Displaying items by tag: Kiswahili

RATIBA YA SOMO LA KISWAHILI DARASA LA NANE MUHULA PILI – 2023

WK

KIP

FUNZO

MADA

SHABAHA

SHUGHULI ZA MAFUNZO

NYENZO

ASILIA

MAONI

1

 

MARUDIO

Mada mbalimbali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuyarudia  aliyoyapitia katika muhula wa kwanza ili kujitayarisha kwa kazi ya muhula wa pili

  • Kuuliza na kujibu maswali ya kauli na ya kimaandishi.
  • Karatasi za mitihani iliyopita

Vitabu mbalimbali vya marudio.

 

2

 

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Mahojiano

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia maneno ya adabu na heshima kwa njia sahihi

  • Kuuliza na kujibu maswali
  •  Kuigiza mahojiano kati ya Vundi na daktari
  • Ubao
  • Zoezi kitabuni mwa wanafunzi.

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu)uk.  69

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Panga

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Ubao
  • Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

,,

Uk. 70

 

3

KUANDIKA

Insha ya kimalizio

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kimalizio kwa hati nadhifu

  • Kutunga sentensi
  • kujibu maswali
  • Kuandika sentensi
  • vidokezo Ubaoni

Uk. 72

 

4

SARUFI

Viulizi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

 kutumia viulizi  vya viambishi ngeli kwa kutunga sentensi sahihi

  • Kuunda sentensi
  • Kutoa mifano ya viulizi
  • Kufanya zoezi
  • Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

 

Uk. 72

 

5

MSAMIATI

Vitawe

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia msamiati wa vitawe kwa  kuunda sentensi sahihi na kujibu maswali

  • kueleza maana ya itawe
  • kuunda sentensi
  •  Kufanya zoezi
  • chati yenye mifano ya vitawe

Uk. 75

 

3

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Sentensi zenye miundo mbalimbali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja na kutoa mifano ya aina za sentensi mbalimbali

  • kutoa maelezo
  •  kutoa mifano ya sentensi
  • kutunga sentensi
  •  Uhusika wa wanafunzi
  • maelezo kitabuni mwa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  76

 

2

KUSOMA

Ufahamu:

Moto

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa  kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa  hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • kueleza maana ya maneno mapya
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Taarifa kitabuni mwa wanafunzi.

 

Uk 78

 

3

KUANDIKA

Insha ya masimulizi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kuvutia kwa hati nadhifu

  • kuandika insha ya masimulizi
  • Vidokezo ubaoni

Uk 80

 

4

SARUFI

Matumizi ya katika, ni na kwenye

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja maatumizi sahihi ya ni, katika, na kwenye.

  • Kutaja matumizi ya ni, katika na kwenye
  • Kufanya zoezi
  • Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

 

Uk 80

 

5

MSAMIATI

Teknologia

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia msamiati wa teknologia kwa  kutunga sentensi sahihi .

  • Kutaja na kujadili msamiati wa teknologia
  • Kufanya zoezi
  • Picha na michoro mbalmbali.

 

Uk 82

 

4

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Taarifa mbalimbali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma na kusikiliza taarifa mbalimbali, kutaja maudhui. Na kutaja msamiati uliotumika

  • Kusoma
  •  kujadili taarifa mbalimbali
  • Uhusika wa wanafunzi
  • mjarida na magazeti, redio

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  84

 

2

KUSOMA

Maktaba

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma makala mbalimbali na kujibu maswali kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • makala na vitabu mbalimbali.

Vitabu kutoka maktaba

 

3

KUANDIKA

Insha ya methali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya methali kwa hati nadhifu

  • kuandika insha
  • Maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 84

 

4

SARUFI

Kauli ya kutendeka

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutunga sentensi sahihi akitumia maneno katika hali ya kutendeka

  • kuuliza na kujibu maswali
  • Kuunda sentensi
  • Maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 85

 

5

MSAMIATI

Ukoo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja msamiati wa ukoo kwa usahihi.

  • Kutaja msamiati wa ukoo
  • Kufanya zoezi
  • Chati yenye msamiati wa ukoo

Uk. 86

 

5

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

methali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutoa mifsno ya mithali na visawe vya methali hiyo

  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • kutaja methali na visawe vyake
  • Kamusi ya methali

 

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi:kiswaili kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  87

 

2

KUSOMA

shairi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma na kukariri shairi dawa za kulevya kwa sauti murua.

  • kusoma na kukariri shairi
  • kujibu maswali
  • shairi kitabuni mwa wanafunzi

UK. 88

 

3

KUANDIKA

Insha ya kumbukumbu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kumbukumbu kulingana na mpangilio muafaka

  • kutoa mifano ya viunganishi
  • Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi
  • maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 90

 

4

SARUFI

Udogo, wastani na ukubwa wa nomino

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika sentensi atakazopewa katika udogo, wastani na ukubwa

  • kutaja ukubwa na udogo wa nomino
  • Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi
  • maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 91

 

5

MSAMIATI

viwandani

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja vifaa na matumizi ya baadhi ya vyombo vya viwandani          

  • Kujadili msamiati wa viwandani Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi
  • Michoro na picha vifaa vya viwandani

Uk. 93

 

6

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Misemo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze  kutao mifano ya misemo na maana yake

  •  kutaja misemo, kueleza maana na matumizi yake

 

  • mifano ya misemo kitabuni mwa wanafunzi na ubaoni

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  94

 

2

KUSOMA

Ufahamu:

Kazi ni kazi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

Uk. 95

 

3

KUANDIKA

Insha  ya mazungumzo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya mazungumzo kwa hati nadhifu

  • kuandika insha ya mazungumzo

 

  •  vidokezo ubaoni

Uk. 97

 

4

SARUFI

Usemi halisi na usemi wa kawaida

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa halisi au usemi wa taarifa

  • kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa halisi au usemi wa taarifa
  • Mifano ubaoni
  • maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 98

 

5

MSAMIATI

Matunda

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja aina ya matunda na kutumia msamiati wa matunda kutunga sentensi.

  • Kutaja aina ya matunda
  • Kutunga sentensi
  • Picha na michoro mbalimbali.

Uk. 99

  

7

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

vitendawili

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutega na kutegua viendawili kwa ustadi

  • kutega na kutegua viendawili
  • uhusika wa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.100 

 

2

KUSOMA

Ufahamu;

Uanaskauti

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa  kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa  hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Picha na makala katika kitabu cha mwanafunzi.

Uk.101

 

3

KUANDIKA

Insha ya masimulizi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya masimulizi kwa hati nadhifu.

  • kuandika insha

 

  • vidokezo ubaoni

Uk. 102

 

4

SARUFI

Matumizi ya ‘na

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja matumizi sahihi ya  “na

  • kutunga sentensi
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi
  • mifano ubaoni

Uk. 102

 

5

MSAMIATI

Mimea

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja majina ya mimea mbalimbali na idara zake katika serikali.

  • Kuandika majina ya mimea kutoka kwa jedwali
  • jedwali kwenye kitabu cha wanafunzi

Uk. 105

 

8

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Majadiliano

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja hoja muafaka kwenye mjadala kuhusu haki na usawa wa jinsia.

  • kushiriki mjadala
  • Uhusika wa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk. 106

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Matatu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifai kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • taarifa kitabuni mwa wanafunzi.

Uk. 107

 

3

KUANDIKA

Insha ya kuendeleza

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kuendeleza kwa hati nadhifu.

  • Kuandika insha
  • Vidokezo ubaoni

Uk.108

 

4

SARUFI

Kauli ya kutendesha

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika vitenzi katika kauli ya kutendesha kwa usahihi

  • Kuunda sentensi
  • kunyambua vitenzi
  • Kufanya zoezi
  • mifano ubaoni
  • Na kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 109

 

5

MSAMIATI

Viumbe vya kike na kiume

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja msamiati wa viumbe vya kike na kiume na kuutumia kuunda sentensi sahihi.

  • Kujadili msamiati Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi
  • Mifano ubaoni

Uk. 111

 

9

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Taarifa:

Hotuba ya mfamasia

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusikiliza kwa makini taarifa itakayosomwa na kujibu maswali ya kauli kwa usahihi

  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kuigiza hotuba

 

  • Makala kitabuni

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  54

 

2

KUSOMA

Hotuba

Elimu ni ufunguo wa maisha

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma hotuba kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye hotuba hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali ya ufahamu
  • Kufanya zoezi
  • Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

Uk.113

 

3

KUANDIKA

Insha ya mazungumzo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya mazungumzo a kulingana na muundu ufaao.

  • Kuandika insha
  • Vidokezo ubaoni

Uk.  114

 

4

SARUFI

Usemi halisi na usemi wa taaarif0a

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa halisi au usemi wa taarifa

  • kugeuza sentensi kutoka kwa usemi wa halisi au usemi wa taarifa
  • Mifano ubaoni
  • maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk.114

 

5

MSAMIATI

Nomino za makundi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuendelea kupanua kiwango chake cha msamiati kwa kutumia ipasavyo  nomino za makundi

  • Kutaja nomino za makundi
  • Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi
  • Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

Uk. 117

 

10

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Shairi

Hongera Bi Maathai

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kukariri shairi kwa mahadhi

  • kusoma na kukariri shairi
  • kuuliza na kujibu maswali
  • Uhusika wa wanafunzi

 

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk119

 

2

KUSOMA

Maktaba

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma majarida  mbalimbali na kujibu maswali kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali

 

  • majarida  mbalimbali.

Majarida kutoka maktaba

 

3

KUANDIKA

Insha ya kumalizia

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kumalizia kwa hati nadhifu

  • Kuandika insha
  • Vidokezo ubaoni

 

Uk. 121

 

4

SARUFI

Kauli ya kutendeshwa

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika vitenzi katika kauli ya kutendeshwa kwa usahihi

  • Kuunda sentensi
  • kunyambua vitenzi
  • Kufanya zoezi
  • mifano ubaoni
  • Na kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 121

 

5

MSAMIATI

Vitate

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia msamiati wa vitate kwa  kuunda sentensi sahihi na kujibu maswali

  • kueleza maana ya vitate
  • kuunda sentensi
  •  Kufanya zoezi
  • chati yenye mifano ya vitate

Uk. 75

 

11

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

 

RATIBA YA SOMO LA KISWAHILI DARASA LA NANE MUHULA KWANZA – 2022

WK

KIP

FUNZO

MADA

SHABAHA

SHUGHULI ZA MAFUNZO

NYENZO

ASILIA

MAONI

1

 

MARUDIO

Mada mbalimbali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuyarudia  aliyoyapitia katika darasa la saba  ili kujitayarisha kwa kazi ya darasa la nane.

Kuuliza na kujibu maswali ya kauli na ya kimaandishi.

Karatasi za mitihani iliyopita

Vitabu mbalimbali vya marudio.

 

2

 

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Maamkuzi,

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumi maneno ya adabu na heshima kwa njia sawa

Kuuliza na kujibu maswali kuigizama

  • Ubao
  • Zoezi kitabuni mwa wanafunzi.

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu)uk.  1

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Ubao
  • Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

,,

Uk. 2

 

3

KUANDIKA

Sentensi zenye miundo mbalimbali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kufafanua sentensi zenye miundo mbalimbali (neno moja, fupi, mseto/ndefu)

  • Kutunga sentensi
  • kujibu maswali
  • Kuandika sentensi

Mifano Ubaoni

Uk. 3

 

4

SARUFI

Viambishi ngeli

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze

- kutumia  ya viambishi ngeli kutunga sentensi sahihi

  • Kuunda sentensi
  • Kujadili mada
  • Kufanya zoezi

-Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

 

Uk. 4

 

5

MSAMIATI

Tarakimu (10,000,001- 30,000,000)

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia msamiati wa tarakimu (10,000,001- 30,000,000) kwa  kuunda sentensi sahihi.

kuandika tarakimu kwa maneno

chati zenye tarakimu

Uk. 7

 

3

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Adabu na heshima

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuigiza mazungumzo yanayohusisha maneno ya adabu na heshima.

  • kutunga sentensi
  • kuigiza mazungumzo ya adabu na heshima

Uhusika wa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  9

 

2

KUSOMA

Ufahamu:

Usafi wa mazingira

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma ufahamu  kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa  hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • kueleza maana ya manono mapya
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Taarifa kitabuni mwa wanafunzi.
  • mazingira ya shuleni

Uk 10

 

3

KUANDIKA

Insha ya wasifu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika wasifu wa kiongozi ampedaye kwa hati nadhifu.

kuandika wasifu

Vidokezo ubaoni

Uk 12

 

4

SARUFI

Vivumishi visivyochukua ngeli

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja maana ya vivumishi, kutoa mifano ya vivumishi vya sifa kapa, kutunga sentensi sahihi akiyumia vivumishi vya sifa.

  • Kueleza maana ya vivumishi
  • Kujadili mada
  • Kufanya zoezi

Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

 

Uk 13

 

5

MSAMIATI

Akisami

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia msamiati wa akisami kwa  kutunga sentensi sahihi .

  • Kutaja na kujadili msamiati wa akisami
  • Kufanya zoezi

Picha na michoro mbalmbali.

 

Uk 13

 

4

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Hadithi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma hadithi kwa sauti na kusimulia hadithi hiyo kwa maneno yake mwenyewe.

  • Kusoma
  • kusimulia hadithi

Uhusika wa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  15

 

2

KUSOMA

Ufahamu: Msiba wa kujitakia hauna kilio

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali  kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

Uk. 17

 

3

KUANDIKA

Imla

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika maneno atakayosomewa kwa maendelezo sahihi.

kusikiliza kwa makini na kuandika maneno

Mifano ya manen kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 20

 

4

SARUFI

Vihisishi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja maana ya vihisishi, kutoa mifano ya vihisishi, kutunga sentensi sahihi akionyesha hisia tofauti

kueleza maana ya vihisishi, kutoa mifano Kuunda sentensi

Maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 21

 

5

MSAMIATI

Pembe kumi na sita za dunia

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia msamiati wa dira kwa usahihi.

  • Kutaja pembe 16 za dira
  • Kufanya zoezi

michoro mbalimbali ubaoni

Uk. 22

 

5

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Vitendawili

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutega na kutegua vitendawili kwa ustadi

  • Kuuliza na kujibu maswali.
  • Kusoma taarifa

Picha na michoro ubaoni na kitabuni

 

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi:kiswaili kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  24

 

2

KUSOMA

Maktaba

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma kitabu chochote akipendacho cha hadithi kutoka kwa maktaba

  • Kusoma
  • kueleza hadithi iliyosomwa

vitabu vya hadithi kutoka maktaba

Vitabu vya hadithi vilivyosomwa

 

3

KUANDIKA

Barua ya kirafiki

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika barua ya kirafiki kwa hati nadhifu

  • kueleza mundo wa barua ya kirafiki
  • kuadika barua

mfano wa barua ya kirafiki ubaoni

Uk. 25

 

4

SARUFI

Viunganishi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja maana ya viunganishi, kutoa mifano ya viunganish, kutunga sentensi sahihi akitumia viunganishi.

  • kutoa mifano ya viunganishi
  • Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi
  • Mifano ubaoni
  • zoezi kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 26

 

5

MSAMIATI

Sayari

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja sayari           

  • Kujadili msamiati
  • Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi
  • Michoro na picha zinazoonyesha
  • sayari

Uk. 28

 

6

-

TATHMINI YA MASOMO

 

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kujibu  maswali ya mtihani kwa usahihi kulingana na mafunzo ya awali.

  • Kuuliza na kujibu maswali
  • kufanya mitihani

Mtihani  wa katikati mwa muhula

karatasi za mitihani

 

7

MAPUMZIKO MAFUPI

 

8

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Mafumbo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze  kufumba na kufumbua mafumbo kwa ustadi.

kufumba na kufumbua mafumbo

 

Uhusika wa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  29

 

2

KUSOMA

Ufahamu:

Zilizala

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

Uk. 29

 

3

KUANDIKA

Insha: Barua rasmi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika barua rasmi kwa mpangilio muafaka.

  • kuandika barua rasmi
  • Kufanya zoezi

mfano wa barua rasmi ubaoni na kitabuni

Uk. 31

 

4

SARUFI

Vielezi vya mkazo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutoa mifano ya Vielezi vya mkazo na kutunga sentensi sahihi akitumia Vielezi vya mkazo

  • Kuunda sentensi
  • Kujadili mada
  • Kufanya zoezi

Mifano ubaoni

Uk. 33

 

5

MSAMIATI

Maliasili

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja aina za maliasili na kutumia msamiati wa maliasili kutunga sentensi.

  • Kutaja aina za maliasili
  • Kutunga sentensi

Picha na michorombalimbali.

Uk. 34

  

9

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Misemo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja misemo na kueleza maana yake.

  • Kutaja mifano ya misemo.
  • Kuuliza na kujibu maswali.

mifano ya misemo kitabuni na ubaoni.

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.36  

 

2

KUSOMA

Ufahamu; Kazi ipewe nani?

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma mazungumzo kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye mazungumzo hayo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Kuigiza mazungumzo

Picha na makala katika kitabu cha mwanafunzi.

Uk.37

 

3

KUANDIKA

Ushairi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja  kanuni za ushairi na kutunga shairi fupi kuhusu jambo alipendalo.

  • kuataja kanuni za ushairi
  • Kutunga shairi fupi

-Mifano ubaoni

Uk. 41

 

4

SARUFI

Kirejeshi –amba pamoja na ngeli

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia kirejeshi –amba na ngeli za A-WA,U-I, KI-VI, LI-YA, U-YA na YA-YA kutunga sentensi sahihi.

  • kutunga sentensi
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi
  • Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi
  • mifano ubaoni

Uk. 42

 

5

MSAMIATI

Msamiati 
wizara

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja wizara mbalimbali na idara zake katika serikali.

  • Kutaja wizara na idara mbalimbali.
  • kujibu maswali

Picha na michoro mbalimbali

Uk. 44

 

10

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Methali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja methali mbalimbali na kueleza maana ya methali hizo.

  • Kutaja methali na maana yake
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • kufanya zoezi

Mifano ya methali ubaoni na kitabuni mwa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  45

 

2

KUSOMA

Ufahamu
Shairi:- Ukimwi janga hatari

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma shairi kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye shairi hilo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • kukariri shairi
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kufanya zoezi

shairi kitabuni mwa wanafunzi.

Uk. 47

 

3

KUANDIKA

-Insha ya maelezo

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya maelezo kwa hati nadhifu.

Kuandika insha

Vidokezo ubaoni

Uk.49

 

4

SARUFI

Matumizi ya ndi- na si

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja matumizi sahihi ya viambishi ndi na si

  • Kuunda sentensi
  • Kujadili mada
  • Kufanya zoezi
  • mifano ubaoni
  • Na kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 49

 

5

MSAMIATI

Mahakamani

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja msamiati wa Mahakamani na kuutumia kuunda sentensi sahihi.

  • Kujadili msamiati Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi

picha na michoro mbalimbali

Uk. 52

 

11

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Taarifa:

Hotuba ya mfamasia

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusikiliza kwa makini taarifa itakayosomwa na kujibu maswali ya kauli kwa usahihi

  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kuigiza hotuba

 

Makala kitabuni

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  54

 

2

KUSOMA

Ufahamu
Ajira ya watoto

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali ya ufahamu
  • Kufanya zoezi

Picha na taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

Uk.55

 

3

KUANDIKA

Insha ya hotuba

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika isha ya hotuba kulingana na muundu ufaao.

Kuandika insha

Vidokezo ubaoni

Uk.  57

 

4

SARUFI

Vivumishi vya  A -unganifu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja vivumishi vya A unganifu na kutunga sentensi zenye vivumishi hivyo.

kutaja vivumishi vya A unganifu -Kutunga sentensi

Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

Uk. 59

 

5

MSAMIATI

Tarakimu

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuendelea kupanua kiwango chake cha msamiati kwa kutumia ipasavyo  tarakimu za (30,000,001 -60,000,000)

  • Kutaja tarakimu -Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi

Zoezi katika kitabu cha mwanafunzi

Uk. 60

 

12

1

KUSIKILIZA NA KUONGEA

Majadiliano

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kushiriki mjadala kwa kutoa hoja muhimu kuhusu faida na hasara za mbuga za kuhifadhi wanyama pori.

  • Kushiriki mjadala
  • kuuliza na kujibu maswali

Uhusika wa wanafunzi

 

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk. 61

 

2

KUSOMA

Ufahamu

Haki za mtoto ni zipi?

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kusoma taarifa kwa makini na kujibu maswali kutoka kwenye taarifa hiyo kwa usahihi.

  • Kusoma
  • Kuuliza na kujibu maswali
  • Kujadili taarifa

Taarifa katika kitabu cha wanafunzi.

Uk. 61

 

3

KUANDIKA

Insha ya kuendeleza

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kuandika insha ya kuendeleza kwa hati nadhifu

Kuandika insha

-Vidokezo ubaoni

 

Uk. 64

 

4

SARUFI

Vielezi

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutaja aina za vielezi kwa kutoa mifano sahihi.

  • kutaja aina za vielezi
  • kutoa mifano

Maelezo kitabuni mwa wanafunzi

Uk. 65

 

5

MSAMIATI

Mekoni

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kutumia msamiati wa akisami kuunda sentensi sahihi.

  • Kujadili msamiati -Kuunda sentensi
  • Kufanya zoezi

Vifaa asili kama mbuzi,  mwiko, uteo, susu n.k

Uk. 67

 

13

-

MAREJELEO

Mada zote zilizosomwa awali

Kufikia mwisho wa kipindi mwanafunzi aweze kurudia  yale yote aliyojifunza ili kujitayarisha kwa mtihani wa mwisho wa muhula.

Kuuliza na kujibu maswali ya kauli naya kimaandishi.

Mazoezi ya marudio kitabuni mmwa wanafunzi

KISWAHILI KWA DARASA LA 8 –Kitabu cha wanafunzi: Kiswahili Kitukuzwe (Toleo la tatu) uk.  1-68

 

14

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA  KUSAHIHISHA NA KUNAKILI MATOKEO.

KISWAHILI ACTIVITIES. 

Wk

Ls n

Strand/ Theme

Sub   strand

Specific learning outcomes

Key inquiry Questions

Learning experiences

Learning Resources

Assessment methods

Ref l

1 1

SAA NA
MAJIRA: 
Kuandika

Aina za Insha: Baruapepe

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya I-ZI ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
  2. kuandika nomino za ngeli ya I-ZI katika umoja na wingi
  3. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya ngeli ya I-ZI
  4. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI katika mawasiliano.
  1. Unazingatia mambo gani unapoandika baruapepe?
  2. Ni mambo gani unayoweza kumweleza rafiki yako katika baruapepe?

Ashiriki na wenzake

  1. kujadili mada ya
  2. baruapepe na vipengele vyake/yale yanayofaa kujumuishwa
  3. aandike barua pepe kwa rafiki kwa kuzingatia ubora wa sentensi (sahihi kisarufi, zilizokamilika
  4. kimaana, zenye kufuatana kwa kujenga wazo na zenye kuzingatia uakifishi mzuri) kuunda aya
  5. ashirikeshe msamiati wa mada lengwa katika baruapepe yake
  6. aandike barua pepe na kutuma wenzake na walimu ili waisome na kutathmini


Kielelezo cha insha ya Baruapepe

 

  1. Kuandika
    tungo mbalimbali
  2. Wanafunzi kufanyiana tathmini
  3. Potfolio
  4. Shajara
  5. Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
 

2

Sarufi

Umoja na wingi wa nomino: Ngeli I-ZI

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya I-ZI ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
  2. kuandika nomino za ngeli ya I-ZI katika umoja na wingi
  3. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya ngeli ya I-ZI
  4. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI katika mawasiliano.

1. Je, unajua nomino zipi ambazo hazibadiliki katika umoja na wingi?

Mwanafunzi:

  1. Atambua nomino katika ngeli ya I-ZI kwenye kadi, mti maneno, tarakilishi au kapu la maneno (k.v. nguo- nguo, ndizi- ndizi, ndoo-ndoo na nyumbanyumba)
  2. Aandike nomino katika ngeli ya I-ZI katika umoja na wingi akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi

Tarakilishi/vipakatalishi

Kinasasauti
Rununu
projekta
Kapu maneno
Mti maneno
Kadi za maneno
Picha za vitu mbalimbali 
Michoro 
Chati 

a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
e) Kazi mradi

 
  3

 

Umoja na wingi wa nomino: Ngeli I-ZI

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya I-ZI ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
  2. kuandika nomino za ngeli ya I-ZI katika umoja na wingi
  3. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya ngeli ya I-ZI
  4. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI katika mawasiliano.
1. Je, unajua nomino zipi ambazo hazibadiliki katika umoja na wingi?
  • Asikize usomaji wa nomino za ngeli ya I-ZI kutoka kwenye tepurekoda au kinasasauti
  • Aandike mafungu ya maneno yenye
  • yenye nomino za ngeli
  • ya I-ZI katika umoja na wingi
  • ajaze mapango kwa kutumia kwa kutumia viambishi vya ngeli ya I-ZI kwa maandishi ya mkono au kwa tarakilishi.
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

4

  Umoja na wingi wa sentensi: katika ngeli ya I-ZI  

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya I-ZI ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
  2. kuandika nomino za ngeli ya I-ZI katika umoja na wingi
  3. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya ngeli ya I-ZI
  4. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI katika mawasiliano.
1. Je, unajua nomino zipi ambazo zinaanza kwa herufi U katika umoja?
  • Asikize usomaji wa nomino za ngeli ya I-ZI kutoka kwenye tepurekoda au kinasasauti
  • Aandike mafungu ya maneno yenye
  • yenye nomino za ngeli
  • ya I-ZI katika umoja na wingi
  • ajaze mapango kwa kutumia kwa kutumia viambishi vya ngeli ya I-ZI kwa maandishi ya mkono au kwa tarakilishi.
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
2

1

  Umoja na wingi wa sentensi: katika ngeli ya I-ZI

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua viambishi vipatanishi vya ngeli ya I- ZI kwenye sentensi
  2. kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya I-ZI katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
  3. kuonea fahari matumizi ya ngeli ya I-ZI katika mawasiliano
1. Je, unajua nomino zipi ambazo zinaanza kwa herufi U katika umoja? Aunde sentensi kwa kutumia nomino ya ngeli ya I-ZI akiwa peke yake au kwa kushirikiana na wenzake.
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
  2 KUKABI LIANA NA UMASKI NI Kusikiliza na Kuzungumza: Methali: Methali zinazohusu bidii

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua methali zinazohusu bidii ili kuzitofautisha na aina nyingine za methali
  2. kueleza maana na matumizi ya methali mbalimbali zinazohusu bidii katika jamii
  3. kutumia methali zinazohusubidii katika mawasiliano
  4. kuchangamkia matumizi ya methali katika kuhimiza bidii
1. Je, ni nini umuhimu wa methali katika jamii?

Mwanafunzi:

  1. Atambue methali zinazohusu bidii (k.v. mchagua jembe si mkulima, mgagaa na upwa
  2. hali wali mkavu, atafutaye hupata, anayejitahidi hufaidi, ukiona vyaelea vimeundwa) katika chati, ubao, vyombo vya kidijitali
  3. ajadili maana na matumizi ya methali zinazohusu bidii na wenzake darasani
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa
  • video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno mbalimbali
  • Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  • Kujibu maswali
  • Maigizo
  • Kutambua k.m. kwenye orodha
  • Mijadala
  • Mazungumzo
 
 

3

  Kusikiliza na Kuzungumza: Methali: Methali zinazohusu bidii

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua methali zinazohusu bidii ili kuzitofautisha na aina nyingine za methali
  2. kueleza maana na matumizi ya methali mbalimbali zinazohusu bidii katika jamii
  3. kutumia methali zinazohusubidii katika mawasiliano
  4. kuchangamkia matumizi ya methali katika kuhimiza bidii
1. Je, ni nini umuhimu wa methali katika jamii?
  • Atoe mifano ya methali  zinazohusu bidii
  • Asikilize methali zinazohusu bidii zikitumiwa kupitia vyombo vya kidijitali.
  • Ashirikiane na wenzake  katika kukamilisha methali zinazohusu bidii
  • Asakure mtandaoni kwa kusaidiwa na mzazi au mlezi wake ili kupata methali zaidi zinazohusu bidii na matumizi ya methali hizo.
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa
  • video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno mbalimbali
  • Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  • Kujibu maswali
  • Maigizo
  • Kutambua k.m. kwenye orodha
  • Mijadala
  • Mazungumzo
 
 

4

Kusoma Kusoma kwa ufahamu: Lugha katika ushairi

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua vina na mizani katika shairi ili kuvibainisha
  2. kusoma shairi akizingatia vina, mizani na ujumbe ili kuimarisha ufahamu
  3. Achangamkie kusoma shairi akizingatia mapigo ya sauti.
1. Je, ni nini kinachotofautisha mashairi na maandishi mengine?

Mwanafunzi:

  1. Atambue vina na mizani katika shairi lililochapisha au la mtandaoni
  2. Ajadili vina na mizani katika shairi akiwa na mwenzake au katika kikundi
  3. Asirikiane na mwenzake kusoma shairi akizingatia vina, mizani na ujumbe
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa
  • video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno mbalimbali
  1. Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  2. Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  3. Kutoa muhtasari wa
    ufahamu au matini
 
3

1

  Kusoma kwa ufahamu: Lugha katika ushairi

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua vina na mizani katika shairi ili kuvibainisha
  2. kusoma shairi akizingatia vina, mizani na ujumbe ili kuimarisha ufahamu
  3. Achangamkie kusoma shairi akizingatia mapigo ya sauti.
 1. Je, ni nini kinachotofautisha mashairi na maandishi mengine?  

Mwanafunzi:

  1. atambue vina na mizani katika shairi lililochapisha au la mtandaoni
  2. ajadili mizani katika shairi akiwa na mwenzake au katika kikundi
  3. ashirikiane na mwenzake kusoma shairi akizingatia vina, mizani na ujumbe
  4. asikilize shairi likisomwa kwa mahadhi kwenye vifaa vya kidijitali au na mgeni mwalikwa na kujadili vina, mizani na ujumbe wake
  5. ashirikiane na wenzake kutafuta mashairi mtandaoni na kujadili vina, mizani na ujumbe uliomo
  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  • Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  • Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  • Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  • Kukariri na kuimba mashairi
  • Kusoma kwa sauti
 
 

2

Kuandika Insha ya Maelezo  

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua insha za maelezo katika matini mbalimbali
  2. kuandika insha ya maelezo kwa kufuata kanuni zifaazo
  3. Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ili kuimarisha uandishi.
Unazingatia nini unapoandika insha ya maelezo?

Mwanafunzi:

  1. Atambue vifungu vya  maelezo vilivyoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi
  2. Ashiriki na wenzake kujadili mada ya insha na muundo wa insha ya maelezo
  3. Ajadiliane na wenzake kuhusu mambo muhimu yanayojenga mpangilio mzuri wa mawazo katika insha
  4. Aandike insha ya maelezo mtandaoni na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili
  5. kuisoma na kuitathmini
  6. Awasome wenzake insha  aliyoandika ili kuitolea maoni.
 
  • asikilize shairi likisomwa kwa mahadhi kwenye vifaa vya kidijitali au na mgeni mwalikwa na kujadili vina, mizani na ujumbe wake
  • ashirikiane na wenzake kutafuta mashairi mtandaoni na kujadili vina, mizani na ujumbe uliomo
  • Kielelezo cha insha ya maelezo
  • Kuandika tungo mbalimbali
  • Wanafunzi kufanyiana tathmini
  • Potfolio
  • Shajara
  • Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
 

3

  Insha ya Maelezo Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:
  1. kutambua insha za maelezo katika matini mbalimbali
  2. kuandika insha ya maelezo kwa kufuata kanuni zifaazo
  3. Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ili kuimarisha uandishi.
Unazingatia nini unapoandika insha ya maelezo? Aandike insha ya maelezo (k.v. Jinsi ninavyoweza kuchangia kukabiliana na umaskini nyumbani, Maskini alivyogeuka kuwa tajiri, Jinsi elimu ilivyosaidia kumaliza umaskini, jinsi matumizi bora ya pesa yanasaidia kumaliza umaskini, jinsi ulipaji ushuru unasaidia kukabiliana na umaskini) isiyopungua maneno 150 kwa kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu unaojumuisha methali na nahau alizojifunza awali
  • Kielelezo cha insha ya
  • masimulizi
  • Kielelezo cha insha ya
  • maelezo
  • Kielelezo cha insha ya wasifu
  • Nakala ya barua ya kirafiki
  • Nakala ya barua rasmi
  • Kuandika tungo mbalimbali
  • Wanafunzi kufanyiana tathmini
  • Potfolio
  • Shajara
  • Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
 

4

Sarufi Umoja na Wingi wa Nomino: Ngeli ya U-ZI Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:
  1. kutambua nomino katika ngeli ya U-ZI
  2. kuandika nomino za ngeli ya U-ZI katika umoja na wingi
  3. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya U-ZI
  4. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-ZI katika mawasiliano.
Je, ni nomino zipi hupatikana katika ngeli ya U-ZI?

Mwanafunzi:

  1. Atambue nomino katika  ya U-ZI kwenye kadi, mti wa maneno, tarakilishi au kapu la maneno (k.m. UziNyuzi, Ukuta-Kuta, Uta- Nyuta, ubavu-mbavu, wakatinyakati, ukucha-kucha na ufunguo- funguo, wimbonyimbo)
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
4

1

  Umoja na Wingi wa Nomino: Ngeli ya U-ZI

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya U-ZI
  2. kuandika nomino za ngeli ya U-ZI katika umoja na wingi
  3. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya U-ZI
  4. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-ZI katika mawasiliano.
1. Je, ni nomino zipi hupatikana katika ngeli ya U-ZI?
  • Andike mino katika ngeli ya U-ZI katika umoja nawingi akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi
  • Asiikilize usomaji wa nomino  za ngeli ya U-ZI kutoka kwenye tepurekoda au kinasasauti
  • Andike mafungu ya maneno yenye nomino za ngeli ya U-ZI katika umoja na wingi
  • Ajaze pengo kwa kutumia viambishi vya ngeli ya U-ZI kwa maandishi ya mkono au kwa tarakilishi.
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 

2

  Umoja na wingi wa sentensi: Ngeli ya U-ZI

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya U-ZI
  2. kuandika nomino za ngeli ya U-ZI katika umoja na wingi
  3. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya U-ZI
  4. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-ZI katika mawasiliano.
1. Je, nomino za ngeli ya U-ZI huchukua viambishi vipatanishi gani ?
  • Andike mino katika ngeli ya U-ZI katika umoja nawingi akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi
  • Asiikilize usomaji wa nomino  za ngeli ya U-ZI kutoka kwenye tepurekoda au kinasasauti
  • Andike mafungu ya maneno yenye nomino za ngeli ya U-ZI katika umoja na wingi
  • Ajaze pengo kwa kutumia viambishi vya ngeli ya U-ZI kwa maandishi ya mkono au kwa tarakilishi.
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

3

MAADILI Kusikiliza na kuzungumza: Matamshi Bora: Ushairi

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kukariri shairi kwa kuzingatia matamshi na mahadhi mbalimbali
  2. kueleza maana ya msamiati uliotumiwa katika shairi
  3. kutumia msamiati uliotumiwa katika shairi kuboresha masiliano
  4. kuonyesha ufahamu wa ujumbe katika shairi kwa kujibu maswali
  5. Kuchangamkia ushairi kama njia ya kujieleza kwa  ufasaha.
1. Ushairi unaweza kuboresha mazungumzo yako vipi?

Mwanafunzi:

  1. Akariri shairi kuhusu mada lengwa (maadili) kwa kuzingatia matamshi na mahadhi mbalimbali
  2. Asikilize shairi lengwa lengwa 
  3. likikaririwa au kuimbwa na mwalimu, mgeni mwalikwa (mghani) au kupitia vifaa vya kidijitali ashirikiane na wenzake
  4. kukariri au kuimba shairi kwa mahadhi mbalimbali
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa
  • video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno
  • Vitabu mbalimbali
  • Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  • Kujibu maswali
  • Maigizo
  • Kutambua k.m. kwenye orodha
  • Mijadala
  • Mazungumzo
 
 

4

  Kusikiliza na kuzungumza: Matamshi Bora: Ushairi

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kukariri shairi kwa kuzingatia matamshi na mahadhi mbalimbali
  2. kueleza maana ya msamiati uliotumiwa katika shairi
  3. kutumia msamiati uliotumiwa katika shairi kuboresha masiliano
  4. kuonyesha ufahamu wa ujumbe katika shairi kwa kujibu maswali
  5. Kuchangamkia ushairi Kama njia ya kujieleza Kwa ufasaha.
Ushairi unaweza kuboresha mazungumzo yako vipi?
  1. Atambue msamiati  uliotumika katika ushairi kuhusu maadili (k.m. haki, usawa, heshima na uwajibikaji) na kuueleza akiwa peke yake au kwa kushirikiana na wenzake ashirikiane na wenzake kujadili ujumbe katika shairi
  2. ajibu maswali yanayotokana  na shairi alilosikiliza, aliloimba au kukariri
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa
  • video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno
  • Vitabu mbalimbali
  1. Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  2. Kujibu maswali
  3. Maigizo
  4. Kutambua k.m. kwenye orodha
  5. Mijadala
  6. Mazungumzo
 
5

1

Kusoma Kusoma kwa Mapana: Makala

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua makala ya kusoma katika maktaba ili kuimarisha uchaguzi bora wa Makala
  2. kusoma makala mbalimbali ili kujenga ufasaha wa lugha
  3. kufurahia kusoma makala mbalimbali ili kujenga ufasaha wa lugha
  • Unapenda kusoma makala ya aina gani?
  • Ni ujumbe upi uliopata kwenye makala uliyowahi kusoma?
 

Mwanafunzi:

  1. Achague makala atakayosoma katika maktaba e makala ya aina mbalimbali yakujichagulia liane na wenzake kuhusu makala aliyoyasoma na alichojifunza kutokana na makala hayo
  2. Atumie kamusi kupata maana za msamiati uliotumika katika makala.
  3. Asaidiwe na mzazi au mlezi wake kupata makala zaidi na kuyasoma ili kujenga mazoea ya usomaji.
  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  1. Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  2. Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  3. Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  4. Kukariri na kuimba mashairi
  5. Kusoma kwa sauti
 
 

2

  Kusoma kwa Mapana: Makala

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua makala ya kusoma katika maktaba ili kuimarisha uchaguzi bora wa Makala
  2. kusoma makala mbalimbali ili kujenga ufasaha wa lugha
  3. kufurahia kusoma makala mbalimbali ili kujenga ufasaha wa lugha
 
  • Unapenda kusoma makala ya aina gani?
  • Ni ujumbe upi uliopata kwenye makala uliyowahi kusoma?

Mwanafunzi:

  1. Achague makala atakayosoma katika maktaba e makala ya aina mbalimbali ya kujichagulia liane na wenzake kuhusu makala aliyoyasoma na alichojifunza kutokana na makala hayo
  2. Atumie kamusi kupata maana za msamiati uliotumika katika makala.
  3. Asaidiwe na mzazi au mlezi wake kupata makala zaidi na kuyasoma ili kujenga mazoea ya usomaji.
  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  1. Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  2. Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  3. Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  4. Kukariri na kuimba mashairi
  5. Kusoma kwa sauti
 
 

3

Kuandi ka Kuandika Insha: Insha za Wasifu

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua vipengele vya kimuundo vya insha za wasifu
  2. kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo na mtindo ufaao
  3. kufurahia uandishi wa insha za wasifu ili kukuza stadi ya kuandika
1. Unazingatia nini unapoandika insha ya wasifu?

Mwanafunzi:

  1. Atazame makala za insha za wasifu kwenye chapa au kwenye tarakilishi.
  2. Atambue vipengele muhimu vya kimuundo kama vile kichwa, mwili, hitimisho
  3. Ajadili na wenzake kuhusu kinachoweza
  4. kuandikiwa katika insha ya wasifu (k.v. mtu,kitu, mnyama na mahali)
Kielelezo cha insha ya wasifu
  • Kuandika tungo mbalimbali
  • Wanafunzi kufanyiana tathmini
  • Potfolio
  • Shajara
  • Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
 

4

  Kuandika Insha: Insha za Wasifu

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua vipengele vya kimuundo vya insha za wasifu
  2. kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo na mtindo ufaao
  3. kufurahia uandishi wa insha za wasifu ili kukuza stadi ya kuandika
1. Unazingatia nini unapoandika insha ya wasifu?
  1. Ajadili na wenzake kuhusu mada mbalimbali zinazoweza kutungiwa insha za wasifu k.m. mwanafunzi mwadilifu, mtu aliyeshinda tuzo kwa wadilifu wake n.k.
  2. Andike insha ya wasifu isiyopungua maneno 150 daftarini au kwenye tarakilishi.
  3. Aasome wenzake kuhusu aliyoiandika ili kuitathmini
Kielelezo cha insha ya wasifu
  • Kuandika tungo mbalimbali
  • Wanafunzi kufanyiana tathmini
  • Potfolio
  • Shajara
  • Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
6

1

Sarufi Umoja na Wingi wa Nomino: Ngeli ya U-YA

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya UYA ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
  2. kuandika nomino za ngeli ya U-YA katika umoja na wingi
  3. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-YA katika mawasiliano.
1.Je, ni nomino zipi hupatikana katika ngeli ya U-YA?  

Mwanafunzi:

  1. Atambue nomino katika ya U-YA kwenye kadi, mti wa maneno, tarakilishi au kapu la maneno (kama vile upishi, ulezi, ugonjwa) aandike nomino katika ngeli ya U-YA katika umoja na wingi akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi
  2. Asikilize usomaji  wa nomino za ngeli ya U-YA kutoka kwenye tepurekoda au kinasa sauti
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

2

  Umoja na Wingi wa Nomino: Ngeli ya U-YA

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kuandika nomino za ngeli ya U-YA katika umoja na wingi
  2. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya ngeli ya U- YA
  3. Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-YA katika mawasiliano.
Je, ni nomino zipi hupatikana katika ngeli ya U-YA?

Mwanafunzi:

  1. Asikilize usomaji  wa nomino  za ngeli ya U-YA kutoka kwenye tepurekoda au kinasa sauti
    1. Aandikemafungu ya meneno yenye nomino za ngeli ya UYA katika umoja na wingi ajaze mapengo kwa kutumia viambishi vya ngeli ya U-YA kwa maandishi ya mkono au kwa tarakilishi
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

3

  Umoja na wingi wa sentensi: Ngeli ya U-YA

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua viambishi vipatanishi vya ngeli ya U- YA kwenye sentensi
  2. kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-YA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
  3. kufurahia matumizi ya ngeli ya U-YA katika mawasiliano
1. Je, nomino za ngeli ya U-YA huchukua viambishi gani katika sentensi?

Mwanafunzi:

  1. Atambue viambishi vya ngeli ya U-YA katika sentensi kwa kuvipigia mstari daftarini mwake au kuvikoleza rangi katika tarakilishi
  2. Atumie nomino za ngeli ya U-YA katika sentensi akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

4

  Umoja na wingi wa sentensi: Ngeli ya U-YA

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua viambishi vipatanishi vya ngeli ya U- YA kwenye sentensi
  2. kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-YA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
  3. kufurahia matumizi ya ngeli ya U-YA katika mawasiliano
1. Je, nomino za ngeli ya U-YA huchukua viambishi gani katika sentensi?
  1. Asikize usomaji wa sentensi zilizoundwa kutokana na nomino za ngeli ya U-YA kutoka kwenye tepurekoda au kinasa sauti
  2. aunde sentensi kwa kutumia  nomino ya ngeli ya UYA akiwa peke yake au kwa kushirikiana na wengine
  3. ajaze mapango kwa kutumia viambishi vya ngeli ya U-YA
  4. kwa maandishi ya mkono au tarakilishi
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
7

1

ELIMU YA MAZIN GIRA Kusikiliza na Kuzungumza: Nahau: Nahau za usafi na mazingira

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nahau za usafi na mazingira katika matini mbalimbali
  2. kufafanua maana ya nahau mbalimbali za kazi na ushirikiano kwa kutoa mifano
  3. kutumia nahau za usafi na mazingira katika mawasiliano
  4. Kuthamini matumizi ya nahau za usafi na mazingira katika mawasiliano.
  • Je, ni nahau zipi zinahusu usafi?
  • Je, ni nahau zipi zinahusu mazingira?

Mwanafunzi:

  1. Atambue nahau za usafi na mazingira (k.v. angua kucha, penga kamasi, piga deki, piga mswaki, chokonoa meno, futa vumbi) katika chati, michoro, picha, vikapu maneno, mti maneno, chati, kamusi na katika vyombo vya kidijitali
  2. Ashiriki katika kujadili na wenzake maana za nahau za usafi na mazingira na kutoa mifano
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa(video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno
  1. Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  2. Kujibu maswali
  3. Maigizo
  4. Kutambua k.m. kwenye orodha
  5. Mijadala
  6. Mazungumzo
 
 

2

  Kusikiliza na Kuzungumza: Nahau: Nahau za usafi na mazingira

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nahau za usafi na mazingira katika matini mbalimbali
  2. kufafanua maana ya nahau mbalimbali za kazi na ushirikiano kwa kutoa mifano
  3. kutumia nahau za usafi na mazingira katika mawasiliano
  4. Kuthamini matumizi ya nahau za usafi na mazingira katika mawasiliano.
  • Je, ni nahau zipi zinahusu usafi?
  • Je, ni nahau zipi zinahusu mazingira?
Kutumia nahau za usafi au  mazingira kutunga sentensi akiwa pekee au kwa kushirikiana na wenzake ashirikiane na wenzake  kujaza mapengo katika sentensi kwa kutumia nahau mwafaka kwenye zoezi la ubaoni, vitabuni au katika tarakilishi.
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa(video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno
  • Vitabu mbalimbali
  • Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  • Kujibu maswali
  • Maigizo
  • Kutambua k.m. kwenye orodha
  • Mijadala
  • Mazungumzo
 
 

3

Kusoma Kusoma kwa Mapana: Matini

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua matini anazotaka kusoma kwenye maktaba
  2. kusoma matini ili kufaidika na ujumbe na lugha inayotumiwa
  3. kufurahia usomaji wa matini za aina mbalimbali ili kujenga utamaduni wa kusoma
  • Unapenda kusoma matini ya aina gani?
  • Ni vipi unavyoweza kupata matini ya kusoma?
  • Kusoma aina mbalimbali za matini kuna umuhimu gani?

Mwanafunzi:

  1. Atambue aina mbalimbali za  matini (kama vile vitabu, magazeti, na majarida) kwenye maktaba, tarakilishi au kadi za katalogi.
  2. Achague matini atakvyosoma
  3. Asome matini kimyakimya ili kupata ujumbe uliopo na kufaidi matumizi ya lugha.
  4. Asimulie ujumbe kutokana na matini alizosoma kwa wenzake.
  5. Ajadiliane na wenzake matini alizosoma ili kuchochea hamu ya usomaji wa mapana miongoni mwao.
  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  • Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  • Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  • Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  • Kukariri na kuimba mashairi
  • Kusoma kwa sauti
 
 

4

  Kusoma kwa Mapana: Matini

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua matini anazotaka kusoma kwenye maktaba
  2. kusoma matini ili kufaidika na ujumbe na lugha inayotumiwa
  3. kufurahia usomaji wa matini za aina mbalimbali ili kujenga utamaduni wa kusoma
  • Unapenda kusoma matini ya aina gani?
  • Ni vipi unavyoweza kupata matini ya kusoma?
  • Kusoma aina mbalimbali za matini kuna umuhimu gani?

Mwanafunzi:

  1. Atambue aina mbalimbali za  matini (kama vile vitabu, magazeti, na majarida) kwenye maktaba, tarakilishi au kadi za katalogi.
  2. Achague matino atakavyosoma
  3. Asome i kimyakimya   ili kupata ujumbe uliopo na kufaidi matumizi ya lugha.
  4. Asimulie ujumbe kutokana na matini alizosoma kwa wenzake.
  5. Ajadiliane na a wenzake matini alizosoma ili kuchochea hamu ya usomaji wa mapana miongoni mwao.
  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  • Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  • Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  • Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  • Kukariri na kuimba mashairi
  • Kusoma kwa sauti
 
8

1

  Kusoma kwa Mapana: Matini

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua matini anazotaka kusoma kwenye maktaba
  2. kusoma matini ili kufaidika na ujumbe na lugha inayotumiwa
  3. kufurahia usomaji wa matini za aina mbalimbali ili kujenga utamaduni wa kusoma
 
  • Unapenda kusoma matini ya aina gani?
  • Ni vipi unavyoweza kupata matini ya kusoma?
  • Kusoma aina mbalimbali za matini kuna umuhimu gani?
  • Achague matino atakavyosoma
  • Asome i kimyakimya   ili kupata ujumbe uliopo na kufaidi matumizi ya lugha.
  • Asimulie ujumbe kutokana na matini alizosoma kwa wenzake.
  • Ajadiliane na a wenzake matini alizosoma ili kuchochea hamu ya usomaji wa mapana miongoni mwao.
  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  • Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  • Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  • Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  • Kukariri na kuimba mashairi
  • Kusoma kwa sauti
 
 

2

Kuandika Insha ya Maelezo

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua insha za maelezo katika matini mbalimbali
  2. kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia muundo na mtindo ufaao
  3. kuchangamkia utungaji wa insha za maelezo ili kuimarisha uandishi bora
1. Je, ni shughuli gani zinazoweza kuandikiwa insha za maelezo? Mwanafunzi: atambue vifungu vya insha za maelezo vilivyoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi (k.v. maelezo kuhusu upandaji wa miche, kusafisha darasa, kufua nguo, kuzuia mmomonyoko wa udongo, kupanda miti) achague zake kujadili mada ya insha na muundo wa insha ya maelezo Kielelezo cha insha ya maelezo
  • Kuandika tungo mbalimbali
  • Wanafunzi kufanyiana tathmini
  • Potfolio
  • Shajara
  • Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
 

3

  Insha ya Maelezo

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze:

  1. kutambua insha za maelezo katika matini mbalimbali
  2. kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia muundo na mtindo ufaao
  3. kuchangamkia utungaji wa insha za maelezo ili kuimarisha uandishi bora
1. Je, ni shughuli gani zinazoweza kuandikiwa insha za maelezo?

Andike insha ya maelezo 

  1. isiyopungua maneno 150 akizingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu unaojumuisha methali na nahau alizojifunza awali
  2. atunge insha ya maelezo mtandaoni na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili kuisoma na kuitathmini
  3. awasomee wenzake insha aliyoandika ili kuisikiliza na kuitathmini
Kielelezo cha insha ya maelezo
  • Kuandika tungo mbalimbali
  • Wanafunzi kufanyiana tathmini
  • Potfolio
  • Shajara
  • Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
 

4

Sarufi Umoja na wingi wa nomino: Ngeli ya KU-KU

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua nomino katika ngeli ya KU-KU
  2. kuandika nomino za ngeli ya KU-KU katika umoja na wingi
  3. kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya KUKU katika mawasiliano
1. Je, ni nomino zipi hupatikana katika ngeli ya KU-KU?

Mwanafunzi: Atambue nomino katika ngeli ya KU-KU (kama vile kupika, kufyeka, kuzuru, kukariri, kufua) kwenye kadi, mti wa maneno, tarakilishi au kapu la maneno

Aandike nomino katika ngeli ya KU-KU katika umoja na wingi akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi

  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
9

1

  Umoja na wingi wa nomino: Ngeli ya KU-KU

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kuandika nomino za ngeli ya KU-KU katika umoja na wingi
  2. kuandika umoja na wingi wa mafungu ya maneno katika ngeli ya ngeli yaKU- KU
  3. kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya KUKU katika mawasiliano
1. Je, ni nomino zipi hupatikana katika ngeli ya KU-KU?
  • Asikize usomaji  wa nomino 
  • za ngeli ya KU-KU kutoka kwenye tepurekoda au kinasa sauti
  • aandike mafungu ya maneno yenye nomino za ngeli ya KU-
  • KU katika umoja na wingi
  • Ajaze pengo kwa kutumia viambishi vya ngeli ya KU-KU kwa maandishi ya mkono au kwa tarakilishi.
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

2

  Umoja na wingi wa sentensi: Ngeli ya KU-KU

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua viambishi vipatanishi vya ngeli ya KUKU kwenye sentensi
  2. kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya KU-KU katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
  3. kufurahia matumizi ya ngeli ya KU-KU katika mawasiliano
1. Je, nomino za ngeli ya KU-KU huchukua viambishi gani katika sentensi?

Mwanafunzi:

  1. Atambue viambishi vya ngeli ya KU-KU katika sentensi kwa kuvipigia mstari au kuvikoleza rangi katika tarakilishi
  2. Atumie nomino katika ngeli ya KU-KU katika sentensi akiwa peke yake,wawiliwawili au katika vikundi
  3. Asikize usomaji wa sentensi zilizoundwa kutokana na nomino za ngeli ya KU-KU kutoka kwenye tepurekoda au kinasa sauti
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

3

  Umoja na wingi wa sentensi: Ngeli ya KU-KU

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua viambishi vipatanishi vya ngeli ya KUKU kwenye sentensi
  2. kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya KU-KU katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
  3. kufurahia matumizi ya ngeli ya KU-KU katika mawasiliano
1. Je, nomino za ngeli ya KU-KU huchukua viambishi gani katika sentensi?
  • Aunde sentensi kutumia  nomino ya ngeli ya KUKU akiwa peke yake au kwa kushirikiana na wenzake
  • ajaze mapengo viambishi vya ngeli ya KU-KU kwa maandishi ya mkono au tarakilishi.
  • Tarakilishi/vipa katalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kapu maneno
  • Mti maneno
  • Kadi za maneno
  • Picha za vitu mbalimbali
  • Michoro
  • Chati
  • Mabango
a) Kutambua k.m. kwenye orodha
b) Kuambatanisha maneno lengwa
c) Kujaza mapengo
d) Kazi mradi
 
 

4

NDEGE WA PORINI Kusikiliza na Kuzungumza: Visawe: Visawe vya maneno matatu

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua viambishi vipatanishi vya ngeli ya KUKU kwenye sentensi
  2. kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya KU-KU katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
  3. kufurahia matumizi ya ngeli ya KU-KU katika mawasiliano
1. Unajua maneno gani ya Kiswahili yaliyo na maana sawa?

Mwanafunzi:

  • Atambue maneno matatu matatu yenye maana sawa (k.v. nyumbani- kiamboni, mastakimuni, chengoni.
  • Barabara- tariki, gurufa, baraste. Jitimaihuzuni, kihoro, simanzi) kwa kutumia kapu la maneno, kadi za maneno, mti maneno, kuburura kwa kutumia tarakilishi, n.k. matatu yenye maana sawa akiwa peke yake au kwa kujadiliana na wenzake
  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa
  • video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno
  • Vitabu mbalimbali
  • Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  • Kujibu maswali
  • Maigizo
  • Kutambua k.m. kwenye orodha
  • Mijadala
  • Mazungumzo
 
10

1

  Kusikiliza na Kuzungumza: Visawe: Visawe vya maneno matatu

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua maneno matatu yenye maana sawa katika kundi la maneno
  2. kutumia visawe ifaavyo katika mawasiliano
  3. kuthamini matumizi ya maneno matatu yenye maana sawa katika mawasiliano
1. Unajua maneno gani ya Kiswahili yaliyo na maana sawa?

katika kapu maneno, mti maneno, ubao, chati, vyombo vya kidijitali, kadi maneno n.k ahusishe visawe na vifaa halisi, picha, michoro kwenye chati, kitabu au katika vyombo vya kidijitali n.k. mbalimbali katika vikundi vya wanafunzi wawiliwawili au zaidi atumie kisawe kimoja kuchukua nafasi ya kingine katika sentensi.

  • Chati
  • Michoro na picha
  • Mgeni mwalikwa
  • video)
  • Mti maneno
  • Kapu maneno
  • Vitabu mbalimbali
  • Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
  • Kujibu maswali
  • Maigizo
  • Kutambua k.m. kwenye orodha
  • Mijadala
  • Mazungumzo
 
 

2

Kusoma Kusoma kwa Ufahamu: Mchezo wa kuigiza

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kutambua mchezo wa kuigiza katika matini
  2. kusoma mchezo mfupi wa kuigiza kwa ufasaha
  3. kueleza maana ya msamiati uliotumiwa katika mchezo wa kuigiza
  4. Kufurahia kusoma michezo na kuigiza.
 
  • Umewahi kusoma michezo ipi ya kuigiza?
  • Unakumbuka nini katika mchezo uliowahi kuusoma?
  • Kusoma michezo ya kuigiza kuna umuhimu gani?

Mwanafunzi:

  • Aeleze maana ya mchezo wa kuigiza akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi
  • Aigize mchezo wa kuigiza, wahusika na maelekezo katika matini mbalimbali kama vile vitabu, chati na vilevile kwa kutumia tarakilishi
  • Atambue mchezo wa kuigiza akizingatia wahusika, maelekezo na ujumbe
  • Ashiriki katika majadiliano kuhusu msamiati wa suala lengwa (ndege wa porini) uliotumiwa katika mchezo wa kuigiza (k.v. chiriku, kasuku, tai, korongo, mwewe na kanga)
  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  • Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  • Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  • Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  • Kukariri na kuimba mashairi
  • Kusoma kwa sauti
 
 

3

  Kusoma kwa Ufahamu: Mchezo wa kuigiza

Kufikia mwisho wa mada ndogo, mwanafunzi aweze:

  1. kueleza maana ya msamiati uliotumiwa katika mchezo wa kuigiza
  2. kuonyesha ufahamu wa mchezo wa kuigiza kwa kujibu maswali
  3. kuigiza mchezo mfupi ili kukuza uwezo wa kujieleza
  4. Kufurahia kusoma michezo na kuigiza.
  • Umewahi kusoma michezo ipi ya kuigiza?
  • Unakumbuka nini katika mchezo uliowahi kuusoma?
  • Kusoma michezo ya kuigiza kuna umuhimu gani?

Atazame mchezo mfupi wa kuigiza ukiigizwa darasani au kwenye vifaa vya kidijitali aigize mchezo mfupi aliousoma akishirikiana na wenzake ashiriki mjadala kuhusu ujumbe unaojitokeza kwenye mchezo wa kuigiza

Asome michezo ya kuigiza kwenye mtandao ashiriki katika kutoa muhtasari wa mchezo aliousoma kuuliza na kujibu maswali ya ufahamu

  • Tarakilishi/vi pakatalishi
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Kinasasauti
  • Rununu
  • projekta
  • Nakala ya shairi
  • kamusi
  1. Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
  2. Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
  3. Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
  4. Kukariri na kuimba mashairi
  5. Kusoma kwa sauti
 
 

4

Kuandika Kuandika insha: Insha za masimulizi

Kufikia mwisho wa mada ndogo,mwanafunzi aweze,

  1. kueleza sifa za insha ya masimuizi ili kuibainisha
  2. kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo
  3. kuchangamkia utunzi mzuri
1. Ni mambo gani unayozingatia ili kuandika insha ya masimulizi ya kuvutia? Mwanafunzi:
Atambue insha ya masimulizi kwa kurejelea vielelezo vya insha zilizoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi mada ya insha na muundo wa insha ya masimulizi katika vifaa vya kidijitali na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili kuisoma na kuitathmi asomee wenzake insha aliyoandika ili waitathmini na kumwelekeza.
  • Kielelezo cha insha ya
  • masimulizi
  1. Kuandika tungo mbalimbali
  2. Wanafunzi kufanyiana tathmini
  3. Potfolio
  4. Shajara
  5. Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
 
Tagged under

GRADE 6 JKF NYOTA KISWAHILI
SCHEMES OF WORK TERM 1 2023 

SHULE

GREDI

ENEO LA KUJIFUNZA

MUHULA

MWAKA

 

GREDI 6

KISWAHILI

1

2023

 

Wiki

Kipindi

Mada kuu

Mada ndogo

Matokeo maalum yanayotarajiwa

Shughuli za ujifunzaji

Maswali dadasi

Nyenzo

Mapendekezo ya tathmini

Maoni

1

1

Viungo vya mwili vya ndani

Kusikiliza na kuzungumza;

Matamshi bora: Silabi na vitanzandimi: Sauti /d/ na /nd/

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/d/ na /nd/)
  2. Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi (/d/ na /nd/)
  3. Kufurahia kutunga vitanzandimi zenye silabi /d/ na /nd/

Mwanafunzi aweze kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/d/ na /nd/ 

Mwanafunzi aweze kusikiliza sauti lengwa zikitamkwa kutoka kwa vifaa vya kiteknolojia k.v rununu na kinasasauti 

Mwanafunzi aweze kutamka silabi lengwa na vitanza ndimi akiwa pekeake, wakiwa wawili au katika vikundi.

Ni silabi zipi zinazoundwa katika vitanzandimi ulivyokariri? 

Je, ni silabi zipi zinazorudiwa katika vitanza ndimi unavyounda?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 1-2

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Viungo vya mwili vya ndani

Sarufi; Aina za maneno: Vivumishi vya sifa

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya vivumishi vya sifa.
  2. Kutambua vivumishi vya sifa vinavyochukua viambishi awali.
  3. Kuchangamkia kutumia vivumishi vya sifa katika utungaji wa sentensi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya vivumishi vya sifa. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi vya sifa vinavyochukua viambishi awali (k.v mzuri, mkubwa, kidogo) 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi vya sifa kwenye sentensi au vifungu.

Vivumishi vya sifa zinahusu nini? 

Je, ni vivumishi vya sifa zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 2-4

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Viungo vya mwili vya ndani

Sarufi; Aina za maneno: Vivumishi vya sifa

 

 

 

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua vivumishi vya sifa visivyochukua viambishi awali.
  2. Kuandika vivumishi vya sifa visivyochukua viambishi awali kwa kutumia tarakilishi.
  3. Kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa katika mawasiliano ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya vivumishi vya sifa kwa kutumia vitu au watu katika mazingira yake. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi vya sifa visivyochukua viambishi awali. 

Mwanafunzi aweze kuandika vivumishi vya sifa visivyochukua viambishi awali kwa kutumia tarakilishi katika vikundi.

Je, vivumishi vya sifa visivyochukua viambishi awali ni gani?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 10-11

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Viungo vya mwili vya ndani

Kusoma; Kusoma kwa ufahamu: Biashara haramu ya viungo

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kusoma kifungu kwa kuzingatia ujumbe matukio na wahusika.
  2. Kutunga sentensi kutumia msamiati aliojifunza kwenye kifungu.
  3. Kufurahia kutoa mukhtasari wa kifungu hicho.

Mwanafunzi aweze kusoma kifungu kwa kuzingatia ujumbe matukio na wahusika. 

Mwanafunzi aweze kushiriki katika vikundi kujadili na kutumia msamiati lengwa katika sentensi.

Je, Biashara haramu ni gani? 

Vifaa vya kidijitali vina umuhimu gani?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 5-7

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

2

1

Viungo vya mwili vya ndani

Kuandika; Insha ya wasifu

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua insha wasifu kwa kuzingatia mtindo na muundo wake.
  2. Kuandika insha ya wasifu kwa ubunifu ili kujenga maelezo yenye kutoa picha dhahiri.
  3. Kuchangamkia utunzi mzuri wenye ujumbe mahususi.

 

Mwanafunzi aweze kutambua insha wasifu kwa kuzingatia mtindo na muundo wake. 

Mwanafunzi aweze kutumia methali, tashbihi na nahau zinazofaa ili kuipamba insha yake. 

Mwanafunzi aweze kutilia maanani anwani, mtiririko wa mawazo, mwandiko safi na kanuni za lugha aandikapo insha ya wasifu. 

Mwanafunzi aweze kuandika insha ya wasifu kwa ubunifu ili kujenga maelezo yenye kutoa picha dhahiri.

Insha ya wasifu ni gani? 

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 7-8

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Viungo vya mwili vya ndani

Kusikiliza na kuzungumza;

Matamshi bora: Silabi na vitanzandimi: Sauti /ch/ na /sh/

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/ch/ na /sh/)
  2. Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi (/ch/ na /nd/)
  3. Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi /ch/ na /sh/

Mwanafunzi aweze kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/ch/ na /sh/) 

Mwanafunzi aweze kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi (/ch/ na /nd/) 

Mwanafunzi aweze kutambua maneno yenye silabi za sauti /ch/ na /sh/ katika mchoro wa viungo vya mwili vya ndani katika vikundi.

Ni silabi zipi zinazoundwa katika vitanzandimi ulivyokariri?

Je, ni silabi zipi zinazorudiwa katika vitanza ndimi unavyounda?

 

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 8-9

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Viungo vya mwili vya ndani

Kusoma; Kusoma kwa ufahamu: Umuhimu wa viungo vya mwili vya ndani

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kusoma kifungu kwa kuzingatia ujumbe matukio na wahusika.
  2. Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumika katika kifungu ili kuimarisha ufahamu.
  3. Kujenga mazoea ya usomaji bora katika maisha ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kusoma kifungu kwa kuzingatia ujumbe matukio na wahusika. 

Mwanafunzi aweze kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumika katika kifungu ili kuimarisha ufahamu wakiwa wawiliwawili au katika vikundi. 

Mwanafunzi aweze kujibu maswali yanayotokana na kifungu ipasavyo.

Kusoma kuhusu viungo vya mwili vya ndani vina umuhimu gani? 

Je, viungo vya mwili vya ndani zina umuhimu gani?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 11-13

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Viungo vya mwili vya ndani

Sarufi; Aina za Maneno: Vivumishi viashiria

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya vivumishi viashiria.
  2. Kutambua vivumishi viashiria katika sentensi.
  3. Kuchangamkia kutumia vivumishi viashiria katika utungaji wa sentensi

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya vivumishi viashiria kwa kutaja vitu vilivyo karibu, mbali kidogo na mbali kabisa katika vikundi. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi viashiria katika sentensi kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuzipigia mstari au kukoleza rangi.

Je, Vivumishi viashiria vinahusu nini? 

Je, ni vivumishi viashiria zipi unazozijua?

 

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 13-14

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

3

1

Viungo vya mwili vya ndani

Sarufi; Aina za Maneno: Vivumishi viashiria

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza na kutaja vivumishi viashiria mbalimbali.
  2. Kutambua vivumishi viashiria, aviburure na kuvitia kapuni.
  3. Kuchangamkia matumizi ya vivumishi viashiria katika mawasiliano ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kueleza na kutaja vivumishi viashiria mbalimbali. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi viashiria, kuviburura na kuvitia kapuni.

Je, ni vivumishi viashiria zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 16-17

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Viungo vya mwili vya ndani

Kusikiliza na kuzungumza;

Matamshi bora: Silabi na vitanzandimi: Sauti /j/ na /nj/

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/j/ na /nj/)
  2. Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi (/j/ na /nj/)
  3. Kufurahia kutunga vitanzandimi zenye silabi /j/ na /nj/

Mwanafunzi aweze kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/j/ na /nj/ 

Mwanafunzi aweze kusikiliza sauti lengwa zikitamkwa kutoka kwa vifaa vya kiteknolojia k.v tarakilishi 

Mwanafunzi aweze kutamka silabi lengwa na vitanza ndimi akiwa pekeake, wakiwa wawili au katika vikundi. 

Ni silabi zipi zinazoundwa katika vitanzandimi ulivyokariri? 

Je, ni silabi zipi zinazorudiwa katika vitanza ndimi unavyounda?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 15-16

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Viungo vya mwili vya ndani

Sarufi; Aina za Maneno; Vivumishi vimilikishi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya vivumishi vimilikishi.
  2. Kutambua vivumishi vimilikishi katika sentensi kwa kuigiza umiliki wa vitu mbalimbali.
  3. Kuchangamkia kutumia vivumishi vimilikishi katika utungaji wa sentensi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya vivumishi vimilikishi. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi vimilikishi katika sentensi kwa kuigiza umiliki wa vitu mbalimbali wakiwa wawiliwawili. 

Mwanafunzi aweze kujaza jedwali kutumia vimilikishi katika nafsi I, nafsi II na nafsi III katika vikundi

Vivumishi vimilikishi vinahusu nini? 

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 18-20

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Viungo vya mwili vya ndani

Sarufi; Aina za Maneno; Vivumishi vimilikishi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kuandika sentensi akitumia vivumishi vimilikishi na nomino.
  2. Kutambua vivumishi vimilikishi kati ya orodha alizopewa katika tarakilishi, aviburure na kuvitia kapuni.
  3. Kuonea fahari matumizi ya vivumishi vimilikishi katika mawasiliano.

Mwanafunzi aweze kuandika sentensi akitumia vivumishi vimilikishi na nomino. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi vimilikishi kati ya orodha alizopewa katika tarakilishi, aviburure na kuvitia kapuni. 

Mwanafunzi aweze kujaza pengo kwa kimilikishi sahihi kati ya vile alivyopewa.

Je, ni vivumishi vimilikishi zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 22-23

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

4

1

Viungo vya mwili vya ndani

Kusikiliza na kuzungumza;

Matamshi bora: Silabi na vitanzandimi: Sauti /g/ na /ng/

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/g/ na /ng/)
  2. Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi (/g/ na /ng/)
  3. Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi /g/ na /ng/

Mwanafunzi aweze kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno (/g/ na /ng/ 

Mwanafunzi aweze kusikiliza sauti lengwa zikitamkwa kutoka kwa vifaa vya kiteknolojia k.v tarakilishi 

Mwanafunzi aweze kutamka silabi lengwa na vitanza ndimi akiwa pekeake, wakiwa wawili au katika vikundi. 

Ni silabi zipi zinazoundwa katika vitanzandimi ulivyokariri? 

Je, ni silabi zipi zinazorudiwa katika vitanza ndimi unavyounda?

 

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 20-22

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Michezo

Kusikiliza na kuzungumza;

Maamkuzi na maagano: Maamkuzi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua aina mbalimbali za maamkuzi katika mawasiliano.
  2. Kuigiza maamkuzi mbalimbali.
  3. Kuchangamkia maamkuzi katika mahusiano.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya maamkuzi. 

Mwanafunzi aweze kutambua aina mbalimbali za maamkuzi katika mawasiliano katika vikundi. 

Mwanafunzi aweze kujadili umuhimu wa maamkuzi wakiwa wawiliwawili. 

Mwanafunzi aweze kuigiza maamkuzi mbalimbali.

Je, watu husalimiana vipi katika jamii?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 24-25

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Michezo

Sarufi; Aina za Maneno; Vivumishi vya idadi kamili

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.
  2. Kutambua vivumishi vya idadi kamili katika tarakilishi, kapu la maneno au mti wa maneno (k.v nne, tano, sita)
  3. Kuchangamkia kutumia vivumishi idadi kamili katika utungaji wa sentensi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya vivumishi vya idadi. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi vya idadi kamili katika tarakilishi, kapu la maneno au mti wa maneno (k.v nne, tano, sita) akiwa katika vikundi.

Je, vivumishi vya idadi ni zipi? 

Je, vivumishi vya idadi kamili ni zipi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 25-27

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Michezo

Sarufi; Aina za Maneno; Vivumishi vya idadi ya jumla

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza vivumishi vya idadi isiyo kamili kwa kutumia vitu katika mazingira ya darasani.
  2. Kutambua vivumishi vya idadi ya jumla katika tarakilishi, kapu la maneno au mti wa maneno (k.v wengi, vingi, kadhaa)
  3. Kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya idadi ya jumla katika mawasiliano ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kueleza vivumishi vya idadi isiyo kamili kwa kutumia vitu katika mazingira ya darasani. 

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi vya idadi ya jumla katika tarakilishi, kapu la maneno au mti wa maneno (k.v wengi, vingi, kadhaa) 

Mwanafunzi aweze kuandika sentensi akitumia idadi isiyodhihirika.

Je, vivumishi vya idadi ya jumla ni zipi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 32-33

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

5

1

Michezo

Kusoma; Matumizi ya kamusi: Mashindano ya mashua

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kusoma kifungu ‘Mashindano ya mashua’
  2. Kutumia kamusi halisi au ya mtandaoni kutafuta maana na matumizi ya msamiati mpya aliousoma katika kifungu.
  3. Kuchangamkia kutumia kamusi katika kukuza msamiati wake.

Mwanafunzi aweze Kusoma kifungu ‘Mashindano ya mashua’

Mwanafunzi aweze kutumia kamusi halisi au ya mtandaoni kutafuta maana na matumizi ya msamiati mpya aliousoma katika kifungu. 

Mwanafunzi aweze kutumia msamiati aliojifunza katika sentensi

Unatafutaje maana ya maneno kwenye kamusi? 

Kwa nini tunatumia kamusi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 27-29

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Michezo

Kuandika; Insha ya masimulizi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua insha ya masimulizi kwa kurejelea vielelezo vya insha vilivyoandikwa katika magazeti au tarakilishi.
  2. Kuandika insha isiyopungua maneno 200 huku akizingatia anwani, mtiririko mzuri wa mawazo, mwandiko bora, kanuni za lugha na ubunifu wa hali ya juu.
  3. Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya masimulizi ili kukuza ubunifu wake.

Mwanafunzi aweze kutambua insha ya masimulizi kwa kurejelea vielelezo vya insha vilivyoandikwa katika magazeti au tarakilishi wakiwa wawili.

Mwanafunzi aweze kuandika insha isiyopungua maneno 200 huku akizingatia anwani, mtiririko mzuri wa mawazo, mwandiko bora, kanuni za lugha na ubunifu wa hali ya juu.

Je, unazingatia nini ili kuandika insha nzuri ya masimulizi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 30

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Michezo

Kusikiliza na kuzungumza;

Maamkuzi na maagano: Maagano

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua aina mbalimbali za maagano katika mawasiliano.
  2. Kueleza njia wanazotumia kuagana.
  3. Kuchangamkia maagano katika mawasiliano.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya maagano. 

Mwanafunzi aweze kutambua aina mbalimbali za maagano katika mawasiliano. 

Mwanafunzi aweze kujadili umuhimu wa maagano wakiwa wawiliwawili. 

Mwanafunzi aweze kueleza njia wanazotumia kuagana.

Je, watu huagana vipi katika jamii?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 31-32

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Michezo

Sarufi; Aina za maneno: Vivumishi viulizi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya vivumishi viulizi kwa kutumia vitu katika mazingira ya darasani.
  2. Kutambua vivumishi viulizi katika sentensi.
  3. Kuchangamkia kutumia vivumishi viulizi katika utungaji wa sentensi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya vivumishi viulizi kwa kutumia vitu katika mazingira ya darasani.

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi viulizi katika sentensi.

Vivumishi viulizi vinahusu nini?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 33-35

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

6

1

Michezo

Sarufi; Aina za maneno: Vivumishi viulizi

 

 

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza na kutaja vivumishi viulizi mbalimbali.
  2. Kutambua vivumishi viulizi kati ya maneno alizopewa, aviburure na kuvitia kapuni.
  3. Kufurahia kutumia vivumishi viulizi katika mawasiliano ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kueleza na kutaja vivumishi viulizi mbalimbali.

Mwanafunzi aweze kutambua vivumishi viulizi kati ya maneno alizopewa, aviburure na kuvitia kapuni.

Je, ni vivumishi viulizi zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 36-37

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Michezo

Kusoma; Matumizi ya kamusi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kufungua linki kuhusu michezo kisha kusikiliza maelezo kutoka kwa msimulizi.
  2. Kuunda sentensi kutumia msamiati wa michezo alioupata kutoka kwa msimulizi.
  3. Kuchangamkia kutumia msamiati wa michezo katika mazungumzo yake.

Mwanafunzi aweze kufungua linki kuhusu michezo kisha kusikiliza maelezo kutoka kwa msimulizi.

Mwanafunzi aweze kudondoa maneno ya michezo kutoka kwenye masimulizi hayo akiwa peke yake na wakiwa wawiliwawili.

Mwanafunzi aweze kuunda sentensi kutumia msamiati wa michezo alioupata kutoka kwa msimulizi.

Je, ni habari zipi unazoweza kutoa kwenye mtandao?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali
  • Intaneti

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 35

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Michezo

Sarufi; Aina za maneno: Kivumishi kirejeshi amba-

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza matumizi ya kivumishi kirejeshi amba- akitumia vitu katika mazingira ya darasani.
  2. Kutambua kivumishi kirejeshi amba- katika tarakilishi, kapu la maneno au mti wa maneno.
  3. Kuonea fahari matumizi ya kivumishi kirejeshi amba-

Mwanafunzi aweze kueleza matumizi ya kivumishi kirejeshi amba- akitumia vitu katika mazingira ya darasani. 

Mwanafunzi aweze kutambua kivumishi kirejeshi amba- katika tarakilishi, kapu la maneno au mti wa maneno. 

Mwanafunzi aweze kutunga sentensi akitumia kirejeshi amba- na nomino katika ngeli mbalimbali kwa umoja na wingi.

Je, kivumishi kirejeshi ni nini?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 37-38

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Michezo

Sarufi; Aina za maneno: Kivumishi kirejeshi amba-

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua kivumishi kirejeshi amba- katika vifungu.
  2. Kutunga sentensi akitumia kivumishi kirejeshi (k.v ambayo, ambalo, ambao, ambavyo, ambaye)
  3. Kufurahia kutumia kivumishi kirejeshi amba- katika mawasiliano.

Mwanafunzi aweze kutambua kivumishi kirejeshi amba- katika vifungu. 

Mwanafunzi aweze kutunga sentensi akitumia kivumishi kirejeshi (k.v ambayo, ambalo, ambao, ambavyo, ambaye)

Je, ni maneno gani yanayopatikana katika kivumishi kirejeshi amba-?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 38-39

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

7

1

Michezo

Kusikiliza na kuzungumza;

Matamshi bora: Vitendawili- Sauti /d//nd/, /ch//sh/, /j//nj/ na /g//ng/

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua vitendawili vya suala lengwa vyenye sauti zinazokaribiana.
  2. Kutamka maneno yenye sauti zinazokaribiana katika vitendawili lengwa.
  3. Kuchangamkia matumizi ya vitendawili vyenye sauti zinazokaribiana kama njia ya kujenga utamkaji bora.

Mwanafunzi aweze kutambua vitendawili vya suala lengwa vyenye sauti zinazokaribiana (/d//nd/, /ch//sh/, /j//nj/ na /g//ng/) 

Mwanafunzi aweze kutamka maneno yenye sauti zinazokaribiana katika vitendawili lengwa. 

Mwanafunzi aweze kuandika vitendawili alivyosikiliza kisha kuwategea wenzake darasani nao wategue kwa ajili ya kuendelea kuelimishana.

Je, ni vitendawili gani unavyovijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 41-42

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Mahusiano

Sarufi; Aina za maneno: Viwakilishi vya nafsi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya viwakilishi vya nafsi.
  2. Kutambua viwakilishi vya nafsi katika sentensi.
  3. Kuchangamkia kutumia viwakilishi vya nafsi katika utungaji wa sentensi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya viwakilishi vya nafsi. 

Mwanafunzi aweze kutambua viwakilishi vya nafsi katika sentensi.

 Mwanafunzi aweze kujaza pengo akitumia viwakilishi vya nafsi.

Viwakilishi vya nafsi vinahusu nini?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 42-43

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Mahusiano

Sarufi; Aina za maneno: Viwakilishi vya nafsi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza na kutaja viwakilishi vya nafsi mbalimbali.
  2. Kutambua viwakilishi kati ya maneno alizopewa, aviburure na kuvitia kapuni.
  3. Kufurahia kutumia viwakilishi vya nafsi katika mawasiliano ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kueleza na kutaja viwakilishi vya nafsi mbalimbali.

Mwanafunzi aweze kutambua viwakilishi kati ya maneno alizopewa, aviburure na kuvitia kapuni. 

Mwanafunzi aweze kujaza pengo kwa kiwakilishi nafsi sahihi.

Je, ni viwakilishi vya nafsi zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 48

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Mahusiano

Kusoma; Kusoma kwa ufahamu- Jirani

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua msamiati wa mahusiano uliotumiwa katika habari.
  2. Kueleza maana ya msamiati wa mahusiano alioupata katika habari.
  3. Kuonea fahari kusoma hadithi kuhusu Jirani.

Mwanafunzi aweze kusoma ufahamu, ‘Jirani’ 

Mwanafunzi aweze kutambua msamiati wa mahusiano uliotumiwa katika habari. 

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya msamiati wa mahusiano alioupata katika habari. 

Mwanafunzi aweze kutunga sentensi kwa kutumia msamiati wa mahusiano.

Kwa nini ni muhimu kusoma kuhusu ujirani mwema?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 43-45

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

8

1

Mahusiano

Kuandika; Kuandika kwa kutumia tarakilishi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya tarakilishi.
  2. Kutambua sehemu mbalimbali za tarakilishi zinazotumika kupigia chapa.
  3. Kujenga mazoea ya kutumia tarakilishi kuandika na kuhifadhi kazi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya tarakilishi.

Mwanafunzi aweze kutambua sehemu mbalimbali za tarakilishi zinazotumika kupigia chapa

Mwanafunzi aweze kueleza matumizi ya kipanya.

Mwanafunzi aweze kutambua ishara zinazotumiwa kutofautisha maandishi k.v kiyota (*), hatimiliki (@), kishale.

Je, ni sehemu zipi za tarakilishi unazozijua? 

Tarakilishi hutuwezesha kufanya kazi gani? 

Ni hatua gani zinazohusika tunapotumia tarakilishi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali
  • Intaneti

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 46-47

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Mahusiano

Kusikiliza na kuzungumza;

Matamshi bora: Vitendawili- Sauti /d//nd/, /ch//sh/, /j//nj/ na /g//ng/

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutamka maneno yenye sauti zinazokaribiana katika vitendawili lengwa.
  2. Kutega na kutegua vitendawili vyenye sauti zinazokaribiana ili kujenga matamshi bora.
  3. Kufurahia kutumia kutega na kutegua vitendawili.

Mwanafunzi aweze kutamka maneno yenye sauti zinazokaribiana katika vitendawili lengwa.

Mwanafunzi aweze kutega na kutegua vitendawili vyenye sauti zinazokaribiana ili kujenga matamshi bora

Je, mtu akisema ‘kitendawili’ unajibu vipi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 47

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Mahusiano

Sarufi; Aina za maneno: Viwakilishi viashiria

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya viwakilishi viashiria.
  2. Kutambua viwakilishi viashiria katika sentensi.
  3. Kuchangamkia kutumia viwakilishi viashiria katika utungaji wa sentensi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya viwakilishi viashiria.

Mwanafunzi aweze kutambua viwakilishi viashiria katika sentensi

Mwanafunzi aweze kueleza na kutaja viwakilishi viashiria mbalimbali

Mwanafunzi aweze kutambua viwakilishi viashiria katika ubao, tarakilishi, chati, mti wa maneno au kadi za maneno.

Viwakilishi viashiria vinahusu nini?

Je, ni viwakilishi viashiria zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 49-50

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Mahusiano

Kusoma; Kusoma kwa ufahamu: Marafiki wa chanda na pete

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kusoma ufahamu, ‘Marafiki wa chanda na pete’
  2. Kueleza maana ya maneno mapya aliyoyapata katika kifungu.
  3. Kujenga mazoea ya usomaji bora katika maisha ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kusoma ufahamu, ‘Marafiki wa chanda na pete’ 

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya maneno mapya aliyoyapata katika kifungu akiwa katika kikundi. 

Mwanafunzi aweze kutunga sentensi akitumia msamiati kutoka kwa kifungu.

Je, urafiki mwema una umuhimu gani?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 50-52

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

9

1

Mahusiano

Sarufi; Aina za maneno: Viwakilishi vya idadi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza maana ya viwakilishi vya idadi kamili.
  2. Kutambua sentensi zenye viwakilishi idadi kamili.
  3. Kuchangamkia kutumia viwakilishi idadi katika utungaji wa sentensi.

Mwanafunzi aweze kueleza maana ya viwakilishi vya idadi kamili. 

Mwanafunzi aweze kutambua sentensi zenye viwakilishi idadi kamili. 

Mwanafunzi aweze kutambua viwakilishi vya idadi katika ubao, tarakilishi, kadi za maneno, chati au mti wa maneno.

Mwanafunzi aweze kujaza pengo kwa viwakilishi vya idadi sahihi.

Viwakilishi vya idadi kamili vinahusu nini?

Je, ni viwakilishi vya idadi kamili zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 54-55

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

2

Mahusiano

Sarufi; Aina za maneno: Viwakilishi vya idadi

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kueleza na kutaja viwakilishi vya idadi isiyodhihirika.
  2. Kutambua viwakilishi vya idadi isiyodhihirika katika ubao, tarakilishi, kadi za maneno, mti wa maneno au chati.
  3. Kufurahia kutumia viwakilishi vya idadi isiyodhihirika katika mawasiliano ya kila siku.

Mwanafunzi aweze kueleza na kutaja viwakilishi vya idadi isiyodhihirika. 

Mwanafunzi aweze kutambua viwakilishi vya idadi isiyodhihirika katika ubao, tarakilishi, kadi za maneno, mti wa maneno au chati. 

Mwanafunzi aweze kujaza mapengo kwa kuchagua viwakilishi vya idadi isiyodhihirika alivyopewa katika mabano. 

Mwanafunzi aweze kuandika sentensi akitumia viwakilishi vya idadi isiyodhihirika.

Viwakilishi vya idadi isiyodhihirika vinahusu nini? 

Je, ni viwakilishi vya idadi isiyodhihirika zipi unazozijua?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 55

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

3

Mahusiano

Sarufi; Uakifishaji: Alama ya hisi (!) na ritifaa (‘)

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua alama ya hisi (!) na ritifaa (‘) katika maandishi.
  2. Kutumia alama ya hisi (!) na ritifaa (‘) ifaavyo katika maandishi.
  3. Kufurahia matumizi ya alama ya hisi na ritifaa katika maandishi.

Mwanafunzi aweze kutambua alama ya hisi (!) na ritifaa (‘) katika maandishi. 

Mwanafunzi aweze kutumia alama ya hisi (!) na ritifaa (‘) ifaavyo katika maandishi. 

Mwanafunzi aweze kutafuta katika kamusi, atamke na kuandika maneno yenye sauti ya ungo’ong’o.

Kwa nini alama za kuakifisha hutumiwa katika maandishi? 

Alama ya hisi na ritifaa hutumiwa vipi katika maandishi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 56

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

 

4

Mahusiano

Sarufi; Uakifishaji: Koloni (:)

Kufikia mwisho wa mada ndogo mwanafunzi aweze:

  1. Kutambua alama ya koloni (:) katika maandishi.
  2. Kueleza matumizi ya koloni (:) katika maandishi.
  3. Kuchangamkia matumizi ya koloni katika maandishi.

Mwanafunzi aweze kutambua alama ya koloni (:) katika maandishi. 

Mwanafunzi aweze kueleza matumizi ya koloni (:) katika maandishi.

 Mwanafunzi aweze kutunga sentensi na kuziakifisha kutumia koloni.

Alama ya kuakifisha- koloni hutumiwa vipi katika maandishi?

  • Kapu maneno
  • Chati
  • Mabango
  • Kamusi
  • Majarida
  • Michoro na picha
  • Vifaa vya kidijitali

JKF; Nyota ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 6, Uk. 57

Kutunga sentensi

Kujibu maswali

Kujaza pengo

Kuandika tungo

Kazi mradi

 

10

KUFUNGA SHULE

Mwanafunzi yapaswa kufanya Mazoezi ya Mseto

JUMA KIPINDI FUNZO MADA SHABAHA

SHUGHULI ZA MWALIMU
AU MWANAFUNZI

ASILIA NYENZO MAONI
1

Kufungua: Mazoezi na marudio

2 1 Ufahamu Mahafali Mwanafunzi apaswa Kusoma na kuelewa maneno magumu Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa  149-150

maelezo kitabuni

 
  2 Sarufi Ngeli ya U-ZI marudio

Mwanafunzi apaswa Kuelewa Ngeli ya U-ZI

Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 151

maelezo kitabuni

 
  3

Matumizi ya lugha

Majina kutokana na vitenzi: Marudio Mwanafunzi apaswa Kuelewa Majina Kutokana na vitenzi Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 152

maelezo kitabuni

 
  4

Kusoma na kuandika

Hadithi Darasani

Mwanafunzi apaswa ajihusishe na Kuelewa Hadithi Darasani

Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 153

maelezo kitabuni

 
  5 Mtungo Kusikiliza na kuongea Mwanafunzi apaswa Kuelewa Kusikiliza na kuongea Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 156

maelezo kitabuni

 
3 1 Ufahamu Bahati ya Ziwakulu Mwanafunzi apaswa Kusoma na kuelewa maneno magumu Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 158

maelezo kitabuni

 
  2 Sarufi Miundo ya vitenzi Mwanafunzi apaswa Kuelewa Miundo ya vitenzi Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 158

maelezo kitabuni

 
  3 Matumizi ya lugha Majina ya Makundi Mwanafunzi apaswa Kuelewa Majina ya Makundi Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 159

maelezo kitabuni

 
  4 Kusoma na kuandika Kusoma Shairi Mwanafunzi apaswa ajihusishe na Kuelewa Kusoma Shairi Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 160

maelezo kitabuni

 
  5 Mtungo Kusikiliza na Kuongea Mwanafunzi apaswa Kuelewa Kusikiliza na kuongea Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 163-164

maelezo kitabuni

 
4 1 Ufahamu Mke wa Mvuvi Mwanafunzi apaswa Kusoma na kuelewa maneno magumu Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 165

maelezo kitabuni

 
  2 Sarufi ‘’ki-’’ cha udogo:Marudio Mwanafunzi apaswa Kuelewa ’ki-’’ cha udogo Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 166

maelezo kitabuni

 
  3 Matumizi ya lugha   Mwanafunzi apaswa Kuelewa Msamiati na Matumizi ya lugha Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 166

maelezo kitabuni

 
  4 Kusoma na kuandika Kusoma Mwanafunzi apaswa ajihusishe na Kuelewa Kusoma Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 167

maelezo kitabuni

 
  5 Mtungo Kuandika Mwanafunzi apaswa Kuelewa Kuandika Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 169-170

maelezo kitabuni

 
5 1 Ufahamu Barua Mwanafunzi apaswa Kusoma na kuelewa kuandika Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 171

maelezo kitabuni

 
  2 Sarufi Kirejeshi amba- Mwanafunzi apaswa Kuelewa na kutumia Kirejeshi amba- Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 172

maelezo kitabuni

 
  3 Matumizi ya lugha Mazoezi ya Mseto Mwanafunzi apaswa kufanya Mazoezi ya Mseto Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 173

maelezo kitabuni

 
  4 Kusoma na kuandika Kusoma na kuandika Mwanafunzi apaswa ajihusishe na Kuelewa na kuandika Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 175-176

maelezo kitabuni

 
  5 Mtungo Insha Mwanafunzi apaswa Kuelewa kuandika Insha Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 177

maelezo kitabuni

 
6 1 Ufahamu Umleavyo ndivyo akuavyo Mwanafunzi apaswa Kusoma na kuelewa maneno magumu Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 178-179

maelezo kitabuni

 
  2 Sarufi Ngeli ya U-U Mwanafunzi apaswa Kuelewa Ngeli ya U-U Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 180

maelezo kitabuni

 
  3 Mjadala Mazingira yetu Mwanafunzi apaswa kujadili kuhusu mazingira yetu Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 181

maelezo kitabuni

 
  4 Kusoma na kuandika Hadithi Mwanafunzi apaswa ajihusishe na Kuelewa Hadithi Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 183-184

maelezo kitabuni

 
  5 Mtungo   Mwanafunzi apaswa Kuelewa kuandika Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 185

maelezo kitabuni

 
7 1 Ufahamu Sungura Kizimbani Mwanafunzi apaswa Kusoma na kuelewa maneno magumu Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 185 

maelezo kitabuni

 
  2 Sarufi Kukanusha Nyakati Mwanafunzi apaswa Kuelewa Kukanusha Nyakati Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 186

maelezo kitabuni

 
  3 Msamiati na Matumizi ya lugha Misemo Mwanafunzi apaswa  kuelewa Misemo Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 187

maelezo kitabuni

 
  4 Kusoma na kuandika Shairi Mwanafunzi apaswa ajihusishe na Kuelewa Shairi Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 189-190 

maelezo kitabuni

 
  5 Mtungo Mjadala Mwanafunzi apaswa Kuelewa na kujihusisha kwa Mjadala Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 191

maelezo kitabuni

 
8 1 Ufahamu Kandanda Mwanafunzi apaswa Kusoma na kuelewa maneno magumu Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 192 

maelezo kitabuni

 
  2 Sarufi Kivumishi cha pekee Mwanafunzi apaswa Kuelewa Kivumishi cha pekee Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 193

maelezo kitabuni

 
  3 Matumizi ya lugha Mafumbo na Vitendawili Mwanafunzi apaswa  kuelewa Mafumbo na Vitendawili Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 193 

maelezo kitabuni

 
  4 Kusoma na kuandika Kusoma Mwanafunzi apaswa ajihusishe na Kuelewa Kusoma Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 193

maelezo kitabuni

 
  5 Mtungo Mtungo Mwanafunzi apaswa Kuelewa Mtungo Kusoma na kuandika

Zoezi, Maswali
Kiswahili Mufti
 ukurasa 193

maelezo kitabuni

 
  Mwisho wa muhula na kufunga
KCM & MWM Form 3 Kiswahili Schemes of Work Term 3 2020/2021
JUMA KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHA NYENZO MAONI
1 1 Kusikiliza na kuzungumza. Misimu na lakabu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya misimu na lakabu.
Kujadili umuhimu wao.
Kutoa mifano ya lakabu na misimu.

Maelezo
Majadiliano
Tajriba
Ufahamu

KCM Uk.161-2
MWM Uk.119-20
 
2 Kusikiliza na kuzungumza.
Fasihi yetu.
Lugha ya anthari na ufupisho katika ushairi  Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ufupisho na lugha ya nathari.
Kufafanua umuhimu wa lugha ya ufupisho katika shairi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
Uhakiki
Tajriba
Kitabu teule  
3 Ufahamu. Kujali wenye ukimwi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma taarifa kwa ufasaha.
Kujadili yaliyomo.
Kueleza maana ya istilahi ngeni na msamiati.
Maelezo
Kuandika
Maswali na majibu
KCM Uk.166-67
MWM Uk.123
 
4-5 Sarufi Aina za virai Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza virai.
Kueleza aina za virai.
Kubaininisha virai mbalimbali katika sentensi
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
KCM Uk.166-67
MWM Uk.123
 
6 Utunzi Insha ya maelezo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza ya kuzingatiwa wakati wa kuandika insha ya maelezo,
Kuandika insha ya maelezo
Maelezo
Tajriba
Maswali na majibu
Maigizo
Kuandika
KCM Uk.170
MWM Uk.125
 
2 1-2 Kusikiliza na kuzungumza.
(Ufasaha wa lugha)
Muhtasari: Usanifishaji wa lugha ya Kiswahili Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya Usanifishaji.
Kufafanua sababu za kusanifisha lugha.
Kujadili udhaifu katika usanifishaji.
Kufupisha makala ilivyoagizwa.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
Kufupisha
Utafiti
KCM Uk.167-169
MWM Uk.123-4
 
3-4 Kusikiliza na kuzungumza.
(Fasihi teule)
Maudhui katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui na dhamira
Kueleza namna ya kuhakiki maudhui.
Kufafanua mambo ya kuzingatia katika uchambuzi wa maudhui.
Maelezo
Ufafanuzi
Mifano
Majadiliano
Makundi
Uhakiki
KCM Uk.169-70
MWM Uk.124-5
 
5-6 Hadithi fupi Wahusika katika hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuchambua hadithi teule.
Kueleza wahusika wanavyojipambanua kwa hadithi.
Maelezo
Majadiliano
Tajriba
Makundi
Uhakiki
Kitabu cha hadithi fupi  
3 1 Kusikiliza na kuzungumza. Maagizo na maelekezo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maagizo na maelekezo.
Kufafanua umuhimu wa maagiza na maelekezo.
Kuandika ripoti.
Ufaraguzi
Mifano
Ufaraguzi
Kazi mradi
Kuandika
KCM Uk.171
MWM Uk.125-7
 
2 Ufahamu Povu la sabuni Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali.
Kuzingatia mafunzo yaliyomo.
Tajriba
Mjadala
Mufani
Maigizo
Usomaji
KCM Uk.172-4
MWM Uk.128-9
Kamusi
 
3-4 Sarufi Aina za vishazi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
kuanisha vishazi.
Kutunga sentensi kubainisha mabadiliko ya maneno.
Uchunguzi
Mifano
Maelezo
Ufafanuzi
KCM Uk.179-81
MWM Uk.131-2
 
5-6 Ufasaha wa lugha Mwingiliano wa maneno Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuainisha na kubainisha aina za maneno kutegemea matumizi.
Kutunga sentensi kubainisha mabadiliko ya aina ya maneno.
Uchunguzi
Mifano
Maelezo
KCM Uk.177-9
MWM Uk.130
 
4 1-2 Fasihi teule Wahusika katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua nafasi ya mhusika.
Kueleza uumbaji na uchoraji wa wahusika.
Kupambanua aina za wahusika.
Kueleza jinsi ya kuchambua wahusika.
Maigizo
Uchunguzi
Mjadala
Utazamaji
Ufahamu
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu teule  
3 Utunzi Haithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua hatua za kuandika hadithi fupi.
Kuandika hadithi fupi.
Mifano
Majaribio
Uchunguzi
Majadiliano
Vidokezo
Maelezo
Ufafanuzi
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
4 Kusikiliza na kuzungumza. Habari na ripoti za runinga na redio Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana, umuhimu na jinsi ya kutoa ripoti za redio na runinga.
Kuainisha ripoti.
Mifano
Masimulizi
Maelezo
Ufahamu
Mjadala
KCM Uk.183
MWM Uk.133-5
 
5-6 Fasihi yetu Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza fani ya lugha.
Kufafanua umuhimu wa fani hizo.
Kusoma 
Uchunguzi
Ufafanuzi
Mjadala
Masimulizi
Uchambuzi
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
5 1 Ufahamu Ripoti za michezo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma taarifa kwa ufasaha.
Kueleza aina ya michezo.
Kutoa mifano ya taarifa.
Makundi
Maelezo
Utafiti
Tajriba
Usomaji
KCM Uk.184-6
MWM Uk.135-6
Kamusi
 
2-3 Sarufi Sentensi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuainisha sentensi.
Kueleza sifa za sentensi.
Kutoa mifano ya kila aina.
Majadiliano
Makundi
Mifano
Ufafanuzi
Mazoezi
KCM Uk.186-8
MWM Uk.137
 
4 Kusikiliza na kuzungumza.
Ufasaha wa lugha
Lugha za ripoti na uandishi wake Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza jinsi ya kuwasilisha ripoti.
Kueneza lugha ya ripoti.
Kuandika ripoti maalumu.
Utafiti
Mifano
Maelezo
KCM Uk.188-9
MWM Uk.137-8
 
5-6 Fasihi teule Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kubainisha na kueleza muundo na mtindo wa tamthilia.
Kuhakiki muundo wa tamthilia.
Maelezo
Ufafanuzi
Uhakiki
Majadiliano
Kuigiza
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa.  
6 1-2 Utunzi Insha ya ripoti Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza hatua za kuandika ripoti.
Kuandika ripoti.
Ufaraguzi
Utafiti
Kazi mradi kuandika
KCM Uk.190
MWM Uk.138-9
 
3 Kusikiliza na kuzungumza. Mahakama Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua aina za mahakama na shughuli zao.
Kutumia msamiati unaofaa wa mahakama kutunga sentensi.
Kuendesha mazungumzo ya mahakama.
Ziara
Masimulizi
Utafiti
Maelezo
Ufahamu
Ufaraguzi
KCM Uk.191
MWM Uk.139-42
 
4-5 Fasihi yetu  Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maigizo.
Kubainisha sura za sanaa za maonysho ya kawaida.
Kuigiza
Ziara
Maelezo
Masimulizi
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
6 Ufahamu Haki za binadamu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza ujumbe wa shairi.
Kusoma
Kukariri
Maswali na majibu
Maelezo
KCM Uk.194-5
MWM Uk.143-4
Kamusi
 
7 1 Sarufi Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya mishale Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuchanganua sentensi kwa njia ya mishale au mistari.
Kueleza muundo wa kikundi nomino (KN) na kikundi tenzi (KT).
Maelezo
Mifano
Mazoezi
KCM Uk.195-6
MWM Uk.143-4
 
2 Kusikiliza na kuzungumza.
Ufasaha wa lugha
Muhtasari- haki za watoto Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kudondoa hoja muhimu.
Kuandika muhtasari was kifungu.
Kubainisha haki za watoto.
Makundi
Masimulizi
Utatuzi wa mambo
KCM Uk.196-8
MWM Uk.144
 
3-4 Fasihi teule Matumizi ya lugha katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sifa za lugha katika tamthilia.
Kutoa mifano ya matumizi ya lugha katika tamthilia.
Kuigiza
Uchunguzi
Mifano
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu teule.  
5-6 Kusikiliza na kuzungumza Mialiko Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa mialiko.
Kupambanua sifa za mialiko.
Kuainisha mialiko.
Mifano
Utafiti
Vikundi
Ufahamu
Maelezo
KCM Uk.201-2
MWM Uk.145-9
 
8 1-2 Fasihi yetu Hadithi fupi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kutoa mifano ya maigizo.
Kupambanua umuhimu wa maigizo.
Kueleza jinsi ya kuchanganua maigizo.
Ziara
Utafiti
Uchunguzi
Uhakiki
Maigizo
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
3 Ufahamu Kumbukumbu za mkutano Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusoma kumbukumbu.
Kueleza maana za manen na vifungu.
Kujibu maswali ya taarifa.
Maswali na majibu
Majadiliano
Maelezo
Kuigiza
KCM Uk.204-6
MWM Uk.149-50
Kamusi
 
4-5 Sarufi Uchanganuzi wa sentensi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kubainisha dhana ya uchanganuzi.
Kuchanganua sentensi kwa njia ya jedwali.
Mazoezi
Maelezo
Ufafanuzi
KCM Uk.206-8
MWM Uk.150-1
 
6 Ufasaha wa lugha Kumbukumbu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa kumbukumbu.
Kupambanua sifa za kumbukumbu.
Kujibu maswali.
Dayolojia
Mahojiano
Ufafanuzi
KCM Uk.208-9
MWM Uk.151-2
 
9 1-2 Fasihi teule Mafunzo katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya mafunzo.
Kufafanua mbinu za wasanii kutoa mafunzo katika tamthilia.
Kueleza mafunzo.
Tajriba
Mifano
Mjadala
Maelezo
Ufafanuzi
KCM Uk.209-10
MWM Uk.153-5
 
3-4 Utunzi Insha ya kumbukumbu Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu.
Kufafanua ya kuzingatia unapoandika kumbukumbu.
Maelezo
Ugunduzi
Majaribio
Ufaraguzi
Uhakiki
KCM Uk.210
MWM Uk.153-8
 
5-6 Kusikiliza na kuzungumza Matangazo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sifa za matangazo katika redio na runinga.
Kufafanua jinsi ya kuandaa matangazo.
Kuhakiki na kuandaa matangazo.
Maelezo
Tajriba
Majadiliano
Ufaraguzi
Uhakiki
Ufahamu
KCM Uk.211
MWM Uk.155-8
 
10 1 Hadithi fupi Mikusanyiko ya kazi za fasihi simulizi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua umuhimu wa kukusanya na kuhifadhi kazi za fasihi simulizi.
Kueleza njia za kuhifadhi kazi za fasihi simulizi.
Maelezo
Ufafanuzi
Makundi
Uhakiki
Kitabu cha hadithi fupi kilichoteuliwa  
  2 Ufahamu Maji na uhai Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kusma taarifa kwa ufasaha.
Kufafanua hali ya maji na umuhimu wake.
Kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
Usomaji
Tajriba
Maswali na majibu
Uvumbuzi
Uchunguzi

KCM Uk.213-5
MWM Uk.159-7
Kamusi
 
  3-4 Sarufi Uchanganuzi wa sentensi Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya uchanganuzi.
Kuchanganua sentensi sahili, ambatano na changamano kwa njia ya michoro ya matawi.
Maelezo
Ufafanuzi
Mifano
Maswali na majibu
Mazoezi
KCM Uk.216-7
MWM Uk.161-6
 
  5-6 Ufasaha wa lugha Matangazo Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kuandika tangazo la kuvutia kulingana na kichwa walichopewa.
Kueleza sifa za matangazo ya maandishi.
Maelezo
Maswali na majibu
Mkundi
Tajriba
KCM Uk.218
MWM Uk.166-7
 
11 1-2 Fasihi teule Tathmini katika tamthilia Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kueleza sifa za tamthini katika tamthilia.
Kueleza namna ya kujibu maswali katika tamthilia.
Maelezo
Maswali na majibu
Mkundi
Tajriba
Kitabu  kilichoteuliwa  
  3-4 Utunzi Insha ya makala Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:
Kufafanua maana ya makala ya kitaaluma.
Kuandika insha ya kitaaluma kuhusu mada walitopewa kwa usahihi.
Ufaraguzi
Makundi
Mahojiano
Maelezo
KCM Uk.220
MWM Uk.168
 
12-13 MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA
Page 2 of 2