Kiswahili (Mufti) - Class 8 Schemes of Work Term 3 2023

Rate this item
(3 votes)

RATIBA YA MAFUNZI YA KISWAHILI
DARASA LA 8
MUHULA 3 2023

WIKI KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA MAFUNZO NYENZO ASILIA MAONI
 1  1 Kusoma  Ufahamu 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maneno magumu na matumizi yake, Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali ya ufahamu. -
  • Kujadili somo la awali.
 
  • Kujadili maneno magumu na matumizi yake.
  • Kuwateua wanafunzi wasome kwa zamu.
  • Kuwaelekeza kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kuwapa zoezi.
  • Kujadili majibu sahihi. 

 

  • Maelezo ubaoni
    Kamusi sanifu
  • Kiswahili Mufti uk 233
 
   2  Sarufi  Matumizi ya “na” 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini matumizi ya ‘na’ na kutunga sentensi zenye matumizi yake.  
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini matumizi ya ‘na’.
  • Kutunga sentensi zenye matumizi ya ‘na’.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha na kufanya marudio.
  • Maelezo ubaoni
  • Vifaa halisi 
 
  • Kiswahili Mufti uk 236
 
   3  Kusikiliza na kuongea   Misemo,Nahau 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kutaja misemo mbalimbali, kutunga nahau na kutunga sentensi zenye misemo na nahau. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini misemo na nahau.
  • Kutaja misemo mbalimbali.
  • Kutaja nahau mbalimbali.
  • Kufanya zoezi. 
 
  • Kamusi ya semi
  • Wanafunzi 
  • Kiswahili Mufti uk 238
 
   4  Msamiati  Akisami 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini akisami na kujadili maswali ya zoezi.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini akisami.
  • Kutaja akisami mbalimbali.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha na kufanya marudio. 
  • Vifaa halisi
  • Ubao 
 
  • Kiswahili Mufti uk 239
 
   5  Kuandika  Sentensi 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kuandika sentensi sanifu kwa hati nadhifu. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili mahitaji ya hati nadhifu.
  • Kuwaelekeza wanafunzi kuandika sentensi faridi.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha na kufanya marudio.
 
  • Maelezo ubaoni
 
  •  Kiswahili Mufti uk 239
 
 2  1  Kusoma  Ufahamu 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maneno magumu na matumizi yake, Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali ya ufahamu. 

  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili maneno magumu na matumizi yake.
  • Kuwateua wanafunzi wasome kwa zamu.
  • Kuwaelekeza kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kuwapa zoezi.
  • Kujadili majibu sahihi. 
 
  • Maelezo ubaoni
  • Kamusi sanifu
  • Kiswahili Mufti uk 242 
 
   2  Sarufi  “a” unganifu 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kung’amua matumizi ya ‘a’ unganifu, kuitambua katika ngeli mbalimbali na kufanya zoezi.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kung’amua matumiz ya ‘a’ unganifu.
  • Kuijadili katika ngeli mbalimbali.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha na kufanya marudio. 
  • Vifaa halisi
  • Ubao 
  • Kiswahili Mufti uk 245
 
   3  Kusikiliza na kuongea  Methali 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kutambua methali mbalimbali na kutunga sentensi. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kutambua methali mbalimbali.
  • Kukamilisha methali kadhaa.
  • Kutunga sentensi zenye methali. 
  • Kamusi ya methali
  • Ubao 
  • Kiswahili Mufti uk 246
 
   4  Kuandika  Ushairi 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini mashairi mbalimbali, kutambua muundo wa shairi na kujibu maswali ya zoezi. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini mashairi mbalimbali.
  • Kutambua muundo wa shairi.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha na kufanya marudio. 
  • Maelezo ubaoni
  • Wanafunzi
  •   Kiswahili Mufti uk 248
 
   5  Msamiati  Teknolojia 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini teknolojia, kutambua vifaa vya teknolojia na kung’amua matumizi ya baadhi ya vifaa hivyo. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini teknolojia.
  • Kutambua vifaa vya teknolojia.
  • Kujadili matumizi ya vifaa hivyo. 
  • Maelezo ubaoni
  • Picha mbalimbali
  •  Kiswahili Mufti uk 249
 
 3  1  Kusoma  Ufahamu 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maneno magumu na matumizi yake, Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali ya ufahamu.  
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili maneno magumu na matumizi yake.
  • Kuwateua wanafunzi wasome kwa zamu.
  • Kuwaelekeza kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kuwapa zoezi.
  • Kujadili majibu sahihi.
  •  Maelezo ubaoni
  • Kamusi sanifu 
  •  Kiswahili Mufti uk 251
 
   2  Sarufi  Vielezi 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini vielezi, kutambua aina mbalimbali ya vielezi na kutunga sentensi. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini maana ya vielezi.
  • Kutambua aina mbalimbali.
  • Kubaini vielezi katika sentensi.
  • Kufanya zoezi. 
  •  Maelezo ubaoni 
  •  Kiswahili Mufti uk 254
 
   3  Kusikiliza na kuongea  Sentensi zenye taksiri 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini taksiri na kutunga sentensi zenye taksiri. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini taksiri.
  • Kutaja taksiri mbalimbali.
  • Kutunga sentensi zenye taksiri. 
  •  Maelezo ubaoni
  • Vifaa halisi 
  •  Kiswahili Mufti uk 259
 
   4  Kuandika  Mkato wa maneno 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kung’amua mkato wa maneno na kujibu maswali ya zoezi. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kung’amua mkato wa maneno.
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha na kufanya marudio. 
  •  Maelezo ubaoni 
  •  Kiswahili Mufti uk 260
 
   5  Msamiati  Misemo 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini misemo kwa kina na kutambua maana ya misemo. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini misemo kwa kina.
  • Kutaja misemo mbalimbali.
  • Kutambua maana ya misemo.
  • Kufanya zoezi.
  • Kamusi ya misemo 
  •  Kiswahili Mufti uk 260
 
 4  1  Kusoma   Ufahamu

 Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maneno magumu na matumizi yake, Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali ya ufahamu 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili maneno magumu na matumizi yake
  • Kuwateua wanafunzi wasome kwa zamu.
  • Kuwaelekeza kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kuwapa zoezi.
  • Kujadili majibu sahihi.
  •  Maelezo ubaon
  • Kamusi sanifu
  •   Kiswahili Mufti uk 263
 
   2  Sarufi  Matumizi ya “katika ” ni


 Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kung’amua matumizi ya‘katika’ ‘ni’ ‘kwenye’ na kujibu maswali ya zoezi.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kung’amua matumizi ya‘katika’ ‘ni’ ‘kwenye’ kwa usanifu
  • Kufanya zoezi.
  • Kusahihisha na kufanya marudio. 
  • Maelezo ubaoni
  • Vifaa halisi 
  •  Kiswahili Mufti uk 264
 
   3  Kusikiliza na kuongea  Maamkizi vitawe 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maamkizi katika nyakati mbalimbali na kutaja maana ya vitawe. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili maamkizi katika nyakati mbalimbali.
  • Kutaja vitawe na maana mbalimbali.
  • Kujadili vitawe.
  •  Maelezo ubaoni
  • Kamusi sanif
  • Bango la visawe, vitate na vitawe 
  •  Kiswahili Mufti uk 267-268
 
   4  Kuandika  Insha 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kuandika insha ya kusisimua
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili kauni za uandishi.
  • Kuandika insha ya kusisimua.  
  •  Maelezo ubaoni
  •  Kiswahili Mufti uk 268
 
   5  Msamiati  Misemo 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini misemo kwa kina na kutambua maana ya misemo. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini misemo kwa kina.
  • Kutaja misemo mbalimbali.
  • Kutambua maana ya misemo
  • Kufanya zoezi. 
 
  •  Maelezo ubaoni
  •  Kiswahili Mufti uk 268
 
 5  1  Kusoma  Ufahamu 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maneno magumu na matumizi yake,
  • Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili maneno magumu na matumizi yake.
  • Kuwateua wanafunzi wasome kwa zamu.
  • Kuwaelekeza kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kuwapa zoezi.
  • Kujadili majibu sahihi. 
  •  Maelezo ubaoni
  • Kamusi sanifu 
  •  Kiswahili Mufti uk 270
 
   2  Sarufi  Viulizi 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini viulizi mbalimbali na kufanya zoezi.
  •  Kujadili somo la awali.
  • Kubaini maana ya kiulizi.
  • Kutaja viulizi mbalimbali.
  • Kutunga sentensi zenye viulizi.
  • Kufanya zoezi.
  •   Maelezo ubaoni
  • Vifaa halisi 
  •  Kiswahili Mufti uk 273
 
   3  Kusikiliza na kuongea  Kiambishi “ki” 

 Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maana ya kiambishi nakutunga sentensi zenye kiambishi. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini maana ya kiambishi.
  • Kutunga sentensi zenye kiambishi.
  • Kujadili sentensi hizo. 
  •  Maelezo ubaoni 
  •  Kiswahili Mufti uk 276
 
