelezo na utaratibu wa insha.
  • Kuandika. 
 
  • Nakala 
 
  • Kiswahili mufti 152
 
   5  Msamiati  Mali asili

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja msamiati wa maliasili.
  • Kutunga sentensi akitumia msamiati huo.
  • Kufanya zoezi.  
  • Kusoma
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi 
 
  • Picha vitabuni
 
  • Kiswahili mufti 152
 
 5  1  KUSOMA   Ufahamu 

Kufikia mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

  • Kusoma maneno kwa sauti na kuyatamka barabara.
  • Kueleza maana ya msamiati.
  • Kujibu maswali kwa sauti. 

  • Kusoma
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi. 
  • Picha vitabuni
  • Kadi za maneno 
 
  • Kiswahili mufti  156 - 159
 
   2  SARUFI   Viunganishi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya viunganishi.
  • Kutunga sentensi ukitumia viunganishi.
  • Kufanya mazoezi kwa ufasaha 

 

  • Kujibu maswali kwa kutamka.
  • Kueleza maana
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi 
 
  • Bango 
  • Kiswahili mufti 160 - 161
 
   3  KUSIKILIZA NA KUONGEA.   Sentensi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kukosoa sentensi zilizoendelezwa vibaya.
  • Kujadiliana kwa ufasaha. 
  • Kukosa sentensi
  • Kufanya zoezi 
 
  • Nakala 
  • Kiswahili mufti 161 - 162
 
   4 KUANDIKA   Kukanusha

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutofautisha kati ya kukanusha na kinyume
  • Kukanusha sentensi katika nyakayi mbalimbali. 

  • Kutofautisha kinyume na ukanushi.
  • Kufanya zoezi 
 
  • Jedwali 
 
  • Kiswahili mufti 162
 
   5 MSAMIATI  Viumbe vya kike na kiume.

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja kinyume katika utanzu wa tanzia.
  • Kufanya zoezi kwa ufasaha. 

  • Kutaja kinyume
  • Kufanya zoezi
 
  • Jedwali 
 
  • Kiswahili mufti 162 - 164
 
 6  1  KUSOMA   Ufahamu 

Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze:

  • Kutaja aina ya miti ya matunda ajuayo
  • Kusoma taarifa kwa sauti akizingatia uakifishaji bora.
  • Kujibu maswali. 
  • Kutaja aina ya matunda
  • Kusoma
  • Kufanya zoezi 
  • Picha vitabuni
  • Kadi za maneno 
  • Kiswahili mufti
  • Kiswahili sanifu
  • Kiswahili kwa darasa
 
   2  SARUFI   Vielezi takriri

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja maneno ya kutilia mkazo barabara
  • Kuyatumia maneno hayo kutunga sentensi
  • Kujibu maswali kwa usahihi.  
  • Kutaja maneno
  • Kutunga sentensi.
  • Kujibu maswali.
  • Bango
  • Jedwali
  • nakala 
  •  Kiswahili mufti 168 – 169
 
   3  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Kutunga sentensi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutunga sentensi sahihi akizingatia matamshi bora.
    Kutumia alama za uakifishaji barabara 

  • Kutunga sentensi sahihi. 
  • Nakala 
  • Kiswahili mufti 169
 
   4  KUANDIKA   Barua

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutambua muundo wa barua rasmi
  • Kutambua muundo wa barua ya kirafiki.
  • Kuandika barua rasmi 
  • Kueleza tofauti baina ya rasmi na ya kirafiki.
  • Kuandika barua rasmi. 
 
  • Barua halisi 
 
  • Kiswahili mufti 169 - 171
 
   5  Msamiati   Nomino za makundi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja nomino za makundi
  • Kutunga sentensi sahihi akitumia nomino hizo.
  • Kujibu maswali. 
  • Kutaja majina katika umoja na uwingi
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi. 
  •  Bango
  • Nakala
  • Vifaa halisi 
 
  • Kiswahili mufti  172 – 174
 
 7    mtihani wa kati ya muhula     
 8  1  KUSOMA   Ufahamu

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kusoma taarifa kwa sauti na kutamka maneno barabara
  • Kutunga sentensi akitumia maneno magumu.
  • Kujibu maswali kwa usahihi 

