Displaying items by tag: set 3

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Jaza kila pengo kwa kuchagua jawabu lifaalo zaidi.

Nilisikia kuwa Zakayo alikuwa seremala aliyejulikana kijijini __1__. Samani __2__ mara kwa mara ziliwafaa na kuwapendeza wengi. Ungefika katika__3__ yake, usingekosa kupata __4__ waliofika ama kujionea __5__ kununua fanicha. Kila mmoja alifahamu kuwa ufanisi __6__ haukuja hivihivi tu. La hasha! Alikuwa mja mwenye kujituma na __7__. Daima alifahamu kuwa ___8___.

       A                   B              C               D 
 1.   pote   mote   chote   kote 
 2. zilizotengeneza    zilizotengenezwa    alizotengeneza   alizotengenezwa 
 3.  majilisi   makavazi   maabara   karakana 
 4.  watu anuwai   umati wa watu   mlolongo wa watu   safu ya watu 
 5.  au   wala  ila  bali
 6.  yake  huu  huo  hiyo
 7.  kulaza damu   kujitolea mhanga    kula mwande   kufa moyo 
 8.  mgaagaa na upwa hali wali mkavu   simba mwenda pole ndiye mia nyama   mkono mmoja hauchinji ng'ombe   mwana wa mhunzi asiposana huvukuta


Kila mtoto ana uwezo wa __9__ mambo mengi sana ikiwa atapewa nafasi inayofaa. Si vyema __10__ watoto kwa madai kuwa ni wa kike au wa kiume. Jinsia __11__ kutumika kama kigezo cha kuamua uwezo wa mtoto. Siku hizi, si __12__ kuwaona binadamu wa kike au kiume wakifanya kazi sawa. Hapo zamani, watu wangeshangaa kumpata mwanamke akifanya kazi ya __13__; yaani kufua vyuma. __14__ limekuwa jambo la kawaida kwani uwezo wao __15__ katika kazi za aina zote.

          A          B          C            D 
 9.   kutekeleza   kutendesha   kutelekeza   kutekelezwa 
 10.   kuwapendelea   kuwabagua   kuwatunukia   kuwashauri 
 11.  haufai   haifai   halfai   hamfai 
 12.  kawaida  muhimu   ajabu   rahisi 
 13.  ujume   unajimu   uhandisi   uhunzi 
 14.  Hiki   Huu   Hii   Hili 
 15.  unadhihirika  unadidimia  unadunishwa   unadhihirisha 

 

Kuanzia nambari 16 hadi 30 jibu kulingana na maagizo. 

  1. Tambua aina za maneno yaliyopigiwa mistari.
    Ambaye alikamilisha kazi asubuhi amefurahi.
    1. kivumishi, nomino
    2. kivumishi, kielezi
    3. kiwakilishi, kielezi
    4. kiwakilishi, nomino
  2. Sentensi gani iliyotumia nomino ambata?
    1. furaha
    2. mbwakoko
    3. thureya ya nyota
    4. kitambaa
  3. Chagua maelezo ambayo ni sahihi.
    1. Mjume hufanya kazi ya kufua visu.
    2. Kinu na mchi hutumika kukunia nazi.
    3. Bomba la kutolea moshi jikoni huitwa dohani.
    4. Nyonga hupatikana kati ya goti na paja. 
  4. Koloni hutumika kwa njia gani?
    1. Kuunganisha sentensi mbili zinazokaribiana kimaana.
    2. Kuonyesha kuwa maneno yaliyokuwa yakisemwa hayakukamilika.
    3. Kuonyesha mwisho wa sentensi kamilifu.
    4. Kutanguliza orodha katika sentensi. 
  5. Sentensi gani ambayo ni sahihi kati ya sentensi zifuatazo?
    1. Maji chafu hayafai kunywewa.
    2. Taifa lenye linaendelea vizuri ni hili. 
    3. Mimea yote yalimea vizuri.
    4. Madaktari wamewatibu wagonjwa hao.
  6. Ugonjwa gani ambao hutokana na baridi kati ya magonjwa yafuatayo?
    1. saratani
    2. waba
    3. unyafuzi
    4. kichomi
  7. Chagua sentensi iliyo na kitenzi katika hali ya kufanyiza
    1. Aliyauza matunda yake katika soko la Kongowea.
    2. Tendo la kuwaoza wasichana wachanga limepigwa marufuku.
    3. Matunda yaliyooza yarnetupwa mbali.
    4. .Aliuliza swali hilo kwa wanafunzi wawil 
  8. Tambua matumizi ya 'kwa' kwenye sentensi ifuatayo.
    Alipofika kwa mjomba wake alipokelewa kwa furaha.
      1. kifaa, namna
    1. namna, ala
    2. kihusishi, matumizi
    3. kihusishi, jinsi
  9. Sentensi gani iliyotumia kivumishi kiashiria?
    1. Kalamu nzuri iliwekwa ndani ya mkoba.
    2. Nyumba yake imejengwa ikakamilika.
    3. Kijana mwenyewe atapewa kitabu hicho.
    4. Wanafunzi wengi wamepanda miti. 
  10. Onyesha sentensi iliyo katika hali timilifu.
    1. Ungefuata masharti ungekuwa mshindi.
    2. Hakuelewa kuwa usafi ni muhimu.
    3. Nguo hazijakauka kwa njia nzuri.
    4. Sitaki kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya.
  11. Tambua maamkuzi ambayo ni ya wakati ulio tofauti.
    1. umeshindaje 
    2. sabalheri 
    3. umeamkaje
    4. chewa
  12. Chagua ukanusho wa:
    Aliyewasili alipigiwa makofi. 
    1. Asiyewasili hakupigiwa makofi.
    2. Aliyewasili hajapigiwa makofi. 
    3. Aliyewasili hakupigiwa makofi. 
    4. Asiyewasili hajapigiwa makofi.
  13. Mwanzele alipokuwa akielekea nyumbani wakati wa jioni, kivuli chake kilikuwa nyuma yake. Je, nyumbani kwao ni upande gani wa dira?
    1. mashariki
    2. kaskazini
    3. kusini
    4. magharibi
  14. Tambua ukubwa wa;
    Mbuzi mwenye uso mdogo amelala chini ya mti.
    1. Buzi lenye juso dogo limelala chini ya jiti.
    2. Kibuzi chenye kijuso kidogo kimelala c hini ya kijiti.
    3. Kibuzi chenye kijuso kidogo kimelala chini cha kijiti.
    4. Buzi lenye juso dogo limelala chini la jiti.
  15. Mvulana ni kwa msichana kama vile jogoo ni kwa _______________________________.
    1. jimbi
    2. kikwara
    3. koo
    4. kipora

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata.  

Ukiitathmini jamii yetu kwa makini, utagundua kuwa maovu yanazidi kuzagaa na kushamiri kote. Ni nadra sana kwa siku kumalizika bila kusikia habari za maovu kama vile ubakaji, mauaji, wizi, utapeli, vita na kadhalika. Wengi wamekuwa wakijisaili mara kwa mara ili kupata suluhu. Kuwategemea maafisa wa polisi nako kumekuwa kazi ya bure bilashi. Hii ni kwa kuwa polisi wenyewe nao wana matatizo yaliyowazidi nguvu. Kuna nyakati ambapo polisi huwafyatulia risasi na kuwaua raia wanaofaa kuwalinda. Ajabu iliyoje! Nyakati zingine, maafisa wa usalama huwaua jamaa zao na kujiua wao wenyewe. Hali ya polisi kuchukua hongo na kupuuza sheria imekuwa jambo la kawaida. Chambilecho marehemu babu yangu, Mola ailaze roho yake mahali pema peponi, baadhi ya maafisa wa usalama wamekuwa kama paka waliojukumishwa kuyatunza maziwa. Kazi yao ikawa kuyanywa bila kujali.

Je, maovu haya yanachangiwa na nini? Inadaiwa kuwa jambo la msingi ni kupanda kwa kiwango cha maisha. Wataalam wanasema kuwa kupata mahitaji ya kimsingi kama vile chakula, makazi na mavazi kumekuwa kama kumtafuta paka mweusi katika giza. Wengi wanapozidiwa na mzigo wa maisha, wanakata shauri kuiba, kuwatapeli wenzao au kuua ili wapate pesa za kuzikimu aila zao. Wengine nao huona kuwa kuwaua watoto na kujiua ni njia rahisi ya kujiondoa na kuwaondoa wapendwa wao katika ulimwengu huu wenye madhila na mizingile chungu nzima. Lile wanalofaa kujua ni kuwa njia hizo hazifai kabisa. Awali ya yote, ni jambo la busara kufahamu kuwa Mungu ndiye mwenye mamlaka juu ya uhai wa mja yeyote. Kujiua au kumwua mtu ni dhambi mbele ya mwenyezi Mungu. Maovu mengine kama vile wizi na utapeli humletea mtu majuto tele.

Sababu nyingine ni tamaa. Kuna wengi katika jamii ambao hawatosheki na kile wanachokipata. Kwa nini afisa wa polisi aliye na mshahara ajiingize katika shughuli za ufisadi? Kuna haja gani kwa gavana anayelipwa kitita cha pesa kupora mali ya umma? Daktari wa hospitali ya umma anaibaje dawa katika hospitali na kuziuza kama si kuongozwa na tamaa? Bila shaka, wanaongozwa na tamaa. Tamaa humfanya mtu asitosheke. Anapopata nne, hutamani kuwangepata nane. Pale anapojaliwa kupata sita, huona kuwa ingekuwa afadhali kama angepewa tisa. Japo ni vyema kupiga hatua maishani, ni vyema hatua hizo zipigwe katika mipaka ya kisheria na kanuni zilizowekwa.

Isitoshe, wapo wengi walio na mazoea ya kupuuza sheria. Naam, hawa ni wale wenye hulka za kuenda kinyume na maagizo. Wao hufurahia sana wanapokiuka kanuni zilizowekwa. Yamkini, watu wa sampuli hii hutaka kuona lile litakalotokea baada ya kuvunja sheria. Nimewahi kusikia visa vya watu waliowapa sumu na kuwaua mifugo wa mwingine bila sababu. Furaha yao ni kuona maovu yakitokea na hasara kumpata mtu. Wengine hutembea na rungu na mijeledi usiku wa manane ili kuwacharaza wapitanjia bila sababu maalum. Ajabu ni kwamba wao hawawezi wakatamani kufanyiwa maovu kama hayo.

Aidha, kuna wengi ambao hukosa utt. Kukosa utu humfanya mtu asimjali mwenzake wala kumwonea huruma. Kukosa utu husababisha mtu asijiulize, "Je, nikifanyiwa hivyo nitahisi vipi?" Mwizi anayemwibia mtu pesa, simu, mkoba, kumpokonya mavazi na kisha kumpiga huwa anaongozwa na nini? Huo si unyama? Mtu anawezaje kumkatakata mume au mkewe kwa kigezo kuwa yeye ni mkizi? Je, haelewi kuwa hasira hasara?

Ili kupata suluhisho la kudumu, serikali na jamii kwa jumla ina jukumu la kubuni nafasi nyingi za kazi. Hili litachangia katika kupunguza gharama ya maisha. Matumizi ya dawa za kulevya nayo yanafaa kupigwa marufuku. Walevi au waraibu wa mihadarati husababisha maovu mara kwa mara. Zaidi ya yote, ni jambo la busara kuiombea nchi yetu kucha kutwa ili Mola aiauni.

  1. Kwa mujibu wa aya ya kwanza, ni kweli kuwa;
    1. Msomaji amekuwa akifanya uchunguzi kuhusu kutokea kwa maovu.
    2. Siku hata moja haiwezi ikapita bila visa vya kutokea kwa maovu kutangazwa. 
    3. Maovu yamekuwa yakitokea mara kwa mara katika jamii.
    4. Ni vigumu kusikia kuwa kumetokea maovu mbalimbali katika jamii yetu.
  2. Neno 'wakijisaili' lina maana gani jinsi lilivyotumika katika kifungu?
    1. wakishangaa
    2. wakijiuliza
    3. wakijirekebisha
    4. wakijituliza
  3. Yafuatayo ni maovu yaliyotajwa katika aya ya kwanza isipokuwa;
    1. ufisadi
    2. ubakaji
    3. mauaji
    4. anas
  4. Aya ya pili inadokeza kuwa,
    1. Kupanda kwa gharama ya maisha ndio msingi wa kutokea kwa maovu.
    2. Kila anayezidiwa na mzigo wa maisha hujiingiza katika maovu kama vile wizi.
    3. Baadhi ya watu hutekeleza maovu wanaposhindwa kutatua matatizo yanayowakumba.
    4. Mungu pekee na serikali ndio wenye mamlaka juu ya uhai wa mja yeyote.
  5. Kauli 'polisi huwafyatulia risasi na kuwaua raia wanaofaa kuwalinda' inaonyesha;
    1. kinaya
    2. majazi
    3. kejeli
    4. tabaini
  6. Msimulizi wa makala haya anaeleza kuwa mara nyingi ufisadi hutokana na;
    1. kutotosheka.
    2. kutamauka.
    3. kukosa utu.
    4. kuzoea kuvunja sheria.
  7. Msimulizi ana maana gani anaposema kuwa 'kumekuwa kama kumtafuta paka mweusi katika giza'?
    1. ni nadra
    2. ni muhali
    3. ni shani
    4. ni sahili
  8. Kauli 'wao hawawezi wakatamani kufanyiwa maovu kama hayo' inaashiria ukweli wa methali gani?
    1. Baniani mbaya kiatu chake dawa.
    2. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu.
    3. Ndugu mui heri kuwa naye.
    4. Mui huwa mwema.
  9. Maneno 'yeye ni mkizi' yana maana gani jinsi yalivyotumika katika kifungu?
    1. ana hasira
    2. ni mkali
    3. ni katili
    4. ni mwenye tovu
  10. Kulingana na kifungu, ubunifu wa nafasi za kazi:
    1. ndiyo njia bora zaidi ya kukabiliana na maovu katika jamii.
    2. ni jukumu la serikali ya nchi husika. 
    3. ndiyo njia kuu ya kupunguza maovu katika jamii.
    4. unaweza kuchangia katika upunguzaji wa maovu.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata.   

