Displaying items by tag: set 1

Swali la 1 hadi la 5

Soma mazungumzo haya kisha ujibu maswali:

GRADE6KISWAHILISET1ET22023Q1

Kaka Mbweha: (Akicheka kwa kejeli) Bi. Ngiri, mkulima hodari wa mihogo anayeheshimika katika kanda ki, hujambo?

Bi. Ngiri: (Akihema kwa uchovu, mzigo alio nao kichwani unaonekana kumlemea) Sijambo, lakini nina swali. Unacheka nini? Ama ndio njia yako ya kumfariji anayetaka kuchanika kwenye mpini siku nzima?

Kaka Mbweha: (Anacheka zaidi) Ati kuchanika kwenye mpini? Wachapa kazi kama mimi hawana haja ya kujichosha. Wanafanya kazi kwa kutumia akili.

Bi. Ngiri: (Kwa dharau) Mhhh! Heri nyinyi mabingwa wa kutumia akili. Sisi wengine inabidi tujikaze kisabuni ili tupate riziki.

Kaka Mbweha: (Akionyesha kushangaa) Nyinyi wengine! Wewe na kina nani? Je, huna habari kwamba rafikiyo Sungura hapandi wala kuvuna lakini daima ana shibe?

Bi. Ngiri: (Kwa sauti ya chini) Hayo ya Sungura hayanihusu ndewe wala sikio. Isitoshe, unavyoona nimechoka. Shamba langu la mihogo liko umbali wa kilomita kumi na tano kutoka kwangu. Bado nina mlima mmoja wa kukwea ndipo nifike. Kaka Mbweha: Haya basi niazime vipande viwili vya mihogo. Nitarejesha nitakapovuna.

Bi. Ngiri: Kaka Mbweha, umesahau kuwa tayari una deni langu la mihogo? Lipa hilo kwanza.

Kaka Mbweha: (Kwa unyenyekevu) Nitalipa tu.

Bi. Ngiri: Utanilipa mihogo ilhali hukuvuna? Unastahili kufanya kazi kwa bidii. Kumbuka ajizi ni nyumba ya njaa.

  1. Bi. Ngiri anasifika kwa sababu gani?
    A. Bidii
    B. Ukulima
    D. Urafiki
  2. Wachapa kazi kama mimi hawana haja ya kujichosha.' Kauli hii inaonyesha tabia gani ya Kaka Mbweha?
    1. Yeye ni mvivu
    2. Ana jitihada kazini
    3. Ana akili
    4. Ana ukarimu
  3. Maneno, 'Tujikaze kisabuni yametumika katika mazungumzo. Ni tamathali gani ya lugha?
    1. Kitendawili
    2. Methali
    3. Nahu
    4. Tashbihi
  4. Wahusika katika mazungumzo haya ni _____
    1. watu
    2. Mifugo
    3. wanyamapori
    4. ndege
  5. Kisawe cha neno kukwea kwa mujibu wa kifungu hiki ni nini?
    1. Kupanda
    2. Kushuka
    3. Kuteremka
    4. Kupumzika

Swali la 6 hadi la 9

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.
                                                                   GRADE6KISWAHILISET1ET22023Q6

Siku moja mimi na sahibu yangu Dan tulikuwa tukipalilia mimea kwenye mradi wetu shuleni, Tulipiga gumzo huku tukiipinda migongo yetu. Ghafla bin vuu, sahibu yangu Dan alipasua ukemi. Alikuwa amejidunga kwenye mguu wake wa kulia! Bila kupoteza muda, nilikimbia hadi kwenye ofisi ya mwalimu wa zamu na kumuarifu kilichokuwa kimetokea. Bi Okero, aliyekuwa mwalimu wa zamu alichukua hatua mara moja. Aliwaita maskauti wapatao watatu tukaandamana nao.

Tulipofika alipokuwa ameketi Dan, Bi Okero aliwaelekeza maskauti jinsi ya kumpatia majeruhi huduma ya kwanza. Walichukua kitambaa safi na kufunga jeraha. Damu ilipokoma kutoka waliosha lile eneo kwa maji safi yaliyotiwa chumvi. Kisha walifunga kidonda bandeji na kumpeleka Dan kwenye zahanati iliyokuwa karibu. Tangu siku hiyo niliamua kujiunga na chama cha maskauti.

  1. Dan alikuwa akifanya nini alipoumia?
    1. Akifyeka
    2. Akinyunyizia mimea maji
    3. Akiondoa magugu shambani kwa jembe
    4. Akikata matawi ya mimea
  2. Je, ni nini kisichoonyesha kwamba Bi Okero anawajibika?
    1. Alikuwa katika zamu.
    2. Alichukua hatua mara moja.
    3. Aliwaelekeza maskauti kumpa majeruhi huduma ya kwanza.
    4. Alijiunga na chama cha maskauti.
  3. Kisawe cha zahanati ni nini?
    1. Hospitali
    2. Kliniki
    3. Dispensari
    4. Wadi
  4. Bi Okero aliwaelekeza maskauti jinsi ya kumpatia majeruhi huduma ya kwanza.' Je, majeruhi ni nani?
    1. Mgonjwa mahututi
    2. Mtu aliyejeruhiwa
    3. Mtu aliyepata nafuu
    4. Kiongozi wa maskauti

Swali la 10 hadi la 12

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.
                                           GRADE6KISWAHILISET1ET22023Q10

Baraka alikuwa kiongozi wa kijiji cha Mwanga. Kiongozi huyu alijulikana kwa ushauri wake kwa wanakijiji. Ushauri huu ulilenga zaidi njia bora za kuwekeza. Aliwapenda wanakijiji wake nao wakampenda kwa sababu ya uongozi wake mzuri.

Baraka na wanakijiji walifanya mikutano mara kwa mara. Katika mikutano hii walijadili njia mbalimbali za kuendeleza miradi katika kijiji chao.Umuhimu wa elimu ulisisitizwa. Kwa hivyo, wazazi na walezi waliwapeleka watoto wao shuleni bila kulazimishwa. Walitambua kuwa elimu inaleta heri maishani.

Wakulima walipewa mafunzo kuhusu kilimo bora. Walifundishwa kuhusu kilimo biashara. Walifundishwa kuhusu umuhimu wa kupanda mbegu zinazofaa kwa kila msimu. Waliwekeza katika kilimo wakapata mavuno tele. Wanakijiji walipata chakula cha kutosha. Mavuno ya ziada yaliuzwa. Wanakijiji hawa walipata faida kubwa. Kutokana na pesa walizopata waliendeleza kilimo. Isitoshe, walianzisha miradi ya ufugaji kuku, nyuki na
sungura.

Wafanyabiashara nao walipata maarifa ya kuboresha biashara zao. Walianzisha vikundi vya kuweka akiba na kukopeshana pesa. Biashara zao zikaimarika.

Sifa za kijiji cha Mwanga zilienea kote. Wageni kutoka vijiji jirani walikuja kujifunza jinsi ya kujiendeleza. Baraka na wanakijiji waliwapokea na kuwapa maarifa ya kuwekeza.

  1. Baraka alijulikana sana kwa sababu gani?
    1. Uwekezaji
    2. Upendo
    3. Mawaidha
    4. Uongozi
  2. Kwa nini wazazi waliwapeleka watoto wao shuleni?
    1. Umuhimu wa elimu ulisisitizwa katika mikutano
    2. Walilazimishwa na Baraka
    3. Walianzisha miradi
    4. Watoto walijipeleka
  3. Wafanyabiashara walianzisha vikundi vya kuweka akiba na kukopeshana pesa.' Neno akiba lina maana gani?
    1. Pesa za ziada anazopata mtu baada ya kuuza kitu.
    2. Pesa anazochukua mtu kutoka kwa mwingine ili alipe baadaye.
    3. Pesa anazopata mtu baada ya kufanya biashara.
    4. Pesa zinazowekwa kwa sababu ya matumizi ya baadaye.

Swali la 13 hadi la 15

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.

                                                  GRADE6KISWAHILISET1ET22023Q13

Ng'ombe ni mnyama ambaye anafugwa na binadamu. Mnyama huyu ana manufaa tele kwetu. Kwanza kabisa, huchinjwa ili tupate nyama. Ngozi yake hutumiwa kutengeneza bidhaa kama vile viatu na kanda zinazofungwa viunoni.

Ng'ombe jike hutupatia maziwa. Tunayatumia maziwa kupikia chai na pia kuyanywa. Jibini, ambacho ni chakula kitamu kwetu, hutengenezwa kutokana na maziwa yayo hayo. Mbali na nyama, ngozi na maziwa, Ng'ombe pia huuzwa. Fedha zinazotokana na mauzo hayo huweza kutumika kutimiza mahitaji mbalimbali. Fahali nao huenda wakatumika kulima mashambani. Isitoshe, tunaipata samadi kutoka kwa Ng'ombe. Samadi huweza kutumiwa kama mbolea.

  1. Ni manufaa mangapi ya ng'ombe yaliyotajwa katika kifungu hiki?
    1. Saba
    2. Sita
    3. Kumi
    4. Matano
  2. Kulingana na kifungu hiki ni ng'ombe yupi hutumiwa kulima?
    1. Wa kike
    2. Wa kiume
    3. Ndama
    4. Wa kike na wa kiume
  3. Kati ya vitu hivi ni gani hatupati kutoka kwa ng'ombe wa kiume?
    1. Samadi
    2. Nyama
    3. Ngozi
    4. Maziwa

Swali la 16 hadi la 20

Soma kifungu kifuatacho. Kina nafasi 16 mpaka 20. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Timu ya Bingwa ilishinda mechi ya fainali. Ushindi ___16__ ulitokana na ushirikiano au __17___  waokatika mazoezi. Wachezaji wote walikuwa wenye bidii ___18__ mchwa. Baada ya mechi, wachezaji waliondoka uwanjani wakishangiliwa  na ___19___ Timu pinzani ___20__ wao katika kwamba imepoteza mechi hiyo.

   A
 16  yao  wao   kwao  mwao 
 17  utaratibu  utengano  umoja   uzalendo 
 18  kama kama vile   kwa sababu   kuliko
 19  refa  golikipa   walinzi   mashabiki 
 20  haijaamini haitaamini   haiamini   haikuamini 

 

Swali la 21 hadi la 30

Chagua jibu sahihi.

  1. Chagua sentensi ambayo ina maneno yenye silabi tatanishi.
    1. Uga ule umenyunyiziwa unga wa chokaa.
    2. Sisi tunapenda kwenda pwani likizoni.
    3. Jungu alilopikia nyama juzi limesafishwa.
    4. Wale wamechuma maua na kuyauza mbali.
  2. Zifuatazo ni jozi za maneno. Ni jozi gani iliyo na vimilikishi?
    1. Huyu, yule
    2. Changu, lake
    3. Tatu, tele
    4. Bora, hodari.
  3. Chagua neno ambalo linapatikana katika ngeli ya U - I:
    1. Mkebe
    2. Mtoto
    3. Unywele
    4. Meza
  4. Katika kamusi, maneno hupangwa kulingana na herufi za alfabeti. Kati ya Maneno haya ni gani litakuja mwanzo?
    1. Gonga
    2. Ganda
    3. Gamba
    4.  Godoro
  5. Kati ya sentensi hizi, ni gani haina kiwakilishi?
    1. Mimi huenda shuleni kila siku.
    2. Huyu anasoma kwa bidi.
    3. Watano watapewa zawadi.
    4. Viatu vitatu vimeoshwa.
  6. Andika sentensi ifuatayo katika wingi. Wavu wa mvuvi unastahili kuwa na shimo kubwa.
    1. Nyavu za mvuvi zinastahili kuwa na shimo kubwa.
    2. Wavu wa wavuvi unastahili kuwa na mashimo makubwa.
    3. Nyavu za wavuvi zinastahili kuwa na shimo kubwa.
    4. Nyavu za wavuvi zinastahili kuwa na mashimo makubwa.
  7. Kanusha sentensi ifuatayo: Maseremala watatutengenezea madawati.
    1. Maseremala hawatatutengenezea madawati.
    2. Maseremala hawajatutengenezea madawati.
    3. Maseremala hawakututengenezea madawati.
    4. Maseremala hawatutengenezei madawati.
  8. Andika sentensi ifuatayo katika hali ya ukubwa. Mlango ulipakwa rangi ukapendeza.
    1. Malango yalipakwa rangi yakapendeza.
    2. Kilango kilipakwa rangi kikapendeza.
    3. Lango lilipakwa rangi likapendeza.
    4. Milango ilipakwa rangi ikapendeza.
  9. Umesimuliwa hadithi na mlezi wako. Sasa ni wakati wa kulala. Chagua maagano utakayotumia kumuaga mlezi wako.
    1. Kwaheri
    2. Alamsiki
    3. Buriani
    4. Safiri salama
  10. Chagua methali isiyohusu malezi.
    1. Mtaka cha mvunguni sharti ainame
    2. Mtoto akibebwa hutazama kisogo cha nina.
    3. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
    4. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu

INSHA

Andika insha kuhusu:

Barua rasmi kwa mwalimu anayesimamia chama cha mazingira ukimwomba nafasi ya kujiunga na chama hicho.

MARKING SCHEME

  1. B
  2. A
  3. C
  4. C
  5. A
  6. C
  7. D
  8. C
  9. B
  10. C
  11. A
  12. D
  13. B
  14. B
  15. D
  16. B
  17. C
  18. A
  19. D
  20. A
  21. A
  22. B
  23. A
  24. C
  25. D
  26. D
  27. A
  28. C
  29. B
  30. A

 

 

 

Read the following dialogue and answer questions 1 - 5.

Norah            : Good evening, mother. How was your day?

Mother           : Good evening my daughter. You sound overjoyed.

Noran            : Where are you?

Mother           : I am in the kitchen preparing dinner.

Norah            : I have good news for you. Today my painting won a prize. In fact I got the first prize.

Mother           : That's great. I am glad to hear that. You have been practising your skill everyday. Your hard work has paid.

Norah            : Thank you mother. But I would not have made it without your support. 

Mother           : You are welcome dear. I will bake a cake so that we can celebrate.

Norah            : Oh, thank you mum. You are the best.

  1. How did Norah's mother notice her daughter was different that day?
    1. She was home earlier than usual.
    2. She sounded delighted.
    3. She was talking too much.
    4. She greeted her mother loudly.
  2. The good news was
    1. Norah was overjoyed that evening.
    2. Norah's performance had improved.
    3. Norah's piece of work had won a prize. 
    4. Norah had been paid for hard work.
  3. Which one of the following did not contribute to Norah's success?
    1. Her Creative Arts teacher.
    2. Her supportive mother.
    3. Her hard work
    4. Her determination
  4. The English saying that describes Norah best is _____
    1. a bad work man blames his tools
    2. the early bird catches the worm
    3. all's well that ends well
    4. practice makes perfect
  5. To appreciate her daughter's achievement, Norah's mother
    1. prepared a special dinner
    2. praised her hard work
    3. promised to bake her a cake
    4. promised to support her talent

Read the following passage and answer questions 6-10.

                                             GRADE6ENGLISHSET1ET22023Q6

It was a few minutes past noon. The two herds- boys met at the watering point. Ebul and Otul were long time enemies. They always argued who was to water first his animals. I stood aside and watched the two burn with anger. Ebul clenched his fists as Otul walked angrily towards him.

Ebul, the stronger of the two, wrestled Otul while landing painful slaps across his face. He fell to the ground and was struggling in vain to gain his balance. Otul was overpowered but did not give up. He was throwing his legs aimlessly. By mere luck, he landed a huge kick in Ebul's stomach. The two boys now lay on the ground and none of them made any attempt to attack the other. All their energy was drained.

The fight was finally over but the enmity still continued. Otul sustained a swollen nose while Ebul held on his stomach.

  1. From the story, we can say the enmity between Ebul and Otul was because of
    1. stupidity
    2. satisfaction
    3. ignorance
    4. selfishness
  2. When Ebul clenched his fists, he wanted to throw
    1. an insult
    2. a kick
    3. a punch
    4. a slap
  3. Which one of the following is not true according to the passage?
    1. Otul was not as strong as Ebul.
    2. Otul gave up when he was overpowered.
    3. Throwing of legs carelessly saved Otul.
    4. The fight between the two did not have a winner.
  4. Choose the best title for the story you have read.
    1. Ebul and Otul settle their differences.
    2. Ebul and Otul fight over resources.
    3. Ebul and Otul compete in wrestling.
    4. Ebul and Otul stop being enemies.

Read the following passage and answer questions 10 - 12.

                                             GRADE6ENGLISHSET1ET22023Q10

Road accidents have become common and frequent on our roads. They have caused injuries as well as deaths. Failure to observe and follow road traffic rules is the main cause of some of these tragic accidents.

Speeding, drunk driving and ignorance from motorists are problems that need to be solved. To reduce the number of accidents, we should follow all the traffic rules and regulations.

Another habit that has worsened the situation is the use of mobile phones while driving. This distracts the driver and it is quite risky. On the other hand, pedestrians should be well informed. They should make proper use of side walks, footbridges and zebra crossings.

  1. Why are road accidents common on our roads?
    1. Motorists do not follow traffic rules.
    2. Most vehicles are in poor conditions.
    3. Our roads are narrow and vehicles are too many.
    4. Many drivers drive while drunk.
  2. How has modern technology contributed to frequent road accidents?
    1. Drivers do not read the road signs.
    2. Drivers use mobile phones while driving.
    3. Drivers take alcohol while driving.
    4. Drivers exceed the speed limit.
  3. It is not safe, according to the passage, for a pedestrian to use
    1. a zebra crossing
    2. a side walk
    3. a footbridge
    4.  a round about

Read the following passage and answer questions 13 - 15.

                                                                       GRADE6ENGLISHSET1ET22023Q13

There was a man who owned a donkey and a goat. He used the donkey to carry loads of items from the village to the city where he would hawk around selling. Sometimes, he would lend the donkey to others on hire when he was not using it. The donkey worked tirelessly every day, so the man used to feed it more food than the goat.

Full of jealousy, goat advised the donkey one day, "You work every day, seven days a week without any rest. You need to pretend
you are sick. By doing so, you will be allowed to rest for a few days."

The donkey agreed and the plan worked. However, the man went to consult a doctor about the donkey's strange illness. The doctor gave a solution. To cure the donkey, the man needed to feed it with the goat's liver. The man killed the goat and fed its liver to the donkey. The goat lost its life by planning evil against the donkey.

                                                                       GRADE6ENGLISHSET1ET22023Q14

  1. Why did the man treat the donkey better than the goat?
    1. The goat would be killed for meat.
    2. The donkey did most of the man's work.
    3. The goat was cheaper than the donkey.
    4. The donkey was borrowed daily by the villagers.
  2. From the passage, the words "the plan worked" have been used to mean
    1. the donkey became sick.
    2. the donkey pretended to be sick.
    3. the donkey was allowed to rest.
    4. the donkey was taken to a doctor.
  3. What important lesson can be learnt from the story?
    1. Jealousy can turn against you.
    2. A friend's advice is always right.
    3. Pretending to be sick is dangerous.
    4. A friend's liver can cure a strange illness.

Fill in the blank spaces 16 - 20 using the most appropriate word from the choices given.

Mountain __16___ has been done by many people from ancient times. This activity helps one to __17__ fear. It also makes one mentally and physically ___18___ However, you need a lot of _19___ because there is always the risk of slipping and ___20__ off.

   A
 16  walking  climbing  sailing   sliding
 17  overcome  increase  produce  understand
 18  awake  big  healed  fit
 19  strength  courage  energy  advice
 20  fall  fell   falling   failing 

 

For questions 21 to 25, fill in the blank spaces with the most suitable alternative from the choices given.

