Displaying items by tag: MWM

KCM & MWM Form 3 Kiswahili Schemes of Work Term 3 2020/2021
JUMA KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHA NYENZO MAONI
1 1 Kusikiliza na kuzungumza. Misimu na lakabu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya misimu na lakabu.
Kujadili umuhimu wao.
Kutoa mifano ya lakabu na misimu.

Maelezo
Majadiliano
Tajriba
Ufahamu

KCM Uk.161-2
MWM Uk.119-20
 
2 Kusikiliza na kuzungumza.
Fasihi yetu.
Lugha ya anthari na ufupisho katika ushairi  Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ufupisho na lugha ya nathari.
Kufafanua umuhimu wa lugha ya ufupisho katika shairi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
Uhakiki
Tajriba
Kitabu teule  
3 Ufahamu. Kujali wenye ukimwi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma taarifa kwa ufasaha.
Kujadili yaliyomo.
Kueleza maana ya istilahi ngeni na msamiati.
Maelezo
Kuandika
Maswali na majibu
KCM Uk.166-67
MWM Uk.123
 
4-5 Sarufi Aina za virai Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza virai.
Kueleza aina za virai.
Kubaininisha virai mbalimbali katika sentensi
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
KCM Uk.166-67
MWM Uk.123
 
6 Utunzi Insha ya maelezo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza ya kuzingatiwa wakati wa kuandika insha ya maelezo,
Kuandika insha ya maelezo
Maelezo
Tajriba
Maswali na majibu
Maigizo
Kuandika
KCM Uk.170
MWM Uk.125
 
2 1-2 Kusikiliza na kuzungumza.
(Ufasaha wa lugha)
Muhtasari: Usanifishaji wa lugha ya Kiswahili Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya Usanifishaji.
Kufafanua sababu za kusanifisha lugha.
Kujadili udhaifu katika usanifishaji.
Kufupisha makala ilivyoagizwa.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
Kufupisha
Utafiti
KCM Uk.167-169
MWM Uk.123-4
 
3-4 Kusikiliza na kuzungumza.
(Fasihi teule)
Maudhui katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui na dhamira
Kueleza namna ya kuhakiki maudhui.
Kufafanua mambo ya kuzingatia katika uchambuzi wa maudhui.
Maelezo
Ufafanuzi
Mifano
Majadiliano
Makundi
Uhakiki
KCM Uk.169-70
MWM Uk.124-5
 
5-6 Hadithi fupi Wahusika katika hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuchambua hadithi teule.
Kueleza wahusika wanavyojipambanua kwa hadithi.
Maelezo
Majadiliano
Tajriba
Makundi
Uhakiki
Kitabu cha hadithi fupi  
3 1 Kusikiliza na kuzungumza. Maagizo na maelekezo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maagizo na maelekezo.
Kufafanua umuhimu wa maagiza na maelekezo.
Kuandika ripoti.
Ufaraguzi
Mifano
Ufaraguzi
Kazi mradi
Kuandika
KCM Uk.171
MWM Uk.125-7
 
2 Ufahamu Povu la sabuni Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali.
Kuzingatia mafunzo yaliyomo.
Tajriba
Mjadala
Mufani
Maigizo
Usomaji
KCM Uk.172-4
MWM Uk.128-9
Kamusi
 
3-4 Sarufi Aina za vishazi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
kuanisha vishazi.
Kutunga sentensi kubainisha mabadiliko ya maneno.
Uchunguzi
Mifano
Maelezo
Ufafanuzi
KCM Uk.179-81
MWM Uk.131-2
 
5-6 Ufasaha wa lugha Mwingiliano wa maneno Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuainisha na kubainisha aina za maneno kutegemea matumizi.
Kutunga sentensi kubainisha mabadiliko ya aina ya maneno.
Uchunguzi
Mifano
Maelezo
KCM Uk.177-9
MWM Uk.130
 
