Displaying items by tag: Kidato cha 2

            RATIBA YA SOMO LA KISWAHILI        MUHULA WA TATU           KIDATO CHA PILI
JUMA SOMO MADA KUU/ MADA NDOGO SHABAHA MAZOEZI YA KUJIFUNZA NYENZO ASILIA MAONI
  1    -     Kuwasili kwa wanafunzi/ mtihani/marudio ya mada mbalimbali      
     2       1 KUSIKILIZA NA KUONGEA Majadiliano Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Keuleza maana ya mahojiano
  • Kuigiza majadiliano kulingana na maelekezi ya mwalimu
  • Kueleza maana ya mahojiano
  • Kuigiza majadiliano
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Uhusika wa wanafunzi
  • Mfano wa mahojiano kitabuni mwa wanafunzi
Wetuha A. Na wengine (toleo la sita 2018) Kiswahili KITUKUZWE: kIdato cha  2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 225   
  2 KUSOMA KWA UFAHAMU          Shairi:         Nidhamu Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kutaja msamiati unaotambulisha mazungumzo katika mazingira ya hotelini.
  • Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati wa hotelini.
  • Kuigiza mazungumzo ya hotelini
  • Kukariri shairi
  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • Kueleza maana ya baadhi ya msamiati uliotumika kwenye shairi.
  • Kujibu maswali ya ufahamu.
  • Shairi katika kitabu cha wanafunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 227    
  3 SARUFI       Uakifishaji Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kueleza maana ya uakifishaji.
  • Kutoa mifano na matumizi ya alama ya uakifishaji
  • Kuakifisha sentensi
  • Kueleza maana ya uakifishaji
  • Kutoa mifano na matumizi ya alama ya uakifishaji
  • Kujibu maswali.
  • Kuakifisha sentensi
  • Maelezo kitabuni mwa wanafunzi
  • Mifano ubaoni
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 229    
  4 KUSOMA KWA MAPANA        Maadili Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kusoma kwa makini na kudondoa hoja maalum
  • Kueleza maana ya msamiati mpya uliotumika.
  • Kujibu maswali kutokana na makala.
  • Kueleza maana ya msamiati mpya uliotumika.
  • Kujibu maswali kutokana na makala.
Makala kitabuni mwa wanafunzi.  Kiswahili KITUKUZWE: kIdato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 231   
  5 KUANDIKA muhtasari Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kusoma kisa cha matata na kuandika muhtasari wa maneno kati ya (60-70)
  • Kusoma.
  • Kuandika muhtasari wa maneno kati
  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • Ubao.
  • Maelezo kitabuni mwa wanfunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 232    
   3       1 FASIHI SIMULIZI Nyimbo za kishujaa Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kuimba nyimbo za kishujaa
  • kutaja fani zilizotumika kuwasilisha wimbo wa kishujaa
  • Kuimba wimbo
  • Kutaja fani zilizotumika kuwasilisha wimbo wa kishujaa 
  • Uhusika wa wanafunzi 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 232   
  2 KUANDIKA    Uandishi wa insha  Methali

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kuandika insha ya methali kwa hati nadhifu
  • Kunakili hoja muhimu
  • Kuandika insha ya methali 
  • Vidokezo ubaoni 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 233   
  3 KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA Ufahamu wa kusikiliza Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kusikiliza ufahamu utakaosomwa na mwalimu na kujibu maswali kwa usahihi
  • Kusikiliza ufahamu
  • Kutaja na kujibu maswali kwa usahihi
  • Mifano ya maneno ubaoni
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 234   
  4 KUSOMA KWA UFAHAMU      Shairi: Njaa nipishe na mbali Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kuzingatia matamshi bora katika lugha
  • Kukariri shairi kwa sauti bora
  • Kukariri shairi
  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • Kueleza maana ya baadhi ya msamiati uliotumika kwenye shairi.
  • Kujibu maswali ya ufahamu.
  • Shairi kitabuni
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 235   
  5 SARUFI          Usemi halisi na usemi wa taarifa Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kubadilisha usemi halisi hadi usemi wa taarifa na usemi wa taarifa hadi usemi halisi
  • Kubadilisha usemi halisi hadi usemi wa taarifa na usemi wa taarifa hadi usemi halisi
  • Maelezo kitabuni mwa wanafunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 236   
 4       1 KUSOMA KWA MAPANA          Jana si leo Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:
  • Kusoma kwa makini na kudondoa hoja muhimu
  • Kueleza manufaa na madhara ya uvumbuzi wa kisayansi
  • Kusoma kwa makini na kudondoa hoja muhimu
  • Kueleza manufaa na madhara ya uvumbuzi wa kisayansi
  • Makala kitabuni mwa wanafunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 238   
   2 KUANDIKA Utungaji wa kiuamilifu
  • Barua za mialiko 
  1. Harusi
  2. hauli