  1. All the table clothes were neatly by the house girl.
    1. lain
    2. lied
    3. lay
    4. laid
  2. ______ Mulei is very tall, he cannot play basketball.
    1. Because
    2. Incase
    3. Although
    4. Unless
  3. The route we used was than the other one.
    1. short
    2. shorter
    3. shortest
    4. shortly
  4. Not everyone understood all the speaker said.
    1. That
    2. which
    3. when
    4. what
  5. With a bow and an arrow the hunter aimed the antelope.
    1. to
    2. for
    3. on
    4. at

For questions 26-30, complete each sentence with the least alternative from the choices given.

  1. Bernad bought a new bicycle,
    1.  doesn't he
    2. didn't he
    3. does he
    4. did he
  2. Grandmother us an interesting story about monsters.
    1. told
    2. gave
    3. said
    4. delivered
  3. The thief escaped quietly the open window.
    1. into
    2. inside
    3. through
    4. across
  4. They lived
    1. peaceful
    2. peacefully
    3. harmonious
    4. harmony
  5. The most awaited match ____ off at three forty-five.
    1. put
    2. set
    3. took
    4. kicked

COMPOSITION

Use the correct format to write a seven-day diary touching on personal events about school activities.

 

MARKING SCHEME

  1. B
  2. C
  3. A
  4. D
  5. C
  6. D
  7. C
  8. B
  9. C
  10. A
  11. B
  12. D
  13. B
  14. C
  15. A
  16. B
  17. A
  18. D
  19. B
  20. C
  21. D
  22. C
  23. B
  24. A
  25. D
  26. B
  27. A
  28. C
  29. B
  30. D

 

 

 

 

 

 

 

 

 

PART I: SOCIAL STUDIES

C8SSRT1DC00223q1
Study the map of Kaplet Area above and use it to answer questions 1 to 7.    

  1. The railway in Kaplet area is likely to transport?
    1. Tea to the factory
    2. Passengers to the town
    3. Tourists
    4. Minerals
  2. The area covered by the lake is likely to be __________________________ km2.
    1. 13
    2. 9
    3. 8
    4. 17
  3. The climate in the South Eastern side of Kaplet area is likely to be
    1. cool and dry
    2. hot and dry
    3. hot and wet
    4. cool and wet
  4. The dorminant soils in the North western side of Kaplet area is 
    1. alluvial soils
    2. clay soils
    3. volcanic soils
    4. black cotton soils
  5. Three of the following are sources of livelihood for people in Kaplet area. Which one is not?
    1. Lumbering activities
    2. Mining activities
    3. Farming activities
    4. Trading activities
  6. Which one of the following services are not offered in Kaplet town?
    1. Recreational services
    2. Educational services
    3. Health services
    4. Religious services
  7. Kaplet area rises from
    1. North west
    2. North EastC
    3. South West
    4. South East
  8. Settler farming in the white highlands was mainly done for
    1. commercial purposes
    2. Food production
    3. Subsistence use
    4. Home use
  9. Which one of the following is true about the population structure of India?
    1. Most of the people are old
    2. There is low death rate
    3. The population growth rate is low
    4. The birth rate is high
  10. One of the following is not a problem associated with rapid industrialization. Which one?
    1. Rural - Urban migration
    2. Better economic development in the country
    3. It can lead to depletion of resources
    4. Pollution
  11. Which one of the following is not an effect of the rotation of the earth? It causes
    1. day and night
    2. different seasons.
    3. difference in time
    4. apparent movement of the sun

Use the diagram below to answer  questions 12-13

C8SSRT1DC00223q12

  1. Name the parts marked Q and R respectively
    1. conelet, vent
    2. dyke, magma
    3. conelet, dyke
    4. crater, vent
  2. Which one of the following mountain was not formed in the above way?
    1. Mt. Longonot
    2. Mt. Ruwenzori
    3. Mt. Kenya
    4. Mt. Nyirangongo1
  3. The following are examples of industries. Which one can be classified as a primary industry?
    1. Shoe making at Limuru
    2. Cement making at Athi river
    3. Textile industry at Kisumu
    4. Sugar refining at Awendo
  4. The system of administration used by the British in Northern Nigeria was
    1. direct rule
    2. assimilation
    3. paternalism
    4. indirect rule
  5. Below is a weather instrument. It is used to measure
    C8SSRT1DC00223q16
    1. humidity
    2. temperature
    3. air pressure
    4. rainfall 
  6. Which one of the following boxes consist of communities that belong to the KWA speakers?
    C8SSRT1DC00223q17
  7. The following are characteristics of a type of marriage
    1. it is conducted by a religious leader
    2. A marriage certificate is issued
    3. a man is allowed to marry upto four wives
      The type of marriage described above is likely to be 
      1. Christian marriage
      2. Hindu marriage
      3. Customary marriage
      4. Muslim marriage
  8. Copper is a major mineral in Zambia it has all the following uses except?
    1. Making water pipes
    2. Making sulphuric acid
    3. Making car radiators
    4. Making ornaments
  9. Which one of the following best explains why the government has established game parks and game reserves?
    1. To conserve wildlife
    2. To attract tourists
    3. To create employment
    4. To make good use of land
  10. The following are characteristics of a climatic region in Africa?
    1. it experiences cool wet winters
    2. summers are hot and dry
    3. Annual rainfall is about 500-1000mm
    4. temperatures range from 13°c - 24°c 
      Which one of the following is not likely to experience this type of climate?
      1. Morocco
      2. Algeria
      3. South Africa
      4. Zimbabwe
  11. Who among the following leaders were associated with African socialism? 
    1. Oginga Odinga and Ronald Ngala 
    2. Jomo Kenyatta and Daniel Moi
    3. Tom Mboya and Jomo Kenyatta
    4. James Gichuru and Masinde Muliro
  12. Which one of the following is not a reason why people should vote in the national elections?
    1. To elect a new government
    2. To exercise their democratic right
    3. To elect leaders of their choice 
    4. To obey the laws of Kenya

Study the map of Eastern Africa below and answer the questions that follow.  

C8SSRT1DC00223q24a

  1. The capital city of the country marked W is
    1. Khartoum
    2. Juba
    3. Mogadishu
    4. Addis Ababa
  2. The pre-historic site marked T is likely to be
    1. Olduvai gorge
    2. Hyrax hill
    3. Omo valley
    4. Rusinga island
  3. The lake marked Q was formed through a process called
    1. Faulting
    2. Downwarping
    3. Erosion
    4. Volcanicity
  4. Name the desert marked S
    1. Namib
    2. Ogaden
    3. Chalbi
    4. Nubian
  5. All the following communities followed the route marked R. Which one did not?
    1. Rendille
    2. Somali
    3. Oromo
    4. Maasai
  6. The following describes an early visitor to Eastern Africa
    1. He was a German
    2. He signed treaties with African chiefs 
    3. He was the founder of the German East African Company (GEACE) in 1887.
      The visitor described above is likely to be 
      1. William Mackinnon
      2. Seyyid Said
      3. Carl Peters
      4. John Speke
  7. The feature drawn below is likely to be fund in the
    C8SSRT1DC00223q30
    1. desert
    2. coastal lowlands
    3. highlands
    4. lake basin
  8. The main reason why the government is encouraging the conservation of natural forests in Kenya is because
    1. they control desertification
    2. they contain rare species of trees
    3. they control soil erosion
    4. they are habitats for wildlife
  9. Below are descriptions of a certain hominid
    1. made tools from stones
    2. communicated through speech
    3. ate cooked food
      The hominid described above is likely to be
      1. Homo Erectus
      2. Homo habilis
      3. Ramapithecus
      4. Australopithecus
  10. The following are problems experienced by IGAD except
    1. lack of peace
    2. mistrust among members
    3. prolonged drought
    4. lack of common currency
  11. In a democratic society
    1. people join the ruling party
    2. only one political party is allowed
    3. elections are held regularly
    4. citizens are forced to pay taxes
  12. Mzee Torotich a maize farmer in Kitale has bought land and settled in Kinangop where he grows potatotes. This type of irrigation is called
    1. urban-rural migration
    2. urban-urban migration
    3. rural-urban migration
    4. rural-rural migration
  13. Which one of the following sets of rivers drain into the Atlantic ocean?
    C8SSRT1DC00223q36
  14. One of the duties of the school board of management is to
    1. employ teachers
    2. plan and develop school projects
    3. punish indisciplined children
    4. sack non performing teachers
  15. Which one of the following skills was not learnt through apprenticeship during the pre-colonial period?
    1. Wood carving
    2. Iron smelting
    3. Herding
    4. Medicine
  16. The following are disadvantages of irrigation schemes. Which one is not?
    1. They contribute to the spread of diseases
    2. They lead to global warming
    3. They lead to reduction of water in the rivers
    4. They support growth of food crops which are cheap
  17. Which one of the following is not a cause of soil erosion?
    1. Heavy rainfall
    2. Monocropping
    3. Overgrazing
    4. Strip cropping
  18. The people who founded the kingdom of old Ghana obtained their wealth mainly from
    1. weaving
    2. hunting
    3. trade
    4. fishing
  19. An elected county representative can lose a seat if
    1. the election is cancelled by a court
    2. the person visits anther country
    3. the person misses 5 consecutive sittings
    4. the person does not contribute to debates in the county assembly
  20. The best action to take if a pupil is sexually abused by a stranger is to
    1. rash the pupil to the pharmacy and buy ARV drugs
    2. arrest the stranger
    3. take the pupil to the hospital
    4. advise the pupil not to use that route again
  21. The following are descriptions about a certain community in Africa
    1. decisions were made through concensus
    2. they were hunters and gatherers
    3. they traded with their neighbours
      The community above is likely to be
      1. The San
      2. The Buganda
      3. The Nyamwezi
      4. The Khoisan
  22. During the pre-colonial period, people associated the croaking of frogs with 
    1. the coming of a dry season
    2. the coming of a good harvest 
    3. the coming of rains
    4. the coming of strong rains

Use the diagram below to answer questions 46-47   

C8SSRT1DC00223q46

  1. The diagram above shows the formation of
    1. land breeze
    2. sea breeze
    3. orographic rainfall
    4. Cyclone
  2. Which one of the following towns is not likely to experience the above phenomenon?
    1. Kisumu
    2. Mombasa
    3. Dar-es-salaam
    4. Arusha
  3. If a person is stopped from joining a legal party of his choice he / she is denied the freedom of
    1. speech
    2. politics
    3. movement
    4. association
  4. One of the following was a function of a clan in the traditional African societies. Which one is not?
    1. Settle disputes
    2. Predict the future
    3. Defend the community
    4. Train warriors
  5. Which one of the following may lead to high population growth rate in a county?
    1. Cases of early marriages
    2. Family planning practices
    3. Change in cultural attitudes
    4. Education and awareness
  6. Minutes of a school management committee meetings are written by   
    1. Deputy headteacher
    2. The chairperson
    3. The headteacher
    4. One of the teachers
  7. Who among the following African leaders resisted the French in his territory?
    1. Chief Mkwawa
    2. Mekatilili wa Menza
    3. Samoure Toure
    4. Kabaka Mwanga
  8. Which one of the following is the reason why Madaraka day is celebrated in Kenya?
    1. To remember the day when Kenya attained self government
    2. To remember freedom fighters
    3. To celebrate independence day
    4. To celebrate the day Kenya became a republic
  9. The road sign below means
    C8SSRT1DC00223q54
    1. bumps ahead
    2. slow down
    3. danger ahead
    4. round about
  10. Gamal Abdel Nassaer promoted agriculture in Egypt when he
    1. set aside land for plantation farming
    2. initiated the building of Aswan High dam
    3. gave land to the peasants
    4. abolished Sharia laws
  11. Which one of the following sets of countries consists only of those colonized by the French?
    1. Libya, Somalia, Egypt
    2. Senegal, Cameroon, Congo
    3. Angola, Nigeria, Mozambique
    4. Algeria, Mali, Senegal
  12. Which tourist attractions below arecorrectly matched with the country where they are located?
    1. Gedi ruins - Uganda
    2. Pyramids - Kenya
    3. Berber villages - Morocco
    4. Slave markets - Zanzibar
  13. Which one of the following is not a horticultural crop?
    1. Cotton
    2. Pawpaws
    3. Avocadoes
    4. Roses
  14. Cabinet meetings in Kenya are chaired by the
    1. Speaker
    2. President
    3. Attorney General
    4. Chief justice
  15. Population census is carried out in Kenya after years.
    1. 10
    2. 5
    3. 20
    4. 7

SECTION I:

CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION

  1. God created the universe in 6 days. On which day did He create the sea, creatures and birds
    1. 2nd
    2. 4th
    3. 5th
    4. 6th
  2. "Never against shall I destroy my people with water" God made a covenant with Noah. The sign of the covenant was
    1. Dove
    2. Rainbow
    3. Raven
    4. Fire
  3. Abraham separated with Lot due to
    1. jealousy
    2. hatred
    3. enemity
    4. quarrels over grazing lands
  4. Which gift of the holy spirit did Joseph have which made him famous in Egypt? 
    1. Interpreting dreams
    2. Working miracles
    3. Artistic talent
    4. Was a good speaker
  5. Why did Moses decide to leave Egypt to go and live in Midian?
    1. To look for the burning bush
    2. To escape from Pharaoh
    3. To look for Jethro's herd
    4. To receive the ten commandments
  6. Which one of the following achievements of David made Jerusalem a centre of worship? He _______________________
    1. built the temple
    2. brought back the ark of the covenant
    3. killed Goliath
    4. fought 5000 men
  7. "My clan is the weakest in the tribe of Manasseh and I am the least important member of my family." Who spoke these words
    1. Gideon
    2. David
    3. Isaiah
    4. Joseph
  8. Which one of the following is the reason why king Solomon is remembered as a great king of Israel. He ____________________
    1. bought the ark of the covenant to Jerusalem
    2. had many wives
    3. had great wisdom
    4. built the lord's temple in Jerusalem
  9. Which one of the following is not a prophecy of prophet Isaiah about the work of the Messiah. He would
    1. preach good and to the poor
    2. give sight to the blind
    3. lead Israelites free from the Roman rule
    4. set the oppressed fire
  10. Why was Mary greatly troubled by the angel's message during the annunciation of the birth of Jesus?
    1. She was engaged to Joseph 
    2. she was a virgin
    3. she feared the angel
    4. she was barren
  11. Who ordered for a census to be done when Jesus was born?
    1. Pontius Pilate
    2. King Herod
    3. Augustus Caesar
    4. Governor Quirintius
  12. Complete the following beatitude: Happy are these who are humble
    1. for they will see God
    2. God will be merciful to them
    3. the kingdom of heaven
    4. they will receive what God has promised
  13. Which of the following parables of Jesus teaches about forgiveness
    1. the good Samaritan
    2. the prodigal son 
    3. the mustard sad 
    4. the net
  14. Which of the following teachings of Jesus about prayer is true?
    1. God answers prayers immediately 
    2. It should be said in humility
    3. Prayer should be long
    4. It should be said in groups
  15. Cleophas and his friend were talking to Jesus without realising till he
    1. prayed with them
    2. broke the bread
    3. explained the scriptures
    4. drank the wine
  16. Jesus asked His disciples to pray on Mount Olive inorder to
    1. stay awake
    2. defend themselves
    3. avoid falling into temptations 
    4. fight Judas and the soldier
  17. Which one of the following activities shows a fruit of the holy spirit?
    1. Telling about the future 
    2. Speaking in tongues
    3. Caring for the sick 
    4. Conducting bible study
  18. Before the disciples received the Holy spirit they were in a room in Jerusalem
    1. sleeping
    2. praying
    3. hiding
    4. eating
  19. The story of Saul on his way to Damascus teaches Christians to
    1. support the spread of the gospel
    2. help there in need
    3. be kind to the poor
    4. read the scriptures
  20. When there was a famine the believers sent Paul and Barnabbas to Judea to
    1. preach to non jews
    2. heal the sick
    3. take money to fellow believers
    4. place hands on the non converts
  21. Which one of the following is a role of ancestors in the traditional African society?
    1. Ancestors act as intermediaries between the living and God.
    2. Ancestors show the living how to use their talents wisely
    3. Ancestors remind the living to love their enemies
    4. Ancestors teach the living on how to pray
  22. Three of the following are reasons why circumcision is practised in traditional African societies, which one is not?
    1. The initiates become full members of their community
    2. The initiates pass from childhood to adulthood
    3. The initiates are allowed to marry 
    4. The initiates become chiefs
  23. Which one of the following traditional African practice concerning new life is illegal in Kenya?
    1. Naming
    2. Taking
    3. Circumcision
    4. Female genital mutilation
  24. Which of the following statements is true of both christianity and traditional African religion?
    1. They both teach about the second coming of Jesus
    2. They both have holy books
    3. They both have missionaries
    4. They both teach about life after death
  25. Christians best prepare themselves for Easter by
    1. repenting their sins
    2. buying new clothes
    3. visiting their friends
    4. preparing special food
  26. After assisting her mother in kitchen. work, Daisy realizes that she had some extra time. As a christian the best way to spread it is by
    1. reading story books
    2. watching films 
    3. visiting her friend
    4. visiting an orphan
  27. Which one of the following is not a reason why the taking of alcohol as a way of spending leisure is condemned.
    1. It leads to conflicts within the family
    2. It leads to irresponsible sexual behaviours
    3. It promotes mental health
    4. It could lead to a loss of income
  28. Dennis, a standard eight pupil has been receiving gifts from an elderly rich woman who wants to have a relationship with him. As a christian the right action for him to take is to
    1. transfer to another school
    2. inform other pupils about the roman 
    3. report the matter to the headteacher 
    4. accept the gifts
  29. You have discovered that Bosire your best friend is being used by a rich man to sell drugs to other pupils in school. As a christian you should tell him to
    1. Transfer to another school
    2. ask the rich man to pay him well
    3. sell the drugs and not use them 
    4. stop selling the drugs and concentrate in class
  30. Which one of the following is a wrong use of money?
    1. Helping the needy to become rich
    2. Paying school fees for a relative
    3. Paying salaries to workers
    4. Giving gifts to voters

SECTION II:

ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION

  1. Which one of the following Surah teaches about oneness in Allah (SWT)?
    1. Al-Fatiha
    2. An-Nas
    3. Al-Ikhlas
    4. At-Kanthar
  2. The verse 'you do not worship what I worship' is derived from which surah?
    1. Al-miminim
    2. Maun
    3. Al-Kafirun and off
    4. Zilzala
  3. The prayer performed between morning and mid-day is called:-
    1. fajr
    2. dhuhur
    3. dhuha
    4. witri
  4. The sunna prayer performed during the night of Ramadhan is called:-
    1. Ishai
    2. Tarawele
    3. Istiskai 
    4. Sala tul lail
  5. Which of the following surah is recited seventeen times a day by muslims?
    1. Annas
    2. Al-Fatiha
    3. Aya tul kursy 
    4. Tyin
  6. Which of the following can nullify udhu?
    1. Passing wind
    2. Speaking
    3. Applying perfume
    4. Shaking hands
  7. Which is the correct order of prayers performed by muslims?
    1. Fajr, Dhuhr, Asr, Maghrib, Isha
    2. Fajr, Dhuhr, Maghrib, Asr, Isha 
    3. Fajr, Dhuhr, Maghrib, Isha, Asr
    4. Fajr, Maghrib, Dhuhr, Isha, Asr
  8. Which of the following prophet of Allah received Suhuf?
    1. Ibrahim
    2. Issa
    3. David
    4. Mohamed
  9. What is the main teaching from Surah Al Alaq?
    1. All people should be responsible for their deeds
    2. A man was created from a clot of blood
    3. Allah is the only forgiver
    4. Prophet is favoured by God
  10. Who among the following is not a prophet?
    1. Zulekha
    2. Isaak
    3. Yunus
    4. Ishmail
  11. When you visit a sick in the hospital the best gift you can give to him is:-
    1. a flower
    2. get well card
    3. food
    4. a dua
  12. When someone gives you a gift you should say:-
    1. Alhamdulillahi
    2. Jazakallah
    3. lahaula wa lakwata
    4. Audhubillahi
  13. Islam teaches on hardwork since:-
    1. it discourages begging
    2. it discourages laziness
    3. it is a way of creating wealth
    4. it is a way of earning lawfully
  14. Which of the following items is hash for zakat?
    1. Personal clothings 
    2. House furniture
    3. Farm produce
    4. Family house
  15. When muslims are in need they should seek help from:-
    1. Mohamed
    2. Jibril 
    3. Allah
    4. Imam
  16. Which one of the following islamic months is not among the sacred months (ash-hunul-human)?
    1. Rajab
    2. Muharan 
    3. Dulhija
    4. Ramadhan
  17. The lesson derived from the bottle of badr is that prisoners should be:-
    1. treated kindly
    2. be forced to work
    3. be set free
    4. denied food
  18. Which one of the following is a halaal business practice?
    1. Gambling
    2. Selling alcohol 
    3. Hoarding
    4. Lending money
  19. The festival of Idd Id Fitri is celebrated on:-
    1. 1st shawal
    2. 30th Ramadhan 
    3. 1st Ramadhan
    4. 1st Rajab
  20. Hussein found a thousand shilling note on the assembly ground. What would be the best course of action?
    1. Share the money with friends
    2. Take the money to his parents
    3. Take the money to the teacher
    4. Use the money to buy school books
  21. The duty of angel Izrail is to:-
    1. remove people's souls
    2. blowing the trumpet
    3. recording deeds
    4. bringing rain
  22. Which of the following attributes of Allah describes Allah as the king of kings?
    1. Malik
    2. Kahman
    3. Al-gudus
    4. Ar-rahum
  23. Which one of the following can be classified as light najis?
    1. Bacon
    2. Dogs urine
    3. Urine of a baby boy
    4. Vomit
  24. How many rakaas are performed during Fajr prayers?
    1. 4
    2. 10
    3. 8
    4. 2
  25. Which of the following are fadh prayers prayed by muslims?
    1. Dhuha
    2. Dhuhr
    3. Tareweh
    4. Taqwa
  26. Thuluthul Quran is a title given to surah Ikhlas. This is because Sura Ikhlas is the:-
    1. mother of the Quran
    2. a third of Quran
    3. heart of Quran
    4. opening chapter
  27. Muslims lost in the battle of:-
    1. Badr
    2. Hunain
    3. Uhud
    4. Khadaq
  28. The two Muadhatein surah are __________________ and  __________________
    1. Nas and Falaq
    2. Kauthar and Maun
    3. Nasr and Asr
    4. Dhuha and Inshirah
  29. Who is not among the four caliphs of prophet (pbuh)?
    1. Abbakar
    2. Abu-jahal 
    3. Ali
    4. Uthman
  30. Doing right and avoiding evil wherever we are is a sign of having:-
    1. Ihsan
    2. Iman
    3. Taqwa
    4. Tawakkal

MARKING SCHEME

SOCIAL STUDIES

  1. D
  2. A
  3. B
  4. C
  5. A
  6. C
  7. D
  8. A
  9. D
  10. B
  11. B
  12. A
  13. B
  14. D
  15. D
  16. C
  17. D
  18. D
  19. B
  20. A
  21. D
  22. C
  23. D
  24. B
  25. B
  26. D
  27. B
  28. C
  29. A
  30. A
  31. A
  32. D
  33. C
  34. D
  35. D
  36. B
  37. C
  38. D
  39. D
  40. D
  41. C
  42. A
  43. C
  44. A
  45. C
  46. B
  47. D
  48. D
  49. A
  50. A
  51. C
  52. C
  53. A
  54. C
  55. B
  56. D
  57. C
  58. A
  59. B
  60. A

C.R.E

  1. C
  2. B
  3. D
  4. A
  5. B
  6. B
  7. A
  8. D
  9. C
  10. B
  11. C
  12. D
  13. B
  14. B
  15. B
  16. C
  17. C
  18. C
  19. A
  20. C
  21. A
  22. D
  23. D
  24. D
  25. A
  26. D
  27. C
  28. C
  29. D
  30. D
  1. The property of light used in the working of a candle in a dark room is that light
    1. disperses in different directions.
    2. spreads in all directions
    3. bend at a corner
    4. travel in a straight line.
  2. Which of the following is the function of the last teeth to be shed?
    1. Tearing food.
    2. Holding food.
    3. Grinding food.
    4. Cutting food.
  3. Which of the following plants are correctly matched with the type of root system?
       Fibrous root     Tap root 
     A.   Green grams  Onion 
     B.  Wandering jew   Sisal 
     C.  Cocnut  Acacia
     D.  Millet  Sorghum 
  4. In the structure of the mammalian heart, the blood vessel that carries blood to the Left auricle is the
    1. Pulmonary vein
    2. Aorta
    3. Pulmonary artery
    4. Vena cava
  5. Which one of the following statements about reproduction in human beings is correct?
    1. The embryo develops into a zygote.
    2. Amniotic fluid nourishes the foctus.
    3. Ovulation takes place in the oviduct.
    4. Labour pain is caused by contraction of the uterine walls.
  6. Which of the following is the main information usually given when obtaining medicine from a doctor?
    1. Disposal method of the medicine.
    2. The prescribed dose. 
    3. How to store the medicine.
    4. Duration to complete dose.
  7. Which of the following ways do plants depend on animals?
    1. Nutrients and shelter.
    2. Shade and medicine.
    3. Pollination and carbon dioxide. 
    4. Habitat and pollination.
  8. Which one of the following diseases cannot be prevented by maintaining proper hygiene and sanitation?
    1. Cholera
    2. Bilharzia
    3. Typhoid
    4. Malaria.
  9. Which one of the following pairs make up the embryo of a maize seed?
    1. Plumule and endosperm.
    2. Radicle and plumule.
    3. Endosperm and cotyledon.
    4. Cotyledon and radicle.
  10. The diagram below was set up to demonstrate a certain aspect of light.
    C8SciJesS1Pred2023Q10
    The aspect of light that was being demonstrated was
    1. spitting of light.
    2. bending of light.
    3. bouncing of light.
    4. how light travels.
  11. The following are advantages of manure and fertilizers:
    1. improve soil structure.
    2. nutrients are released immediately
    3. bind soil particles together.
    4. have specific amount of nutrients.
    5. have long term effect in the soil.
      Which statements are true about fertilizers?
      1. (i) and (iv)
      2. (iv) and (v)
      3. (ii) and (iv)
      4. (iii) and (v)
  12. Which one of the following is not true about pressure exerted by liquids? Pressure in liquids increases when
    1. depth of liquid is increased.
    2. diameter of container is reduced.
    3. container with liquid is raised.
    4. amount of liquid is increased.
  13. Which one of the following is an effect of IIIV infection to the family?
    1. Increases number of orphans.
    2. Lowering of self-esteem.
    3. Poor performance at work.
    4. Increased number of school drop-outs.
  14. Which one of the following groups consist of non-flowering plants?
    1. Mushroom, grass, toadstool. 
    2. Conifers, cabbage, sisal.
    3. Mould, onions, bracket tree.
    4. Algae, moss, liverworts
  15. Which one of the following is true about solids and liquids? Both have 
    1. indefinite mass
    2. definite volume Bindefinite volume.
    3. definite shape 
    4. indefinite volume.
  16. Which one of the following pairs consist of planets, with the shortest orbits?
    1. Mars and Jupiter.
    2. Earth and Saturn.
    3. Venus and Mercury.
    4. Neptune and Uranus.
  17. Which one of the following is a renewable source of energy?
    1. Natural gas
    2. Kerosene
    3. Diesel
    4. Biogas.
  18. The diagram below shows a method of conserving water.
    C8SciJesS1Pred2023Q18
    The method of water conservation shown above is
    1. recycling water.
    2. using water sparingly.
    3. re-using water.
    4. harvesting water. 
  19. Which one of the following animalslay eggs, has constant body temperature and its body is covered with fur?
    1. Spiny ant cater
    2. Whale
    3. Shark
    4. Flying fox.
  20. Which one of the following is the function of the rectum?
    1. Absorbs water.
    2. Absorbs digested food.
    3. Stores undigested food.
    4. Completes digestion of food.
  21. Which one of the following levers can work with the fulcrum between the load and effort?
    1. Fishing rod.
    2. Wheel barrow
    3. Spade
    4. Crowbar
  22. The diagram below shows a single fixed pulley.
    C8SciJesS1Pred2023Q22
    At what position should a spring balance be fixed in order to measure the force applied?
    1. Q
    2. T
    3. R
    4. S
  23. Among the following, which one does not contain chemical energy?
    1. Food
    2. Dynamo
    3. Car battery
    4. Charcoal
  24. The best way of controlling whooping cough is by
    1. avoiding crowded places. 
    2. drinking boiled milk.
    3. vaccination.
    4. treatment.
  25. Which of the following is not an essential constituent of commercial animal feeds?
    1. Roughage
    2. Proteins
    3. Carbohydrate
    4. Vitamins.
  26. Special sounds can have all the following meanings except
    1. when someone needs help.
    2. when a baby is happy.
    3. change from one activity to another.
    4. give way on the road.
  27. The component of air that makes up 0.97% of the atmosphere is used in
    1. breathing.
    2. making bulbs.
    3. preservation of soft drinks.
    4. making plant proteins 
  28. Which one of the following parasite control measure is capable of controlling lungworms and ticks?
    1. Paddocking
    2. Spraying
    3. Dipping
    4. Deworming
  29. Sound travels poorest in
    1. vacuum
    2. copper
    3. air
    4. water.
  30. The diagram below represents the female reproductive system.
    C8SciJesS1Pred2023Q30
    In the diagram above the part marked W is the place where
    1. implantatin of zygote take place.
    2. development of the embryo take place.
    3. mature ovum is released. D
    4. fusion of sex cell take place.
  31. The following are facts about HIV/AIDS except AIDS
    1. is caused by a virus called HIV.
    2. is transmitted through blood transfusion.
    3. has no cure.
    4. is a curse and not a disease.
  32. A mixture of beans and sorghum can be separated by either
    1. picking or sieving
    2. sieving or winnowing
    3. winnowing or decanting
    4. decanting or sieving
  33. Which of the following is the main reason for food preservation? To A
    1. develop its flavour.
    2. use it later.
    3. retain nutrients.
    4. retain its colour.
  34. Which one of the following plants store food in the stem?
    1. Sweet potatoes
    2. Arrow roots
    3. Cassava
    4. Irish potatoes
  35. A suitable diet for a child with rapid heartbeat and pale fingernails is 
    1. beans and beef.
    2. rice and carrots.
    3. .spinach and kidney.
    4. potatoes and eggs.
  36. Which one of the following would be observed when two similar balloons are rubbed against the same material then brought close together? They
    1. would attract each other.
    2. would burst
    3. will neither attract nor repel
    4. would repel each other.
  37. Class four pupils put a long piece of wire in water and it sank. They cut the same piece of wire into two equal pieces and they still sank. Which factor affecting floating and sinking were they investigating?.
    1. Size
    2. Weight 
    3. Material
    4. Shape.
  38. The following are some effects of drug abuse;
    1. Withdrawal symptoms.
    2. Truancy
    3. Addiction
    4. Drug induced accidents
    5. Lack of concentration
      Which one of the following consists of health effects only?
      1. (i) and (iv)
      2. (ii) and (iii)
      3. (v) and (ii)
      4. (iii) and (v)
  39. Which one of the following statements is true about the second stage of HIV infection? 
    1. This is a dangerous stage of infection.
    2. If HIV test is carried out the result is positive.
    3. The body is weak and cannotfight infection.
    4. There are visible signs.
  40. Class five pupils put wet tea leaves in a transparent glass container filled with water and heated it gently at the bottom. Which one of the following aspects of matter were they investigating?
    1. Convection in air. 
    2. Conduction in solids.
    3. Convection in liquids
    4. Radiation in air.
  41. The main reason why ball bearings are used between parts that are in contact is to
    1. absorb unnecessary sound.
    2. make the machine last longer.
    3. increase the grip between the parts.
    4. reduce opposing force.
  42. The diagram below shows a compost heap.
    C8SciJesS1Pred2023Q42
    From the above diagram, it is true to say that 
    1. layer O feeds the decomposers.
    2. layer N is made of top soil.
    3. the manure is made by animals waste.
    4. the manure contain specific nutrients.
  43. During a science lesson, pupils carried out the following activities:
    1. put a young plant in coloured water for some hours.
    2. cut the stem and leaves after sometime and observed the part cut.
      Which process in plants were they investigating?
      1. Absorption
      2. Transpiration
      3. Transportation
      4. Photosynthesis
  44. Which one of the following is true about the energy saving jiko?
    1. It cooks faster than other jikos
    2. Less fuel is used.
    3. It is made from cheap materials. 
    4. It is portable.
  45. Which of the following is not a major non-living component of environment?
    1. Water
    2. Plant
    3. Soil
    4. Air.
  46. Which of the following physical changes during adolescence take place in both boys and girls? 
    1. Increase in height and weight. 
    2. Hips broaden.
    3. Broadening of shoulders.
    4. Menstruation starts.
  47. Air is polluted by all the following ways except
    1. vehicle exhaust fumes.
    2. smoking tobacco.
    3. decomposing vegetable matter. 
    4. gases from burning domestic waste.
  48. The diagram below shows an inclined plane.
    C8SciJesS1Pred2023Q48
    Which one of the following should be done to use less effort? 
    1. Increase the length CA.
    2. Reduce the length BA.
    3. the length AB.
    4. Reduce the length CB.
  49. Which one of the following materials is non magnetic?
    1. Steel wool
    2. Sewing needle
    3. Staple pins
    4. Aluminium plate.
  50. A pen and a book were released two metres above the ground at the same time. Which of these statements is true about the observation done?
    1. Pen hit the ground first. 
    2. Both hit the ground at the same time.
    3. The book was the last to hit the ground.
    4. The book and the pen hit the ground almost the same time.

MARKING SCHEME

  1. B
  2. C
  3. C
  4. B
  5. D
  6. B
  7. C
  8. D
  9. B
  10. B
  11. C
  12. C
  13. A
  14. D
  15. B
  16. C
  17. D
  18. B
  19. A
  20. C
  21. D
  22. A
  23. B
  24. C
  25. A
  26. B
  27. B
  28. A
  29. C
  30. D
  31. D
  32. A
  33. B
  34. D
  35. C
  36. D
  37. A
  38. D
  39. B
  40. C
  41. D
  42. A
  43. C
  44. B
  45. B
  46. A
  47. C
  48. A
  49. D
  50. B

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa

Kila mzalendo wa nchi yetu hii tukufu, ___1___   ____ 2___ mashine ___3___  huwa na kazi ___4___ kufanya. ___5___
mzalendo mmoja atashindwa kutekeleza jukumu ____6___ ,wengine___7___. Ni muhimu mzalendo kuitunza nchi yake asije akaishia ___8____ atakapopata shughuli zake zimekwama.

   A   B   C   D 
 1.   mfano   zaidi   kama   sawa 
 2.  iliyo  ilivyo   ilipo   iliko 
 3.  :  ,  ;  __
 4.  inayohitajika   anayohitajika   wanaohitajika   zinazohitajika 
 5.  Maadamu  Ingawa  Ikiwa  Angalau 
 6.  aliyotengewa  alilotengewa   zilizotengewa   ilivyotengewa 
 7.  wataathiriana  wataathirikia   wataathiria   wataathiriwa 
 8.  kujikwaa ulimi   kujifia kikondoo   kujitia shemere   kujiuma kidole 


Sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa dada yangu ___9___. Tuliamka alfajiri na mapema ___10___. Tulikuwa na hamu kuu ya kuona binamu na bintiamu wetu wa toka nitoke yaani; ___11___ wetu. Baada ya kupata kisebeho, ___12___ kuelekea sokoni ___13___ tulinunua mboga za kila aina. Si mchicha, si kabeji, si ___14___ sukumawiki ___15___ alimradi tulikuwa na vingi vya kununua.

   A   B   C   D 
 9.   itakuwa ikiwadia   ikiwa iliwadia   ikawa inawadia   ilikuwa imewadia 
 10.   kuzitayarisha  kuwatayarisha   kujitayarisha   kupatayarisha 
 11.  wakoi  wanuna   masomo   maumbu 
 12.  tulishika zamu  tulishika kani  tulishika usukani   tulishika tariki 
 13.  ambayo  ambako   ambalo  ambao
 14.  mtungo wa  tita la  kicha cha  chane ya 
 15.  ___  ...  !  :


Kutoka swali la 16 - 30, jibu swali kulingana na maagizo uliyopewa.

  1. Kanusha
    Mtamba aliyenunuliwa jana ameuzwa tena.
    1. Mtamba aliyenunuliwa jana hakuuzwa tena.
    2. Mtamba ambaye hakununuliwa jana hakuuzwa tena.
    3. Mtamba hakununuliwa wala hakuunzwa tena.
    4. Mtamba aliyenunuliwa jana hajauzwa tena.
  2. Neno 'mtakimbiliana' lina silabi ngapi?
    1. 7
    2. 13
    3. 6
    4. 8
  3. Ni maelezo yapi yaliyo sahihi?
    1. Mloto ni mshororo wa pili katika ubeti wa shairi.
    2. Tarbia ni mashairi yenye beti nne
    3. Ngonjera ni shairi linalozungumzia historia ya mtu fulani.
    4. Mwandamizi ni kipande cha pili katika mshororo wa shairi.
  4. Ipi ni nomino nadhania?
    1. Kionjamchuzi.
    2. Kikosi.
    3. Uhodari.
    4. Mchanga.
  5. Sentensi: "Nyumbani mwao mlishiba watu na kuwatapika wengine nje", imetumia tamathali gani za usemi?
    1. Tashhisi, chuku.
    2. Tashbihi, kinaya.
    3. Sitiari, nahau.
    4. Sitiari, chuku.
  6. Andika wingi wa
    Wakala alikutatulia shida uliyokuwa nayo
    1. Nyakala waliwatatulia shida mlizokuwa nazo.
    2. Wakala waliwatatulia shida mlizokuwa nazo.
    3. Mawakala waliwatatulia shida mlizokuwa nazo.
    4. Mawakala walimtatulia shida mlizokuwa nazo.
  7. Chagua sentensi yenye kiwakilishi halisi
    1. Watu wale walieleza haja zao ila wanyonge ndio waliosaidiwa kwanza.
    2. Vijana hodari walipongezwa lakini wengine walikashifiwa.
    3. Daktari alimtibu mgonjwa wa kwanza lakini yule wa pili hakutibiwa.
    4. Tulitembea mjini kwa uangalifu ila mmoja wetu aliteleza na kuanguka.
  8. Ni nini maana ya kujipalia makaa ni?
    1. Kujiletea jambo
    2. Kujiwekea makaa
    3. Kujiletea madhara
    4. Kujisababishia jambo.
  9. Kitita ni kwa pesa. Tano ni kwa ______________________________
    1. funguo
    2. ndizi
    3. chokaa
    4. ngozi.
  10. Kucha ni kwa binadamu, mapezi ni kwa
    1. ndege
    2. wanyama
    3. wadudu
    4. samaki.
  11. Chagua jibu lenye kivumishi kilichoundwa kutokana na kitenzi
    1. Mpishi - mapishi. 
    2. Babaika - babaifu
    3. Angaza - mwanga
    4. Samehe - msamaha.
  12. Ni senteni ipi ambayo imetumia 'kwa' ya kuonyesha sababu ya jambo fulani kutokea? 
    1. Mwanafunzi amemwamkua mzazi wake kwa heshima.
    2. Mwalimu alimtuza alama nane kwa kumi.
    3. Wazee kwa vijana walipinga mswada huo wa fedha.
    4. Mkimbizi alituzwa kwa kushinda mbio hizo.
  13. Ni sentensi ipi inayoonyesha hali ya kutegemea?
    1. Msaidieni kuuinua dawati hilo.
    2. Mwalimu akija atawapeleka uwanjani.
    3. Mulika alisikiliza ushauri akaokoka.
    4. Changarawe ambayo ilisombwa iliuzwa.
  14. Chagua sentensi sahihi
    1. Alifua samaki wengi.
    2. Alifua samaki nyingi.
    3. Alivua samaki wengi.
    4. Alivua samaki nyingi.
  15. Chagua kihusishi katika sentensi hii Najua tofauti baina ya mazingira na mazingara.
    1. najua
    2. na mazingara
    3. tofauti
    4. baina ya

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31 - 40.

Katika miaka ya hivi karibuni, kumeshuhudiwa mabadiliko makubwa ya kijamii katika taifa letu. Miongoni mwa mabadiliko hayo ni kule kuendelea kwa taifa kuwa changa. Hii ina maana kuwa wananchi vijana walio na miaka chini ya thelathini na mitano ni wengi zaidi ya wale wenye umri mkubwa kuliko huo. Kwa sababu ya juhudi kubwa ya serikali, kufikia takriban miaka thelathini na mitano iliyopita, mbinu ya kujua kusoma na kuandika huchukuliwa kuwa kitu cha kawaida kama vile kuvaa nguo.

Tukitupa macho nyuma kabla ya utawala wa kikoloni kuingia huku kwetu yapata karne moja tu iliyopita, tutaona kuwa hali ilikuwa tofauti kabisa. Jumuiya zilizoishi katika sehemu ya bara hazikuwa zimeona wala kusikia mtu akiandika wala kusoma. Angetokea mtu awasomee makala wangemwona kama mwehu anayeboboka ovyo, kwani hicho kilikuwa kioja kikubwa.

Jumuiya za pwani zilikuwa na hali tofauti. Karne kadhaa hapo awali, wananchi hawa walikuwa wametembelewa na Waarabu kwa sababu ya kufanya biashara na kuwahubiria dini ya Kiislamu. Maingiliano haya yaliwanufaisha wananchi kwa njia ambayo labda haikukusudiwa. Walipata ujuzi wa kusoma na kuandika hati ya kiarabu ili waweze kusoma Koran katika lugha ya Kiarabu. Baadaye walitumia hati hiyo kuandika lugha zao za kienyeji. Maandishi mengi yalikuwa na lengo la kuhifadhi mafunzo ya dini ya Kiislamu.

Tukizingatia wazo hili la kuzichunguza baadhi ya jumuiya zilizoishi bara, tutaona kuwa zilikuwa na aina ya uandishi. Katika jumuiya mojawapo, kwa mfano, mgeni aliposema angekuja kutembea baada ya siku kumi, wenyeji wake walichukua ukambaa. Wakatengeneza mafundo kumi. Kila fundo liliwakilisha siku moja. Kila kulipokucha waliondoa fundo moja, mpaka fundo la kumi. Hii ikiwa njia mahususi ya kuhifadhi habari na ililingana na ile ya kuandika. Tunaweza kusema kuwa ilikuwa Wakoloni hawakuwa na mfumo mpya, labda kufikia sasa jumuiya hiyo ingekuwa imevumbua njia nyingine ya uandishi

  1. Kwa nini taifa letu linaweza kuitwa changa?
    1. Halikui kwa sababu ya vijana wengi.
    2. Kwa sababu si la zamani sana.
    3. Hakuna wananchi wenye umri mkubwa. 
    4. Idadi kubwa ya wananchi ni vijana.
  2. Watu wengi nchini wanajua kusoma na kuandika kwa sababu
    1. kumekuwa na utulivu nchini.
    2. wananchi wanaona faida ya kujua kusoma na kuandika.
    3. wananchi wenyewe wamefanya bidii.
    4. kumekuwa na mpango uliotekelezwa kwa miaka thelathini na mitano.
  3. Kwa mujibu wa taarifa hii, neno jingine lenyenmaana sawa na mbinu ni
    1. mafunzo
    2. wazo
    3. stadi
    4. hati.
  4. Ukoloni uliingia lini huku kwetu? 
    1. Miaka mia mbili iliyopita.
    2. Karibu miaka mia moja iliyopita.
    3. Karibu miaka hamsini iliyopita. 
    4. Miaka mia tatu iliyopita.
  5. Ni nini maana ya neno kioja?
    1. Ghasia.
    2. Ajabu.
    3. Maarifa.
    4. Wendawazimu.
  6. Ujuzi wa kusoma na kuandika ulifika pwani
    1. wakati wa kuingia kwa ukoloni
    2. muda mrefu kabla ya ukoloni
    3. muda mfupi baada ya ukoloni
    4. muda mrefu baada ya ukoloni.
  7. Chagua kifungu kilicho sahihi zaidi kukamilisha sentensi hii:
    Wenyeji wa pwani walitumia hati ya Kiarabu
    1. kusomea na kuandikia Koran na lugha zao.
    2. kusomea na kuandikia Kiarabu na lugha zao.
    3. kusomea na kuandikia Kiarabu.
    4. kusomea na kuandikia Kiswahili.
  8. Shabaha kuu ya kuandika wakati huo wa zamani ilikuwa
    1. kuhifadhi mafunzo ya dini za wenyeji
    2. kuendeleza lugha ya Kiarabu
    3. kuendeleza hati ya Kiarabu
    4. kuhifadhi mafunzo ya Kiislamu.
  9. Chagua jibu lililo sahihi zaidi
    Mwandishi analinganisha kuandika na kule kutengeneza mafundo kwa sababu
    1. shughuli zote mbili zilifanywa kwa mikono
    2. shughuli zote mbili zilikuwa zikifanywa kwa wakati mmoja
    3. shughuli zote mbili zilikuwa na lengo la kuhifadhi habari
    4. shughuli zote :nbili zilifanywa na wataalamu.
  10. Katika aya ya mwisho, maoni ya mwandishi ni
    1. kuja kwa Wakoloni kulibadilisha utaratibu bora wa uandishi
    2. kuja kwa Wakoloni kulibadilisha matumizi ya mafundo
    3. kuja kwa Wakoloni kuliendeleza njia ya uandishi
    4. kuja kwa Wakoloni kuliendeleza matumizi ya mafundo.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41 - 50.

Baada ya uhuru, Kenya ilihitaji kuikweza lugha moja ya kiasili kuwa lugha ya taifa. Wakenya hawakutaka kuitumia lugha ya Kiingereza kama lugha ya taifa. Hii ilionekana kuwa lugha ya kikoloni na kigeni. Hali ya kuwepo lugha nyingi nchini ilitatiza uchaguzi wa lugha moja. Kila kabila lilitarajia lugha yake kuchaguliwa, jambo ambalo lilikuwa gumu. Kuchagua Kiingereza hakungefaa kwani, mbali na wasomi, raia wengi hawakukijua. Hata sasa wananchi wengi bado hawajakimudu.

Serikali ilishughulikia suala hili la uteuzi. Hatimaye, Kiswahili kilitunukiwa hadhi ya kuchaguliwa. Kama lugha ya taifa, Kiswhili hutumika katika maongezi ya kawaida, mawasiliano ya kibiashara na kadhalika. Kiswahili kilichaguliwa kwa sababu kadhaa. Kwanza, baadhi ya wasomi walifikiria kuwa lugha hii ilikuwa na asili ya Kiarabu. Kwa sababu hii walifikiria kuwa, Kiswahili hakikuwa lugha ya kabila lolote. Pili, wengine waliamini kwamba Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha za kiafrika. Hivyo kingekubaliwa na makabila yote. Hata hivyo, wasomi wengine walishikilia kuwa hii ilikuwa ni lugha ya Kiafrika asilia bila mchanganyiko wowote.

Hivi leo hakuna ubishi wowote kuhusu asili ya Kiswahili. Hii ina maana kuwa Kiswahili kimekubalika kama lugha ya kiasili Afrika Mashariki. Pia ni kitambulisho cha utaifa wa nchi kama Kenya na Tanzania. Isitoshe, Kiswahili ni lugha mojawapo ya lugha za taifa nchini Kongo, Burundi na Rwanda.

  1. Ni nini kilichotatiza uchanguzi wa lugha ya taifa?
    1. Wakenya hawakutaka kuchagua lugha ya kikoloni.
    2. Makabila na lugha nyingi nchini Kenya.
    3. Hakukuwa na lugha maalum ya kiasili ambayo ingechaguliwa.
    4. Wakenya walijua lugha nyingi tofauti.
  2. Kwa nini haingefaa kuchagua Kiingereza? 
    1. Ilikuwa lugha ya wasomi na raia.
    2. Ilionekana kama lugha ngumu isiyoweza kueleweka.
    3. Si watu wengi walioweza kukiongea.
    4. Wenyeji walichukia wageni na lugha yao.
  3. Kulingana na taarifa, lugha ya taifa hutumika vipi nchini Kenya?
    1. Katika mawasiliano ya siasa na shughuli rasmi.
    2. Katika maongezi na mawasiliano ya serikali.
    3. Katika mawasiliano ya kawaida, biashara, siasa na dini.
    4. Katika maongezi ya kawaida na dini.
  4. Kwa nini Kiswahili kilichaguliwa hatimaye kuwa lugha ya taifa?
    1. Kwa sababu kilifikiriwa kuwa si lugha ya kundi lolote.
    2. Kwa sababu kilitumika kwingi barani Afrika.
    3. Kwa sababu uamuzi huo ulitolewa na wasomi.
    4. Kwa sababu kilifikiriwa tu kuwa ni lugha ya Kiarabu.
  5. Maana ya neno hatimaye ni
    1. mwishowe
    2. aghalabu
    3. tena
    4. mwanzoni.
  6. Uliposoma habari hii ulipata jumla ya maoni mangapi juu ya asili ya Kiswahili?
    1. Manne.
    2. Moja.
    3. Matatu.
    4. Mawili.
  7. Maana ya neno hadhi kama lilivyotumika katika kifungu ni
    1. ubora
    2. staha
    3. zawadi
    4. umaarufu.
  8. Lugha ya taifa nchini ni muhimu kwa kuwa 
    1. inapendwa na wananchi wote
    2. hutumika na watu wengi
    3. huimarisha amani na nchi jirani
    4. ni kitambulisho cha utaifa.
  9. Maana ya hakuna ubishi wowote ni
    1. hakuna kukubaliana tena
    2. hakuna jambo lisilo wazi
    3. hakuna jambo la kujadiliana
    4. hakuna pingamizi zozote.
  10. "Kiswahili ni lugha mojawapo ya lugha za taifa' inamaanisha
    1. ndiyo lugha pekee ya taifa
    2. ni lugha ya kimataifa
    3. ni lugha ya kiasili
    4. kuna lugha nyinginezo za taifa.

INSHA

Mwandikie rafiki yako barua huku ukimweleza namna ambavyo utatumia wakati wako wa likizo ili kujinufaisha.

MARKING SCHEME

  1. C
  2. B
  3. B
  4. B
  5. C
  6. B
  7. D
  8. D
  9. D
  10. C
  11. A
  12. D
  13. B
  14. C
  15. B
  16. D
  17. A
  18. A
  19. C
  20. A
  21. C
  22. B
  23. C
  24. C
  25. D
  26. B
  27. D
  28. B
  29. C
  30. D
  31. D
  32. D
  33. C
  34. B
  35. B
  36. C
  37. A
  38. D
  39. C
  40. C
  41. B
  42. C
  43. C
  44. A
  45. A
  46. C
  47. B
  48. D
  49. D
  50. D

Read the passage below. It contains blank spaces numbered 1 to 15. For each blank space, choose the best alternative from the choices given.

No one can __1__ that they have never felt hungry. Hunger __2__ gradually and when it __3__ climax, it is not possible to hide it at all. If you were asleep, it automatically wakes you up. This happens __4__ you have taken a long time before __5__ a meal. There could be __6__ reasons for this, for example, when you are travelling __7__ a bus to a far place and __8__, if it stopped for the passengers to cat, the __9__ could make them reach their destinations very late. __10__,  the worst one is when the __11__ mealtime reaches and there is no sign of either food or indication that someone could be cooking any time soon.

Hunger affects people differently. For me, my leg muscles __12__, I develop some mild headache and yawn for abnormally a long time.
__13__ such times, I don't seem to see well and my hearing too somehow gets __14__. The most interesting thing is that I __15__ my temper without any provocation. The moment I eat, I feel normal.

   A   B   C   D 
 1.   claim   say   confirm   remember 
 2.  comes   stays   hits   strikes 
 3.  pass  feels   reaches  arrives 
 4.  if  as  while  when 
 5.  eating  taking   cleaning   finishing 
 6.  varied  specific   clear  known 
 7.  in  at   on   by 
 8.  surely  unfortunately   really  truly
 9.  stop  speed  time  delay
 10.   Therefore   However  Moreover   Although
 11.  usual  correct  exact  eating
 12.  freeze  stretch  ache  expand
 13.  At  For  Over  In
 14.  closed  affected  changed  infected
 15.  gain  loose  recall  lose


For questions 16 and 17, choose the alternative that best completes the statements given.

  1. You didn't have to run across the road, _________________________? 
    1. did you
    2. had you
    3. didn't you
    4. haven't you
  2. She rarely fails to complete her work, _________________________?A
    1. did she
    2. . isn't it
    3. does she
    4. is it

For questions 18 and 19, choose the alternative that means the same as the underlined words.

  1. The salt Jane bought had very fine particles.
    1. bright
    2. tiny
    3. light
    4. white
  2. The boy made noise exactly like that of the crow.
    1. twitter
    2. sing
    3. crow
    4. caw

For questions 20 to 21, choose the best alternative that is pronounced in the same way as the underlined one.

  1. The wind blew down the big tree. 
    1. blow
    2. drown
    3. blue
    4. few
  2. The lost purse was finally recovered.
    1. pass
    2. curse
    3. bus
    4. past 

For questions 22 and 23, re-arrange the given sentences in order to form a sensible paragraph.

  1.  
    1. She told of how people first came onto the earth.
    2. We really enjoyed listening to her.
    3. She also told stories about giants and strange creatures.
    4. Mela's grandmother liked to tell stories.
      1. (iv), (iii), (ii); (i)
      2. (iv), (ii), (i), (iii)
      3. (iv), (ii), (iii), (i) 
      4. (iv), (i), (iii), (ii)
  2.  
    1. Some of the material can be borrowed for a short period of timc.
    2. Large volumes of written and unwritten materials are stored there.
    3. There is usually some space for one to sit and read what cannot be borrowed.
    4. A library is one of the richest sources of information.
      1. (iii), (iv), (i), (ii)
      2. (iii), (ii), (i), (iv) 
      3. (iii), (i), (ii), (iv)
      4. (iii), (ii), (iv), (i)

For questions 24 and 25, choose the sentence which means the same as the underlined sentence.

  1. Had the ball not got punctured, would have played.
    1. We have played though the ball got punctured.
    2. Though the ball got punctured, we can still play.
    3. We are not playing since the.ball got punctured.
    4. We wished the ball had not got punctured so that we play.
  2. Neither Rehema nor Rita was punished for lateness.
    1. None of them was punished for lateness.
    2. Only Rita was punished for lateness.
    3. Both Rehema and Rita were punished for lateness.
    4. Rita perhaps was punished for lateness.

Read the passage below and then answer questions 26 to 38.

The men were happy. Their plan to help one of them had worked out very well. They had agreed to rebuilt a house for Ruka whose house had got burnt down without the proper cause being established. He was at a neighbour's house, late in the evening when they heard people screaming about a fire. Little did he know that he was the victim. He heard them screaming that he was being burnt to death in the house that was already being consumed by flames. They rushed out to his compound but by the time they reached, no one could go near the burning house as it was too dangerous. They waited until it died down then the men sat down and Ruka told them that indeed, he had left a pot of beans boiling and it was not the first time. To him that could not have caused the fire but even if they knew, it wouldn't help much. The resolution was that all the villagers would assemble at Ruka's home the following morning and help construct him a new house.

Many sympathisers turned up with personal equipment and materials for the task ahead. Women came along with buckets, crockery, utensils and food items. They were also at hand to assist here and there as they waited for their main task of the day; mudding. Everybody was busy and jolly. By around three o'clock, the mudding was done and the door fixed. The men sat in groups to take a well-deserved rest and meal which was served by the women.

When the eating was over, the people started leaving in groups of twos and threes. Only a few neighbours were still around, keeping Ruka company next to his new house. It was then that they saw Kasai staggering towards them. At first, they felt uncomfortable because he had failed to heed to the call to assist a neighbour as expected. However, retaliation was not acceptable in the society. He approached them and mumbled a greeting to which they responded. No one asked him to apologise for the omission but he humbly did it and blamed his greed for alcohol. They laughed out loudly and since the pots of food were still lying next to them, they advised him to wash his hands and eat. Refusal to eat communal food offered would be taken in bad faith so he served himself and ate.

They were talking about life generally when Kasai told them he was seriously considering stopping consumption of alcohol. He explained that he had planned to join the rest that morning but when Tawa called on him and offered to buy him some drink, he changed his mind. Tawa seemed to have a lot of money which was not usual. It was while they were drinking that Tawa confided in him that he had caused the fire at Ruka's home accidentally.

He explained that he knew Ruka kept some money in the house and the exact location so he waited till he saw Ruka move to his neighbour's compound. He prowled into the room and as he was taking the money from the box, he realised the man had many nice clothes that he never wore. He decided to pick them too but when he reached near the fire place, he heard a movement that scared him stiff. The clothes dropped and he was already in flight through the door when he realised it was the cat that had scared him. He kept going and never looked back. The clothes must have caught fire and spread it to the firewood that was lying near the fireplace.

Kasai said he would report this to the elder so that his conscience could be clear. Dumb-founded by the revelation, the others watched as he stood up to go but Ruka asked him to sit down briefly. "Please tell your friend that the money he stole belongs to the village elder. He sold off some of his livestock and asked me to keep the money for him. Since he didn't burn the house intentionally, we shall forgive him for that but he must bring back all the money, including what the two of you have spent. You can now go."

Without saying a word, Kasai rose and started staggering away in the same fashion he had come.

  1. Why do you think did the men's plan work out well?
    1. Building a new house had never been an issue to them.
    2. It w as the first time they wereperforming such a task.
    3. Ruka's house had got burnt down suddenly.
    4. There was positive response from the villagers.
  2. Why was it difficult to tell what had caused the fire?
    1.  Ruka's house was close to that of his neighbour.
    2. Ruka had left everything in order before he left.
    3. The house got burnt late in the evening.
    4. The food had not cooked for a long time.
  3. Those who were screaming that Ruka was dying in the house
    1. did so through imagination.
    2. had heard so many others screaming.
    3. simply wanted swift action taken.
    4. remembered a burning house usually trapped people inside.
  4. Which of the four words below means the same as dangerous' as used in the first paragraph?
    1. Fatal
    2. Fierce
    3. Scaring
    4. Risky
  5. Knowing the cause of the fire wouldn't help much because
    1. the screaming had already stopped. 
    2. the house wasn't an expensive one.
    3. the damage was irreversible.
    4. all the villagers were willing to give help.
  6. The women had come with food items to
    1. demonstrate that they knew how to cook very well.
    2. make work flow for the volunteers.
    3. ensure that all those who ate did the work expected.
    4. show how food could keep people working for such time.
  7. Why did some men remain behind after eating?
    1. Their homes were the nearest to Ruka's.
    2. They wanted Ruka to confirm if he was happy with the house.
    3. They felt too exhausted to start walking way immediately.
    4. They didn't seem to be in any hurry.
  8. The main reason why Kasai mumbled a greeting was because he
    1. was not in the right state of mind.
    2. believed they suspected him.
    3. knew they would not welcome him.
    4. had been hungry for long time.
  9. Kasai was considering stopping drinking alcohol because
    1. it was making him keep wrong company.
    2. it made him fail to join the others.
    3. he was getting uncomfortable.with its results.
    4. being consistently drunk was affecting his health.
  10. The relationship between Ruka and Tawa before the theft is likely to have been
    1. cordial
    2. unfortunate
    3. suspicious
    4. hostile
  11. How did Tawa cause the fire that burnt down the house?
    1. He noticed that some food was cooking as he was leaving hurriedly.
    2. He was attracted to steal clothes. 
    3. The cat stopped him from moving fast enough.
    4. He realised he had carried too many things at ago.
  12. Ruka can best be described as
    1. short-tempered
    2. unpredictable
    3. social but suspicious.
    4. calm and reasonable.
  13. What would be the best summary.for this passage?
    1. You should not put too much trust in others.
    2. People should always help the less fortunate in the society.
    3. A tragedy can make people change behaviour completely.
    4. Drinking alcohol can change. people's character.

Read the passage below and then answer questions 39 to 50

Itchy skin can be irritating and annoying, especially when you cannot pinpoint the cause. One day, you might feel fine but the very next one, you are ceaselessly scratching your arms, legs and body. There are many reasons that lead to these.

Itching all over is just an indication of dry, dehydrated skin. The lack of enough sebum (an oily and waxy material produced by the body's sebaceous glands) and natural oils cause the skin to become dry. When the skin's barrier is damaged, receptors in the skin respond by changing the type of signal being sent, resulting in the sensation of itchiness.

The problem, however, has a solution. Always rinse your skin with a gentle body wash to remove any irritants. Afterwards, apply a soothing moisturising lotion or oil, which will help your skin retain moisture. More importantly, focus on moisturising from the inside out. Make sure you drink around eight glasses of water a day and eat a healthy, balanced diet. It is also important to steer clear of hot shower- they strip your skin of natural oils and irritate it.

If you feel itchy after spending a lot of time outdoors, it is possible your skin is recovering from a sunburn. Skin that has been sunburned is dry and tight, which can cause itching. Sunburn causes your skin to become irritated and itchy by releasing inflammatory messengers that make your skin have uncomfortable itchy sensation.

You can control this by wearing a broad-spectrum sunscreen every day. This will prevent your skin from further sun damage. To treat sun burns, apply an aloc vera lotion. You can also cut a fresh aloe vera leaf and apply the juice and rinse off after ten minutes.

While your skin is healing, take care to stay out of direct sunlight. Wear clothes that cover your arms, chest and legs. It is also good idea to wear a hat and sunglasses whenever you need to go outside.

If you notice itchiness after a long workout session, or after just being outdoors, sweat may be the culprit. Sweating, especially when it is more than usual, has been linked to acute itching. Luckily, this type is very rare. Those who suffer from it, at times, do not even suspect its cause.

Combined with water contact, perspiration such as while showering, swimming. or simply getting caught in the rain, can cause itching. This condition is known as aqua genic urticarial. This is immune-related reaction that can cause spots to appear on your skin after it comes into contact with water

  1. If your skin irritates and itches, you should
    1. get medication before it spreads fast. 
    2. try to find out what causes it. 
    3. review the type of food you eat.
    4. check the oils you use after showering.
  2. The main issue with skin problems is that it
    1. is difficult to predict.
    2. can affect any part of the body.
    3. makes you scratch for long hours.
    4. makes everyone know you are unwell.
  3. To keep your skin moist, it could be good to
    1. avoid excess exposure to the sun. 
    2. all the food you cat should contain water.
    3. ensure your sebaceous glands function well.
    4. regulate the quantity of water you take daily. 
  4. The main cause of the skin barrier damage is
    1. failure iucntify your skin problem.
    2. excessively scratching for too long.
    3. irritation of the skin.
    4. when the skin has inadequate sebum.
  5. What is the main function of moisturiser?
    1. Retention of the moisture.
    2. Keeping the skin bright and soft.
    3. Allowing sweat to flow out when it is hot.
    4. Stops any feeling of itchiness.
  6. By focusing on moisturising from the inside out, the writer suggests that
    1. you should consistently drink a lot of water daily.
    2. what you eat or drink can heip moisturise your skin.
    3. taking more time indoors than being outside is important.
    4. you sould avoid excessive intake of liquids.
  7. Why should we avoid hot showers?
    1. The heat causes the expansion of the skin.
    2. The skin gets irritated when it cools down.
    3. Hot water affects the natural skin cover.
    4. The temperature of the water can burn the skin.
  8. The eight glasses of water mentioned in the passage is
    1. what cures any skin ailment.
    2. the recommended quantity.
    3. what many people find difficult to drink.
    4. the highest number one should take. 
  9. Rinsing aloe vera juice after ten minutes 
    1. stops its further effect on the skin.
    2. gives the skin the clean look it deserves.
    3. shows that it has started treating the skin.
    4. clears off any healing effect it has.
  10. If one wears clothes that cover the arms legs and the chest, it is because
    1. the skin changes resistance continuously.
    2. it is difficult to treat skin problems. 
    3. clothes can control the skin temperature.
    4. direct sunlight affects the skin..
  11. How can one tell if he or she has aqua genic urticarial?
    1. Itching when one has taken shower.
    2. Failure to tell what your skin problem is.
    3. Presence of any change of colour on the skin.
    4. If you itch after a long work out session.
  12. The best title for this passage would be:
    1. Different types of human skin.
    2. What makes your skin feel itchy.
    3. Effects of the wrong skin treatment. 
    4. Changes that take place to your skin.

COMPOSITION

You have 40 minutes to write yor composition. Below is the beginning of a story. Complete it in your own words, making it as interesting as you can.

We left home earlier than usual because we had a good reason to reach school before the others. As we were approaching the school gate, however, we noticed somethig unusual. ...................................................................................

MARKING SCHEME

  1. A
  2. D
  3. C
  4. D
  5. B
  6. A
  7. C
  8. B
  9. D
  10. B
  11. A
  12. C
  13. A
  14. B
  15. D
  16. A
  17. C
  18. B
  19. D
  20. C
  21. A
  22. D
  23. C
  24. C
  25. A
  26. D
  27. B
  28. A
  29. D
  30. C
  31. B
  32. D
  33. A
  34. C
  35. A
  36. B
  37. D
  38. C
  39. B
  40. A
  41. C
  42. D
  43. A
  44. B
  45. C
  46. B
  47. A
  48. D
  49. C
  50. B
  1. What is 3197619 written in words?
    1. Three million one hundred and ninety seven thousand six hundred and nineteen.
    2. Three million one and ninety seven thousand six hundred and nineteen. 
    3. Three million one hundred and seventy six thousand six hundred and nineteen.
    4. Thirty one million one hundred and ninety seven thousand six hundred and nineteen.
  2. What is 878.9952 rounded off to the nearest hundredths?
    1. 878.00
    2. 878.90
    3. 879.00
    4. 879.90
  3. What is the difference in value between the total values of digits 6 and 8 in the number 2367854?
    1. 60000
    2. 850
    3. 6700
    4. 59200
  4. What is the value of
    180 ÷ 12 x 20 x 28 ÷ 56 + 7 − 2?
    1. 155
    2. 515
    3. 154
    4. 145
  5. What is the value of x in 3/5x + x − 1 = 5
                                                         2
    1. 4
    2. 5
    3. 47/11 
    4. 41/11 
  6. Which of the following decimals represents 4:57
    1. 0.8
    2. 5.9
    3. 4.9
    4. 0.45
  7. Which one of the following statements is correct?
    1. 2/7 > 0.28
    2. 0.28 < 2/7 
    3. 2/7 < 0.28
    4. 2/7 = 0.28
  8. The area of a square cardboard is 1024cm2. What is the perimeter of the cardboard?
    1. 4096cm
    2. 265cm
    3. 128cm
    4. 144cm
  9. Richard bought the following items from a shop;
    4 packets of milk @ sh. 60
    3kg of tomatoes for sh. 180
    4 rolls of tissue paper @sh. 35
    21/2 kg of onions @ sh. 60 per kg
    If he paid with sh. 1000note, how much balance did he receive?
    1. Sh. 290
    2. Sh. 353
    3. Sh. 710
    4. Sh. 565
  10. What is the value of
     11/2 − 1/4 × 11/3   ?
      11/31/61/2 
    1. 1
    2. 7/10 
    3. 7/18 
    4. 117/18 
  11. A community function was attended by 269 men, 1081 women and 4036 children. How many more children than adults were at the function?
    1. 5836
    2. 2955
    3. 1356
    4. 2686 
  12. Below are lines meeting at different points.
    C8MathJesS1Pred2023Q12
    What is the measure of angle EDB?
    1. 99°
    2. 60°
    3. 120°
    4. 123°
  13. A meeting started at 8.45am. The meeting ended after 6hours 55minutes. At what time did the meeting end?
    1. 3.40pm
    2. 3.40am
    3. 2.40pm
    4. 3.00am
  14. What is the next number in the pattern
    81/2, 41/4, 21/8, 11/16, _____________________?
    1. 1/4 
    2. 17/32 
    3. 1/8 
    4. 32/17 
  15. The pie chart below represents how a farmer used his 12 hectare farm.
    C8MathJesS1Pred2023Q15
    How many more hectares did he use for growing beans than maize?
    1. 3
    2. 2
    3. 5
    4. 1
  16. Nanjala bought 240 fruits at sh. 15 each. She paid sh. 400 for transport to the market. She sold the fruits and made 50% profit. What is the selling price for each fruit?
    1. Sh. 25.00
    2. Sh. 22.50
    3. Sh. 24.00
    4. Sh. 16.70
  17. A playing field is rectangular in shape. The length is 96m and each of the diagonals is 100m long.
    C8MathJesS1Pred2023Q17
    What is the width of the playing field?
    1. 98m
    2. 28m
    3. 196m
    4. 56m
  18. Hussein had 8 one thousand shilling notes, 7 five hundred shilling notes and 15 two hundred shilling notes. He changed all the money into five hundred shilling notes. How many notes did he get?
    1. 145
    2. 290
    3. 29
    4. 60  
  19. Three bells ring at intervals of 15 minutes, 30 minutes and 45 minutes respectively. If the bells rang together at 9.45am, at what time would the bells ring together again? 
    1. 11.15pm
    2. 1.30pm
    3. 10.15am
    4. 11.15am
  20. Ngombe is paid a basic salary of sh. 36000. For any sales above sh. 150000, he is paid a commission of 5%. In one month he sold goods worth sh. 480000. How much altogether did he earn that month?
    1. Sh. 52500
    2. Sh. 31500
    3. Sh. 16500
    4. Sh. 60000
  21. A section of a road measuring 4km is represented by a length of 10cm. Which one of the following is the scale of the map?
    1. 1:400
    2. 1:4000
    3. 1:40000
    4. 1:400000
  22. Japheth made an open cylindrical container with metal sheets. The internal diameter of the container is 42cm and the height is 60cm. He painted all the internal surfaces. What is the total area painted? (Тakе л = 22/7 )
    1. 10692cm2
    2. 7920cm2
    3. 83160cm2
    4. 9306cm2
  23. In a school the number of workers is r. The number of learners is eight times the number of teachers. The number of workers is nine less than the number of teachers. How many people are in the school?
    1. 10r − 63
    2. 10r +81
    3. 10r − 81
    4. 10r + 18
  24. A milk factory processed 2500litres of milk. 0.78 of the milk was sold to supermarkets while 0.3 of the remainder was donated to nearby schools. The remaining amount of milk was given to the factory staff. How many litres of milk was given to the staff?
    1. 505
    2. 1950
    3. 156
    4. 385
  25. Twelve people can complete a construction in 24 days. If 4 of the people failed to turn up, how many more days would it take the remaining people to complete the construction?
    1. 12
    2. 8
    3. 16
    4. 36
  26. Mwethya used 1/6 of her salary on transport, 1/3 on food, 1/4 of the remainder on rent and saved the rest. If she saved sh. 6000, how much did she spend on both transport and food?
    1. Sh. 6000
    2. Sh. 5000
    3. Sh. 8000
    4. Sh. 4000 
  27. The cash price of a table is sh. 40800. The hire purchase price is 20% more than the cash price. Mutuku bought it on hire purchase terms. He paid a deposit and the balance in 18 equal monthly intalments of sh. 1450 per month. How much deposit did he pay?
    1. Sh. 14700
    2. Sh. 489600
    3. Sh. 26100
    4. Sh. 22860
  28. A supermarket uses 8 bottles of hand sanitizer everyday to sanitize the customers. Each bottle contains 250ml. How many litres of the sanitizer did the supermarket use in the month of February 2020?
    1. 60
    2. 62
    3. 56
    4. 58
  29. Nadia made a profit of sh. 9600 in the month of December. This was a 20% increase from November. How much profit did she make in November? 
    1. Sh. 7600
    2. Sh. 10560
    3. Sh. 11500
    4. Sh. 8000
  30. Chepkorir had two tonnes of sugar. He repacked the sugar into 500 grams packets. How many packets did he obtain?
    1. 400
    2. 4000
    3. 40000
    4. 400000
  31. Draw a triangle ABC where AB = 6.5cm, BC= 7cm and AC = 5.3cm. Bisect angle CAB. Drop a perpendicular from C to AB. Let the perpendicular line and this bisector to meet at E. What is the measure of angle CEA?
    1. 162°
    2. 54°
    3. 126°
    4. 234°
  32. In the year 2015, 6th January was on a Tuesday. Which day was it on 14th May of the same year?
    1. Saturday.
    2. Wednesday.
    3. Thursday.
    4. Friday.
  33. What is the value of m in
    3/2(2m + 4) + 6 = 10?
    1. 1
    2. 2
    3. 5
  34. Machogu borrowed sh. 80000 from a financial institution that charged a simple interest at the rate of 21% per annum. How much did he pay back after 2 years?
    1. Sh. 117128
    2. Sh. 113600
    3. Sh. 33600
    4. Sh. 37128 
  35. What is the value of
    12.0 − 0.6 of 0.4 + 3.24 ?
                  0.3
    1. 5
    2. 2.6
    3. 26
    4. 50
  36. The figure below represents a half cylindrical solid. The diameter is 14cm and it is 30cm long.
    C8MathJesS1Pred2023Q36
    What is the volume of the solid? (Тake π = 22/7)
    1. 4620cm3
    2. 660cm3
    3. 1234cm3
    4. 2310cm3
  37. The figure below represents a garden. It is in the shape of a quarter circle of radius 14m and a trapezium.
    C8MathJesS1Pred2023Q37
    What is the area of the garden? (Таkе л = 22/7)
    1. 518m2
    2. 770m2
    3. 462m22
    4. 500m2
  38. The perimeter of a rectangular farm is 442m. The length of the farm is 128m. What is the width of the farm?
    1. 186m
    2. 93m
    3. 110m
    4. 157m
  39. The table below shows an adult's fare in shillings from town J to P. Children pay half the fare for adults.
    C8MathJesS1Pred2023Q39
    Aketch travelled with his three children from L to P through N. How much did they pay?
    1. Sh. 425
    2. Sh. 300
    3. Sh. 350
    4. 210
  40. Joshua paid sh. 5980 for a mobile phone after getting a discount of 8%. What was the marked price of the phone?
    1. Sh. 5501
    2. Sh. 6500
    3. Sh. 6099
    4. Sh. 6459
  41. The following are properties of a certain quadrilateral;
    1. Two pairs of parallel lines
    2. All angles are equal
    3. Diagonals are equal
    4. Diagonals do not bisect at right angles
    5. Opposite sides are equal and parallel
      Which quadrilateral has the above properties?
      1. Square.
      2. Rhombus.
      3. Parallelogram
      4. Rectangle.
  42. A tank of water is 3.5m long, 2.5m wide and 3m high. How many litres of water can the tank hold when full ?
    1. 262.5
    2. 26.25
    3. 262.5
    4. 26250
  43. The perimeter of the isosceles triangle below is 90cm. Two of the sides are 25cm and 40cm.
    C8MathJesS1Pred2023Q43
    What is the area of the triangle?
    1. 500cm2
    2. 600cm2
    3. 300cm2
    4. 150cm2
  44. In a class of 40 pupils, the mean score in a test was 65marks. The mean score for the last 30 pupils was 58. What is the total score for the first 10 pupils?
    1. 1740
    2. 2600
    3. 86
    4. 860
  45. The diagram below is a rhombus. BD and AC are the diagonals. Angle EDC = 20°.
    C8MathJesS1Pred2023Q45
    What is the size of angle BAD?
    1. 140°
    2. 110°
    3. 40°
    4. 70°
  46. Amos drove from Nairobi to Kisumu a distance of 336km at a speed of 84km/h. On his way back, he drove at a speed of 56km/h. What was his average speed for the whole journey?
    1. 70km/hr
    2. 24km/hr
    3. 67.2km/hr 
    4. 33.6km/hr
  47. The figure below represents the net of a solid
    C8MathJesS1Pred2023Q47
    Which one of the following can be formed from the net above?
    1. Square prism.
    2. Triangular pyramid.
    3. Triangular prism.
    4. Square pyramid.
  48. A 33 seater bus and 11 seater matatu were to transport 319 people to a function. If the matatu made an extra trip than the bus, how many people did the matatu transport?
    1. 23
    2. 77
    3. 88
    4. 231
  49. Construct a triangle JKL in which JK = 5cm, JL = 7cm and angle KJL = 115°. Draw a circle to touch the vertices of the triangle. What is half the diameter of the circle? 
    1. 14.4cm
    2. 7.4cm
    3. 10.2cm
    4. 5.6cm
  50. The graph below represents the journey's of Mose and Alex driving in opposite directions
    C8MathJesS1Pred2023Q50
    How far from town M was Alex when Mose stopped resting?
    1. 400km
    2. 350km
    3. 150km
    4. 09km

MARKING SCHEME

  1. A
  2. C
  3. D
  4. A
  5. B
  6. A
  7. A
  8. C
  9. A
  10. B
  11. D
  12. C
  13. A
  14. B
  15. D
  16. A
  17. B
  18. C
  19. D
  20. A
  21. C
  22. D
  23. B
  24. D
  25. A
  26. C
  27. D
  28. D
  29. D
  30. B
  31. C
  32. C
  33. A
  34. B
  35. D
  36. D
  37. A
  38. B
  39. A
  40. B
  41. D
  42. D
  43. C
  44. D
  45. A
  46. C
  47. D
  48. C
  49. D
  50. D

                                                                            PART 1 SOCIAL STUDIES

                                                                                        TABO AREA

                                    Class8GeoET3OP2023Q1

  1. The main economic contribution of lake Beye is that it is a source of
    1. minerals
    2. rainfall
    3. rivers
    4. fish
  2. The curved bend marked T formed by the river in Tabo area is
    1. a meander
    2. an ox-bow lake
    3. a delta
    4. a confluence
  3. The main factor that influenced the growth of Goma town was
    1. climate
    2. transport
    3. fishing
    4. population
  4. The location of the flour mill was influenced by nearness to
    1. roads
    2. market
    3. raw materials
    4. labour
  5. The general direction of Soro market from Rogi market is
    1. South
    2. North
    3. South East
    4. North West
  6. The climate around the lake can be described as
    1. hot and wet
    2. hot and dry
    3. cool and wet
    4. cool and dry
  7. Business licences in Tabo area are issued at
    1. the chief's camp
    2. the health centre
    3. the police station
    4. the county offices
  8. Which one of the following statements about an age set is correct?
    1. It is made up of several age groups
    2. It is made up of people with a common ancestor
    3. It is made up of people who speak a common language
    4. It is made up of people who live in the same area
  9. Ox-bow lakes are formed through
    1. deposition
    2. glaciation
    3. erosion
    4. downwarping
  10. When the French administered their colonies in Africa, they used the policy of
    1. paternalism
    2. direct rule
    3. assimilation
    4. indirect rule
  11. Below are statements about a vegetation zone in Africa
    1. Trees have small leaves
    2. Trees have thick barks
    3. Some trees are deciduous
      The vegetation zone described above is
      1. mediterranean vegetation
      2. rainforest vegetation
      3. savannah vegetation
      4. semi-desert vegetation
  12. The Pokomo people were forced to migrate from th Shungwaya area because
    1. they wanted better farming land
    2. they were attacked by the Galla
    3. the area was overcrowded
    4. the area experienced droughts
  13.  The main benefit of jua kali industries in rural areas in Kenya is that they
    1. have stopped rural to urban migration
    2. have made use of idle land
    3. have created self employment
    4. produce goods for export
  14. Which one of the following combinations is of mountains formed through faulting?
    1. Ruwenzori and Mau
    2. Kilimanjaro and Elgon
    3. Cape Ranges and Atlas
    4. Cameroon and Longonot
  15. Which one of the following groups is made up of Nilo-Saharan speakers of West Africa?
    1. Asante, Kwahu, Akwapim
    2. Mossi, Bergu, Dagomba
    3. Mande, Malinke, Soninke
    4. Kanuri, Songhai, Dendi
  16. When Senegal attained independence in 1961, the first president was
    1. Kwame Nkrumah
    2. Leopold Senghor
    3. Siaka Stevens
    4. Gamal Nasser
  17. The diagram below shows the formation of
             Class8GeoET3OP2023Q2
    1. sea breeze
    2. relief rainfall
    3. land breeze
    4. convectional rainfall
  18. It is important to keep cultural artefacts in museums in Kenya in order to
    1. decorate the museums
    2. use them as national symbols
    3. preserve the history of communities
    4. create jobs in the country
  19. Below are factors that influence population distribution
    1. Fertile soils
    2. Swampy conditions
    3. Presence of pests
    4. Steep slopes
    5. High rainfall
      Which one of the following combinations has made the lake Victoria basin to have high population?
      1. (i) and (v)
      2. (ii) and (iii)
      3. (iii) and (iv)
      4. (ii) and (iv)
  20. The collaboration of the Lozi people with the British in Zambia led to
    1. defeat of the Lozi people
    2. acquisition of land by Africans
    3. introduction of forced labour
    4. exploitation of minerals
  21. Three of the following are roles of pupils in management. Which one is not?
    1. Preparing school routine
    2. Cleaning school compound
    3. Participating in tree planting
    4. Reporting issues affecting them to teachers
  22. The camels of Noor have destroyed the maize of Kimanzi . The best appropriate way of settling the dispute is
    1. Kimanzi taking Noor's camels as payment
    2. reporting the matter to the police
    3. the two neighbours negotiating the matter
    4. taking the matter to a court of law
  23. Which of the following was a demand of early political associations in Kenya before 1939?
    1. Release of Jomo Kenyatta
    2. Better treatment for Africans
    3. Building of industries in rural areas
    4. Formation of a Legislative Council
  24. Which one of the following was the last Bantu community to settle in Eastern Africa?
    1. Ngoni
    2. Akamba
    3. Basoga
    4. Taita
  25. Mr. Brown, a British National has been working in Kenya. He can register as a Kenyan citizen only if he
    1. is able to speak English
    2. lives in Kenya continuously for 7 years
    3. respects the laws of the country
    4. marries a Kenyan citizen
  26. Which one of the following types of fish is kept in reclaimed fishing areas from the sea in Japan?
    1. Tilapia
    2. Dagaa
    3. Nile perch
    4. Oysters
  27. Which of the following is a freshwater lake in Eastern Africa?
    1. Lake Natron
    2. Lake Elementaita
    3. Lake Kyoga
    4. Lake Bogoria
  28. The following are characteristics of a type of soil
    1. Particles are of medium size
    2. Water retention is good
    3. Air spaces are of medium size 
      The soil described above is
      1. clay
      2. loam
      3. sandy
      4. alluvial
  29. Three of the following are responsibilities of persons with special needs. Which one is not?
    1. Treating other people fairly
    2. Taking care of the environment
    3. Obeying the laws of the country 
    4. Forming their own political party
  30. Which one of the following groups is made up of basic needs in a family?
    1. Land, water, money
    2. Love, vehicle, education
    3. House, wealth, friends
    4. Food, shelter, clothing
  31. A negative effect of migration in Kenya is that it leads to
    1. cultural differences
    2. expansion of health services
    3. growth of slums
    4. industrial development
  32. Natural forests in the highland regions are conserved mainly because
    1. they provide timber for export
    2. they conserve water catchment areas
    3. they attract tourists
    4. they provide firewood
  33. Which of the following countries is not crossed by the Great North Road?
    1. Uganda
    2. Tanzania
    3. Ethiopia
    4. Sudan
  34. The Kenya African Union (KAU) was formed in 1946 by
    1. Eliud Mathu
    2. Daniel Arap Moi
    3. Oginga Odinga
    4. Jomo Kenyatta

Study the map of Kenya below and use it to answer questions 35 to 38

                                       Class8GeoET3OP2023Q3

  1. Which one of the following communities settled in the shaded area marked Z?
    1. Ameru
    2. Pokomo
    3. Taita
    4. MijiKenda
  2. The mountain marked T was formed through
    1. erosion
    2. folding
    3. faulting
    4. volcanicity
  3. The mineral mined at the place marked S is used to make
    1. dye
    2. cement
    3. heat insulators
    4. toothpaste
  4. The main economic activity of the community that used the route marked H was
    1. iron working
    2. hunting
    3. pastoralism
    4. fishing
  5. People with disabilities can be catered for in public transport by
    1. training drivers how to treat them
    2. providing ramps in minibuses
    3. organizing group transport for them
    4. ncreasing the number of public vehicles
  6. Which one of the following is a characteristic of equatorial climate?
    1. Temperatures are low
    2. Annual rainfall is less than 500mm
    3. There is low humidity
    4. There is no distinct dry season
  7. The political party that led Ghana to independence was
    1. Convention People's Party
    2. United Gold Coast Convention 
    3. African National Congress
    4. Northern People's Party
  8. The most recent way of interaction among communities in Kenya is through?
    1. marriage
    2. social media
    3. games
    4. worship
  9. Which one of the following statements is true about pyrethrum growing in Kenya?
    1. It is grown in large plantations
    2. It is grown in the cool and wet highlands
    3. It is grown under irrigation
    4. It is harvested by machines
  10. The petroleum refinery was established in Mombasa mainly due to
    1. availability of market
    2. availability of a pipeline
    3. nearness to raw materials
    4. nearness to water supply
  11. The East African Community was formed mainly to
    1. establish a common currency
    2. improve food production
    3. enable free movement of goods
    4. promote trade among member countries
  12. A manager in a government institution employs members of his extended family. The manager practices
    1. nepotism
    2. racism
    3. corruption
    4. tribalism
  13. Three of the following statements about the Rift Valley region in Kenya are correct.
    Which one is not?
    1. It is the relief region that covers the largest area
    2. The floor is dotted with lakes
    3. Some areas are dry
    4. It has escarpments
  14. Poultry farming is practised near large urban centres due to availability of
    1. space
    2. market
    3. roads 
    4. labour
  15. Which one of the following is the main benefit of maize growing in Kenya?
    1. It provides people with food
    2. Maize exports carn foreign exchange
    3. It promotes development of towns
    4. It promotes service industries
  16. Your brother who has completed Secondary Education intends to set up a service industry. Which one of the following businesses is he likely to choose?
    1. Buying and assembling parts of bicycles
    2. Setting up a bakery
    3. Opening a barber shop
    4. Soap making
  17. Which one of the following towns in Kenya is the oldest?
    1. Nairobi
    2. Kisumu
    3. Eldoret
    4. Lamu
  18. The best place for a pupil to cross a busy road is where
    1. there is a footbridge
    2. there are bumps
    3. the road is wide
    4. there are traffic police officers
  19. The following are statements about a form of transport
    1. It is slow
    2. It is cheap
    3. It can be used to transport bulky goods from one continent to another
      The form of transport described above is
      1. air
      2. water
      3. road
      4. railway
  20. The best way of improving tourism in Kenya is
    1. establishing more game parks
    2. building good hotels
    3. constructing feeder roads
    4. improving security
  21. A problem that has resulted from industrial development in both Kenya and South Africa is
    1. emission of smoke
    2. decline in growth of towns
    3. reduction of food production
    4. shortage of land
  22. Which one of the following was an achievement of Nelson Mandela?
    1. He was the first African president to retire voluntarily
    2. He founded the military wing of the African National Congress
    3. He founded the Organization of African Unity
    4. He led the Sharpeville demonstration
  23. Which of the following statements correctly describes democracy? Leaders
    1. impose themselves on the people
    2. inherit posts
    3. are elected by people
    4. are nominated by peopleWhich one of the following is the main benefit of maize growing in Kenya?
  24. Kenyans sing the National Anthem in order to
    1. obey the laws of the country
    2. show respect for their country
    3. please their leaders
    4. preserve people's culture
  25. A parliamentary by-election is held in Kenya when a member of parliament is
    1. residing in another constituency
    2. elected as a leader of a political party
    3. arrested by the police
    4. jailed for six months
  26. The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) is headed by
    1. a chairperson
    2. the president
    3. the Attorney General
    4. the Chief Justice

CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION

  1. The book of the Bible that describes the beginning of life is
    1. Leviticus
    2. Exodus
    3. Genesis
    4. Numbers
  2. "Leave your country, your relatives and your father's home and go to a land that I am going to show you" (Genesis 12:1). God said these words to Abraham when he was living in
    1. Haran
    2. Egypt
    3. Canaan
    4. Ur
  3. The parents of Joseph were
    1. Elkanah and Rebecca
    2. Isaac and Rebecca
    3. Elkanah and Peninah
    4. Jacob and Rachel
  4. God called Moses near Mount Sinai to go back to Egypt mainly to
    1. perform miracles in Egypt
    2. lead the Israelites out of Egypt
    3. receive the ten commandments
    4. make a covenant with God
  5. The commandment that teaches Christians to respect other people's property is
    1. 'Do not steal'
    2. 'Do not commit adultery'
    3. 'Do not accuse anyone falsely'
    4. 'Do not commit murder'
  6. The main reason why King Solomon is remembered in Israel is that he
    1. built a palace
    2. built a temple
    3. married many wives
    4. was rich
  7. King Ahab was punished by God because he
    1. had taken Uriah's wife
    2. ordered for the killing of Baal's prophets
    3. captured Jerusalem
    4. had taken Naboth's vineyard
  8. A miracle performed by both Elijah and Elisha was when they
    1. walked on water
    2. healed lepers
    3. raised dead people
    4. healed blind people
  9. Who among the following prophets said that Jesus would be born in Bethlehem?
    1. Isaiah
    2. Jeremiah
    3. Micah
    4. Hosea
  10. When angel Gabriel appeared to Zechariah,he was?
    1. burning incense
    2. sleeping in the temple
    3. looking after sheep
    4. threshing wheat
  11. The wisemen visited baby Jesus because they wanted to
    1. know where he had been born
    2. report back to Herod
    3. meet his parents
    4. worship him
  12. Angel Gabriel told Mary that the child she would get would be called the Son of the Most High God because he would
    1. deliver people from sin.
    2. be conceived by the power of the Holy Spirit
    3. be born in Bethlehem
    4. baptize people in River Jordan
  13. In which of the following ways did Jesus show his love for children?
    1. Giving them food
    2. Teaching them
    3. Placing his hands on them
    4. Offering them gifts
  14. Jesus demonstrated the growth of the kingdom of God in the parable of
    1. the mustard seed
    2. the lost son
    3. the friend at midnight
    4. the wheat and tares
  15. The miracle performed by Jesus is the town of Nain was
    1. raising Lazarus
    2. changing water into wine
    3. healing a bleeding woman
    4. raising a widow's son
  16. When Jesus died on the cross, the Roman army officer said that Jesus
    1. was a righteous man
    2. was the king of the Jews
    3. would resurrect
    4. came from Nazareth
  17. Who among the following disciples went to the tomb of Jesus early in the morning?
    1. Thomas
    2. John
    3. Matthew
    4. James
  18. The disciples of Jesus were filled with the Holy Spirit when they were praying in
    1. Nazareth
    2. Bethany
    3. Jerusalem
    4. Emmaus
  19. A Christian value learnt from the story of Ananias and Sapphira is that they should
    1. sell their property
    2. preach the good news
    3. visit their neighbours
    4. speak the truth
  20. "I have no money at all, but I give you what I have.............." (Acts 3:6). Peter said these words to
    1. a blind beggar
    2. a lame beggar
    3. Simon of Samaria
    4. A Samaritan woman
  21. Which one of the following is a fruit of the Holy Spirit?
    1. Faith
    2. Faithfulness
    3. Wisdom
    4. Preaching
  22. The best way to honour God in traditional African Communities is by
    1. reading scriptures
    2. exchanging gifts
    3. offering sacrifices
    4. skipping meals
  23. Newborn babies in traditional African communities are not shown to strangers in order to
    1. give them healthy food
    2. please their parents
    3. remember ancestors
    4. protect them from evil
  24. People in traditional African communties share material things mainly to
    1. show concern for others
    2. please ancestors
    3. show their wealth
    4. avoid disasters
  25. The best way for Christians to care for people who are infected with HIV and AIDS is by
    1. showing them love and care
    2. building homes for them
    3. separating them from healthy people
    4. preaching to them
  26. When you find two of your classmates fighting, the best action to take is
    1. leave them continue fighting
    2. separate and reconcile them
    3. report them to their parents
    4. cheer them up
  27. The best activity for Shadrack to engage in during the school holiday to help the community is
    1. sing in the church choir
    2. play with his friends
    3. fetch water for an old woman
    4. read the Bible
  28. It is important for Christians to work in order to
    1. earn their living
    2. please their leaders
    3. be rewarded
    4. obey the laws of the country
  29. Which one of the following is an element of prayer?
    1. Confession
    2. Fasting
    3. Singing 
    4. Dancing
  30. The first school in Kenya was established by
    1. slave traders
    2. European missionaries
    3. African chiefs
    4. colonizers

SECTION II

ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION

  1. According to the Islamic teachings, a number of people will be thrown into hell fire as a result of their
    1. cheating
    2. fear
    3. their tongues
    4. disrespect
  2. According to surah Qadr, the night of power is important because it is when
    1. the Quran was first revealed
    2. the prophet went for Isra-wal-Miraj
    3. the Quran was first compiled into a book form
    4. the prophet made Hijrah
  3. Surah Ikhlas talks about the
    1. origin of Allah
    2.  judgement of Allah
    3. unity of Allah
    4. mercy of Allah
  4. ''Seeking knowledge is a must to every Muslim male and female." This hadith teaches that
    1. knowledge is the foundation of faith
    2. women are responsible for the education of children
    3. Muslims should leave everything so as to search for knowledge
    4. more education should be given to men than women
  5. The surah which describes the events at the day of Qiyamah is
    1. Zilzala
    2. Tiyn
    3. Inshirah
    4. Fatiha
  6. Which one of the following surah is related to the year in which prophet Muhammad (SAW) was born?
    1. Al-Fatiha
    2. Al - Fiil
    3. Al-Quraish
    4. Al-Maun
  7. Who among the following people opposed the prophet in his first public preaching?
    1. Abu Lahab
    2. Hamza
    3. Abu Jahal
    4. Umar
  8. Which one of the following surah is related to the year in which prophet Muhammad (S.A.W) was embarrassed at mount Safa?
    1. Al-Ikhlas
    2. Al-Humaza
    3. Al-Kafirun
    4. Al- Masa
  9. The first prophet at Allah to be circumcised was
    1. Yusuf
    2. Musa
    3. Ibrahim
    4. Issa
  10. Who among the following Angels of Allah is correctly matched with the stated duty?
    1. Atid - Recorder at good deeds
    2. Jibril - Angel of rain
    3. Israfeel - Angel of hell
    4. Izrail - Angel of death
  11. Muslims consider the month of Dhul-Hijja as sacred because
    1. Hajj is performed
    2. the prophet migrated to Madinah
    3. Muhammad received prophethood
    4. the battle at Badr was fought
  12. Which one of the following names describes Allah as the most powerful?
    1. Al-Khalaq
    2. Al-Razzak
    3. Al-Qadr
    4. Ar-Rahim
  13. Which one of the following occasions are Muslims forbidden to fast?
    1. During Miladun - Nabii
    2. On Iddul-Fitr day
    3. Or the 1" of Muharram
    4. The day of Ashurah
  14. All prophets of Allah were protected from
    1. sin
    2. persecution
    3. marriage
    4. death
  15. Iddul-Adha is celebrated in the month of
    1. Dhul-Qaada
    2. Rabiul - Awaal
    3. Dhul-Hijjah
    4. Shawaal
  16. Which one of the following is a sign of a hypocrite?
    1. Telling lies when talking
    2. Using abusive language
    3. Ignoring the needs of the poor
    4. Spying on others
  17. What is the purpose of performing Salatul Janazah?
    1. To pray for the relatives of the dead person
    2. To bring the relatives of the dead person together
    3. To ask Allah to forgive the dead person 
    4. To praise the dead
  18. Abdul Karim is performing Salatul - Asr and he has realized that he has made a mistake. The correct action for him to take is to
    1. stop praying and start again
    2. ignore and continue praying
    3. ask Allah for forgiveness
    4. perform sijdatul sahw
  19. The parents of your friend Khalid do not have money for their Iddul-Fitr celebrations. The best way to belp them is by
    1. inviting the family to eat at home
    2. asking your parents to give them some money to spend for their celebrations
    3. sending the family an Idd present
    4. asking your parents to give them work so that they can earn some money
  20. The eating of meat from a dead animal is forbidden in Islam mainly because it
    1. might have diseases and harmful germs
    2. ensures good care of animals
    3. it is against civil laws
    4. it leads to sin
  21. To abstain from sex as a means to protect oneself from HIV and AIDS infection means not to
    1. engage in sex at all
    2. get married
    3. have sex regularly
    4. engage in sex before marriage
  22. Hodan performs Sunnah prayers. Which one of the following prayers has she been praying during day time?
    1. Witr
    2. Taraweh
    3. Tahajud
    4. Dhuha
  23. Which one of the following is the right Islamic business practice?
    1. Hoarding goods
    2. Weighing goods accuratel
    3. Making abnormal profits
    4. Selling miraa
  24. According to teachings of Islam, one of the following sins will not be forgiven by Allah. Which one is it?
    1. Murder
    2. Sin
    3. Stealing 
    4. Shirk
  25. The best jihad is
    1. protecting Islamic places of worship
    2. fighting against evils
    3. winning converts to Islam
    4. building Mosques
  26. Maryarn's husband has died. She should observe eddat for
    1. forty days
    2. four months and four days
    3. four months
    4. four months and ten days
  27. After the defeat at Badr, the Quraish wanted
    1. sign a peace treaty with Muslims
    2. remove idols from the Kaabah
    3. take revenge for the defeat
    4. convert to Muslims
  28. How many years did Angel Jibril take to reveal the Quran to prophet Muhammad (SAW)?
    1. 63
    2. 23
    3. 25
    4. 40
  29. The word Najasat means?
    1. Pure
    2. impurity
    3. cleanliness
    4. saum
  30. In Islam, circumcision is done to
    1. women
    2. both girls and boys
    3. boys and men
    4. oId men and women 

