0 votes
336 views
in Sarufi na Matumizi ya Lugha by
  1. Nini maana ya lugha  

4 Answers

0 votes
by
Ni matumizi ya maneno katika sentensi
0 votes
by
Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu unaotumiwa na jamii kuwasiliana.

0 votes
by
Lugha ni mfumo wa sauti nasibu unaotumiwa na jamii au watu kwa minajili ya mawasiliano

0 votes
by
Ni utaratibu au mpangilio/mfumo wa sauti nasibu unaotumiwa na watu wajamii fulani ili kuwasiliana.

Related questions

0 votes
1 answer
0 votes
7 answers
Welcome to EasyElimu Questions and Answers, where you can ask questions and receive answers from other members of the community.

5.5k questions

6.7k answers

6 comments

590 users

...