  • Kutaja majina katika umoja na wingi.
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi 
  • Kadi za maneno
  • Nakala 
  • Kiswahili kwa darasa
  • Kiswahili sanifu
  • Kiswahili mufti 175 - 177
 
   2 SARUFI   Kirejeshi -amba

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja majina katika hali ya wingi na umoja kutumia kirejeshi amba katika ngeli tofauti.
  • Kujibu maswali kwa usahihi. 
  • Kutaja majina katika umoja na wingi.
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya zoezi 
  • Nakala
  • Jedwali 
  •  Kiswahili mufti 177 – 179
 
   3  KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA   Michezo mbalimbali

 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja manufaa ya michezo
    Kufafanua aina mbalimbali za michezo. 

  • Kutaja manufaa ya michezo
  • Kufafanua aina mbalimbali ya michezo. 
 
  • Nakala 
  •  Kiswahili mufti 179 – 181
 
   4  KUANDIKA  Insha

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha ya kusisimua na kujieleza kwa kiwango chake.  
  • Kuandika insha na kujieleza kwa kiwango chake.
 
  • Nakala 
 
  • Kiswahili mufti 181 - 183
 
   5  MSAMIATI  Visawe

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja visawe vya maneno aliyopewa.
  • Kutunga sentensi fupifupi akitumia visawe alivyopewa. 
  • Kutaja visawe vya kutumia
  • Kufanya zoezi. 
 
  • Bango 
   
 9  1  KUSOMA   Ufahamu

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kufafanua maana ya neno mikasa na aina ya mikasa aijuayo
  • Kusoma ufahamu kwa sauti
  • Kujibu maswali kwa sauti 
  • Kueleza maana
  • Kusoma kwa sauti
  • Kujadili 
  • Kadi za maneno
  • Picha michoro 
  • Kiswahili sanifu
  • Kiswahili kwa darasa
  • Kiswahili mufti 185 – 186
 
   2  SARUFI   Usemi halisi na usemi wa taarifa

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kueleza tofauti zilizopo baina ya usemi taarifa na halisi.
    Kujibu maswali. 
  • Kueleza tofauti
  • Kutunga sentensi
  • Kujibu maswali 
  • Bango
  • Nakala 
 
  • Kiswahili mufti  186 – 188
 
   3  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Sentensi zinazotumi amba.

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutunga sentensi sahihi kutumia kirejeshi amba ipasavyo.
  • Kutumia kirejeshi o tamati na kirejeshi o kati 
  • Kutunga sentensi
  • Kujibu maswali
  • Kueleza tofauti 
  • Bango
  • Nakala
 
  • Kiswahili mufti 188
 
   4  KUANDIKA   Insha
Kumbukumbu

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kuandika kumbukumbu za mikutano ipasavyo.
  • Kutambua na kueleza taratibu zote za insha za kumbukumbu. 
  • Kueleza maana ye kumbukumbu
  • Kueleza utaratibu
  • Kuandika insha 
  • Bango
  • Nakala 
 
  • Kiswahili mufti 195 – 198
 
   5  MSAMIATI   Matunda mimea 

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutaja aina kadha za matunda.
  • Kutaja baadhi ya mimea.
  • kufanya zoezi 
  • Kutaja aina ya matunda.
  • Kutazama matunda
  • Kufanya zoezi  
 
  • Vifaa halisi 
 
  • Kiswahili mufti 184- 194
 
 10  1  KUSOMA   Ufahamu  Kusoma ufahamu kwa usahihi
Kueleza maana ya maneno magumu
Kujibu maswali ya ufahamu 

  • Kusoma
  • Kueleza maana ya maneno magumu
  • Kujibu maswali.
  • Vifaa vya hisabati na rula
  • Kiswahili sanifu
  • Kiswahili kwa darasa
  • Kiswahili mufti 212 – 217
 
   2  SARUFI   Matumizi ya kishirikishi ndi

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kutambua matumizi ya kihusishi ndi
  • Kutunga sentensi sahihi akitumia kishirikishi ndi 
  • Kutambua matumizi ya ndi
  • Kutunga sentensi
  • Kufanya mazoezi 
  • Bango
  • Nakala
  •  Kiswahili mufti 217 – 219
 
   3  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Mafumbo

 Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kuwafumbia wanafunzi wenzake ili wafumbue.
  • Kufumbua mafumbo aliyoambiwa na wenzake. 
  • Kufumba na kufumbua mafumbo
 
  • Nakala
  • Wanafunzi
 
  • Kiswahili mufti 219 – 220
 
   4  KUANDIKA Sentensi za kinyume,Semi za neno tia na kutia.

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kueleza tofauti kati ya kinyume na kukanusha.
  • Kuandika kinyume.
  • Kuandika sentensi za tia na kutia. 