4 1-2 Fasihi teule Wahusika katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua nafasi ya mhusika.
Kueleza uumbaji na uchoraji wa wahusika.
Kupambanua aina za wahusika.
Kueleza jinsi ya kuchambua wahusika.
Maigizo
Uchunguzi
Mjadala
Utazamaji
Ufahamu
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu teule  
3 Utunzi Haithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua hatua za kuandika hadithi fupi.
Kuandika hadithi fupi.
Mifano
Majaribio
Uchunguzi
Majadiliano
Vidokezo
Maelezo
Ufafanuzi
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
4 Kusikiliza na kuzungumza. Habari na ripoti za runinga na redio Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana, umuhimu na jinsi ya kutoa ripoti za redio na runinga.
Kuainisha ripoti.
Mifano
Masimulizi
Maelezo
Ufahamu
Mjadala
KCM Uk.183
MWM Uk.133-5
 
5-6 Fasihi yetu Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza fani ya lugha.
Kufafanua umuhimu wa fani hizo.
Kusoma 
Uchunguzi
Ufafanuzi
Mjadala
Masimulizi
Uchambuzi
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
5 1 Ufahamu Ripoti za michezo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma taarifa kwa ufasaha.
Kueleza aina ya michezo.
Kutoa mifano ya taarifa.
Makundi
Maelezo
Utafiti
Tajriba
Usomaji
KCM Uk.184-6
MWM Uk.135-6
Kamusi
 
2-3 Sarufi Sentensi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuainisha sentensi.
Kueleza sifa za sentensi.
Kutoa mifano ya kila aina.
Majadiliano
Makundi
Mifano
Ufafanuzi
Mazoezi
KCM Uk.186-8
MWM Uk.137
 
4 Kusikiliza na kuzungumza.
Ufasaha wa lugha
Lugha za ripoti na uandishi wake Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza jinsi ya kuwasilisha ripoti.
Kueneza lugha ya ripoti.
Kuandika ripoti maalumu.
Utafiti
Mifano
Maelezo
KCM Uk.188-9
MWM Uk.137-8
 
5-6 Fasihi teule Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kubainisha na kueleza muundo na mtindo wa tamthilia.
Kuhakiki muundo wa tamthilia.
Maelezo
Ufafanuzi
Uhakiki
Majadiliano
Kuigiza
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa.  
6 1-2 Utunzi Insha ya ripoti Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza hatua za kuandika ripoti.
Kuandika ripoti.
Ufaraguzi
Utafiti
Kazi mradi kuandika
KCM Uk.190
MWM Uk.138-9
 
3 Kusikiliza na kuzungumza. Mahakama Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua aina za mahakama na shughuli zao.
Kutumia msamiati unaofaa wa mahakama kutunga sentensi.
Kuendesha mazungumzo ya mahakama.
Ziara
Masimulizi
Utafiti
Maelezo
Ufahamu
Ufaraguzi
KCM Uk.191
MWM Uk.139-42
 
4-5 Fasihi yetu  Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maigizo.
Kubainisha sura za sanaa za maonysho ya kawaida.
Kuigiza
Ziara
Maelezo
Masimulizi
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
6 Ufahamu Haki za binadamu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza ujumbe wa shairi.
Kusoma
Kukariri
Maswali na majibu
Maelezo
KCM Uk.194-5
MWM Uk.143-4
Kamusi
 
7 1 Sarufi Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya mishale Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuchanganua sentensi kwa njia ya mishale au mistari.
Kueleza muundo wa kikundi nomino (KN) na kikundi tenzi (KT).
Maelezo
Mifano
Mazoezi
KCM Uk.195-6
MWM Uk.143-4
 
2 Kusikiliza na kuzungumza.
Ufasaha wa lugha
Muhtasari- haki za watoto Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kudondoa hoja muhimu.
Kuandika muhtasari was kifungu.
Kubainisha haki za watoto.
Makundi
Masimulizi
Utatuzi wa mambo
KCM Uk.196-8
MWM Uk.144
 
3-4 Fasihi teule Matumizi ya lugha katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sifa za lugha katika tamthilia.
Kutoa mifano ya matumizi ya lugha katika tamthilia.
Kuigiza
Uchunguzi
Mifano
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu teule.  
5-6 Kusikiliza na kuzungumza Mialiko Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa mialiko.
Kupambanua sifa za mialiko.
Kuainisha mialiko.
Mifano
Utafiti
Vikundi
Ufahamu
Maelezo
KCM Uk.201-2
MWM Uk.145-9
 
8 1-2 Fasihi yetu Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutoa mifano ya maigizo.
Kupambanua umuhimu wa maigizo.
Kueleza jinsi ya kuchanganua maigizo.
Ziara
Utafiti
Uchunguzi
Uhakiki
Maigizo
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
3 Ufahamu Kumbukumbu za mkutano Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma kumbukumbu.
Kueleza maana za manen na vifungu.
Kujibu maswali ya taarifa.
Maswali na majibu
Majadiliano
Maelezo
Kuigiza
KCM Uk.204-6
MWM Uk.149-50
Kamusi
 
4-5 Sarufi Uchanganuzi wa sentensi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kubainisha dhana ya uchanganuzi.
Kuchanganua sentensi kwa njia ya jedwali.
Mazoezi
Maelezo
Ufafanuzi
KCM Uk.206-8
MWM Uk.150-1
 
6 Ufasaha wa lugha Kumbukumbu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa kumbukumbu.
Kupambanua sifa za kumbukumbu.
Kujibu maswali.
Dayolojia
Mahojiano
Ufafanuzi
KCM Uk.208-9
MWM Uk.151-2
 
9 1-2 Fasihi teule Mafunzo katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya mafunzo.
Kufafanua mbinu za wasanii kutoa mafunzo katika tamthilia.
Kueleza mafunzo.
Tajriba
Mifano
Mjadala
Maelezo
Ufafanuzi
KCM Uk.209-10
MWM Uk.153-5
 
3-4 Utunzi Insha ya kumbukumbu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu.
Kufafanua ya kuzingatia unapoandika kumbukumbu.
Maelezo
Ugunduzi
Majaribio
Ufaraguzi
Uhakiki
KCM Uk.210
MWM Uk.153-8
 
5-6 Kusikiliza na kuzungumza Matangazo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sifa za matangazo katika redio na runinga.
Kufafanua jinsi ya kuandaa matangazo.
Kuhakiki na kuandaa matangazo.
Maelezo
Tajriba
Majadiliano
Ufaraguzi
Uhakiki
Ufahamu
KCM Uk.211
MWM Uk.155-8
 
10 1 Hadithi fupi Mikusanyiko ya kazi za fasihi simulizi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua umuhimu wa kukusanya na kuhifadhi kazi za fasihi simulizi.
Kueleza njia za kuhifadhi kazi za fasihi simulizi.
Maelezo
Ufafanuzi
Makundi
Uhakiki
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
  2 Ufahamu Maji na uhai Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusma taarifa kwa ufasaha.
Kufafanua hali ya maji na umuhimu wake.
Kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Usomaji
Tajriba
Maswali na majibu
Uvumbuzi
Uchunguzi

KCM Uk.213-5
MWM Uk.159-7
Kamusi
 
  3-4 Sarufi Uchanganuzi wa sentensi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya uchanganuzi.
Kuchanganua sentensi sahili, ambatano na changamano kwa njia ya michoro ya matawi.
Maelezo
Ufafanuzi
Mifano
Maswali na majibu
Mazoezi
KCM Uk.216-7
MWM Uk.161-6
 
  5-6 Ufasaha wa lugha Matangazo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika tangazo la kuvutia kulingana na kichwa walichopewa.
Kueleza sifa za matangazo ya maandishi.
Maelezo
Maswali na majibu
Mkundi
Tajriba
KCM Uk.218
MWM Uk.166-7
 
11 1-2 Fasihi teule Tathmini katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sifa za tamthini katika tamthilia.
Kueleza namna ya kujibu maswali katika tamthilia.
Maelezo
Maswali na majibu
Mkundi
Tajriba
Kitabu  kilichoteuliwa  
  3-4 Utunzi Insha ya makala Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua maana ya makala ya kitaaluma.
Kuandika insha ya kitaaluma kuhusu mada walitopewa kwa usahihi.
Ufaraguzi
Makundi
Mahojiano
Maelezo
KCM Uk.220
MWM Uk.168
 
12-13 MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA
KCM & MWM MAAZIMO YA KAZI KIDATO CHA KWANZA MUHULA WA TATU MWAKA 2020/2021
JUMA KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA NYENZO MAONI
 1      1 Kusoma kwa kina.
Fasihi yetu.
Tamthilia. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kujibu maswali kutokana na kifungu.
Kudondoa maneno yaliyotumiwa kifasihi.
Kutaja baadhi ya mbinu za kifasihi zilizotumiwa.
Drama.
Ufahamu wa kusikiliza.
Mjadala.
Kusoma Kifungu.
Maswali na majibu.

KCM Uk. 113-5

MWM Uk. 90-91

 
 2 Kuandika.
Utunzi.
Barua rasmi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika barua rasmi kwa ufasaha.
Maelezo.
Mifano.

KCM Uk. 115

MWM Uk. 91

 
 3 Kusikiliza na kuzungumza. Kazi mbalimbali. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutaja kazi mbalimbali.
Kufafanua kazi mbalimbali.
Kujadili manufaa na hasara za kazi mbalimbali.
Mdahalo.
Mahojiano.
Ufafanuzi.
Kuigiza bila maneno.
Kusoma ufahamu.

KCM Uk. 117

MWM Uk. 93-4

Kamusi

 
 4 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma kwa ufasaha.
Kueleza maana za maneno na vifungu.
Kujibu maswali.

Ufafanuzi.
Kusoma.
Maswali na majibu.
Tajriba.
Mazoezi.

KCM Uk. 117-8

MWM Uk. 87-8

Kamusi

 
 5 Kuandika. 
Ufasaha wa lugha.
Uandishi wa kawaida.
Muhtasari.
Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua maana ya ufupisho.
Kueleza umuhimu wa muhtasari.
Kudondoa hoja kuu.
Keleza mambo kwa muhtasari.
Utatanuzi wa mambo.
Mifano.
Vielezo.
Kusikiliza ufahamu.

KCM Uk. 120-1

MWM Uk. 95-6

 
 2    1 Sarufi na matumizi ya lugha. Kauli za vitenzi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kugeuza vitenzi katika kauli fulani.
Kueleza maana ya sentensi zenye vitenzi katika kauli fulani.
Ufaraguzi.
Mifano.
Kujaza jedwali.
Kazi mradi.

KCM Uk. 119-120

MWM Uk. 94-95

 
 2-3 Kusoma kwa kina.
Fasihi yetu.
Tamthilia. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kujibu maswali kutokana na kifungu.
Kudondoa maneno yaliyotumiwa kifasihi.
Kutaja baadhi ya mbinu za kifasihi zilizotumiwa.
Kueleza maana  ya msamiati wa vihusishi.
Utatanuzi wa mambo.
Ufahamu wa kusikiliza.
Mjadala.
Kusoma kifungu.
Maswali na majibu.

KCM Uk. 122-3

MWM Uk. 96-7

 
 4 Kuandika.
Utunzi.
Mchezo mfupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutunga mchezo wa kuigiza kwa kusingatia mbinu za utunzi wa michezo ya kuigiza.
Drama.
Maelezo.
Majadiliano.
Utafiti.
Mazoezi

KCM Uk. 123-4

MWM Uk. 98

 
5 Kusikiliza na kuzungumza. Teknologia mpya. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutaja majina ya vifaa.
Kueleza matumizi ya vifaa.
Kutunga sentense na aya kuhusu vifaa vya teknologia.
Uvumbuzi.
Maelezo.
Majadiliano.
Usomaji.

KCM Uk. 125

MWM Uk. 98-100

Kamusi

 
3 1-2 Kusoma na Kuandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma kwa ufasaha.
Kueleza maana za maneno na vifungu.
Kujibu maswali.
Ufafanuzi.
Kusoma.
Maswali na majibu.
Tajriba.
Mazoezi.

KCM Uk. 126-128

MWM Uk. 100-1

Kamusi

 
3 Sarufi na matumizi ya lugha. Mpangilio na uhusiano wa maneno. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kupanga maneno katika nafasi sahihi kwenye sentensi.
Michezo ya lugha.
Mifano.
Vielezo.

KCM Uk. 128-9

MWM Uk. 101-2

Kamusi

 
4 Kusikiliza na kuzungumza.
Ufasaha wa lugha.
Uundaji wa maneno. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sababu ya kuunda maneno.
Kuunda maneno kutoka kwa maneno mengine.
Ufafanuzi. Mifano.
Maelezo.
Imla.
Mazoezi.

