13
April

SEHEMU YA 3: UFAHAMU

Soma hadithi kisha ujibu mswali

Baba yangu anaitwa Suleimani ni mwalimu. Yeye hufundisha katika shule ya msingi ya Msamaria. Baba huenda shuleni siku ya Jumatatu hadi Ijumaa. Kisha Jumamosi baba hufanya vibarua vya hapa na pale. Baba ni mchapakazi.

Maswali

  1. Baba ni
  2. Anafunza katika shule gani?
  3. Baba huenda wapi siku ya Jumatatu hadi Ijumaa?
  4. Baba anaitwa?
  5. Jina mchapakazi lina maana gani?

SEHEMU YA 4: SARUFI

Tumia yeye, wao na nyinyi

  1.                     wataenda shuleni
  2. .                    ni mwanafunzi wa gredi ya tatu.
  3. .                  mtaimba wimbo wa Taifa.

Andika vizuri maamkizi haya

  1. mbohuja?
  2. oomkashi?
  3. amkajeume?
  4.  ribaha?
  5. jasimbo."

Chora vifaa hivi vya shambani

  1. jembe
  2. kifyekeo
  3. shoka

Andika kwa herufi kubwa au ndogo

  1. PIKIPIKI
  2. februari
  3. zawadi
  4. MKULIMA

SEHEMU YA 5: KUANDIKA

Andika sentensi tano kuhusu Mwalimu wangu

MARKING SCHEME

  1. Mwalimu
  2. Msamaria
  3. Shuleni
  4. Suleimani
  5. Wao
  6. Yeye
  7. Nyinyi
  8. Hujambo
  9. Shikamoo
  10. Umeamkaje?
  11. Habari
  12. Sijambo

Chora vifaa hivi vya shambani

  1. jembe 
  2. kifyekeo
  3. shoka

Andika kwa herufi kubwa au ndogo

  1. pikipiki
  2. FEBRUARI
  3. ZAWADI
  4. mkulima

Andika sentensi tano kuhusu mwalimu wamngu 

13
April

SECTION A

TASK 1:LISTENING AND SPEAKING

Teacher to ask the questions and learners to give response (individually)

  1. Where do wild animals live?
  2. Name two wild animals.
  3. A place where wild animals are kept is called a
  4. Have you ever visited a game park?

TASK 2: READING ALOUD

My name is Warren. I am a small child in Grade Three. I did not go to school today. I went to work at a construction site. I am carrying bricks and stones for the mason. In the evening I will be paid.

13
April

COMPREHENSION

OUR FAMILY

There are six members in my family. My father is called Mr. Mwaura and my mother is called Mrs. Mwaura. I have one sister and three brothers. My father is a teacher and my mother is a nurse. We all go home together in the evening.

Questions

  1. How many members of the family are there?
  2. My father is a.
  3. My mother is a.
  4. How many brothers do the writer have?
  5. The title of the story is

TASK 4: GRAMMAR

Fill in the blanks.

  1.  I                   to school. (walk, walks)
  2. John.               very well. (dances, dance)
  3. Father asked                   to help him feed the cows. (somebody, anybody)

Write the opposite

  1. high              
  2. new               

Write the plural of the underlined word.

  1. I can see a child.
  2. The mason has a big foot.
  3. The painter has an ox.
  4. The cook has a knife.
    Today 
         Yesterday
    e.g: eat     ate,
  5. sleep
  6. write
  7. walk

Write the words correctly

e.g: yrap pray

  1. oofd
  2. eepsh
  3. oolsch

TASK 5: WRITING

Write five sentences about; My self.

MARKING SCHEME 

  1. 6 Members 
  2. Teacher 
  3. Nurse
  4. Our family
  5. Walk 
  6. dances.
  7. Anybody .
  8. Low
  9. New 
  10. children
  11. Feet
  12. Oxen
  13. knives
  14. Slept
  15. Wrote 
  16. Walked
  17. Food
  18. sheep
  19. school. 
13
April

 QUESTIONS

Find in the missing numbers 

  1. 97, 98, 99,               
  2.  720, 721, 722,            
  3. 90, 80, 70,
  4. 997, 998, 999

Match months of the year

  1.  April             1st
  2. May              2nd
  3. January        3rd
  4. March            4th 
  5. February         5th

Write in numbers and words

  1. twenty seven                            
  2.                               48

Fractions

  1. Half of 8=            
  2. Half of 12 =
  3. Draw a circle and shade a quarter.

Addition

  1. 4+3+ 6 =
  2. 81 + 7 =
  3. 228 + 8 =
  4.   324 
    +135
              
  5.  227
    + 56
             
     
  6. Asha had 145 books. A'ex gave her 120 books. How many books does she have altogether?

Subtract 

  1. 48  - 5 =
  2. 583
    - 19
           
     
  3. A school had 80 plates. Thirty plates were broken. How many remained?

Multiply

  1.    6
    x 7
          
  2.  5 X 5 =

Divide

  1. 20 ÷ 5
  2. 12 ÷          = 4
  3. What is the time?
    schooldsdqn28
  4. Jane had a Sh. 100 note. She bought a loaf of bread at Sh. 50. What was her balance?
  5. Complete the pattern.
    schooldsdqn30

MARKING SCHEME

  1. 100
  2.  723.
  3. 60
  4. 1000.

Match months of the year

  1. April   →  4th
  2. May   → 5th
  3. January →  1st
  4. March  →   3rd
  5. February → 2nd

Write in numbers and words 

  1. twenty seven    →   27
  2. fourty Eight     →  48

Fraction

  1. Half of 8  =  4
  2. half of 12 = 6

Addition.

  1.  13
  2.  88
  3. 230
  4. 459
  5. 283
  6. 265
  7. 43
  8. 564
  9. 50
  10. 42
  11. 25
  12. 4
  13. 3
  14. 7:00
  15. 50
.