Displaying items by tag: term 1
Kiswahili Questions and Answers - Class 8 Term 1 Opener Exams 2023 Set 1
MASWALI
Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo Jaza kila pengo kwa kuchagua jawabu lifaalo zaidi.
Kufaulu kwa kila mmoja katika maisha ___1___ mambo mengi ___2___ mambo hayo ni bidii. ___3___ ukafaulu katika jambo ___4___ bila kuwa ___5___ bidii. ___6___,kuna watu wengi wanaopenda ____7____ katika maisha. Si ajabu kuwapata wanafunzi ___8___ kusoma wala kufanya kazi wanazopewa kwa bidii. Wanafunzi kama hao wanafaa kukumbushwa kuwa ___9___
-
- inategemea
- kunategemea
- yanategemea
- anategemea
-
- Baadhi ya
- Kati ya
- Katika
- Miongoni ya
-
- Hauwezi
- Hawezi
- Hatuwezi
- Huwezi
-
- yeyote
- wowote
- yoyote
- lolote
-
- ambaye
- wenye
- mwenye
- ambao
-
- Hata hivyo
- Hata ingawa
- Hata kama
- Hata kuwa
-
- kujifunga kibwebwe
- kulaza damu
- kufa kikondoo
- kuambulia patupu
-
- wasiyependa
- wanaopenda
- wasiopenda
- wanayependa
-
- siku za mwizi ni arubaini
- akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki
- mgaagaa na upwa hali wali mkavu
- wapishi wengi huharibu mchuzi
Ni kweli kuwa msimu ___10___ uchaguzi umekaribia sana. Huu ___11___ wakati wa kufanya uamuzi wa busara kuhusu viongozi ___12___ kwa miaka ___13___ ijayo. Tatizo ___14___ hutusumbua kila wakati wa uchaguzi ni ukabila na tamaa. Kuna wakenya ambao hufanya uamuzi kwa kuzingatia kabila la mtu ama pesa walizopewa wakati wa uchaguzi. Tunafaa kumchagua mtu aliye na___15___ ya kutuletea maendeleo.
-
- wa
- ya
- la
- cha
-
- ndilo
- ndiwo
- ndiyo
- ndio
-
- vitakavyotuongoza
- wataotuongoza
- vitavyotuongoza
- watakaotuongoza
-
- tano
- mitano
- kumi
- sita
-
- ambayo
- ambao
- ambalo
- ambazo
-
- uwezo
- mpango
- pesa
- mipango
Kuanzia swali la 16-30, libu kulingana na. maagizo
- Tambua sentensi iliyo katika hali tegemezi.
- Mwanafunzi amekamilisha kuandika insha.
- Ukimaliza kazi hiyo utapewa zawadi.
- Mwanafunzi asomaye kwa bidii hupewa zawadi.
- Angehifadhi mazingira angekuwa na afya bora
- Maamkuzi gani ambayo hutumika asubuhi pekee?
- chewa, sabalkheri, umeamkaje
- masalkheri, umeshindaje, chewa
- cheichei, masalkheri, alamsiki
- alamsiki, buriani, kwaheri
- Chagua wingi wa
Seremala alitengeneza meza akampa mkunga.- Waseremala walitengeneza meza wakawapa wakunge.
- Maseremala walitengeneza meza wakawapa mikunga.
- Maseremala walitengeneza meza wakawapa wakungs.
- Waseremala walitengeneza meza wakawapa mikunga.
- Sentensi gani iliyotumia nusukoloni?
- Alitembelea miji mingi: Nakuru, Mombasa, Kisumu na Nairobi.
- Ugonjwa wa UKIMW! ni hatari; hauna tiba.
- Fuata maagizo kwa kuwa asiyesikia la mkuu...
- Ng'ombe wameshambuliwa na mbung'o.
- Omolo alikuwa na robo moja ya chungwa, akaigawa vipande viwili sawa. Je, akisami gani iliyopatikana?
- ½
- ¼
- 1/8
- 2/4
- Upi ukubwa wa
Mtoto aliona ndovu akimfukuza ng'ombe.- Jiloto liliona jidovu likilifukuza jigombe.
- Toto liliona dovu likilifukuza gombe.
- Kitolo kilikiona kidovu kikifukuza kigombe.
- Jitoto aliona jindovu akimfukuza jing'ombe.
- Tambua ukanusho wa
Unga uliomwagika ni wa nyanya.- Unga asiomwagika ni wa nyanya.
- Unga usiomwagika si wa nyanya.
- Unga uliomwagika ni wa nyanya.
- Unga ambao haujamwagika ni wa nyanya.
- Ulinganisho upi ambao ni tofauti?
- kipusa -- mrembo
- buda-ajuza
- banati- msichana
- jogoo - jimbi
- Chagua sentensi iliyotumia kivumishi kiulizi.
- Mwanafunzi mzuri atapewa kitabu gani?
- Musa alifundishwa kuboresha hali na nani?
- Matokeo ya mtihani yatatangazwa lini?
- Unatoka wapi wakati huu wa usiku?
- Pesa ambazo hutumika kuanzisha biashara huitwaje?
- mtaji
- arbuni
- riba
- karadha
- Sentensi ipl iliyotumia kiwakilishi cha nafsi ya tatu?
- Mimi nimependezwa na ukarimu wako.
- Wewe na yeye mtakutana kesho.
- Sisi tulikamilisha upanzi wa miti mapems.
- Nyinyi mnaitwa na mwalimu.
- Tambua aina za maneno yaliyopigiwa mistari.
Huyu amenunua gari jipya.- kiwakilishi, kivumishi
- kivumishi, kielezi
- kivumishi, kivumishi
- kiwakilishi, kielezi
- Kiambishi 'ki' kimetumikaje katika sentensi hii?
Musa akifika Mombasa atanunua kijibwa.- wakati, kielezi
- wakati, udogo
- masharti, kielezi
- masharti, udogo
- Sentensi ifuatayo itaandikwaje katika kauli ya kutendwa?
Kinyozi amenyoa nywele za Omari.- Nywele za Omari zimenyolewa na kinyozi.
- Omari antenyolewa nywele na kinyozi
- Kinyozi alimnyoles Omari nywele.
- Kinyozi alinyolewa nywele na Omari.
- Orodha gani iliyo na sauti ghuna pekee?
- b, z, d
- f, s, t
- th, dh, sh
- h, k, p
Soma ufahamu kisha ujibu maswali 31-40
Hewaa! Bila shaka, sote tulikuwa tumeisuburu siku hii kwa hamu na ghamu. Nami sitapoteza hata punje ya sekunde. Nitatumia fursa hii adimu na adhimu kukufafanulia mambo unayofaa kuyafanya ili ufaulu katika mtihani wa kitaifa. Ni bayana na wazi kama meno ya ngiri kuwa sasa wewe ni mwanafunzi wa darasa la nane. Muda nao haupo, una miezi michache sana kabla ya kuufanya mtihani wa kitaifa wa darasa la nane. Je, umejiandaa vipi? Unawezaje kutumia muda huu mfupi uliosalia ili kufua dafu katika mtihani wako?
Awali ya yote, ni lazima kama ibada kuwa mwenye bidii. Naam, bidii hulipa. Bidii ndilo daraja la kukuvusha hadi katika kisiwa cha ufanisi. Fanya kazi unazopewa na mwalimu kwa moyo wako wote. Kazi za kiada na ziada zisipuuzwe hata kidogo. Usikubali kulaza damu na kuwa mtepetevu. Masomo yapewe kipaumbele ikiwa unataka kufaulu. Licha ya hayo, tumia muda wako vizuri. Wakati ni upepo, haumsubiri mwana wa mfalme. Muda ukienda haurudi Jambo linalofaa kufanywa leo lifanywe leo. Usijiambie kuwa nitafanya kesho. La hasha! Wakati uliotengewa kusoma utumike kwa kusoma. Ule uliotengewa kucheza uwe wa kucheza. Usipoteze wakati ukitazama runinga au kucheza na marafiki hapa na pale. Hilo uliepuke.
Aidha, ni muhimu kuwachagua marafiki zako kwa hekima na busara. Lazima unajua wanafunzi katika darasa lenu ambao wanapenda kusoma na wale wasiokuwa na haja na masomo. Wale wapendao masomo ndio wanaofaa kuwa marafiki zako. Hao watakufaa na kukuelekeza katika mambo ambayo huyajui. Watakusaidia unapokuwa na tatizo katika somo lolote. Kwa upande mwingine, kuna wanafunzi ambao kazi yao kuu ni mchezo na kuchekacheka darasani. Wanapopata nafasi yoyote, pengine mwalimu hajaingia darasani au hakuja shuleni, wao huipokea nafasi hiyo kwa furaha ili wacheze na kuwasumbua wenzao. Kutembea au kusuhubiana na watu kama hao ni kujiingiza katika kichaka cha simba ukiona. Tabia za mtu hutegemea sana tabia za watu anaotembea nao. Marafiki wabaya wanaweza wakafanya uwe mwenye tabia mbaya. Hilo usisahau.
Vilevile, usichoke kuuliza maswali na kufanya utafiti. Wahenga walisema kuwa kuuliza si ujinga, ni kutaka kujua. Kila unapokuwa na swali ama jambo usilolielewa, usione aibu wala haya. Uliza mwalimu wako ili akupe mwelekeo. Iwapo mwalimu hayuko na kuna mwanafunzi anayeweza kukueleza, basi tafuta msaada kwake. Kwa namna hiyo, utazidi kupata maarifa na kujiimarisha kimasomo. Usiwaogope wanafunzi ambao humcheka mwenzao anapouliza swali. Waache waendelee kucheka. Pengine hawajui kuwa mcheka kilema hali hakijamika. Kujisomea na kudurusu nako ni muhimu sana. Panga muda wako wa kujisomea ili kuelewa mambo ambayo hukuwa umeelewa vizuri. Fanya mazoezi ya mitihani iliyopita kisha ujisahihishie au mwalimu akusahihishie. Hakikisha kuwa unapata maelezo ya maswali uliyofeti na kufanya masahihisho. Kwa namna hii, utakuwa imara kama chuma cha pua.
Jambo jingine ambalo ni muhimu mno ni kumtanguliza Mungu. Mungu ndiye mpaji wa vyote. Ndiye ahakikishaye kwamba umelala na kuamka salama salimini. Afya yako, ja mwili na akili, i mikononi pake. Huwezi ukafaulu katika jambo lolote bila msaada wa Mungu. Juhudi zote unazoweka katika masomo yako si chochote si lolote bila uwezo wa Mwenyezi Mungu. Muu ndio ukweli wa kauli kuwa jitihada haiondoi kudura. Hatimaye, ni jambo la busara kutenga muda wa kupumzika vya kutosha. Hakuna awezaye kuchapa kazi bila kupumzika. Unafaa kupumzika kila baada ya kusoma kwa muda wa kutosha. Kupumzika huko kunajumuisha kulala ama kucheza na wenzako. Unapocheza kisha uoge na kupata usingizi wa kutosha, akili yako huwa na uwezo wa kuelewa mambo unayoyasoma kwa kasi sana. Ninakutakia kila la heri unapojiandes kwa mtihani wako mwisho wa mwaka huu.
- Tambua maana ya nahau kufua dafu namna ilivyotumika katika kifungu.
- kuwa mwenye bidii
- kufaulu katika jambo
- kutumia muda
- kujibu maswali
- Kulingana na aya ya pili, ni kweli kuwa;
- mwanafunzi anashauriwa kufanya bidi leo ili kesho apumzike.
- mwanafunzi anaweza kuutumia muda wake kwa jambo lisilofaa.
- mwanafunzi hafai kucheza wala kutazama runinga.
- mwanafunzi anashauriwa kuwaepuka marafiki maishani.
- Mwandishi amelinganisha bidii na nini katika aya ya pili?
- malipo
- daraja
- ufanisi
- kisiwa
- Aya ya tatu inadokeza kuwa darasani kuna wanafunzi;
- wanaopenda michezo na wasiopenda michezo
- wenye tabia nzuri na wasiokuwa na tabia
- wanaofaulu katika masomo na wanaoanguka mtihani
- wanaothamini masomo na wapendao kufanya mzaha
- Baini maana ya 'kujiingiza katika kichaka cha simba ukiona namna yalivyotumika katika kifungu
- kujitenga
- kujinusuru
- kujiepusha
- kujihatarisha
- Marafiki wabaya wanaweza wakafanya uwe mwenye tabia mbaya. Methali gani inayoweza kujumuisha ujumbe katika kauli hii?
- Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
- Tabia ni ngozi.
- Baniani mbaya kiatu chake dawa.
- Nazi mbovu harabu ya nzima.
- Maneno imara kama chuma cha pua' ni mfano wa;
- tashbihi
- istiara
- nahau
- chuku
- Kifungu kinaeleza kuwa wanafunzi wanaowacheka wenzao wanaouliza maswali darasani;
- hawajui kuwa mcheka kilema hafi hakijamfika.
- wanafaa kupuuzwa na yule anayeuliza maswali.
- hawafai kufundishwa bali waachwe waendelee kucheka.
- hawatazidi kupata maarifa na kujiimarisha kimasomo.
- Kulingana na aya ya mwisho, ni kweli kuwa;
- Mungu humlaza na kumwamsha mwanafunzi.
- Ni vyema kupumzika kila wakati kwa muda wa kutosha.
- Kumtanguliza Mungu si muhimu kuliko mambo mengine yote.
- Kucheza na kupumzika huiwezesha akili kufanya kazi vyema zaidi.
- Kifungu hiki kinahusu
- jinsi ya kuufanya mtihani
- umuhimu wa kufaulu mtihani
- faida za kuufanya mtihani
- maandalizi ya kuufanya mtihani
Soma ufahamu kisha ujibu maswali 41-50
Daima siwezi kumsahau Mzee Saidia katika maisha yangu yote. Japo wasemao husema kuwa yaliyopita si ndwele tugange yajayo, kumsahau Mzee Saidia na wema wake si rahisi kama kula papai kwa kijiko. Mzee Saidia alikuwa jirani yangu aliyekuwa si maskini hohehahe wala tajiri wa kutajika. Alikuwa na duka moja pale sokoni Shibale alipouzia bidhaa rejareja. Kila nilipotumwa dukani na wazazi wangu, nilihakikisha kuwa nimenunua dukani pake kutokana na upole wake alipowahudumia wateja. Aghalabu duka hilo lilijaa wateja waliohiari kusubiri kwa muda mrefu ili wapate huduma nzuri. Wengine nao hawakuwa na pesa, haja yao ilikuwa kumlilia hali ili wakopeshwe. Mzee Saidia aliwasikiliza na kuwasaidia kulingana na uwezo wake. Duka lake lilifunguliwa asubuhi na mapema, lingekuwa wazi huku wateja wakiingia na kutoka hadi saa mbili au tatu za usiku.
Kuna wakati wazazi wangu walianza kuugua kutokana na maradhi yasiyokuwa na tiba. Juhudi zao za kutafuta matibabu hazikuzaa matunda. Haukupita muda mrefu kabla ya wazazi wangu niliowapenda kama mboni za macho kuzidiwa na maradhi. Walilala usingizi usiojua kuamka. Niliunawa uso wangu katika machozi yasiyojua kuwa kilio si dawa. Wanuna wangu nao walionekana kuzubaa tu, wasielewe kwa nini watu wengi walijaa nyumbani kwetu. Baada ya mazishi ya wazazi wangu, shangazi alichukua mnuna mmoja na mjomba akachukua mwingine. Mimi nilibaki na ami yangu aliyependa pombe kama uhai wake. Maisha katika nyumba ya ami yalikuwa magumu kama jehanamu. Kuenda shuleni kulikuwa ndoto ya mchana. Lishe bora nayo ulikuwa msamiati uliowekwa katika kamusi kimakosa.
Siku moja nilipigwa na butwaa nilipoona watu wakijaa katika boma. Wengi wao walikuwa waliokula chumvi nyingi. Mara nilipasuliwa mbarika kwamba nilifaa kukeketwa kulingana na mila na itikadi za jamii yetu. Licha ya watu wengi kuzitupilia mbali mila hizo zilizopitwa na wakati, kunao waliopuuza na kuzikumbatia. Nilitetemeka kama kijibwa kilichonusurika kumezwa na chatu. Nilifungwa maleso na kuelekezwa katika kijumba kilichokuwa kitalifa cha pua na mdomo kutoka kwa ami. Ghafla kama mawingu, niliona maafisa wa polisi wakijitokeza mbele yetu. Ami na baadhi ya watu waliohusika katika shughuli hiyo walitiwa mbaroni. Wengine wallfaulu kupiga mbio na kutokomea. Polisi hao walinifahamisha kuwa walipigiwa simu na Mzee Saidia, akawafahamisha kuhusu ukatili uliokuwa ukiendelea.
Mzee Saidia alinirudisha shuleni. Huko nilisoma kwa bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa mate. Mzee Saidia alinifaa kwa hali na mali. Alinichukulia kama mmoja wa watoto wake. Sote tulienda shuleni na kufaidi utamu wa masomo. Nililala katika chumba kimoja na mabinti zake. Wakati wa wikendi au likizo, tulifanya shughuli kadhaa za shambani na nyumbani. Mzee Saidia hakukubali hisia za uzembe wala ubaguzi. Baada ya masomo ya shule ya msingi. tuliendelea na masomo ya shule ya upili. Mzee Saidia alinilipia masomo yangu ya chuo kikuu. Nikasoma hadi nikatimiza hamu yangu ya masomo. Baada ya kufuzu, niliajiriwa katika kampuni moja maarufu nchini humu. Niliwachukua wanuna wangu ili waendeleze masomo kutokea walipokuwa wamefika. Nilizingatia mafunzo ya uadilifu na bidii niliyopewa na Mzee Saidia. Tulipopata nafasi, tungejumuika nyumbani kwake pamoja na wanawe ili kufaidi nasaha alizotupa na kumshukuru kwa moyo wake uliosheheni wema.
Baada ya nusu mwongo wa kufanya kazi nchini humu, nilipata nafasi ya kufanya kazi kule ng'ambo. Mimi na wanuna wangu hatukuwa na budi kuhamia huko, Mzee Saidia na aila yake yote walitusindikiza hadi katika uwanja wa ndege. Tuling'oa nanga, tukasafiri na kuwasili Marekani bila shari wala dosari. Miaka takribuni kumi ilikuwa imepita. Wakati huo wote tulizungumza na Mzee Saidia kwa simu tu na kuandikiana baruapepe. Kila mwisho wa mwezi, sikusita kumtumia kitita cha pesa, shukrani zangu za dhati kwa wema wake. Mara nilipata ujumbe kuwa Mzee Saidia alikuwa amezidiwa na ugonjwa wa figo. Nilizungumza na wanawe pamoja na mkewe, tukaelewana kuwa aje ng'ambo ili afanyiwe matibabu. Alipowasili marekani, nilienda kumpokea katika uwanja wa ndege. Tulikutana tena baada ya tukio hilo la wema. Ulikuwa umepita muda mrefu lakini bado nilimshukuru.
- Kifungu kinadokeza kuwa Mzee Saidia aliwahudumia wateja;
- waliomjua na wale ambao hawakumjua.
- waliolipa madeni na wasiolipa madeni.
- waliokuwa na pesa na wasiokuwa na pesa.
- waliohitaji bidhaa na wasiohitaji bidhaa.
- Tambua sifa za Mzee Saidia kulingana na kifungu.
- anayeshirikiana, mvumilivu, anayejali haki
- mwangalifu, mpole, mwenye bidii
- anayethamini elimu, mwaminifu, mcheshi
- mwenye bidii, karimu, anayezingatia usawa
- Kauli walilala usingizi usiojua kuamka imetumika katika ufahamu, ina maana gani jinsi ilivyotumika?
- waillemewa na ugonjwa
- waliaga dunia
- hawakupata matibabu
- walishindwa kuamka
- Mwandishi alipokuwa kwa ami, alikosa;
- elimu na lishe bora
- malazi na makazi
- masomo na chakula
- makazi na lishe
- Kulingana na aya ya tatu, ni kweli kuwa;
- mwandishi alishangazwa na hali ya watu kujaa katika boma kila siku.
- msemaji hakutarajia kufanyiwa mpango wa kukeketwa na ami.
- waliojaa katika boma la ami walikuwa waliokula chumvi nyingi pekee.
- jamii ya msemaji ilikataa kutupilia mbali mila zilizopitwa na wakati.
- Kulingana na ufahamu, ni kweli kuwa mwandishi;
- alilipia matibabu ya Mzee Saidia.
- alikuwa kifunguamimba.
- alikataa kuenda kuishi na shangazi wala mjomba.
- alikuwa msichana wa pekee katika familia yao.
- Mwandishi ni mwajibikaji kwa kuwa;
- alikubali kuishi na ami wazazi walipofariki.
- alikubali kukeketwa ili kuonyesha heshima kwa wazee.
- aliwachukua wanuna wake na kuendeleza masomo yao.
- alitoroka alipoona polisi wakifika kuwashika ami na wenzake.
- Kitendo cha polisi kuwashika ami wa mwandishi na wenzake kinatoa funzo lipi?
- Polisi wanafaa kujulishwa kabla ya mtu yeyote kukeketwa.
- Ni vizuri msichana anayekeketwa akubali kabla ya kukeketwa.
- Ukeketaji haufai kufanyika wakati shule hazijafungwa.
- Ni vyema kufuata na kuheshimu sheria zilizowekwa na serikali.
- Mwandishi alikuwa amefanya kazi kwa muda gani kabla ya Mzee Saidia kuanza kuugua?
- kumi na mitano
- kumi
- mitano
- karibu kumi na mitano
- Methali zifuatazo zinaweza kujumuisha ujumbe katika kifungu isipokuwa;
- Wema hauozi.
- Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
- Baada ya dhiki faraja.
- Dau la mnyonge huendeshwa na Mungu.
MARKING SCHEME
- A
- D
- C
- A
- C
- D
- B
- B
- A
- B
- D
- A
- B
- C
- D
- B
- A
- B
- D
- A
- B
- C
- D
- B
- D
- D
- B
- A
- B
- B
- B
- A
- B
- C
- A
- B
- A
- B
- B
- D
- A
- A
- D
- B
- A
- D
- A
- D
- A
- C
English Questions and Answers - Class 8 Term 1 Opener Exams 2023 Set 1
QUESTIONS
Read the passage below. It contains blank spaces numbered 1 to 15. For each blank space, choose the best answer from the choices given.
Forgiveness is a virtue but the way people ___1____it is quite relative. Many people think that certain actions are ___2___ while others are not. Some people ___3___ that forgiveness encourages the wrongdoer to repeat ill ___4___. Forgiveness is subjective and the act of forgiveness can have many meanings. Acceptance of apology may be forgiveness for some, while helping the other ___5___offended you to get out of the habit of ill-treatment may be a way for others.
We all make mistakes. So when we learn to forgive others, we can also ___6___forgiveness when we commit follies. Also if we ___7___ forgive others, we also learn to forgive ourselves in situations of self-guilt. Thus the virtue of forgiveness helps us ___8___ out of the feeling of self-blame. If we fail to forgive ourselves in time, we often end up realizing that others had forgiven us long back, but we kept feeling bad ___9___ ourselves all this time.
Forgiveness helps us feel light and helps us get ___10___ of hard feelings that occupy our mind, heart and ___11___ away our peace of mind. Forgiveness is a way to self-fulfillment, ___12___ people who can readily forgive others are more responsible and satisfied inside than those who keep grudges ___13___ others and develop feelings of enmity. The feeling of anguish only results in arguments, fights, mistreatment and war ___14___ cases. Those who forgive ___15___ in creating positive energy on this planet.
-
- perceive
- imagine
- think
- consider
-
- defensible
- forgivable
- inexcusable
- imaginable
-
- reason
- think
- reflect
- consider
-
- actions
- activities
- engagements
- deeds
-
- whom
- who
- whose
- which
-
- pursue
- strive
- seek
- try
-
- can
- would
- might
- could
-
- derive
- originate
- initiate
- come
-
- on
- in
- about
- over
-
- free
- clear
- rid
- liberate
-
- eat
- delete
- eaten
- rid
-
- however
- also
- moreover
- besides
-
- for
- on
- against
- towards
-
- confident
- variety
- certain
- assured
-
- support
- help
- benefit
- comfort
For questions 16 and 17, choose the alternative that means the same as the underlined sentence.
- Should you come late, you may find all the gates locked.
- When you come late, it is likely that you will find all the gates locked.
- If you come late, you will find all the gates locked.
- When you come late, you will find all the gates locked.
- If you come late, it is likely you will find all the gates locked.
- There was hardly any food in the plate.
- There was a lot of food in the plate.
- There was very little food in the plate.
- There was some food in the plate.
- There was no food in the plate.
For questions 18 to 20, choose the alternative that best fits in the blank space.
- Mr. Chege sold ten crates of oranges ___________________ were rotten.
- most of whom
- of which most
- most of which
- which of most
- Mitchelle, along with several other girls, __________________ to the show
- is going
- are going
- have gone
- were going
- If I had time, I ____________________ visit him.
- could
- might
- should
- would
For questions 21 and 22, choose the best arrangement of the given sentences to make a sensible paragraph.
-
- People with diabetes are advised to eatspecial diet that will either increase or reduce the sugar level.
- In one, there is excess sugar in the bloodstream while in the other there isn't enough.
- The disease appears in two different forms.
- Diabetes has become a serious world problem.
- (iv) (ii) (iii) (i)
- (iv) (i) (iii) (ii)
- (iv) (iii) (ii) (i)
- (iv) (iii) (i) (ii)
-
- In fact, one does not need a passport to travel within the region.
- Travelling in East Africa region has never been easier.
- Since the signing of the common Market Treaty restrictions on travel have been lifted.
- All one needs are proper national identification papers.
- (ii) (i) (iii) (iv)
- (ii) (iii) (i) (iv)
- (iii) (ii) (i) (iv)
- (iii) (iv) (i) (ii)
For each of the questions 23 to 25 select the best alternative to fill in the blank space.
- When My sister fell sick, she ______________________ in bed for three weeks.
- lay
- lied
- laid
- lain
- You ___________________ participate in the race if you don't feel like.
- can't
- shouldn't
- needn't
- mustn't
- The goalkeeper ____________________ his leg in the match.
- injured
- damaged
- wounded
- hurt
Read the passage below and answer questions 26 to 38.
Whether you are the best pupil in class or not, no matter how hardworking or bright you are, you are bound to miss class one day. The likelihood is that it will be more than one day; it is inevitable. Emergencies, illness, bereavement and a desire to sleep on are some of the reasons pupils abscond classes.
When you miss class because of your irresponsibility, you ought to look closely at your priorities and obligations because you are responsible for your future. So, what happens when you miss a lesson? Will you just walk into the next class and continue as
usual?
If you miss one lesson, it means you have missed out a section of the syllabus. You therefore need to be at par with your classmates. Some of the practices to help you get completely up to speed for your next class when you miss class include: You need to understand that some teachers take offence at absences. Unless you were gravely ill or lost a close relative, they may never want to listen to your explanations. Others will allow you to miss even if it is just a mild flu. Whichever category your teacher falls, do not take it personally. Every teacher wants their pupils to perform well. Determine where your teacher stands and let that dictate how you handle such circumstances.
Tell your teacher or have a close relative inform them that you will not be attending their classes. This will convince the teacher that indeed you have a problem. You could also inform the class prefect or classmate to inform your teacher about your absence.
If you have been given an assignment prior to your absence and you had completed it, ensure it gets to your teacher even as you are away. When you eventually come back to class, it would be rude for you to ask if you missed anything important. Every teacher knows and feels that their class is important. Get hold of notes that were taken while you were away, ask questions and clarification for the information you did not understand.
Find out from the other pupils what they did while you were absent and request them to share their notes. Do not just read one student's notes; get them from different students since some students tend to miss out some points. This way, you will get the complete picture of what had happened in class. You could also request your teachers for one-on- one session with them during free time so that they take you through the lesson you missed.
- Which of the following statements is true according to the first paragraph?
- There are reasons why student miss classes.
- Disciplined, bright and hardworking pupils often miss classes.
- The desire to sleep on is the reason why students miss classes.
- You can only miss class for a day.
- The word 'inevitable' shows that missing classes
- can be a hard task.
- require valid reasons.
- cannot be avoided completely.
- is caused by emergencies.
- Which of the following is not given as a reason why pupils miss classes?
- Famine.
- Sickness.
- Death of a loved one.
- Emergencies.
- The writer reminds the lazy and irresponsible pupils that
- they are the makers of their own destiny.
- their future is not defined.
- they have no future.
- they will be responsible in future.
- When one misses a class, they should
- continue with the next class.
- ask the teacher for the syllabus.
- not take teachers personally
- let the teacher know of their absence through someone.
- From the writers description of the nature of teachers, we can say that
- teachers are very strict.
- teachers take issues differently.
- according to teachers, flu is not an illness.
- teachers don't stand at the same place.
- The phrase take offence means
- get annoyed.
- offend absentees.
- annoy absentees.
- they don't allow absenteeism.
- The primary school course is guided by
- the timetable.
- the bell
- the syllabus.
- teachers.
- The word mild has been used in the passage. Its opposite could be
- slight
- severe
- light
- hot
- Who is the best person to inform your teacher about your absence?
- Classmate.
- Prefect.
- Friend.
- Parent.
- Which of the following is not expected of an absentee?
- Asking if the others learnt anything important.
- Informing the teacher of his/her absence.
- Handing in assignments given.
- Finding out what the others did while they were away.
- Why is it not advisable to rely on one student's notes?
- Students are not very keen.
- You might miss out some information.
- It enables you to get a complete picture of the other students.
- Students prefer not to share all the information attained.
- From the passage, we can conclude that
- missing classes is not allowed in institutions.
- students who miss classes are the best performers.
- one should ask for permission before missing school.
- when a student misses classes, they have to follow and catch up with the rest
Read the passage below and answer questions 39 to 50.
Research has shown that students who are involved in co-curricular programs tend to achieve better results in academic work as opposed to the usual 'bookworms'. They know how to strike a balance between academics and co-curricular activities. They utilize time they have at their disposal and make the most of it. They show great interest in their academics and go an extra mile to show their prowess. It is also important to note that students taking part in co-curricular activities stand a chance to join better secondary schools and colleges.
Co-curricular activities make learners both creative and innovative. They stimulate the learner's interest and desires to find new ways of solving the many challenges that come their way. These learners also relate well with other people. They know how to make and keep friends
Co-curricular activities help the learners remain fit and refresh their mind. Such learners are unlikely to suffer from lifestyle diseases or even subjected to intense stress. It also keep students away from harmful habits like drugs, crime and immorality. Learners who are active in co-curricular activities are occupied at all times and have no time to think of destructive behavior.
Parents should encourage their children to be active in co-curricular activities. Education is a broad concept that goes beyond the confinement of a classroom. The principle aim of education is to bring about an all-round development of a child. This implies that a child has to develop physically, intellectually, morally and socially. To fulfil, these objectives, there is a prime need of striking a balance between syllabus work and co- curricular activities. It is pointless for a child to get A's in academics yet he is physically unfit and can hardly get along with the society at large.
Co-curricular activities are activities which take place outside a typical pen and pencil classroom environment. They give pupils an opportunity to develop particular skills and exploit their non-academic abilities. Some of these activities help learners in numerous ways. As a matter of fact, they complement the academic work. They refresh pupils' minds and make them ready for lessons.
Children who take part in co-curricular activities are more confident than those who do not. They can express themselves before a crowd with ease. Besides, they develop the spirit of competition and understand that one does not have to win all the time for him to be considered a victor. They also recognize the significance of team work in a competition. They learn to trust their teammates and value their contribution towards the well-being of the group. Such learners develop trust in the team and not their own contributions only.
- From the first sentence, it is correct to say that
- education is incomplete without co- curricular activities.
- it is unlikely for education to take place outside the classroom.
- education is too complex for all people to understand.
- education takes place both inside and outside the classroom.
- The word prowess has been used in the passage to mean
- success.
- strength.
- compassion.
- talent.
- In order to be all round, a learner is required to
- prioritise on academic work.
- engage entirely in co-curricular activities.
- be involved in both academic work and co-curricular activities.
- be a bookworm
- People who can relate well with others in the society are best described as
- physically fit.
- socially fit.
- intellectually stable.
- emotionally stable.
- Which statement is true according to the passage?
- All learners are academically talented.
- Learners always have similar interests.
- Some co-curricular activities are optional for the learners.
- Co-curricular activities hinder students from concentrating in academic work.
- A learner who is confident
- can talk freely before many people.
- has interest in academic activities.
- does not need to take part in co- curricular activities.
- spends more time studying.
- Which one of the following is true about competition? It
- mostly calls for individual effort.
- enables learners to get high marks in school.
- is always good for a participant to win all the time.
- can result in a loss or a win.
- How do teammates help in a competition? They
- work as individuals to win.
- help one another to succeed.
- recognize the efforts of the team members.
- challenge one another to be alot more focused in class work.
- What enables learners to do well in both academic work and co-curricular activities? They
- are naturally clever.
- have talents in co-curricular activities.
- manage their time well.
- spend extra time studying as opposed to other learners.
- A learner is considered creative if he or she
- has desires to take part in many co- curricular activities.
- is more confident than other learners
- develops interest in academic work.
- tries to find new ideas.
- Learners usually engages in harmful habits because they
- are idle.
- cannot excel in academic work.
- have no time to engage in co- curricular activities.
- are under stress.
- The best title for the above passage is
- Talents.
- Parents should participate in co- curricular activities.
- Co-curricular activities and academic work.
- Importance of co-curricular activities.
MARKING SCHEME
- A
- B
- B
- D
- B
- C
- A
- D
- C
- C
- A
- C
- B
- C
- B
- D
- B
- C
- A
- D
- C
- B
- A
- C
- A
- A
- C
- A
- A
- D
- B
- A
- C
- B
- D
- A
- B
- D
- D
- A
- C
- B
- C
- A
- D
- B
- C
- D
- A
- D
Mathematics Questions and Answers - Class 8 Term 1 Opener Exams 2023 Set 1
QUESTIONS
- What is the sum off 97036 and 523850 written in words?
- Six hundred and ten thousand eight hundred and eighty six
- Five hundred and thirty thousand eight hundred and eighty six
- Six hundred and twenty thousand eight hundred and eighty six
- Six hundred and thirty thousand eighty hundred and eighty six
- Round off 287985 to the nearest hundred thousands
- 200000
- 300 000
- 280 000
- 290 000
- Which one of the following numbers is divisible by 11
- 26931
- 37245
- 549264
- 983455
- The area of a square is 676cm2. What is the distance round it twice?
- 104cm
- 208cm
- 52cm
- 204crn
- What is the difference between the total value of digit '5 and the total value of digit 6 in the number 756390?
- 44 000
- 440
- 4400
- 44
- Calculate the area of the shaded parts in the figure below?
- 25cm2
- 50cm2
- 62cm2
- 56cm2
- A man withdrew half a million shillings from hirs bank account. He spent half of it to build a house and 2/5 of the remainder to pay school fees for his children. How much money was he left with?
- sh. 100000
- sh. 200000
- sh. 150000
- sh. 50000
- Work out:
84 +12 − 108 ÷ 9 + 7 x 6- 37
- 42
- 47
- 32
- Work out (5 ÷ 3¾) x 11/8
- 2/3
- 3
- 1½
- 11/3
- The diameter of a circular wheel is 0.7m. How many revolutions will I have to make to cover 44km?
- 200000
- 20000
- 2000
- 200
- What is the next fraction in the sequence?
1, 1¾, 2½, 3¼, _____- 3¾
- 4
- 4¼
- 4½
- If p= 5, t = 4 and r = 2. What is half the value of t(p − r) + 2(3t + p)
- 46
- 28
- 14
- 23
- The scale of a map reads 1: 10000. What is the drawing length of a section of road which is 12km long?
- 1.2cm
- 0.12cm
- 12cm
- 120cm
- What is the distance round the figure drawn below?
- 44m
- 77m
- 33m
- 84m
- The length of a rectangle is 72cm. It is three times longer than the width. Calculate the perimeter of the rectangle.
- 96cm
- 192cm
- 216cm
- 596cm
- The longest side of a right angled triangle is 13cm. One of the shorter sides measures 5cm. What is its area?
- 30cm2
- 65cm2
- 60cm2
- 32.5cm2
- What is the total value of 5 after working out 7 ÷ 8
- Thousandths
- Ones
- 0.005
- 0.05
- The figure below represents Mr. Oluoch's piece of land.
What is the area of the plot in hectares?- 0.63ha
- 0.84ha
- 63ha
- 84ha
- A man is three times older than his son. The sum of their ages is 48 years How old is the son?
- 16 years
- 12 years
- 24 years
- 8 years
- Construct triangle MNP such that line MN= NP = 6.5cm. Angle MNP 70°. Drav a circle touching the vertices of the triangle. What is the diameter of the circle
- 7.0cm
- 4.0cm
- 3.5cm
- 8.0cm
- A text book was sold for sh. 675. The trader made a profit of 25%. At what price had he bought it?
- Sh. 168.75
- Sh. 506.25
- Sh. 540
- Sh. 510.00
- Two brothers shared 40 hectares piece of land in the ratio 3:5. The elder brother got the bigger share. How many hectares of land did the younger brother get?
- 32ha
- 15ha
- 18ha
- 25ha
- A businessman bought three - 50kg bags of rice. She packed it into 750g packets. How many packets did she obtain?
- 200
- 5
- 2000
- 50
- A cylindrical tank has a diameter of 10m. Its height is 7m. How many litres of water can it hold when half full?
- 275L
- 275 000L
- 550L
- 550 000L
- A closed cuboid has a square base whose length is 10cm. Its height is 15cm. Calculate its surface area.
- 500cm2
- 150cm2
- 800cm2
- 1500cm2
- A woman bought ½kg of onions at sh. 90 per kg. A-2kg packet of wheat flour at sh. 140 per packet. Three - 2kg packets of maize flour at sh. 90 per packet and ¾kg of tomatoes @sh. 100. She paid for the items using Two-sh.500 notes. How much balance did she receive?
- Sh. 555.00
- Sh. 450.00
- Sh. 445.00
- Sh. 400.00
- Abdalla left Ukasi at 10.25a.m. After travelling for 3 hours, he stopped at Mwingi where he rested for 45 mins. It took him 21/3 hrs to travel from Mwingi to Nairobi. At what time in 24hrs clock system did he arrive at Nairobi?
- 430hrs
- 1545hrs
- 0430hrs
- 1630hrs
- A woman spent a quarter of her salary to buy household goods and a sixth to pay her rent the rest was used to pay rent. The rest was used to pay school fees for her children. What fraction of her her salary did he spend on school fees?
- 5/7
- 7/12
- 5/12
- 7/24
- A carpenter cut the piece of wood drawn below from a cylindrical log.
What is its volume in cubic centimetres?- 330cm3
- 693cm3
- 6930cm3
- 660cm3
- A square plot whose area is 12¼m2 was fenced round using 4 strands of barbed wire. What was the length of wire used?
- 3.5m
- 14.0m
- 56.0m
- 21.0m
- In the year 2019, Jimmy's crop yield increased in the ratio 8:5. His yield in the year 2018 was 400 bags. How many bags of the crop did he harvest in the year 2019?
- 640
- 600
- 250
- 560
- To travel a distance of 72km, a lorry took 2 hours. What was its average speed in m/s?
- 20m/s
- 30m/s
- 36m/s
- 10m/s
- The table below shows charges for interstate money orders.
value of order in (sh) Commissions charge in (sh) 301 - 500
501 - 700
701 - 1000
1001 - 2000
2001 - 3000
3001 - 5000
5001 - 7000
7001 - 10,000
10,001 - 15,000
15,001 - 20,000
20,001 - 30,00080.00
120.00
170.00
200.00
250.00
320.00
390.00
480.00
580.00
600.00
850.00- Sh. 24,500
- Sh. 1080
- sh. 25350
- Sh. 25580
- 3 taps running at the same rate can fill a tank in 15 hours. How long will 5 taps take to fill the same tank?
- 25 hrs
- 9 hrs
- 10 hrs
- 6 hrs
- In the figure below line AB is parallel to line EC. Angle ABC = 73° and angle CED=62°.
What is the size of angle BAD- 45°
- 73°
- 1080
- 62°
- Simplify 2(x+3) + ½(6x+2)
- 5x + 5
- x + 7
- 5x + 7
- 5x − 7
- Akinyi bought 50kg of tomatoes for sh. 1600. 10kg got spoilt on her way to the market. She sold the remaining tomatoes at sh. 50 per kg. What was her percentage profit?
- 25%
- 10%
- 20%
- 15%
- What is the place value of digit 3 after working out 78.3721 − 4.2370
- Tenths
- Hundredths
- Thousandths
- Ones
- Cherono paid sh. 4200 for a suit after getting a discount of 30%. What was its marked price?
- sh. 7000
- sh. 1260
- sh. 6000
- sh. 5460
- Solve the value of y in the equation 1/3(6y−18) + 2(y+5) = 28
- 8
- 6
- 3
- 11
- The pie-chart below shows the number of learners who chose class representative. There were 4 pupils who had volunteered to be a class representative.
If there were 60 learners in the class. How many pupils chose Samson as their class representative?- 25
- 10
- 5
- 15
- Micky received sh. 12500 as commission. This represented 5% of the value of goods sold. Calculate the value of goods sold?
- Sh. 25000
- Sh. 10000
- Sh. 100000
- Sh. 250000
- The mass of bag of maize decreased by 10% each week. At the beginning of the first week the mass of a bag of maize was 100kg. What was its mass by the end of the of the second week?
- 80kg
- 90kg
- 81kg
- 79kg
- A man is 2x years old. His son is 24 years younger. While his wife is 3y years old. Write an expression to show the sum of their ages
- 2x − 24 + 3y
- 4x − 24+ 3y
- 4x + 24+ 3y
- 4x + 3y
- The average mass of 6 boys is 42kg. Four of them weighs 34kg, 41kg, 47kg and 40kg. What is the average mass of the remaining two boys?
- 90kg
- 55kg
- 44kg
- 45kg
- The cash price of a DVD player is sh. 7200. Jamia bought it on hire purchase terms by paying a deposit of sh. 4500. He then paid monthly instalment of sh. 1200 for 4 months. By how much was the hire purchase price more than the cash price?
- Sh. 11000
- Sh. 2100
- Sh. 12000
- Sh. 2200
- Class 8 pupils at Investors Primary School made a cuboid using sticks as shown below.
What was the total length of the sticks used?- 39cm
- 78cm
- 156cm
- 1944cm
- Twelve families shared 480L of cooking oil among themselves. How many decilitres did each family receive?
- 4
- 4000
- 40
- 400
- Three buses, four nissan matatus and twelve personal cars were used to transport people to wedding ceremony. The cars accommodated 4 passengers, The Nissan matatu could carry 14 passengers while the buses were 52 seaters each. If all the vehicles were filled to capacity, how many passengers did the vehicles carry altogether?
- 216
- 260
- 78
- 261
- The travel graph below shows a journey followed by a bus travelling from Peto to Ijal
What was the average speed for the whole journey?- 64km/h
- 60km/h
- 531/3km/h
- 532/3km/h
MARKING SCHEME
- C
- B
- D
- B
- A
- B
- C
- A
- V
- B
- B
- D
- D
- D
- B
- A
- C
- A
- B
- D
- C
- B
- A
- B
- C
- C
- D
- B
- C
- C
- A
- D
- D
- B
- D
- C
- A
- B
- C
- B
- A
- D
- C
- B
- D
- B
- C
- D
- B
- A
Kiswahili Questions and Answers - CBC Grade 6 End of Term 1 Exams 2022 Set 2
Maswali
Maagizo ya mwanafunzi
- Karatasi hii ina sehemu sita kuu
- Jibu Maswali yote kulingana na maagizo
Sehemu 1: Mazungumzo ya ana kwa ana (alama 5)
Ugonjwa husorotesha afya ya mwanadamu na kusababisha utumizi wa hela ni lengo lisilofaa.
- Ni ugonjwa upi ambao umewapa Wakenya tumbo joto?
- Ugonjwa huo ulioutaja katika swali Ia (a) waweza epukika vipi?
- Ni ugumu upi uliopata baada ya kutokea kwa ugonjwa huo?
- Taja magonjwa mengine yanayowasumbua Wakenya?
- Ungekuwa dakatari ungewasaidiaje wagonjwa wanaopata homa ya tumbo kilo mare?
Sehemu 2: Ufahamu wa Kusikiliza (alama 5)
Msikilize mwalimu akisoma kifungu kifuatacho kisha ujibu Maswali yafuatayo
Mimi naitwa Riziki. Nina miaka kumi. Mimi husomea katika shule ya msingi ya Pande. Shule yetu iko katikati ya jimbo Ia Kiambu na Kitui. Nilijiunga na shule hii miaka miwili iliyopita. Sasa niko katika gredi ya site. Mwalimu wetu wa darasa ni Bi. Malimo. Somo ninalolipenda ni la Kilimo. Somo hill hupendwa pia na wanafunzi wenzangu. Mwalimu wetu wa Kilimo ni Bwana Mtume.
- Msemaji ana miaka mingapi?
- Je ikiwa msemaji yuko gredi ya site mwaka huu, miaka miwili iliyopita alikuwa darasa lipi?
- Eleza pale shule ya msemaji inapatikana?
- Kwa nini somo la Kilimo line wanafunzi wengi?
- Tajo masomo mengine yaliyo katika gredi ya site?
Sehemu 3: Kusoma kwa sauti (alama 15)
Wanyama hawa wawili walianza safari ya kuelekea kwa 5imba. Walipofika karibu na lango kuu Ia mfalme 5imba, walikuta mkusanyiko wa Wanyama wengine. Wote wakatarajia mfalme wao awape suluhu ya tatizo lao. Walijikokota na kukaribia mzee Tembo. Sungura alimsihi kwa upole amueleze pale wangepata maji. Mzee Tembo alimuonea huruma na kumtilia maji kidogo aliyokuwa ameyaweka kwenye mdomo wake. Mfalme 5imba alionekana akijikokota kwa umbali akija. Alipowafikia akazirai. Wanyama wote walitawanyika na kumwacha Mzee Chui akimuhudumia mfalme wao. Walielekea kwenye mto uliokuwa karibu. Kwa mshangao walipata Mzee Kobe akiyatega maji yaliyokuwa yameanza kutiririka.
Sehemu 4: Ufahamu wa kusoma (alama 6)
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu swali Ia 1 hadi 6
Hapo zamani za kale walikuwepo watu ambao walikuwa wanaishi karibu na pwani. Kazi yao ilikuwa kuvua, na siku zote walikuwa wanavua samaki wadogo wadogo. Siku moja alitokezea bwana mmoja akaenda baharini akabahatika kuvua samaki mkubwa sana. Yeye mwenyewe akaanza kushangaa kumuona yule samaki mkubwa, na akaanza kusema ningempata samaki kama huyu ningetajirika. Kilo siku tunakuja pwani tunapata samaki wadogo wadogo, hapo akajiuliza samaki huyu nimfanye nini?
Akaenda kumwita baba yake. Baba mtu alipofika akaanza kushangaa na kusema samaki huyu mkubwa si jawahi kumuona, sasa wakaanza kushauriana. Baba yake akasema bora tukawaite jamaa waje kumtazama. Wale jamaa walipofika na wao wakaanza kushangaa na kusema; "samaki mkubwa, samaki kama huyu hatujawahi kumvua maisha yetu." Na wao wakasema; "twendeni tukamwite sheha." 5heha alipokuja alishangaa na akasema; "Bora tukawamwite Mfalme aje kumuona." Alipokuja Mfalme no yeye alishangaa na kusema; "Bora tukamwite mzungu aje kumpiga picha."
Hapo waliondoka wakaenda kumchukua mzungu, na mzungu alipofika akasema;"Mngelimuweka kiile nikampiga picha lakini hapa anazunguuka nitampiga vipi?" Wale watu wakajibu mpige hivyo hivyo, na huku maji yanajaa na yule samaki akachukuliwa na maji, na kuenda nke baharini wakakosa utajiri pamoja na samaki.
Maswali
- Watu wa Kijiji hiki walikuwa wanafanya kazi gani?
- Kamilisha sentensi. Mvuvi alipovua Samaki mkubwa
- Jamaa walipoitwa walisihi nani aweze kuitwa?
- Mfalme alipoitwa alisisitiza nani ajulishwe kuhusu Samaici huyo mkubwa?
- Je, wanaki jiji hawa walipata utajiri waliokuwa wakiomba?
- Ipe hadithi hii mada ya kufana?
Sehemu 5: Saruf (alama 24)
- Andika maneno haya katika ukubwa
- Mgongo
- Ngoma
- Mkono
- Kamilisha methali
- Mtaka cha mvunguni _______________________________________
- _______________________________________ marejeo ni ngamani
- Msiba wa kujitakia ________________________________________
- Andika sentensi hizi kwa wakati uliopita
- Mtoto ataenda shuleni
- Mwanafunzi anaandaa sima
- Mtego umemnasa paka
- Kanusha sentensi hizi
- Tulienda kanisani
- Vita vilileta njaa
- Mjumbe wetu alifanya kazi nzuri
- Kamilisha tashbihi hizi
- Kigeugeu kama
- Mwaminifu kama
- Msumbufu kama
- Andika vinyume yya vitenzi hivi
- Rudi
- Vua
- Tua
- Lia
- Andika kwa maneno
- Shilingi 2,345
- Vijiko 199
- Mkate 1/2
- Saa 4.15
Sehemu 6: Kuandika (alma 10)
Kamilisha mtungo ufuatao. Ufanye uwe wa kuvutia mno
Jua lilionekana likichomoza kwa umbalL Nami nilifungua jicho langu kulia, kisha kushoto nakuelekea.
Mwongozo wa Kusahihisha
Sehemu 1
- Mwanafunzi anapaswa kuongea na kujibu maswali ipasavyo
Sehemu 2
- Mwanafunzi anapaswa kuongea na kujibu maswali ipasavyo
Sehemu 3
-
- Kuvua samaki
- Alishangaa/ alistaajabu
- Sheha
- Mzungu
- La, samaki alitowekea kwa maji yaliyokuwa yamejaa
- Sahihisha mada kulingana na muktadha
Sarufi
-
- Gongo
- Goma
- Kono
-
- Sharti ainame
- Mwenda tezi na omo
- Hauna kilio
-
- Mtoto alienda shuleni
- Mwanafunzi aliandaa stima
- Mtego ulimnasa paka
-
- Hatukuenda shuleni
- Vuta havikuleta njaa
- Mtego ulimnasa paka
-
- Kinyonga
- Njiwa
- Mwanambuzi
-
- Enda
- Vaa
- Tia
- Cheka
-
- shilingi elfu mbili mia tatu arobaini na tano
- Vijiko mia moja tisini na tisa
- mkate nusu
- saa kumi na robo
English Questions and Answers - CBC Grade 6 End of Term 1 Exams 2022 Set 2
Questions
SECTION A
Task 1: LISTENING AND SPEAKING
The teacher greets the learner (learner responds). The teacher asks the learner to sit.
The teacher tells the learner:
"Listen carefully to the passage that I am going to read, then you will answer in English the questions I am going to ask you."
Mariana is a Grade six girl. Every time they do a test, she fails terribly. Whenever the results are read to them, she feels ashamed. This has made her think of dropping out of school. Back at home, her guardian is not happy with her because of her performance in school. The guardian calls her names. This makes
Mariana feel like running away from home. However, Mariana's PE teacher noticed her prowess in gymnastics. Now, the only hope Mariana has is the comfort from the PE teacher. Every time exams approach, Mariana goes to her PE teacher who encourages her. (Teacher repeats)
- What can the teachers do to save Mariana from the shame? (Learner responds)
- What is the role of Mariana's friends regarding her situation? (Learner responds)
- How best can Mariana's guardian be corrected? (Learner responds)
- How important is Mariana's PE teacher in her (Mariana's) academic journey? (Learner responds)
- What is the moral lesson behind this passage? (Learner responds)
Task 2: READING ALOUD
The teacher points the passage and says:
"I would like you to read this passage aloud."
Different families lived in Nyayo estate. They were all hardworkers who believed in barely nothing but hard work which, according to them, was the main
source of success. Nevertheless, they all worked hard to keep their surroundings clean and neat. They were organized in such a way that they took turns to keep their environment clean. There were times that water was scarce. During such times, women were encouraged to re-use their dirty water for cleaning latrines and toilets.
The tall grass was always trimmed and collected in dustbins and later burnt. They also ensured proper drainage. Water flowed smoothly without any stagnation.
Families prepared a duty roster which was to be followed by every family member. This ensured that tall grass was cut to keep away dangerous animals and latrines and toilets were scrubbed clean. The community was clean throughout.
SECTION B
- READING COMPREHENSION
- LANGUAGE STRUCTURE GRAMMAR
Task 3: COMPREHENSION
Read the following passages and then answer the questions in the spaces provided
- The Zebra and The Deer
Once, there lived a zebra staying with a deer and its three young ones. Both the zebra and the deer were fast animals. They could run faster than any lion or leopard in that forest. It hid its young ones in tall grass when they were young, As they grew big, the grass could not hide them. They started grazing with other animals but they were very lazy in running. One day, a lion came and started chasing the animals for food. The deer and the zebra ran very fast and the young ones were left behind. The lion chased the biggest deer but told the young zebras that he would eat them when they will have enough meat for him. They tried hard to hide in the grass. The lion did not catch the deer. The young zebras were never lazy again.- Which animals could not run very fast?
- Why couldn't the grass be the best hiding place any more?
- Why do you think the lion was chasing the animals?
- Describe the lion's feelings towards the young zebras.
- Why did the young zebras decide to never be lazy cyduin?
- MUNYAO THE MOUNTAINEER
Munyao used to climb mountains better than any mountaineer he knew. One day, he was happily climbing a mountain using some ropes rather late in the afternoon. Then the unexpected happened. He slipped, fell and started rolling down the mountain. Before long, another unexpected thing happened. His rope got caught by something and poor Munyao was left hanging loosely on the mountain side. "Help! Help!" He shouted, looking at the big rock above him. 'Cut the rope! Cut the rope!" He heard someone shout from a distance. Munyao thought he was dreaming. Looking down, the floor was just two metres below. He cut the rope and landed safely.- What did Munyao use to climb the mountain?
- What was the first unexpected thing to happen to Munyao?
- Who Ehouted at Munyao to cut the rope?
- What does the writer mean by Lcfore long?
- Describe Munyao in your own words.
- THE HIPPOS
Hippos live along the shores of lakes, in pools, in deep wide rivers or swampy lakes. Late in the evening, at night or at dawn, they are seen for they searching for grass. There is a limit to the distance they can go must get back to the water before daybreak. They cannot graze in the forest for there is hardly any grass. They seem to believe that their safety is in the water.
Most of the hippos grazing grounds have no enough grass. This is because of domestic animals and other wild animals like buffaloes, elephants and antelopes which compete for the same food. The grounds become bare through overgrazing. This results in starvation for the hippos and other animals as well. This is the reason why they turn to destroy people's crops in nearby forms.- According to the passage, where do hippos live?
- Why don't the hippos graze far from the water?
- Why are areas around the shores lacking enough grass?
- What causes starvation to hippos?
- Why can't the hippos graze in the forest
TASK 4: GRAMMAR
Use the correct demonstrative determiner to complete the statements.
- ______________________one seated there was the lady whose laptop was missing.
- "___________________ are not my type of shoes," said Wakanda.
- _______________ is my smallest finger.
Fill in the blank spaces using the correct collective nouns.
- We saw a ______________ of lions in Wanyama game reserve.
- Mr. Mundia's ___________ of keys is missing.
- Wayua brought me a _____________ of flowers for my birthday.
Use "to" or "for" correctly
- The basket is too heavy ____________ Masese to lift
- The apple was too sweet ___________ be thrown away.
- The porridge is too hot ______________ the baby to eat.
State the type of adverb underlined.
- It mostly rains in April and December. ______________________
- The lizard hid inside the hole when it saw the cat. _________________
- We shall meet the visitors later in the evening.___________________
Use the correct interrogative in each sentence.
When Who How
- _______________ was the last time you visited your grandparents?
- _______________did you do the sum that quickly?
- _______________ was the first president of Kenya?
Re-write the following sentences in plural.
- The room was furnished with new furniture.
- I shall take care of my bedding.
- The luggage was too heavy for her to carry.
- A slasher is a farm equipment.
- I have a nice pair of goggles.
Write the short forms of the underlined words. - The lion said that he would be the king of the jungle.
- Kanini, "I am going to buy a new smart phone!"
- You will not be able to travel with the ticket.
- I will also make my kitchen garden at home.
- Had I seen him drown, I ivould have helped. him.
SECTION C:
TASK 5: WRITING
The following is the beginning of a story. Complete it in your own words making it as interesting as possible.
I arrived earlier than everybody else in school because I was very excited about joining a new class. The gate was wide open but all the classrooms were locked. Then....
Marking Scheme
Section A
Task 1: Listening and Speaking
1-5 - Student should answer approriately
Task 2
Learner should be able to ready a loud
Task 3
- Young Zebra
- Young zebras grew
- For food
- Learn to describe
- So as to not be caught by predators
- Ropes
- He slipped, fell and rolled
- Soemone
- Suddenly
- Learner should be able to describe
- aloong lakes, in pools and rivers
- They must get to water before daybreak
- Grass has been eaten by other animals
- Lack of grass
- There is hardly any grass
Task 4
- That
- Those
- this
- Pride
- bunch
- bouquet
- For
- to
- for
- frequency
- place
- time
- when
- how
- who
- The rooms were furnished with new furniture
- We shall take care of our beddings
- The luggage was too heavy for them to carry
- Slashers are farm equipment
- We have nice pairs of goggles
- he'd
- I'm
- won't
- I'll
- I'd
Mathematics Questions and Answers - CBC Grade 6 End of Term 1 Exams 2022 Set 2
Questions
Instructions
- This paper consists of 30 Questions.
- Answer all the questions.
- Show all the working in the spaces provided below each question.
- What is the total value of digit 8 after working out 23457 + 9130?
- The number of litres of pesticides used to kill locusts in the month of June. was 897. This was less the number used in May. If the number of litres of pesticides used in May was 5678, use the place value table to show place values of the reduction of pesticide used?
- Write the following in words. Kshs 46,987
- Round off 809976 to the nearest thousand.
- Mwakazi's total marks in assessments for the year 2021 and 2022 were as follows; 345,457,387,298,460,323. Arrange his performance in a descending order?
- A school has 960 pupils. The school has two streams from Grade one to six and two streams in class 7 and 8. How many pupils are there per stream?
- Mwaura had Kshs 7654 and Tim had Kshs 8765. They put the amount in one ac count. How much did they have altogether ?
- Find the volume of;
- A book costs sh 345. What is the cost of 20 such books?
- Work out;
36= 6 x 5 + 8 - 12= - Convert 7035 millilitres into litres and millilitres.
- Calculate the area of the figure.
- Fill in the missing number
__ = 63/72
8 - Solve the equation
W + 7=13 - A carpenter had a piece of wood 73m 50 cm long. It was cut into 7 equal pieces. How many pieces were cut?
- Find the sum of the largest and smallest number formed by the digits below.
- Which of the following lines are parallel?
- What is the next number in the pattern? 2,4,8, 16, 32, _____________?
- Convert 0.09 into a fraction.
- Find the difference between the LCM and GCD of 5, 10 and 15.
- Work out;
km m
5 575
x 4
- Convert 10345 metres into km and metres.
- Work out
40.4 + 0.77 + 3.5 = - Caleb bought the following items from a shop;
2 kg of rice @ sh 130
A loaf of bread for sh 80
2 packets of milk @ sh 55
A 2 kg packet of maize flour for sh 115
He paid using 4 - sh 200 notes. Calculate her balance. - Calculate the distance round the figure.
- Simplify the fraction.
80/120 - Convert 240 hours into days.
- How many small tins will fill the big tin?
- Mary had W mangoes. She ate 5 mangoes and gave her friends 8 mangoes. Form an equation to show the number of mangoes that remained?
- The graph below shows the number of litres of milk sold by a farmer during the week.
If a litre of mi lk cost sh 50, how much money did the farmer collect on Tuesday, Thursday and Friday.
Marking Scheme
- 80/ Eighty
- 4781
- Forty six thousand nine hundred and eighty seven
- 810000
- 460, 457, 387, 345, 323, 298
- 60
- Sh 16 419
- 360cm3
- Sh 6900
- 26
- π 35ml
- 270m2
- 7
- W=6
- 10m 50cm
- 11588
- C
- 64
- 9/100
- 55
- 22km 300m
- 10km 345m
- 44.67
- Sh 235
- 140m
- 2/3
- 10 days
- 48
- W-13
- Sh 5750
Kiswahili Questions and Answers - CBC Grade 6 End of Term 1 Exams 2022 Set 1
Maswali
SEHEMU YA A
Zoezi La 1: Kusikiliza Na Kuzungumza
Mwalimu amwamkue mwanafunzi nn kumwomba akar. Mwalimu ajitambulishe.
"Mimi ni mwalimu ____________ . Nitakusimulia kisa kisha nikuulize rnaswali kukihusu."
Katika miaka ya hivi karibuni, familia nyingi zimekuwa zikihangaika kutokana na uhaba wa mapato ya kutosha kuyakimu mahitaji muhimu. Ni kweli kuwa
zimeweza kujipatia milo mitatu ya siku kama inavyostahili. Hali ya umaskini imekuwa dondandugu lisilosikia dawa wala kafara. Yapo mengi ambayo yamechangia hali hii.
Miongoni mwa mambo yaliyochangia hapa ni kuzorota kwa uchumi nchini kutokana no changamoto za janga la Korona na idadi kubwa ya wananchi wasio na ajira. Hali hizi huzuia mzunguko wa hela no hivyo, baadhi ya wananchi hubaki maskini hohehahe. Hata hivyo, kulingana na ripoti ya Wizara ya Afya, kwa sasa makali ya Korona yamepungua na nina matumaini kuwa hall ya kawaida itarejea, inshallah. (Mwalimu arudie
- Akahangaiko makubwa katika miaka michache iliyopita yamesababishwa na nini? (Mwanafunzi ajibu)
- Ninaposerna milo mitatu, nina manna gani? (Mwanafunzi ajibu)
- Kulingana na makala hays, ycrtaje mambo makuu yaliyochangia hail ya umaskini nchini. (Mwanafunzi ajibu)
- Mzunguko Wa peso ukiwa duni, wananchi krtesekaje? (Mwanafunzi ajibu)
- Kwa sasa !tuna matumaini gani katika kuokoa hall ya umaskini nchini?
(Mwanafunzi ajibu)
Zoezi La 2: Kusoma Kwa Sauti
Kinara wa shule yetu anaitwa Bibi Maua. Yeye ni mrefu kiasi. Mwalimu Maua arnelciongoza chombo hiki tangu miaka minne iliyopita.
Mwalimu Maua alichukua usukani kutoka kwa bwana Maporomoko ambaye karibu aizamishe hii shule yetu katika bahari ya matatizo. Nidhamu shuleni ilikuwa imezorota mno, nayo matokeo yakawa vivyo hivyo.
Pindi alipofika, matokeo na nidhamu zilianza kuimarika. Saul shule yetu ni tajika. Jinn la shule yetu ya Bongochonjo linang'aa. Wengi hawaamini masikio yao
kuwa sisi ni jogoo katika nidhamu na matokeo.
SEHEMU YA B
Zoezi La 3: Kusoma Kwa Ufahamu.
Soma fahamu hizi kisha ujibu
- SIKU ZA MWIZI NI ARUBAINI,
Siku moja tulipokuwa tukienda shambani na dada yangu, tuliwaona watu wengi waliokuwa wakiangalia kitu ambacho hatukukielewa. 5151 tulipoona hivyo, tulikimbia it; nasi tukajionee ni kitu gani ambacho watu walikuwa wakikitazama kwa makini kiasi
Tulipofika katika mkusanyiko ule, tulishangaa kuona kuwa alikuwa ni jamaa nunoja aliyekuwa amepigwa vibaya na watu waliokuwa na hasira. Dada yangu alipouliza kiss no maana ya yale yote, ajuza mmoja alimweleza kuwa jamaa huyo alikuwa amemwibia mama mmoja mzigo wake uliokuwa na bidhaa zake nyingi.- Umati ule wa watu uli uwa ukiangalia nini?
- Safari ya kuelekea shambani ilifungwa na watu wangapi?
- Dada wa mwandishi aii,juaje kilichokuwa kimejiri?
- Kwa maoni yako, hatua gani ingekuwa bora zaidi baada ya kumkarnata mwizi yule?
- Mama aliyeibiwa aliibiwa nini?
- UMUHIMU WA MAJI
Maji ni uhai. Bib maji, hakuna binadamu hata mmoja ambaye angeweza kuishi. Watu wote huyategemea maji moja kwa moja. Maji hayo hutumika kwa njia mbalimbali kama vile kunywa, kupikia, kuoshea na shughuli nyingine nyingi za nyumbani. Mvua inapokosekana, maji hutumika kunyunyizia mimeo. Maji yatumiwayo kunyunyizia huweza kupatikana mitoni, mabwawani no maziwani. Moji yana uwezo wa kuzalisha nguvu za umeme. Mto Tana, kwa mfano, huzalisha nguvu za stima. Samaki huishi majini na kwa hivyo, shughuli za uvuvi hutegemea maji. Hivi ni kusema wavuvi huyatumia maji kupata pesa. Samaki wapikwapo vizuri, huwa Iishe nzuri na yenye afya.- Ni nini maana ya maji ni uhai?
- Maji yana umuhimu gani kwa wavuvi?
- Unadhani stima inayozalishwa kupitia nguvu za maji huweza kutusaidia vipi?
- Kulingana na ufahamu, baadhi ya vyanzo vya maji ni vipi?
- Tumeambiwa kuwa mto Tana una umaarufu gani?
SEHEMU YA C:
Zoezi La 5: Kuandika
Anza insha yako kwa maneno yafuatayo:
Siku moja tulitoka shuleni jioni kama ilivyokuwa kawaida. Tulipofika karibu na nyumbani,
Mwongozo wa Kusahihisha
Sehemu A:
Zoezi la I:
1-5 Mwanafrunzi ajibu
Zoezi la 2
Mwanafunzi asome taarifa kwa sauti
Sehemu B
Zoezi la 3:
Ufahamu I
- Jamaa aliyepigwa
- Wawili
- Aliambiwa na ajuza
- Mwanafunzi aeleze
- Mzigo
Ufahamu II
- Ni muhimu kama uhai
- Huwaweka hai samaki
- Mwanafunzi aeleze
- Mito, mabwawa, maziwa
- Huzalisha stima
- Vifaru weusi
- Ndovu
- Kwa maji ya chumvi
- KWa shingo upande
- Ili wasiuawe
Zoezi la 4: Sarufi
- Alhamisi
- Nairobi
- Yohana
- Mzinga
- kafiri
- marara
- Meza hizi zilinunuliwa jana jioni
- Nguo ilifuliwa ikaanikwa jioni
- Kamba zenyewe zilikatika baada ya kununuliwa
- Mwanafunzi atunge
- Mwanafunzi atunge
- Mwanafunzi atunge
- Dizi
- Jiti
- Jibwa
- Mwanafunzi akanushe
- Mwanafunzi akanushe
- Mwanafunzi akanushe
- Mwanafunzi akanushe
- Mwanafunzi akanushe
- Mawe
- Jiko
- Jani
- chini ya
- Ala!
English Questions and Answers - CBC Grade 6 End of Term 1 Exams 2022 Set 1
Questions
INSTRUCTIONS TO THE LEARNER
- This paper consists of 5 tasks.
- Answer all the questions.
Task 1: LISTENING AND SPEAKING (5 mks)
Listen to the following scene being read by the teacher and respond to the questions
It's a Saturday morning, your parents have left for work and you hear the house phone ringing from a far. You rush to it and answer the call at instant and you realize from the voice its your Sunday school teacher.
- How would you start the conversation?
- State two telephone etiquette you will observe?
- How will you maintain the conversation if you realize what you have been told you did not hear it well?
- What roles do you play at your church as Sunday school student?
- Using two sentences imitate a person you dearly like when talking to on the phone?
Task 2: READING ALOUD (10 mks)
Read the following story aloud as instructed by the teacher
There lived in village a certain a poor old woman who had collected a mess of beans and was going to cook them. So, she made a fire on her hearth and in order to make it burn better she put in a handful of straw. When the beans began to bubble in the pot, one of them fell out and lay, never noticed near her was a straw which was already there. Soon a red-hot coal jumped out of the fire and joined the pair.
The straw began first and said, "dear friends how did you come here?" The coal answered, "I jumped out of the fire by great good luck. I should have been burnt to ashes." The bean said, "I too have come out of it with a whole skin. I should have been cooked like my comrades." "Luckily I managed to slip through her fingers." The straw asked, "What had we better do now?" Said the coal, "I think we should hide," The bean responded,"that as we have been lucky to escape with our lives,we will go together into foreign lands." The proposal pleased the other two and they started on their travels.
Soon they came to a little brook and as there was no bridge the straw was struck with a good idea and said, "I will lay myself across so that you can go over me as if I were a bridge." So, the straw stretched itself from one bank to the other and the coal quickly trotted up to goover the newly made bridge. When he reached at the middle and heard the water rushing past beneath her, she stopped and could not go farther. So, the straw began to get burnt and broke in two pieces and fell in the brook. The coal slipped down hissing as she touched the water. The bean who had prudently remained behind on the bank went on laughing so excessively that she burst and now would she certainly have been undone forever, if a tailor on his travels had not by good luck stopped to rest himself by the brook. He took out needle and thread and stitched her together again. The bean thanked h im, but as he had sewn her up with black stitches, all the beans since then have a black seam.
Task 3: COMPREHENSION
Read the stories below and answer the questions that follow
Fire Alarm Beep! Beep! Beep! Do you know what to do if the fire alarm goes off in the middle of the night?
First, crawl to your bedroom door. Crawling is safer, since smoke rises. Feel the door with the back of your hand. If it feels cold, open the door. Look around. Find the closest door to outside, and crawl outside. Go to the meeting place your fami ly picked, and wait for them to meet you.
What happens if the door feels hot? Do not open the door! Crawl to get a blanket , then cravi to your bedroom window. Open the window and let most of the blanket hang outs de. Close the window to hold the blanket in place. Firefighters will see the blanket a iidd know to come and get you. Stay under your window so they can find you easily. Firefighters might look scary, but they are there to help. They have to yell, because they have masks on, so it is hard to hear them. Do not be afraid of the fire-fighters, they will keep you safe. It is important to have a plan in place with your family in case the fire alarm goes off so that you all stay safe!
- What is the main topic of the 4th paragraph?
- Where should you stay if the door of your bedroom feels hot?
- Why should you hang a blanket out of your window?
- Which precaution should you take with your parents in case of fire?
- What is one question you could ask a friend about fire safety?
Task 4: GRAMMAR (20 mks)
- Rewrite the following_ words correctly
- raef
- gnantsta
- roobm
- teller
- Write three words with the sound /0 a /
- Circle determiner from the table
some between were run these each is those it am enough smile are I and heavy - Write a word that has similar sound as the one below
- Ball
- Eye
- Axes
- Accept
- Complete the following sentences with the correct preposition
- We walked __________ a crowd of people
- Jeremy arrived _________ 9 o'clock
- It was ____________ Monday morning that our parents brought us to school.
- Write three words used to ask questions
TASK 5: WRITING (10 mks)
The following story has been started for you. Read and complete it making it more interesting.
It was a busy morning. parents hurl bought all that we needed for any younger sister's birthday. The moment had popped up, visitors started arriving.
Marking Scheme
Task 1
Student should give appropriate verbal answers
Task 2
Student should read the story as instructed
Task 3
- the main topic of the fourth paragraph is to not be afraid of firefighters
- Yous should stay under your window if the door of your bedroom feels hot.
- The blanket is a signal to the firefighters that there is someone inside that room and to come and rescue you.
- To have a plan in place with your family in case the fire alarm goes off so that you all stay safe.
- Answers will vary
Task 4
-
- Fear
- Stagnant
- Broom
- Retell
- Rear, clear, severe
- Some each enough
-
- bawl
- I
- axis
- except
-
- Into
- At
- On
Mathematics Questions and Answers - CBC Grade 6 End of Term 1 Exams 2022 Set 1
Questions
NUMBER
- Mr. Mugambi wrote 23 907 onthe chalk board and asked Nkirote to write the total value of 0. What was Nkirote's correct answer?
- Katana raised a board as the oneshown below.
What is the place value of the underlined digit? - Between 80 and 120, how many numbers are divisible by 5?
- There are 4 921 antelopes in a game reserve. What is the number of the antelopes rounded off to the nearest hundred?
- Write forty nine thousand, nine hundred and ninety in symbols.
- Find the L.C.M of 6, 16, and 30.
- Simplify: 3/12
- During a birthday party, 144 balloons were shared equally among 16 children. How many balloons did each child get?
- Write the next number in the pattern below
2, 6, 18, 54, ____ - Wakanda village has 42 321 men and 1 001 less women than men. How many adults are there altogether?
MEASUREMENT
- During a cross country athletics practice, an athlete covered a distance of 4 010m. How many kilometres and metres were these?
- How many metres are there in 14 kilometres?
- Subtract:
Km M
29 16
-14 57
- Mama Pima's debe is 2m long, 3m wide and 5m high. What is the volume of mama Pima's debe?
- Find the area of the square below.
- Three boys carried their lockers outside for repair. If each locker was 22kg, how many grams did the three boys carry altogether?
- A cartoon program started at 8.00 a.m and lasted for sometime before power went off. If the power went off at 8.25 a.m, for how many seconds did the program last?
- Wanyonyi milked 34 litres of milk from his cows. He sold 11 litres, prepared tea with 3 litres and kept the rest. How many millilitres did he keep?
- Multiply 24kg 18g by 12.
- Work out the volume of the cube below.
GEOMETRY DATA & ALGEBRA
- Name the angle that forms at the corner of your Mathematics text book.
- Measure the angle drawn below.
- Name the lines drawn below
______________ -
________________________-_ - A class had 12y learners. y boys 28. How many learners were the and 3m girls joined the class. tallest in the class? How many learners were there in the class altogether?
- Simplify the algebraic expression below.
15a - 7a - g
The table below shows the number of learner in Grade 6 with different heights
Height Tally marks Number A. 50cm
B. 60cm
C. 70cm
D. 80cm
E. 90cm
F. 100cm
- How many learners were the shortest in the class?
- How many learners were the tallest in the class?
- How many learners are shorter than 90cm?
- How many learners are in Grade 6?
Marking Scheme
- 0
- Tens of thousands
- 7
- 4 900
- 49 990
- 240
- 1/4
- 9
- 162
- 83 641
- 4km 10m
- 14000
- 14km 959m
- 30m2
- 144cm2
- 66 000g
- 15 000seconds
- 20 000ml
- 288kg 216g
- 2 197cm3
- Right angle
- Learner to measure
- parallel
- perpendicular
- 13y + 3m
- 8a-g
- 3
- 8
- 28
- 40
Science Questions and Answers - Class 8 End of Term 1 Exams 2022
QUESTIONS
- Heat is transferred through liquid by
- conduction only.
- radiation only.
- convention only.
- convention and radiation.
- Which of the following processes occurs when temperature increases?
- Evaporation and expansion.
- Condensation and contraction,
- Melting and contraction.
- Freezing and melting.
- Sound travel BEST in
- air
- vaccum
- water
- metal
- The diagram below represents a set up used to demonstrate a certain property of light
Which one of the following statement is CORRECT about the set up? Light- is refracted at a corner.
- travel in a straight line.
- is reflected at a corner.
- travel in all direction.
- The following source of electricity work the same way as dynamo EXCEPT
- wind driven turbine.
- geothermal generator.
- torch batteries.
- petrol driven generator.
- Digestion of food take place in all of the following parts EXCEPT
- oesophagus
- small intestine
- stomach
- mouth
- The following are changes that occurs during adolescent stage.
- Production of sex cells.
- Hips broaden.
- Enlargement of breasts
- Increase in weight and height
Which changes occurs in BOTH boys and girls?- (ii) and (iv)
- (i) and (iv)
- (ii) and (iii)
- (i) and (w)
- Which one of the following blood vessel carries blood from the heart to the lungs?
- Pulmonary artery
- Aorta
- Venacava
- Pulmonary vein
- Study the diagram below and answer the question that follow
When part marked S is pulled down part- N burst.
- M allow air to move out
- N decrease in size.
- R move upward and outward
- The following are the functions of placenta. Which one is NOT?
- Facilitate transfer of waste products.
- Facilitate transfer of food.
- Protect the foetus from shock.
- Exchange of oxygen and carbondioxide.
- Which one of the following is an advantage of zero grazing?
- Animals feed on commercial feed only.
- Pasture is utilized properly.
- Pests and diseases spread easily.
- The manure can be easily collected.
- Which one of the following is a COMMON characteristic between a newt and a nile perch?
- Have scales.
- Covered with moist scale.
- Lay unfertilized eggs.
- Take care of their young ones.
- The bird beak drawn below is LIKELY to be found in a
- muddy places.
- rice farm.
- granary
- flower garden
- Which one of the following pair of animal feed provide animals with energy?
- Maize germ and rice husks.
- Fish meal and honey
- Salt lick and lucerne
- Desmodium and giycine
- Which one of the following animal parasite can be controlled by dipping?',
- Tsetsefly
- Liverfluke
- Tapeworm
- Mite
- The soil which has smooth texture has
- large particle.
- best drainage
- best capillarity
- alot of humus
- The BEST way of conserving soil in steep slope is by
- mulching
- terracing
- building gabion
- planting trees
- Which ône of the following type of manure is made of material collected from kitchen left-over and farm waste?
- Farmyard manure
- Straight manure
- Composit manure
- Green manure
- The diagram below represent composition of air
The component of air used in preservation of drinks is represented by letter- S
- N
- M
- R
- Which one of the following materials works in the same way as side mirror?
- Frosted glass
- Skylight
- Clean water
- Milk
- Which is the first step when separating a mixture of salt, sand and iron filling?
- Filtering the mixture.
- Using a magnet.
- Adding water to the mixture.
- Decanting the mixture
- Which one of the following pair is made of materials that attract magnet?
- Office pin and aluminium foil
- Copper coin and staples
- Steel wool and nails
- Hair strand and glass
- During a science lesson pupils setup the experiment as shown below to investigate factor that affect sinking and flowing.
Both material floated because of their- material
- weight
- shape
- size
- Which one of the following is a COMMON characteristic between paraffin and ice cubes?
- Have indefinate size.
- Have indefinate mass.
- Have definate volume.
- Expand most on heating.
- Pressure in liquids increases with
- surface area
- volume
- height
- depth
- A plant with flexible stems also have
- thin cuticle
- fewer stomata
- shallow roots
- needlike leaves
- The diagram below shows parts of the flower
Pollen tube develop in part labelled- M
- R
- S
- X
- Which one of the following pairs consists of plants that are green and non flowering?
- Bracket tree and algae
- Cedar and fern
- Mushroom and moss
- Cypress and onions
- Which of the following is a sign of unhealthy crops?
- Robust growth
- Leafy branches
- Streaked leaves
- Reduced yield
- Study the food chain below and answer the question
Grass → grasshopper frog→ snake
The MOST abundant organisms is represented by- grass
- frog
- snake
- grasshopper
- In which one of the following activities is water NOT used sparingly?
- Repairing leaking pipe.
- Closing taps when not in use.
- Using basin when bathing.
- Construction of dam
- Which one of the following will NOT pollute soil?
- Oil spillage
- Overstocking
- Rotting vegetable
- Excess fertilizers
- MOST fungi depend on other plants for
- support
- habitat
- shade
- oxygen
- During a science lesson, pupils collected the following material.
- A glass bottie
- Water
- A container
- Ink
- Manilla paper
Which weather instrument were pupils LIKELY to make?- Liquid thermometer
- Raingauge
- Windvane
- Air thermometer
- Which one of the planets is between Mars and Saturn?
- Jupiter
- Earth
- Neptune
- Uranus
- Thick and feathery clouds also
- are dark in colour.
- cover the whole sky.
- have flat base,
- are low in the sky.
- Which one of the following pairs consist of health effects of drug abuse?
- Trauncy and addiction.
- Impaired judgement and marital conflicts.
- School dropout and loss of consciousness. ....
- Addiction and lack of concentration.
- The following are signs of a certain sexually transmitted infections.
- Sore throat..
- Painless chancre
- Skin rashes
- Lead to madness
The infection is LIKELY to be- syphilis
- gonorrhoea
- chancroid
- genital herpes
- Which one of the following ways of campaign against HIV and AIDS is the MOST effective? Use of
- newspapers
- radio
- billboard
- wedding ceremonies
- Which one of the following diseases is NOT immunizable but communicable?
- Tuberculosis
- Measles
- Typhoid
- Malaria
- The following are effects of HIV and AIDS to the family EXCEPT
- loss of income.
- school drop out.
- embarrassment
- increase number of orphan.
- Which one of the following is a recommended way of storing medicine?
- Taking medicine according to doctor's prescription..
- Completing the dosage.
- Labelling all the medicine
- Checking expiry date when buying medicine.
- A child had the following signs
- Wasted muscles.
- Alert eyes.
- Visible bones.
- Crying alot.
In order to control the above disease, the child should be given food rich in- protein
- all nutrients
- iron
- mineral salts
- Which one is NOT a traditional method of preserving food?
- Canning
- Use of honey
- Drying
- Smoking
- Which one of the following lists consist of food rich in protein?
- Milk, banana, soya beans B.
- Fish, wheat, irish potatoes C.
- Rice, ugali, yams D.
- Coconut, peas, termites
- Which one of the following is a sign of cholera?
- Persistent cough
- Dehydration
- Skin rashes
- Pain in the joints.
- Which one of the following is an industrial use of water?
- Rearing fish
- Irrigation
- Making fountain
- Surfing
- The diagram below represents a lever in use
The iever illustrated above works in the same way as a- wheel barrow
- craw bar
- spade
- bottle opener
- Metallic tools are MAINLY oiled and greased inorder to
- reduce friction.
- prevent theft.
- make work easier.
- prevent rusting.
- Which one of the following is measured using a spring balance?
- Weight
- Mass
- Length
- inertia
MARKING SCHEME
- C
- A
- D
- B
- C
- A
- B
- A
- D
- C
- D
- C
- D
- A
- D
- B
- B
- C
- A
- D
- B
- C
- A
- C
- D
- C
- D
- B
- C
- A
- D
- C
- B
- D
- A
- C
- D
- A
- B
- D
- B
- C
- B
- A
- D
- B
- C
- B
- D
- A