Thursday, 05 May 2022 07:00

Kiswahili Activities Questions and Answers - CBC Grade 2 End Term 1 Exams 2022 SET 2

Share via Whatsapp

MASWALI

  1. Soma kwa sauti
    Shule ya msingi ya mabawa iko karibu na soko la mabawa na katikati ya into Eyo na Kinu. Mbele ya lango la shule kuna kivukio cha basi. Mbele ya kivukio cha basi kuna duka kubwa linaloitwa Bebabeba. Duka hili ndilo duka kubwa katika kijii hiki. Wanakiiiii wote hufulika kununua katika duka hili. Duka hill huuza bidhaa vyake kwa bei nafuu
  2. KUONGEA NA KUSIKILIZA
    1
    1. Unaona ofisi ngapi katika kituo cha polisi?
    2. Unawaona polisi wangapi?
    3. Taja vitu vitatu unavyoviona
  3. Soma hadithi kisha jibu maswaIi
    Ni vyema kuangalia usafi kila mara. Magonjwa mengi yanatokana na uchafu na chakula kichafu.
    Magonjwa yanaoletwa na maji na chakula chafu ni, kipindupindu na homa ya matumbo, na pia kuhara. Malaria husababishwa na mbu wanaokuwa kwenye vidimbwi vya maji na pia kwenye nyasi.
    Tunapaswa kuzingatia hali ya usafi. Kila mtu anapaswa kutumia kitambaa safi kutoa kamasi. Vioo pia vina paswa kuoshwa kila mara zinapochafuka.
    1. Taja magonjwa mawili yanayotokana na maji chafu
    2. Tunapaswa kuangalia nini kila mara?
    3. Ugonjwa malaria unaambukizwa na mdudu gani?
    4. Mbu wanaishiwapi na wapi?
    5. Kila mtu anapaswa kutumia kitambaa____ kutoa____
  4. Matumizi ya lugha
    Andika majina ya picha hizi
    2
    3
  5. Andika majina haya kwa herufi kubwa
    1. Ng'ombe
    2. Maneno
    3. darasa
    4. mwanasesere
    5. dhambi
  6. Tumia"huyo"au"hao"
    1. Baba____alisoma gazeti
    2. Watimu____walifunza vyema
    3. Mtoto____anatembea haraka.
    4. Polisi____waliwasaka wezi.
    5. Mkurugenzi____  alituaptia zawadi.
  7. Andika maneno kwa wingi
    1. chura
    2. kondoo
    3. karatasi
    4. ndizi
    5. mtoto
  8. KUANDIKA
    Andika maneno utakayo-somewa na mwalimu 


MARKING SCHEME

  1.      
    1. tatu
    2. wawili
    3.        
      • polisi
      • bendera
      • ofisi
      • mti
        (any 3)
  2.      
    1.    
      • kipindupindu
      • homa ya matumbo
    2. hali ya usafi
    3. mbu
    4.      
      • vidimbwi vya maji
      • kwenye nyasi
    5. safi, kamasi
  3.      
    • mfuko
    • jua
    • panga
    • paka
    • nanasi
  4.         
    • NG'OMBE
    • MANENO
    • DARASA
    • MWANASERERE
    • DHAMBI
  5.         
    • huyo
    • hao
    • huyo
    • huyo
    • huyo
  6.      
    • vyura
    • kondoo
    • makaratasi
    • ndizi
    • watoto
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Activities Questions and Answers - CBC Grade 2 End Term 1 Exams 2022 SET 2.


Tap Here to Download for 30/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


.