Wakazi wa Ihonje walikusanyika katika kikao cha kumpa heshima za mwisho Bwana Kapombe. Japo awali alijulikana na kila mmoja kama Adili, hulka zake za kukumbatia ulevi zilifanya akabatizwa jina la Kapombe. Jina halisi alilopewa na wazazi wake likayeyuka kama barafu kikaangoni na kupotea kama moshi hewani. Boma lao lilijaa watu kutoka janibu za mbali na karibu. Wapo waliolia na kulalamikia namna kifo kilivyoipokonya jamii mtu wa maana. Wengine waligalagala mchangani na kutishia kujitupa katika kaburi lililochimbwa ikiwa hapakujitokeza yeyote wa kuwazuia. Ukweli ni kuwa kijana wa watu alikuwa ameacha mkono kulingana na maoni ya wanajamii hao.

Japo mwili wake haukuwa umepatikana, ilikuwa wazi kuwa asingekuwa hai kwa namna yoyote ile. Kiwango chake cha ulevi kilikithiri na kupita mipaka. Walifahamu kuwa kama hakugongwa na gari, basi alianguka mtoni na kufa au alikunywa pombe kupita kiasi. Kijana huyo alikuwa ametoweka siku kadhaa zilizotangulia. Ndugu, jamaa na marafiki walimsaka kwa siku tatu mtawalia. Hata hivyo, juhudi zao hazikuzaa matunda. Msako huo ulilenga sehemu mbili kuu, vituo vya polisi na vituo vya kuuzia pombe haramu. Ilikuwa desturi kwake kupatikana katika makao ya wagema tangu macheo hadi machweo, kucha kutwa. Alifanya kibarua na kulipwa hela kidogo, zote zilikuwa zawadi kwa mgema. Alipokosa kibarua, aliiba kuku, shati la mtu au sufuria la mama yake na kuuza. Wakati mwingine hakupatikana akiwa kwa mgema. Huo ulikuwa wakati ule aliotiwa mbaroni ama kwa kupatikana akibugia pombe haramu au kushukiwa kwa wizi wa vitu vya wanajamii.

Alipokosekana katika maeneo hayo mawili, iliamuliwa kwa kauli moja kuwa alikuwa amefariki. Kwa mujibu wa mila na desturi za jamii hiyo, walilazimika kuuzika mgomba na kufanya matanga yake. Siku hiyo ya mazishi', boma la akina Kapombe lilijaa: si wake, si waume, si vijana, si wazee, si matajiri, si wachochole. Vyakula ainati viliandaliwa: ugali, nyama, pure, chai ya maziwa, chai ya mkandaa, kitoweo cha kuku miongoni mwa vyakula vingine.

Harakati za mazishi zilipokuwa zimenoga, mtu mmoja karibu na lango la boma alipiga ukelele wa hofu. Wengine walipoangalia, walimwunga mkono kwa kupiga unyande, kamsa, nduru na mayowe. Ya Mungu ni mengi! Kapombe alionekana akijikokota kurudi nyumbani kwao. Alikuwa mnyonge, mngonge kama utumbo. Alikuwa mchafu mithili ya kilihafu. Alinuka fee ungedhani kuwa ni fondogoo. Wapo waliopiga mbio kwa kasi ya umeme. Masufuria ya vyakula yaligongwa na kukimwaga chakula. Wengine nao walibeba chakula kicho hicho, hasa kuku. Palikuwa na hali ya kuchanganyikiwa katika boma lote. Wachache waliokuwa na ujasiri walitulia tuli kama maji mtungini. Utulivu uliporejea, Kapombe alipewa nafasi ya kujieleza. Kumbe hakuwa ameaga dunia. Mtoto wa watu alilewa chakari bin chordo. Maadamu hakuwa amekula kwa muda, pombe ilimzidi nguvu na kusababisha kuzimia kwake. Alinyooka twaa kando ya barabara kama mzoga.

Alifafanua kuwa alizinduka na kujipata katika chumba kilichoogofya. Hali iliyokuwa mie ndani haikuelezeka kwa maneno yoyote. Alikata shauri kutoka nje. Alipoufungua mlango wa chumba, mabawabu waliokuwa pale nje walipiga mbio kwa hofu na woga wa kunguru. Kumbe alipopatikana akiwa amezimia njiani, alidhaniwa kwamba ameaga dunia, akapelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti. Msamaria mwema alimfanyia hisani na kumpeleka hospitalini alikolazwa kwa siku tatu akifanyiwa matibabu. Kapombe alikula yamini kuwa asingelewa tena. Asingemwamkua wala kumwangalia mgema. Asingewaza kuhusu pombe wala kileo chochote. Hewaa! Alikuwa amepata funzo la mwaka.

  1. Jina halisi ambalo kapombe alipewa na wazazi liliyeyushwa na nini?
    1. mazoea ya wakazi
    2. tabia zake za ulevi
    3. mabadiliko ya maisha
    4. dawa za kulevya
  2. Eleza maana ya 'janibu' jinsi lilivyotumika katika kifungu.
    1. matabaka
    2. sehemu
    3. viwango
    4. safari
  3. Kulingana na aya ya pili, ni kweli kuwa;
    1. wakazi walithibitisha kuwa Kapombe alikuwa amefariki.
    2. ilisemekana kuwa Kapombe alionekana katika kituo cha polisi na kituo cha kuuzia pombe haramu.
    3. ndugu, jamaa na marafiki walianza kumsaka baada ya siku tatu.
    4. Kapombe alitumia kila njia ili apate pesa za kununulia vileo.
  4. Ni kweli kuwa waliokuwa wakilia nyumbani kwa akina Kapombe walikuwa;
    1. wanafiki.
    2. waombolezaji.
    3. majirani.
    4. masahibu.
  5. Msimulizi anaposema kuwa juhudi zao hazikuzaa matunda', ana maana kuwa;
    1. ziligonga mwamba.
    2. zilifua dafu.
    3. zilishamiri.
    4. zilikuwa maarufu.
  6. Kapombe alifafanua jinsi;
    1. alivyozinduka.
    2. alivyolala.
    3. alivyozimia.
    4. alivyoshtua watu.
  7. Kwa maoni yako, kwa nini watu wengi walifika nyumbani kwa akina Kapombe wakati wa 'mazishi' yake?
    1. walitaka kumwona akirudi nyumbani.
    2. walijua kuwa hakuwa amekufa bali alikuwa tu hospitalini.
    3. walizingatia mila na desturi za jamii yao.
    4. walijua kuwa kungekuwa na chakula kingi cha kufurahia.
  8. Yawezekana kuwa Kapombe aliamua kuuacha ulevi kutokana na:
    1. kuogopa kushikwa na polisi mara kwa mara.
    2. kuchoshwa na hali ya kudharauliwa na wanakijiji kila wakati.
    3. ushauri aliopewa na madaktari alipokuwa hospitalini.
    4. dhiki nyingi alizopitia kutokana na ulevi wake.
  9. Wakazi walitarajia kuwa Kapombe angepatikana katika;
    1. kituo cha polisi, makao ya mgema 
    2. kituo cha polisi, hospitali
    3. chumba cha kuhifadhi maiti, makao ya mgema
    4. chumba cha kuhifadhi maiti, hospitali 
  10. Ujumbe katika kifungu hiki unaweza ukarejelewa kwa methali kuwa;
    1. Mgema akisifiwa tembo hulitia maji. 
    2. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
    3. Mtegemea cha nduguye hufa maskini. 
    4. Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

INSHA   

Andika Insha ya kusisimua itakayoanzia kwa maneno yafuatayo

Niliposikia jina langu likiitwa, nilishangaa. Sikuyaamini masikio yangu. Moyoni nilijawa na ................................................

MARKING SCHEME

  1. D
  2. C
  3. D
  4. A
  5. A
  6. C
  7. B
  8. A
  9. A
  10. B
  11. B
  12. C
  13. D
  14. D
  15. A
  16. C
  17. B
  18. C
  19. D
  20. D
  21. D
  22. B
  23. D
  24. C
  25. C
  26. A
  27. C
  28. D
  29. D
  30. C
  31. C
  32. B
  33. A
  34. C
  35. A
  36. A
  37. B
  38. B
  39. A
  40. D
  41. B
  42. B
  43. D
  44. A
  45. A
  46. A
  47. C
  48. D
  49. A
  50. D

Read the passage below. It contains blank spaces numbered 1-15. For each blank. space, choose the best alternative from the given four.  

Going to parties can be fun__1__ enjoyable. If you are invited__2__ a party, do call your host up early to inform him whether you will be able to attend. If you want to bring along someone __3__ has not been invited along with you, you should ask for permission first. Remember to __4__ appropriately for the party. You__5__stick out like a sore thumb if you are dressed formally __6__ everyone else is in T-shirt and jeans. If you are not sure of what to wear, do ask your__7__

During the party, you may perhaps __8__ to help your host by offering to serve drinks or wash__9__dishes. Your host would certainly appreciate __10__ efforts. If you happen to be in a party where you do not know__11__, do not try to monopolize the host's attention. This is inconsiderate since your host has__12__ people to attend to and cannot__13__ all his time with you. Instead, learn to mingle with the others at the party. You could try__14__the ice by introducing yourself to someone who is friendly looking.

Before you leave the party, remember to thank your host. If you have the time, you could even offer to help your host__15__the place.

   A   B   C   D 
 1.   and   but   even   or
 2.  for  on  in  to
 3.  whom   whose   who   which 
 4.  put on   dress  wear  clad
 5.  will  could  may  can
 6.  while  whatever   whereas   when
 7.  guest  parents  friend  host
 8.  prefer  like  enjoy  love
 9.  a  some  any  the
 10.   this  those  these  that
 11.  anyone   no one  someone   everyone 
 12.  enough  many  much  a lot
 13.  spend  put  give  take
 14.  cracking   damaging   breaking  destroying 
 15.  clean down   clean up  clean away   clean off


For question 16-20, choose the best. alternative to complete the sentence given

  1. The firefighters managed to, ________________________ the fire after several hours.
    1. put off
    2. put out
    3. put down
    4. put away
  2. Maina brought home fifty paw paws ____________________________ were fresh from the farm.
    1. much of which
    2. of which most
    3. most of which
    4. which most of
  3. When mother arrived home, she was ___________________________ tired that we thought she was unwell.
    1. very
    2. quite
    3. too
    4. so
  4. If I had enough money, I _______________________
    1. will buy a car.
    2. would have bought a car
    3. could buy a car
    4. would buy a car
  5. It was not until midnight ___________________________
    1. that I fell asleep
    2. when I fell asleep
    3. before I fell asleep
    4. as I fell asleep

For question 21-23, choose the alternative that means the same as the underlined word(s).

  1. Father would have bought you a toy car if you had requested him to.
    1. Father will not buy you a toy car unless you request him to.
    2. Father did not buy you a toy car because you did not request him to.
    3. Father will buy you a toy car when you request him to.
    4. Father bought you a toy car but you did not request him to.
  2. The law obliges public service vehicle drivers to drive carefully on the roads.
    1. persuade
    2. forces
    3. asks
    4. requires
  3. The initial idea of starting CBC was good but they rushed it in implementation.
    1. original
    2. earlier
    3. former
    4. starting

Read the information below and answer questions 24 and 25.

Juma, Mwanamisi, Felipe and Halima play various games. Juma plays football, basketball and volleyball. Mwanamisi plays football and volleyball. Felipe plays basketball and volleyball while Halima plays hockey and basketball.

  1. Which is the least popular game?
    1. hockey
    2. volleyball
    3. football
    4. basketball
  2. Which of the following statements is not true?
    1. Juma plays the most games.
    2. Everybody plays at least two games. 
    3. It is only men who play basketball.
    4. Both men and women volleyball.

Read the passage below and then answer question 26-38.

