Friday, 06 May 2022 06:19

Kiswahili Activities Questions and Answers - CBC Grade 1 End Term 1 Exams 2022 SET 2

Share via Whatsapp

QUESTIONS

  1. Soma kwa sauti (Alama 10)
    Mimi ni kijana mdogo. Niko gredi ya kwanza. Mwalimu wangu ni-Bi Pendo. Baba na mama wanapenda mwalimu wangu. Kila siku mimi hucheza mpira.
  2. KUONGEA NA KUSIKILIZA
    Tazama picha kisha mwalimu atauliza maswall
    1. Kuku anafanya nini?
      1
    2. Mtoto anafanya nini?
      2
    3. Mti umefanya nini?
      3
    4. Uji umefanyaje?
      4
    5. Baba anafanya nini?
      5
  3. Soma hadithi kisha jibu maswali
    Hapo zamani za kale, paliishi paka na panya. Wanyama hawa waliishi pamoja. Walikuwa na ashamba kubwa karibu na msitu. Wanyama hawa walikuwa na watoto. Siku moja paka aliona njaa akala watoto wa panya. Panya alikasirika na kupotelea msituni na paka akaachwa nyumbani.
    1. Taja wanyama katika hadithi
    2. Wanyama hawa walikuwa na_____kubwa.
    3. Shamba la wanyama lilikuwa karibu na_____
    4. Nani alikula watoto?
    5. Nani alikasirika?
    6. Panya alikasirika akapotelea wapi?
    7. Nani aliachwa nyumbani
    8. Paka hula nini?
    9. Chora Paka
  4. Matumizi ya lugha
    Sarufi
    Andika majina a picha
    6
    7
  5. Andika wingi wa majina haya
    1. Kikombe
    2. Mti
    3. Kiti
    4. Mtoto
    5. Mguu
  6. Andika kinyume cha maneno
    1. Keti
    2. Lala
    3. Lia
    4. Panda
    5. Anika
  7. Andika maneno vizuri
    1. tiki
    2. pachu
    3. choma
  8. Andika maneno haya kwa herufi kubwa
    1. Kitabu
    2. Kalamu
    3. Mwavuli
  9. Andika maneno utakayosomewa na mwalimu


MARKING SCHEME

  1.    
    1. anatembea
    2. analia
    3. umeanguka/umevunjika
    4. umemwagika
    5. ameketi
  2.      
    1.      
      • paka
      • panya
    2. shamba
    3. msitu
    4. paka
    5. panya
    6. msituni
    7. paka
    8. panya
  3.      
    1. kiti
    2. meza
    3. chupa
    4. kijiko
    5. jicho
    6. ua
  4.    
    1. vikombe
    2. miti
    3. viti
    4. watoto
    5. miguu
  5.      
    1. simama
    2. amka
    3. cheka
    4. shuka
    5. anua
  6.    
    1. kiti
    2. chupa
    3. macho
  7.      
    1. KITABU
    2. KALAMU
    3. MWAVULI
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Activities Questions and Answers - CBC Grade 1 End Term 1 Exams 2022 SET 2.


Tap Here to Download for 30/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


.