  • Kueleza tofauti ya kinyume na kukanusha.
  • Kuandika kinyume
  • Kufanya zoezi 
 
  • Nakala
  • Kiswahili mufti 220
 
   5  MSAMIATI   Vitawe

Kufikia mwisho wa funzo, mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya vitawe
  • Kueleza maana mbalimbali za kila neno na kutamka. 

  • Kueleza maana ya vitawe
  • Kuandika kinyume
  • Kufanya mazoezi
 
  • Bango
  • Nakala
  • kamusi 
 
  • Kiswahili mufti 221 – 222
 
 11  1  KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA   

Maamkizi Kufikia mwisho wa kipindi,mwanafunzi aweze:

  • Kuamkiana kwa njia ifaayo.
  • Kubainisha matumizi ya msamiati wa adabu na heshima. 
  • Kuuliza na kujibu maswali juu ya adabu njema.
  • Kutoa maelezo ya jinsi ya kusalimu na kujibu salamu.
  • Kuiga na kuigiza kuhusu salamu.
  • Kurudia matumizi ya msamiati wa maamkizi.
 
  • Picha
  • Michoro.
  • Chati ya maamkizi.
  • Kamusi. 
  • Kiswahili sanifu darasa la nane uk 2
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
  • Kuigiza michezo na kutumia misamiati mpya kwa usahihi. 
  • Kurejelea somo lililopita
  • Kuzungumza juu ya picha na michoro.
  • Kusoma ufahamu.
  • Kuongoza kupitia maswali ya ufahamu.
  • Kujadili mada inafunza nini.
  • Kufanya zoezi. 
  •  Picha/michoro
  • Kamusi
  • Wanafunzi wenyewe. 
  • Kiswahili sanifu darasa la nane uk 2
 
   3  MSAMIATI   Shairi

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma shairi kwa ufasaha.
  • Kuikiri shairi kwa mahadhi mazuri.
  • Kufafanua ujumbe wa shairi.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka 
  • Kurejelea kipindi kilichopita.
  • Kueleza maana ya maneno mpya.
  • Kukariri shairi kwa mahadhi mazuri.
  • Kushindana kwenye makundi.
  • Kuzungumza na kujadili funzo. 
  •  Kamusi
  • Shairi kitabuni.
  • Wanafunzi wenyewe
  •  Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 4.
 
   4  SARUFI  Viambishi vya ugeni.

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya viambishi.
  • Kutaja aina ya viambishi na kubainisha viambishi vya ngeli.
  • Kutumia viambishi vya ngeli katika sentensi. 
  • Kurejelea somo lililopita.
  • Kueleza aina ya viambishi ngeli.
  • Kutoa maelezo kuhusu viambishi vya ngeli.
  • Kupitia zoezi kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.  
  • Chati.
  • Jedwali la viambishi ngeli
 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 5.
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze kuandika insha kwa:

  • Kujaza pengo kwa usahihi.
  • Kutumia manano ya heshima ifaayo katika insha.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka.  
  • Kushindana darasani juu ya msamiati juu ya adabu waliyojifunza.
  • Kuuliza na kujibu maswali juu ya heshima na adabu njema.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kuandika insha.
  • Kusahihisha insha.
  • Kielelezo cha insha.
  • Tajriba ya wanafunzi. 
  • Kiswahili Sanifu Darasa la 8 Uk 7
 
 12  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Msamiati wa akisami.

