Kiswahili (Sanifu) - Class 8 Schemes of Work Term 2 2023

Rate this item
(0 votes)

RATIBA YA SOMO LA KISWAHILI DARASA LA NANE MUHULA PILI –2023

WK

KIP

FUNZO

MADA

SHABAHA

SHUGHULI ZA MAFUNZO

NYENZO

ASILIA

MAONI

1

 

MARUDIO

Mada mbalimbali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuyarudia aliyoyapitia katika darasa la saba  ili kujitayarisha kwa kazi ya muhula wa pili

  • Kuuliza na kujibu maswali ya kauli na ya kimaandishi.

Karatasi za mitihani iliyopita

Vitabu mbalimbali vya marudio.

 

2

 

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Msamiati wa teknologia

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

kueleza msamiati wa teknologia

Kuabainisha matumizi na kufafanua  faida za vifaa vya teknologia

  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kutoa maelezo ya vifaa vya teknoplogia

picha za vifaa mbalimbali vya teknologia

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk.  88

Mwongozo uk. 61

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Uchungu wa mwana

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

,,

Uk. 89

Mwongozo uk.62

 

3

KUANDIKA

Insha

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kujadili kwa kutetea hoja kwa usahihi.

  • kujadili mada
  • kujibu maswali
  • Kuandika insha

vidokezo Ubaoni

Uk. 91

Mwongozo uk.64

 

4

SARUFI

Matumizi ya ‘na’

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

 kubainisha matumizi mbalimbali ya ‘na’

kutumia ‘na’ katika sentensi kwa usahihi

  • Kuunda sentensi
  • kubainisha matumizi mbalimbali ya ‘na’

Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

 

Uk. 90

Mwongozo uk.63

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Misemo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

kueleza maana na matumizi ya misemo

Kutumia misemo kuunda sentensi sahihi

  • kueleza maana ya misemo
  • kuunda sentensi
  • kutaja mifano ya misemo

chati yenye mifano ya misemo

Uk. 62

Mwongozo uk.90

 

3

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Msamiati wa ukoo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kubainisha baadhi ya msamiati wa ukoo

kutumia msamiati wa ukoo kwa usahihi

  • kutoa maelezo
  • kutaja msamiati wa ukoo
  • kutunga sentensi

 Uhusika wa wanafunzi

maelezo kitabuni

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk.92

  Mwongozo uk 65

 

2

KUSOMA

Ufahamu:

Sijafisha

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • kueleza maana ya maneno mapya
  • Kuuliza na kujibu maswali

Taarifa kitabuni mwa wanafunzi.

 

Uk 93

Mwongozo uk. 66

 

3

KUANDIKA

Insha ya maelezo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kuvutia kwa hati nadhifu

  • kuandika insha ya maelezo

Vidokezo ubaoni

Uk  96

Mwongozo uk.68

 

4

SARUFI

Matumizi ya ndi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja maatumizi sahihi ya ‘ndi’ katika ngeli zote

  • Kutaja matumizi ya ‘ndi’ katika ngeli zote Kufanya zoezi

Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

Uk 95

Mwongozo uk.67

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Methali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kueleza maana na matumizi ya methali zenye mzizi ‘ndi’

  • Kutaja na kueleza maana ya methali
  • Kufanya zoezi

kamusi ya methali.

 

Uk  67

Mwongozo uk.94

 

4

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

viwanda

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja baadhi ya viwanda vyetu nchini

kueleza aina za bidhaa kwenye viwanda hivyo

  • kutaja baadhi ya viwanda
  • kueleza aina za bidhaa kwenye viwanda

Uhusika wa wanafunzi

Picha na michoro

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk.  104

Mwongozo 70

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Kazi ya mikono haitupi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

makala na vitabu mbalimbali.

Vitabu kutoka maktaba

 

3

KUANDIKA

Mtungo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha kwa kujaza pengo akitumia maneno aliyopewa kwa usahihi

  • kuandika kwa kujaza mapengo

Maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi:. 109

Mwongozo uk. 73

 

4

SARUFI

Vielezi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kueleza maana ya vielezi,

Kufafanua aina mbalimbali za vielezi

  • kuuliza na kujibu maswali
  • Kuunda sentensi

Maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi: 107

Mwongozo uk.73

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Methali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kubainishi maana na matumizi ya methali

  • Kutaja methali zinazofanana kimaana
  • Kufanya zoezi

Chati yenye methali zinazifanana

Kitabu cha mwanafunzi:Uk. 107

Mwongozo uk.72

 

5

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Matunda miti na mimea

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kubainisha aina mbalimbali za matunda miti na mimea

kutumia msamiati wa matunda mimea na miti kwa usahihi

  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • kubainisha aina mbalimbali za matunda miti na mimea

Picha na michoro

 

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk.  110

Mwongozo uk74

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Mwandani wetu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma Taarifa kwa makini na kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi

  • kusoma
  • kujibu maswali ya ufahamu

Taarifa kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi:UK. 111

 Mwongozo uk.76

 

3

KUANDIKA

Insha ya maelezo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya maelezo kulingana na mpangilio muafaka

  • Kujadili mada
  • Kuandika insha

Vidokezo ubaoni

Kitabu cha mwanafunzi:Uk. 115

Mwongozo uk.79

 

4

SARUFI

Viulizi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kueleza maana ya viulizi

kubainisha aina za viulizi

kutumia viulizi kuunda sentensi    sahihi        

  • kutoa maelezo kuhusu viulizi
  • Kuunda sentensi
  • kufanya zoezi

maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi:Uk. 113

Mwongozo uk.78

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Vitawe

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze :kueleza maana ya vitawe

kubainisha vitawe

vitawe  kuunda sentensi    sahihi        

  • Kujadili msamiati wa vitawe Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi

kamusi

Kitabu cha mwanafunzi:Uk. 112

Mwongozo uk.77

 

6

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Vitabu vya maktaba

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze:  kustawisha usomaji wa vitabu vya ziada

kujadili alichokisoma

  • Kusoma
  • kuuliza na kujibu maswali
  • kujadili

vitabu vya hadithi kutoka maktaba

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk 122

Mwongozo 81.  

 

2

KUSOMA

Ufahamu:

Tazungukaje mbuyu?

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma shairi kwa ufasaha na kujibu maswali kutoka kwenye shairi hilo  kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

shairi  katika kitabu cha wanafunzi.

Kitabu cha mwanafunzi: 122

Mwongozo uk.82

 

3

KUANDIKA

Insha  

Mtungo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kwa kuendeleza hoja kwa mtiririko

  • kuandika insha

 vidokezo ubaoni

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 125

Mwongozo uk. 85

 

4

SARUFI

Matumizi ya ‘katika’, na ‘ni’ na ‘kwenye

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze;  kubainisha matumizi sahihi ya katika, kwenye, ni

kurekebisha makosa ya kisarufi kutokana na matumizi mabovu ya katika, kwenye, ni

  • Kutoa maelezo kuhusu mada
  • kuunda sentensi
  • kutambua matumizi sahihi na mabovu

Mifano ubaoni

maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 124

Mwongozo uk.83

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

vitendawili

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutega na kutegua vitendawili kwa ustadi.

  • kutega na kutegua vitendawili

uhusika wa wanafunzi.

Kitabu cha mwanafunzi Uk.124

 Mwongozo uk.82

  

7

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Miti na mimea

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kubainisha msamiati wa mimea

kufafanua faida za miti na mimea

  • Kutaja msamiati wa miti na mimea,
  • Kuuliza na kujibu maswali

Picha na michoro ya miti na mimea

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk.  126

 

2

KUSOMA

Ufahamu;

Mstahmilivu hula mbivu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa  kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa  hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

Picha na makala katika kitabu cha mwanafunzi.

Kitabu cha mwanafunzi uk. 127

Mwongozo uk. 86

 

3

KUANDIKA

Insha ya wasifu

Mekatilili

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya wasifu kuhusu mtu mashuhuri kwa hati nadhifu

  • kuandika insha ya wasifu

 

vidokezo ubaoni

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 131

Mwongozo uk. 89

 

4

SARUFI

Ukubwa wa nomino

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kubainisha nomino kwa kuiweka katika hali ya ukubwa

  • kutunga sentensi
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

mifano ubaoni

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 130

Mwongozo uk. 87

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Vitate

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze: kubainisha vitate

kutumia vitate katika sentensi kwa usahihi

  • Kutamka maneno
  • Kutoa mifano zaidi ya vitate

Mifano ubaoni na kwenye kitabu

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 129

Mwongozo uk. 87

 

8

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Majina ya kike na kiume

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze: Kubainisha msamiti wa kike na kiume

  • Kubainisha majina ya kike na kiume
  • kuunda sentensi

Uhusika wa wanafunzi

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk138

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Mjadala: Wanafaa kusoma pamoja

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma kwa ufasaha

kujadili funzo la makala

kutumia msamiati mpya kwa usahihi

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

taarifa kitabuni mwa wanafunzi.

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 139

Mwongozo uk.92

 

3

KUANDIKA

Insha ya mjadala

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya mjadala kwa hati nadhifu.

  • Kujadili mbinu za uandishi wa insha na kuiandika

Vidokezo ubaoni

Kitabu cha mwanafunzi Uk.143

Mwongozo uk.94

 

4

SARUFI

Udogo wa nomino

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kubainisha nomino kwa kuiweka katika hali ya udogo

  • Kuunda sentensi
  • kueleza hali ya udogo
  • Kufanya zoezi

mifano ubaoni

Na kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 141

Mwongozo uk.93

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Visawe

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze: kubainisha visawe

kutumia visawe katika sentensi kwa usahihi

  • Kutamka maneno
  • Kutoa mifano zaidi ya visawe

Mifano ubaoni na kwenye kitabu

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 140

Mwongozo uk.92

 

9

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Msamiati wa majina ya wafanyikazi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja majina ya wafanyikazi mbalimbali na kazi zao

  • Kuuliza na kujibu maswali
  • kutaja majina ya wafanyikazi na kazi zao

Makala kitabuni

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005) uk. 144

 Mwongozo uk. 96

 

2

KUSOMA

Hotuba

Uhaba wa kazi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma ngojera kwa ufasaha

kukariri na kuigiza ngonjera kwa mahadhi

kujibu maswali ya ufahamu kimaandishi

  • Kusoma,kukariri
  • Kuuliza na kujibu maswali ya ufahamu
  • Kufanya zoezi

shairi katika kitabu cha wanafunzi.

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 144

Mwongozo uk.97

 

3

KUANDIKA

Insha ya maelezo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya maelezo kulingana na muundu ufaao.

  • Kuandika insha

Vidokezo ubaoni

Kitabu cha mwanafunzi Uk.  147

Mwongozo uk.99

 

4

SARUFI

Usemi wa taarifa

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa halisi hadi usemi wa taarifa

  • kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa halisi au usemi wa taarifa

Mifano ubaoni

maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 146

Mwongozo uk.98

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Shairi: Nitafanya kazi gani?

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze :Kukariri shairi kwa mahadhi mazuri

kujadili funzo na msamiati uliotumika katika shairi

  • kukariri shairi
  • kujadili mafunzo kutoka kwenye shairi

shairii katika kitabu cha mwanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 146

Mwongozo uk.97

 

10

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Mihadarati

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kufafanua athari za mihadrati

Kutaja baadhi ya tabia na sifa za wanaotumia mihadarati

  • Kujadili kuhusu mihadarati
  • Kuuliza na kujibu maswali

Picha na michoro mbalimbali

 

KISWAHILI SANIFU 8 –Kitabu cha mwanafunzi:  (Toleo Jipya 2005)uk.  154

Mwongozo uk.100

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Sibagaumi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma kwa ufasaha

kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali

makala kitabuni.

Kisw. Sanifu 8 uk. 155

Mwoongozo uk. 103

 

3

KUANDIKA

Insha ya mazungumzo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya mazungumzo kwa hati nadhifu

  • Kuandika insha

Vidokezo ubaoni

 

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 157

Mwongozo uk.104

 

4

SARUFI

Usemi halisi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa taarifa hadi usemi halisi

  • kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa halisi au usemi wa taarifa

Mifano ubaoni

maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 103

Mwongozo uk.157

 

5

MAPAMBO YA LUGHA

Misemo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze:kubainisha maana ya misemo,

Kutoa mifano ya misemo

kuunda sentensi sahihi akitumia misemo

  • kueleza maana na kutoa mifano ya misemo
  • kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi

chati yenye mifano ya misemo

Kitabu cha mwanafunzi Uk. 156

Mwongozo uk.103

 

11

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

Read 271 times Last modified on Wednesday, 23 November 2022 12:46

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.