Wednesday, 01 September 2021 06:46

Kiswahili Activities - Grade 3 End Term 1 Exam 2021 SET 1

Share via Whatsapp

COMPETENCY BASED CURICULUM ASSESSMENT
Shughuli za kiswahili
Jina:...........................................................Shule..........................................................

Jibu maswali yote kwenye nafasi zilizoachwa wazi
IMLA

  1. _________________________

  2. _________________________

  3. _________________________

  4. _________________________

  5. _________________________

    Weka alama (!), (?) au (.) mwishoni mwa sentensi hizi.
  6. Je, wanafunzi walizuru mbuga gani_________
  7. Kwa nini unapenda Kiswahili______________
  8. Mama alininunulia kalamu, kitabu na wino______

    Ziandike upya sentensi hizi ukitenganisha maneno
  9. Tuliendashuleni
    _______________________________________
  10. Mamaanapikachakula
    _______________________________________
  11. Sisiniwanafunzi
    _______________________________________
  12. Mkulimaanalimashamba
    _______________________________________

    Andika sentensi zifuatazo kwa umoja
  13. Wanafunzi walinunua kalamu.
    _________________________________________
  14. Maganda yalitupwa
    _________________________________________
  15. Wageni waliketi
    _________________________________________

    Tumia vimilikishi ifaavyo kujaza pengo
  16. Kiatu________________kimeharibika (changu, yangu)
  17. Mwalimu________________ananipenda. (yangu, wangu)
  18. Chumba____________ ni kizuri. (yetu, chetu)
  19. Gari___________limeegeshwa. (letu, yetu)

    Ambatanisha Jina na picha.
    Picha                                               Jina

  20. KisG3et121q20                             Ng'ombe
  21.  
    KisG3et121q21                                 punda

  22. KisG3et121q22                              sungura

    Andika vinyume vya maneno vifuatavyo
  23. Lala____________________
  24. Cheka___________________
  25. Simama__________________

MARKING SCHEME

IMLA

Mwanafunzi ataandika maneno sahihi kulinagana na yale mwalimu atamwambia

  1. ?
  2. ?
  3. .
  4.  tulienda shuleni
  5. mama anapika chakula.
  6. sisi ni wanafunzi
  7. mkulima analima shamba
  8. mwanafuzi alinunua kalamu
  9. ganda lilitupwa
  10. mgeni aliketi
  11. kiatu changu kimeharibika
  12. mwalimu wangu ananipenda
  13. chumba chetu ni kizuri
  14. gari letu limeegeshwa
  15. KisG3et121q20                             punda 
  16. KisG3et121q21                                 sungura
  17. KisG3et121q22                              ng'ombe
    (mwanafunzi anafai kulinganisha na mstari)
  18. amka
  19. lia
  20. keti
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Activities - Grade 3 End Term 1 Exam 2021 SET 1.


Tap Here to Download for 30/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


.