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze: 

  • Kutaja mifano ya barua za mialiko ya harusi na hauli
  • Kutayarisha kadi za mialiko kwa ustadi
  • Kutaja mifano ya barua za mialiko ya harusi na hauli
  • Kutayarisha kadi za mialiko kwa ustadi
  • Kadi za mialiko
  • Picha na michoro mbalimbali
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 240   
  3 KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA Hotuba

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kutaja vipengee muhimu vya uandishi wa hotuba
  • Kuhutubia wenzake darasani kuhusu mada yoyote
  • Kuandika hotuba
  • Kuhutubia wenzake darasani kuhusu mada yoyote
  • Kuandika hotuba
  • Mifano ubaoni
  • Uhusika wa wanafunsi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 245   
  4 KUSOMA KWA UFAHAMU      Safari yenye hatari

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kukuza stadi ya kusoma kwa kuzingatia matamshi bora
  • Kutunga sentensi akitumia maneno mapya kwenye ufahamu
  • Kukuza uwezo wa kujibu maswali ya ufahamu
  • Kusoma Kuuliza na kujibu maswali
  • Kueleza maana ya baadhi ya msamiati uliotumika kwenye makala
  • Kutunga sentensi.
  • Makala kitabuni mwa wanafunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 246   
  5 SARUFI        Uundaji wa maneno

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kuunda maneno kutokana na kitenzi
  • Kuunda maneno kutokana na nomino
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kuunda maneno kutokana na kitenzi
  • Kuunda maneno kutokana na nomino
  • Maelezo kitabuni mwa wanafunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 248   
   5       1 KUSOMA KWA MAPANA    Matumizi ya tarakilishi

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kukuza stadi ya kusoma kwa kuzingatia matamshi bora
  • Kukuza uwezo wa kujibu maswali ya ufahamu
  • Kutaja sentensi za tarakilishi
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kusoma na kuuzingatia matamshi bora
  • Kujadili mada katika ufahamu
  • makala kitabuni mwa wanafunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 250   
  2 KUANDIKA       Imla

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kuandika kwa usahihi kifungu atakachosomewa na mwalimu
  • Kuandika kifungu
  • Kusahihisha makosa
  • Mifano ya maelezo ubaoni
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 251   
  3 KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA Daktari na mgonjwa

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kuigiza mazungumzo baina ya daktari na mgonjwa
  • Kutaja sifa za lugha ya mgonjwa na daktari
  • Kueleza uhusiano wa mgonjwa na daktari
  • Kuigiza mazungumzo
  • Kutaja sifa za lugha kuzinukuu
  • Kueleza uhusiano wa mgonjwa na daktari
  • Vitabu mbalimbali vya hadithi, riwaya
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 252   
  4 KUSOMA KWA UFAHAMU
Shairi: Kwaheri tunakuaga

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kukuza stadi ya kusoma kwa kuzingatia matamshi bora
  • Kukariri shairi kwa mahadhi
  • Kukuza uwezo wa kujibu maswali ya ufahamu
  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kueleza maana ya baadhi ya msamiati uliotumika kwenye shairi
  • Kukariri shairi
  • Makala kitabuni mwa wanafunzi Wizara ya elimu (2006) 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 253   
   5 SARUFI
Ukubwa, wastani na ndogo