MARKING SCHEME

  1. D
  2. A
  3. B
  4. B
  5. C
  6. B
  7. D
  8. A
  9. A
  10. C
  11. A
  12. B
  13. C
  14. A
  15. C
  16. B
  17. C
  18. C
  19. A
  20. D
  21. A
  22. C
  23. B
  24. A
  25. B
  26. D
  27. C
  28. B
  29. D
  30. D
  31. C
  32. B
  33. C
  34. A
  35. C
  36. D
  37. A
  38. C
  39. B
  40. D
  41. A
  42. B
  43. B
  44. C
  45. D
  46. A
  47. A
  48. B
  49. B
  50. C
  51. D
  52. A
  53. B
  54. D
  55. A
  56. B
  57. C
  58. B
  59. D
  60. A

C.R.E

  1. C
  2. A
  3. D
  4. B
  5. A
  6. B
  7. D
  8. C
  9. C
  10. A
  11. D
  12. B
  13. C
  14. A
  15. D
  16. A
  17. B
  18. C
  19. D
  20. B
  21. B
  22. C
  23. D
  24. A
  25. A
  26. B
  27. C
  28. A
  29. A
  30. B

I.R.E

  1. C
  2. A
  3. C
  4. A
  5. A
  6. B
  7. A
  8. D
  9. C
  10. D
  11. A
  12. C
  13. B
  14. A
  15. C
  16. A
  17. C
  18. D
  19. D
  20. A
  21. D
  22. D
  23. B
  24. D
  25. B
  26. D
  27. C
  28. B
  29. B
  30. C





  1. Which among the following teeth related problem is prevented by eating a balanced diet?
    1. Tooth cavity
    2. Tooth decay
    3. Dental plaque
    4. Bleeding gum
  2. The amniotic fluid in the foetal development process carries out the
    following functions except
    1. keeps the foetus warm
    2. prevents the foetus from shock
    3. allows free turning of the foetus
    4. prevents the mother's blood and foetus blood from mixing

      Study the diagram below and answer the question that fo
                  Class8ScienceET3OP2023Q9
  3. Which blood vessels carry oxygenated blood and deoxygeneted blood
    respectively?
    1. W and Y
    2. Z and X
    3. W and X
    4. Z and Y
  4. A 30cm plastic ruler will float on water while a 30cm metallic ruler will sink in water. This is due to difference in their
    1. size
    2. shape
    3. material
    4. weight
  5. The best method of controlling livestock parasites that can control both mite and tapeworms is
    1. dipping
    2. dosing
    3. rotational grazing
    4. deworming
  6. Which among the following sexually transmitted infections is wrongly matched with its cause?
    1. Gonorrhoea − Bacterium
    2. Syphillis − Bacterium
    3. Chancroid − virus
    4. HIV and AIDS − virus
  7. The diagram below shows a method of preserving milk.
                           Class8ScienceET3OP2023Q10
    The method above preserves food by
    1. keeping off bacteria
    2. dehydrating food
    3. keeping off air
    4.  making bacteria inactive
  8. The following are characteristics of a certain weed.
    1. Has fibrous roots
    2. Produces blue flowers
    3. Spreads on the ground
    4. Weak soft stems
      The weed described above is likely to be
      1. Black jack
      2. Wandering jew
      3. Sodom apple
      4. Mexican marigold
  9. Which one of the following animals is wrongly matched with the product it provides?
    1. Sheep - mutton
    2. Goat - wool
    3. Cattle - milk
    4. Pig - pork
  10. One of the following groups is made of beverage crops only. Which one?
    1. Coffee, simsim, flax
    2. Carrot, cocoa, coffee
    3. Coffee, Tea, Cocoa
    4. Barley, cotton, palm
  11. A child with wasted muscles, alert eyes and cries often is likely to be suffering from a deficiency disease called
    1. kwashiorkor
    2. anaemia
    3. marasmus
    4. rickets
  12. Which one of the following shows the correct path followed by urine as it moves out of the body?
    1. Kidney→ ureter→bladder → urethra
    2. Bladder→ kidney →ureter → urethra
    3. Kidney→ urethra→ bladder →→→ ureter
    4. Urethra→ bladder→ ureter → kidney
  13. The diagram below shows a type of root system in plants.
                               Class8ScienceET3OP2023Q11
    Which plant below has the above type of root system?
    1. Onion
    2. Maize
    3. Mango
    4. Coconut
  14. The following are signs and symptoms of a certain disease
    1. Diarrhoea
    2. Headache 
    3. Fever
    4. Pain in joints
      The disease with the above symptoms is likely to be
      1. Bilharzia
      2. Malaria
      3. Typhoid
      4. Tuberculosis
  15. Which among the following drugs when abused will cause vomiting, breathing problems and brain damage?
    1. Mandrax
    2. Cobbler's glue
    3. Miraa
    4. Bhang
  16. Which methods of separating mixture can be used to separate a mixture of sand, salt and iron filings?
    1. Dissolving, filtering, evaporation
    2. Use of a magnet, dissolving, filtering, evaporation
    3. Use of a magnet, filtering, evaporation
    4. Winnowing, dissolving, filtering, evaporationThe diagram below shows a weather
  17. All the following sources of energy are renewable except one. Which one is it?
    1. Firewood
    2. Natural gas
    3. Biogas
    4. Charcoal
  18. Which one of the following is a source of heat?
    1. Glowworm
    2. Moon
    3. Firefly
    4. Star
  19. The diagram below shows a weather insrument.
                             Class8ScienceET3OP2023Q12
    Which statement is untrue about the weather instrument above?
    1. Shows where the wind is blowing from
    2. Tail end is twice as heavier than arrow head
    3. Uses the principle of air in motion
    4. The head and the tail is made up of manilla
  20. In a certain investigation on sound energy, a bell rang, and one pupil whistled as others listened. Which property of sound was investigated?
    1. Types of sound
    2. Special sound
    3. Sound pollution
    4. Direction of sound
  21. Which are the two living components of the environment?
    1. Air and water
    2. Soil and heat
    3. Liquid and sound
    4. Plants and animals
  22. Bilharzia worms mainly attack which parts of the body?
    1. Bladder and intestines
    2. Stomach
    3. Large intestines
    4. Bladder and stomach 
  23. Which among the following animals is wrongly matched with its mode of movement
    1. Cricket - flying
    2. Snail - gliding
    3. Duck - swimming
    4. Snake - slithering
  24. The diagram below shows a set-up used by class 7 learners
                     Class8ScienceET3OP2023Q13
    Which material cannot be put in gap labelled AB to make the circuit complete?\
    1. Razor blade
    2. Plastic ruler
    3. Office pin
    4. Wet piece of wood
  25. Which of the following is not an interdependence between plants and animals?
    1. Plants getting nutrients from animals
    2. Animals depending on plants for pollination
    3. Plants depending on animals for carbon dioxide
    4. Animals depending on plants for shelter
  26. Which among the following concentrates is not correctly matched with its nutrients?
    Concentrate                      Nutrients
    1. Sunflower seeds         Minerals
    2. Fish meal                    Oil
    3. Salt licks                     Minerals
    4. Bone meal                  Mineral
  27. Which of the following is the best advantage of breast milk to an infant?
    1. It is not allergic
    2. It is easier to digest
    3. Allows mother and child to bond
    4. It boosts the infant's immunity
  28. Which of the following pairs of plants store their foods in their leaves?
    1. Carrots and potatoes
    2. Cabbage and onions
    3. Kales and carrots
    4. Potatoes and yams
  29. Which vaccine is administered to infants the first time at the age of 6 weeks?
    1. DPT
    2. Polio vaccine
    3. BCG vaccine
    4. Yellow fever vaccine
  30. The diagram below shows a simple machine
                              Class8ScienceET3OP2023Q14
    The above machine can be used to measure all the following except?
    1. friction
    2. mass
    3. weight
    4. gravitational pull
  31. One of the following soil conversation measures conserves soil the same way as planting cover crop. Which one is it?
    1. Contour farming
    2. Mulching
    3. Terracing
    4. Gabbions
  32. Which one of the following are corretly matched
       Magnetic                      Non-magnetic
    1. Copper                            Steel
    2. Steel                             Aluminium
    3. Aluminium                      Cobalt
    4. Zinc                                Copper
  33. A grade five boy is sitting beside a fire source. Heat reaches his feet through:-
    1. radiation
    2. conduction
    3. convection
    4. convection and conduction
  34. Which of the following does not produce digestive juice?
    1. Oesophagus
    2. Small intestines
    3. Mouth
    4. Stomach
  35. The diagram below represents an improved jiko.
                         Class8ScienceET3OP2023Q15
    The above jiko is an example of
    1. source of light
    2. energy efficient device
    3. source of renewable energy
    4. way of using energy sparingly
  36. Which mixture below can be separated by decanting?
    1. Sand and water
    2. Water and salt
    3. Iron filings and sand
    4. Maize and beans
  37. The energy transformation in a radio using cells as source of energy is
    1. Chemical → Electrical → magnetic → kinectic → sound
    2. Electric → magnetic → kinetic → sound
    3. Chemical → Electrical → heat → light
    4. Chemical → Electrical → sound → magnetic
  38. Which one is not correct about redblood cells?
    1. Have a disc shape
    2. Contain haemoglobin
    3. Are smaller than white cells
    4. Fight disease causing germs
  39. Which one of the following pollutant corrodes corrugated iron sheets?
    1. Tobacco smoking
    2. Spraying farm chemical
    3. Aerosol sprays
    4. Industrial waste gased
  40. Which one of the following substances has a definite mass only?
    1. Cooking fat
    2. Tooth paste
    3. Water
    4. Water vapour
  41. Which one of the following does not show a way for caring and supporting people living with HIV and AIDS?
    1. Love and care
    2. Adequate nutrition
    3. Hygiene
    4. Withdrawal
  42. The diagram below shows a simple machine
          Class8ScienceET3OP2023Q16
    Which machine when used to make work easier works the same as above?
    1. Wheelbarrow
    2. Single fixed pulley
    3. Crowbar
    4. Staircase
  43. Which one of the following is not a disadvantage of hard water?
    1. Contains mineral salts
    2. Forms scales on utensils
    3. Discolours clothes
    4. Does not lather easily
  44. Which one is not a function of fibre in the diet?
    1. Helps in digestion
    2. Empties the bowel
    3. Prevents constipation
    4. Helps in the movement
  45. Which one of the following is not found in the dermis?
    1. Blood capillaries
    2. Sweat pore
    3. Sweat gland
    4. Fatty tissues
  46. Which one of the following is not a sign of ill health in livestock?
    1. Loss of weight
    2. Rough coat
    3. Coughing
    4. Low yields
  47. Below are advantages of manures. Which one is not?
    1. Contain specific nutrients
    2. Cheap to make
    3. Bind soil particles together
    4. Improve water holding capacity
  48. Carbon dioxide in the atmosphere occupies a percentage of?
    1. 0.03%
    2. 21%
    3. 0.97%
    4. 78%
  49. Which crop pest attacks seedlings?
    1. Stalk borers
    2. Cut worms
    3. Weevils
    4. Aphids
  50. Nectar feeders have
    1. short, strong beaks
    2. short, curved beaks
    3. serrated beaks
    4. long, slender beaks

MARKING SCHEME

  1. D
  2. D
  3. B
  4. C
  5. C
  6. C
  7. D
  8. B
  9. B
  10. C
  11. C
  12. A
  13. C
  14. B
  15. B
  16. B
  17. B
  18. D
  19. D
  20. A
  21. D
  22. A
  23. A
  24. B
  25. B
  26. A
  27. D
  28. C
  29. A
  30. B
  31. B
  32. B
  33. A
  34. A
  35. B
  36. A
  37. C
  38. D
  39. D
  40. D
  41. D
  42. D
  43. A
  44. A
  45. B
  46. D
  47. A
  48. A
  49. A
  50. D




Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo.

Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Kuzinduliwa kwa katiba mpya ___1__ sana mtoto msichana. Hapo awali jamii tele sana ___2__ sana. Kuna vyakula kama mayai ambavyo ___3___ wanaume. Hata ___4__ zinazohitajika nguvu nyingi ziliachiwa wavulana.__5____ hapo awali, siku __6__ hadhi ya mtoto msichana ___7__ sana. Wakati huu elimu ya mtoto msichana inaenda __8___ na ile ya mvulana.

 
 1  ilimsaidia  zilimsaidia   mlimsaidia  kulimsaidia 
 2  ilimyanyasa  zilimyanyasa  ulimyanyasa   lilinyanyasa 
 3  ziliachwa  kiliachwa   iliachiwa   viliachiwa 
 4  kazi za sulubu  kazi za ujima   kazi za shokoa   kazi za gunda 
 5  Licha ya  Bighairi ya  Mbali na  Kinyume na 
 6  huu  hili   hizi   imevikwa 
 7  imeenezwa  imetia fora  imekwezwa  imevikwa vilemba
 8  mtawalia  mkabali   sadakta   sambamba 


Zamani __9___ zilimtweza msichana na alichukuliwa kama kitega uchumi. Alisubiri akomee ili __10__ na wazazi wake kupokezwa mahari. __11___ jamii hata ziliwatuma ___12__ kupeleka habari za posa pindi tu msichana __13___. Dunia imebadilika na ___14__ anayejifanya hajui kila kitu kiko wazi. Atajionea. Kumbuka ___15__.

 
  9  nyingi  mingi   wengi   mengi 
 10  aoe  aozwe   aoleshwe   ndoa 
 11  Kati ya  Baadhi ya   Miongoni mwa   Katikati ya 
 12  washenga  manyakanga   wahandisi   makuli 
 13  alipozaliwa  alikozaliwa   alimozaliwa   aliyezaliwa 
 14  yeyote  wowote   wote   yote 
 15  Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi  Kinga na kinga ndipo moto uwakapo   huwezi kulificha jua kwa ungo  mwana wa ndugu kirugu mjukuu mtu wa mbali 


Kutoka swali la 16 mpaka 30, chagua jibu sahihi.

  1. Kanusha sentensi ifuatayo:
    Barabara iliyokarabatiwa haijaharibika tena
    1. Barabara ambayo ilikarabatiwa haikuharibika tena
    2. Barabara isiyokarabatiwa haijaharibika tena
    3. Barabara iliyokarabatiwa haijaharibika tena
    4. Barabara iliyokarabatiwa haijaharibika tena
  2. Chagua usemi wa taarifa ulo sahihi "Mkutano utaanza saa tisa jion kesho," Kinara alisema.
    1.  Kinara alisema kuwa mkutano ungeanza saa tisa jioni siku ambayo ingefuata
    2. Kinara alisema kuwa mkutano ulianza saa tisa jioni siku iliyotangulia
    3. Kinara alisema kuwa mkutano unaanza saa tisa jioni siku ifuatayo.
    4. Kinara alisema kuwa mkutano ungeanza
  3. Unganisha sentensi zifuatazo:
    1. Unaweza kulinunua gari
    2. Usimalize akiba yako
      1. Unaweza kulinunua gari lolote angalau usimalize akiba yako
      2. Unaweza kulinunua gari lolote mradi usimalize akiba yako
      3. Unaweza kulinunua gari lolote ilhali usimalize akiba yako
      4. Unaweza kulinunua gari lolote seuze usimalize akiba yako
  4. Andika wingi wa:
    Baraza la mtihani la taifa limetoa tangazo
    1. Baraza la mtihani ya taifa limetoa matangazo
    2. Mabaraza ya mitihani ya mataifa yametoa matangazo
    3. Baraza za mitihani za mataifa zimetoa matangazo
    4. Mabaraza ya mitihani ya kitaifa yametoa matangazo
  5. Chagua sentensi iliyotumia -amba- kwa usahihi:
    1. Karai ambalo lililopotea ni lake
    2. Miguu ambazo zilizojeruhiwa ni za jirani
    3. Ujumbe ambao uliwafikia ni wa kweli
    4. Kitabu ambacho kilichopatikana kimechorwa simba
  6. Kutokana na kitenzi ‘iga' tunapata nomino
    1. Mwigo
    2. Igiza
    3. Igika
    4. Igizeni
  7. Chagua sentensi yenye kielezi kinachoelezea mengi kuhusu kivumishi
    1. Daktari alimtibu vyema mwathiriwa huyo wa ajali
    2. Tulihuzunika zaidi baada ya timu yetu kushindwa
    3. Mwanamuziki hodari zaidi atatuzwa zawadi nyingi
    4. Yeye ni mzuri kama jamaa hao
  8. Chagua aina za maneno yaliyopigiwa kistari.
    Wageni wale walialikwa tena lakini wengine hawakualikwa.
    1. Kivumishi, kielezi, kiwakilishi
    2. Kiwakilishi, kihusishi, kielezi
    3. Kielezi, kihusishi, kiwakilishi
    4. Kihusishi, kivumishi, kielezi
  9. Chagua kitenzi kilichoundwa kutokana na nomino:
    1. Mvumilivu - uvumilivu
    2. Mwaminifu - aminika
    3. Mapishi - pikika
    4. Wacheshi - ucheshi
  10. Ni mpangilio upi ufaao kwa vifungu vifuatavyo ili kuleta maana kamili?
    1. sharti lishughulikiwe
    2. Uhifadhi wa mazingira
    3. na kila mzalendo
    4. ni jambo ambalo
      1. (ii), (iv), (i), (iii)
      2. (i), (iv), (iii), (ii)
      3. (iii), (iv), (i), (ii)
      4. (ii), (iii), (i), (iv)
  11. Chagua methali zenye maana sawa:
    1. Usipoziba ufa utajenga ukuta
    2. vyote vyowevu si maji
    3. Samaki mkunje angali mbichi
    4. Usidharau kiserema chalima kuliko jembe
      1. (i), (iv)
      2. (i), (ii)
      3. (i), (iii)
      4. (iii), (iv)
  12. Chereno na Rahma ni mabibi zake Rashidi..
    Je, ndoa ya aina hii huitwaje?
    1. Mkemwenza
    2. Mitala
    3. Mwanyumba
    4. Nasaba
  13. Chagua sentensi yenye ‘karibu' na 'takriban'
    1. Mjomba anaishi karibu na mji huo
    2. Darasa hilo lina karibu wanafunzihamsini
    3. Mruka viunzi alikuwa karibu kuanguka
    4. "Karibuni kwenye kipindi chetu," mtangazaji alisema
  14. Nomino mate, mawaidha na manukato ni nomino katika ngeli gani?
    1. LI - YA
    2. I - I
    3. YA - YA
    4. U - YA
  15. Eleza matumizi ya -ni- katika sentensi ifuatayo:-
    Juma alicheka kwa sauti nilipoanguka chini:
    1. Nafsi
    2. Sababu
    3. Wakati
    4. Mtendaji

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31 mpaka 40.

