Click a link below to access exams | |
2023 Class 8 Exams Many Sets>> | 2023 Grade 7 Exams Many Sets>> |
2023 Grade 6 Exams Many Sets>> | 2023 Grade 5 Exams Many Sets>> |
2023 Grade 4 Exams Many Sets>> |
Jaza mapengo kwa kutumia jibu sahihi.
Kadala ni mwanafunzi ___1___. Badala ___2___ kuwasikiliza walimu ___3___, yeye hupendelea kufanya utukutu. Jana mwalimu mkuu alimpa onyo ___4___ mwisho. Alimwambia aende nyumbani akamlete baba ___5___.
A | B | C | D | |
1. | mtukutu | kitukutu | litukutu | matukutu |
2. | za | cha | la | ya |
3. | yake | wake | chake | lake |
4. | ya | za | cha | la |
5. | zake | chake | lake | yake |
Andika sentensi zifuatazo kwa wingi.
Andika kinyume cha maneno haya.
Tunga sentensi ukitumia majina uliyopewa.
Jaza mapengo kwa usahihi.
UFAHAMU
Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali.
Hadija si tabia yake kufuatana na watu wenye tabia mbaya. Lakini siku moja alikata kauli kwenda katika sherehe za sikukuu ya Madaraka. Aliaandamana na watu vichwa maji. Watu hao walimcheka kila mahali. Wengine walisukumana hata na mama wajawazito waliwatisha watoto wadogo na kuwangurumia kama simba. Watoto walilia na kukimbia ovyo. Watu wengine walitoa sigara walizozificha mifukoni wakavuta. Hadija alichukia kile kitendo cha watu hao. Alichukia nywele zao chafu zilizosokotana kama manyoya ya kondoo. Aliyachukia mavazi yao yasiyo na adabu. Baada ya sherehe wanafunzi hao walirudi shuleni. Hadija alienda moja kwa moja hadi kwa mwalimu mkuu. Uchunguzi ulifanywa na ukweli wote ulipatikana, watukutu, wajeuri na vichwa maji waliadhibiwa.
Andika tabia mbili mbaya watu hawa walifanya.
UFAHAMU
Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali.
MUGUMO
Miti ina faida nyingi kwetu sisi wanadamu. Hutupatia matunda, mbao, kivuli na hata kuvuta mvua. Nchi isiyokuwa na miti hubadilika na kuwa jangwa. Hii ndiyo sababu ya kuwa na siku maalumu ya kupanda miti kila mwaka.
Babu zetu walikuwa na njia yao ya kuzuia ukataji wa miti. Watoto wadogo walitolewa hadithi za kuwafanya waogope kuikata miti fulani. Miti kama mugumo una hadithi nyingi kama hizo. Hii ni kwa sababu ulitumiwa na makabila mengi kutolea sadaka kwa Mungu.
Hadithi moja inahusu mtu mmoja aliyeishi katika kijiji kilichoitwa Makongo. Jina lake lilikuwa Tangawizi. Watu wa kijiji cha Makongo walimchukia Tangawizi kwa sababu ya kukata miti ovyo. Walijaribu kumzungumzia lakini aliendelea kuikata miti.
"Miti ni mali ya Mungu," aliwaambia. Siku moja, Tangawizi aliondoka nyumbani kulipopambazuka, shoka mkononi na kuuendea mugumo uliotumiwa na watu wa kijiji cha Makongo kutolea sadaka kwa Mungu.
"Watatafuta mahali pengine pa kutolea sadaka," alisema na kuanza kuukata. Lakini kabla ya kuendelea sana, damu ilianza kutoka katika sehemu aliyoikata. Mara aliisikia sauti kubwa kutoka kwa mugumo huo.
Tangawizi!.... Tangawizi!...... Tangawizi!
Kwa vile wataka kuniua, mimi nitakuadhibu.
Kutoka leo, utakuwa kipofu hadi kufa.
Macho ya Tangawizi yalijifunga na akawa kipofu hadi kufa kwake.
INSHA
Andika Insha kuhusu:
NYUMBANI KWETU
QUESTIONS
Complete the sentences using "has" or "have"
Fill in the blank spaces with the correct form of the word in brackets.
Write the plural form of the following nouns.
Use "enough", or "a lot" or "a lot of" to complete the following sentences.
Fill in a or an in the following.
Complete the following. Follow the example given.
Example.
She is a girl. They are girls.
Read the passage below and answer the questions.
THE BOY AND THE LION
Once there was a boy who worked for a king. But the king was cruel to him. So the boy ran away. He met a big lion in the desert. The boy was afraid because the lion looked angry. The lion said, "I am angry because there is a thorn in my foot." So the boy sat down and pulled the thorn out. The boy and the lion became good friends.
One day the boy went back to the town. That day the cruel king went hunting in the desert and he caught the lion in a net. Then he saw the boy in the town and he caught him as well.
"I will punish you for running away. I will throw you to the lion," said the king. So the king threw the boy into the lion's den. But when the lion saw the boy, he lay down and smiled. The boy smiled too and put his arm around his friend. The king was amazed and he let the boy the lion go free.
Read the poem below and answer the questions.
MORNINGS
If I wake up before it's dawn
And Mum is still asleep,
I sneck barefoot across the hall
To the kitchen where Bud sleeps.
I shush him if he makes a sound,
I tell him not to bark,
And then we creep back to my bed
And snuggle in the dark.
Then I go back to sleep again
With Bud right by my toes,
And wake to find him licking me
And touch his cold, round nose.
And when Mum's clock is ringing loud,
And she yells out, "Wake up!!?
I put the tea-bags in the pot
Pour milk into our cups.
"Hello," she yawns, her work clothes on.
And Bud jumps up and down.
And she laughs and fusses him,
Calls him a great big clown.
I like it in the mornings
Sitting drinking tea,
Watching the sky change colour,
Just Mum and Bud and me.
COMPOSITION
Write an interesting composition about.
HOW I SPENT MY DECEMBER HOLIDAY
QUESTIONS
Use the map of MARA AREA above and use it to answer questions 1-7:-
Use the map below to answer questions 31 and 32
Use the map below to answer questions 39 and 40:
SECTION II
CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION
ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION
C.R.E
QUESTIONS
Study the diagram below and answer question 25:-
Use the diagram below to answer question 34.
Use the diagram below to answer question 39:-
Jaza nafasi zilizoachwa wazi kuanzia 1 - 15 kukamilisha vifungu vifuatavyo:-
Nina uhakika __1__ mwendo wa usiku wa manane hivi. Mlio wa __2__ yangu ndio ulionigutusha. Niliinua __3__. Lo! Ilikuwa ni sauti ya Mluna wangu aliyekuwa akizimbua __4__ huko ughaibuni. Baada ya maamkizi, alitaka, bila kupoteza mwia, ni atumie maelezo fulani kwa njia ya faksi. Nami kwa kuwa sikuwa na huduma hiyo ya __5__, nilimweleza ningetuma kwa __6__ "Haidhuru." alisema. Kutokana na ukosefu wa __7__ simu ilikatika. Hata hivyo, ujumbe ulikuwa umewasilishwa. Bila kupoteza wakati, nilichukua __8__ na
kuanza kuandika maelezo yale. Kwa ndege nzuri, tarakilishi hiyo ilikuwa imeunganishwa na __9__. Papo hapo nikamtumia ujumbe.
A | B | C | D | |
1. | ilikuwa | ulikuwa | nilikuwa | mlikuwa |
2. | rununu | satalaiti | nukulishi | redio |
3. | kuichuna | kupiga | kuibonyeza | kujibu |
4. | unga | maisha | mali | riziki |
5. | kipepesi | satalaiti | arafa | barua meme |
6. | nukulishi | huduma za mhadalishi | runinga | redio |
7. | utandawazi | njia ya mhadili | njia ya mhadihi | barua pepe |
8. | runinga | jokofu | tarakilishi | panka |
9. | wavuti | kidaka | waraka | simu |
Kukutana __10__ naye kulikuwa kwa sadfa. Nilikuwa __11__ kondeni __12__. __13__. Mara nikamwona kijana Skambe __14__
barasteni. Hali yake ilisikitisha kutokana na __15__ ulevi haramu
A | B | C | D | |
10. | kwetu | kwangu | kwao | kwenu |
11. | ninaelekea | naelekea | nikielekea | kuelekea |
12. | kunadi | kupalilia | kuinjika | kuabudu |
13. | Kulikuwa kukinyesha | Mvua ulikuwa ukinyesha | Kulikua kukinyesha | Mvua ilikuwa ikinyesha |
14. | akipepesuka | akihohosa | akiweweruka | akikweta |
15. | kunywa | kulewa | kushiriki | kutopea |
Kutoka swali la 16 mpaka 30, jibu kila swali kulingana na maagizo yake:-
Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali 31-40:-
Ilikuwa Jumamosi. Nilifika nyumbani kwangu saa moja jioni. Tangu nistaafu miaka miwili awali sikupenda kuchelewa Taarifa ya Habari.
Mwezi mmoja ukawa umepita tangu nipewe pesa za kiinua mgongo. Mwezi mmoja mzima nilkuwa katika shughuli za kulipa karo huku. Kuwekeza kwenye mradi ule na kununua hili. Sasa shilingi laki mbili tu zilikuwa zimesalia katika benki.
Watu wengi walinishawishi nijaribu kilimo cha mahindi. Bei ilikuwa imeanza kuimarika. Katika taarifa ya habari jioni hiyo, Waziri wa Kilimo alitangaza bei mpya. Shilingi 1,500 kwa kila gunia. Nami nilikuwa naaza kuumakinikia mradi huu.
Baada ya taarifa, nilikoga, nikala na nikaenda kulala. Kwa sababu ya uchovu, usingizi ulinichukua mara moja. Usingizini niliota. Katika ndoto niliutekeleza mradi wangu. Msimu huo wa kulima nilitenga ekari kumi za shamba langu. Wataalamu walinishauri kuwa wakati mzuri wa kulima ni wa kiangazi. Mwezi wa Januari ulipoanza tu nilitafuta trekta na kulima. Malipo yalikuwa shilingi 1,200 kila ekari. Katikati ya mwezi wa Machi, nilitafuta treka la kutifua shamba tena kwa gharama ya shilingi 15,000 ekari zote kumi. Kufuatia ushauri wa manyakanga wa kilimo, nililipa shilingi elfu kumi na tatu kupiga shamba lote haro.
Mwishoni mwa mwezi huo, nilienda mjini kutafuta pembejeo. Kwanza, nililipa shilingi 20,500 kwa magunia 15 ya mbolea. Kisha nilinunua magunia manne ya mbegu ya mahindi yenye uzani wa kilo 25 kwa shilingi 3,300 kila gunia. Mwezi wa Aprili ulipotimia tu, niliamua kupanda. Ili nipate mazao bora, nilipanda kwa tandazi. Gharama ilikuwa shilingi 1,000 kila ekari. Mvua ilinyesha vizuri na baada ya siku saba, mahindi yalianza kuota. Ilifurahisha kuhesabu mistari ya kijani iliyonyooka. Hali hii iliwezekana tu baada ya kuajiri vijana wa kuwafukuza korongo na vidiri ili wasifukue mbegu mchangani.
Baada ya mwezi mmoja, hatua ya kupalilia ilifika. Nilitafuta vibarua wa kupalilia. Malipo yalikuwa shilingi 700 kila ekari. Kumbe kupalilia kulichochea mtifuko wa mahindi. Punde yakawa yananifikia magotini, Hii ikawa ishara kuwa yanahitaji kumwagiwa mbolea ya kunawirisha iitwayo 'amonia'. Gharama yake ikawa shilingi 1,300 kila gunia. Hivyo, nikalipa shilingi 19,500 kwa magunia kumi na matano.
Mahindi yalibadilika kimiujiza. Ghafla tu yalirefuka na kunenepa mashina. Yalibadilika rangi yakapiga weusi. Shamba liligeuka likawa kama msitu wa rangi ya kijani iliyokolea. Wapita njia walistajabia mimea na juhudi zangu. Shamba langu sasa likawa kielelezo. Maafisa wa kilimo wakawa kila siku wanawaleta wakulima wengine kujifunza siri ya ufanisi wangu. Hapo nikaanza kuhesabu mavuno nitakayopata na kukadiria faida. Nilipuuza kabisa ushauri wa wahenga kuwa 'Usikate majani, mnyama hajauawa.
Bila taarifa wala tahadhari mvua ilitoweka. Hayakupita majuma mawili mahindi yakaanza kubadilika. Juma moja baadaye mahindi yalinyauka. Badala ya mahindi, shamba likageuka la vitunguu vilivyochomwa na jua. Makisio yangu ya faida yaliyeyuka jinsi ufanyavyo moshi.
Lakini 'Muumba ndiye Muumbua.' Siku moja mawingu yalitanda na mvua ikanyesha. Muda si muda mahindi yalianza kunawiri. Kumbe tukio lililonivunja moyo lilikuwa laja. Siku moja mvua kubwa ilinyesha. Asubuhi nilipotoka nje nilipigwa na butwaa. Barafu ilitapakaa pote. Shamba lilikuwa limetapakaa barafu huku majani ya mahindi yamechanika kama nyuzi. Niliugua. Baada ya wiki moja, nilipata nafuu. Nilipotazama upande wa shamba niliona dalili za majani mapya ya mahindi yakianza kuchomoza. Maumbile ni kitu cha ajabu kweli.
Muda si mrefu mahindi yalirudia hali yake tena, kisha yakakomaa. Harakati za kutafuta watu wa kuyakata na kuyakusanya zilianza. Gharama ya shughuli hii ikawa shilingi 5,000. Kuvuna, kusafirisha kutoka shamba na kukoboa kwa mashine magunia 200 yakachukua shilingi 20,500. Kufikia hapo nilikuwa nimetumia takribani shilingi 192,700. Gharama nyingine zilikuwa za usafiri, gharama ya dharura na usimamizi, usumbufu wangu binafsi, gharama ya magunia na kadhalika. Mahindi yalipokuwa tayari kwenye magunia, nilifunga safari kwenda mjini kutafuta soko.. Niliposhuka tu niliona gazeti. Habari motomoto siku hiyo ilikuwa: 'MAHINDI GUNIA 900/= Niligutuka usingizini
Soma habari ifuatayo kisha ujibu maswali 41 - 50:-
Ama kwa hakika, dunia uwanja wa fujo. Vituko vya ulimwengu haviishi. Huzuka kama mizuka kila kunapokucha. Maajabu yaja yakienda. Yote hayo ni mawimbi ya maisha yanayomkumba mwanadamu katika kuishi na kuisha kwake. Lo! Hayo ndiyo malimwengu ulimwenguni.
Nikikaa na kutafakari, huku nikivuta taswira ya mambo kuhusu haya na yale nywele hunisimama, moyo hunidunda, mifupa hunikengeta, nayo damu hunisisimka. Na damu isipowasha hunyeza! Lakini tufanyeje sisi waja wa Mungu ilhali tunajua na kuelewa fika kuwa mja hana hiari na liandikwalo ndilo liwalo? Tunaishi na tuishi kwa rehema na majaliwa ya Jalali. Ewe Mola tunakuhimidi!
Kisa na maana? Hebu nikukumbushe machache tu. Akali ya vituko na vitushi vya hivi karibuni. Bila shaka
nitakuwa nimekusaidia na kukufaa ushughulishe kumbukumbu zako nawe urejee nyuma kidogo. Wazee hukumbuka,
vijana hukumbushwa.
Si miaka mingi sana ulimwengu wetu ulipokumbwa na mvua za mafuriko ya Elnino. Maafa mangapi kama si misiba iliyotusibu. Baadaye tukakumbwa na uhasama wa Osama! Roho nyonge zikanyongwa. Yakaja mawimbi ya kabobo, nyinyi mnayaita Sunami! Vifo vilifisha wengi. Baada ya kidonda moyoni, msumari wa moto juu ya dondandugu. Kabla ya kupona wakazuka ndugu wawili Artur magariani na mwenzake. Nyinyi mkawaita mamluki. Shangaa. Kesho yatazuka yapi? Tahadhari iko wapi? Roho mikononi. Ndugu amkeni tulale tukiwa macho.
Read the two passages below. They contain blank spaces numbered 1-15. For each blank space, choose the best of the four answers given:-
Donkeys are used for transport. Chickens __1__ us with both meat and eggs. Whether dead or __2__ cows are __3__
than most other animals.
Cows produce milk and pull ploughs. In order to get better crops, we use their dung as manure to __4__ the quality of the soil. In some places where there is no firewood, cowdung is used as __5__. When they __6__ killed, the hides are treated to make such articles as shoes, bags and belts. Their horns, __7__ which glue is made, are sometimes used as musical instruments. Can __8__ as productive as the cow?
A | B | C | D | |
1. | produce | provide | give | donate |
2. | lived | a life | alive | life |
3. | too useful | most useful | very useful | more useful |
4. | improve | make | change | add |
5. | heat | fire | fuel | charcoal |
6. | will have been | will be | have been | are being |
7. | to | by | for | from |
8. | any other animal | there be any other animal | it be any other animal | no other animal |
My parents __9__ early ahead __10__ me. They wanted to __11__ in the wedding preparations. __12__ was cooking to be done. There was the __13__ family to be received. There were __14__ to be done. There was just __15__ much to be done before the wedding.
A | B | C | D | |
9. | travelled | travel | traveller | travelling |
10. | of | for | to | off |
11. | assistance | assisted | assist | assisting |
12. | There | Their | That | Again |
13. | groom | man | men | groom's |
14. | decoration | decorations | decorate | decorating |
15. | to | too | for | of |
For questions 16 to 18, choose the word that LEAST fits in the group:-
In questions 19-20, select the alternative that best completes the sentence correctly:-
For questions 21-22. choose the correct arrangement of the sentences given to make a sensible paragraph:-
In questions 23 to 25, choose the correct alternative to fill the blank space in each of the sentences:-
Read the passage below and answer questions 26-37:-
As he saw her to her door, he hoped this would be the day she would let him in. He wondered what she was hiding; they had been together five months and he still had not been in her house. What could be so bad that she wouldn't let him in. His imagination ran wild. May be she had a child she was hiding from him, may be it was another man, hell, may be she was running a prostitution ring from her apartment, he had run out of ideas and patience. As she turned the key, his heart beat accelerated. He had waited for this day for five months, but now he doesn't think he is ready to face what is on the other side of the door. How's that for an attempt at a suspense thriller?
It's actually no big mystery what is on the other side of the door. I'd hazard aguess that probably half of you have the same secrete behind one, if not all of your doors.
Ok, enough with the suspense, the other side of the door held a really messy house. I realised the revelation is rather disappointing. If you happen to be one of many women who can't keep a neat house, it should come as a relief to know there are lots of us.
From the time you are old enough to be advised and that is probably at five, you learn that cleanliness is next to godliness only for girls. Boys, well, boys will marry girls who will keep the house clean for them. Wondering how my earlier story ended? Well, years from now, when people ask me at what point I knew it was true love, I'll tell them it was. When I finally opened let him in to my house and he looked around, looked at me kissed me, rolled up his sleeves and helped me put away the laundry I had done three weeks earlier. If that's not true love, then I don't know what it is!
Read the passage below and answer questions 38-50:-
There is a saying that the family that eats together learns alot about each other. But in today's busy world, how many people actually find the time to sit down to a meal with their loved ones?
Take Debby for instance, who is so busy holding down a part time job, a business and evening classes that she has taught her three sons, aged between eight and fourteen, how to warm their own food when they feel hungry. As a result, family mealtimes are a rare thing.
It is unfortunate that there are parents who think eating out or giving children the freedom to eat anything, anywhere at an anytime is a sign of advancement. The truth is that eating together as a family exposes many hidden values, including presenting a golden opportunity to positively shape children's lives.
Studies have shown that eating together is very important for both children and their parents. Communal meals have some kind of power that fosters a positive course for a child's life.
Eating together helps build and sustain family bonds by indirectly communicating the importance of the family as a unit. This activity assures children that the family is there for them. It is also during communal meals that family traditions can be transmitted to the children. Indeed it gives each member of the family a sense of identity when everyone knows that things are done in a certain way in that particular family.
Eating together presents an opportunity to chat and be free with each other. Family members are able to share their experiences which could be challenging or exciting. Unlike family meetings, which are held after sometimes, meals provide a forum to air individual concerns on daily basis.
Although the chat at the dining table is relaxed and informal it helps children acquire appropriate communication and social skills. Children learn to take turns to express their feelings and listen.
They also learn to be mindful of others and to grow out of their inherent egocentrism as well as learn acceptable table etiquette.
At the same time parents get to understand their children better:- children brought up in families that eat together are better, able to talk to their parents even in other contexts. Younger children participate in older siblings and adult's conservation which boosts their confidence and self-esteem.
COMPOSITION
Below is the beginning of a composition. Continue and complete it making it as interesting as you can:-
It was the beginning of the TERM and everyone in our school looked jovial. Suddenly ........................
QUESTIONS
The table below shows bus fare in shillings between Nairobi and Meru.
The graph below represent the mass in tonnes ofcoffee export from a certain country from the year 1972 to the year 1976. Use the graph to answer questions 49-50
Use the map of Safa area to answer questions 1-7.
Use the diagram below to answer question 16
Use the map of Eastern Africa below to answer questions 29 to 32
SECTION B
CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION
SECTIONB
ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION
C.R.E
I.R.E