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Aweze kutaja ukubwa na udogo wa nomino atakazopewa
  • Kutoa mifano ya nomino
  • Kutaja ukubwa na udogo wa nomino
  • Kuuliza na kujibu maswali 
  • Chati yenye nomino katika ukubwa, udogo na wastani 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 254   
   6          1

SARUFI

  • Umoja na wingi:
    Vivumshi vya sifa

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kueleza matumizi muafaka ya viambishi ngeli pamoja na vivumshi vya sifa
  • Kueleza matumizi muafaka ya viambishi ngeli pamoja na vivumshi vya sifa
  • Kuuliza na kujibu maswali

 

  • Mifano ubaoni
  • Zoezi kitabuni mwa wanfunzi 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 259   
   2 KUSOMA
Matumizi ya kamusi

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kutumia kamusi kutafuta maana ya maneno yatakayoorodheshwa
  • Kutumia kamusi kutafuta maana ya maneno.
  • Kutunga sentensi
  • Kuuliza na kujibu maswali 
  • Kamusi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 260   
   3

KUANDIKA
Uandishi wa kawaida   

  • Imla mchanganyiko 

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kuandika kwa usahihi sauti, maneno, sentensi au aya atakazosomewa
  • Kuandika sauti maneno, sentensi au aya
  • Kukosoa na kurekebisha maandishi 
  • Mifano ubaoni
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 260    
   4 MAZOEZI NA MARUDIO
fasihi simulizi

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kutaja aina za hadithi, sifa za hadithi na umuhimu wa hadithi
  • Kueleza maana, aina na umuhimu wa nyimbo. 
  • Kuuliza na kujibu maswali 
  • Kutaja aina za hadithi, sifa za hadithi na umuhimu wa hadithi
  • Kueleza maana, aina na umuhimu wa nyimbo. 
  • Vitabu vya riwaya
  • Zoezi kitabuni mwa wanafunzi 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 261   
   5 Isimu jamii 

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kueleza sifa za lugha ya mazungumzo, daktari na mgonjwa, hotelini
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kueleza sifa za lugha ya mazungumzo, daktari na mgonjwa, hotelini. 
Zoezi kitabuni mwa wanafunzi  Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 261   
  7       1 mofimu

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kutoa tofauti kati ya mofimo huru na funge
  • Kutaja mahali sauti tofauti zinatamkiwa
  • Kujadili mada
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi.
  • Maelezo kitabuni mwa wanafunzi
  • Chati yenye mifano na mofimu
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 261    
   2 Kusahihisha sentensi

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kusahihisha sentensi atakazopewa kwa usanifu
  • Kutoa mifano ya misemo
  • Kueleza maana ya misemo aliyotaja
  • Kutunga sentensi sahihi 
  • Mifano kitabuni mwa wanafunzi 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 262    
  3 Misemo

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kutoa mifano ya misemo
  • Kueleza maana ya misemo aliyoitaja
  • Kutumia misemo kutunga sentensi sahihi
  • Kutoa mifano ya misemo
  • Kueleza maana ya misemo aliyoitaja
  • Kutunga sentensi sahihi 
  • Zoezi kitabuni mwa wanafunzi 
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 262    
  4 Kuunda nomino kutokana na vitenzi

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kuunda nomino kutokana na vitenzi 
  • Kuunda nomino kutokana na vitenzi
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi 
Zoezi kitabuni mwa wanafunzi Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 263   
   5

KUANDIKA

  • Barua rasmi
  • Hotuba
  • Methali
  • Ratiba
  • Mjadala

Kufikia mwisho wa mafunzo mwanafunzi aweze:

  • Kueleza mbinu za uandishi wa barua rasmi, Insha za; hotuba, methali, ratiba na mjadala
  • Kueleza mbinu za uandishi wa barua rasmi, Insha za; hotuba, methali, ratiba na mjadala
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Uhusika wa wanafunzi
  • Zoezi kitabuni mwa wanafunzi
Kiswahili KITUKUZWE: kidato cha 2: kitabu cha wanafunzi, Nairobi:KLB Uk 265    
   8                            MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA