QUESTIONS
MASWALI
Soma vifungu vifuatavyo. Fina nafasi mpaka 15. kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya uliyopewa.
Katika baadhi ya ___1___ humu nchini, tatizo la uhaba wa maji ___2___ kuwaka kama ___3___. Wakazi wa maeneo hayo ___4___ changamoto kwani bei ya maji nayo imepanda maradufu. Wanaochuuza maji mitaani kwa ___5___ nao hawana ___6___ kwani ___7___ wakazi wa maeneo hayo na ___8___, wamepandisha bei ya bidhaa hiyo muhimu bila chembe ya hisia.
A | B | C | D | |
1. | magatuzi | gatuzi | mataifa | mabara |
2. | yanaendelea | inaanza | linaendelea | unazidi |
3. | jua la mtikati | moto wa kifuu | hasira za mkizi | upepo wa tufani |
4. | wamekumbwa | wamekumbana | wamekumba | wamekumbwa na |
5. | mkokoteni | manowari | rukwama | helikopta |
6. | amani | mioyo | shukrani | imani |
7. | hawahurumii | hawawahurumii | hawawahurumi | hawahurumi |
8. | badala yake | baada yake | kabla yake | mahali pake |
Elimu ina ladha yake. Ingawa haihisiki kwa ulimi, utamu upo ___9___. Nasema hivi kwa sababu nimeyaona manufaa ya elimu. Nina uwezo wa kutambua maradhi kama ___10___ ambayo huambukizwa na ___11___ na mashairi ya aina nyingi kama vile ___12___ ambapo mshororo wa tano hukamilisha kila ___13___. Licha ya hayo, nimewafahamu wafanyakazi mbalimbali. ___14___ kuwa mfanyakazi anayeshughulikia mitambo ndiye
___15___
A | B | C | D | |
9. | Ukiujua huu na huu huujui | Elimu ni taa, gizani huzagaa | Aisifuye mvua imemnyea | Msema pweke hakosi |
10. | malaria | malale | Ukimwi | Korona |
11. | chawa | kukohoa | ngono | mbung'o |
12. | takhmisa | tarbia | tathlitha | tathmina |
13. | mizani | ubeti | kina | ukwapi |
14. | Ninamjua | Namjua | Ninafahamu | Ninamfahamu |
15. | mwandishi | mhandisi | injini | sogora |
Kutoka swali la 16 hadi 30. jibu swali kulingana na maagizo.
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31 hadi 40.
Ajali za barabarani nchini zimeongezeka maradufu. Swali ni je, nani aelekezewe kidole cha lawama? Ni serikali, ni madereva au ni sisi wasafiri? Hiki kimebaki kitendawili kisichoweza kuteguliwa. Kila siku utasikia kutoka kwenye vyombo vya habari watu walioaga dunia kutokana na ajali. Hili ni jambo la kuatua moyo hasa kwa wale wanaofiwa na wapenzi wao katika ajali.
Mojawapo ya kiini cha ajali barabarani kwetu ni barabara mbovu. Barabara zilizoharibika huchangia pakubwa katika kusababisha ajali. Mashimo yaliyojaa barabarani hufanya magari kuyumbayumba na kisha kupoteza mwelekeo. Mwishowe magari hugongana dafrau na hivyo kusababisha vifo vya watu wasiokuwa na hatia. Serikali yetu ina jukumu kubwa katika kukarabati barabara. Wawape kandarasi watu walio na ujuzi
katika ujenzi wa barabara.
Vilevile, magari yanayobeba abiria kupita kiasi husababisha ajali. Dereva na kondakta wake huwasomba abiria ukadhani ni mashehena ya mizigo. Lengo la haya yote ni ulafi wa pesa. Lawama hapa zinafaa kuelekezwa kwa madereva, makondakta na abiria. Ni sharti wenye magari wajali masilahi ya wasafiri, nao wasafiri ningewashauri kutoabiri magari yaliyojaa abiria.
