Tuesday, 20 June 2023 11:53

Shughuli za Kiswahili Questions and Answers - CBC Grade 2 Term 2 Opener Exams 2023 SET 3

Share via Whatsapp

SEHEMU YA KWANZA

KUSOMA

  1. Soma maneno haya kwa sauti. (alama 5)
    1. binamu
    2. blanketi
    3. matibabu
    4. karatasi
    5. uwanja
  2. Soma sentensi hizi kwa sauti (alama 5)
    1. Mjomba wangu ni rubani.
    2. Ndege hupitia hewani.
    3. Sitaki kuajiriwa.
    4. Darasa letu lina madirisha manne.
    5. Ninapenda kumsaidia mzazi wangu.

KUSIKILIZA NA KUONGEA.

(Mwalimu amuulize mwanafunzi maswali, kisha mwanafunzi ajibu maswali) (alama 5)

  1. Jina lako nani?
  2. Shule yako inaitwaje?
  3. Mwalimu wako ni nani?
  4. Taja jina la mnyama mmoja umpendaye.
  5. Darasa lako lina wanafunzi wangapi?

SEHEMU YA PILI: LUGHA (Alama 20)

Tumia silabi uliyopewa kuunda maneno. (alama 2)

 bu   ma   ka   ba   nyo 
 nda  ta   nya   ba  la  
 sa  cu  ru  ki  nyu
 si  mba  za  la  me
  1. ________________________
  2. ________________________

Unda maneno ukitumia sauti zifuatazo. (alama 2)

  1. daktari =  ______ ______ _____ _____
  2. mwavuli = ______ ______ _____

Andika kwa herufi kubwa au ndogo (alama 2)

  1. KUPENDWA - ________________________
  2. garimoshi - ________________________

Andika majina ya picha hizi (alama 2)


  1.  fish 3
     
  2.  
     fish 3
     

Jibu salamu na maagano haya  (alama 2)

  1. Uhali gani? ________________________
  2. Umeshindaje ________________________
    (njema, vyema)

Tumia (hiki, hivi, huyu au hawa) (alama 2)

  1. ________________________ ni watoto wetu.
  2. ________________________ni kijiko chako.

Andika maneno haya kwa wingi (alama 2)

  1. nyumba - ________________________
  2. kibanda - ________________________

Andika vizuri

  1. mbekoki - ________________________
  2. zimbu - ________________________

Chora vyombo hivi vya usafiri kisha uite rangi   (alama 2)


  1.  Lori                                      







  2.  
    Basi                                   







Andika kwa maneno au kwa nambari  (alama 2)

  1. 50 -   ________________________
  2. ishirini na sita -  ________________________

SEHEMU YA TATU  (Alama 5)

Tazama mchoro

Andika sentensi tano ukieleza juu ya hii picha

G2SKT2OS22023Q3

  1. _____________________________________________________________

  2. _____________________________________________________________

  3. _____________________________________________________________

  4. _____________________________________________________________

  5. _____________________________________________________________

MARKING SCHEME

  1. nyumba, nyanya, baba
  2. nyuki, simba, meza
  3. da-k-ta-ri
  4. mwa-vu-li
  5. kupendwa
  6. GARIMOSHI
  7. samaki
  8. saa
  9. njema
  10. vyema
  11. Hawa
  12. Hiki
  13. Nyumba
  14. Vibanda
  15. Kikombe
  16. Mbuzi
  17. Mwalimu akadhiri
  18.  "
  19. Hamsini
  20. 26
Join our whatsapp group for latest updates

Download Shughuli za Kiswahili Questions and Answers - CBC Grade 2 Term 2 Opener Exams 2023 SET 3.


Tap Here to Download for 30/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


.