  Mwanafunzi aweze

  • Kubainisha akisami pamoja na maelezo yake.
  • Kuandika na kuhesabu akisami kwa usahihi. 
  • Kuuliza maswali juu ya akisami.
  • Kuandika na kuonyesha akisami kwa michoro.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha zoezi lililofanywa.
  • Michoro.
  • Picha.
  • Kadi za akisami.
  • Kamusi
  • Chati za akisami.
  •  Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 8
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu kwa ufasaha.
  • Kutumia msamiati mpya kwa usahihi.
  • Kueleza funzo la hadithi hii. 
  • Kuuliza maswali juu ya kazi.
  • Kuhimiza wanafunzi kutoa hadithi fupifupi
  • Kueleza maana ya maneno mpya.
  • Kusoma ufahamu.
  • Kufanya zoezi.
  • Kamusi.
  • Wanafunzi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 9.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 9
 
   3  MSAMIATI   Misemo na methali 

Mwanafunzi aweze

  • kubainisha misemo na methali.
  • Kufafanua maana ya misemo na methali.
  • Kutumia misemo na methali katika sentensi kwa usahihi. 
  • Kuuliza maana za misemo.
  • Kueleza umuhimu wa misemo na methali katika lugha.
  • Kuandika misemo na methali ubaoni.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha zoezi. 
  • Vielelezo vya misemo na methali.
  • Kamusi
  • Kitabuni. 
  • Kiswahili sanifu uk 11 darasa la 8.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 9 – 10.
 
   4  SARUFI  Vivumishi visivyo chukua viambishi ngeli. 

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha vivumishi visivyochukua viambishi ngeli katika umoja na wingi.
  • Kutumia vivumishi hivyo katika sentensi. 
  • Kutaja vivumishi.
  • Kuonyesha vivumishi vinavyobadilika katika ngeli mbali mbali.
  • Kuonyesha vivumishi visivyochukua viambishi ngeli.
  • Kupitia somo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha.
 
  • Chati 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 12.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 11.
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha akitumia maneneo aliyopewa kwa usahihi.
  • Kubui kisa kulingana na kichwa alichopewa.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. Kueleza maana ya misemo waliyofunzwa.
  • Kueleza hatua za kufuata.
  • Kueleza kisa.
  • Kupitaia funzo kwa sauti.
  • Kuandika insha.
  • Kusahihisha insha. 
  • Insha ya kubuni.
  • Kielelezo cha insha. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 14.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 12 – 13
 
 13    Mazoezi na maandalizi ya mtihani wa mwisho wa muhula     
 14    Mtihani wa mwiso wa muhula wa pili na kufunga     
  MUHULA 3  
 1    Kufungua,mazoezi na marudio     
 2  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA   Tarakimu (10,000,000 – 100,000,000) 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kuzungumza tarakimu za idadi(10,000,000 – 100,000,000)
  • Kuhesabu na kuandika tarakimu.

 
  • Kusoma tarakimu chini ya 10,000,000
  • Kuandika tarakimu ubaoni.
  • Kufundisha tarakimu
  • kutamka tarakimu kwa usahihi.
  • Kuafanya zoezi. 
  • Kadi za tarakimu.
  • Ramani ya ulimwengu.
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 20.
  • Mwongozo uk 14 – 15.
 
   2  KUSOMA  Ufahamu 

Mwanafunzi aweze

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufaha mu.
  • Kutaja majina ya sayari.
  • Kutumia msamiati wa sayari kwa usahihi.
 
  • Kuuliza maswali juu ya anga.
  • Kuona picha na kueleza wanachokiona.
  • Kusoma ufahamu na kufanya zoezi. 
  • Picha
  • kamusi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 21.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 16 - 17
 
   3  MSAMIATI   Vitate 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya neno vitate.
  • Kutumia vitate katika sentensi.
  • Kueleza maana mbalimbali za vitate. 
  • Kuandika somo la alfabeti na silabi.
  • Kuorodhesha vitate ubaoni.
  • Kutoa maana ya vitate katika kamusi.
  • Kutunga sentensi kutumia vitate.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kadi
  • Ubao
  • Chaki
  • kamusi 
  • Kiswahili sanifu uk 23.Darasa la 8.
  • Mwongozo wa mwalomu uk 17 -18.
 
   4  SARUFI   Vihihishi 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya vihihishi.
  • Kubainisha mifano ya vihihishi.
  • Kutumia vihihishi katika sentensi kwa usahihi. 
  • Kutaja na kueleza vitate.
  • Kueleza vihihishi na kutoa mifano na matumizi yake
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kutumia vihihishi katika sentensi.
  • Kufanya zoezi.
  • Chati zenye vihihishi 
  • Kiswahili sanifu uk 23.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 19.
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha ya kujaza mapengo kwa maneno aliyopewa kwa usahihi.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. 
  • Kutoa hadithi fupi.
  • Kuandika insha.
  • Kusahihisha insha
  • Kutoa hatua zilizoajika. 
  • Wanafunzi
  • Vielelezo vya insha.
 
  • Kiswahili Sanifu darsa la 8 uk 25
  • Mwongozo wa mwalimu uk 20
 
 3  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA   Dira 

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha msamiati wa dira.
  • Kuchora dira yenye pembe 16
  • Kutumia msamiati wa dira kwa usahihi. 
  • Kueleza uchi zilizotajwa katika funzo la tarakimu.
  • Kutaja pembe za dunia.
  • Kuchora dira la somo hili.
  • Kusoma yaliyokitabuni kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Picha
  • Michoro
  • Chati ya dira 
  • Kiswahili sanifu uk 26
  • Mwongozo wa mwalimu uk 21
 
   3  MSAMIATI   Methali 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma methali na maana zake kwa ufasaha.
  • Kubainisha umuhimu wa methali.
  • Kutumia methali katikla sentensi kwa usahihi 
  • Kukamilisha methali za funzo lililopita.
  • Kueleza umuhimu wa methali.
  • Kuandika methali moja kwa moja ubaoni.
  • Kupitia funzo 
  • kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  • Chati za methali
  • Kamusi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 28
  • Mwongozo wa mwalimu uk 23 – 24 
 
   4  SARUFI   Vihisishi 

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha aina mbalimbalimya vihisishi na mifano yake.
  • Kutoa na kutumia mifano sahihi ya aina ya vihisishi katika sentensi kwa usahihi 
  • Kutaja na kueleza aina ya vihisishi.
  • Kuthoa mifano kwenye sentensi.
  • Kueleza matumizi yake.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Fanya zoezi 
  • Chati
  • Soma kitabu. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 29
  • Mwongozo wa mwalimu uk 24 – 25.
 
   5  KUANDIKA   Barua ya kirafiki. 

Mwanafunzi aweze :

  • Kuandika insha kwa kujaza mapengo kwa usahihi akitumia maneno aliyopewa.
  • Kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi.
  • Kueleza maana ya baadhi ya misemo.
     
  • Kueleza maana ya misemo.
  • Kuongeza ujuzi wa kuandika barua ya kirafiki.
  • Kuandika insha.
  • Kusahihisha insha.
  • Vielelezo vya barua ya kirafiki.
  • Wanafunzi. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 30.
  • Mwongozo wa mwalimu uk wa 24 – 25.
 
 5  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA Mali ya asili

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana yana ya mali ya asili.
  • Kuorodhesha maliasili zinazopatikana nchini.
  • Kufafanua faida za maliasili na wajibu wake. 
  • Kutaja mapambo ya mwili.
  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kutoa maelezo juu ya maliasili.
  • Kushindana juu ya msamiati ya maliasili. 
  • Ramani ya Kenya
  • Picha
  • Michoro
  • kamusi 
  • Kiswahili sanifu uk 38 darasa la 8.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 27 - 28
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma kwa ufasaha.
  • Kujibu maswali ya ufahamu
  • Kuzingatia mafunzo katika somo. 
  • Kuzungumza juu ya picha/mchoro
  • Kueleza maana ya maneno mpya.
  • Kusoma kimya kimya
  • Kusoma kwa sauti
  • Kupitia maswali kwa sauti
  • Kufanya mazoezi. 
  • Picha/michoro
  • Vifaa halisi
  • Ramani ya Kenya. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 39
  • Mwongozo wa mwalimu uk 28 – 29.
 
   3  MSAMIATI   Methali 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma methali.
    Kutoa methali zinazopangana kimaana.
  • Kutumia methali kwa usahihi. 
     