KCM Uk. 129-130

MWM Uk. 102-3

 
5 Kusoma kwa kina.
Fasihi yetu.
Tamthilia. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kujibu maswali kutokana na kifungu.
Kudondoa maneno yaliyotumiwa kifasihi.
Kutaja baadhi ya mbinu za kifasihi zilizotumiwa.
Kueleza maana ya msamiati wa vihusishi.
Utatuzi wa mambo.
Ufahamu wa kusikiliza.
Mjadala.
Kusoma kifungu.
Maswali na majibu.

KCM Uk. 130-2

MWM Uk. 103-4

 
4 1-2 Kuandika.
Utunzi.
Insha ya wasifu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika sifa za kitu, jambo au mtu.
Kutumia lugha inayotoa sifa za kitu, jambo au mtu.
Ufafanuzi.
Mifano.
Maelezo.
Mazoezi.

KCM Uk. 132

MWM Uk. 104-5

 
3 Kusikiliza na kudadisi. Semi-Nahau. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya nahau.
Kutumia nahau katika sentense.
Utafiti.
Mifano.
Kuandika.
Kazi mradi.

KCM Uk. 133

MWM Uk. 105-6

 
4 Kusikiliza na kuzungumza. Hotuba. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutaja sehemu za hotuba.
Kueleza ujumbe wa hotuba
Uigizaji.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Ksikiliza ufahamu.

KCM Uk. 133-5

MWM Uk. 105-6

 
5 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma kwa ufasaha.
Kueleza maana za maneno na vifungu.
Kujibu maswali.
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Kusoma.
Tajriba.

KCM Uk. 135-7

MWM Uk. 105-6

Kamusi

 
5 1-2 Sarufi na matumiza ya lugha. Maana na aina za sentensi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sentensi.
Kutunga sentensi sahihi na ambatano.
Uchunguzi.
Mifano.
Ufafanuzi.
Tajriba.
Mazoezi.

KCM Uk. 137-8

MWM Uk. 108

 
3 Kusikiliza na kuzungumza.
Ufasaha wa lugha.
Lugha ya hotuba. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za hotuba.
Kutoa hotuba fupi mbele ya darasa.
Kuandika hotuba fupi.
Kuigiza.
Vikundi.
Maswali na majibu.
Mazoezi.

KCM Uk. 138-40

MWM Uk. 108-9

Kamusi

 
4-5 Kusoma kwa kina.
Fasihi yetu.
Tamthilia. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza vitendo vya wahusika.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kutumia misemo katika sentensi.
Maelezo.
Maigizo.
Ufafanuzi.
Masimulizi.
Maswali na majibu.

KCM Uk. 140-2

MWM Uk. 109-10

 
6 1 Kuandika.
Utunzi.
Hotuba. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika hotuba yenye mtirirko wa mawazo.
Mifano / marudio.
Melezo.
Kazi mradi.

KCM Uk. 142

MWM Uk. 110

 
2 Kusikiliza na kuzungumza. Utungaji wa kisanii.
Vitanzi ndimi.
Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutamka maneno harakaharaka.
Kueleza maana ya maneno yatatanishayo.
Kutunga vitansi ndimi.
Michezo ya lugha.
Mashindano.
Mifano.
Imla.
Kazi mradi.

KCM Uk. 143

MWM Uk. 111

 
3-4 Kusikiliza na kuzungumza. Mjadala. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuzua hoja na kuzitetea.
Kuziwasilisha katika mjadala kwa ufasaha.
Mjadala.
Utendaji.
Ufafanuzi.
Tajriba.
Imla.

KCM Uk. 143

MWM Uk. 111-2

 
5 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza taarifa.
Kueleza chanzo na madhara ya ufisadi.
Kujibu maswali.
Usomaji.
Ufafanuzi.
Tajriba.
Makundi.
Mazoezi.

KCM Uk. 144-5

MWM Uk. 111-2

Kamusi

 
7 1 Sarufi na matumizi ya lugha. Tungo na sentense. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tungo, kirai, kishazi na sentensi.
Kujua sifa za tungo, kirai, kishazi na sentensi.
Kubainisha virai na vishazi katika tungo.
Ufafanuzi.
Maelezo.
Majadiliano.
Mazoezi.

KCM Uk. 145-7

MWM Uk. 113-4

 
2 Kuandika.
Ufasaha wa lugha.
Alama za uakifishaji. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutumia alama fulani za uakifishaji.
Kutumia alama za uakifishaji katika maandishi.
Maelezo. 
Ufafanuzi.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio ya mazoezi.

