Friday, 24 March 2023 13:30

Shughuli za Kiswahili Questions and Answers - Grade 1 MidTerm Exams Term 1 2023 Set 1

Share via Whatsapp

MASWALI

Kuzikiliza na kuongea

  1. Hujambo?
  2. Jina lako ni nani?
  3. Shule yako ni gani?
  4. Nieleze mambo kadhaa kuhusu shule yako?
  5. Mwalimu wako wa darasa ni nani?

Imla

  1. ........................................
  2. ........................................
  3. ........................................
  4. ........................................
  5. ........................................

Chagua jibu mwafaka

  1. Mti huu ni ........................................
    (refu/mrefu)
  2. Macho yangu ni........................................
    (mawili, mbili)

Unda maneno kulingana na silabi zifuatazo.

  1. ba........................................
  2. sha........................................

Andika kwa wingi

  1. mtoto........................................
  2. kitabu........................................
  3. kalamu........................................
  4. darasa........................................
  5. dirisha........................................

Andika kwa herufi kubwa

  1. nyanya........................................
  2. chungwa........................................
  3. Majani........................................

Chora picha hizi

  1. kitabu
  2. kalamu
  3. Damu ni ya rangi gani?

Andika majina ya picha hizi

  1. 26 1...........................................
  2. 27 1...........................................
  3. 28 1...........................................
  4. 29 1...........................................
  5. 30 1...........................................
  6. Mtu akijikwaa utamwambia...........................................
    (asante, pole)
  7. Maziwa ni ya rangi gani?...........................................
  8. Damu ni ya rangi gani?...........................................
  9. Mnyama anayetupa mayai ni...........................................
  10. Nguo ninazovaa shuleni huitwa?...........................................

Majibu

  1. mrefu
  2. mawili
  3. baba
  4. shambe
  5. watotot
  6. vitabu
  7. vilamu
  8. madarasa
  9. madirisha
  10. NYANYA
  11. CHUNGWA
  12. MAJANI
  13.    
  14.    
  15. nyekundu
  16. kikombe
  17. mti
  18. kiti
  19. kitabu
  20. meza
  21. pole
  22. nyeupe
  23. nyekundu
  24. kuku
  25. uniformu

Mazoezi ya Kusoma

Soma majina haya:

  1. hujambo
  2. nyumba
  3. mkebe
  4. ua
  5. safari
  6. ahadi
  7. mlango
  8. tarehe
  9. ghali
  10. dunia
  11. elimu
  12. mke
  13.  paka
  14. bweni
  15. damu

Soma sentensi kwa sauti:

  1. Mtoto anachea.
  2. Kitabu hiki ni changu.
  3. Nguo imefuliwa.
  4. Darasa letu ni safi.
  5. Chakula chetu ni kitamu.
Join our whatsapp group for latest updates

Download Shughuli za Kiswahili Questions and Answers - Grade 1 MidTerm Exams Term 1 2023 Set 1.


Tap Here to Download for 30/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


.