  • Kueleza maana ya methali.
  • Kueleza umuhimu wa methali katika lugha.
  • Kupitia funzo
  • kwa sauti.
  • Kufanya zoezi na kusahihisha.
  • Chati ya methali.
  • Kamusi
  • Funzo Kitabuni. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 40.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 29 - 30
 
   4  SARUFI   Viunganishi 

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana ya viunganishi.
  • Kubainisha mifano ya viunganishi vya sababu.
  • Kutumia viunganishi vya sababu katika sentensi. 
  • Kutaja aina za madini zinazopatikana.
  • Kueleza maana ya viunganishi vya sababu na kutoa mifano.
  • Kutoa mifano zaidi katika sentensi.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kusaidia na kusahihisha
  • Vielelezo vya viunganishi vya sababu 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 41
  • Mwongozo wa mwalimu uk 30
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuakifisha insha aliyopewa kwa usahihi.
  • Kuandika insha kulingana na kichwa alichopewa.
  • Kuandia kwa hati zinazosomeka.
 
  • Kutoa hadithi fupi.
  • Kutaja baadhi ya alama za kuakifisha na kueleza matumizi yake.
  • Kusoma insha na kuakifisha kimyakimya.
  • Kuwapa insha.
  • Kusahihisha insha. 
  • Vielelezo vya insha ya machezo 
  • Kiswahili Sanifu darasa la 8 uk 42.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 31.
 
 6  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Majina ya wizara mbalimbali

Mwanafunzi aweze:

  • Kutaja majina ya wizara mbalimbali.
  • Kueleza shughuli ya wizara mbalimbali. 
  • Kutaja baadhi ya majina ya mawaziroi na wizara.
  • Kutaja wizara Fulani na kueleza inahusaka na nini.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kueleza shughuli za wizara zilizoorodheshwa..
  • Kufanya zoezi. 
  • Bango
  • Kamusi
  • Magazeti
  • Redio
  • Runinga. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 44.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 33 – 34.
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kujadili makala na kutoa maoni yake. 
  • Kutaja maana ya maneno mpya.
  • Kusoma ufahamu kwa kwa sauti.
  • Kusoma kimya.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
  •  Kamusi
  • wanafunzi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 45
  • Mwongozo wa mwalimu uk 34 – 35.
 
   3  MSAMIATI   Visawe

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana ya visawe.
  • Kubainisha na kutumia visawe katika sentensi. 

 

 

  • Kutaja vinyume vya maneno.
  • Kutaja maneneo yenya maana sawa
  • Kupitia orodha ya maneno kitabuni.
  • Kutumia hayo maneno kwenye Kwenya sentensi.
  • Kufanya zoezi.
  • Picha/michoro
  • Chati
  • Kamusi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 46
  • Mwongozo wa mwalimu uk 35 - 36.
 
   4  SARUFI   Viunganishi 

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha viambishi vya chaguo na vya nyongeza.
  • Kulimia viunganishi vya chaguo vya nyongeza kwa usahihi.
 
  • Kueleza maana ya viunganishi.
  • Kutoa mifano zaidi katika sentensi
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi
  • Kusahihisha 
  • Chati
  • Funzo
  • Kitabuni 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 Uk 47
  • Mwongozo wa mwalimu uk 36 - 37
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha kwa usahihi kulingana na kichwa alichopewa.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka na nadhifu. 

  • Kutaja majina ya wizara mbalimbali
  • Kupitia funzo kwa sauti makala ya ufahamu.
  • Kuwaeleza vipengele muhimu (vidokezo)
  • Kuandika insha
  • Kusahihisha.
  • Makala ya ufahamu.
  • Kiswahili sanifu uk 47 darasa la8
  • Mwongozo wa mwalimu uk 37 – 38.
 
 6  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA   Ngonjera 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya ngonjera.
  • Kukariri ngonjera kwa mahadhi mazuri
  • Kufafanua ujumbe wa ngonjera 
  • Kutaja fani mbalimbali za ushairi kwa kuwauliza maswali.
  • Kueleza maana ya ugonjwa.
  • Kusoma kimyakimya.
  • Kusoma ngonjera
  • Kwa sauti
  • Kueleza ujumbe
  • Kielelezo cha ngonjera.
  • kamusi 
  • Kiswahili darasa la 8 uk54.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 38 - 39 
 
   2  KUSOMA   Ufahamu

Mwanafunzi aweze

  • kusoma kwa ufasaha.
  • Kueleza utanzi ni aina gani ya shairi.
  • Kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. 
  • Kukariri baadhya beti ya ngonjera.
  • Kuwauliza kuhusu kanuni za ushairi.
  • Kusoma kimya kimya.
  • Kuteua wanafunzi Fulani kusoma kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kielelezo cha utanzu
  • Kamusi 
  • Kiswahili Sanifu darasa la 8 uk 56
  • Mwongozo wa mwalimu uk 39 – 40.
 