Isitoshe, magari mabovu katika barabara zetu pia ni chanzo cha ajali. Si ajabu kuwaona madereva wakiyaendesha makatara barabarani. Magari hayo huharibikia mahali popote na wakati wowote. Waendeshaji hawa hujipa moyo na kujitetea kwa methali isemayo ukuukuu wa kamba si upya wa ukambaa. Hatua thabiti za kisheria zinafaa kuchukuliwa na serikali ili kuyaondoa magari ya aina hii. Tukumbuke kuwa kinga ni bora kuliko tiba. Aidha, tutahadhari kabla ya hatari.
Fauka ya hayo, madereva wasiohitimu huchangia katika kusababisha ajali. Wao huendesha magari bila kuhitimu. Labda waliwahonga wanaohusika na utoaji wa leseni. Hawajui ishara za barabarani. Kwa mfano, kivuko cha watoto na hata wanyama, barabara zenye matuta na pengine ishara ya kuonyesha kuruba. Wanaotoa leseni wanapaswa kuwajibika na kutoshiriki ufisadi.
Madereva waliotumia dawa za kulevya pia husababisha ajali. Uwezo wao wa kuona vyema huathirika kwa sababu ya vileo. Wao hawamakiniki wanapoendesha magari. Mihadarati pia huwafanya wengine kuendesha magari kwa kasi mithili ya duma. Wao husahau kuwa haraka haraka haina baraka.
Ni sharti sote tuungane mikono ili kukomesha ajali katika barabara zetu. Tukumbuke kuwa nia zikiwa moja, kilicho mbali huja. Sisi ndisi wenye nchi na kumaliza ajali kunatutegemea sisi.
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41 hadi 50.
Vumilia alikuwa mtoto wa kike. Alikuwa kifunguamimba katika familia ya mzee Juhudi. Baba wa Vumilia alikuwa maskini wa mali lakini tajiri wa moyo. Alifanya kazi za kijungujiko kuwakimu wanawe na mkewe ambaye walichukuana kama sahani na kawa. Wazee wa vumilia walikula yamini kufanya kila waliloweza ili kumrithisha mwana wao ufunguo wa maisha.
Vumilia alipohitimu darasa la nane, wazazi wake walichochea ari yake ya kufuzu maishani kwa kutumia mifano halisi ambayo Vumilia aliielewa. Wazee hao walimkumbusha binti yao kuwa bidii, utiifu, uvumilivu pamoja na heshima na uadilifu vilikuwa siri kubwa ya fanaka. Naam! Ilibainika kuwa samaki hukunjwa angali mbichi.
Binti wa watu alipopasuliwa mbarika, alikuwa kama mbwa aliyeonyeshwa ufuko, akakataa abadan katan kufa maji. Aliongeza bidii maradufu katika masomo yake na kuwa kama anayetegemea kisomo kuishi. Waliosema kuwa bidii hulipa hawakukosea. Mtihani ulipofanywa na matokeo kutolewa, Vumilia aliwaacha wengi vinywa wazi kwa kuwa alikuwa amewashinda watahiniwa wote nchini.
Halikuwa la mjadala tena. Anayechovya asali hachovyi mara moja. Vumilia hakulegeza kamba wala kuangalia nyuma. Makini yake yalikwama masomoni. Licha ya kuwa kijana, alikataa kuwa bendera ya kufuata upepo. Alimakinikia ndoto yake ya kuwa mhasibu ili kuwaauni wazee wake kama njia ya kushukuru kwa yote waliyoyatenda. Wafadhili wake waliridhishwa na hatua yao ya kumfadhili Vumilia tangu shule ya msingi hadi chuo kikuu.
Hewaa! Hayawi hayawi huwa. Tunapozungumza sasa, Vumilia ni mhasibu mkuu katika benki kuu ya Tulizeni. Amewajengea wazee wake kasri na kuhakikisha kuwa wanapata kila wanalohitaji. Daima huwasomesha wadogo wake na kuwahimiza kufanya bidii za duduvule wakifahamu mno kuwa jasho la leo ndilo faraja ya kesho.
MARKING SCHEME
QUESTIONS
Read the passage below it contains blank spaces numbered 1-15. For each blank space, choose the BEST alternative from the given four.
Juma was well known not only for his skill in metalwork ___1___ for the way he ___2___ with people. He ___3___ politely to his customers and he ___4___overcharged them. He was honest ___5___ for this people liked him. His grandmother was friendly. She talked to customers kindly and ___7___ the women how their children were ___8___.Two or three times ___9___ month Juma went to town and ___10___ bags full of old cans On ___11___ days, his grandmother was left to ___12___ the workshop
"Hallo, Grandmother. Are you the shopkeeper this afternoon ____13___ I asked her one day ___14___ I visited the workshop. "Yes, I am," she ___15___.
A | B | C | D | |
1. | but also | even | too | too |
2. | talked | answered | blended | dealt |
3. | discussed | stated | talked | argued |
4. | never | rarely | hardly | usually |
5. | but | or | and | even |
6. | as well as | also | yet | too |
7. | inquired | asked | compelled | told |
8. | getting well | getting on | getting about | getting across |
9. | every | half | whole | each and every |
10. | brought in | brought back | brought forth | brought down |
11. | this | that | these | such |
12. | look after | look at | look ahead | look back |
13. | ." | ?" | ," | "? |
14. | once | while | when | during |
15. | said | talked | answered | replied |
For question 16-18, choose the alternative that best completes the sentence given.
For question 19-21, choose the alternative that means the same as the underlined word(s)
For question 22 and 23. choose the alternative that means the opposite of the underlined.
For question 24 and 25, choose the one that least fits in the group.
Read the passage below and then answer question 26-38.
The village we all loved so well consisted of perhaps twenty mud houses grouped in compounds on either side of the road. Each compound contained four or five houses arranged in a hollow square. One of these compounds, the biggest by far, was the Chief's. His was the only house with corrugated iron roofing. Not even his wives' houses in the same compound had this luxury.
A little stream ran under the main road at one end of the village near the school. The bridge over this stream was wide enough to take one car or lorry at a time. When we were having our twice-daily bath in the cool, clean water below, it was frightening to see how a lorry crossing the bridge leaned over, seeming always in danger of falling and crushing us.
I suppose I must at an early age have given some evidence of possessing better-than- average intelligence, for my family sent me to school - the only one of my brothers and sisters thus favoured. Perhaps though, it was only that when we were children squatted on the bare earth in front of the house, taking it in turn to invent stories, mine always seemed to be the lengthiest and most involved, as well as the most popular. But then my elder brother had learned to give the customers who came to my mother's shop their correct change at an earlier age than 1, and one of my younger brothers could beat the drum better than I could. I see now that, slight as were my father's contacts with the outside world, he had learnt that a person's success depended on his ability to express himself effectively in the big city on the coast (which to the best of my knowledge, he only visited once), as well as in the great unknown world beyond.
I do not remember ever hearing my father and mother discuss the question of my being sent to school. One morning, without any warning, my father said to me," Kisimi, put on your best gown, wash your feet, and follow me." I must have been about ten years old at the time, for I was just tall enough to reach things on our verandah parapet from the ground outside. My father had put on his best khaki trousers and a blue and white striped robe, and walked ahead of me down the two miles road between our hut and the small school run by the American missionaries on the other side of the village.
We turned off the road up a neat gravelled path lined with short bushes of crimson double hibiscus set at regular intervals. To one side of the path was a dwarf-sized football field, and mango and avocado pear trees stood on the other side, the former with their blossoms, so much like Christmas-tree decorations, swaying softly in the breeze. My feelings are we stepped over the dusty threshold into the cool interior of the one-roomed school were compounded of curiosity and pride, but mainly of the latter.
The American lady who rose from her table in a corner of the room to greet us as we entered was I thought, radiantly beautiful. She smiled as if she already knew and was very fond of us; her skin was white and red, and looked so soft and smooth that I longed to touch it. But when she spoke her voice sounded unmusical and unnatural, and even the little boy who was summoned to interpret for her seemed to have difficulty in understanding what she was saying. I marvel now at the speed with which we all learned to understand and speak the strange language she spoke.
Read the passage below and then answer question 39-50
The term child labour is not new in this country. It is a practice that has existed from time immemorial. Children are forced to seek employment for various reasons. Some may have lost both parents at a very tender age. Others come from very poor families hence are forced to stop schooling to seek employment to sustain the remaining members of the family.
Due to poor working conditions, these children suffer untold pain. Many's the time when these children work in the rain, scorching sun and very dusty conditions. These children are also exposed to very harmful and deadly chemicals for they work without protective clothing such as gloves, mouth and nose masks, gumboots, helmets or overalis. They touch these with their bare hands and step on them with bare feet. Any medication for these children becomes a nightmare.
Most of these children are mistreated by their employers. They are not allowed to complain whatsoever; they are beaten thoroughly whenever they complain. During these beatings, they sustain serious injuries, which become rather septic and rarely get the necessary treatment. Further still, the mistreatment and injuries the children sustain leave them so traumatized and not trusting any adults. They find adults rather inhuman.
Employing children denies them the basic right to education and opportunities to go to school not forgetting that education at primary and secondary levels in Kenya is free. Child labour encourages delinquency, truancy and school dropouts among many children of school going age. Despite the hardship encountered, children prefer to give up school and fend for themselves through the minimal wages received in child labour.
Further investigations on child labour reveal that some parents give out their eldest children to fend for the family and themselves. The case in point is where children are employed as house helps. In most cases, the child employed is of the same age as the children of the employer. The employer's children go to school but the juvenile house help has to wake up at the wee hours of the morning, prepare breakfast, polish the children's shoes and see them off to school. Sometimes the child is subjected to beatings and verbal abuse for work not well done. At times the child will go without food for a mistake made by someone else.
Worse still, child labour encourages drug and alcohol abuse. Most children take to drug abuse and alcoholism to escape their woeful lives. Many of these children develop immoral behaviour due to the harsh conditions they are subjected and exposed to at such a tender age. We all agree that child labour is an evil act that demoralizes children. We should all stand our ground and say no to child labour.
QUESTIONS
Item | Rent | Food | Saving | Clothing |
Amount | Sh. 6 000 | Sh. 5 000 | Sh. 4 000 |
QUESTIONS
Study the map of Sawe area and use it to answer questions 1 to 7.
Use the map of Kenya below to answer questions 14 to 17.
PART II
SECTION A
CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION
SECTION B:
ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION
MARKING SCHEME
C.R.E
I.R.E
QUESTIONS
Part | Name | Function | |
A. | Y | Placenta | Carry food and oxygen. |
B. | Z | Amnion | Prevent the foetus from diseases. |
C. | W | Amniotic fluid | Act as a shock absorbers. |
D. | X | Umbilical cord | Facilitate food transfer. |
P | Q | R | S | |
A. | Endosperm | Plumule | Cotyledon | Radicle |
B. | Radicle | Cotyledon | Plumule | Endosperm |
C. | Plumule | Endosperm | Radicle | Cotyledon |
D. | Radicle | Cotyledon | Plumule | Endosperm |
MARKING SCHEME
MASWALI
Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo Jaza kila pengo kwa kuchagua jawabu lifaalo zaidi.
Kufaulu kwa kila mmoja katika maisha ___1___ mambo mengi ___2___ mambo hayo ni bidii. ___3___ ukafaulu katika jambo ___4___ bila kuwa ___5___ bidii. ___6___,kuna watu wengi wanaopenda ____7____ katika maisha. Si ajabu kuwapata wanafunzi ___8___ kusoma wala kufanya kazi wanazopewa kwa bidii. Wanafunzi kama hao wanafaa kukumbushwa kuwa ___9___
Ni kweli kuwa msimu ___10___ uchaguzi umekaribia sana. Huu ___11___ wakati wa kufanya uamuzi wa busara kuhusu viongozi ___12___ kwa miaka ___13___ ijayo. Tatizo ___14___ hutusumbua kila wakati wa uchaguzi ni ukabila na tamaa. Kuna wakenya ambao hufanya uamuzi kwa kuzingatia kabila la mtu ama pesa walizopewa wakati wa uchaguzi. Tunafaa kumchagua mtu aliye na___15___ ya kutuletea maendeleo.
Kuanzia swali la 16-30, libu kulingana na. maagizo
Soma ufahamu kisha ujibu maswali 31-40
Hewaa! Bila shaka, sote tulikuwa tumeisuburu siku hii kwa hamu na ghamu. Nami sitapoteza hata punje ya sekunde. Nitatumia fursa hii adimu na adhimu kukufafanulia mambo unayofaa kuyafanya ili ufaulu katika mtihani wa kitaifa. Ni bayana na wazi kama meno ya ngiri kuwa sasa wewe ni mwanafunzi wa darasa la nane. Muda nao haupo, una miezi michache sana kabla ya kuufanya mtihani wa kitaifa wa darasa la nane. Je, umejiandaa vipi? Unawezaje kutumia muda huu mfupi uliosalia ili kufua dafu katika mtihani wako?
Awali ya yote, ni lazima kama ibada kuwa mwenye bidii. Naam, bidii hulipa. Bidii ndilo daraja la kukuvusha hadi katika kisiwa cha ufanisi. Fanya kazi unazopewa na mwalimu kwa moyo wako wote. Kazi za kiada na ziada zisipuuzwe hata kidogo. Usikubali kulaza damu na kuwa mtepetevu. Masomo yapewe kipaumbele ikiwa unataka kufaulu. Licha ya hayo, tumia muda wako vizuri. Wakati ni upepo, haumsubiri mwana wa mfalme. Muda ukienda haurudi Jambo linalofaa kufanywa leo lifanywe leo. Usijiambie kuwa nitafanya kesho. La hasha! Wakati uliotengewa kusoma utumike kwa kusoma. Ule uliotengewa kucheza uwe wa kucheza. Usipoteze wakati ukitazama runinga au kucheza na marafiki hapa na pale. Hilo uliepuke.
Aidha, ni muhimu kuwachagua marafiki zako kwa hekima na busara. Lazima unajua wanafunzi katika darasa lenu ambao wanapenda kusoma na wale wasiokuwa na haja na masomo. Wale wapendao masomo ndio wanaofaa kuwa marafiki zako. Hao watakufaa na kukuelekeza katika mambo ambayo huyajui. Watakusaidia unapokuwa na tatizo katika somo lolote. Kwa upande mwingine, kuna wanafunzi ambao kazi yao kuu ni mchezo na kuchekacheka darasani. Wanapopata nafasi yoyote, pengine mwalimu hajaingia darasani au hakuja shuleni, wao huipokea nafasi hiyo kwa furaha ili wacheze na kuwasumbua wenzao. Kutembea au kusuhubiana na watu kama hao ni kujiingiza katika kichaka cha simba ukiona. Tabia za mtu hutegemea sana tabia za watu anaotembea nao. Marafiki wabaya wanaweza wakafanya uwe mwenye tabia mbaya. Hilo usisahau.
Vilevile, usichoke kuuliza maswali na kufanya utafiti. Wahenga walisema kuwa kuuliza si ujinga, ni kutaka kujua. Kila unapokuwa na swali ama jambo usilolielewa, usione aibu wala haya. Uliza mwalimu wako ili akupe mwelekeo. Iwapo mwalimu hayuko na kuna mwanafunzi anayeweza kukueleza, basi tafuta msaada kwake. Kwa namna hiyo, utazidi kupata maarifa na kujiimarisha kimasomo. Usiwaogope wanafunzi ambao humcheka mwenzao anapouliza swali. Waache waendelee kucheka. Pengine hawajui kuwa mcheka kilema hali hakijamika. Kujisomea na kudurusu nako ni muhimu sana. Panga muda wako wa kujisomea ili kuelewa mambo ambayo hukuwa umeelewa vizuri. Fanya mazoezi ya mitihani iliyopita kisha ujisahihishie au mwalimu akusahihishie. Hakikisha kuwa unapata maelezo ya maswali uliyofeti na kufanya masahihisho. Kwa namna hii, utakuwa imara kama chuma cha pua.
Jambo jingine ambalo ni muhimu mno ni kumtanguliza Mungu. Mungu ndiye mpaji wa vyote. Ndiye ahakikishaye kwamba umelala na kuamka salama salimini. Afya yako, ja mwili na akili, i mikononi pake. Huwezi ukafaulu katika jambo lolote bila msaada wa Mungu. Juhudi zote unazoweka katika masomo yako si chochote si lolote bila uwezo wa Mwenyezi Mungu. Muu ndio ukweli wa kauli kuwa jitihada haiondoi kudura. Hatimaye, ni jambo la busara kutenga muda wa kupumzika vya kutosha. Hakuna awezaye kuchapa kazi bila kupumzika. Unafaa kupumzika kila baada ya kusoma kwa muda wa kutosha. Kupumzika huko kunajumuisha kulala ama kucheza na wenzako. Unapocheza kisha uoge na kupata usingizi wa kutosha, akili yako huwa na uwezo wa kuelewa mambo unayoyasoma kwa kasi sana. Ninakutakia kila la heri unapojiandes kwa mtihani wako mwisho wa mwaka huu.
Soma ufahamu kisha ujibu maswali 41-50
Daima siwezi kumsahau Mzee Saidia katika maisha yangu yote. Japo wasemao husema kuwa yaliyopita si ndwele tugange yajayo, kumsahau Mzee Saidia na wema wake si rahisi kama kula papai kwa kijiko. Mzee Saidia alikuwa jirani yangu aliyekuwa si maskini hohehahe wala tajiri wa kutajika. Alikuwa na duka moja pale sokoni Shibale alipouzia bidhaa rejareja. Kila nilipotumwa dukani na wazazi wangu, nilihakikisha kuwa nimenunua dukani pake kutokana na upole wake alipowahudumia wateja. Aghalabu duka hilo lilijaa wateja waliohiari kusubiri kwa muda mrefu ili wapate huduma nzuri. Wengine nao hawakuwa na pesa, haja yao ilikuwa kumlilia hali ili wakopeshwe. Mzee Saidia aliwasikiliza na kuwasaidia kulingana na uwezo wake. Duka lake lilifunguliwa asubuhi na mapema, lingekuwa wazi huku wateja wakiingia na kutoka hadi saa mbili au tatu za usiku.
Kuna wakati wazazi wangu walianza kuugua kutokana na maradhi yasiyokuwa na tiba. Juhudi zao za kutafuta matibabu hazikuzaa matunda. Haukupita muda mrefu kabla ya wazazi wangu niliowapenda kama mboni za macho kuzidiwa na maradhi. Walilala usingizi usiojua kuamka. Niliunawa uso wangu katika machozi yasiyojua kuwa kilio si dawa. Wanuna wangu nao walionekana kuzubaa tu, wasielewe kwa nini watu wengi walijaa nyumbani kwetu. Baada ya mazishi ya wazazi wangu, shangazi alichukua mnuna mmoja na mjomba akachukua mwingine. Mimi nilibaki na ami yangu aliyependa pombe kama uhai wake. Maisha katika nyumba ya ami yalikuwa magumu kama jehanamu. Kuenda shuleni kulikuwa ndoto ya mchana. Lishe bora nayo ulikuwa msamiati uliowekwa katika kamusi kimakosa.
Siku moja nilipigwa na butwaa nilipoona watu wakijaa katika boma. Wengi wao walikuwa waliokula chumvi nyingi. Mara nilipasuliwa mbarika kwamba nilifaa kukeketwa kulingana na mila na itikadi za jamii yetu. Licha ya watu wengi kuzitupilia mbali mila hizo zilizopitwa na wakati, kunao waliopuuza na kuzikumbatia. Nilitetemeka kama kijibwa kilichonusurika kumezwa na chatu. Nilifungwa maleso na kuelekezwa katika kijumba kilichokuwa kitalifa cha pua na mdomo kutoka kwa ami. Ghafla kama mawingu, niliona maafisa wa polisi wakijitokeza mbele yetu. Ami na baadhi ya watu waliohusika katika shughuli hiyo walitiwa mbaroni. Wengine wallfaulu kupiga mbio na kutokomea. Polisi hao walinifahamisha kuwa walipigiwa simu na Mzee Saidia, akawafahamisha kuhusu ukatili uliokuwa ukiendelea.