Tarafa ya Kwasi ilikuwa maarufu kutokana na bidii za mchwa za wakazi wake. Uchumi wa tarafa nzima ulitegemea kilimo licha ya kuwa wenyeji wa eneo hili hawakuwa na mashamba makubwa bali vikataa vidogo vidogo tu. Hata hivyo wanatarafa hawa walijua jambo moja, kuwa ukilima pantosha, utavuna pankwisha na kwa hivyo walifanya bidii kubwa katika kilimo chao. Licha ya udogo wa vikataa hivyo, waliweza kupata mazao ya kazole kila msimu wa kuvuna ulipowadia. Tatizo kuu walilopambana nalo lilikuwa usambazaji na uuzaji wa mazao yao. Lakini kwa bahati nzuri pale tarafani palikuwa na mkulima mmoja wa miaka mingi. Yeye alikuwa na shamba kubwa na alinuia kuoa na kumfunza mwanawe mbinu bora za kilimo. Lengo lake lilikuwa mwanawe awe maarufu katika zaraa.

Si miaka mingi sana iliyopita. Mkulima huyu alifunga harusi ya kukata na shoka na ua la moyo wake, Bi Maridhia. Baada ya kuishi miaka minne wakitafuta mwana wao, Mola aliwafungulia njia. Bi Maridhia akajifungua totoshoo, mtoto si mtoto. Hungemwangalia mara moja. Alikuwa mrembo kuliko huralaini wa peponi. Kwa jina walimwita Baraka. Ujio wa Baraka uliwapa furaha kuu.

Kwa furaha hiyo walimwangusha karamu ya kukata na shoka. Yakini si yamkini Baraka alianza safari yake ya maisha kwa furaha. Utotoni alikuwa danga la mwana. Alikuwa mwenye tabia bulibuli. Maadamu waliishi unono, alilelewa kwa tunu na tamasha. Chochote kile alichokitamani alipewa na hata kuongezewa.

Kwake msamiati 'sina' au hakuna hakuujua. Alipata kila kitu labda kiwe hakikupatikana madukani. Naye Baraka shuleni alikuwa wembe uliokata kuwili. Alifuata nyay za wazazi wake ambao licha ya kuwa na vyao hawakudekeza hisia zozote za ugoigoi masomoni.

Baraka pia alikuwa mcha mungu. Alikuwa ngoi aliyewafurahisha waumini wa kanisa lao. Alisoma msahafu kwa uaminifu. Isitoshe hata wakati mwingine alisimama mimbarini na kuhubiri.

Waswahili husikika wakisema kuwa muda hupaa kama ndege. Baraka alijipata amejiunga na shule moja ya kifahari huko ng'ambo. Akiwa huko alitangamana na wanafunzi wa matabaka mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia. Licha ya kuwa na furaha ya kupata nafasi hiyo ya kipekee iliyotamaniwa na wengi aligubikwa na huzuni. Kule alijipata katika kisiwa cha ukiwa na upweke. Nayo asilimia kubwa ya wanafunzi ilikuwa na mienendo iliyozorota. Mavazi ya wengi yalipwayapwaya, mazungumzo yasiyozingatia tasfida na nywele zilisukwa kivoloya.

Jinsi muda ulivyozidi kumsonga, ndivyo Baraka alivyozidi kuhusudu tabia za wenzake. Hii ni kwa sababu alichelea kuitwa limbukeni asiyetaarabika. Alishawishika kufuata rubaa. Haukupita muda mrefu ambako aliyazika maadili yake katika kaburi la sahau. Baraka alipotoka kitabia na kupoteza matumaini.

Baraka hakuona sababu ya kuwasiliana na jamaa kule nyumbani kama ilivyokuwa kawaida yake. Alijiona aliyekomaa. Hakujali la togo wala la jando. Chochote alichokiona au kusikia aliiga tu.

Maadamu alikuwa Mwafrika, aliamua kujimbambua ngozi ili awe kama wazungu. Alianza kujutia kuzaliwa Afrika. Yeye hakujali methali isemayo mwacha mila ni mtumwa. Isitoshe, alitamani kubadili umbo la kiwiliwili chake ili awe na kiuno cha nyigu cha kufungasha na nywele za singa. Yote haya aliyadhaminia mapenzi ya wavulana.

Baraka alibahatika kumpata daktari wa kutibu ugonjwa wake. Kwa kutumia karo alienda kufanyiwa upasuaji. Alipeusha rangi ya ngozi yake. Vilevile alifanywa kuwa na umbo la kuwapendeza aliowalenga. Akawa amefanana na wazungu wenyewe.

Anasa zilimnasa. Masomo nayo yakasukumwa mlango wa nyuma. Kazi yake ikawa ni kuzurura kutoka klabu moja hadi nyingine. Wakati akifanya haya, wazazi walijua kuwa alikuwa akibingirisha gurudumu la maisha. Laiti wangalijua kuwa Baraka kabadilika.

Ajabu huajabiwa. Kumbe Baraka alikuwa amejipalia makaa. Alianza kuugua saratani ya ngozi. Nywele, kope na nyusi zilimnyonyoka. Uso wake ulisawajika na kupata mabaka na makunyazi. Vidonda vilishika usukani. Akawa hatazamiki hata mara moja. Halimashauri ya shule iliamua kumrudisha nyumbani akiwa hali mahututi. Alikuwa hajiwezi. Wazazi wake walipomwangalia hawakumtambua. karibu hakuwa yeye. Kovu lililokuwa shingoni ndilo liliwafanya wamtambue. Baada ya muda mfupi, Baraka aliaga dunia. Mama yake naye kusikia hivyo, alizirai na kuipungia dunia mkono wa buriani. Ikawa huzuni si huzuni katika jamaa iliyokuwa na utulivu.

  1. Ni kauli gani isiyo ya kweli kulingana na aya ya kwanza?
    1. Wakazi wa Kwasi walitegemea kilimo licha ya udogo wa mashamba
    2. Licha ya mashamba haya kuwa madogo wakazi walipata mazao mengi
    3. Katika eneo la Kwasi ni mkulima mmoja tu alikuwa na shamba kubwa
    4. Licha ya wakazi kubarikiwa kuwa na mazao ya kutosha, soko liliwatatiza
  2. Hii ni tamathali gani ya lugha iliyotumika katika kauli hii:
    Alikuwa mrembo kuliko huralaini wa peponi.
    1. Chuku
    2. Kinaya
    3. Ishara
    4. Tabaini
  3. Danga la mwana ni
    1. mtoto aliyelelewa na kudekezwa
    2. mtoto anayepata masomo ya ng'ambo
    3. mtoto anayezaliwa baada ya wazazi kusubiri kwa muda mrefu
    4. mtoto anayelelewa vizuri
  4. Kulingana na aya ya tatu Baraka aliku mwerevu shuleni kutokana na
    1. vitabu vingi alivyonunuliwa na wazazi wake
    2. ukweli kwamba, wazazi wake walipenda mtoto mwenye bidii masomoni
    3. shida nyingi iliyokuwa nyumbani kwao
    4. ukweli kuwa wanafunzi wengi shuleni walipenda michezo kuliko masomo
  5. Kuhusudu tabia za wenzake ina maana ya
    1. kuchukia tabia za wenzake
    2. kuandama tabia za wenzake
    3. kuvutiwa na tabia za wenzake
    4. kusikia tabia za wenzake
  6. Si kweli kusema kuwa,
    1. Baraka aliionea fahari asili yake
    2. Baraka hakupendezwa na maumbile yake
    3. Baraka alitamani kuwa kama mzungu
    4. Baraka alitaka kuwa na umbo ambalo lingewavutia wavulana kwake
  7. Kulingana na kifungu ulichosoma
    1. wazazi wa Baraka hawakuwa na mwao kuhusu tabia za mwana wao
    2. baba yake Baraka alipata fadhaiko la moyo akakata kamba
    3. baada ya kusikia kuhusu kifo cha Baraka, mama yake alirukwa na kichwa.
    4. Baraka aliaga dunia pindi tu baada ya kufika katika uwanja wa ndege
  8. Kifungu chaonyesha wazi kuwa
    1. wazazi wake Baraka waliaga dunia
    2. Baraka aliwapa wazazi wake fahari kubwa baada ya kurejea kutoka ughaibuni. 
    3. lilikuwa kosa kubwa kwa wazazi kumpeleka Baraka kwa masomo ya juu
    4. Baraka aliwapelekea wazazi wake aibu kubwa
  9. Kulingana na kifungu ulichosoma, ni kauli gani ambayo si ya kweli?
    1. Wazazi wa Baraka walikaa kwa miezi arubaini na minane bila kujaliwa mtoto
    2. Kuzaliwa kwa Baraka kuliwapa wazazi wake furaha kubwa
    3. Baraka alikuwa msichana mrembo sana alipozaliwa
    4. Baba yake Baraka alimlaumu Bi. "Maridhia kwa kukawia kupata mtoto
  10. Ni methali gani mwafaka kujumlisha ujumbe wa kauli hii?
    Mama yake naye kusikia hivyo alizirai na kuipungia dunia mkono wa buriani.
    1. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
    2. Hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe
    3. Kifo ki karibu ki kisogoni pako
    4. Ajali haina kinga wala kafara.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41 mpaka 50

Mengi yamesemwa kuhusu utiifu. Ukweli ni kuwa, watu wengi hudhani kuwa maisha yangekuwa mazuri ikiwa kila mtu angeruhusiwa kufanya atakavyo. Kulingana na mimi, ni makosa kufikiria hivyo madhali mienendo isiyodhibitiwa na sheria ni kiini cha vurugu na ukiukaji wa sheria nchini. Hebu fikiria hali ingekuwa vipi ikiwa mwendeshaji pikipiki angeiendesha kulia na kushoto katikati ya barabara na kupuuza sheria za trafiki? Hali kama hii huweza kusababisha msongamano mkubwa wa magari mjini, hivyo kuwafanya watu wachukue muda mrefu kabla ya kufika waelekeapo. Kutengenea au kuwa shwari kwa mambo hutokana na kila mtu kutafuta kanuni zote zilizowekwa.

Kila mtu hana budi kuelewa kuwa utiifu si udhaifu au woga. Ni hali ya kutambua kuwa kutii utawala wa kisheria huhakikisha kuwa kuna muumano na utangamano wa kijamii. Utiifu una maana ya kufanya yanayotarajiwa. Vilevile utiifu una maana ya kutambua na kukubali kuwa kufanya matendo mema ni bora zaidi kuliko kutekeleza jambo au matendo ya kibinafsi tu. Kwa hakika ni vyema kutafakari kuhusu tunayoambiwa na wenzetu au hata watu wengine. Hatufai kufuata kila maagizo tunayopewa bila kuyatathmini vizuri. Mathalani; ikiwa mtu atakuambia ujihusishe na ujambazi, unafaa kukataa.

Ukweli ni kuwa katika maisha ya kila siku, tunatii kanuni nyingi bila kufahamu au kujua. Hakuna mtu kwa mfano anayetulazimisha kuzingatia lishe bora au kufuata maagizo ya daktari. Wengi wetu huhudhuria shule au kazini kwa wakati ufaao bila kushurutishwa. Ikiwa kwa mfano una gari unalomiliki, hakuna anayekukalifu kulipeleka kwenye gereji likatengenezwe au likakarabatiwe. Hebu jiulize hapo ulipo; je, kwa nini watu hufanya mambo kama haya bila a kuagizwa au kukahiriwa? Ukweli ni kuwa, tendo lolote lile la kutotii au kutotekeleza yale yanayohitajika litakuwa na matokeo mabaya au hata ya kuhatarisha maisha ya watu.

Wanafunzi shuleni wanatakiwa kuvaa sare nadhifu. Wabunge nao wanafaa kuvaa suti. Bwelasuti ni kwa makanika. Hata hivyo wengi hawatii wala kuheshimu uvaaji. Hapo awaliamii nyingi zilikuwa zikithamini maadili sana. Hata hivyo sasa maadili ya jamii zetu yanazoroteka kwa kasi kiasi cha kushangaza. Hali hii imeletwa kutokana na mwingiliano mwingi wa taifa letu na yale ya kigeni. Mwingiliano huu unaweza kuleta upungufu wa maadili. Kwa watu wengi na hususan vijana, kwao upotovu wa maadili ndio ustaarabu ufaao. Kusifu au kuiga nyendo mbaya huchangia upalilizi wa uozo wa tabia. Hali kama hii ikiruhusiwa kuendelea inaweza kuifuja nchi yetu.

Vijana wengi hawataki kutii sheria za uvaaji. Wafaa wakumbuke kuwa mavazi yanaweza kumtukuza au kumtweza mtu. Hali hii italingana na vazi lenyewe, hadhira lengwa, wakati na hata cheo cha mvaliaji. Hebu fikiria askari akivalia bombo na kizibao huku amebeba bunduki yake, mwalimu naye avalie chepeo, kaptura na ndara miguuni, mkunga naye avalie suruali ya kumkaba mwili na blauzi nyembamba katika zanahati yake. Zote nilizotaja ni nguo lakini wanaozivaa ndio hawatii mahali na kanuni za jamii.

Jamii zetu hutuzaini tuweze kuvalia nguo zetu za kijadi wakati wa sherehe. Kama nilivyokuelezea, wabunge wetu hawaruhusiwi kuingia bungeni bila suti na asiyetii hupigwa marufuku. Je, inamaanisha wakivalia fulana waheshimiwa wetu watakuwa uchi? La hasha. Ni vile tu kwa kuvalia fulana waheshimiwa wetu watakuwa wamekiuka kanuni za bunge. Bila vikwazo hivi, baadhi ya waheshimiwa wangekuwa na vibindo vya kutia pesa zao. Bunge ni jumba la heshima linalostahili heshima zake

Nilishasema vijana ndio hawataki kutii katika masuala ya mavazi. Hawa ndio walio katika mstari wa mbele kukosoa mavazi ya jadi. Wengi wao wamelewa na usasa na hawaoni chochote kizuri kutoka jadi. Ni vibaya sana kukosoa mavazi yetu ya kale kwa kuwa yangali na bado yako na mvuto wake. Joho, vilemba, shanga na migwisho ilikuwa na maana kubwa katika vyeo vya wazee wetu. Mzee angelia kigoda akiwa amevaa vazi la utawala, heshima ilikuwa ikiongezeka maradufu.

Siku hizi sote tumekuwa mateka wa kigeni. Mitindo yetu ya uvaaji ni shaghalabaghala. Si rahisi kumtambua msichana au mvulana, mzee au kijana aidha mwanaume au mwanamke. Wote wanadai kuwa chochote kinachoingia mjini ni halali. Hii ndiyo sababu utawaona wavulana wetu wakivalia vipuli, vikufu na hata kusuka nywele. Ya wasichana sisemi kwa kuwa niliyokutajia ya wavulana ni lele.

Mavazi huvaliwa ili kujisetiri. Tuzipe kazi zetu heshima. Tuipe miili yetu heshima. Tukifanya haya yote na tusipokaidi wito, heshima itaturudia. Utiifu ni suala muhimu sana katika maisha ya binadamu.

  1. Aya ya kwanza imeonyesha wazi kuwa
    1. kufanya mtu atakavyo huliletea taifa furaha na ufanisi
    2. ni vibaya kudhibiti sheria za raia maadamu kufanya hivyo ni kuwanyima furaha
    3. uendeshaji ovyoovyo wa pikipiki husababisha kifo kwa mwendeshaji
    4. kufuata kanuni zote zilizowekwa hufanikisha mengi
  2. Ni methali gani mwafaka kuelezea ujumbe wa kauli hii?
    Kwa hakika ni vyema kutafakari kuhusu tunayoambiwa na wenzetu au hata na watu wengine.
    1. Enga kabla ya kujenga
    2. Cha mwenzetu kikinyolewa tia chako. maji
    3. Hakuna bahari isiyo mawimbi
    4. Habari ya nyumbani simfunulie jirani
  3. Aya ya nne imeonyesha wazi kuwa, kuzorota kwa maadili kunasababishwa na
    1. matukio na maisha ya kisasa
    2. kupenda na kuzifuata nyendo mbaya.
    3. kusifu na kuzifuata tabia zote za kigeni
    4. kufikiri tu kuhusu mataifa ya kigeni
  4. Kulingana na kifungu, ni nini hasa kinaharibu nchi yetu.
    1. Wananchi wachache wanaojivunia maadili yetu
    2. Vijana wengi wanaozidi kuiga maadili yafaayo
    3. Wazee walioshindwa kuwaongoza
    4. Kufuata ustaarabu wa kigeni na kupuuza maadili
  5. Vyote hivi ni vigezo vya kuzingatia mtu anapovaa ila
    1. watu unaolenga kukutana nao
    2. mtindo wa vazi lenyewe
    3. maneno yanayolengwa kuzungumzwa
    4. mamlaka ya anayevaa
  6. Kulingana na aya ya tano, ni kweli kusema
    1. kuna nguo nzuri na mbaya
    2. hakuna maana ya kuvaa nguo
    3. hakuna nguo nzuri au mbaya
    4. nguo nzuri ni zile zinazovaliwa katika shughuli maalum
  7. Kifungu kimeonyesha wazi kuwa,
    1. ukiingia makao ya bunge ujue lazima uvae tai na suti ya buluu
    2. makao ya bunge ni rasmi yenye utaratibu wake wa uvaaji
    3. makao ya bunge hushurutisha watu kuvaa kwa njia inayofanana
    4. katika makao ya bunge, bila suti afananishwa na aliye uchi
  8. Ni wazi kuwa vijana wanasahau
    1. mavazi ya kale ni vitambulisho vya nchi ya kisasa
    2. mavazi ya kale ni vitambulisho vya serikali kihistoria
    3. mavazi ya kale ni vitambulisho vya elimu kulingana na historia
    4. mavazi ya kale ni vitambulisho vya jamii kihistoria
  9. Zamani
    1. haikuwa rahisi kumtambua msichana katika kundi la wavulana
    2. wasichana na wavulana walivalia mavazi sawa
    3. mavazi yalivaliwa kulingana na jinsia
    4. watu walivalia mavazi sawa
  10. Fulana ni
    1. vazi linalovaliwa ndani ya shati
    2. vazi linalosukwa kwa nyuzi ambalo huvaliwa juu ya shati
    3. vazi linalofumwa kwa nyuzi kujikinga na baridi
    4. vazi lisilo na mikono linalosukwa kwa kutumia nyuzi

INSHA

Endeleza:

Tulipofungua mlango huo, hatukuweza kuzuia hisia. Tulitoa mayowe kwi!kwi!kwi! kwa yale tuliyoshuhudia...

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

  1. D
  2. B
  3. D
  4. A
  5. D
  6. C
  7. C
  8. D
  9. A
  10. B
  11. B
  12. A
  13. A
  14. A
  15. C
  16. D
  17. A
  18. B
  19. B
  20. C
  21. A
  22. C
  23. A
  24. C
  25. A
  26. C
  27. B
  28. B
  29. C
  30. A
  31. C
  32. A
  33. D
  34. B
  35. C
  36. A
  37. A
  38. D
  39. D
  40. B
  41. D
  42. A
  43. B
  44. D
  45. C
  46. C
  47. B
  48. D
  49. C
  50. A
Page 8 of 18