   3  MSAMIATI   Nomino za makundi. 

Mwanafunzi aweze :

  • Kueleza maana ya nomino za makundi.
  • Kutumia nomino za makundi katika sentensi.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka na nadhifu. 
  • Kukariria shairi la utenzi.
  • Kueleza juu ya nomino za makundi.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kutumia nomino za makundi katika sentensi.
  • Kufanya zoezi.
 
  • Picha
  • Michoro
  • Chaki
  • Ubao.
 
  • Kiswahili sanifu uk 57
  • Mwongozo wa mwalimu uk 40 – 41.
 
   4  SARUFI  Viunganishi, unganishi 

Mwanafunzi aweze,

  • Kueleza maana ya viunganishi.
  • Kubainisha mifano ya viunganishi.
  • Kutumia viunganishi kwa usahihi 
  • Kutaja aina ya viunganishi.
  • Kueleza maana ya viunganishi unganishi.
  • Kutoa mifano zaidi.
  • Kupitia funzo kwa sauti
  • Kufanya zoezi 
  • Vielelezo vya viunganishi.
 
  • Kiswahili sanifu Darasa la 8 uk 58
  • Mwongozo wa mwalimu uk 41 - 42
 
   5  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuakifisha insha aliyopewa kwa usahihi.
  • Kutunga shairi kwa kuzingatia arudhi kulingana na kichwa.
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka.

 
  • Kutaja aina za mashairi.
  • Kuwaeleza vidokezo vya kufuata unapoandika.
  • Kuandika mashairi (Kutunga) kuzingatia kanuni za kutunga shairi.
  • Kusahihisha
  • Kufanya masahihisho
 
  • Gazeti
  • Jalada\
  • Wanafunzi wenyewe
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 59
  • Mwongozo wa mwalimu uk 42 – 43
 
 7  1  KUSIKILIZA NA KUONGEA  Msamiati wa mahakamani.

Mwanafunzi aweze:

  • Kubainisha msamiati wa mahakama.
  • Kutumia msamiati wa mahakamanim kwa usahihi.
  • Kueleza msamiati wa mahakamani.
  • Kueleza wajibu wa watu waliohusika mahakamani. 
  • Kueleza kisa cha kuwachanganisha Kuzungumza juu ya michoroKupitia funzo kwa sauti.
  • Kueleza wajibu wa watu wanaohusika mahakamani
  • Kufanya zoezi 
  • Picha
  • Michoro
  • Kamusi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 60
  • Mwongozo wa mwalimu uk 43 – 44
 
   2  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kujadili ujumbe wa makala.
  • Kutumia msamiati mpya katika sentensi. 
  • Kutazama picha.
  • Kuwauliza maswali kuhusu picha.
  • Kusoma kimyakimya.
  • Kupitia funzo
  • Kufanya zoezi 
  • Picha/michoro.
  • Kamusi
  • Wanafuynzi wenyewe. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 61.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 44 – 45.
 
   3  KUSOMA   Ufahamu 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma kwa ufasaha.
  • Kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kueleza maana ya msamiati mpya.
  • Kutumia msamiati 
  • Kutaja msamiati wa mekoni.
  • Kuzungumzia picha/ michoro
  • Kutoa maana ya maneno mpya.
  • Kusoma kimya kimya.
  • Mpya ipasavyo kwenye sentensi Kufanya zoezi
  • Kusahihisha
  • Vifaa halisi
  • Picha/michoro.
  • Kamusi
  • Wanafunzi wenyewe. 
  • Kiswahili sanifu uk 73
  • Mwongozo wa mwalimu uk 49 – 50.
 
   4  MSAMIATI   Methali 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma na kubainisha maana na matumizi ya methali.
  • Kutumia methali kwa usahihi.
    Kuandika na kufanya zoezi. 
  • Kueleza maana ya methali.
  • Kueleza umuhimu wa medhali.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi
  • Kusahihisha.
 
  • Chati ya methali na maana yake. 
  • Kiswahili sanifu darasa 8 uk 75
  • Mwongozo wa mwalimu uk 50 - 51
 
   5  SARUFI   Matumizi ya `si`

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza matumizi ya `si`
  • Kutumia `si` katika sentensi kwa usahihi. 

  • Kutaja methali zinazotumia si
  • Kutoa maelezo.
  • Kuongoza kupitia funzo kwa sauti.
  • Kupitia zoezi kwa sauti.
  • Kufanya zoezi. 
  • Chati yenye sentensi za `si` katika ngeli yote.
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 76
  • Mwongozo wa mwalimu uk 51 - 52.
 
 8  1  KUANDIKA   Insha 

Mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha ya kubuni kwa usahihi.
  • Kuandika insha ya maelezo kwa usahihi.
  • Kuandika kwa hati inayosomeka.
  • Kuimba wimbo wenye maadili
  • Kusimulia kuhusu karamu ulizohudhuria.
  • Kueleza mambo muhimu.
  • Kueleza namna ya kupika chakula tamu.
  • Kuandika insha
  • Kusahihisha 
  • Resipe ya vyakula
  • Wanafunzi wenyewe. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 77
  • Mwongozo wa mwalimu uk 52 - 53
 
   2  MSAMIATI   Methali 

Mwanafunzi aweze:

  • Kusoma methali na maana yake.
  • Kubainisha maana na matumizi ya methali.
  • Kutumia methali kwa usahihi. 
 
  • Kueleza umuhimu wa methali.
  • Kuandika methali mojamoja ubaoni.
  • Kueleza maana ya methali.
  • Kupitia funzo kwa sauti.
  • Kufanya zoezi.
 
  • Chati ya methali
  • Kamusi. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 62
  • Mwongozo wa mwalimu uk 45 - 46
 
   3  SARUFI  Maneno ya kutilia mkazo 

Mwanafunzi aweze:

  • Kueleza maana ya takriri.
  • Kubainisha maneno ya kutilia mkazo.
  • Kutumia maneno ya kutilia mkazo katika sentensi.
  • Kufanya zoezi. 
  • Kukamilisha methali za funzo lililopita.
  • Kuwaongoza kupitia funzo kwa sauti
  • Kutumia takriri katika sentensi
  • Kupitia zoezi kwa sauti.
  • Kufanya zoezi
  • Kusahihisha. 
  • Kadi za takriri
  • Ubao
  • chaki. 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 63
  • Mwongozo wa mwalimu uk 46 - 47
 
   4  KUANDIKA   Insha (kumbukumbu)

Mwanafunzi aweze

  • Kubainisha insha za kumbukumbu na sifa zake.
  • Kuandika insha ya kumbukumbu
  • Kuandika kwa hati zinazosomeka. 
  • Kueleza maana ya kumbukumbu.
  • Kuwaongoza kutaja hatua (vidokezo) Vinavyofuatwa kuandikwa.
  • Kupitia funzo 
  • Kielelezo cha insha.
  • Funzo la kitabu
  • Kwa sauti
  • Kuandika wakitumia mfano waliosoma.
  • Kusahihisha.
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 64
  • Mwongozo wa mwalimu uk 47 - 48
 
   5  KUSIKILIZA NA KUONGEA   Mekoni 

Mwanafunzi aweze:

  • Kufafanua baadhi ya msamiati wa mekoni.
  • Kujadili shughuli za mekoni.
  • Kutumia msamiati wa mekoni kwa usahihi  
  • Kukamilisha methali za funzo lililopita.
  • Kuwauliza kuhusu mekoni.
  • Kuzungumzia michoro kitabuni.
  • Kufanya zoezi.
  • Picha/michoro
  • Vifaa halisa
  • kamusi 
  • Kiswahili sanifu darasa la 8 uk 72.
  • Mwongozo wa mwalimu uk 48
 
 9    Mtihani wa mwiso wa muhula kati na kufunga     
Read 269 times Last modified on Thursday, 24 November 2022 09:42

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.