KCM Uk. -147-9

MWM Uk. 114-5

 
3 Kusikiliza na kudadisi.
Fasihi yetu.
Mashairi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuanishashairi.
Kudondoa hoja kuu kutoka sahiri.
Kueleza shairi kwa lugha nadhari.
Masimulizi.
ufafanuzi.
Uchambuzi.
Maswali na majibu.
Kukariri.
Maswali na majibu.

KCM Uk. 149-152

MWM Uk. 115-6

 
4 Kuandika.
Utunzi.
Insha ya mjadala. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa insha ya mjadala.
Kufafanua sifa na kuandika insha ya mjadala kwa usahihi.
Maelezo na ufafanuzi.
Mjadala.
Utafiti na uchunguzi.
Maswali na majibu.
Tajriba. Mazoezi.

KCM Uk.152

MWM Uk. 116-7

 
5 Kusikiliza na kuzungumza. Tanakali za sauti. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutoa mifano ya tanakali za sauti.
Kutunga sentensi kutumia tanakli za sauti.
Utatuzi.
Tajriba.
Uchunguzi.
Kusoma.
Maswali na majibu.

KCM Uk. 154-6

MWM Uk. 110-11

 
8 1 Kusikiliza na kuzungumza. Magonjwa. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutafakari juu ya maswala yanayoibuka katika jamii.
Kutaja baadhi ya magonjwa ya kisasa.
Maelezo.
Utafiti.
Mahojiano.
Ukusanyanji.
Ufahamu wa kusikiliza.

KCM Uk. 153

MWM Uk. 117-8

 
2 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma taarifa kwa ufasaha.
Kusoma kwa kuzingatia kanuni za usomaji bora.
Kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Usomaji.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Utafiti.
Maelezo.
Tajriba.
Mazoezi.

KCM Uk. 153-5

MWM Uk. 118-120

 
3 Sarufi na matumizi ya lugha. Vaimbishi vimilikishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kubainisha maana ya vivumishi vimilikishi.
Kuorodhesha vivumilishi vimilikishi.
kutumia vivumilishi vimilikishi katika sentensi.
Maelezo.
Tajriba.
Mifano.
Maswali na majibu.
Mazoezi.

KCM Uk. 156-7

MWM Uk. 120-21

 
4 Kuandika.
Ufasaha wa lugha.
Muhtasari. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika kwa ufupi na urefu wa maneno.
Kufupisha vifungu kulingana na maagizo.
Kujibu maswali kwa kuzingatia idadi ya maneno kulingana na maagizo.
Maelezo.
Ufafanuzai.
Uchunguzi.
Mifano.
Maswali na majibu.
Mazoezi.

KCM Uk. 157-8

MWM Uk. 121-2

 
5 Kusoma kwa kina.
Fasihi yetu.
Riwaya / hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuimarisha ujuzi wa kusoma.
Kuweka msingi wa fasihi andishi.
Maelezo.
Ufafanuzi.
Uchunguzi maigizo.
Kusikiliza ufahamu.

KCM Uk. 158-160

MWM Uk. 90-91

 
9 1 Kuandika.
Utunzi.
Utungaji wa kisanii. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutunga kazi ya sanaa.
Maelezo.
Mifano.
Utafiti.
Mazoezi.

KCM Uk. 160

MWM Uk. 124-5

 
2 Kusikiliza na kuzungumza. Misemo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kututmia misemo kutungia sentensi.
Kueleza maana na matumiza ya misemo.
Maelezo.
Masimulizi.
Ufahamu.
Mazoezi.

KCM Uk. 161

MWM Uk. 125-6

 
3 Kusikiliza na kuzungumza. Kujaza hojaji. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutaja muundo wa hojaji.
Kueleza umuhimu wa hojaji.
Kujibu maswali kuhusu hojaji kikamilifu.
Maswali na majibu.
Kuandika.
Ufahamu wa kusikiliza.
Mazoezi.

KCM Uk. 161-2

MWM Uk. 127

 
4 Sarufi na matumizi ya lugha. Vionyeshi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vionyeshi.
Kueleza aina ya vionyeshi.
Kutumia vionyeshi katika sentensi.
Maelezo. Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Mazoezi.

