Thursday, 05 May 2022 09:20

Kiswahili Activities Questions and Answers - CBC Grade 1 End Term 1 Exams 2022 Set 1

Share via Whatsapp

Maswali

  1. UFAHAMU 
    Soma hadithi ifuatayo kisha ujibu maswallyerfuatayo:

    Karimi ni msichana nadhifu. Yeye husoma katika gredi ya kwanza shuleni leleji. Mwalimu wake wa darasa ni Bi Khadija. Kiranja wa darasa ni mvulana. Jina lake ni Adhoch.
    1. Karimi ni msichana wa aina gani?
    2. Ako katika gredi gani?
    3. Shule yake inaitwaje?
    4. Mwaiimu wake wa darasa anaitwaje?
    5. Kiranja woo anaitwaje?

  2. SARUFI (Mama 20)
    1. Andika majina ya vyakula hivi (Mama 5)
      03Kisg1et1q2.1a
    2. chagua jibu sahihi. (Mama 5)
      1. Ndizi ___________ zimeharibika. (zetu, langu)
      2. Mihogo ___________ imepikwa. (letu, yetu)
      3. Embe ___________  limeiva. (Iangu, zangu)
      4. Muwa ___________  ni mtamu. (zetu, wangu)
      5. Viazi ___________  ni vikubwa. (chetu vyetu)
    3. Tumia haya maneno kujaza pengo
      (nawa mikono, futa kamasi, kata kucha)
      1. Mtoto ali ___________ kwenye pua lake.
      2. Baada ya kutoka msalani ali ___________
      3. Mwanafunzi ali___________  zake ndefu za vidole
    4. Jaza pengo kwa kutumia maneno haya
      (pole, tafadhali, kwaheri)
      1. Ukimkosea mtu utamwambia ___________
      2. Ukimuaga mtu unasema ___________  ya kuonana.
      3. ___________  nisaidie kalamu yako.
    5. Andika majina ya nambari hizi kwa maneno
      1. 10 ___________ 
      2. 8   ___________ 
      3. 6   ___________ 
      4. 7   ___________

  3. KUANDIKA.
    Unda maneno kumi kutoka kwenye jedwali
    kwa mfano: a na bi sha - anabisha
    nya  bu bi na mba za
    mu ba sha a ha sa

    1. ___________________________
    2. ___________________________
    3. ___________________________
    4. ___________________________
    5. ___________________________
    6. ___________________________
    7. ___________________________
    8. ___________________________
    9. ___________________________
    10. ___________________________

Majibu

  1.               
    1. nadhifu
    2. gredi ya kwanza
    3. Leleji
    4. Bi Khadija
    5. Adhoch
  2.          
    1.        
      1. mhindi/ mahindi
      2. sukuma
      3. kitunguu
      4. nyanya
      5. maharagwe/maharage
    2.       
      1. zetu
      2. yetu
      3. langu
      4. wangu
      5. vyetu
    3.            
      1. futa kamasi
      2. nawa mikono
      3. kata kucha
    4.              
      1. pole
      2. kwaheri
      3. tafadhali
    5.          
      1. kumi
      2. nane
      3. sita
      4. saba
  3. Sahihisha maneno yoyote kumi ambayo yametengenezwa kulingana na maagizo
    mfano: babu, hamu, sanaa, hasa, baa, bisha, nasa, sana, zamu, zaba, shamba, ana, amba, anabisha, sambaza, sambaa, saba, na mengineo
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Activities Questions and Answers - CBC Grade 1 End Term 1 Exams 2022 Set 1.


Tap Here to Download for 30/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


.