Mzee Saidia alinirudisha shuleni. Huko nilisoma kwa bidii za mchwa ajengaye kichuguu kwa mate. Mzee Saidia alinifaa kwa hali na mali. Alinichukulia kama mmoja wa watoto wake. Sote tulienda shuleni na kufaidi utamu wa masomo. Nililala katika chumba kimoja na mabinti zake. Wakati wa wikendi au likizo, tulifanya shughuli kadhaa za shambani na nyumbani. Mzee Saidia hakukubali hisia za uzembe wala ubaguzi. Baada ya masomo ya shule ya msingi. tuliendelea na masomo ya shule ya upili. Mzee Saidia alinilipia masomo yangu ya chuo kikuu. Nikasoma hadi nikatimiza hamu yangu ya masomo. Baada ya kufuzu, niliajiriwa katika kampuni moja maarufu nchini humu. Niliwachukua wanuna wangu ili waendeleze masomo kutokea walipokuwa wamefika. Nilizingatia mafunzo ya uadilifu na bidii niliyopewa na Mzee Saidia. Tulipopata nafasi, tungejumuika nyumbani kwake pamoja na wanawe ili kufaidi nasaha alizotupa na kumshukuru kwa moyo wake uliosheheni wema.
Baada ya nusu mwongo wa kufanya kazi nchini humu, nilipata nafasi ya kufanya kazi kule ng'ambo. Mimi na wanuna wangu hatukuwa na budi kuhamia huko, Mzee Saidia na aila yake yote walitusindikiza hadi katika uwanja wa ndege. Tuling'oa nanga, tukasafiri na kuwasili Marekani bila shari wala dosari. Miaka takribuni kumi ilikuwa imepita. Wakati huo wote tulizungumza na Mzee Saidia kwa simu tu na kuandikiana baruapepe. Kila mwisho wa mwezi, sikusita kumtumia kitita cha pesa, shukrani zangu za dhati kwa wema wake. Mara nilipata ujumbe kuwa Mzee Saidia alikuwa amezidiwa na ugonjwa wa figo. Nilizungumza na wanawe pamoja na mkewe, tukaelewana kuwa aje ng'ambo ili afanyiwe matibabu. Alipowasili marekani, nilienda kumpokea katika uwanja wa ndege. Tulikutana tena baada ya tukio hilo la wema. Ulikuwa umepita muda mrefu lakini bado nilimshukuru.
QUESTIONS
Read the passage below. It contains blank spaces numbered 1 to 15. For each blank space, choose the best answer from the choices given.
Forgiveness is a virtue but the way people ___1____it is quite relative. Many people think that certain actions are ___2___ while others are not. Some people ___3___ that forgiveness encourages the wrongdoer to repeat ill ___4___. Forgiveness is subjective and the act of forgiveness can have many meanings. Acceptance of apology may be forgiveness for some, while helping the other ___5___offended you to get out of the habit of ill-treatment may be a way for others.
We all make mistakes. So when we learn to forgive others, we can also ___6___forgiveness when we commit follies. Also if we ___7___ forgive others, we also learn to forgive ourselves in situations of self-guilt. Thus the virtue of forgiveness helps us ___8___ out of the feeling of self-blame. If we fail to forgive ourselves in time, we often end up realizing that others had forgiven us long back, but we kept feeling bad ___9___ ourselves all this time.
Forgiveness helps us feel light and helps us get ___10___ of hard feelings that occupy our mind, heart and ___11___ away our peace of mind. Forgiveness is a way to self-fulfillment, ___12___ people who can readily forgive others are more responsible and satisfied inside than those who keep grudges ___13___ others and develop feelings of enmity. The feeling of anguish only results in arguments, fights, mistreatment and war ___14___ cases. Those who forgive ___15___ in creating positive energy on this planet.
For questions 16 and 17, choose the alternative that means the same as the underlined sentence.
For questions 18 to 20, choose the alternative that best fits in the blank space.
For questions 21 and 22, choose the best arrangement of the given sentences to make a sensible paragraph.
For each of the questions 23 to 25 select the best alternative to fill in the blank space.