   4  Kuandika  Sentensi zenye vivumishi sahihi 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kutaja vivumishi mbalimbali na kufanya zoezi.
  •  Kujadili somo la awali.
  • Kutaja vivumishi mbalimbali.
  • Kubaini muundo wa vivumishi katika sentensi.
  • Kufanya zoezi.
  •   Maelezo ubaoni 
  •  Kiswahili Mufti uk 277
 
   5  Msamiati  Madini vito 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini madini na vito na kutaja baadhi yazo.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini madini na ivito.
  • Kutaja baadhi ya madini na ivito.
  • Kujibu maswali ya zoezi.  
  •  Maelezo ubaoni
  • Kamusi
  •  Kiswahili Mufti uk 278
 
 6  1  Kusoma  Ufahamu 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maneno magumu na matumizi yake, Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili maneno magumu na matumizi yake.
  • Kuwateuwa wanafunzi wasome kwa zamu.
  • Kuwaelekeza kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kuwapa zoezi.
  • Kujadili majibu sahihi. 
  •  Maelezo ubaoni
  •  Kiswahili Mufti uk 281
 
   2  Sarufi Mnyambuliko wa vitezi 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kunyambua vitenzi katika hali ya kutendeka, kutendesha na kutendeshwa. -
  • Kujadili somo la awali.
  • Kunyambua vitenzi katika kauli zilizotolewa.
  • Kufanya zoezi. 
  •  Maelezo ubaoni
  • Vifaa halisi 
  •  Kiswahili Mufti uk 285-287
 
   3  Kusikiliza na kuongea  Vitawe 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini vitawe na kukamilisha zoezi.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini vitawe.
  • Kutaja vitawe mbalimbali.
  • Kufanya zoezi.
  • Maelezo ubaoni 
  •  Kiswahili Mufti uk 289
 
   4  Kuandika Maelezo na mpangilio wa sentensi 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kuandika hati nadhifu na kuakifisha sentensi ifaavyo.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili mahitaji ya hati nadhifu.
  • Kujadili uakifishaji wa sentensi.
  • Kuandika sentensi zenye maendeleo shwari.
  • Kufanya zoezi.
  • Maelezo ubaoni 
  •  Kiswahili Mufti uk 290
 
   5  Msamiati  Wizara mbalimbali 


Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini wizara na kutaja wizara mbalimbali.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini wizara.
  • Kutaja wizara mbalimbali.
  • Kung’amua kazi za wizara mbalimbali.
  • Kujadili msamiati kwa jumla. 
  •  Mabango
  • Ubao 
  •  Kiswahili Mufti uk 291
 
 7  1  Kusoma   Ufahamu 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini maneno magumu na matumizi yake,
  • Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali ya ufahamu. 
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili maneno magumu na matumizi yake.
  • Kuwateua wanafunzi wasome kwa zamu.
  • Kuwaelekeza kujibu maswali ya ufahamu.
  • Kuwapa zoezi.
  • Kujadili majibu sahihi. 
  •  Maelezo ubaoni
  • Kamusi sanifu 
  •  Kiswahili Mufti uk 294
 
   2  Sarufi  Ukubwa na udugo 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kutambua ukubwa na udogo wa nomino mbalimbali.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili nomino katika hali ya wastawi na ukubwa.
  • Kutambua udogo wa nomino mbalimbali.
  • Kufanya zoezi. 
  • Maelezo ubaoni
  • Vifaa halisi 
  •  Kiswahili Mufti uk 296
 
   3  Kusikiliza na kuongea  Hotuba 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini muundo wa hotuba na kuhutubia hotuba fupifupi.  
  • Kujadili somo la awali.
  • Kubaini muundo wa hotuba.
  • Kuwaelekeza wanafunzi kuhutubia hotuba fupi fupi.
  • Kujadili muundo wa hotuba.
  •  Maelezo ubaoni
  • Wanafunzi 
  •  Kiswahili Mufti uk 300
 
   4  Kuandika  Insha 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kuandika insha ya kusisimua kwa kufuata maagizo.
  • Kujadili somo la awali.
  • Kujadili kauni za uandishi.
  • Kuandika insha ya kusisimua. 
  •   Maelezo ubaoni
  •  Kiswahili Mufti uk 300
 
   5  Msamiati   Ukoo 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

  • Kubaini ukoo na kutambua majina mbalimbali ya ukoo.
  •  Kujadili somo la awali.
  • Kubaini ukoo
  • Kutambua majina ya ukoo.
  • Kujadili maswali ya zoezi. 
  •  Maelezo ubaoni
  • Kamusi sanifu
  •   Kiswahili Mufti uk 300
 
 8 MAREJELEO NA MAJARIBIO YA MTIHANI    
Read 560 times Last modified on Thursday, 24 November 2022 11:23

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.