A tense Adhiambo leant on the marble wall. She had been dreaming of this day and when it finally arrived, she could hardly sleep. Her school uniform was well-pressed and her shoes brushed to a shine. She had almost no hair to comb. She wore the white pair of socks that Roselita bought her a month ago. Though she participated in the Luyiah dance which had won in the previous festivals, her mind was on the narrative she was to present and which she knew left the audience in awe. The adjudicators she had met were positive of the narrative and commended her. She had won at the four levels and was now at the national level, where she represented Nairobi County in the week-long festival at the Kenyatta International Conference Centre which went by the short easier name KICC. Their dance had also won. It was her first time at KICC. Roselita and the music teacher had accompanied her and kept on encouraging her,

She looked at the red carpet that covered the corridor. A young woman, dressed in khaki, was using a vacuum cleaner on the carpet. The pupils who lined the long corridor gave her the space to do the cleaning.

"Who will beat me among these pupils?" she studied the pupils, the majority of whom were quiet, probably putting final touches to their poems and narratives.

"Adhiambo, you have the opportunity to prove your ability to the world. You are gifted and have our support," she recalled Roselita's words. "If you win at the KICC, you will visit State House and perform for the President."

She smiled at the thought of visiting State House. It was so exciting a thought that for a moment she forgot what had befallen Rosemary. Her three children had been kidnapped. It had sent a child down Adhiambo's spine to hear that Jeff a cousin of hers may have been killed by the kidnappers after his parents took long to pay the ransom. The issue had gone national with the media giving it prominence. A debate was raging over irresponsible parenting, since the three children were kidnapped late at night after Roselita had left for the day. The guard was killed.

  1. From the first sentence, we can tell that Adhiambo was
    1. thinking hard as she leant on the wall.
    2. stiil dreaming despite being awake on this day.
    3. expecting a very successful day.
    4. impatiently waiting for this day.
  2. From the description of Adhiambo in the first paragraph, we learn that she
    1. was spotlessly clean.
    2. had no other pair of socks.
    3. had well plaited hair.
    4. had to satisfy some conditions in the festivals.
  3. Who do you think Roselita was? 
    1. Adhiambo's parent.
    2. Adhiambo's guardian.
    3. Adhiambo's guradian angel.
    4. Adhiambo's trainer.
  4. Why do you think the music teacher kept encouraging Adhiambo?
    1. In order to drive away fear.
    2. To train her even at the eleventh hour.
    3. To empower her to conqueror all and win. 
    4. To remind her some of the words in the narrative.
  5. According to the passage, the competing children stood aside when the woman in khaki reached them because
    1. they feared her since she looked tough and authoritative.
    2. she needed to clean the corridor.
    3. they were all meditating and did not want any disturbance.
    4. Adhiambo had just joined them and she looked a threat.
  6. Majority of whom means
    1. most of whom
    2. several of whom
    3. a lot of whom
    4. many of whom
  7. From Roselita's words to Adhiambo, we learn that
    1. they anticipated going to State House. 
    2. Adhiambo kept trembling and needed their support.
    3. they had a lot of confidence in her and wanted her to succeed.
    4. the entire school was gifted and supported Adhiambo.
  8. What happened to the winners at the National Music Festivals?
    1. They performed at State House Gala.
    2. They carried home lots of presents.
    3. They became heroes overnight.
    4. They were taken in by the President himself.
  9. Which word can rightly replace recall?
    1. reminisce
    2. forget
    3. restore
    4. remember
  10. How best can we describe Adhiambo?
    1. Hardworking, loving and thoughtless. 
    2. Hardworking, considerate and thoughtful.
    3. Responsible, caring but shy.
    4. Confident, industrious but ungrateful.
  11. Why did Adhiambo feel a chill down her spine?
    1. Jeff's parents had taken long to pay the ransom.
    2. She had a competition and the kidnap to think about.
    3. She was such a caring person.
    4. She feared that the abductors may have murdered her cousins.
  12. Why was the issue of irresponsible parenting being discussed in the media?
    1. The parents of the kidnapped children were missing at the time of the incident. 
    2. The parents were expected to do more.
    3. Roselita left the children all alone.
    4. The kidnappers were ruthless and merciless.
  13. The best title for the passage above would be 
    1. Why parents need to be responsible.
    2. Adhiambo at the National Music Festivals.
    3. How Adhiambo landed at State House.
    4. The kidnap of Adhiambo's cousins.

Read the passage below and then answer question 39-50.

There was once a man who bought a car. He knew that his car could not run without petrol so whenever the tank was empty, he filled it with petrol. Thus, he went on driving for many kilometres. After sometime, there were such terrible noises in the engine that he had to take the car to the garage. The mechanic looked at it, shook his head and told him that it was so badly damaged that it would never again run smoothly without major repairs. This was because although he had known that the car needed petrol to keep it running, he had forgotten that it also required oil and grease to keep the vital parts of the engine running smoothly.

Many people treat their bodies in the same way. It is easy to remember to eat enough to satisfy hunger, just as it is easy to remember to put petrol in a car. But it is often forgotten that body building foods (proteins) and foods to keep the body healthy (vitamins and mineral salts) are also needed to keep the vital parts in good working order. Such foods are important for children especially when they are growing fast.

A new born baby should have the mother's milk. This means that the mother must eat plenty of good food to have sufficient milk. She should also drink a lot of milk, water and fruit juices, but not too much tea or coffee. If she does not have enough milk she should go to a hospital or health centre to learn the proper way of mixing milk with sugar and water for the baby to take.

The feeding of a baby requires special care. For example, one should never feed a baby with the bottle without proper advice from qualified people. In addition, we should ensure that babies get proper food. Drinks like tea and squash are not good for babies.

Even when a baby is breastfeeding, he must learn to feed at regular times. Some people mistakenly think that a baby cries just because he is hungry. There are many things which make a baby cry; his clothes may be wet or he may be uncomfortable and want to be turned over. Most common of all, he may have wind in his stomach. When a baby sucks, he sucks milk and wind so that his stomach becomes full of milk as well as wind. If you do not get wind out after a feed, he will become uncomfortable and soon begin to cry. When you have finished feeding him, pat him gently on the back to make him release some of the wind through the mouth. Then he will sleep peacefully.

  1. Why did the man fill the tank with petrol? In order to  
    1. drive for many kilometres.
    2. make the car run.
    3. keep the engine good.
    4. keep the tank full.
  2. Why do you think the car made terrible noise? 
    1. It had not been oiled and greased.
    2. The owner had forgotten the grease.
    3. The owner had not taken it to the mechanic.
    4. Its engine was completely damaged.
  3. The mechanic shook his head to express
    1. worry
    2. unhappiness
    3. disagreement
    4. shock
  4. From the passage, we can rightly say that well cared for cars 
    1. do not make noise.
    2. cannot get damaged.
    3. always run smoothly.
    4. are always at the garage.
  5. Many people treat their bodies in the same way suggests that
    1. they do not take proper care of their bodies.
    2. they do what the car owner did.
    3. they resemble the owner of the car.
    4. they treat their bodies like damaged cars.
  6. When children are growing fast it is very important for them to
    1. take minerals and salt. 
    2. satisfy hunger and thirst.
    3. take body building foods only. 
    4. take the right variety of foods.
  7. The words a new born baby mean 
    1. a mother's first child. 
    2. a clean fresh baby.
    3. a baby that has just been born.
    4. the last born in a family.
  8. Why is it necessary for a mother to drink a lot of fluids?
    1. To be satisfied all the time.
    2. To have enough milk for the baby.
    3. Because this is her main food.
    4. For the baby to be comfortable.
  9. Feeding a baby at regular times means
    1. feeding him when he has cried.
    2. feeding him frequently.
    3. feeding him at definite times.
    4. feeding him for a given time.
  10. Which of the following best explains why babies cry?
    1. Wanting to be turned over.
    2. Having wind or being wet.
    3. Being fed irregularly.
    4. Being hungry or uncomfortable.
  11. Which of the following statements is true according to the passage?
    1. Feeding babies with bottles could be harmful.
    2. Only tea and squash are bad for babies.
    3. Mothers should never drink tea and coffee.
    4. The man mentioned bought a new car.
  12. The story of the car is used to show that
    1. human bodies require salt.
    2. babies should be helped to release wind.
    3. human bodies require proper care.
    4. cars should be well-cared for.

COMPOSITION

Write an interesting composition starting with the followinig words.

When I got home from school that evening, everyone was looking happy .........................

MARKING SCHEME

  1. A
  2. D
  3. C
  4. B
  5. A
  6. C
  7. D
  8. B
  9. D
  10. C
  11. A
  12. B
  13. A
  14. C
  15. B
  16. B
  17. C
  18. D
  19. D
  20. A
  21. B
  22. D
  23. A
  24. A
  25. C
  26. C
  27. A
  28. B
  29. C
  30. B
  31. A
  32. C
  33. A
  34. D
  35. B
  36. D
  37. A
  38. B
  39. B
  40. A
  41. D
  42. C
  43. A
  44. D
  45. C
  46. B
  47. C
  48. B
  49. A
  50. C

QUESTIONS  

  1. What is 808008.08 words.
    1. Eight million, eight hundred and eight and eight tenths
    2. Eight hundred and eight thousand and eight point zero eight
    3. Eight hundred and eight thousand and eight and eight hundredths 
    4. Eight thousand, eight hundred and eight and eight hundredths
  2. What is half the sum of the LCM and GCD of 24, 48 and 72?
    1. 168
    2. 48
    3. 96
    4. 144
  3. Work out: 4.932 − 1.445 +3.258 and give your answer correct to the nearest thousandths.
    1. 6.7450
    2. 6.74
    3. 6745
    4. 6.745
  4. Evaluate
    52(12 − 15 + 10)
             √252
    1. 7
    2. 35
    3. 13
    4. 1.4
  5. Work out the following
    ¾(½ + 2/5 ÷ 1/3) − 1/5 × 3/8 
    1. 119/20
    2. 2/5
    3. 11/5
    4. 19/20
  6. A factory produced 20380 packets of tea leaves. Out of these, 6250 were 100g packets, 3324 were 250g packets, 1736 were 500g packets, 1kg packets were 900 fewer than the 100g packets. If the rest were 2kg packets, how many 2kg packets were there?
    1. 11310
    2. 9070
    3. 5350
    4. 3720
  7. Arrange the fraction below from the smallest to the largest.
    3/7, 2/5, 5/8, ½
    1. 5/8, ½, 3/7, 2/5
    2.  ½, 2/5, 3/7, 5/8
    3. 3/7, 2/5, ½, 5/8
    4. 2/5,3/7, ½, 5/8
  8. Evaluate: (x+3)(x+4)
                       4           6
    1. x + 1
        12
    2. x − 1
        12
    3. x + 17
         12
    4. x − 17
        12
  9. What is the value of:
    10.24 x 84.1
      5.8 x 0.032
    1. 46.4
    2. 4640
    3. 464
    4. 4.64
  10. A family consumes three 2-litre packets of milk every day. How many decilitres of milk did the family consume in the months of May, June and July?
    1. 552
    2. 540
    3. 5580
    4. 5520
  11. The figure below shows an entertainment arena. The unshaded area is the performance region and the shaded area is space for the audience. Calculate the area of the audience space?
    C8MathT1DR00223Q11
    1. 5544m2
    2.  3080m2
    3. 2464m2
    4. 440m2
  12. The table below shows vehicles passed through a road junction.
     Vehicle   Cars   Buses   Pick-ups   Matatu   Lorries 
     Number     48    47      28    20     17
    If the above information is represented on a pie chart, what angle will represent the modal vehicle?
    1. 63°
    2. 108°
    3. 150°
    4. 160°
  13. Find the total surface area of the figure below.
    C8MathT1DR00223Q13
    1. 350m2
    2. 700m2
    3. 1000m2
    4. 600m2
  14. What is the value of y in the equation below?
    2y − 4 = 4
        3         4
    1. 19/11
    2. 48/11
    3. 59/11
    4. 210/11
  15. Find the radius of a circle whose circumference is 8.8 m
    1. 2.8m
    2. 28m
    3. 1.4m
    4. 14m
  16. A tank containing water measures 30cm by 24 cm by 18cm. Calculate its capacity in litres when it is half full?
    1. 6.48 L
    2. 12960L
    3. 12.96L
    4. 12960000L
  17. Calculate the total surface area of the pipe below. Its diameter is 20cm. (Use pie as 3.14)
    C8MathT1DR00223Q17
    1. 9420cm2
    2. 628cm2
    3. 942cm2
    4. 1570cm2
  18. Calculate the area of triangle XYZ
    C8MathT1DR00223Q18
    1. 60cm2
    2. 150cm2
    3.  75m2
    4. 84cm2