Read the passage below and answer questions 26 to 38.
Whether you are the best pupil in class or not, no matter how hardworking or bright you are, you are bound to miss class one day. The likelihood is that it will be more than one day; it is inevitable. Emergencies, illness, bereavement and a desire to sleep on are some of the reasons pupils abscond classes.
When you miss class because of your irresponsibility, you ought to look closely at your priorities and obligations because you are responsible for your future. So, what happens when you miss a lesson? Will you just walk into the next class and continue as
usual?
If you miss one lesson, it means you have missed out a section of the syllabus. You therefore need to be at par with your classmates. Some of the practices to help you get completely up to speed for your next class when you miss class include: You need to understand that some teachers take offence at absences. Unless you were gravely ill or lost a close relative, they may never want to listen to your explanations. Others will allow you to miss even if it is just a mild flu. Whichever category your teacher falls, do not take it personally. Every teacher wants their pupils to perform well. Determine where your teacher stands and let that dictate how you handle such circumstances.
Tell your teacher or have a close relative inform them that you will not be attending their classes. This will convince the teacher that indeed you have a problem. You could also inform the class prefect or classmate to inform your teacher about your absence.
If you have been given an assignment prior to your absence and you had completed it, ensure it gets to your teacher even as you are away. When you eventually come back to class, it would be rude for you to ask if you missed anything important. Every teacher knows and feels that their class is important. Get hold of notes that were taken while you were away, ask questions and clarification for the information you did not understand.
Find out from the other pupils what they did while you were absent and request them to share their notes. Do not just read one student's notes; get them from different students since some students tend to miss out some points. This way, you will get the complete picture of what had happened in class. You could also request your teachers for one-on- one session with them during free time so that they take you through the lesson you missed.
Read the passage below and answer questions 39 to 50.
Research has shown that students who are involved in co-curricular programs tend to achieve better results in academic work as opposed to the usual 'bookworms'. They know how to strike a balance between academics and co-curricular activities. They utilize time they have at their disposal and make the most of it. They show great interest in their academics and go an extra mile to show their prowess. It is also important to note that students taking part in co-curricular activities stand a chance to join better secondary schools and colleges.
Co-curricular activities make learners both creative and innovative. They stimulate the learner's interest and desires to find new ways of solving the many challenges that come their way. These learners also relate well with other people. They know how to make and keep friends
Co-curricular activities help the learners remain fit and refresh their mind. Such learners are unlikely to suffer from lifestyle diseases or even subjected to intense stress. It also keep students away from harmful habits like drugs, crime and immorality. Learners who are active in co-curricular activities are occupied at all times and have no time to think of destructive behavior.
Parents should encourage their children to be active in co-curricular activities. Education is a broad concept that goes beyond the confinement of a classroom. The principle aim of education is to bring about an all-round development of a child. This implies that a child has to develop physically, intellectually, morally and socially. To fulfil, these objectives, there is a prime need of striking a balance between syllabus work and co- curricular activities. It is pointless for a child to get A's in academics yet he is physically unfit and can hardly get along with the society at large.
Co-curricular activities are activities which take place outside a typical pen and pencil classroom environment. They give pupils an opportunity to develop particular skills and exploit their non-academic abilities. Some of these activities help learners in numerous ways. As a matter of fact, they complement the academic work. They refresh pupils' minds and make them ready for lessons.
Children who take part in co-curricular activities are more confident than those who do not. They can express themselves before a crowd with ease. Besides, they develop the spirit of competition and understand that one does not have to win all the time for him to be considered a victor. They also recognize the significance of team work in a competition. They learn to trust their teammates and value their contribution towards the well-being of the group. Such learners develop trust in the team and not their own contributions only.
QUESTIONS
value of order in (sh) | Commissions charge in (sh) |
301 - 500 501 - 700 701 - 1000 1001 - 2000 2001 - 3000 3001 - 5000 5001 - 7000 7001 - 10,000 10,001 - 15,000 15,001 - 20,000 20,001 - 30,000 |
80.00 120.00 170.00 200.00 250.00 320.00 390.00 480.00 580.00 600.00 850.00 |