Login
Remember
Register
EasyElimu Questions and Answers
Questions
Unanswered
Tags
Users
Ask a Question
Ask a Question
Recent questions in Chozi la Heri
0
votes
1
answer
maovu yametamalaki katika jamii ya chozi la heri tetea kauli kwa kutilea hoja ishirini
asked
Apr 27
in
Chozi la Heri
by
0745237XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
"nina wazazi wawili, ila hawa ni wazazi tu, hawadiriki kwa walezi wangu jina mlezi haliwaafiki onnyesha jinsi kauli Jina mlezi haliwaafiki inavyoaafiki baaadhi ya wazazi katika jumuiya ya wahafidhina
asked
Apr 27
in
Chozi la Heri
by
0745237XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
haki za watoto hazitiliwi maanani katika jamii za kiafrika. eleza ukweli wa kauli hii
asked
Apr 27
in
Chozi la Heri
by
0745237XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
"...ni vyema kujifunza kuishi na ukoo na nasaba..."eleza muktadha wa dondoo
asked
Apr 27
in
Chozi la Heri
by
0745237XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
"Elimu ina manufaa chungu nzima".Thibitisha Kwa kurejelea wahusika kumi.
asked
Jan 23
in
Chozi la Heri
by
0756577XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
Jamii ya wahafidhina inakumbwa na matatizo mbalimbali.Eleza kwa kutoa mifano riwayani.(alama 20)
asked
Jan 22
in
Chozi la Heri
by
0797039XXX
chozi la heri
0
votes
2
answers
Umenipa mashizi familia hii....kwa kufuata utashi wa moyo wako. (a) eleza muktadha wa dondoo hii. (alama 4) (b) taja tamathali mbili zinazojitokeza katika dondoo hili. (c) onyesha sifa nne za mlejelewa.(alama 4) (d) eleza matukio yaliyomkumba mrejelewa hadi hatima yake kwa kufuata utashi wa moyowe.
asked
Jan 22
in
Chozi la Heri
by
0797039XXX
chozi la heri
0
votes
1
answer
Nimeamua kufuata ushauri wa mwalimu.....Elimu kama nyenzo ya kuniwezesha kuleta mabadiliko katika jamii. (a) eleza muktadha wa dondoo hii (alama 4) (b) eleza umuhimu wa mwalimu anayelejelewa hapo.(alama 6) (c) huku ukirejelea riwaya thibitisha kauli hii. (alama 10)
asked
Jan 22
in
Chozi la Heri
by
0797039XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
chozi la heri riwaya tanzia.Jadili
asked
Jan 22
in
Chozi la Heri
by
0797039XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
eleza mbinu_ishi wanazotumia wahusika katika riwaya chozi la heri
asked
Jan 22
in
Chozi la Heri
by
0797039XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
"salama,salama Rohoni,rohoni Ni salama,rohoni mwangu" (a)Eleza kinyume kinachojitokeza katika wimbo huu ukirejelea riwaya ya chozi
asked
Jan 22
in
Chozi la Heri
by
0797039XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
dhihirisha kuwa athari za ubabedume na utawala mbaya ni kati ya maudhui yaliyojadiliwa kwa undani katika chozi la heri
asked
Jan 22
in
Chozi la Heri
by
0797039XXX
chozi la heri
0
votes
2
answers
Baada ya dhiki faraja Onyesha ukweli was methali hii unavyodhihirika kwenye riwaya ya Chozi la Heri
asked
Jan 21
in
Chozi la Heri
by
0742038XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
nimeamua kufuata ushauriwa mwalimu.... Elimu Kama nyenzo ya kuniwezesha kuleta mabadiliko Katika jamii Eleza muktadha was dondoo hili
asked
Jan 17
in
Chozi la Heri
by
0778746XXX
chozi la heri
0
votes
0
answers
eleza mandhari katika chozi la heri
asked
Dec 4, 2022
in
Chozi la Heri
by
0722780XXX
chozi la heri
0
votes
1
answer
malezi ya watoto katika riwaya ya chozi la heri ndicho kitovu cha ufanisi na matatizo yote yanayowapiku watoto
asked
Sep 21, 2022
in
Chozi la Heri
by
BlessingsWanjiku
chozi la heri
0
votes
1
answer
Inasikitisha kwamba badala ya kukata tamaa kulikonikumbatia nilipotoka hospitalini hakuwezi kumithilika
asked
Aug 8, 2022
in
Chozi la Heri
by
sashamitch
chozi la heri
0
votes
0
answers
Eleza jinsi mashirika na elimu yalivyosaidia katika chozi la heri
asked
May 23, 2022
in
Chozi la Heri
by
Misperk
chozi la heri
0
votes
0
answers
thibitisha namna wahusika kadhaa walivyoumwa na nyoka katika riwaya ya chozi la heri
asked
Apr 30, 2022
in
Chozi la Heri
by
MoreenKarimi
chozi la heri
0
votes
0
answers
Wahafidhina wamekufa japo hawajafa thibitisha kwa kurejelea hoja kumi
asked
Apr 25, 2022
in
Chozi la Heri
by
laz
chozi la heri
Page:
1
2
3
4
next »
Welcome to EasyElimu Questions and Answers, where you can ask questions and receive answers from other members of the community.
Categories
All categories
Mathematics
(555)
English
(269)
Kiswahili
(519)
Sarufi na Matumizi ya Lugha
(245)
Chozi la Heri
(79)
Kigogo
(60)
Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine
(42)
Fasihi
(55)
Ushairi
(3)
Isimu Jamii
(28)
Insha
(7)
Chemistry
(601)
Physics
(587)
Biology
(610)
Geography
(519)
History
(543)
CRE
(338)
IRE
(52)
Agriculture
(501)
Business Studies
(353)
Computer Studies
(14)
Home Science
(60)
General Questions
(136)
5.7k
questions
7.3k
answers
6
comments
590
users
...