Use the pattern below to answer question 19

C8MathT1DR00223Q19a

  1. What will be the sixth shape?
    C8MathT1DR00223Q19b
  2. What is the area of the shaded region?
    (Take Pie as 22/7)
    C8MathT1DR00223Q20
    1. 15.8cm2
      B. 13.90cm2
      C. 1.68cm2
      D. 7.84cm
  3. The marked price of pair of shoes was sh. 3600. After getting a discount, Maina paid sh, 3000. What was the percentage discount?
    1. 831/3%
    2. 17%
    3. 162/3%
    4. 600%
  4. The charges for sending a telegram is sh. 8 for 10 words or less. Additional words cost sh.0.80. Calculate the cost of sending the telegram below if the government tax is 16%
    ODUAL JOHN BOX 234 NAKURU
    SEND FARE SCHOOL OPENING SOON
    MUZIOKI
    1. Sh. 8.80
    2. Sh. 10.21
    3. Sh. 10.20
    4. Sh. 7.40
  5. The cash price of a electric cooker is shs. 20000. The hire purchase is 30% higher than the cash price. Mary bought it on hire purchase by paying a deposit and 8 equal monthly installments of sh. 2400 each.How much did Mary pay as deposit?
    1. Sh. 6000
    2. Sh. 19200
    3. Sh.13000
    4. Sh. 6800
  6. Temperature of ice cream cools at the rate of 4°C per minute(4°C/min) .If the reading taken at 12.00 noon was 88°C. What time will it read 60°C?
    1. 11.53 pm
    2. 12.28 pm
    3. 11.53 am
    4. 12.07 pm
  7. A car travelling at 36km/hr take ½ minute to cross a bridge. What is the length of the bridge in metres?
    1. 300m
    2. 600
    3. 120m
    4. 480m
  8. In the figure below AE is parallei to Fl. Angle GDA 35° and angle DHI= 130°
    C8MathT1DR00223Q26
    Work out the value of angle BGD
    1. 15°
    2. 35°
    3. 50°
    4. 95°
  9. Tap W takes 6 hours to fill a tank with water. Tap Z takes only 4 hours to fill the same tank alone. What fraction of the tank will be filled by both taps in 2 hours, if they are opened together at the same time?
    1. ½
    2. 2/12
    3. 5/6 
    4. 1/10 
  10. Which statement is correct in the figure below?
    C8MathT1DR00223Q28
    1. Angle u correspond with angle q
    2. Angle r is alternate to angle w
    3. Angle t is alternate to angle v 
    4. Angle v correspond with angle w
  11. Using a pair of compass and a ruler, draw line WY 6cm from Y extend the line by 2cm and mark it Z. Drop a perpendicular line through Y. Mark point X 5cm and above Y. Join X to Z and XW.
    What is a half of angle WXZ?
    1. 680
    2. 500
    3. 120
    4. 360
  12. After what period will shs. 22,000 yield a simple interest of sh. 2750 at the rate of 5% per annum?
    1. 12½ years
    2. 30 months
    3. 2½ months
    4. 2 years 5 months
  13. Last year in a certain school the number of pupils were 720. This year the number of pupils has increased by 20%. How many pupils are in that school this year?
    1. 144
    2. 576
    3. 864
    4. 764
  14. The area of the figure below is 100cm2.
    C8MathT1DR00223Q32
    What is the length of the longest parallel side?
    1. 18cm
    2. 44cm
    3. 26cm
    4. 32cm
  15. How many cylindrical tins of diameter 7cm and height 15cm can be arranged standing in a box measuring 28cm, 56cm and 75cm as shown below?
    C8MathT1DR00223Q33
    1. 202
    2. 40
    3. 160
    4. 577
  16. Silas used a 20m ladder to climb on top of a wall. The bottom of the ladder was 12m away from the botttom of the wall. Howe many metres high was the wall?
    1. 16
    2. 17
    3. 15
    4. 18
  17. Kalonzo thought of a number, multiplied it by 2 , and then added 5. He then doubled the result. His answer was 22. What was the number?
    1. 1
    2. 3
    3. 22
    4. 8
  18. The tablr below shows the ages of chldren in a class. What is their average age?
     Number of children    5   10   15 
     Age in years  10   11   12 
    1. 33 years
    2. 11½ years
    3. 111/3 years
    4. 11¼ years
  19. The following are properties of a certain quadrilateral.
    1. Sum of angles is 360°
    2. Diagonals bisect the interior angles
    3. Opposite sides are parallel
    4. Diagonals bisect each other at 90°
      Which one of the following quadrilaterals has all of the above qualities?
      1. Rectangle
      2. Trapezium
      3. Parallelogram
      4. Rhombus
  20. Which one of the following nets will not form a cube?
    C8MathT1DR00223Q38
  21.  If a = 2, b = a+3, c = b−a, and d = b+c find the value of
    (a+b+d) 3
       a+d−1
    1. 3
    2. 9
    3. 5
    4. 15
  22. Find the size of the angle marked Z.
    C8MathT1DR00223Q40
    1. 350
    2. 75°
    3. 110°
    4. 145°
  23. A man is 3 times as old as his daughter, and 2 times as old as his wife. If the daughter is y years old, form an equation to show their total ages in 10 years from now
    1. 11y + 30
    2. 5½y+30
    3. 4y+ 30
    4. 10y+ 30
  24. Simplify the inequality given below
    x/3x+2 > 2
                5
    1. x = 8
    2. x > 3
    3. x <3
    4. x = 3

  25. C8MathT1DR00223Q43
    The above line shows a section of a road that was drawn to the actual scale of 1:250000.How long was the road section in km?
    1. 12.5km
    2. 125km
    3. 1.25km
    4. 1250km

Use the ngraph below to answer question 44

C8MathT1DR00223Q44

  1. From the graph above, work out the mean rainfall recorded
    1. 110mm.
    2. 70mm
    3. 80mmm
    4. 60mm
  2. Three bells ring at intervals of 15min, 30min and 50min. If they ring together at 8.15am. What time will they ring together again?
    1. 9.45am
    2. 11.00am
    3. 10.45am
    4. 9.15am
  3. A school enrolment increased in the ratio of 4:5 in the year 2013 and decreased in the ratio of 5:3 in the year 2014.How many pupils enrolled in the year 2014 if the enrollment of the year 2012 was 300 pupils?
    1. 180
    2. 375
    3. 225
    4. 220
  4. The diagram below represents a flower garden. Four strands of wire was used to fence the garden. What was the cost of the wire if one metre cost shs. 175? 
    C8MathT1DR00223Q47
    1. sh. 3120
    2. sh. 546 000
    3. sh. 136 500
    4. sh. 570 500
  5. Three men take 5 days to dig a piece of land.How long will 2 men take working at the same rate?
    1. 15 days
    2. 3½ days
    3. 7 days
    4. 7½ days
  6. An agent is paid sh. 7000 as a basic salary and 12% commission on sales above sh. 10,000. How much was the total sales in a month if his total earnings were sh. 14200.
    1. sh. 60,000
    2. sh. 50,000
    3. sh. 70,000
    4. sh. 17,200
  7. The graph below shows a motorists's journey through a various towns
    C8MathT1DR00223Q50
    What is the motorists speed from town B to C?
    1. 722/9 km/hr
    2. 50km/hr
    3. 1662/3 km/hr
    4. 60km/hr

MARKING SCHEME

  1. C
  2. B
  3. D
  4. A
  5. C
  6. D
  7. D
  8. A
  9. B
  10. D
  11. B
  12. B
  13. B
  14. C
  15. C
  16. C
  17. C
  18. A
  19. C
  20. C
  21. C
  22. B
  23. D
  24. D
  25. A
  26. A
  27. C
  28. A
  29. D
  30. B
  31. C
  32. D
  33. C
  34. A
  35. B
  36. C
  37. D
  38. B
  39. C
  40. A
  41. B
  42. B
  43. A
  44. B
  45. C
  46. C
  47. B
  48. D
  49. C
  50. B

ART AND CRAFT

  1. Amos observed the pictures below using a digital mdevice. Which one is of a human form?
    G4CAST1T23001Q1
  2. What is texture ?
    1. The lightness and darkness of a surface.
    2. A mark made on a surface.
    3. The physical feeling of a surface.
    4. The arrangement of objects.
  3. Why do we clean our hands after holding clay while making a pot? 
    1. To wash away germs that are in the soil.
    2. To make our hands soft
    3. To look fashionable.
    4. To please the teacher.
  4. The smearing of colour on a surface is known as
    1. drawing
    2. rubbing
    3. smudging
    4. gradation strip
  5. Joan had a serrated card loom. What do you think he was to use it for?
    1. Modelling pots
    2. Making paper boat
    3. Decorating a 3-D item
    4. Weaving a mat
  6. Give one material that can be used to make a painting brush.
    1. Polythene paper
    2. Sponge
    3. Sand
    4. Plastic particles
  7. The items below can be used to make a bracelet. They are known as
    G4CAST1T23001Q7
    1. beads
    2. fabric
    3. strings
    4. cut-outs
  8. Identify one type of gradation strips
    1. Smudging
    2. Coloured
    3. Staggered
    4. Tonal
  9. Grade three learners were making paper toys during a paper craft lesson. Which of these items did they use to cut the papers?
    G4CAST1T23001Q9
  10. Jared wants to make a kite. He needs all the following materials except
    1. strings
    2. paper
    3. stone
    4. glue

MUSIC

  1. Which of these digital devices cannot be used to record and play music?
    1. Laptop
    2. Tablet
    3. Clock
    4. Smartphone
  2. Edward made an improvised shaker. Which of these materials did he not use?
    1. Metallic bottle tops 
    2. Y-shaped stick
    3. Wire
    4. Papers
  3. The instrument shown below is commonly played by a technique called
    G4CAST1T23001Q13
    1. plucking
    2. bowing
    3. hitting
    4. blowing
  4. The Kenya national anthem has how many verses?
    1. 3
    2. 4
    3. 2
    4. 1
  5. Which of the following is a good behaviour that we learn from music?
    1. Stealing
    2. Honesty
    3. Disrespect
    4. Laziness
  6. Songs sung to make a baby sleep are known as
    1. action songs
    2. singing games
    3. lullabies
    4. patriotic songs
  7. Which of the following is a string instrument?
    1. Guitar
    2. Kayamba
    3. Drum 
    4. Piano
  8. In which of these events are people sad when singing?
    1. Wedding
    2. Funeral
    3. Birthday
    4. Initiation ceremony
  9. Solo singing is when
    1. two people are singing 
    2. very many people are singing
    3. only one person is singing
    4. three groups are singing
  10. What is the name given to people who are listening to a song being performed?
    1. Choir
    2. Audience
    3. Soloists
    4. Melodies

SOCIAL STUDIES

                                                   KONA AREA

G4CAST1T23001Q21

Study the map of Kona area and answer questions 21-25.

  1. People of Kona area are
    A. Muslims
    B. Christians
    C. Pagans
    D. Hindus
  2. The main means of transport in Kona area is
    1. air
    2. water
    3. road
    4. railway
  3. How many bridges are in Kona area?
    1. One
    2. Two
    3. Three
    4. Four
  4. The market in Kona area is used for
    1. trading
    2. fishing
    3. mining
    4. farming
  5. The elected head of Kona area is a
    1. chief
    2. governor
    3. police
    4. senator

Use the diagram below to answer questions 26-27

G4CAST1T23001Q31

  1. Identify the direction marked X
    1. East
    2. West
    3. South
    4. North
  2. The instrument above is used to
    1. measure distance
    2. show direction
    3. provide security
    4. provide shelter
  3. How many counties are there in Kenya?
    1. 48
    2. 47
    3. 24
    4. 18
  4. Grade four learners went for a trip within their county to see physical  features. Which one of the following is not one of the physical features they saw?
    1. Mountains
    2. Hills
    3. Rivers
    4. Museum
  5. How can learners take part in making the school clean?
    1. Throwing rubbish in the compound
    2. Not mopping their classrooms
    3. Sweeping the compound
    4. Leaving grass to grow tall
  6. Alice saw the road sign below
    G4CAST1T23001Q31
    It shows
    1. bumps ahead
    2. pedestrians crossing
    3. danger ahead
    4. corner ahead
  7. The people's way of life is known as
    1. culture
    2. resources
    3. wealth
    4. behaviour
  8. In your county people depend on each other. How do people depend on farmers? They
    1. provide health services
    2. grow and sell food crops to the people
    3. give education to children
    4. repair vehicles
  9. The fastest means of transport is
    1. water
    2. railway
    3. air
    4. road
  10. Grade 4 learners visited a museum and saw beads, gourds, arrows, baskets. spears, shields and other traditional items. These items are called
    1. basic needs
    2. traditional artefacts
    3. monuments
    4. historical buildings

C.R.E

  1. According to the stories of creation in Genesis Chapter 1, God created everything in the universe in
    1. 1 day.
    2. 4 days
    3. 6 days
    4. 7 days
  2. Adam and Eve sinned against God when they
    1. named animals
    2. ate the forbidden fruit
    3. walked naked
    4. hid from God
  3. During the time of Noah, God punished people using
    1. drought
    2. thunder
    3. fire
    4. floods
  4. Which one of the following is not an attribute of God?
    1. Lazy
    2. Loving
    3. Holy
    4. Creator
  5. I wrestled with an angel and my name was changed to Israel. Whom am I?
    1. Solomon
    2. jacob
    3. Joseph
    4. Samuel
  6. Who among the following led the Israelites from slavery in Egypt?
    1. Abraham
    2. Moses
    3. Isaac
    4. Aaron
  7. Which one of the following was not a gift brought to Jesus by the wisemen?
    1. Diamond
    2. Myrrh
    3. Gold
    4. Frankincense
  8. When Jesus was baptised by John the baptist in River Jordan, the Holy spirit came down in the form of
    1. fire
    2. wind
    3. a dove
    4. an angel
  9. How old was Jesus when he was taken to the temple to attend the passover feast?
    1. 8 days
    2. 12 years
    3. 1 year
    4. 30 years
  10. The parents of Jesus took Him to Egypt secretly because
    1. Herod wanted to kill him
    2. they wanted to see Pharaoh
    3. they wanted to tour the place
    4. they were running away from an
  11. Who among the following people killed a lion with his bare hands?
    1. Samuel
    2. David
    3. Samson
    4. Joseph
  12. Which one of the following is not a quality of a good leader?
    1. Hardworking
    2. Respectful
    3. Kind
    4. Arrogant
  13. Which community is not correctly matched with their traditional name of God?
    1. Kikuyu - Ngai
    2. Maasai - Enkai
    3. Luhya - Were
    4. Abagusi - Mulungu
  14. The people who died long time ago before our time are called
    1. unborn
    2. ancestors
    3. babies
    4. the living
  15. Who was the mother of Samuel?
    1. Peninah
    2. Hannah
    3. Elizabeth
    4. Martha

I.R.E

  1. Which one of the following surahs talks about the oneness of Allah?
    1. Ikhlas
    2. Naas
    3. Falaq
    4. Humaza
  2. How many verses are there in surah Al-Masad?
    1. Four
    2. Five
    3. Six
    4. Three
  3. "You alone we worship and seek for help. "This is a quotation from surah
    1. Fill
    2. Humaza
    3. Fatiha
    4. Ikhlas
  4. What should a Muslim say when he or she finishes eating?
    1. Subhanallahi
    2. Maashallah
    3. Bismillahi
    4. Alhamdulillah
  5. Rajab a grade five learner found his friends fighting. What was the right course of action for him to take?
    1. Help the weak one
    2. Leave them alone
    3. Call for help
    4. Separate them
  6. The actions and practices of the prophet (S.A.W) are known as
    1. Ihsaan
    2. Iman
    3. Sunnah
    4. Hadith
  7. The attributes of Allah that means the most gracious is
    1. Ar-Raheem
    2. Ar-Rahman
    3. Al-Khaliq
    4. Al-Ghaffur
  8. How many days did Allah (S.W.T) take to create the world and the universe?
    1. Six
    2. Seven
    3. Eight
    4. Five
  9. The angels of Allah(S.W.T) were created from
    1. clay
    2. light
    3. water
    4. air
  10. Which one of the following is not an attribute of angels?
    1. They are made from light
    2. They are neither male nor female
    3. They eat and drink
    4. They obey the commands of Allah
  11. Grade four learners were asked to name the angel who is incharge of revelation. Who among them was right?
    1. Hoyoo: Jibril
    2. Ismail: Mikail
    3. Hussein: Ridhwan
    4. Maria : Izrail
  12. Who among the following was the first man to be created?
    1. Issa
    2. Mohammad
    3. Ibrahim
    4. Adam
  13. Which surah of the Qur'an must be recited in all the prayers?
    1. Naas
    2. Fatiha
    3. Masaad
    4. Ikhlas
  14. Munira a grade four learner was performing swalatul subh. How many rakaat was she suppossed to perform?
    1. Three
    2. Four
    3. Two
    4. One
  15. Which one of the following terms means cleanliness?
    1. Najasaat
    2. Istinjai
    3. Hadath
    4. Twahara

MARKING SCHEME

ART

  1. D
  2. C
  3. A
  4. C
  5. D
  6. B
  7. A
  8. C
  9. D
  10. C

MUSIC

  1. C
  2. D
  3. C
  4. A
  5. B
  6. C
  7. A
  8. B
  9. C
  10. B

SOCIAL

  1. B
  2. C
  3. A
  4. A
  5. B
  6. A
  7. B
  8. B
  9. D
  10. C
  11. A
  12. A
  13. B
  14. C
  15. B

C.R.E

  1. C
  2. B
  3. D
  4. A
  5. B
  6. B
  7. A
  8. C
  9. B
  10. A
  11. C
  12. D
  13. D
  14. B
  15. B

I.R.E

  1. A
  2. B
  3. C
  4. D
  5. D
  6. C
  7. B
  8. A
  9. B
  10. C
  11. A
  12. D
  13. B
  14. C
  15. D

SCIENCE AND TECHNOLOGY (15marks)

  1. Which group consists of living things only?
    1. Pawpaw, brick, stones
    2. Mango, snail, cactus plant
    3. Soil, water, air
    4. Coat, building, soil
  2. Three of the following are characteristics of animals. Which one is not?
    1. All move by flying
    2. They die
    3. They reproduce
    4. They grow
  3. Grade four leaners were asked by their science teacher to visit a nearby forest to collect some plants for an experiment. They were asked to come with protective gears. Which among the following was not necessary?
    1. Gumboots
    2. Apron
    3. Vest
    4. Goggles
  4. The following are ways of making drinking water safe. Which one is the best way?
    1. Boiling
    2. Filtering
    3. Sieving
    4. Use of chemicals

The chart below shows the days of the week and weather condition during the day. Use it to answer question 5 and 6  

 Day   Morning   Afternoon 
 Monday    windy   sunny 
 Tuesday    rainy   windy 
 Wednesday    rainy   cloudy 
 Thursday   windy   rainy 

 

  1. Which day was the most favourable for washing clothes?
    1. Tuesday
    2. Wednesday
    3. Monday
    4. Thursday
  2. Which of the following symbols represents the weather condition on Wednesday afternoon?
    G4IST1T23001Q6
  3. Animals are grouped into two groups. Among the following animals, which one is an invertebrate?
    1. Frog
    2. Snail
    3. Cow
    4. Cat
  4. The following are digital devices that are used to take pictures of animals. Which one can not be used?
    1. Camera
    2. Phones
    3. Radio
    4. Tablets
  5. During a clean up exercise, grade 3 learners were sweeping their dusty classroom. Which among the following protective gears would protect them from inhaling dust?
    1. Face mask
    2. Goggles
    3. Gloves
    4. Head gears
  6. Which of the following animals moves by slithering?
    1. Monkey
    2. Snail
    3. Hen
    4. Snake
  7. How many types of teeth does an adult human being have?
    1. 32
    2. 24
    3. 4
    4. 28
  8. When handling plants with thorns, which protective gear should one wear or hands so as to protect himself or herself when handling the plants?
    1. Gloves
    2. Gumboots
    3. Tongs
    4. Handkerchiefs
  9. The following are all domestic animals kept at our homes. Which among them is kept for the security?
    1. Cat
    2. Cow
    3. Dog
    4. Donkey
  10. All living things go through different changes in different stages. What is the last stage of every animal as a living thing?
    1. Reproduction
    2. Death
    3. Breathing
    4. Feeding
  11. Which one is not true about plants?
    1. They grow
    2. They reproduce
    3. They breathe
    4. They move from one place to another

AGRICULTURE (10 marks)

  1. Which one of the following type of soil is best for growing maize crops?
    A. Clay
    B. Sand
    C. Loam
    D. Mud
  2. Which soil has got large particles and allows more water to pass through?
    1. Sand sail
    2. Clay soil
    3. Rock
    4. Loam soil
  3. Three of the following are domestic animals. Which one is not?
    1. Goat
    2. Pig
    3. Gazelle
    4. Rabbit
  4. Three of the following are materials that can be used to improve soil fertility. Which among them is not?
    1. Manure
    2. Kitchen waste
    3. Animal waste
    4. Stones
  5. Which type of soil feels smooth when touched?
    1. Clay
    2. Sand
    3. Loam
    4. Silt
  6. Which of the following domestic animals is best used for transporting heavy loads in the farm?
    1. Pig
    2. Bull
    3. Donkey
    4. Horse
  7. The tool below is used to
    G4IST1T23001Q22
    1. harvest crops
    2. water plants
    3. store food
    4. fetch water
  8. While preparing compost manure, Mr. Ouma requires three of the following materials. Which among the following materials is not required?
    1. Stones
    2. Maize stalk
    3. Kitchen waste
    4. Dry grass
  9. Among the following types of soils, which soil can be used in modelling?
    1. Silt soil
    2. Sand soil
    3. Loam soil
    4. Clay soil
  10. Three of the following are vegetables grown in the kitchen gardens. Which one is not?
    1. Kales
    2. Onions
    3. Maize
    4. Spinach

HOMESCIENCE (10 marks)

  1. Grade four pupils were asked by their Home science teacher to mention personal items used at home. Among the items identified below, one is not a personal item. Which one is it?
    1. Toothbrush
    2. Socks
    3. Textbook
    4. Handkerchief
  2. The following are benefits of regular physical exercises. Which one is not?
    1. Help reduce body weight
    2. Weaken the body
    3. Reduce the risk of lifestyle diseases
    4. One develops strong bones
  3. Choose a box that contains body building foods only.
    G4IST1T23001Q28
  4. Food packets and containers have different information. Which information is the most important?
    1. Manufacturing date
    2. Weight of the item
    3. Nutrient composition
    4. Expiry date.
  5. The following are kitchen utensils. Which one can break easily?
    1. Sufuria
    2. Pot
    3. Plastic plate
    4. Metallic kettle
  6. Calvin was asked to state reasons for bed making. Which reason was not correct?
    1. To keep off dust
    2. To feel comfortable
    3. To make the room fresh
    4. To attract parasites
  7. The following are cleaning items. Which one is correctly matched with its name?
    G4IST1T23001Q32
  8. We eat different meals at different times. At what time do we eat breakfast?
    1. Evening
    2. Midday
    3. Morning
    4. Night
  9. The following are causes of common accidents in school. Which one is not?
    1. Clean environment
    2. Rough surfaces
    3. Slippery floor
    4. Uneven pavements
  10. Three of the following are examples of internal parasites. Which one is not?
    1. Louse
    2. Tapeworm
    3. Threadworm
    4. Roundworm

PHYSICAL AND HEALTH EDUCATION    (15 marks)

  1. The diagram below shows a field used in a certain game.
    G4IST1T23001Q36
    It is known as
    1. football pitch
    2. athletic track
    3. volleyball pitch
    4. jumping field
  2. Which one of the following is an example of locomotor skill?
    1. Twisting
    2. Sleeping
    3. Skipping
    4. Punting
  3. In the game of a football, a person who catches the ball at the goal is called
    1. goal keeper
    2. a defender
    3. a player
    4. a scorer
  4. Which of the following is an example of a ball game?
    1. Tug of war
    2. Skipping rope
    3. Netball
    4. Bouncing castles
  5. Hopping is a physical exercise for young children. Which one of the following parts of the body is used during hopping?
    1. Back
    2. Legs
    3. Stomach
    4. Waist
  6. When we practise jumping skills daily we develop
    1. strength
    2. friendship
    3. weak bones
    4. headaches
  7. When playing soccer, which part of the body is used to kick the ball?
    1. Head
    2. Hand
    3. Leg
    4. Knee
  8. Practising wheelbarrow balance makes one
    1. lazy
    2. happy
    3. weak
    4. strong
  9. What should you use if you are having trouble staying above the water during swimming?
    1. Goggles
    2. Swimming costume
    3. Boat
    4. A floater
  10. The following are health benefits a person can get from rope skipping. Which one is not?
    1. Helps reduce body weight
    2. You develop strong bones
    3. One becomes weak
    4. One develops a good body posture
  11. When performing forward roll the back should be 
    1. curved
    2. streamlined
    3. straight
    4. none of the above
  12. Which of the following is a non-locomotive activity?
    1. Hopping
    2. Leaping
    3. Turning
    4. Running
  13. The following objects can float on water except
    1. balloon
    2. flutter boards
    3. floating rings
    4. stone
  14. The following rules should be observed while at the swimming pool except
    1. bathing before entering the pool
    2. eating while in the pool
    3. putting on the costume
    4. ensure there is a life saver at the pool
  15. What is the size of a soccer ball suitable for age 6 and 7 years?
    1. Size 4
    2. Size 5
    3. Size 3
    4. Size 2

MARKING SCHEME

SCIENCE

  1. B
  2. A
  3. C
  4. A
  5. C
  6. D
  7. B
  8. C
  9. A
  10. D
  11. C
  12. A
  13. C
  14. B
  15. D

AGRICULTURE

  1. C
  2. A
  3. C
  4. D
  5. A
  6. C
  7. B
  8. A
  9. D
  10. C

HOMESCIENCE

  1. C
  2. B
  3. A
  4. D
  5. B
  6. D
  7. C
  8. C
  9. A
  10. A

PHE

  1. B
  2. C
  3. A
  4. C
  5. B
  6. A
  7. C
  8. D
  9. D
  10. C
  11. A
  12. C
  13. D
  14. B
  15. C

Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali 1-5

G4swaT1T23001P1

Amani: (Kwa furaha) Hujambo Johari!
Johari: (Akitabasamu) Sijambo Amani. Umeamkaje? Amani: Vyema labda wewe.
Johari: Ningetaka tujadiliane vile tutakavyoyatunza mazingira ya shule yetu muhula huu.
Amani: Aha! Naona unayajali mazingira yetu.
Johari: Naam! Baada ya likizo ndefu takataka zimeenea kila mahali, nyasi ni ndefu na madarasa yamejaa vumbi.
Amani: Ni jukumu letu kama wanafunzi kuhakikisha tumeifanya shule yetu kuwa safi.
Johari: Tunafaa kutafuta fyekeo, reki na fagio ili kutekeleza shughuli yetu.
Amani: Mwalimu wetu wa darasa atatusaidia kupata vifaa hivyo katika stoo ya shule.
Johari: Tunafaa tuongee na wanafunzi wenzetu ili tujipange  vizuri kutekeleza shughuli hii.
Amani: Tutajigawa katika vikundi mbalimbali ili kila mahali shuleni pawe safi.
Johari: Haya basi twende tukaongee na wenzetu.

  1. Mazungumzo uliyoyasoma yalifanyika wakati gani?
    1. Jioni
    2. Adhuhuri
    3. Asubuhi
    4. Usiku
  2. Amani na Johari wanazungumza kuhusu nini?
    1. Usafi wa mazingira ya shule
    2. Usafi wa nyumbani kwao
    3. Usafi wa darasa lao
    4. Usafi wa uwanja wa shule
  3. Wanafunzi watatumia kifaa gani kufyeka nyasi ndefu?
    1. Ufagio
    2. Reki
    3. Jembe
    4. Fyekeo
  4. Ili kila mwanafunzi apate kazi yake wanafaa kufanya nini? 
    1. Kujigawa katika makundi. 
    2. Kuzungumza
    3. Kumwomba mwalimu awapatie vifaa
    4. Kuosha darasa kwanza
  5. Ni gani kati ya hizi si shughuli ya kutunza usafi wa mazingira
    1. Kufagia
    2. Kufyeka
    3. Kuoga
    4. Kuokota takataka

Soma hadithi ifuatayo kisha ujibu maswali 6-9   

G4swaT1T23001P2

Bwana Bakari alikuwa mfugaji hodari wa kuku. Alikuwa na majogoo watano na kuku arubaini na watano wa kutaga mayai. Kuku hawa huitwa koo.

Koo walikuwa wameanza kutaga na kwa hivyo baada ya siku kadhaa wangeyalalia mayai na kuangua vifaranga.

Bwana Bakari aliwatunza kuku wake vizuri. Aliwapatia chakula na maji ya kutosha. Pia aliwachanja kila mara ili wasipate magonjwa.

Wanafunzi hupenda kumtembelea Bwana Bakari ili kujifunza ufugaji wa kuku.

  1. Bwana Bakari hufanya kazi gani?
    1. Kulima
    2. Kuuza mayai
    3. Kufuga kuku
    4. Kuangua vifaranga
  2. Kuku anayetaga mayai huitwaje?
    1. Koo
    2. Jogoo
    3. Kifaranga
    4. Pora
  3. Bwana Bakari hakuwatunza kuku wake kwa _________________________
    1. kuwapa chakula
    2. kuwapa maji
    3. kuwachanja
    4. kuwaosha
  4. Kwa nini Bwana Bakari aliwachanja kuku wake?
    1. Ili wasipate magonjwa
    2. Ili wapate vifaranga
    3. Ili watage mayai mengi
    4. Ili waongezeke

Soma hadithi ifuatayo kisha ujibu maswali 10-12

G4swaT1T23001P3
Mwema alitumwa dukani na mama yake kununua bidhaa. Alipewa noti ya shilingi mia mbili. Alimpata mwuzaji na kuagiza bidhaa zifuatazo:

  1. Sukari nusu kilo - shilingi sabini na tano.
  2. Mkate - shillingi sabini
  3. Maziwa pakiti moja - shilingi hamsini

Baada ya kupewa bidhaa hizo alipatiana pesa, akapewa risiti na baki ya pesa.

  1. Tunaweza tukamwita Mwema nani?
    1. Mnunuzi 
    2. Muuzaji
    3. Mchuuzi
    4. Dalali
  2. Ni bidhaa gani ghali kuliko zote?
    1. Mkate
    2. Sukari
    3. Maziwa
    4. Zote
  3. Mwema alipewa baki ya shillingi ngapi?
    1. Kumi
    2. Kumi na tano
    3. Tano
    4. Hatujaambiwa

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 13-15.

Mcheshi alisafiri na kwenda marekani. Aliishi katika nchi hiyo kwa miaka mitano. Hata hivyo hakuwahi kuisahau nchi yake ya Kenya. Kila wakati alipoikumbuka nchi yake alitamani siku ya kurudi ifike haraka.

Mcheshi alikuwa na sababu nyingi za kuipenda Kenya. Nchi ya Kenya ina wananchi wanaopenda amani. Kuna milima na mabonde ya kupendeza. Kuna mito, maziwa na bahari. Isitoshe Kenya ina wanyamapori wengi kama vile: Simba, ndovu, chui, kifaru na twiga.

Siku ya kurudi ilipofika, Mcheshi alipanga mizigo yake, akaenda katika uwanja wa ndege, akaiabiri na kurudi Kenya. Alipofika aliwapata baba na mama yake wamemsubiri. Walikumbatiana kwa furaha kisha wakaenda nyumbani.

  1. Mcheshi alisafiri kwenda nchi gani?
    1. Kenya
    2. Marekani
    3. Uingereza
    4. Ethiopia
  2. Kulingana na kifungu gani kati ya hizi si sababu ya Mcheshi kuipenda Kenya?
    1. Wananchi wenye amani
    2. Milima na mabonde
    3. Wanyamapori
    4. Kilimo
  3. Katika uwanja wa ndege, Mcheshi alikuwa amesubiriwa na _______________________
    1. wazalendo
    2. wazazi wake
    3. ndugu zake
    4. marafiki

Jaza pengo kwa kutumia majibu yafaayo

Bendera ___16___ Kenya ina rangi ___17___. Rangi iliyo juu kabisa ni ___18___ katikati ya bendera yetu kuna mikuki ___19___ na ngao. Shuleni huwa tunaipandisha bendera ili kuonyesha ___20___ wetu.

   A   B   C   D 
 16.   wa   ya   cha   la
 17.  nne   minne   wanne   minne 
 18.  nyeupe   nyeusi   nyekundu   kijani 
 19.  mbili  wawili   mbili   miwili 
 20.  uzalendo   urafiki   uadui   uhodari 
  1. Tazama picha hizi kisha ujibu swali
    G4swaT1T23001P4
    Vifaa hivi hutumika wapi?
    1. Shuleni
    2. Sokoni
    3. Shambani
    4. Dukani
  2. Musa amemsindikiza rafiki yake hadi kituo cha mabasi. Wanapoagana Musa atamwambiaje?
    1. Kwaheri
    2. shikamoo
    3. Usiku mwema
    4. majaliwa
  3. Ni sentensi gani si sahihi?
    1. Mimi ninacheza. 
    2. Wewe unasoma
    3. Yeye anaandika
    4. Wewe anacheka
  4. Tazama picha hii kisha utumie kihusishi mwafaka.
    G4swaT1T23001P5
    Maua yako __________________ meza.
    1. juu ya
    2. kando ya
    3. chini ya
    4. mbele ya
  5. Kanusha sentensi ifuatayo: Uliwasimulia wanafunzi hadithi.
    1. Hutawasimulia wanafunzi hadithi.
    2. Hatawasimulia wanafunzi hadithi.
    3. Hukuwasimulia wanafunzi hadithi. 
    4. Huwasimulii wanafunzi hadithi.
  6. Badilisha sentensi hii katika wingi: Kitabu chake kimepotea.
    1. Vitabu vyao vimepotea.
    2. Vitabu vyake vimepotea.
    3. Kitabu chao kimepotea.
    4. Vitabu vyetu vimepotea.
  7. Ni kitendo gani hakijaambatanishwa na kinyume chake?
    1. Cheka - lia
    2. Enda-rudi
    3. Kubali-kataa
    4. Andika - soma
  8. Jaza mapengo kwa jibu sahihi:
    Farasi alikimbia _________________________ naye kobe alitembea ______________________________.
    1. polepole, haraka
    2. haraka, polepole
    3. polepole, polepole
    4. haraka, haraka
  9. "Ni sentensi gani yenye kikomo?
    1. Unataka nini hapa?
    2. Kesho nitatuzwa zawadi:
    3. Kumbe unanidanganya.
    4. Nilikula wali, chapati, ugali.....
  10. Tazama picha kisha ujibu swali.
    G4swaT1T23001P6
    Ndege huyu and twa nani? 
    1. Tausi
    2. Mbuni
    3. Bata
    4. Njiwa

INSHA

Kuandika(Alama 10)

Umepewa dakika 40 kuandika insha yako. Andika insha juu ya 

                                                 MWALIMU WANGU WA DARASA

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

MARKING SCHEME

  1. C
  2. A
  3. D
  4. A
  5. C
  6. C
  7. A
  8. D
  9. A
  10. A
  11. B
  12. C
  13. B
  14. D
  15. B
  16. B
  17. A
  18. B
  19. D
  20. A
  21. C
  22. A
  23. D
  24. A
  25. C
  26. A
  27. D
  28. B
  29. C
  30. B

Read the following dialogue and answer questions 1-5.

G4engT1T23001P1

Librarian:    How are you Elsie?
Elsie:           Am fine thank you.
Librarian:    How can I help you?
Elsie:           I would like to borrow a story book to read over the weekend. 
Librarian:    Have you brought your library card?
Elsie:           Yes, here it is.
Librarian:    You can go and choose a story book to read. I will then record it under your name.
Elsie:           Ok, thanks.

  1. Where do you think the conversation was taking place?
    1. At school
    2. In a hospital
    3. At the library
    4. In class
  2. Elsie is a  __________________________________.
    1. teacher
    2. pupil
    3. parent
    4. athlete
  3. Who is a librarian?
    1. An English teacher
    2. A learner
    3. A person who sells books
    4. A person who works in a library
  4. What should you carry when going to borrow books from a library?
    1. A story book
    2. library record
    3. Library card
    4. A bag
  5. Elsie's reply....... "Ok, thank you" shows that ________________________________
    1. she is polite
    2. she is still young
    3. she knows English
    4. she was happy

Read the passage below and then answer questions 6-9.

G4engT1T23001P2

A house will never be a home without a family, and a family is never made of a few individuals. It also includes grandparents, kids, aunties, guardians and uncles. There may also be some adopted orphans. The idea of a family has been an African thing from long ago. The more we are going to understand the importance of a family, the more we will learn to live as one big family that shares and helps each other to deal with problems and daily chores. It is about time we show our kids the importance of family values and influence them to understand it.

  1. According to the above passage a family is made of ________________________________
    1. father, mother, uncles and guests
    2. parents, uncles, grandparents and strangers
    3. guardians and teachers
    4. grandparents, children, aunties, guardians and uncles
  2. What makes a house a home?
    1. Parents
    2. Family
    3. Children
    4. Grandparents
  3. For how long has the idea of family been an African thing?
    1. A few years
    2. Several years
    3. A long time
    4. A short time
  4. What is the meaning of the word values as used in the passage?
    1. Good items
    2. Good practices
    3. Money
    4. Property

Read the passage below and then answer questions 10-12.   

G4engT1T23001P3

Birthday is the most special day of the year for children. It is a day full of celebrations The birthday boy or girl enjoys many fun activities, party with their friends and family members, receives a lot of gifts and makes a wish as they blow the candle on their special birthday cake. These are all fun, and memorable moments. The children will always remember such parties for a long time.

  1. Which of the following activities does not take place during the birthday party?
    1. Receiving gifts
    2. Partying with friends
    3. Making a wish
    4. Visiting neighbours
  2. The following people will be found at the birthday party except
    1. birthday boy.
    2. friends.
    3. chef.
    4. family members
  3. The phrase "Birthday is the most special day of the year for children" means that a child will celebrate birthday ____________________ in a year.
    1. once
    2. twice
    3. three times
    4. four times

Read the passage below and then answer questions 13-15.

G4engT1T23001P4

When he had finished his breakfast, the hare looked around to see how far the tortoise had gone. He still hadn't passed halfway. Feeling sleepy after his snack, the hare thought to himself, "I will have a quick snooze now and when I wake up I will quickly run past the finish line. He fell into a deep sleep and dreamed of winning the competition. Time passed and the sun was already setting when the hare woke up. He jumped, looked around and saw the tortoise at the finish line.

  1. What were the two animals that were competing in the race?
    1. Rabbit and tortoise
    2. Hare and tortoise
    3. Tortoise and hyena
    4. Tortoise and lion
  2. Who do you think won the race?
    1. Tortoise
    2. Hare
    3. Both
    4. None
  3. What was the hare doing as the tortoise continued with the race?
    1. Running
    2. Sleeping
    3. Eating
    4. Looking at the hare.

Read the passage below keenly. It contains blank spaces numbered 16 to 20. Fill the spaces using the best alternative from the choices given.

The Competency Based Curriculum ___16___ launched by the Ministry of Education in 2017. CBC replaced the former 8.4.4 education system of 1985 to date. Under the ___17___ curriculum, learners will spend two years in pre-primary, six years in ___18___ school, three years in junior secondary and three ___19___ in senior secondary. ___20___ the learners can then decide to join the world of work or further their careers by joining colleges or universities.

   A   B   C   D 
 16.   has   was   is  are 
 17.  new   old  former   next 
 18.  pre-primary   home   nursery   primary 
 19.  ears  term  period  years
 20.  Moreover  Therefore   Thereafter   And

 

Fill the gaps in questions 21 to 23 using the correct article.

  1. The girl needs help as she is. ___________________ orphan.
    1. a
    2. an
    3. the
    4. either
  2. ______________________ head teacher is teaching in grade four.
    1. A
    2. An
    3. The
    4. Her
  3. Mary has __________________ twin sister.
    1. a
    2. an
    3. the
    4. two

For questions 24 to 27, select the word with the same sound as the underlined.

  1. The car has a spare tyre.
    1. Tie
    2. Try
    3. Tire
    4. Tear
  2. She uses dye to hide her grey hair.
    1. Die
    2. Buy
    3. Dice
    4. Tie
  3. When he got home his feet were covered with mud.
    1. Fit
    2. Feast
    3. Fast
    4. Foot
  4. I did not feel any pain when the dentist removed the tooth.
    1. Fail
    2. Fees
    3. Fill
    4. File

For questions 28 to 30, fill the blank space with the best choice. 

  1. I was in the hall before it was. _______________________
    1. pool
    2. fool
    3. full
    4. pull
  2. We should read questions _____________________ before attempting to answer.
    1. two
    2. twice
    3. one
    4. three
  3. Every _______________________ counts in this election.
    1. vote
    2. fought
    3. bought
    4. fort

COMPOSITION

WRITING

Write an interesting composition about:

m                                                                MY BESTFRIEND 

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________

MARKING SCHEME

  1. C
  2. B
  3. D
  4. C
  5. A
  6. D
  7. B
  8. C
  9. A
  10. D
  11. C
  12. A
  13. B
  14. A
  15. B
  16. B
  17. A
  18. D
  19. D
  20. C
  21. B
  22. C
  23. A
  24. C
  25. A
  26. A
  27. C
  28. C
  29. B
  30. A

QUESTIONS  

  1. There were nine thousand, nine hundred and ninety people in a meeting. What is the number of people in symbols?
    1. 9000990
    2. 9990
    3. 9999
    4. 90999
  2. There were 3645 antelopes in a park. What is the place value of digit 3?
    1. Thousands
    2. Hundreds
    3. Tens
    4. Ones
  3. In a test, five learners had their scores as follows:
    Jane - 386
    Peris - 412
    Kamau - 400
    Akello - 299
    Dennis - 397
    Dennis was the ___________________ position
    1. first
    2. second
    3. third
    4. fifth
  4. In a farm, a farmer has 26301 pigs. What is the total value of digit 6 in the number of pigs?
    1. 6000
    2. Thousands
    3. 600
    4. Hundreds
  5. Mary bought a bag for sh.350 and a pair of shoes for sh. 70. How much did she pay?
    1. sh. 280
    2. sh. 320
    3. sh. 380
    4. sh. 420
  6. Tom stayed at his uncle's place for 9 weeks. How many days are these?
    1. 54
    2. 63
    3. 90
    4. 16
  7. 32 ÷ 8 = 8 x _____ = 32
    1. 3
    2. 5
    3. 4
    4. 6
  8. A trader had 380 eggs. He sold 150 of them. How many eggs remained?
    1. 230
    2. 330
    3. 130
    4. 530
  9. What is the time?
    G4mathT1T23001Q9
    1. Six o'clock
    2. Quarter to six o'clock
    3. Half past nine o'clock
    4. Quarter past five o'clock
  10. We sell or buy milk in
    1. kilograms
    2. metres
    3. litres
    4. kilometres
  11. Name the shapes below
    G4mathT1T23001Q11
       A   B   C 
     A.   oval   rectangle   circle 
     B.  circle   square  oval  
     C.  circle   rectangle   oval 
     D.  circle   triangle  oval 
  12. In a national park there were 362 lions, 652 warthogs, 403 hyenas and 215 antelopes. Arrange their numbers from the smallest to the largest.
    1. 652, 403, 215, 362
    2. 215, 362, 403, 652
    3. 362, 652, 403, 215
    4. 652, 403, 362, 215
  13. Take away 48 from 372 =
    1. 324
    2. 334
    3. 420
    4. 336
  14. Multiply: 9 x0 =
    1. 9
    2. 0
    3. 90
    4. 900
  15. A 500 shilling note is equal to ______________________ one hundred shilling notes.
    1. 5000
    2. 500
    3. 50
    4. 5
  16.    H          Min
      23          43
    −10          27 
                          
    1. 13hr 24 min
    2. 34hr 10 min
    3. 13hr 16 min
    4. 33hr 70 min
  17. An eighth of 24 is
    1. 12
    2. 8
    3. 4
    4. 3
  18. Write the number shown in the abacus
    G4mathT1T23001Q18
    1. 649
    2. 469
    3. 946
    4. 648
  19. Sasha had 30 sweets. She shared the sweets equally among her 6 friends. How many sweets did each of them get?
    1.  24
    2. 5
    3. 6
    4. 36
  20. Which one is heavier, 5kg of sand or 5kg of wool?
    1. Sand
    2. Wool
    3. Both
    4. None
  21. Fill in the missing number
    101, 106, 111, 116,________________________
    1. 121
    2. 111
    3. 120
    4. 122
  22. Put together 953 and 47
    1. 990
    2. 900
    3. 906
    4. 1000
  23. Our head teacher had a sh. 1000 note. She bought a dress for sh. 800. What was her balance?
    1. sh.1800
    2. sh.600
    3. sh. 200
    4. sh. 400
  24. A ____________________________ is a need in our daily life.
    1. bicycle
    2. television
    3. toy car
    4. food
  25. What is the time from the digital clock?
    G4mathT1T23001Q25
    1.  Fifteen minutes to one
    2. Half past one
    3. Fifteen minutes past one
    4. One minute to five
  26. A petrol tank had 749 litres of petrol. The motorcars used 360 litres. How much petrol remained in the tank?
    1. 289 litres
    2. 389 litres
    3. 1109 litres
    4. 429 litres
  27. Complete
    3 + 3 + 3 + 3 + 3 + 3 =
    _______ X ________ = ________
    1. 9 X 3 = 27
    2. 2 X 9 = 18
    3. 6 X 3 = 12
    4. 3 X 6 = 18
  28.  
    G4mathT1T23001Q28
    1. 56
    2. 7
    3. 8
    4. 9
  29. Ali walked from the gate to the flag post then to the staffroom.
    G4mathT1T23001Q29
    What is the distance from the gate to the staffroom?
    1. 6 metres
    2. 9 metres
    3. 18 metres
    4. 12 metres
  30. How do you move from A to B then to C?
    G4mathT1T23001Q30
    1. Move straight then turn left 
    2. Move straight then turn right 
    3. Turn right then move straight 
    4. Turn left then move straight

MARKING SCHEME

  1. B
  2. A
  3. C
  4. A
  5. D
  6. B
  7. C
  8. A
  9. B
  10. C
  11. C
  12. B
  13. A
  14. B
  15. D
  16. C
  17. D
  18. A
  19. B
  20. D
  21. A
  22. D
  23. C
  24. D
  25. C
  26. B
  27. D
  28. D
  29. C
  30. A

CREATIVE ARTS ACTIVITIES

  1. Mama Joyce makes pots for sale. Which one of the following materials she does not use?
    1. water
    2. clay soil
    3. sharp objects
    4. metal strips
  2. Primary colours when mixed with secondary colours in equal amounts will produce ___________________________ colours.
    1. Black
    2. Rainbow
    3. Tertiary
    4. Secondary
  3. Which shading technique is used in the cup below?
    G6CAST1SB23Q3
    1. coiling
    2. stripling
    3. cross hatching
    4. Tonal variation
  4. The following are conventional mounting materials except:-
    1. Banana fibres
    2. Manilla paper
    3. Mounting board
    4. Catridge paper
  5. Which one is NOT a 3-D artwork?
    1. sculpture
    2. pottery
    3. drawing
    4. marionette
  6. The following are techniques used to decorate a modelled clay pot. Which one is NOT?
    1. Incising
    2. Embedding
    3. Tie and dye
    4. Stamping
  7. Which one is NOT a primary colour?
    1. Green
    2. Blue
    3. Yellow
    4. Red
  8. Grade six learners were told by their Art and Craft teacher to make a collage. Which of the materials is NOT needed?
    1. water
    2. sand
    3. glue
    4. picture from a newspaper
  9. Which one is NOT used in making a wax crayon?
    1. paint
    2. Bel wax
    3. paraffin wax
    4. colour pigment
  10. Which factor is NOT considered when drawing two overlapping cylindrical forms?
    1. Proportion of forms
    2. Balance of forms
    3. Variation of lines
    4. Inadequate space

MUSIC ACTIVITIES

  1. Songs sung to soothe babies is classified as:-
    1. Sacred songs
    2. Lullaby songs
    3. Folk songs
    4. Action songs
  2. What is the name given to the part marked Q in the musical instrument below?
    G6CAST1SB23Q12
    1. Membrane
    2. Sound box
    3. Sling
    4. Resonator
  3. Which one of the following countries does NOT sing the East African Anthem?
    1. Uganda
    2. Ethiopia
    3. Rwanda
    4. Democratic Republic of Congo
  4. A flute is played by:-
    1. bowing
    2. shaking
    3. blowing
    4. hitting
  5. Which one is NOT a part of a quaver
    1. head
    2. tail
    3. stem
    4. abdomen
  6. Which one of the following is a way appreciating rhythms? By
    1. Crying
    2. Wailing
    3. Walking
    4. Clapping
  7. Which Musical instrument is drawn below?
    G6CAST1SB23Q17
    1.  Nzumari
    2. Bung'o
    3. Chivoti
    4. Biringi
  8. Which sound is represented by the hand sign below?
    G6CAST1SB23Q18
    1. d
    2. m
    3. f
    4. r
  9. The arrangement of notes of different pitches and directions sung is called:-
    1. Rhythm
    2. Tempo
    3. Melody
    4. mood
  10. Dancers decorate their bodies using paints to make patterns. This is called:-
    1. Body ornaments
    2. Body costumes 
    3. Body colouring 
    4. Body adornment

SOCIAL STUDIES ACTIVITIES

G6CAST1SB23Q21

  1. What is the direction of the sand pit from Tiga Ranch?
    1. South West
    2. North East
    3. South East
    4. North West
  2. Most people in Koga area are mainly:-
    1. Traditionalists
    2. Muslims
    3. Pagans
    4. Christians
  3. Which economic activity is NOT likely to be carried out in Koga Area?
    1. Mining
    2. Lumbering
    3. Cattle keeping
    4. Fishing
  4. Which feature is NOT found along River Keke?
    1. Estuary
    2. Delta
    3. Confluence
    4. Tributaries
  5. What is the climate of South East part of Kega Area?
    1. Hot and dry
    2. Hot and Wet
    3. Cool and Wet
    4. Cool and warm
  6. Which one was the title of the Maasai leader?
    1. Nabongo
    2. Kivoi
    3. Oloibon
    4. Moran
  7. Three of the following communities belong to the Western Bantus except:-
    1. Abaluyia
    2. Abakuria
    3. Abagusii
    4. Abasuba
  8. The mangrove vegetation in Kenya is found:-
    1. in the highlands
    2. along the coastal regions
    3. in swampy areas
    4. along the rivers
  9. What does the road sign below mean?
    G6CAST1SB23Q29
    1. Stop for police check
    2. Pedestrian crossing
    3. Bumps ahead
    4. Road closed
  10. Which country borders Kenya to the North West?
    1. Ethiopia
    2. Uganda
    3. South Sudan
    4. Tanzania
  11. Which one of the following is NOT an element of weather?
    1. Temperature
    2. Wind
    3. Raingauge
    4. Sunshine
  12. The following are characteristics of a certain climatic region in Kenya. 
    1. Has low temperatures
    2. It is cool and wet
    3. It receives rainfall of between 1200mm-2000mm anually.
    4. It covers parts of Rift valley.
      The above climate is likely to be:-
      1. Desert climate
      2. Equitorial climate
      3. Tropical climate
      4. Mountain climate.
  13. Which one is NOT a historic built environment in Kenya?
    1. Museums
    2. Cultural centres
    3. Tall buildings
    4. Monuments
  14. The largest Lake in Kenya is:-
    1. Lake Turkana
    2. Lake Victoria
    3. Lake Elementaita
    4. Lake Naivasha
  15. A family is a group of people related by the following except:-
    1. Fore father
    2. Blood
    3. Adoption
    4. Marriage

Use the map of Kenya to answer questions 36-39.

G6CAST1SB23Q36

  1. Which mineral is mined at H?
    1. Soda ash
    2. Salt
    3. Diatomite
    4. Flourspar
  2. The National Park marked G is likely to be:-
    1. Malka Marri
    2. Tsavo East
    3. Sibiloi
    4. Amboseli
  3. What is the source of River marked K?
    1. Indian Ocean
    2. Ngong Hills
    3. Mt. Kenya
    4. Lorrian swamp
  4. The town marked N is known as:-
    1. Wajir
    2. Moyale
    3. Garissa
    4. Mandera
  5. Which means of transport is suitable for transporting horticultural crops to European market?
    1. Pipeline
    2. Water
    3. Road
    4. Air

CHRISTIAN RELIGIOUS ACTIVITIES

  1. Human beings are different from the rest of God's creation because they:-
    1. Walk like God 
    2. Pray to God
    3. Talk like God
    4. Were created in God's image.
  2. The book of Exodus was written by:-
    1. David
    2. Moses
    3. Paul
    4. Solomon
  3. Who among the following visited Jesus at night?
    1. Lazarus
    2. Thomas
    3. Justus
    4. Nicodemus
  4. Which one is NOT a fruit of the Holy spirit?
    1. Kindness
    2. Self control
    3. Faith
    4. Gentleness
  5. John the Baptist's preaching was about:-
    1. The day of passover
    2. Repentance and forgiveness
    3. Revenge bad for worse
    4. Going to the wilderness
  6. Which book of the Bible tells christians that God has good plans for their future?
    1. Jeremiah
    2. Genesis
    3. Luke
    4. Mathew
  7. King Solomon used ____________________________  to solve difficult cases.
    1. talents
    2. abilities
    3. knowledge
    4. wisdom
  8. Why is it important to show respect to the elderly?
    1. grow in adulthood
    2. get money
    3. be cursed
    4. be rewarded by God.
  9. All our prayers are answered by __________________________________
    1. Our teachers
    2. Our parents
    3. Our elders
    4. God
  10. How did Adam and Eve disobey God? By:-
    1. Selling the fruit of knowledge.
    2. Cultivating the land.
    3. Eating the fruit in the middle tree,
    4. Running away form the garden of Eden.

ISLAMIC RELIGIOUS ACTIVITIES   

  1. The following are Surahs in the Holy Quran. Which one is NOT?
    1. Inshirrah
    2. Dhuha
    3. Qadar
    4. Malik
  2. Al-Malik is an attribute of Allah (SU) which means
    1. King of kings
    2. The forgiver
    3. The protector
    4. All powerful
  3. During the madrassa session, Abdi was asked by the teacher to identify the mother of all chapters in the Holy Quran. What was his correct answer?
    1. Fiyl
    2. Maun
    3. Firaun
    4. Fatiha
  4. Which one of the following is the last step in swalah?
    1. Maintaining a bowing posture.
    2. Turning the head to the left. 
    3. Standing straight upright.
    4. Turning the head to the right.
  5. When you recite the dua for leaving and entering the house
    1. Your faith in religion becomes stronger.
    2. You become lucky.
    3. Angels sorround you.
    4. Allah protects you.
  6. Physical fitness cannot help us to
    1. avoid some diseases 
    2. be together
    3. respect each other
    4. pass school test
  7. All the following are examples of akhlaq except:-
    1. feeding the fish
    2. protecting the plants
    3. grazing animals
    4. spending our money
  8. Which one of the following is an example of Najasemi Mughaladha?
    1. Blood 
    2. Urine
    3. Vomit 
    4. Pig
  9. Which Swalah falls between Fajr and Asr? 
    1. Dhuhr
    2. Isha
    3. Magharib
    4. Taraweh
  10. Which of the following is a negative use of media?
    1. Listening to Qasida from a mobile phone.
    2. Creating dawah groups on whatsapp.
    3. Sending abusive messages to those who wrong us.
    4. Printing our homework on our computers.

MARKING SCHEME

CRTART

  1. D
  2. C
  3. C
  4. D
  5. B
  6. C
  7. A
  8. A
  9. C
  10. D

MUSIC

  1. B
  2. A
  3. B
  4. C
  5. D
  6. D
  7. A
  8. D
  9. C
  10. D

SOCIAL STUDIES

  1. B
  2. A
  3. D
  4. A
  5. C
  6. C
  7. D
  8. B
  9. C
  10. C
  11. C
  12. D
  13. C
  14. A
  15. A
  16. A
  17. C
  18. B
  19. D
  20. D

C.R.E

  1. D
  2. B
  3. D
  4. C
  5. B
  6. A
  7. D
  8. D
  9. D
  10. C

I.R.E

  1. D
  2. A
  3. D
  4. B
  5. D
  6. D
  7. D
  8. D
  9. A
  10. C

Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali 1 hadi 5.     

G6SwaT1SB23P1
Rozina:   Shikamoo Lawi?
Lawi:       Marahaba Rozina. U hali gani?
Rozina:    Njema. Nashuru "Mola" kwa kila hali ya leo. Habari za utokako?
Lawi:        Nzuri. Lakini nimechoka sana. Nimekuwa shambani kutwa nzima niking'oa magugu.
Rozina:    Pole sana kwa uchovu. Mwakani utalia kivulini.
Lawi:       Umegonga ndipo. Uzohali ni nyumba ya njaa. Bidii zangu zitanifaidi sana.
Rozina:    Hakika mimi nilimaliza kazi zote za shambani jana. Leo nikaamua kumtembelea bibi. Si unajua amekula chumvinyingi.
Lawi:        Naam, pia kazi hiyo ni nzuri.
Rozina:    Nimemsaidia kupiga deki na kuosha nguo zake. Amefurahi sana.
Lawi:        Umefanya vyema. Heko!
Rozina:    Tutaonana kesho kikaoni.
Lawi:        Inshallah! Asante Rozina.

  1. Kati ya Rozina na Lawi nani ako na umri nyingi?
    1. Rozina
    2. Lawi
    3. Hakuna
    4. Wote
  2. Nani alisaidiwa kulingana na mazungumzo haya?
    1. Ajuja
    2. Mke
    3. Nyanya
    4. Shaibo
  3. Kulingana na mazungumzo haya ni kweli kusema kuwa:--
    1. Lawi alimsaidia bibi
    2. Rozina alipenda kazi tofauti.
    3. Lawi na Rozina ni wakulima
    4. Lawi aling'oa kwekwe shambani
  4. Ni neno gani la adabu alitumia Rozina kwa Lawi?
    1. pole
    2. samahani
    3. karibu
    4. asante
  5. Neno "Mola" imetumika kwa mazungumzo. Maana yake ni:-
    1. Mazao
    2. Bidii
    3. Mungu
    4. Shamba

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 6 hadi 15.        

G6SwaT1SB23P2

Hapo jadi na jadudi paliishi mhunzi alikuwa na taaluma ya ufinyazi. Aliitwa Zuma. Alitegeneza sime, visu na hamadi kwa mhanga mwarara. Zilikuwa zana za hali ya juu. Aidha, vilimezewa mate na wengi. Kutokana na kipaji chake alizidi kutokuwa na jasho jekejeke kutokana na zaburi alizopokea kutoka kwa wateja wake. Kwa udi na uvumba alijifunga kibwekibwe kutimiza ahadi zake. Mchanga aliotumia Zuma ulikuwa wa kipekee. Ulipatikana tu katika nchi ya mbali.

Siku moja aliumaliza mchanga wake. Alimuaga mkewe aliyekuwa na jukumu la kumtunza mwana mtarajiwa. Nyathira hakutaka kuachwa peke yake. Zuma alimuuliza ninaye kumtunza akiondoka.

Ingawa mamaye Zuma alikuwa ajuza alikuwa mhariri na mwenye nguvu. Alimsaidia mkazamwana wake kwa kazi za nyumba kisha akawapeleka kondoo malishoni. Nyathira alipika na kuosha vyombo pasi kufanya kazi ngumu. Aliacha kuchota maji, kutafuta kuni na kupalilia mimea.

Jioni moja Bi. kizee yule hakurudi kutoka malishoni. Mwangaza ulipoondoka, Nyathira hakujua la kufanya kwani hakuwa na kurunzi nao mwangaza ulikuwa adimu. Alishikwa ma woga na akakata tamaa. Alijiloza katika kitanda kungoja kuche
akamtafute.

  1. Zuma alifanya kazi gani? Kazi ya:-
    1. kufinyanga
    2. uashi
    3. kuwinda
    4. usonaha
  2. Vifaa alivyotengeneza ni:-
    1. Ala za vita
    2. Vifaa vya upishi
    3. Vifaa vya usafiri
    4. Vifaa vya muziki
  3. Kutokana na habari hii ni kweli kusema:-
    1. Zuma alikuwa na wateja wengi.
    2. Zuma alikuwa kapera
    3. Zuma alikuwa na watoto wawili
    4. Zuma alikuwa mzembe.
  4. Si kweli kusema kwamba:-
    1. Zuma alitengeneza vitu vizuri.
    2. Mamake Zuma alimsaidia mkazamwanawe.
    3. Zuma alitumia mchanga wowote kufinyanga.
    4. Mamake Zuma alikuwa na nguvu.
  5. Kifungu "vilimezewa mate na wengi" ni kumaanisha kwamba:-
    1. watu walivitemea mate.
    2.  watu walitokwa na mate.
    3. walividharau
    4. watu walivitamani
  6. Mama Zuma alifanya kazi gani?
    1. Kuchunga kondoo
    2. Kuteka maji
    3. Kuvunja kuni
    4. Kufanya biashara
  7. Mkewe Zuma aliitwa nani?
    1. Mumbi
    2. Mfinyazi
    3. Nyathira
    4. Ajuza
  8. Nyathira angeenda kumtafuta mama yake lini?
    1. jioni
    2. usiku
    3. asubuhi
    4. hatujui
  9. Neno "taaluma" linamaanisha nini?
    1. ujuzi
    2. kutojua
    3. daktari
    4. kasoro
  10. Mke wa Zuma aliachiwa kazi zifuatazo isipokuwa:-
    1. kupalilia
    2. kuchota maji
    3. kutafuta kuni
    4. kufua nguo

Kutoka swali 16 hadi 20, jaza pengo na maneno chini.

Karai___16___hununuliwa dukakuu na dobi. Huwekwa maji___17___ ya___18___ nguo chafu. Dobi hutumia sabuni ___19___ katika duka la reja reja. Baada ya nguo kuwa safi, huanikwa na baadaye kupigwa ___20___.

   A   B   C   D  
 16.   ile   lile   yale   kile 
 17.  mingi   chache   mengi   ndogo 
 18.  kuvulia   kuvua   kufua   kufulia 
 19.  kinachonunuliwa   inunuliwayo   yanayonunuliwa   inayonunua 
 20.  bao  jeki    kitutu  pasi 


Kutoka nambari 21 hadi 30, jibu kulingana na maagizo.

  1. Tulienda kanisani kuimba kwaya. Neno kanisani ni:-
    1. Nomino
    2. Kivumishi
    3. Kiwakilishi
    4. Kielezi
  2. Gari ___________________________________liliharibika njiani.
    1. nzuri
    2. langu
    3. moja
    4. lile
  3. Wingi wa sentensi hii ni:-
    Msichana yule ni mgonjwa.
    1. Wasichana wale ni wagonjwa.
    2. Wasichana yule ni mgonjwa.
    3. Wasichana hao ni wagonjwa.
    4. Wasichana hawa ni wagonjwa.
  4. Umbo hili huitwa?
    G6SwaT1SB23P3
    1. Duara
    2. Mraba
    3. Mche
    4. Duara dufu
  5. Neno "ufahamu" lina irabu ngapi?
    1. mbili
    2. tatu
    3. nne
    4. saba
  6. Neno "ua" liko katika ngeli gani?
    1. I-ZI
    2. I-I
    3. LI-YA
    4. A-WA
  7. Jibu wa waambaje ni nini?
    1. vizuri
    2. vyema
    3. vibaya
    4. sina la kuamba
  8. Mtoto wa mjomba au shangazi ni:-
    1. kuzo
    2. mkoi
    3. shemeji
    4. wifi
  9. Tumia -enyewe kwa ufasaha.
    Shati __________________________ ni safi.
    1. lenyewe
    2. yenyewe
    3. enyewe
    4. mwenyewe
  10. Wageni walikula wali ______________________________________ nyama
    1. na
    2. pia
    3. kwa
    4. tena

INSHA  

Andika insha ya kusisimua kuhusu:

UMUHIMU WA MITI

MARKING SCHEME

  1. B
  2. C
  3. C
  4. A
  5. C
  6. A
  7. A
  8. A
  9. C
  10. D
  11. A
  12. C
  13. C
  14. A
  15. A
  16. B
  17. C
  18. D
  19. D
  20. D
  21. A
  22. B
  23. A
  24. D
  25. C
  26. C
  27. D
  28. B
  29. A
  30. C

 

Page 6 of 8