KCM Uk. 164-5

MWM Uk. -128-9

 
5 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma taarifa kwa ufasaha.
Kusoma kwa kuzingatia kanuni za usomaji bora.
Kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Usomaji. Maswali na majibu.
Majadiliano.
Utafiti.
Maelezo.
Tajriba.

KCM Uk. 162-3

MWM Uk. 127-8

 
10 1 Kusikiliza na kuzungumza.
(Ufasaha wa lugha)
Barabarani. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza safari barabarani.
Kutaja na kufasiri alama za barabarani.
Kutumia maneno mapya kwa usahihi.
Maelezo.
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Kusikiliza ufahamu.

KCM Uk. 165-6

MWM Uk. 129-130

 
2 Kusoma kwa kina.
Fasihi yetu.
Riwaya / hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza uhuru aliotaka mhusika.
Kueleza maana ya maneno mageni na misemo mipya katika taarifa.
Kueleza sababu ya kutumia alama ya dukuduku.
Ugunduzi wa kuongozwa.
Masimulizi.
Mjadala.
Ufahamu wa kusikiliza.

KCM Uk. 167-9

MWM Uk. 130-1
Vatabu vingine vya hadithi

 
3 Kuandika.
Utunzi.
Umdhaniaye ndiye siye ........... Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kujibu maswali kutoka kifungu.
Kutumia maneno mapya kkwa usahihi.
Maelezo.
Ufafanuzi.
Mifano.
Uhakiki.

KCM Uk. 169-70

MWM Uk. 131-132

 
4 Kuandika. Insha ya picha. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufaairi ujumbe wa picha.
Kuandika insha kutokana na picha.
Maelezo.
Majadiliano.
Tajriba.
Makundi.
Mazoezi.

KCM Uk. 171

MWM Uk. 133-4

 
5 Kusikiliza na kuzungumza. Haki za watoto. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza haki za watoto.
Kueleza wajibu unaoambatana na kila haki ya mtoto.
Kukuza ujuzi wa kujadili ma kutoa maelezo kimantiki.
Kisa / hadithi.
Majadiliano.
Kuchochea wanafunzi kuongea.
Maelezo.

KCM Uk. 171-2

MWM Uk. 134-5

 
11 1 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma taarifa kwa ufasaha.
Kusoma kwa kuzingatia kanuni za usomaji bora.
Kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Kuzindua masuala maalum kutoka ufahamu.
Usomaji.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Utafiti.
Maelezo.
Tajriba.

KCM Uk. 172-4

MWM Uk. -136-7

 
2 Sarufi na matumizi ya lugha. Kirejeshi - amba. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutumia mzizi -amba kwa usahihi katika ngeli zote.
Kutumia 'o' rejeshi badala ya mzizi -amba.
Tjriba.
Mifano.
Mazoezi.

KCM Uk. 174-6

MWM Uk. 137-8

 
3 Kusikiliza na kuzungumza.
(Ufasaha wa lugha)
Lugha ya magezetini. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza matumiza ya lugha katika magazeti.
Kuonyesha sifa za lugha katika magazetini.
Kuandika makala ya magazeti k.v, ukumwi, maji, njaa, ufisadi, n.k.

Kusoma makala ya magazeti.
Uchunguzi.
Mifano.
Maelezo.
Ufafanuzi.

KCM Uk. 179-81

MWM Uk. 131-2
Magazetti

 
4 Kusoma kwa kina.
Fasihi yetu.
Riwaya / hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuimarisha sauti ya kusoma.
Kumpa nafasi kuingiliana na kutenda katika matini ya fasihi.
Kuhakiki ujumbe wa lugha iliyotumika.
Mifano.
Maelezo.
Ufafanuzi.

KCM Uk. 177-9

MWM Uk. 130

 
5 Kuandika.
Utunzi.
Uandishi wa hadithi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua hatua za kuandika hadithi fupi.
Kuandika hadithi fupi.
Kuwa na msingi wa uandishi wa kisanaa.
Mifano.
Uxhunguzi.
Vidokezo.
Majadiliano
Maelezo.
Ufafanuzi.

KCM Uk. 177-180

MWM Uk. 140-1

 
12-13 MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA