Displaying items by tag: kiswahili

MASWALI

Soma vifungu vifuatavyo kwa makini. Vina vihasho kumi na vitano. Tumia viteuzi ulivropewa i kuchagua libiilifaalo zaidi kuiania vihasho.
Uwanjani _1_ palijaa mashabiki _2_ Walikuwa tayari kujionea mchuano _3_ timu ya Simba naile ya Dubu. Timu hizi mbili zilikuwa maadui katika mchezo wa_4_ Hivyo basi hata mashabiki_5_ timu hizi walijipata na uadui. Kwa sababu ya _6_ wao, ilibidi polisi wawe pale uwanjani kwa wingi sana. Walijaa pale ili kuzuia vurugu yoyote baina ya mashabiki na wachez wa timu hizo.
_7_ muda wa kujiandaa hapa na pale, refa alipuliza kipenga ishara kuwa mchezo ulianza rasmi. Wanatimu wa Simba walikuwa waanzilishi. Walisakata dimba kama kwamba hawakuwa na mifupa. Hata bila ya timu ya Dubu_8_ mpira, bao la kwanza lilikuwa wavuni. Wacha basi mvua _9_ ianze kunyesha. _10_ukawa mwisho wa mchezo huo.

  1.        
    1. kule
    2. mle 
    3. ile
    4. pale 
  2.        
    1. wengi 
    2. mengi 
    3. wingi
    4. haba
  3.        
    1. Miongoni mwa 
    2. mkabala wa
    3. baina ya
    4. ndani ya
  4.        
    1. kambumbu
    2. soka 
    3. kadanda
    4. kambubu 
  5.      
    1. za 
    2. la
    3. ya
    4. wa 
  6.        
    1. hasira 
    2. uhasama 
    3. chuki
    4. usuhuba
  7.      
    1. Kabla ya 
    2. Baadaye 
    3. Baada ya
    4. Baada
  8.      
    1. kuuguza
    2. kuugusa
    3. kuuona
    4. kuigusa
  9.      
    1. nzito
    2. mzito
    3. mazito
    4. Kizito
  10.      
    1. Hiyo 
    2. Hapo 
    3. Huo
    4. Hicho

Nyuki ni _11_ wa ajabu sana. _12_ kuwa mkali sana na kuogopwa na binadamu, _13_ anapendwa sana na binadamu_14_ Nyuki ana uwezo wa kuua mtu. Si mtu tu lakini inaweza kuua mnyama yeyote yule hata awe simba. La ajabu ni kwamba, mdudu huyu hutengeneza asali _15_ ina manufaa chungu nzima kwa binadamu na kwa wanyama wengine.

  1.      
    1. mdudu
    2. kimelea
    3. mnyama
    4. hayawani
  2.      
    1. Baada ya 
    2. Licha ya
    3. Mighairi ya
    4. Badala ya
  3.      
    1. Kwani 
    2. pia
    3. senbuse
    4. japo
  4.      
    1. Wawa hawa
    2. hawa wawan
    3. huyuyuyu
    4. wawa wawa 
  5.      
    1. ambazo
    2. ambacho
    3. ambaye
    4. ambayo

Kuanzia swali la 16 - 30. jibu kila swali kulingana na maagizo

  1. Chagua sentensi ambayo ni sahihi.
    1. Maseremala waliwaokota makinda wadogo mitini.
    2. Seremala waliyaokota makinda madogo mitini. 
    3. Maseremala yaliyaokota makinda madogo mitini.
    4. Seremala aliliokota kinda dogo mtini.
  2. Kuna mambo ambayo yanafaa kushughulikiwa na kurekebishwa yakiwa bado mepesi. Tukisubiri sana, huenda yakawa magumu. Ni methali ipi inayoweza kutumiwa kueleza hiki?
    1. Jitihada huiondoi kudura
    2. Maji yakimwagika hayazoleki. 
    3. Udongo upatilize uli maji. 
    4. Fimbo ya mbali haiui nyoka.
  3. Chagua neno ambalo lina silabi funge. 
    1. Mauzo
    2. Maksai
    3. Marekebisho
    4. Shati
  4. Tegua kitendawili hiki Ninacho ila siwezi kukiona kwa urahisi. 
    1. Goti
    2. Chanda
    3. Kisogo
    4. Wayo
  5. Chagua ukubwa wa neno dirisha.
    1. Jijidirisha
    2. Dirisha
    3. Jidirisha
    4. Kijidirisha
  6. Ni kipi kiwakilishi katika sentensi hii?
    Lolote atakalolisema, nitalikubali kwa moyo mkunjufu.
    1. Mkunjufu 
    2. Moyo 
    3. Lolote
    4. Kwa
  7. Alama hii ya kuakifisha huitwa vipi?
    1. Kiulizi au kisaili
    2. Alama ya hisi
    3. Parandesi
    4. Mabano
  8. Chagua orodha yenye viunganishi pekee. 
    1. Lau, sembuse, kando ya
    2. Hadi, yule, chochea
    3. Lo! Yamkini, sana 
    4. Licha ya, ijapokuwa, bali
  9. Nomino Mungu inapatikana katika ngeli ipi? 
    1. i-zi
    2. a-wa
    3. a-a
    4. u-i
  10. Chagua nomino ambata ambazo pia ni visawe.
    1. Kifunguamimba - kitindamimba
    2. Kiamshakinywa - kifunguakinywa 
    3. Kichinjamimba - kifunguamimba
    4. Kiamshakinywa - kifunguamimba
  11. Je, kiambishi-na-kimetumikaje katika sentensi hii?
    Mwanajuma ana huzuni kwa sababu ya kumpoteza shangazi yake. 
    1. Kuunganisha sentensi
    2. Kuonyesha wakati uliopo
    3. Kuonyesha umilikaji 
    4. Kuonyesha hali.
  12. Mimi ni fundi stadi wa kuunda vifaa kutoka kwa udongo. Mimi ni nani?
    1. Seremala 
    2. Mfinyanzi 
    3. Mwashi
    4. Mhunzi
  13. Pale shuleni, wanafunzi wote walikusanyika katika jumba la ili kukila kishuka
    1. maamkuli
    2. maakuli
    3. maankuli
    4. makuli
  14. Ni mchezo gani ambao huchezwa tu na watoto? 
    1. Kodwa
    2. Riadha
    3. Soka
    4. Kuogelea
  15. Chagua sentensi ambayo imetoa matumizi ya kiambishi-ka-cha kusudi.
    1. Mgonjwa ataenda kwa daktari akatibiwe. 
    2. "Simameni mkaimbe kwa sauti!" Mwalimu aliwaamuru wanafunzi. 
    3. Baba alipoingia nyumbani, alioga, akaketi, akala, akasoma gazeti na akalala.
    4. Chakula kimepikwa kikapikika.

Soma barua ifuatave kisha mwaibu maswali 31-40
Simba Mwana Marara,
S.L.P. 675, Maskani.
12-12-2012.
Kwa sahibu Dubu,
U hali gani kaka? Maisha huko mwituni yanakupelekaje? Ni tumaini langu kuwa unaendelea vizuri licha ya kwamba unaishi msituni. Mimi niko vivi hivi tu hapa Maskani. Wenzangu pia wako lakini si wazima sana. Sote hapa tuna mengi ya kusema lakini cha umuhimu ni uhai. Naam, bora maisha.
Nina mambo mengi ya kukuambia ndugu yangu. Tangu tuachane, ninajutia sana uamuzi wangu wakukuacha kichakani ili nije kuishi na binadamu. Nilidhani kuwa maisha ya hapa Maskani yalikuwa asali kumbe wapi! Laiti ningalijua, nisingalipapia jambo hili. Kweli, ni wazi kuwa utamu wa chai si rangi. Kwanza kabisa, chakula hapa ni kama dawa. Tunapatiwa chakula kidogo sana. Huwa tunakula mara mbili kwa siku kando na kule msituni ambako tulikula hata mara nne kwa siku moja. Watoto wangu wamekonda na kukondeana utadhani wana maradhi. Mimi mwenyewe ngozi yangu imekauka kana kwamba ninaishi katika jangwa la Sahara.
Mbali na hayo, Chumba chetu kina uchafu wa ajabu. Hatuwezi kukisafisha kwa sababu tumefungiwa kama mahabusu. Tunakubaliwa tu kutoka nje usiku kwa sababu ya kazi. Naam! Kazi ya ulinzi wa boma la binadamu huyu katili. Hata tunapotolewa nje, bado huwa tumefungwa kwa nyororo nzito pale karibu na lango kuu. Wakati huu wote, huyu binadamu na jamaa zake huwa wamelala wakikoroma. Hawajali hata wakati ambapo kuna mvua au baridi ya kuzizima. Aisee! Maisha haya yamenichosha sana.
La kuhuzunisha sana ni kwamba, watoto wangu hawana uhuru wowote ule. Kila wanapozaliwa, huwa wameshapangiwa maisha yao pasi hiari yao. Wengi huuzwa kwa binadamu wengine. Tumesikia fununu kwamba kuna binadamu ambao huwafanya kitoweo na wengine huwafanya watumwa wao.
Kila nikumbukapo jinsi ulivyonikanya kuwafuata binadamu, machozi hunitiririka sana. Najuta mwenzangu. Maisha ni magumu. Magumu hata kuliko mwamba. Upatapo barua hii, ya mkini unaweza kuwaeleza ndugu zetu wengine kuhusu matatizo yangu. Waeleze kina mbwa mwitu, fisi, chui na duma. Mnaweza kusuka mpango ili mfanye mashambulizi ya kuniokoa. Mkija usiku, huenda mashambulizi haya yatafua dafu. Wasalimu wote na Mola awabariki sana. Wako wa dhati, Simba Mwana Marara

  1. Mwandishi wa barua hii ni nani? 
    1. Dubu 
    2. Maskani 
    3. Sahibu 
    4. Simba Mwana Marara.
  2. Jambo gani sahihi kwa mujibu wa aya ya tano? 
    1. Watoto wa mwandishi hawakuwa na uhuru wowote. 
    2. Mwandishi alikuwa amekanywa na Dubu dhidi ya kugura mwituni, 
    3. Kulikuwa na uhasama mkubwa kati ya mwandishi na chui. 
    4. Kuna uwezekano kuwa binadamu huwala vilebu.
  3. Neno wakikoroma lina kisawe kipi? 
    1. Waking'orota 
    2. Wakingorota
    3. Wakiforota
    4. Wakinguruma
  4. Gani si tatizo analopitia mwandishi? 
    1. Kupewa chakula kidogo. 
    2. Kubebeshwa mizigo mizito.
    3. Kunyimwa haki ya uhuru. 
    4. Watoto wake kuuzwa.
  5. Usemi huu umetumiwa katika barua. Je, umetumia tamathali gani ya lugha? Nilidhani kuwa maisha ya hapa Maskani yalikuwa asali kumbe wapi! 
    1. methali
    2. istiara 
    3. methali
    4. tashbihi
  6. Aya ya pili imedhihirisha kuwa;
    1. Mwandishi anaishi katika mazingira machafu. 
    2. Mwandishi anamhimiza inwenzake asuke mpango wa kumwokoa. 
    3. Kabla ya kuhama mwituni, mwandishi alikataa kukubali mawaidha aliyopewa. 
    4. Mwandishi anafurahia Maisha ya Maskani ila tu wanawe wanateswa.
  7. Mwenye kupokea barua hii ni nani? 
    1. Simba Mwana Marara 
    2. Fisi 
    3. Chui
    4. Dubu
  8. Taja tarehe ya kuandikwa kwa barua hii.
    1. 12/12/2021 
    2. 12/12/2012
    3. 12/12/2202
    4. 12/12/2002
  9. Eleza maana ya usemi kusuka mpango kama ulivyotumika katika ufahamu. 
    1. Kupanga njama. 
    2. Kutengeneza mpango kwa kutumia uzi. 
    3. Kukaa faraghani. 
    4. Kupiga vijembe
  10. Yape makala haya kichwa kifaacho. 
    1. Uzuri wa kuyu ndani mabuu. 
    2. Mwenda tezí na omo, marejeo ni ngamani. 
    3. Mbwa hafi maji akiona ufuo. 
    4. Baniani mbaya kiatu chake ni dawa.

Soma ufahamu kisha ujibu maswali yafuatayo.
Kuchubora alijipata katika panda shuka pale mjini Pendaraha. Alikuwa tu ameyakamilisha masomo ya shule ya msingi. Huo ulikuwa wakati ambao alikuwa ameusubiri sana. Akiwa shuleni, alishinda akikaidi amri na maagizo ya wazazi na walimu. Alijiona kama mfungwa aliyetaka kupatiwa uhuru. Alijiona kama nyuni aliyefungwa mbawa na alitamani sana kufunguliwa ili aruke juu angani.
Hakuwa peke yake. Wapo wanafunzi wengine waliokuwa na hamu kama yake Kuchubora. Ingawa hawakuwa na uwezo wa kufika mjini, hamu yao ilikuwa ya juu sana. Kuchubora alikuwa na shangazi ambaye ndiye angekuwa mwenyeji wake wa mjini. Alisismama pale stanini kwa muda wa dakika arobaini akisubiri shangaziye ajitokeze. Alikuwa na fikra chungu nzima. Je, dharura ingetokea ambayo ilihitajiwa tu kukimbia, Kuchubora angefanya nini? Angekimbia akielekea wapi?
Akiwa katika harakati hizo za kupambana na mawazo, alihisi mkono baridi ukimgusa begani. Alipogeuka, alimwona mwanamke mrembo akiwa amebeba mkoba mkononi. Mwanamke huyo alitabasamu na
kumwita Kuchubora kwa jina kamili. Kuchubora ingawa hakumjua, alitabasamu na kuitika. Hata bila kusemezana mawili au matatu, mwanamke huyo alimwashiria waende. Kuchubora alianza kumfuata bila kujisaili maswali yoyote. Wakavuka barabara mbili zilizokuwa na umayamaya wa watu. Hapo. Kuchubora akawa hajijui waia lajifahamu.
Alipozinduka, alijipata katika chumba kimoja katika jumba la kifahari. Jumba la mabwenyenye. Msichana wa watu kwa mara ya kwanza alidhani kwamba nyumba hiyo ilikuwa ya shangaziye. Kumbe wapi? Ghafla, mwanamke yule aliyempokea kule mjini akaingia chumbani. Kuchubora alipewa maagizo pamwe na masharti makali ambayo alifaa kuyatii kila uchao. Akatembezwa mle jumbani kwa utaratibu. Akaonyeshwa vyumba ambavyo hakustahili kuvitazama sikwambii kuingia ndani. Mahali pake rasmi palikuwa jikoni na roshani mahali pa kufulia nguo.ro
Marucrue yakamtoka machoni. Akafahamu kuwa ni dhahiri alikuwa ametekwa nyara na kufanywa mjakazi. Maisha aliyoyatamani ya mjini yakabaki ndoto tu.Alitamani ajinasue kutoka kwenye utandabui huo lakini jambo hilo lilikuwa sawa na kumkama chui. Alijuta majuto ya mjukuu. Akakumbuka wosia alioupuuza kutoka kwa walimu na wavyele wake. Akakumbuka jinsi alivyokuwa msumbufu mithili ya mkia wa mbuzi. Akakumbuka jinsi alivyowaona wanafunzi wenzake kama mazuzu wasiofahamu maisha. Sasa alikuwa ameanguka motoni. Kiburi chake kikawa sawa na cha mende ambacho hatimaye huishia motoni.

  1. Kuchubora aliingia mjini wakati gani? 
    1. Alipoguswa begani na mwanamke. 
    2. Muda mfupi tu kabla ya kuyakamilisha masomo ya msingi. 
    3. Pindi tu alipoyakamilisha masomo ya shule ya upili. 
    4. Baada tu ya kuyakamilisha masomo ya al shule ya msingi..
  2. Hoja gani ya kweli kulingana na aya ya kwanza? 
    1. Pale mjini, Kuchubora alipewa wosia ingawa aliupuza. 
    2. Walimu na wazazi wa kuchubora waliwajibika alipokuwa shuleni. 
    3. Pale shuleni palikuwapo mahali pa kuwafungia wanafunzi wa tukutu, 
    4. Kuchubora alikuwa amefungwa mbawa zake hivyo basi asingeweza kupaa.
  3. Mjakazi ni: 
    1. Mfanya kazi wa kiume wa nyumbani ambaye pia huitwa kitwana
    2. Mtumwa wa kike wa nyumbani ambaye pia huitwa mtwana.
    3. Mfanyakazi wa kike wanyumbani ambaye pia huitwa kijakazi 
    4. Mfanyakazi wa nyumbani ambaye kazi yake ni kumlea na kumtunza mtoto mdogo.
  4. Eleza maana ya usemi: jambo hilo lilikuwa sawa na kumkama chui 
    1. Ilikuwa kazi ngumu ya kumkama chui. 
    2. Kuwezekana kwa jambo hilo kulikuwa kugumu sana. 
    3. Jambo hilo lilikuwa rahisi sana mithili ya naia wa ya chui. 
    4. Aghalabu jamoo hilo lilitendeka.
  5. Kwa mujibu wa aya ya pili, ni kweli kusema kuwa: 
    1. Ni Kuchubora tu aliyetamani kufika mjini baada ya kukamilisha masomo ya shule ya msingi. 
    2. Kuchubora alikuwa miongoni mwa wanafunzi wengine waliotamani kufika mjini baada ya masomo ya shule ya msingi. 
    3. Wanafunzi kadhaa akiwemo Kuchubora walifika mjini baada ya kukamilisha masomo ya shule ya msingi. 
    4. Shangazi yake kuchubora alimpokea pale mjini.
  6. Aya ya tatu imedhihirisha haya yote isipokuwa: 
    1. Kuchubora alipoguswa begani, hakuwa na mwao kuhusu aliyemgusa. 
    2. Alipoguswa begani, Kuchubora alikuwa katika hali ya kuwaza. 
    3. Kuchubora hakuweza kumfahamu shangaziye alipomgusa begani. 
    4. Aliyemgusa Kuchubora begani, ingawa hakuwa mbiomba wake, alimfahamu kwa jina.
  7. Mahali pake rasmi palikuwa jikoni na roshani mahali pa kufulia nguo.' Hili ni thibitisho kuwa: 
    1. Alitengewa mahali maalum ambapo asingesumbuliwa 
    2. Kulikuwa na watu wengi mle nyumbani. 
    3. Alipendwa sana hivyo basi akateuliwa mahali spesheli pa kuvinjari. 
    4. Alidunishwa na kudharauliwa.
  8. Majina ya Kiswahili yanayotumiwa kutaja mahali au wahusika huku ya kionyesha sifa zao huitwa: 
    1. Chuku
    2. Balagha 
    3. majazi
    4. Uhaishaji
  9. Eleza maana ya neno maruerue.
    1. Ndoto
    2. Ruiya
    3. Jinamizil
  10. Hali yakuona mambo yasiyo ya kweli. 50. Methali ipi inaweza kutumiwa kama mada ya ufahamu huu?
    1. Jitihada haiondoi kudura
    2. Pema usijapo, ukipema si pema tena hadi zizini.
    3. Usimwage kuku penye kuku wengi.
    4. Ng'ombe akivunjika mguu hujikokota

INSHA
Andika insha ya kusisimua kuhusu mada ifuatayo:
MUI HUA MWEMA

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

  1. D
  2. A
  3. C
  4. B
  5. D
  6. B
  7. C
  8. B
  9. A
  1. A
  2. D
  3. B
  4. A
  5. D
  6. A
  7. C
  8. B
  9. C
  1. C
  2. B
  3. D
  4. C
  5. B
  6. D
  7. B
  8. B
  9. A
  1. D
  2. B
  3. C
  4. B
  5. B
  6. C
  7. D
  8. B
  9. A
  1. B
  2. D
  3. A
  4. C
  5. A
  6. D
  7. A
  8. B
  9. D

Maswali

Soma vifungu vifuatavyo, Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne.
Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Msimu wa mvua ya masika   1  , wakulima huwa tayari   2  makonde yao kwa upanzi. Siku chache baada ya mvua   3  kuanza, mbegu huanza   4   na kunawiri.     5     kunyeshakwa mvua    6     huja na madhara yake pia, Maji yaliyotuama huwawezesha mbu kuzaana kwa wingi. Halikadhalika, maji haya husomba taka kutoha kila mahali. Matokeo ya hali hii huwa na mlipuko wa maradhi kama   7   . Mvua ambayo kwa kawaida    8   baraka huleta baa chungu nzima, Janga la njaa huwa    9  macho.

1 A. yanapowadia B. inapowadia C. unupowadia D. inayowadia
2 A. wameiandaa B. wameziandaa C. wameuandaa D. wameyaandaa
3 A. yenjowe B. wenyewe C. zenyewe D. muenyewe
4 A. kustawi B. kuchipuka C. kukomaa D. kupogoa
5 A. Ila B. Ingawa C. Angalau D. Lakini
6 A kiholela B. kiyoloya C. kidindia D. kwa haraka
7 A. waba,kichocho
na malaria
B. malale,kichocho
na mkamba
C. homa,kichocho
na surua
D. malaria, kisonono
na kipindupindu
8 A. imekuwa B. ilikuwa C. inakuwa D. Ingekuwa
9 A. imewaangazia B. limewakodolea C. imewakodolea D. inawaangalia

 

Mwanadamu anapaswa kuwana   10    maishani;aelewe    11     utotoni ni mambo yapi hasa angependa kutimiza kabla ya kula chumvi. Akishayajua haya, basi hana budi kuanza kujiweka    12     kuyafikia haya. Bidii pia ni muhimu sana maishani. Wahenga walituasa kuwa     13     . Tusikae   14      na kuyangoja maisha kujipitia   15    mkondo wa maji.

10 A. ndweo B. matayo C. malengo D. upweke
11 A. tangu B. hadi C. mpaka  D. kabla
12 A. stadi za B. mikakati ya C. ujuzi ya D. mwelekeo ya
13 A. penye nia
pana njia
B. ushikwapo
shikamana
C. dhamira ni
dira
D. ajizi ni nyumba
ya njaa
14  A. ugeta B. kitwea C. ange D. tutwe
15 A. mithili wa B. Mfano ya C. mithili ya D. mathalani wa


Kuanzia swali la 16 hadi 30, jibu kila swali kulingana na maagizo uliyopewa.

  1. Tambus orodha inayoangazia nomino za jumla pekee.
    1. majiy,maziwa, mchanga, unga
    2.  watoto, nyumba, kabati, meza
    3. woga,wiva, furaha, hofu
    4. bumba, kigaro,genge, halaiki
  2. Ni sentensi gani iliyotumia kihusishi kwa kuonyesha sababu ya kutenda jambo?
    1. Nimealikwa shereheni kwa Maria
    2. Alinijbu swali hilo kwa dharau
    3. Halima anapendwa kwa utulivu wake
    4. Baba alikuja mkutanoni kwa baiskeli
  3. Maelezo yapi ni sahihi kuhusu ufundi?
    1. Timazi hutumiwa kupimia usawa wa ukuta
    2. Jiriwa hutumiwa kufungia parafujo
    3. Mizani hutumiwa kupimia urefu
    4. Filifili hutumiwa kushikia ubao unapokatwa
  4. Tegua kitendaili kufuatacho:
    Nimemwona bikizee amejitwika machicha
    1. samaki
    2. mvi
    3. ajuza
    4. mnazi
  5. Nahau ipi ina maana ya kupata tabu?
    1. Kula mwande
    2. Enda nguu
    3. Enda mserego
    4. Kula mwata
  6. Jumla ya silabi katika mshororo wa shairi ni
    1. vina
    2. inkisari
    3. mizani
    4. mazida
  7. Kamilisha kwa kiulizi kifaacho zaidi
    Unataka nikusaidie ______?
    1. aje
    2. pi
    3. je
    4. vije
  8. Tabia ya kuongeza yasiyo ya kweli ili kutilia mkazo katika habari fulani huitwa _____
    1. chuku
    2. tafsida
    3. sitairi 
    4. kejeli
  9. Ainisha maneno yaliyokolezwa wino katika, sentensi ifuatayo,
    Haijulikani mtoto huyo alienda wapi.
    1. Kiashiria, kiwakilishi
    2. Kiwakilishi ,kielezi
    3. Kiwakilishi,kulizi
    4. Kivumishi,kielezi
  10. Ukitaka watu wakupishe njia utawaambia
    1. makiwa
    2. simile
    3. kunradhi
    4. hebu
  11. . Andika wingi wa sentensi ifuatayo
    Fundi mzuri amenikarabatia redio yangu
    1. Fundi wazuri wamenikarabatia redio zangu
    2. Mafundi mazuri yametukarabatia redio zetu
    3. Fundi wazuri wametukarabatia maredio yetu
    4. Mafundi wazuri wametukarabatia redio zetu
  12. Neno mkeka lina sauti ngapi?
    1. Mbili 
    2. Tatu
    3. Tano
    4. Nne
  13. Mtu akipatwa na tatizo huwa sio mwisho wake kwani muda mfupi atalitatua na kuendelea, Jumuisha ujumbe huu kwa methali
    1. Kuteleza sio kuanguka
    2. Baada ya kisa mkasa
    3. Kuunguako ndiko kuteketeako
    4. Kuti kava kuanguka si ajabu
  14. Kati ya ala zifuatazo, ipi niya kupuliza?
    1. Fidla
    2. Zumari
    3. Udi
    4. Marimba
  15. Ungo ni gamba la kaa. Ungo pia ni
    1. Kubaleghe kwa wasichana
    2. vumbi la kitu kilichosagwa,
    3. habar isiyo ya kweli
    4. kifaa cha kupepeta nafaka

Soma kifungu kifuatacho kisha wjibu maswali 31 ~ 40

Bwana Toza alikuwa mkaramfu, hivyo hulka yake ilihusudiwa na mabarubaru wengi. Ila falau wangalijua kuchuja, wangeiga yaliyo mema kama mbinu zake za kuzalisha mali zisikowa na ila na kuyatema yasiyofaa. likuwa si ajabu kuwaona wakembe wengi wakitia mirija kwenye mikebe wakaishidilia tumbaku na kuzivuta 'toza’ zao kama Bwana Toza. Kwa kufanya hivyo waljihisi,eti wamefikia upeo wa kunasibishwa na Bwana Toza aliyetosha! Wakaamini kuwa maadamu toza zilitoka ulaya na wakazi
wa huko wana maendeleo makuu, basi kila aivutaye hatimaye angepata ufanisi. Hii ni imani ya jabu inayowakabili hirimu-kuiga, kikasuku, Mzungu akija na miondoko ya kikwao, humwiga wakidhani huo ustaarabu hasa,

Sku zilivyozidi kupita, Bwana Toza akawaambukiza insi wengi uvutaji wa toza akajiona kama mflame aliyetawala himaya nzima ya wavuta mitemba. Wengine waliianza tabia hii kidogo kidogo lakini baada ya muda wakakolewa nayo wakawa watumwa, Waliokuwa wakiivutia maliwatoni, sasa wakaivuta hadharani, wakatafuta viko hasa ili wainue hadhi zao maadamu wanasibishyve na Bwana Toza, Akawa ambari nao zinduna.

Azima ya kufikia kilele huwafanya wakwasi kutafuta sia. Bwana Toza akang'amua kuwa sasa ana wafuasi tosha. Kwa hivyo akaona kuwa lau angekiwania kiti cha ubunge cha eneo la kwao, angejinyakulia kiti hicho bila shida. Uchaguzi ulipotangazwa, akajitwika mzigo wa hugaragazana na wawaniaji wengine. Akawakusanya wafuasi wake wa tozani, Kwa moyo na robo moja, wakashauriana, kuhusu jnsi ya kuwakabili wapinzani wao.

Ukawa ndio mwanzo mkoko ualike maua. Alama ya chama chao ikawa kiko. Basi katika mikutano ya kampeni wakaviwasha viko vyao na huku vyafuka moshi wangeviinua na kupasua hewa kukinadi chama chao.

Mara kwa mara Bwana Toza alizoea kuamka bukrata ila mara nyingj alijihisi kuwa amechoka tiki na kuregea parafujo za mwili,kutokana na mavune ya kampeni na mtindi aliopiga kila uchao.

Siku moja karibu na mwisho wa majira ya kampeni, Bwana Toza alifika kuwahutubia wafuasi wake waliokuwa wameongezeka kupita kiasi. Alikuwa bado hajapata nafuu. Hata hivyo alijikakarmua kwa shida, huku akikohoakohoa. Huku mkono watetema alisema, ‘kikoo!” Halaiki ikajibu kwa mwangwi ‘ikooo~o! ‘Mara ya pili akajaribu kusema, ‘kik-oho—ho-kho--kho—”

Badala ya kiko kikawa kikohozi kisichopoa. Hakuendelea. Akaanguka kifudifudi. Wafuasi wake wakamkimbilia na kugundua kuwa alikuwa amepaliwa na pumzi, Wakajaribu maarifa yote ya huduma ya kwanza, walimvuvia, wakampepesa, wakambinyabinya kifua lakini wapi! Jitihada za ‘kuinusuru aushi ya Bwan Toza kitambo kile, Mambo yote yakafikia hatima ya ghafla.

Upasusi ulipofanywa ulionyesha kuwa Bwana Toza alimalizwa na toza. Pafu lilikuwa jeusi kama kaa lilininginiwa na masizi meng ajabu. Ripoti hi iliposomwa mbele ya wafuasi wake, wakaduwaa macho pima, Mitemba ikaanza kuwadondoka kutoka midomoni mmoja mmoja.

  1. Chagua kaulisahihi kulingana na aya ya kwanza:
    1. Sifa za Bwana Toza ziliwavutia vjana wote
    2. Bwana Toza likuwa mtu wa furaha
    3. Bwana Toza alijipatia mali kw njia haramu
    4. Mambo yote ya Bwana Toza yalifaa
  2. Wakembe walitia mirija kwenye mikebe
    1. ili wapate viko vya kuvutia tumbaku
    2. kwa maelekezo ya Bwana Toza
    3. kwa kuogopa kushike vikoa halisi
    4. ili wajiinganishe na Bwana Toza
  3. Kosa kubwa la vijana kulingana na makala
    1. kupuuza ustaarabu wao na kuiga hata yasiyofaa
    2. kuiga ustaarabu wakigeni pamoja na wa kwao
    3. kuvutiwa na maendeleo ya nchi za ulaya
    4. kuvuta viko vilivyotengenezewa ulaya,
  4. Wengine walianzia tabia hii kidogo kidogo lakini baada ya muda wakakolewa nayo wakawa watumwa’ Ni methali gani inayoambatana na kauli hii?
    1. Anayeonja asali huchonga mzinga.
    2. Abadi abadi kamba hukata jiwe.
    3. Kupanda mchongoma kushuka ndio ngoma.
    4. Mwanzo wa ngoma ni lele
  5. Kilichomifanya Bwana Toza kujitosa katika ulingo wa siasa ni
    1. kujitafutia sifa zaidi
    2. kujitafutia kipato zaidi
    3. kupata wafuasi zaidi
    4. kusumbuliwa na pesa
  6. Alama ya chama cha Bwana Toza ilikuwa
    1. sigara
    2. mtemba
    3. mrija
    4. vidole
  7. Uchovu wa Bwana Toza ulichangiwa na
    1. ugonjwa na kampeni
    2. uzee na ulevi
    3. uchovu na ulevi
    4. uchovu na kuamka mapema
  8. Moana ya‘kuanguka kifudifudi' ni
    1. kuangukia mgongo
    2. kuanguka bila hiari
    3. kuanguka kwa kishindo
    4. kuangukia tumbo
  9. Wafuasi watipojuzwakuhusu chanzo cha mauti ya Bwana Toza
    1. walipigwa na butwaa
    2. walichanganyiki wa sana
    3. waliogopa sana
    4. walipiga kamsa
  10. Kichwa mwafaka kwa makala haya ni
    1. Madhara ya ulevi
    2. Kifo cha mtu wa watu
    3. Madhara ya tumbaku
    4. Mbio za sakafuni huishia ukingoni

Yasoma makala haya kisha ujibu maswali 41 ~ 50

Adinasi walio na kasoro ya macho, miguu, masikio na kadhalika,ambao kwa bahati mbaya tunawaita vipofu, viwete na viziwi, Kwa kukosa majina bora zaidi, wanahitaji macho, miguu, nasikio na hata mikono yetu. Ni mara ngapi watu hao wamekosa watu wa kuwaongoza kuvuka barabarani au hata 'gurufuni? Mara ngapi watu waliolemaa miguu wameachwa tu waozee mahali pamoja bila kupata mtu wa kuwageuza hata waliapo kwa uchovu na maumivu? Ni mara ngapi wamekosa wa kuwapeleka ‘watakapo; wengine hata kunyimwa viti vya magurudumu hata vipatikanapo?

Kijumla, hasa katika Janibu za Afrika, wengi wanaowapata watoto waatilifu hudhani wamechomekwa mizizi au kuapizwa na wazee wao waliowatangulia, Huku wakinaonea wana buheri wa hamsa wa ishirini si ajabu kusikia kuwa mtoto alizaliva miaka kadhaa iliyopita na kufichwa hata mvunguni mwa kitanda katika humba klichofichama. Si ajabu pia kuwaona wata kam hata wakienda vilingeni kupungiwa wanao. Utawaona wakwasi wenye mashamba madal basari, mapana kama uwanja wa ahera wenye matumbo kama viriba na waendeshao magari ya kifahari wakiingia vilingeni mali mengi na mwanawe asipone, hali hii huzidisha tu dhuluma kwa muatilifu kwa kuwa sasa huonekana kama mjalaana.

Watoto waatilifu pia hubaguliwa kimasomo, Sijui aliyefichwa mvunguni atapata elimu lini? Vipi? Wao huchukuliwa eti kasoro waonekanazo nazo zitawakwaza masomoni. Hata serikal ikijaribu kuwatengenezea shule maalum, bado kunao wanaowanyima wango nafasi bila kujua kuwa Maulana humyima huyu hiki na kumpa kile. Kuwanyima fursa ya kuvitambua vipawa vyao ni dhuluma isiyomithilika.

Ajabu ni kuwa, waatilifu wakomaapo, wengi hukaa bila kupata wa kuwaoa au kuoa licha ya juhudi zao za kujimudu kiuchumi na kijamii. Wengi huchelea kubezwa eti wameoa 'wasiojiweza’. Jitihada za wengi kuwaoa watilifu zimevuliwa mbeleko na watu wa familia za

Kuchekwa kukebehiwa na kudharauliwa huwaletea simanzi waatilifu hawa na hujiona kara kizazi kisicho na thamani. Na ni nani aliyechagua au kuamua kuzaliwa katika hali aliyo kwayo? Ni nani aliyesema kuwa tusio na uatilifu ulio dhahiri tumekamilika? Je tukichungua kila mmoja wetu upungufu tulio nao kisha tudhulumive tutateta? Aliyekupa wewe kiti ndiye aliyenipa mini kumbi. Waidha, mdharau biu hubiuka yeye.

  1. Mwandishi anaonekana kutokubaliana na
    1. majina mbalimbali wanayoitwa walemavu
    2. hali ya watu kupata ulemavu mbalimbali
    3. kuwa yapo mambo wasiyoyaweza waatilifu
    4. walemavu wanahitaji msaada wa wazima
  2. Kukosa kumsaidia mlemavu kuvuka njia ni ukosefi wa
    1. uzalendo
    2. huruma
    3. amani
    4. upole
  3. Gurufu kulingana na makala ni
    1. barabara yenye kuruba nyingi
    2. barabara pana za mijini
    3. baraste isiyo na shughuli nyingi
    4. barabara yenye magari mengi
  4. Njia bora zaidi ya kuwaauni wate wenye ulemavuni
    1. kuwapeleka ila mahal wanapotaka
    2. kuwanunulia chochote wanachohijati
    3. kuwaongoza kuvumbua namna ya kijikimu
    4. kuwahurumia kutokana na maumbile yao
  5. Kauli gani SI sahihi kuhusu mitazamo ya ulemavu barani Afrika?
    1. Ulemavu husababishwa na laana ya wazee
    2. Uailifu hutokana na kurogwa na wenye nia mbaya
    3. Uatilifu humalizwa kwa uganga wa kienyeji
    4. Ulemavu ni jambo la kudura tu
  6. Zifuatazo ni ishara za ukwasi zilizoangaziwa kwenye makala haya ila
    1. tumbo kubwa lililoshuka
    2. makonde makubwa
    3. kumiliki magari mengi
    4. magari ya kifahari
  7. Manufaa ya elimu kulingana na mwandishi ni
    1. utambuzi wa vipawa
    2. kutimiza haki za watoto
    3. kujipatia ajira nzuri
    4. kuyatawala mazingira
  8. Watu hawapendi kuwaoa au kuolewa na walemavu kwa
    1. kuogopa majukumu
    2. kuhofia kudharauliwa
    3. kuwaona kama kinyaa
    4. kutowaona kama binadamu
  9. Mtu asiyewesa kusikia huitwa
    1. bubu
    2. toinyo
    3. kibunye
    4. kiduko
  10. Msimamo wa mwandishi katika aya ya mwisho ni kuwa
    1. Mungu pekee ndiye mpaji na mtoaji wa yote tuliyonayo
    2. Kila mmoja wetu ana kasoro za walemavu
    3. Familia ni kikwazo katika ndoa za walemavu
    4. Wanyonge wanapodharauliwa huwa hawana thamani tena

INSHA

Endeleza insha ifuatayo ma kuifanya iwe ya kusisimua

Ilikuwa asubuhi ya kawaida kama nyingine. hakuna aliyetazamia kuwa tungekumbwa na mkasa kama huo

Mwongozo wa kusahihisha

  1. A
  2. D
  3. C
  4. B
  5. C
  6. A
  7. A
  8. D
  9. C
  10. C
  1. A
  2. D
  3. B
  4. A
  5. C
  6. D
  7. B
  8. A
  9. D
  10. C
  1. B
  2. D
  3. B
  4. A
  5. A
  6. C
  7. D
  8. A
  9. D
  10. D
  1. D
  2. B
  3. B
  4. C
  5. A
  6. A
  7. C
  8. D
  9. D
  10. C
  1. A
  2. D
  3. B
  4. C
  5. A
  6. B
  7. D
  8. A
  9. D
  10. C

Maswali

Maagizo ya mwanafunzi

  • Karatasi hii ina sehemu sita kuu
  • Jibu Maswali yote kulingana na maagizo

Sehemu 1: Mazungumzo ya ana kwa ana (alama 5)
Ugonjwa husorotesha afya ya mwanadamu na kusababisha utumizi wa hela ni lengo lisilofaa.

  1. Ni ugonjwa upi ambao umewapa Wakenya tumbo joto?
  2. Ugonjwa huo ulioutaja katika swali Ia (a) waweza epukika vipi?
  3. Ni ugumu upi uliopata baada ya kutokea kwa ugonjwa huo?
  4. Taja magonjwa mengine yanayowasumbua Wakenya?
  5. Ungekuwa dakatari ungewasaidiaje wagonjwa wanaopata homa ya tumbo kilo mare?

Sehemu 2: Ufahamu wa Kusikiliza (alama 5)
Msikilize mwalimu akisoma kifungu kifuatacho kisha ujibu Maswali yafuatayo

Mimi naitwa Riziki. Nina miaka kumi. Mimi husomea katika shule ya msingi ya Pande. Shule yetu iko katikati ya jimbo Ia Kiambu na Kitui. Nilijiunga na shule hii miaka miwili iliyopita. Sasa niko katika gredi ya site. Mwalimu wetu wa darasa ni Bi. Malimo. Somo ninalolipenda ni la Kilimo. Somo hill hupendwa pia na wanafunzi wenzangu. Mwalimu wetu wa Kilimo ni Bwana Mtume.

  1.  Msemaji ana miaka mingapi?
  2. Je ikiwa msemaji yuko gredi ya site mwaka huu, miaka miwili iliyopita alikuwa darasa lipi?
  3. Eleza pale shule ya msemaji inapatikana?
  4. Kwa nini somo la Kilimo line wanafunzi wengi?
  5. Tajo masomo mengine yaliyo katika gredi ya site?

Sehemu 3: Kusoma kwa sauti (alama 15)

Wanyama hawa wawili walianza safari ya kuelekea kwa 5imba. Walipofika karibu na lango kuu Ia mfalme 5imba, walikuta mkusanyiko wa Wanyama wengine. Wote wakatarajia mfalme wao awape suluhu ya tatizo lao. Walijikokota na kukaribia mzee Tembo. Sungura alimsihi kwa upole amueleze pale wangepata maji. Mzee Tembo alimuonea huruma na kumtilia maji kidogo aliyokuwa ameyaweka kwenye mdomo wake. Mfalme 5imba alionekana akijikokota kwa umbali akija. Alipowafikia akazirai. Wanyama wote walitawanyika na kumwacha Mzee Chui akimuhudumia mfalme wao. Walielekea kwenye mto uliokuwa karibu. Kwa mshangao walipata Mzee Kobe akiyatega maji yaliyokuwa yameanza kutiririka.

Sehemu 4: Ufahamu wa kusoma (alama 6)
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu swali Ia 1 hadi 6

Hapo zamani za kale walikuwepo watu ambao walikuwa wanaishi karibu na pwani. Kazi yao ilikuwa kuvua, na siku zote walikuwa wanavua samaki wadogo wadogo. Siku moja alitokezea bwana mmoja akaenda baharini akabahatika kuvua samaki mkubwa sana. Yeye mwenyewe akaanza kushangaa kumuona yule samaki mkubwa, na akaanza kusema ningempata samaki kama huyu ningetajirika. Kilo siku tunakuja pwani tunapata samaki wadogo wadogo, hapo akajiuliza samaki huyu nimfanye nini?

Akaenda kumwita baba yake. Baba mtu alipofika akaanza kushangaa na kusema samaki huyu mkubwa si jawahi kumuona, sasa wakaanza kushauriana. Baba yake akasema bora tukawaite jamaa waje kumtazama. Wale jamaa walipofika na wao wakaanza kushangaa na kusema; "samaki mkubwa, samaki kama huyu hatujawahi kumvua maisha yetu." Na wao wakasema; "twendeni tukamwite sheha." 5heha alipokuja alishangaa na akasema; "Bora tukawamwite Mfalme aje kumuona." Alipokuja Mfalme no yeye alishangaa na kusema; "Bora tukamwite mzungu aje kumpiga picha."

Hapo waliondoka wakaenda kumchukua mzungu, na mzungu alipofika akasema;"Mngelimuweka kiile nikampiga picha lakini hapa anazunguuka nitampiga vipi?" Wale watu wakajibu mpige hivyo hivyo, na huku maji yanajaa na yule samaki akachukuliwa na maji, na kuenda nke baharini wakakosa utajiri pamoja na samaki.

Maswali

  1. Watu wa Kijiji hiki walikuwa wanafanya kazi gani?
  2. Kamilisha sentensi. Mvuvi alipovua Samaki mkubwa
  3. Jamaa walipoitwa walisihi nani aweze kuitwa?
  4. Mfalme alipoitwa alisisitiza nani ajulishwe kuhusu Samaici huyo mkubwa?
  5. Je, wanaki jiji hawa walipata utajiri waliokuwa wakiomba?
  6. Ipe hadithi hii mada ya kufana?

Sehemu 5: Saruf (alama 24)

  1. Andika maneno haya katika ukubwa     
    1. Mgongo
    2. Ngoma
    3. Mkono
  2. Kamilisha methali         
    1. Mtaka cha mvunguni _______________________________________
    2. _______________________________________ marejeo ni ngamani
    3. Msiba wa kujitakia ________________________________________
  3. Andika sentensi hizi kwa wakati uliopita
    1. Mtoto ataenda shuleni
    2. Mwanafunzi anaandaa sima
    3. Mtego umemnasa paka
  4. Kanusha sentensi hizi
    1. Tulienda kanisani
    2. Vita vilileta njaa
    3. Mjumbe wetu alifanya kazi nzuri
  5. Kamilisha tashbihi hizi
    1. Kigeugeu kama
    2. Mwaminifu kama
    3. Msumbufu kama
  6. Andika vinyume yya vitenzi hivi
    1. Rudi
    2. Vua
    3. Tua
    4. Lia
      01kisG6et122set2q6
  7. Andika kwa maneno
    1. Shilingi 2,345
    2. Vijiko 199
    3. Mkate 1/2
    4. Saa 4.15

Sehemu 6: Kuandika (alma 10)
Kamilisha mtungo ufuatao. Ufanye uwe wa kuvutia mno

Jua lilionekana likichomoza kwa umbalL Nami nilifungua jicho langu kulia, kisha kushoto nakuelekea. 

Mwongozo wa Kusahihisha

Sehemu 1

  • Mwanafunzi anapaswa kuongea na kujibu maswali ipasavyo

Sehemu 2

  • Mwanafunzi anapaswa kuongea na kujibu maswali ipasavyo

Sehemu 3

  1.          
    1. Kuvua samaki
    2. Alishangaa/ alistaajabu
    3. Sheha
    4. Mzungu
    5. La, samaki alitowekea kwa maji yaliyokuwa yamejaa
    6. Sahihisha mada kulingana na muktadha

 Sarufi  

  1.               
    1. Gongo
    2. Goma
    3. Kono
  2.        
    1. Sharti ainame
    2. Mwenda tezi na omo
    3. Hauna kilio      
  3.   
    1. Mtoto alienda shuleni
    2. Mwanafunzi aliandaa stima
    3. Mtego ulimnasa paka
  4.        
    1. Hatukuenda shuleni
    2. Vuta havikuleta njaa
    3. Mtego ulimnasa paka  
  5.         
    1. Kinyonga
    2. Njiwa
    3. Mwanambuzi
  6.          
    1. Enda
    2. Vaa
    3. Tia
    4. Cheka   
  7.                 
    1. shilingi elfu mbili mia tatu arobaini na tano
    2. Vijiko mia moja tisini na tisa 
    3. mkate nusu
    4. saa kumi na robo

Maswali

SEHEMU YA A

Zoezi La 1: Kusikiliza Na Kuzungumza
Mwalimu amwamkue mwanafunzi nn kumwomba akar. Mwalimu ajitambulishe.

"Mimi ni mwalimu ____________ . Nitakusimulia kisa kisha nikuulize rnaswali kukihusu."

Katika miaka ya hivi karibuni, familia nyingi zimekuwa zikihangaika kutokana na uhaba wa mapato ya kutosha kuyakimu mahitaji muhimu. Ni kweli kuwa
zimeweza kujipatia milo mitatu ya siku kama inavyostahili. Hali ya umaskini imekuwa dondandugu lisilosikia dawa wala kafara. Yapo mengi ambayo yamechangia hali hii.

Miongoni mwa mambo yaliyochangia hapa ni kuzorota kwa uchumi nchini kutokana no changamoto za janga la Korona na idadi kubwa ya wananchi wasio na ajira. Hali hizi huzuia mzunguko wa hela no hivyo, baadhi ya wananchi hubaki maskini hohehahe. Hata hivyo, kulingana na ripoti ya Wizara ya Afya, kwa sasa makali ya Korona yamepungua na nina matumaini kuwa hall ya kawaida itarejea, inshallah. (Mwalimu arudie

  1. Akahangaiko makubwa katika miaka michache iliyopita yamesababishwa na nini? (Mwanafunzi ajibu)
  2. Ninaposerna milo mitatu, nina manna gani? (Mwanafunzi ajibu)
  3.  Kulingana na makala hays, ycrtaje mambo makuu yaliyochangia hail ya umaskini nchini. (Mwanafunzi ajibu)
  4. Mzunguko Wa peso ukiwa duni, wananchi krtesekaje? (Mwanafunzi ajibu)
  5. Kwa sasa !tuna matumaini gani katika kuokoa hall ya umaskini nchini?
    (Mwanafunzi ajibu)

Zoezi La 2: Kusoma Kwa Sauti

Kinara wa shule yetu anaitwa Bibi Maua. Yeye ni mrefu kiasi. Mwalimu Maua arnelciongoza chombo hiki tangu miaka minne iliyopita.

Mwalimu Maua alichukua usukani kutoka kwa bwana Maporomoko ambaye karibu aizamishe hii shule yetu katika bahari ya matatizo. Nidhamu shuleni ilikuwa imezorota mno, nayo matokeo yakawa vivyo hivyo.

Pindi alipofika, matokeo na nidhamu zilianza kuimarika. Saul shule yetu ni tajika. Jinn la shule yetu ya Bongochonjo linang'aa. Wengi hawaamini masikio yao
kuwa sisi ni jogoo katika nidhamu na matokeo.

 

SEHEMU YA B

Zoezi La 3: Kusoma Kwa Ufahamu.
Soma fahamu hizi  kisha ujibu 

  1. SIKU ZA MWIZI NI ARUBAINI,
    Siku moja tulipokuwa tukienda shambani na dada yangu, tuliwaona watu wengi waliokuwa wakiangalia kitu ambacho hatukukielewa. 5151 tulipoona hivyo, tulikimbia it; nasi tukajionee ni kitu gani ambacho watu walikuwa wakikitazama kwa makini kiasi

    Tulipofika katika mkusanyiko ule, tulishangaa kuona kuwa alikuwa ni jamaa nunoja aliyekuwa amepigwa vibaya na watu waliokuwa na hasira. Dada yangu alipouliza kiss no maana ya yale yote, ajuza mmoja alimweleza kuwa jamaa huyo alikuwa amemwibia mama mmoja mzigo wake uliokuwa na bidhaa zake nyingi.
    1.  Umati ule wa watu uli uwa ukiangalia nini?
    2. Safari ya kuelekea shambani ilifungwa na watu wangapi?
    3. Dada wa mwandishi aii,juaje kilichokuwa kimejiri?
    4. Kwa maoni yako, hatua gani ingekuwa bora zaidi baada ya kumkarnata mwizi yule?
    5. Mama aliyeibiwa aliibiwa nini?

  2. UMUHIMU WA MAJI

    Maji ni uhai. Bib maji, hakuna binadamu hata mmoja ambaye angeweza kuishi. Watu wote huyategemea maji moja kwa moja. Maji hayo hutumika kwa njia mbalimbali kama vile kunywa, kupikia, kuoshea na shughuli nyingine nyingi za nyumbani. Mvua inapokosekana, maji hutumika kunyunyizia mimeo. Maji yatumiwayo kunyunyizia huweza kupatikana mitoni, mabwawani no maziwani. Moji yana uwezo wa kuzalisha nguvu za umeme. Mto Tana, kwa mfano, huzalisha nguvu za stima. Samaki huishi majini na kwa hivyo, shughuli za uvuvi hutegemea maji. Hivi ni kusema wavuvi huyatumia maji kupata pesa. Samaki wapikwapo vizuri, huwa Iishe nzuri na yenye afya.
    1. Ni nini maana ya maji ni uhai?
    2. Maji yana umuhimu gani kwa wavuvi?
    3. Unadhani stima inayozalishwa kupitia nguvu za maji huweza kutusaidia vipi?
    4. Kulingana na ufahamu, baadhi ya vyanzo vya maji ni vipi?
    5. Tumeambiwa kuwa mto Tana una umaarufu gani?

 

SEHEMU YA C:

Zoezi La 5: Kuandika
Anza insha yako kwa maneno yafuatayo:

Siku moja tulitoka shuleni jioni kama ilivyokuwa kawaida. Tulipofika karibu na nyumbani,

Mwongozo wa Kusahihisha  

Sehemu A:
Zoezi la I:
1-5 Mwanafrunzi ajibu

Zoezi la 2
Mwanafunzi asome taarifa kwa sauti

Sehemu B
Zoezi la 3:

Ufahamu I

  1. Jamaa aliyepigwa
  2. Wawili
  3. Aliambiwa na ajuza
  4. Mwanafunzi aeleze
  5. Mzigo

Ufahamu II

  1. Ni muhimu kama uhai
  2. Huwaweka hai samaki
  3. Mwanafunzi aeleze
  4. Mito, mabwawa, maziwa
  5. Huzalisha stima
  6. Vifaru weusi
  7. Ndovu
  8. Kwa maji ya chumvi
  9. KWa shingo upande
  10. Ili wasiuawe

Zoezi la 4: Sarufi

  1. Alhamisi
  2. Nairobi
  3. Yohana
  4. Mzinga
  5. kafiri
  6. marara
  7. Meza hizi zilinunuliwa jana jioni
  8. Nguo ilifuliwa ikaanikwa jioni
  9. Kamba zenyewe zilikatika baada ya kununuliwa
  10. Mwanafunzi atunge
  11. Mwanafunzi atunge
  12. Mwanafunzi atunge
  13. Dizi
  14. Jiti
  15. Jibwa
  16. Mwanafunzi akanushe
  17. Mwanafunzi akanushe
  18. Mwanafunzi akanushe
  19. Mwanafunzi akanushe
  20. Mwanafunzi akanushe
  21. Mawe
  22. Jiko
  23. Jani
  24. chini ya
  25. Ala!

MASWALI
SEHEMU A: KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Mwalimu amuulize mwanafunzi maswali yafuatavo.

  1. Wewe na wenzako mna zamu yakulisha mifugo wa nyumbani?
    (Mwanafunzi ajibu)
  2. Taja wanyama wawili wa nyumbani mtakaolisha.
    (Mwanafunzi ajibu)
  3. Taja viakula viwili ambavyo hawa mifugo watakula.
    (Mwanafunzi ajibu)
  4. Toa maelezo mafupi kuhusu jiinsi mtakavyo watunza hawa mifugo kado na kuwapa chakula.
    (Mwanafunzi ajibu)
  5. Eleza umuhimu wa kuwafuga wanyama wa nyumbani.
    (Mwanafunzi ajibu)
  6. Taja mahali ambapo wanyama hawa hulala.
    (Mwanafunzi ajibu)

Musa anafuga wanyama shambani mwake. Wanyama hawa ni ng'ombe, kondoo, mbuzi na samaki. Musa pia hufuga ndege. Kuna kuku, bata, bata mzinga na kasuku. Ng ' ombe wa Musa ni wa maziwa. Kuna ng'ombe watano ambao hutoa maziwa. Kila Ijumaa Juma huvua samaki watatu. Musa humpa mkewe samaki hawa. Mkewe anaitwa Mario hutengenezea familia yake mchuzi wa samaki. Mchuzi huo huwa mtamu sana.
Kuku wa Musa si wengi. Wanapotaga mayai yeye huchukua machache. Kisha anampa mkewe awakipie watoto.

Maswali

  1. Taja wanyama wawili wanaofugwa na musa.
  2. Musa ono ng'ombe wangapi?
  3. Musa huvua samaki siku gani?
  4. Mario ni nani katika hadithi?
  5. Musa hufuga na

SEHEMU 2: KUSOMA KWA SAUTI
Mwanafunzi asome kifun hiki kwa sauti. _
Kasuku wangu anaitwa Pendo. Nilipewa Pendo kama zawadi na mwalimu wangu baada ya kuupita mtihani. Mwalimu wangu alinifunza jinsi ya kumtunza Pendo ili awe mwenye afya na furaha. Koko yangu alimjengea Pendo tundu lenye nafasi ya kutosha iii Pendo aweze kucheza akiwa humo ndani. Mara kwa mara mimi humtoa Pendo tunduni na kucheza naye.
Pendo hupenda sana kula majani mabichi, viazi vitamu, karoti na matunda. Pendo hufurahi sana kila ninapomwosha. Yeye hurukaruku kwa furaha huku akicheza na maji. Baada ya kumwosha Pendo mimi huvisafisha vyombo anavyotumia kuoga kwa maji safe kisha kuvianika juani•
Daktari wa mifugo huja kumchunguza na kumtibu Pendo kila anapougua. Nampenda sana Pendo wangu.

SEHEMU 3: UFAMMU
Soma hadithi hii kisha ujibu maswali.
Kadoti alikuwa anasafiri pamoj a na familia yake. Walikuwa wanatembea mbuga ya wanyama ya Nakuru. Walikuwa wamebeba chakula na matunda. Kadoti alikuwa ameketi katika kiti cha nyuma ya gari lao. Mara alipohisi njaa, alichukua nyama ya kuku na kuila. Mifupa alitupa nje kupitia kwenye dirisha la gari. Alikuwa anateremsha kioo kisha anatupa uchafu nje. Mamake alimwonya dhidi ya kufanya hivyo. Alimwambia kuwa uchafuzi wa mazingira haukubaliwi na sheria za nchi. Walipokuwa wanapita mji wa Nakuru, Kadoti alitoa ndizi mbili. Akatoa maganda akala, kisha akatupa hayo maganda nje. Baada ya mita chache gari lao lilisimamishwa na askari wa baraza la mji. Mamake Kadoti alistakiwa kwa kuruhusu mtoto kutupa taka katika barabara za mji. Alijitetea lakini askari hakumsikiliza. Alitozwa faini. Hapo ndipo Kadoti alijifunza kuhusu umuhimu wa kutunza mazingira.

Maswali.

  1. Kadoti na familia yake walitembea wapi?
  2. Mama Kadoti alimwonya dhidi ya kufanya nini?
  3. Mamake Kadoti alistakiwa kwa kosa gani?
  4. Kadoti na familia yake walibeba nini?
  5. Kisa hiki kinatufunza nini?

SARUFI
Andika kinyume cha neno lililopigwa mstari.

  1. Mtoto alifunga mlango.
  2. Mzee alipanda mlima.
  3. Mama alianika nguo.
  4. Mwashi alijenga nyumba

Kamilisha sentensi.

  1. Tunatumia kulima. (jembe, shoka)
  2. ______hutumiwa kukata muwa. (shoka, panga)

Tumia -ake.

  1. Kichwa
  2. Kalamu

Andika kwa maneno.

  1. 56
  2. 71

Andika wingi wa sentensi hizi.

  1. Kijiko kilioshwa na kaka.
  2. Chakula kilikuwa juu ya meza.

Tegua vitendawili.

  1. Akitolewa nje ya maji hufa.
  2. Babu asemaye
  3. Mwaka huwa na miezi

SEHEMU 4: KUANDIKA
STADI ZA KUANDIKA BARUA YA KIRAFIKI
Mwaandikie rafiki yako barua ukimweleza jinsi unavyoendelea masomoni katika nafasi uliyopewa.

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA 

Sehemu ya A

  1. Ng'ombe/Kondo/ Mbuzi
  2. Tano
  3. ijumaa
  4. mke wa Musa 
  5. Wanyama na ndege

Ufahamu

  1. Mbuga ya wanyama ya Nakuru
  2. Kutupa takataka nje ya gari. 
  3. Kuruhusu mtoto kutupa takataka barabarani
  4. Chakula na matunda 
  5. Umuhimu wa kutunza mazingira

Sarufi

  1. alifimgua 
  2. alichuka 
  3. alianua
  4. alibomoa
  5. jembe 
  6. Panga 
  7. chake 
  8. yake 
  9. Hamsini na sita
  10. Sabini na moja 
  11. Vijiko vilioshwa na kaka 
  12. Vyakula vilikuwa juu ya meza.
  13. samaki 
  14. kalamu 
  15. kumi na mbili
Tuesday, 26 April 2022 12:54

Kiswahili Homework Activities - CBC Grade 4

MASWALI

KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Wiki 1 Jumanne

  1. Tunga maneno ukitumiasauti zifuatazo
    1. t  , d .......................   .......................
    2. p,  b  .......................   .......................
    3. j,  ch  .......................   .......................
    4. k,  g   .......................   .......................
  2. Chagua majibu kwenye mabano
    Nikienda ..................................................... nitam ..................................................... mtoto wako (bemba, beba, pemba)
  3. Katika mraba ufuatao kuna maneno kumi ya adabu na heshima. Yatafute maneno haya.
    (naomba, tabawali, kwaheri, hodi, asante, simile, mjamzito, pole, shikamoo, endesha)
    3 auygydadua
  4. Andika jibu la maamkizi au maagano yafuatayo
    1. Habari gani? .....................................................
    2. Hujambo Halima? .....................................................
    3.  .....................................................kwa kunipa kalamu yako
    4.  .....................................................kwa kuumia mguu ukicheza kandanda
    5. Shikamoo baba? .....................................................
    6. AIamsiki? .....................................................
  5. Tegua vitendawili hivi:-
    1. Mama nieleke: .....................................................
    2. Kamba yangu ndefu lakini haifungi kuni: .....................................................
    3. Bak bandika, bak bandua: .....................................................
    4. Chakula kikuu cha mtoto: .....................................................
    5. Cheupe chavunjika cheupe chatokea:. .....................................................
  6. Kamiiisha methali zifuatazo.
    1. Asiyejua kufa atazame .....................................................(maiti, kaburi)
    2. Hakuna refu lisilokuwa na .....................................................(mwanzo, mwisho)
    3. Dunia mchezo wa panya ukiuchezea ..................................................... (utakunasa, utakushika)
    4. Subira huvuta ..................................................... (uvumilivu, heri)
    5. Chungu kidogo huchemka .....................................................  (polepole, haraka)
  7. Ni nini maana ya methali hii
    Asiyesikia la mkuu huvunjika guu ; ............................................................................................................................................................
  8. Jaza nafasi kwa nahau ifaayo
    1. Baba ..................................................... kwa polisi wezi walipomwibia
      (alipiga ripoti, alipiga ngoma)
    2. Mwanafunzi ..................................................... ya kwenda msalani.
      (aliomba ruhusa, aliomba msamaha)
    3. Kila mzalendo sharti ..................................................... (atii amri, atii mambo)
    4. Kila mtu ..................................................... wajibu wake (anajua, hajui)
    5. Jaribu ..................................................... ili asome kwa Bidii.
      (kumtia, moyo, kumtia roho)
  9. Andika visawe vya maneno haya
      Neno  Kisawe 
     a   Mama   
     b  Barua  
     c  Tajiri  
     d  Daktari   
  10. Jaza pengo kwa neno linalofaa kuunda tashbihi
    1. Juma ni mwanaume .....................................................kama simba.
    2. Rafiki yangu ni.....................................................kama mlingoti.
    3. Watoto wengi huwa.....................................................kama kunguru.
    4. Maji ni.....................................................kama barafu.
    5. Miriam ni msichana.....................................................kama mbilikimo.
      [baridi, mfupi, mrefu, waoga,mkali]

KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
sehemu ya 1: Wiki 1 Ijumaa
Sikiliza mzazi/mlezi akitoa maelezo yafuatayo kisha ujibu maswali kwa sauti
Afya bora ni muhimu kwa binadamu wote. Watotowanafaa kula vyakula vyenye protini, vitamin na wanga ili wakue vizuri.

  1. Taja aina ya vyakula unavyovipenda.....................................................
  2. Mbona unavipenda vyakula hivyo?.....................................................
  3.  Hebu eleza umuhimu wa afya bora......................................................
  4. Mtu anbaye hana afya bora huonekana vipi?.....................................................

Sehemu ya pili
Mzazi amsomee mwanafunzi kifungu hiki mara mbili kisha amuuliza maswali.
Mimi ninaitwa Mwajuma. Ninapenda kucheza mchezo wa kuruka na kukaa. Ningependa zaidi kukaa tu. Mbona niruke? Rafiki yangu Atieno huniambia kuruka husaidia katika kuimarisha afya bora ya mwili. Wakati mwingine tunaimba wimbo wa "Sikiliza mama wee." Kamau ndiye hutuongoza kwa wimbo huo.
Maswali. 

  1. Ni akina nani wametajwa katika kifungu hiki?.....................................................
  2. Kuruka hutusaidia vipi?.....................................................
  3. Watoto hawa huimba wimbo gani? .....................................................

KUSOMA
Soma hadithi hizi kisha ujibu maswali
Taarifa ya 1     Wiki 2 Jumanne
kusoma ujygauyda
Jumamosi moja Bodi na rafiki yake Baku walikwenda kutembea msituni. Kama ilivyokuwa nia yao walikwenda hadi msituni wa karibu, Walipokuwa katikati ya msitu walimuona mwewe amemshikilia kifaranga wa kuku akitaka kumla. Bodi alichukua jiwe na kumrushia. Mwewe huyo alishtuka na kuruka angani, Alimwacha kifaranga yule pale pale chini. Nao bila kupoteza wakati walimuokota na kwenda naye.
Waliposonga mbele waliwaona ndege wengine wazuri kama vile chiriku, kanga na tausi. Watoto hao walivutiwa sana na ndege hao. Walisimama kwa wakati mrefu kuwatazama, Walitamani kuwashika iii waende nao nyumbani.
Lakini hawakuweza kufanya hivyo sababu hairuhusiwi kuchukua ndege wa porini. Hapo hawakuwa na lingine ila kuondoka. Walipofika mbele walimuona bundi. Kwa kweli bundi ana sura mbaya. Walipomuona walianza kuogopa na kukimbia. Hata hivyo kukimbia kwao hakukuwasaidia kwani walipofika mbele walimwona mbuni. Kwa ule urefu wake wao walizidi kuogopa. Hapo walizidi kukimbia hadi mjini huku wakipiga nduru. Waliporudi nyumbani walimlea yule kifaranga hadi akakua.

Maswali

  1. Bodi alikuwa matembezini lini?.....................................................
  2. Rafiki yake Bodi alikuwa akiitwaje?.....................................................
  3. Ni ndege gani aliyekuwa arneshikilia kifaranga?.....................................................
  4. Bodi alimfanyaje ndege huyo?.....................................................
  5. Mbona hawakuwashika nclege hao?.....................................................
  6. Ni ndoge gani aliye na sura mbaya? .....................................................
  7. Kwa nini walikimbia nyumbani wakipiga nduru?.....................................................
  8. Andika aina ya ndege wa porini kutokana na taarifa;
    1. .....................................................
    2. .....................................................
    3. .....................................................
    4. .....................................................
    5. .....................................................

Taarifa ya 2
Wiki 3 Jumanne
Soma kifungu kisha ujibu maswali
Sungura: Habari Bwana Ndovu?
Ndovu: Nzuri sana rafiki yangu
Sungura : Mbona waonekana mchovu sana?
Ndovu: Nimechoka sana rafiki yangu.
Ninatoka mbaii sana kutafuta chakula,
Waona hali ya anga iiivyo?
Sungura: Ndiyo. Jua ni kali sana.
Ndovu: Sasa narudi kwenye makao yangu kupumzika.
Sungura: Makao yako! Wapi huko?
Ndovu: Sehemu ile ya porfni. Ndiko ninakoishi.
Sungura: Mle ndani! Waishije na miti yote lie?
Ndovu: Ndiyo. Tena ni makao mazuri sana.
Je, wewe rafiki yangu waishi wapi?
Sungura: Hapa hapa unionapo ndipo pangu.
Ndovu: Hapa! Utaishije hapa mahali wazi jinsi hii?
Sungura: Huoni nyasi na vichaka? Hivi vyatosha kunisitiri
Mimi si mkubwa kama wewe.
Ndovu: Lakini hata hivyo jua kuchoma sana.
Je, mvua inaponyesha wewe hufanya nini?
Sungura: Hilo si neno. Vichaka hivi vyanitosha kabisa.
Mvua ikizidi hutorokea huko kwenye makao yako.
Ndovu: Ala! Kumbe wewe huingia kwa wenyewe bila hodi!
Sungura: Ah! Rafiki usiwe mchoyo, Pori lote hilo utalifanyia nini?
Ndovu: Silifanyii kitu. Karibu wakati wowotw.
Sungura: Asante sana rafiki.

  1. Mbali na kumsalimia, "liabari Bwana Ndovu," Sungura pia kumsalimia vipi?
    1. ..................................................
    2. ..................................................
  2. Mazungumzo hayo yanafanyika wapi? ..................................................
  3. Ndovu alikuwa ametoka kufanya nini?..................................................
  4. Elezea vile unavyofanya mvua ikinyesha..................................................
  5. Sungura anaishi wapi?..................................................
  6. Wakati wa jua kali huitwaje?..................................................
  7. Wakati wa mvua nyingi huitwa..................................................

Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali
Nyumba ni maskani ya mwanadamu. Watu huishi katika nyumba. Wasiojua kiswahili mufti huita,"Kwa nyumba." Kuna aina nyingi za nyumba. Kuna nyumba za ghorofa, vibanda, msonge, mapango, hema, mgongotembo, tembo, za mawe, za udongo, za zege na kadhalika. Sehemu za nyumba ni sakafu, kuta, mlango, madirisha, dari, paa na vizingiti.
Katika nyumba mna makabati, makochi, viti, mekoni na viliv yomo kama vile majiko, majokofu, karo, chanja, susu, sahani, nguma, vijiko, mabakuli na vinginevyo. Ujenzi wa nyumba huanzia kwenye msingi. Anayejenga nyumba za kawaida ni mjenzi. Anayejenga nyumba aushi za mawe huitwa mwashi.
Mwanadamu hutumia nyumba kuwa ni mahali pa kuishi, kulala, kupumzika, kujisitiri, kujificha, kula na kupikia. Wasomi hutumia nyumba kwa masomo. Wasakamali hufungua biashara zao katika nyumba.

  1. Nyumba ni maskani ya wanadamu. Maskani ni .................................
    1. maskini
    2. mandari
    3. makao
    4. masika
  2. Watu wanaishi ..................................................
    1. kwa nyumba
    2. nyumba
    3. katika nyumba
    4. katika nyumbani
  3. Nyumba zinazojengwa nyingine zikiwa juu kwa juu ya nyingine ni?
    1. ghurufa
    2. ghorofa
    3. dari
    4. kasri
  4. Nyumba ya kienyeji yenye paa la pia ni ..................................................
    1. banda
    2. pango
    3. msonge
    4. tembe
  5. Mchanganyiko wa mchanga, kokoto, maji na sarufi ni ..................................................
    1. zogo
    2. zuge
    3. zege
    4. zugo
  6. Sehemu ya nyumba iliyo juu au mkabala wa sakafu ni?
    1. Paa
    2. Dari
    3. Roshani
    4. Kuta
  7. Chombo cha chungu iii paka
    1. chanja
    2. dari
    3. mbeleko 
    4. susu
  8. Nyumba aushi ni nyumba ya ..................................................
    1. ghorofa
    2. mawe
    3. zege
    4. kudumu
  9. Anayejenga nyumba za mawe ni ..................................................
    1. mjenzi
    2. mwashi
    3. mjengaji
    4. mwokaji
  10. Nyumba kwa mwanadamu ni kama nini kwa mchwa?
    1. Mzinga
    2. Kisima
    3. Mlima
    4. Kichuguu

Kusoma kwa sauti
Wiki 3 Ijumaa
Soma kifungu hiki
Mama aliniacha nyumbani mimi na mtoto wetu mdogo. Nilimpenda sana mtoto wetu Nurika. Tulicheza na kucheka pamoja. Nilimwimbia wimbo mzuri. Nurika alikua mtoto mwenye furaha. Mara niliskia mlango wa nyumba ukigongwa. Nikaitikia, "karibu!" Nilidhani ni rafiki yangu Sifu amekuja kwetu kucheza na mimi.
Nifipofungua mlango, nilimwona mtu mgeni kabisa. Akarauliza, "mama yako yuko wapi?" Nilimjibu, "Ameenda sokonit"
Mgeni aliketi kata kabla sijamwambia akae. Akaniambia, "mimi ni rafiki ya mama yako. Nitamngoja mpaka aje kutoka sokoni. Nenda dukani ukaniletee soda ninywe" Alinipa pesa. Nikakimbia kwenda dukanii kumnunulia soda.
Niliporudi sikumkuta mgeni huyo. Alitoroka akaenda na mtoto wetu Nurika. Nililia sana. Mama aliporudi alinikuta nikilia. Aliponiuliza sababu ya kulia nilimwambia, "Amekuja mwanamke rafiki yako, akanituma dukani. Kurudi sijamkuta. Ameenda na mtoto wetu Nurika.......". Polisi bado wanamtafuta mama mwizi wa mtoto wetu mpaka leo.

Mwanafunzi amsomee mzazi au mlezi wake kifungu hiki, kwa muda wa dakika moja kisha wahesabu manano aliyoyasoma.
Watumie mwongozo wakutathminia ufuatao
Kuzidi matarajio  kufikia matarajio  Kukaribia matarajio  Mbali na matarajio 
 Anasoma kutamka kwa usahihi zaidi ya maneno 65  Anasoma kutamka kwa usahihi maneno 61 kwa muda wa dakika moja Anasoma kutamka kwa usahihi kati ya maneno 30-60 kwa dakika moja  Anasoma kutamka kwa usahihi chini ya maneno 30 kwa muda wa dakika moja 

KUANDIKA
Kifungu cha 1   Wiki 4 Jumanne
Kamilisha kifungu hiki kwa kujaza mapengo ukitumia mojawapo ya maneno uliyopewa.
Mwari ni msichana aliyemaliza darasa ................1.................. (ya, la) nane mwaka jana. Alipita mtihani wake ...............2...................(kwa , wa) darasa hilo. Amepata mwaliko ...............3...................(ya, wa) kujiunga na shule ...............4...................(ya, na)upili. Alifurahia sana na matokeo...............5...................(hii, haya). Sasa anajiona msichana ...............6...................(mkubwa, kubwa) yuko kidato ...............7...................(ya, cha) kwanza. Aliomba mama ...............8...................(wake, yake) ruhusa aende Mombasa. Kwanza mama alikataa. Alisema msichana wake ni ...............9...................(mdogo, kidogo). Charo alienda kwenye kituo ...............10...................(ya, cha) mabasi.

Kifungu cha 2;  Wiki 4 Ijumaa
Kamilisha kifungu hiki kwa kujaza mapengo ukitumia mojawapo ya maneno uliyopewa

Katika dunia hii mtu ...............1...................(akifaa, anafaa)kuishi na wengine vyema. Mahusiano ...............2...................(kati ya, baadhi ya) watu ...............3...................(anategemea, yanategemea) vitu vitatu ...............4...................(muhimu, maarufu). Kwanza ni ...............5...................(kumkubali, kujikubali) wewe mwenyewe.Pili ni kujali ...............6...................(msalahi, matu maini) ya wenzako ...............7................... (ili, ama) kuboresha uhusiano . Kitu cha tatu ni mahusiano mema ...............8...................(! , ,) adabu na heshima. Aisee! Uhusiano mwema ni jambo la ...............9...................(kupiga jeki, kutia moyo). Ni ...............10...................(vyema, wema) kushirikiana.

Kifungu cha 3; Wiki 5 Jumanne
Kamilisha kifungu hiki kwa kujaza mapengo ukitumia mojawapo ya maneno uliyopewa

Kabla ...............1...................(nimeanza, sijaanza) kula, mimi ...............2...................(hunawa, huoga) mikono ...............3................... (zangu, yangu). Baada ya hapo humshukuru...............4...................(ndugu, mungu) kisha huanza ...............5...................(kula, kukulia). Chakula kikiwa ...............6...................(tamu, kitamu) mimi humshukuru ...............7................... (mpishi, bawabu). Chakula kikiwa ...............8...................(mbaya, kibaya) huwa sisemi kitu maana sitaki kukosa...............9................... (adabu, adhabu). Mtu...............10...................(msafi, mwema) hushukuru kwa kila jambo.

 

KUANDIKA
Wiki 5 Ijumaa
1. Panga sentesi zifuatazo ili kuunda hadithi 

  1. Nilipofika nyumbani nilienda chumbani mwangu
  2. Moyo wangu ulipenda kazi ya ualimu
  3. Nilitaka kufungua hospitali kubwa nikiwa mkubwa
  4. Siku moja mwalimu alituambia tuandike insha
  5. Hospitali yangu ingewasaidia watu wengi
  6. Nilifurahi sana
  7. Nilishindwa kuchagua kati ya ualimu na udaktari
  8. Niliwaza kuhusu kazi ninayoipenda
  9. llihusu kazi tunayoipenda
  10. Lakini ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari
  11. Niliamua kuandika kuhusu kazi zote zinazozipenda

................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

2. Tazama picha hii kisha uandike insha kuhusu NYUMBANI KWETU
myumbani kwetu hfgygfdauyd

NYUMBANI KWETU

................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

SARUFI
Wiki 6 Jumanne

  1. Jaza mapengo kwa NOMINO pekee
    1. ............................................kimevunjika (chote, kiti)
    2. ............................................amenunuliwa (mbuzi, yule)
    3. ............................................hukimbia mbio (nyumba, duma)
    4. Ukiendesha ............................................kasi utapata ajali (kabisha, gari)
    5. ............................................wazuri wana adabu (wanafunzi, wake)
  2. Pigia mstari vitenzi katika sentensi hizi
    1. Carol alitembea kwa muda mrefu
    2. Tafadhali imba wimbo huo kwa sauti
    3. Njoo kwetu kesho kutwa
  3. Jaza mapengo kwa vitenzi
    1. Mpishi............................................chakula kitamu. (amepika, wetu)
    2. Mwalimu............................................kwa ustadi. (mzuri, alifundisha)
  4. Jaza mapengo kwa vivumishi
    1. Mazingira............................................hayaleti magonjwa (safi, masafi)
    2. Sauti ............................................humtoa nyoka pangoni (nzuri, mzuri)
    3. Sauti ............................................humtoa nyoka pangoni (nzuri, mzuri)
    4. Nguo ............................................huoshwa. (chafu, dogo)
    5. Mama amepika vyakula............................................(tamu, vitamu)
  5. Onyesha vitenzi, nomino na vivumishi kwenve kibofu hiki chenye maneno.
    5 yjugduyadia

     vitenzi nomino  vivumishi 

                                                     

     

     

                                                                                             
  6. Piga mstari viwakilishi katika sentensi hizi
    1. Vizuri vimepikwa haraka
    2. Wachache waliwasili karamuni
    3. Kingi kimewatosha
    4. Wakubwa watacheza vizuri
    5. Mwingine ameanguka shimoni
  7. Tunga sentensi ukitumia vielezi vifuatavyo
    1. Polepole:....................................................................
    2. Nyumbani:....................................................................
    3. Saa tano: ....................................................................
  8. Andika jibu linalofaa
    1. Anna ...................................Rajab ni watoto wa mama mmoja. (na, halafu)
    2. Ukivaa shati, unaweza  ...................................kuvalia tai. (pia, na)
    3. Mzee yule ana sifa nzuri  ...................................si mbaya. (bali, wala)
    4. Nyanya alivalia rinda zito  ................................... kulikuwa na baridi. (kwa sababu , kwa hivyo)
    5. Sidiria ni vazi la wanawake ...................................soksi huvaliwa na watu wote.
  9. Jaza nafasi kwa kihusishi kinacchofaa
    1. Ng'ombe wawili wamelala  ................................... ya zizi. (ndani ya, juu ya)
    2. Lori limetua mzigo ...................................barabara (nje ya, kando ya)
    3. Kikombe kimewekwa  ................................... ya meza(juu ya, baada ya)
    4. Shimizi ni vazi ambalo huvaliwa  ................................... ya nguo (nje ya, ndani ya)
    5. Nitakutembelea  ...................................kumaliza kazi. (kati ya, baada ya)
  10. Tambua vihusishi, viunganishi, vihisishi kwenye wingu
    clud uytuadgiud
    Viunganishi  Vihusishi  Vihisishi 

     

     

     

     

       
  11. Andika nomino tano katika ngeli ya A-WA kwa umoja na wingi
      Umoja   Wingi 
     a                                                                                                      
     b    
     c    
     d    
     e    
  12. Andika sentensi kwa wingi
    1. Kipofu amepotea
    2. Mbu amemuuma mtu
    3. Samaki anaishi majini
  13. Jana kwa kiambishi kinachofaa
    1. Mpishi.................................na pika chakula.
    2. Madakatari .................................mewatibu wagonjwa.
  14. Paka rangi kwenye mraba nomino katika ngeli ya U-I
    Maneno: mkebe, miamba, mwiko, mguu, mpunga, mche, mkono, mto, mkwaju, mwiba, mkebe 
    words jygauyda
  15. Maneno haya yako katika ngeli gani?
    1. Visigino...........................................
    2. jitu...........................................
    3. matunda...........................................
    4. mwanafunzi...........................................
    5. majina...........................................

MSAMIATI
Wiki 6 Ijumaa

  1. Andika majina ya vitu vifuatavyo
    wewe zuygcy
  2. Taja vitu vingine vinavyopatikana nyumba na ueleze hutumiwa kufanyia nini
    1. ..................................................................................................................
    2. ..................................................................................................................
    3. ..................................................................................................................
  3.                                
    1. Chakula cha asubuhi huitwa ......................................
    2. Chakula chca mchana huitwa ......................................
    3. Kiporo ni nini?......................................
    4. Tuna ......................................wa mikono tukisha kula.
    5. ......................................ni mchele ulio pikwa.
  4. Mavazi haya huitwaje?
    4 ayuhguyad
  5. Andika majina ya mavazi uliyovalia
    1. ........................................................................
    2. ........................................................................
    3. ........................................................................
    4. ........................................................................
  6. 5 auygdyuad
    Watu huvalia mavazi kama haya wakati gani?
  7. Tazama mchoro huu
    compass
    1. Hii ni ........................................................................
      sehemu 1,2,3 na 4 ni
      1. ........................................................................
      2. ........................................................................
      3. ........................................................................
      4. ........................................................................
    2. Jua huchomoza upande gani?........................................................................
    3. Jua hutua upande gani?........................................................................
    4. Kusini ni kwa kaskazini kama vile ........................................................................ ni kwa magharibi
  8. Jaza Mapengo
    1. Mama mja ........................................................................alijifungua mwana wa kike
    2. Shashi hutumiwa mtu akienda msa........................................................................
    3. Ugonjwa wa kipindupindu husababisha mtu kuende........................................................................
  9. Andika majina ya matunda haya
    fruits
  10. Mimea hii huzaa nini?
    1. Mharagwe:.....................................................................
    2. Mhindi:.....................................................................
    3. Mbuni:.....................................................................
    4. Mkorosho:.....................................................................
    5. Mwembe:.....................................................................
  11. Andika majina ya wanyama waonekanao kwenye picha
    wild animals iuygahda
  12. Andika sentensi mbili kuelezea umuhimu wa wanyama hawa
    1. .....................................................................
    2. .....................................................................
  13. Andika visawe vywa maneno haya
    1. gereza .....................................................................
    2. tarakilishi.....................................................................
    3. tabibu.....................................................................
    4. chakula.....................................................................
    5. hekima.....................................................................
  14. watu hawa wanafanya kazi gani ili kijipatia mapato
    14 ahyhydguad

MASWALI

Kusikiliza Na Kuzungumza 

  1.                               
    1. toa     doa
    2. papa  baba
    3. jini      chini
    4. kuku    gugu
  2. Pemba beba
  3. Mruba
  4.                  
    1. nzuri/ njema
    2. sijambo
    3. Asante
    4. Pole 
    5. marahaba
    6. Binuru 
  5.                              
    1. Kitanda 
    2. Njia 
    3. nyayo 
    4. usingizi
    5. mwiko 
  6.                    
    1. kaburi
    2. mwisho
    3. utakunasa 
    4. heri
    5. Haraka
  7. Anayekataa mawaidha ya wakubwa wake mabaya humpata
  8.                      
    1. alipiga ripoti 
    2. aliomba ruhusa 
    3. atii amri 
    4. anajua 
    5. kumtia moyo 
  9.                        
    1. nina 
    2. Waraka
    3. mkwasi
    4. tabibu 
  10.                          
    1. Mkali
    2. mrefu
    3. waoga 
    4. baridi
    5. mfupi
  11.              
    1. Kuchora
    2.                        
      1. kuifadhi mahali safi
      2. Kuikunja vizuri 
      3. Kuitorarua

Sehemu ya 1

  1. itategemea mwanafunzi
  2. Vinajenga mwili
  3. Hujikinga kutokana na magonjwa
  4. Amedhoofika

Sehemu ya PIli

  1. Mwajuma, Atieno, Kamau 
  2. Kuimarisha afya ya mwili 
  3. Sikiliza mama wee

KUSOMA
Taarifa ya 1 

  1. Jumamosi 
  2. Baku 
  3. Mwewe 
  4. Alimrushia jiwe
  5. Waliruka angani 
  6. Bundi 
  7. Walipomwona mbuni
  8.                        
    1. Kanga
    2. Tausi 
    3. Mbuni
    4. Chiriku 
    5. Bundi

Taarifa ya 2                

    1. hujambo?
    2. waambaje 
  1. porini 
  2. kutafuta chakula 
  3. hutorokea nyumbani 
  4. porini penye nyasi na vichaka 
  5. kiangazi 
  6. masika/ kifutu

Soma Kifungu 

  1. C
  2. C
  3. B
  4. C
  5. C
  6. B
  7. D
  8. D
  9. B
  10. D

KUANDIKA
Kifungu cha 1

  1. la
  2. wa
  3. wa
  4. ya
  5. haya
  6. mkubwa
  7. cha
  8. yake
  9. mdogo
  10. cha

Kifungu cha 2

  1. anafaa
  2. kati ya
  3. Yanategemea 
  4. Muhimu
  5. Kujikubali
  6. Maslahi
  7. Ili
  8. ,
  9. kutia moyo
  10. Vyema

Kifungu cha 3

  1. sijaanza
  2. hunawa 
  3. yangu
  4. mungu 
  5. kula 
  6. kitamu 
  7. mpishi 
  8. kibaya 
  9. adabu 
  10. mwema

SARUFI

  1.                          
    1. Kiti
    2. Mbuzi
    3. Duma
    4. Gari
    5. Wanafunzi
  2.                      
    1. Alitembea
    2. Imba 
    3. Njoo
    4. Ruka
  3.                  
    1. Amepika
    2. Alifundisha
  4.                          
    1. Safi
    2. Nzuri
    3. Nzuri
    4. Chafu
    5. Vitamu

Vitenzi
Ruka  Suka Kata  Imba Tembea

Nomino
Mkulima kalamu Nguo Mwamba Meza

Vivumishi
Nyeusi Mabivu Warefu Ndogo

  1.              
    1. Vizuri
    2. Wachache
    3. kingi 
    4. Wakubwa
    5. mwingine
  2.                    
    1. Tembea pole pole
    2. Nilienda nyumbani
    3. Walifika saa land
  3.                        
    1. na
    2. pia
    3. bali 
    4. kwa sababu
    5. lakini
  4.                  
    1. Ndani ya
    2. kando ya
    3. Juu ya
    4. Ndani ya
    5. Baada ya 
    1. Viunganishi
      Pia            Na            Kwani           Lakini
    2. Vihusishi
      kando ya           Juu ya           Chini ya
    3. Vihisishi
      Aha!           Do!           Huree! Lol
  5.                          
    1. mtoto, watoto 
    2. Mtoto Watoto
    3. Mwanafunzi Wanafunzi
    4. Ng'ombe Ng'ombe
    5. Daktari Madaktari
    6. Bata Mabata
  6.                    
    1. Vipofu wamepotea
    2. Mbu wamewauma watu
    3. Samaki wanaishi majini
  7.                      
    1. wa
  8. Mraba 
  9.                      
    1. KI-VI
    2. LI- YA 
    3. LI- YA 
    4. A-WA 
    5. LI-YA

MSAMLATI 

  1.                  
    1. Kitanda 
    2. Chumba 
    3. balbu 
    4. Meza 
    5. Kochi
    6. Televisheni/Runinga
  2.                              
    1. Sahani ya kulia chakula 
    2. Blanketi la ujifunikid
    3. kikombe cha kunywea maji
  3.                    
    1. Staftahi / kifungua kinywa 
    2. Chamcha/ kishuka 
    3. Chakula kilicholala
    4. nawa
    5. wali 
  4.                
    1. kizibao 
    2. rinda
    3. kaptura/ bomb
    4. suruali 
    5. shati
    6. fulana
  5.                  
    1. sketi 
    2. sweta 
    3. chupi 
    4. blauzi
  6. wa baridi
  7.                          
    1.                                
      1. Kaskazini
      2. Mashariki 
      3. Kusini
      4. Magharibi
    2. Mashariki 
    3. Magharibi 
    4. Mashariki 
  8.                            
    1. Mzito 
    2. Lani
    3. esha
  9.                    
    1. machungwa
    2. реа 
    3. nanasi 
    4. tufaha 
    5. tikiti maji in ndizi
  10.                      
    1. maharagwe
    2. mahindi 
    3. kahawa
    4. bibo
    5. maembe 
  11.                      
    1. tembo/ Ndovu
    2. twiga
    3. kifaru 
    4. Mamba
    5. Simba
    6. Chui 
  12.                          
    1. Huleta fedha za kigeni kutokana na utalii 
  13.                            
    1. Jela
    2. Televisheni 
    3. Daktari
    4. Mlo
    5. Busara 
  14.                                            
    1. Ukulima
    2. Daktari
    3. Uchukuzi
Tagged under

MASWALI

SEHEMU 1: KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Mwalimu amsomee mwanafunzi kifungu hiki kisha amwulize maswali yafuatayo.
Paka yuko jikoni. Amebeba panya mdomoni. Panya huyo ni mweusi. Paka anajificha mvunguni mwa meza. Mama anamwona paka.

  1. Paka yuko wapi?
    (Mwanafunzi ajibu)
  2. Paka amebeba nini mdomoni?
    (Mwanafunzi ajibu)
  3. Panya huyo ni wa rangi gani?
    (Mwanafunzi ajibu)
  4. Paka anajificha wapi?
    (Mwanafunzi ajibu)
  5. Nani anamwona paka?
    (Mwanafunzi ajibu)

Vigezo vya Kutathminia Kusikiliza na kuzungumza

Kiwango cha utendaji 
 Upeo/Alama  4  3  0 - 2

SEHEMU 2: KUSOMA KWA SAUTI (Alama 5)
Mwanafunzi asome kifungu hiki kwa sauti.
Ilikuwa siku ya Ijumaa tulipokuwa sebuleni tukitazama runinga. Sabu alianza kutusimulia jinsi ambavyo mwalimu wao alikuwa akiwaeleza kuhusu umuhimu wa miti. Hata ingawa alikuwa shuleni miaka sitini iliyopita, alikuwa akiyakumbuka vizuri.
Alianza kwa kusema kuwa mwalimu wao alisema kuwa miti huwa ni maskani ya wanyama mbalimbali sanasana nyuni ambao hutengeneza viota vyao na kutagia mayai humo. Aliendelea kutuambia kuwa wanyama wengine wanaotegemea miti kama makazi ni wanyamapori kama vile simba, chui, pundamilia na wengine.
Vigezo vya Kuathminia - Kusoma

Kiwango cha utendaji
Maneno yaliyosomwa katika dakika moja 60 na zaidi  41 - 60 21 - 40  0-20

SEHEMU 3: UFAHAMU (Alama 5).
Mwanafunzi asome kifungu hiki na kujibu maswali.

  1. NDOTO YA AMINA
    Babu alimnunulia Amina godoro na foronya. Usiku alipolala aliota ndoto. Aliota kuwa alikuwa msichana mkubwa. Alikuwa akifanya kazi ya ualimu. Baada ya miaka miwili aliacha ualimu akawa mkulima. Aliuza mazao akapata shilingi laki tatu. Alipokuwa akipeleka pesa zake benkini, aliamka kutoka usingizini.
    1. Nani alimnunulia Amina godoro?
    2. Aliota ndoto wakati gani?
    3. Mara ya kwanza alikuwa akifanya kazi gani?
    4. Baada ya miaka miwili alianza kufanya kazi gani?
    5. Alikuwa akipeleka pesa zake wapi? 
  2. MWALIMU BIDII
    Mwalimu Bidii ni mwalimu wa Kiswahili. Anafundisha katika shule ya msingi ya Hekima. Kila siku yeye hutukumbusha kuwa tuwe watoto safi. Kuna siku alituletea ndizi. Tulifurahia mno. Alituahidi kuwa atatupeleka jijini Mombasa.
    1. Mwalimu Bidii hufundisha somo gani?
    2. Mwalimu Bidii hufundisha katika shule gani?
    3. Mwalimu Bilii huwahimiza wanafunzi kuwa watoto
    4. Mwalimu aliwaletea nini?
    5. Mwalimu aliwaahidi kuwa atawapeleka wapi?

Vigezo vya Kutathminia - Ufahamu 

Kiwango cha utendaji 
 Upeo/Alama  4  3  0 - 2

SEHEMU 4: SARUFI
Tunga sentensi ukitumia maneno haya.

  1. jiwe
  2. embe 
  3. mwiko
  4. soko
  5. fimbo

Andika sentensi kwa wingi.

  1. Kiatu chake kimeraruka.
  2. Mtoto yule anakula tunda.
  3. Goti lake limeumia.
  4. Kioo hiki kilivunjika jana.
  5. Meza hii ni ya mwanafunzi.

Andika akisami kwa maneno.

  1. 1/6 -
  2. 1/4 -
  3. 1/2 -
  4. 1/3 -
  5. 1/5 -

Geuza maneno yafuatayo katika hali ya ukubwa.

  1. Mto - 
  2. Mtu - 
  3. Mke -
  4. Mti -
  5. Mji -

Vigezo vya kutathminia - Sarufi

Kiwango cha utendaji 
 Upeo/Alama 19-20  13-18 7-12 0 - 6

SEHEMU 4: KUANDIKA
INSHA Andika insha juu ya:
NYUMBANI KWETU

Vigezo vya kutathminia - Kuandika

Kiwango cha utendaji 
 Upeo/Alama 19-20  13-18 7-12 0 - 6

MAJIBU

SEHEMU 1: KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Mwalimu amsomee mwanafunzi kifungu hiki kisha amwulize maswali yafuatayo.
Paka yuko jikoni. Amebeba panya mdomoni. Panya huyo ni mweusi. Paka anajificha mvunguni mwa meza. Mama anamwona paka.

  1. Paka yuko wapi?
    Jikoni
  2. Paka amebeba nini mdomoni?
    Panya
  3. Panya huyo ni wa rangi gani?
    Mweusi
  4. Paka anajificha wapi?
    mvunguni mwa meza
  5. Nani anamwona paka?
    Mama

Vigezo vya Kutathminia Kusikiliza na kuzungumza

Kiwango cha utendaji 
 Upeo/Alama  4  3  0 - 2

SEHEMU 2: KUSOMA KWA SAUTI (Alama 5)
Mwanafunzi asome kifungu hiki kwa sauti.
Ilikuwa siku ya Ijumaa tulipokuwa sebuleni tukitazama runinga. Sabu alianza kutusimulia jinsi ambavyo mwalimu wao alikuwa akiwaeleza kuhusu umuhimu wa miti. Hata ingawa alikuwa shuleni miaka sitini iliyopita, alikuwa akiyakumbuka vizuri.
Alianza kwa kusema kuwa mwalimu wao alisema kuwa miti huwa ni maskani ya wanyama mbalimbali sanasana nyuni ambao hutengeneza viota vyao na kutagia mayai humo. Aliendelea kutuambia kuwa wanyama wengine wanaotegemea miti kama makazi ni wanyamapori kama vile simba, chui, pundamilia na wengine.
Vigezo vya Kuathminia - Kusoma

Kiwango cha utendaji
Maneno yaliyosomwa katika dakika moja 60 na zaidi  41 - 60 21 - 40  0-20

SEHEMU 3: UFAHAMU (Alama 5).
Mwanafunzi asome kifungu hiki na kujibu maswali.

  1. NDOTO YA AMINA
    Babu alimnunulia Amina godoro na foronya. Usiku alipolala aliota ndoto. Aliota kuwa alikuwa msichana mkubwa. Alikuwa akifanya kazi ya ualimu. Baada ya miaka miwili aliacha ualimu akawa mkulima. Aliuza mazao akapata shilingi laki tatu. Alipokuwa akipeleka pesa zake benkini, aliamka kutoka usingizini.
    1. Nani alimnunulia Amina godoro?Babu
    2. Aliota ndoto wakati gani? Usiku
    3. Mara ya kwanza alikuwa akifanya kazi gani? Ualimu
    4. Baada ya miaka miwili alianza kufanya kazi gani? Mkulima
    5. Alikuwa akipeleka pesa zake wapi?  benkini
  2. MWALIMU BIDII
    Mwalimu Bidii ni mwalimu wa Kiswahili. Anafundisha katika shule ya msingi ya Hekima. Kila siku yeye hutukumbusha kuwa tuwe watoto safi. Kuna siku alituletea ndizi. Tulifurahia mno. Alituahidi kuwa atatupeleka jijini Mombasa.
    1. Mwalimu Bidii hufundisha somo gani? Kiswahili
    2. Mwalimu Bidii hufundisha katika shule gani? shule ya msingi ya Hekima
    3. Mwalimu Bilii huwahimiza wanafunzi kuwa watoto safi
    4. Mwalimu aliwaletea nini? Ndizi
    5. Mwalimu aliwaahidi kuwa atawapeleka wapi? Mombasa

SEHEMU 4: SARUFI
Tunga sentensi ukitumia maneno haya.
( Mwanafunzi awe amejibu maswali yakiwa yamejibiwa yapasavyo apewe alama)

  1. embe - Embe ni tunda tamu na lenye vitamini nyingi
  2. mwiko - Mama aliutumia mwiko kupika ugali.
  3. soko - Tulienda soko na baba tukanunua maembe.
  4. fimbo - Mkulima alitumia fimbo kufukuza mbwa alikua akitaka kula kuku.

Andika sentensi kwa wingi.

  1. Kiatu chake kimeraruka.
    Viatu vyao vimeraruka.
  2. Mtoto yule anakula tunda.
    Watoto wale wanakula matunda.
  3. Goti lake limeumia.
    Magoti yao yameumia.
  4. Kioo hiki kilivunjika jana.
    Vioo hivi vilivunjika jana.
  5. Meza hii ni ya mwanafunzi.a sixth1/6
    Meza hizi ni za wanafunzi.

Andika akisami kwa maneno.

  1. 1/6 - sudusi / moja ya sita
  2. 1/4robo / moja ya nne
  3. 1/2nusu
  4. 1/3thuluthi
  5. 1/5 - hamusi / moja ya tano

Geuza maneno yafuatayo katika hali ya ukubwa.

  1. Mto -  jito
  2. Mtu - jitu
  3. Mke - janajike
  4. Mti - jiti
  5. Mji - Jiji
Tagged under

SHUGHULI YA 1
Kusoma

  1. Soma kwa sauti (alama 10)
    Tulidondoa Mchele ili kuondoa ndume. Saa kumi alfajiri tulikanga wali tuka uchanganya na nyama iliyokaangwa na kuitia masala.
    Hiyo ikawa ni bintani chakula kinachopendwa sana na wenye sherehe. Baadaye wapishi hodari walichanganya wali na mdalashi, iliki, pilipili na manga, bizari pamoja na nyama.
  2. Soma kifungu kisha jibu maswali (alama 8)
    Mpishi ni mtu anayejua kupika. Mtu anayejua kupika ana ujuzi halisi. Mtu huweza kusomea kazi hii hadi chuo kikuu au kujifunza kutoka kwa wajuzi wengine. Wapishi maarufu hupatikana katika hoteli kubwa kubwa na kuna wale hupenda hupishi na hupika vyakula na kuviuza vibandani. Chakula cha asubuhi huita staftahi, cha mchana ni chamcha na chakula cha jioni huitwa chajio. Kiamsha kinywa ni kama chai, mkate, mayai, uji na vingine vingi. Watu wengi hupenda kiamsha kinywa
    1. Mpishi ni nani?
    2. Mtu anaweza kusoma kazi hii hadi____au kujifunza kwa____ wengine
    3. Wapishi maarufu hupatikana wapi?
    4. Taja vyakula vinavyotumika asubuhi
    5. Chakula cha asubuhi huitwa
      ____na kile cha mchana ni
      ____ na cha jioni huitwa
  3. Andika majina ya picha
    1 1
    2 1
  4. Unda maneno ukitumia sauti
    Mfano: S - Soma
    1. f___
    2. v___
    3. s___
    4. z___
  5. Taja miezi mitatu ya mwaka
  6. Jibu salamu na maagano
    1. Alamsiki?
    2. Hujambo?
    3. Salaam aleikum?
  7. Jibu methali
    Akili ni

Andika Insha Kuhusu
RAFIKI YANGU

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

  1.            
  2.  
    1. Anayejua kupika
    2. chuo kikuu, kutoka kwa
    3. hoteli kubwa kubwa 
    4. mayai
      mkate
      chai
      uji
    5. kiamsha kinywa, chamcha, chajio
  3.        
    1. kengele
    2. sufuria
    3. mwavuli
    4. runinga
  4.      
    1. faa
    2. vaa
    3. sisi
    4. zizi
  5.    
    1. Januari
    2. Feburuari
    3. Machi
  6.      
    1. binuru
    2. sijambo
    3. aleikum salaam
  7. mali

QUESTIONS

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaku 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Usiku _1_Bw. Mateso hakupata hata _2_. Ujumbe wa _3_  ule ulimwangaisha _4_. Aliwaza na kuwazua namna _5_ naye. Usiku wa manane _6_, usingizi ukamchukua na punde si punde akalala _7_. La ajabu ni kuwa _8_ msituni asubuhi huku amezingirwa na majitu _9_ silaha hatari.

  1.                    
    1. hiyo
    2. huo
    3. hii
    4. huu
  2.                            
    1. sauti kidogo
    2. kiamsha kinywa
    3. furaha riboribo
    4. lepe la usingizi
  3.                    
    1. barua
    2. arafa
    3. waraka
    4. tangazo
  4.                  
    1. usiku kucha
    2. mchana kutwa
    3. usiku kutwa
    4. mchana kutwa
  5.                    
    1. watakayekutana
    2. atakutana
    3. atakavyokutana
    4. waliokutana
  6.                                      
    1. ilipoingia
    2. uliingia
    3. yalipoingia
    4. ulipoingia
  7.                        
    1. ndindindi
    2. fofofo
    3. goigoi
    4. rovurovu
  8.                            
    1. alijipata
    2. walijipata
    3. ilijipata
    4. yaliwapata
  9.                    
    1. zenye
    2. wenye
    3. yenye
    4. mwenye

Nilikaa _ 10_ huku nikijikuna kichwa kuhusu _11_ kutatua shida _12_. Mkururo wa matatizo mengi _13_. Hakika _14_. Kupata chakula kwangu kulikuwa kumeadimika kama _15_. Hata hivyo, hatimaye nilifua dafu na ninamshukuru Mungu.

  1.                          
    1. nyuma
    2. kitako
    3. chini
    4. chali
  2.                      
    1. jinsi ya
    2. hali ya
    3. mambo ya
    4. vile ya
  3.                      
    1. hayo
    2. hilo
    3. hiyo
    4. hayo
  4.                
    1. ulinifuata
    2. yamenifuata
    3. iliyonifuata
    4. zilizonifuata
  5.                    
    1. vyote ving'aavyo si dhahabu
    2. hakuna kubwa lisiloshindwa
    3. muumbiko ubichi hula mbivu
    4. la kuvunda halina ubani
  6.                  
    1. wali wa daku
    2. kinu na mchi
    3. sahani na kawa
    4. uta na upote

Kuanzia swali la 16 mpaka 30, chagua jibu lililo sahihi kulingana na maagizo.

  1. Chagua neno ambalo ni nomino maalum katika sentensi hii:
    Hadija alienda kwale jumapili asubuhi.
    1. Hadija. 
    2. Kwale. 
    3. Jumapili. 
    4. Asubuhi.
  2. Ni sentensi ipi iliyo na kivumishi cha pekee? 
    1. Wakulima wetu hupanda mikorosho mingi. 
    2. Wanafunzi wengine wamejiunga na shule yetu.
    3. Mabasi mengi ya shule yetu ni mazuri.
    4. Wanariadha kadhaa hufanya mazoezi.
  3. Watu walio na uhusiano wa damu wasiopaswa kuoana huitwa,
    1. binamu 
    2. mwanyumba.
    3. wakwe. 
    4. maharimu
  4.  Ni methali gani kati ya hizi inaonyesha bidii? 
    1. Laraka haraka haina baraka. 
    2. Kidole kimoja hakivunji chawa. 
    3. Mchumia juani hulia kivulini. 
    4. Asiyefunza na mama hufunzwa na ulimwengu
  5.  Kikembe cha ng'ombe ni ndama kama vile kikembe cha sungura ni,
    1. kisuse. 
    2. kiwavi. 
    3. kinegwe.
    4. kitungule.
  6. Kazi aliyomaliza ni moja kwa tatu kwa imetumika konyesha. 
    1. Baba amcenda kwake. 
    2. Sofia amerudi kwa jirani. 
    3. Tulimshangilia kwa sauti kuu. 
    4. Schemu ya kazi aliyomaliza.
  7. Ni orodha ipi inayoonyesha mpangilio wa siku sawasawa?
    1. Asubuhi, alfajiri alasiri, adhuhuri.
    2. Alasiri, adhuhuri, asubuhi, alfajiri.
    3. Alfajiri, asubuhi, adhuhuri, alasiri.
    4. Alasiri, asubuhi, adhuhuri, alfajiri.
  8. Chagua ukubwa wingi wa Simu yangu ni mpya. 
    1. Simu zetu ni mpya. 
    2. Jisimu langu ni jipya. 
    3. Majisimu yetu ni mapya. 
    4. Vijisimu vyetu ni vipya.
  9. Ni sentensi ipi ina "ji' nafsi au kirejeshi?
    1. Majiji ya taifa letu yamepanuka sana. 
    2. Wananchi walijichagulia kiongozi wao. 
    3. Mtangazaji hodari alituzwa
    4. Uogeleaji wake ulifurahisha mashabiki. 
  10. Chagua sentensi iliyotumia kiunganishi almuradi sawasawa. 
    1. Nilikuwa almuradi sikushiba.
    2. Sikumwona almuradi atafika. 
    3. Alishindwa kununua simualmuradi gani? 
    4. Unaweza kuenda kucheza almuradi urudi mapema.
  11. Kinyume cha panga ni,
    1. kutopanga.
    2. pangia.
    3. pangua
    4. punguza.
  12. Chagua sentensi iliyo sahihi.
    1. Sisi ndizi wanafunzi bora. 
    2. Nyinyi ndinyi mashabiki wa timu ile. 
    3. Wao ndiyo waliozawadiwa jana.
    4. Mimi siye niliyeandibiwa. 
  13. Majumba ya kumbukumbu za mambo ya kale huitwa, 
    1. makazi. 
    2. maktaba .
    3. maabae.
    4. makavazi
  14. Bainisha aina gani ya neno lililopigiwa mstari
    Mgeni wake alifika jana jioni.
    1. kiashiria. 
    2. kiele
    3. kimilikishi.
    4. kivumishi. 
  15. Neno nyadhifa'lina sauti ngapi?
    1. sita 
    2. talu.
    3. nane.
    4. tano

Soma taarifa ifuatayo kwa makini kisha ujibu maswali 31 - 40
Baada ya mateso ya muda mrefu kwenye mikono ya mwajiri katili. Vumilia alinyanyuliwa na maafisa wa serikali waliosimamia haki za watoto Mwajiri wake alijikuta mashakani alipopatikana akimtesa. Siku hiyo kweli ilikuwa siku ya afua kwake Vumilia. Mwajiri alishikwa na askari na kupelekwa ndani
Vumilia alipelekwa shuleni aendelee na masomo yake. Kweli liandikwalo na Mungu lazima liwe, naye vumilia alisoma hadi kilele cha masomo hata ingawa alikuwa maskini hohehahe. Kutokana na misaada ya watu mbalimbali, alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kupita vilivyo. Alikwenda chuoni kusomea Urubani. Baadaye aliajiriwa kazi na shirika la ndege la Kenya. Hapo, aliweza kupata pesa za kutosheleza mahitaji yake.
Huko nyumbani, wazazi wake walizidi kudhoofika kimaisha kwajumla. Waliposikia kuwa mtoto wao wa kipekee kapata kazi, wingu la tamaa liliwajia. Lakini ajabu ni kuwa wingu hilo halikuwa mvua ya mafanikio kwao. Vumilia aliponda mali na kutia masikio nta. Hakufikiria nyuma bali alisonga mbali na kuponda mali. Vinika njia walimzingira kama nzi kidondani. Ama kwa kweli mirija yao ilinyonya uhondo wa kutosha kutoka kwa mwenzao. Waliogelea kwenye mavuno ambayo hawukuyapalilia wala kuyanyunyizia maji. Kwa bahati mbayu, kutokana na makosa madogo madogo. Vumilia alifutwa kazi. Hapo ndipo marafikize wote walimtoroka. Wazazi wake waliposikia hivyo walienda kumtafuta wakaishi naye hadi akapata ajira nyingine.

  1. Ni nani aliyekuwa akimtesa Vumilia?
    1. Mwajiri wake
    2. Wazazi wake,
    3. Askari wa kusimamia haki za watoto.
    4. Walimu wake
  2. ...... alishilowa na askari na kupelekwa ndani" maana yake ni alishikwa,
    1. na kupelekwa kwake
    2. na kutiwa nyumbani 
    3. na kuwekwa korokorini
    4. na kuachiliwa
  3. Methaliliandikwalo na Mungu lazima liwe ina maana gani? 
    1. Barua ya kutoka kwa Mungu haisemi uongo 
    2. Jambo lolote alilopenda Mungu litendeke, ni lazima litendeke.
    3. Vumilia alisomeshwa kwa sababu Mungu aliamrisha, 
    4. Vumilia alipita vizuri kama alivyoambiwa na Mungu.
  4. Vumilia alisomea kazi gani?
    1. Urubani wameli
    2. Unahodha
    3. Urubani wa ndege.
    4. Uhandisi.
  5. Vumilia aliajiriwa na shirika lipi kati ya haya? Shirika la.
    1. meli la Kenya 
    2. ndege la Kenya. 
    3. la Kenya 
    4. urubani la Kenya.
  6. Moja ya yafutayo si ukweli, ni lipi? Vumilia.
    1. aliwashughulikia wazazi wake vyema. 
    2. hakuwashughulikia wazazi wake. 
    3. alipatana na wazaziwe alipofutwa kazi. 
    4. alikuwa na marafiki wa dhati.
  7. Nini maana ya kutia masikio nta?
    1. Kupata nta na kuyazibu kabisa 
    2. Kusikia kila jambo. 
    3. Kujifanya husikii lolote. 
    4. Kuwa kiziwi kabisa.
  8. "Waliogelea kwenye mavuno ambayo hawakuyapalilia wala kuyanyunyizia maji" Maana yake ni
    1. Kulima na kuvuna bila kupalilia wala kunyunyizia maji. 
    2. Kuogelea katika maji ya kunyunyizia mimea 
    3. Kutumia mali ambayo hukuyatafuta hata kidogo 
    4. Kutumia mali ambayo yalitokana na ukulima mbaya
  9. Kwa nini marafiki walimtoroka Vumilia? Vumilia
    1. aliwafukuza 
    2. alihara alikoishi.
    3. alifutwa kazi 
    4. aliwapatia kazi
  10. Je, Vumilia alipata kazi tena?
    1. La hakupata 
    2. Ndio alipata.
    3. Alikuwa na tamaa ya kupata. 
    4. Akutafuta sana, hakupata.

Soma kifungu kifuatacho bva makini kisha ujibu wa wall 41 - 50
Teknolojia mpya ni tawi la maarifa linalohusiana na sayansi kwa upande mmoja waruhandisi (uijimia) kwa upande mwingine. Sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi na majaribio katika mabara. Nao uhandisi ni ujuzi wa kuunda mitambo. Maarifa ya sayansi yanapotumiwa kutengeneza vitu viwandani, hali hii inakuwa teknolojia.
Vao mojawapo la teknolojia mpya ni ruhunu. Watu vijijini sasa wanawasiliana na jamaa zao walio mbali. Akipa nyanya wanapopanda jugu, kupalilia migomba, kukama ng'ombe na kukuna nazi, wanaweza kuzungumza na wajukuu wao walio uingereza, uchina na kwingine kule, hakuna mahali ambapo hapajafikiwa na teknolojia mpya. Tukitembelea baadhi ya nyumba tutaona vifaa kama vitu tanuri ya miale. Vile vile kuna jiko la mvuke ambalo linapika maharagwe yakaivat kwa dakika chuche tu. Majokofu nayo yanatuwezesha kuhifadhi vyakula bila kuharibika. Hata maiti nu mizoga inaweza kuhifadhiwa kwa miaka mingi kwa ajili ya utafiti bila kuaza katika ufuo wa mochari
Kwa upande wa kilimo, teknolojia imefanya makubwa. La kustaajabisha ni intu mmoja kulima eneo kubwa la shamba kwa trekta. Halafu akapanda kwa tandazi, akanyunyizia dawa kukausha magugu, akavuna na kukoboa mahindi akiwa peke yake. Siku hizi inawezekana kukuza mimea na kufuga wanyama wanaokomaa kwa muda mfupi na kutoa mazao maradufu kwa sababu ya teknolojia mpya. Teknolojia imewezesha watu kuvumbua aina nyingi za nishati. Badala ya kutegemea umeme unaotokana na maji tu, sasa watu wanatumia mvuke, nguvu za upepo na nishati ya jua kupata umeme. Kwa sababu hii hata mababu zetu vijini wanatazama televisheni bila shida au wahaka
Kwa upande mwingine, teknolojia ina madhara yake kwa mfano, uundaji wa silaha kali unaendelea kuwaangamiza watu wengi. Mabomu ya kitonoradi yaliyoangushwa Hiroshima na nagasaki Japani mwaka wa 1945 ni zao la kisayansi. Haya yaliwaua watu wengi na madhara yake bado yanadhihirika hata le katika maumbile ya watoto wanaozaliwa na upungufu Tena magaidi na wahalifu wa kimataifa wanatumia Icknolojia mpya kuimarisha mbinu zao za kutenda maovu. Isitoshe, inawezekana kutumia teknolojia kuagiza benki kutumia pesa nje ya nchi bila mwenye hazina kajua.
Wahalifu wanaweza kusikiza mawasiliano ya watu kwa simu hata ikiwa ni baina ya polisi. Kisha matatizo mengi ya kiafya yasemekana yanatokana na vyakula vilivyokuzwa kwa kutumia teknolojia mpya. Ingawa mwendo wake ni wa kasi kasi na stima huweza kusababisha ajali mbaya mno.

  1. Teknolojia mpya ni tawi linalohusiana na
    1. uchunguzi wa maabarani.
    2. sayansi na uhandisi 
    3. ujuzi wa kuunda mitambo. 
    4. utengenezaji wa vitu viwandani.
  2.  Baadhi ya mazao ya teknolojia ni.
    1. chungu, seredani, stovu na kuwa
    2. stuli, meza, kiti na kabati
    3. rununu, trekta, mikrowevu na tandazi.
    4. palasi, tupa, bisibisi na sepetu.
  3. Ni sentensi ipi si sahihi kulingana na kifungu? 
    1. Maarifa ya sayansi hayatumiwi kutengeneza vitu viwandani.
    2. Teknolojia limewezesha watu kuvumbua aina nyingi za nishati, 
    3. Gari moshi kutumia stima badala ya makaa. 
    4. Wanavijiji wanawasiliana na jamaa zao walio mbali.
  4. Neno kuhifadhiwalimepigwa mstari maana yake ni.
    1. kulaza
    2. kufichua
    3. kuharibu
    4. kulinda
  5. Taja baadhi ya vifaa vya mekoni ambavyo ni vya teknolojia
    1. Tanuri, stovu na jokofu.
    2. mikroevu, seredani, stovu. 
    3. jokofu, tanuri najiko la maliga 
    4. jokofu, tanuri na jiko la mvuke.
  6. Kisawe cha neno nishati ni.
    1. kawi 
    2. mwangaza.
    3. mvuke.
    4. joto.
  7. Maumbile ya watoto wanaozaliwa ya upungufu kwa sababu ya 
    1. risasi.
    2. mabomu. 
    3. mizinga 
    4. manowari.
  8. Kulingana na makala haya sentensi ipi ni sahihi? 
    1. Mtu hawezi kutuma pesa nje ya nchi. 
    2. Mabomu ya kitontoradi yaliyorushwa hayakulcta madhara. 
    3. Mtu anaweza kuagiza benki kutuma pesa nje ya nchi. 
    4. Magaidi hawawezi kutumia teknolojia mpya kuimarisha mbinu zao.
  9. Kwa mujibu wa aya ya mwisho, madhara ya fuatayo yamezungumziwa ila ya 
    1. afya. 
    2. mawasiliano 
    3. usafiri 
    4. elimu
  10. Kichwa mwafaka cha kifungut ikini.
    1. Teknolojia. 
    2. Elimu
    3. Afya 
    4. Madhara.

MARKING SCHEME

swa ms

INSHA

Umepewa dakika 40 kuandika insha yako

Wewe ni Kiranja wa shule yako. Toa hotuba kwa wenzako ukiwaeleza jinsi ya kujiandaa katika masomo shuleni.

Tagged under

MASWALI

Soma kifungu kifuatacho. Kina nafasi 1 hadi 15. Kwa kila nafasi lumepewa majibu manne. Chagua lifaalo zaidi.

Katika kijiji _1_ Gatiku _2_sehemu _3_ Monyo. Ni pahali _4_ na pa kuvutia kiasi _5_ mimi siwezi kuelezea _6_ maneno, labda uende ujionee kwa macho yako_7__ Mvuto wa Monyo hukamilishwa na _8_ ya kipekee yasiyo na _9_ , chemi chemi ya ajabu inayobubujikwa kwa lahani ya _10_ za kuliwaza. Wapo viboko na samaki _11_ wanaoogelea kwa madaha na ulimbwende madaha na ulimbwende _12_ wanyama wote majini. Kwa hakika chemi chemi ya Monyo, katika mbuga  _13_ Manila _14__ pahali _15_ na maajabu ya mwenyezi Mungu Kijijini Gatiku.

  1.                
    1. ya
    2. wa
    3. la
    4. cha
  2.                  
    1. ina
    2. lina
    3. wana
    4. kuna
  3.                  
    1. linaloitwa
    2. unaoitwa
    3. kunakoitwa
    4. inayoitwa
  4.                
    1. mzuri
    2. nzuri
    3. pazuri
    4. mazuri
  5.              
    1. ambamo
    2. ambalo
    3. ambacho
    4. ambayo
  6.                  
    1. na
    2. kwa
    3. ya
    4. kwenye
  7.                  
    1. yenyewe
    2. penyewe
    3. mwenyewe
    4. kwenyewe
  8.              
    1. mandari
    2. mahali
    3. uzuri
    4. mandhari
  9.              
    1. nishani
    2. sahani
    3. kifani
    4. shani
  10.                
    1. wimbo
    2. nyimbo
    3. mashairi
    4. maneno
  11.                
    1. maridadi
    2. wabora
    3. nyingi
    4. mengi
  12.                  
    1. kuwaliko
    2. kuiliko
    3. kuliko
    4. kumliko
  13.                  
    1. la
    2. wa
    3. ya
    4. mwa
  14.                  
    1. ndipo
    2. ndiyo
    3. ndilo
    4. ndiko
  15.                  
    1. penye
    2. pako
    3. palipo
    4. kuko

Kutoka swali la 16 hadi 30 jibu kulingana na maagizo.

  1. Kanusha sentensi ifuatayo:
    Mwalimu wetu ni mkali.
    1. Mwalimu watu ni mpole.
    2. Mwanafunzi wao ni mpole.
    3. Mwalimu wao si mrefu.
    4. Mwalimu wetu si mkali.
  2. Jibu la alamsiki ni:
    1. chewa
    2. binuru
    3. marahaba
    4. ya mafanikio
  3. Leo ni siku ya jumatano. Mtondogoo itakuwa siku gani?
    1. Jumapili
    2. Jumanne
    3. Jumamosi
    4. Ijumaa 
  4. Chakula kilicholala huitwa?
    1. Makombo au masalia
    2. Mwikokipo 
    3. Kiporo au mwiku
    4. Mabaki au staftahi
  5. Andika wingi wa sentensi ifuatavo:
    Mtume anaheshimika.
    1. Watume wanaheshimika.
    2. Matume yanaheshimika.
    3. Mitume yamcheshimika
    4. Mitume wanaheshimika 
  6. Teua sentensi inayoonyesha "ki" ya masharti.
    1. Nilipomwona rais, alikuwa akikagua gwaride la heshima.
    2. Kijikaratasi hiki ndicho chenye maandishi.
    3. Alipowasili alitupata tukipiga domo.
    4. Tukitia bidii ya mchwa, tutafua dafu.
  7. Jaza pengo kwa kiashiria radidi kinachofaa
    Nyangumi ....................... ndiye amenaswa na mtego ule. 
    1. huyu huyu 
    2. huyu huyo
    3. lo hiyo
    4. yuyu huyu 
  8. Shairi lenye mishororo mitatu katika kila ubeti huitwa:
    1. tarbia
    2. tathlitha
    3. takhmisa
    4. tathnia 
  9. Ipi si zana ya kivita?
    1. Nyambizi 
    2. Manowari 
    3. Parafujo
    4. Kombora
  10. Akifisha sentensi ifutayo vyema.
    Mama wee dadangu alishtuka
    1. “Mama wee!" Dadangu alisema.
    2. "Mama wee?" dadangu alitamka.
    3. “Mama wee" dadangu alikiri.
    4. Mama wee! "Dadangu alisema." 
  11. Unda kitenzi kutokana na neno mpishi.
    1. upishi
    2. pika 
    3. upikaji
    4. upiki 
  12. Tumia neno la heshima kujaza pengo.
    ......................... niazime kitabu chako nitakurudishia nikimaliza kufanya zoezi.
    1. Tafadhali
    2. Samahani 
    3. Pole
    4. Aisee
  13. Mchezo huu ..................... vizuri sana asubuhi.
    1. unachezesha 
    2. unachezana
    3. unachezeshana
    4. unachezeka 
  14. Neno "pua" hupatikana katika ngeli gani?
    1. LI-YA
    2. U-ZI
    3. I-ZI
    4. I-I 
  15. Chagua neno lililo sawa na lililopigwa kistari.
    Mfanyikazi aliyepigwa kalamu alikuwa mlegevu.
    1. mjuzi
    2. mwenye bidii
    3. mwerevu
    4. mzembe

Soma habari ifuatayo kisha ujibu maswali 31 hadi 40.
Kuna maradhi yanayowatinga adinasi katika dunia hii. Mojawapo ya mawele hayo ni ugonjwa wa kifua kikuu. Ugonjwa wa kifua kikuu huathiri mapafu na inakadiriwa huua mamilioni ya watu kila mwaka duniani. Maradhi haya husababishwa na bakteria. Bakteria hawa huathiri kila sehemu ya mwili hasa mapafu. Aidha kifua kikuu huenezwa kwa haraka aliyeambukizwa anapokohoa au kuchemua na kutoa vijitone vya bakteria hao ambao huingia hewani na wengine huvuta.
Hata hivyo, watu wengi hawajui kwa sababu bakteria huvamiwa na kuingia mwilini. Kati ya mtu mmoja kwa watu ishirini inakadiriwa kuwa bakteria wengine huvamiwa na kuambukiza miezi au miaka kadhaa baadaye.
Dalili za maambukizi huanza kwa kikohozi chenye mwasho, ambacho huendelea kwa muda mrefu. Kikiendelea kuwa kikao kwa muda huo, mwele huwa na kikohozi ambacho huenda kikawa na matone ya ngeu. Dalili nyingine ni homa kali, kutokwa na jasho, kupoeza uzito, uchungu kifuani na kupoteza hamu ya chakula.
Ugonjwa huu usipotibiwa haraka huleta tatizo la kupumua, hatimaye huenea katika sehemu nyingine mwilini. Takribani nusu ya wote wanavkosa kutibiwa hufa. Inakisiwa kuwa katika mataifa maskini, watu milioni tatu hufa kila mwaka. Aidha maradhi hayo huandamana na Ukimwi ambao unadhoofisha mwili. Watu hupewa chanjo wakiwa wachanga ili kukinga uwele huu. Kwenye hospitali waganga hutumia njia kadhaa kuchunguza maambukizi ya kifua kikuu. Mgonjwa anapopewa dawa ni vizuri amalize kipindi chote cha dawa hata kama amepona huenda akasababisha kuibuka kwa ugonjwa wa kifua kikuu sugu.

  1. Kulingana na kifungu hiki ni ukweli kusema ugonjwa wa kifua kikuu huadhiri:
    1. mapafu pekee
    2. mbavu na mapafu
    3. kila sehemu ya mwili
    4. miguu na mapafu 
  2. Mwele wa kifua kikuu huambukiza watu wengine ugonjwa huu haraka kupitia; 
    1. Kukohoa na kuendesha 
    2. Kukohoa na kuchemua
    3. Kuchemua na bakteria
    4.  Bacteria na joto mwilini 
  3. Ni asilimia gani ya watu wanaokadiriwa bacteria huweza kujificha na kuambukiza miezi na miaka kadhaa baadaye.
    1. Asilimia ishirini 
    2. Asilimia moja
    3. Asilimia kumi
    4.  Asilimia tano
  4. Mwandishi ametaja dalili ngapi za kifua kikuu?
    1. Mbili
    2. Sita
    3. Tano
    4. Saba
  5. Kifua kikuu husababishwa na:
    1. ukosefu wa kinga mwilini
    2. viini viitwavyo bakteria
    3. ukosefu wa usafi
    4. mtu kukohoa karibu na mwingine
  6. Ipi si njia ya kukinga kutokana na ugonjwa wa kifua kikuu?
    1. Alkupewa chanjo ukiwa na umri mdogo 
    2. kujikinga kutokana na baridi
    3. kuepuka makao ya wagonjwa wenye ugonjwa huu.
    4. kuwatibu wagonjwa wa ugonjwa huu 
  7. Mgonjwa anapopewa dawa ni vizuri:
    1. atumie dawa hizo kulingana na uwezo wake. 
    2. anywe dawa hizo zote mara moja 
    3. awache kutumia dawa hizo mara tu anapopona 
    4. atumie dawa hizo hadi kipindi chote kikamilike hata kama amepata nafuu. 
  8. Kati ya watu hawa, ni yupi asiyepatikana hospitalini?
    1. Mganga
    2. Daktari
    3. Mkutubi
    4. Muuguzi 
  9. Ni nini maana ya kifua kikuu sugu?
    1. Ugonjwa wa kifua kikuu unaotibiwa haraka.
    2. Ugonjwa wa kifua kikuu unaotokana na ukimwi.
    3. Ugonjwa wa kifua kikuu usioweza kutibiwa kwa urahisi.
    4. Ugonjwa wa kifua kikuu usiokuwa na by dalili 
  10. Kichwa gani kinachofaa kifungu hiki:
    1. Kifua kikuu sugu
    2. Maradhi bandia ya ukimwi. 
    3. Ugonjwa wa kifua kikuu
    4. Dalili za kifua kikuu.

Soma habari inayofuata kisha ujibu maswali 41 hadi 50,
"Majambazi waliowateka nyara na kuwaua waja watatu katika tariki ya kutoka Kikochi kuelekea Kinango wangali wanasakwa na polisi. Taarifa ya hivi karibuni inatuarifu kuwa kuna baadhi ya mambo ambayo hayajabainika.
Yaaminika kuwa gari la aina ya V8 lenye rangi ya samawati lilikuwa na banati mmoja na maghulamu wawili. Vijana hawa walikuwa wa rika moja. Polisi wanasema kwamba mahuluki hao walistarehe katika hoteli moja va kifahari miini Kikochi kwa muda mrefu kabla ya kutoka hapo na kuelekea Kinange. Wakiwa njiani, watu hao walitekwa nyara na majambazi wasiojulikana na kuelekezwa hadi pahali pasipojulikana
Siku mbili baadave, mwili wa mwanamme mmoja aliyetambuliwa kama Juma ulipatikana ukiwa umetupwa kichakani kilichopewa jina la Wahaka huku amevujwa vunjwa mbavu. kichwa limevunjwa na meno yalikuwa yameng'olewa pamoja na macho.
Mwah mwingine wa mwanaume alivetambulika kama Kalembe, ulipatikana mtoni Mjengo ukiwa umekwama kwenye gogo la mti Askari wanaamini kwamba banati yule mmoja ann
mmoja aliyekuwa ganini mie pia aliuawa la sivyo majambazi hao wanamficha. Walakini cha mno ni kwamba kufikia sasa hakuna familia yoyote inayodai kumpoteza mwanamwali. Polisi wanauliza mja yeyote aliye na habari yoyote ile iwezayo kufumbua fumbo hilo asisite kuielezea kwenye kituo chochote cha usalama

  1. Majambazi waliowateka watu nyara:
    1.  wako kizuizini 
    2. hawajulikani walipo 
    3. wametiwa mbaroni
    4.  wamekamatwa
  2. Gari walilosafiria waliotekwa nyara lilikuwa la rangi ya:
    1. kijani
    2. manjano
    3. nyeusi
    4. buluu 
  3. Mojawapo ya mambo ambayo bado hayajabainika ni: 
    1. gari waliosafiria waliotekwa nyara 
    2. miili yote ya waliotekwa nyara ilipo 
    3. alipo mmoja wa watekwa nyara
    4. waliokuwa wametoka kabla ya kutekwa nyara 
  4. Ni kweli kusema:
    1. watu hawa walitekwa nyara kabla ya kujivinjari huko kikochi 
    2. miili ya watekwa nyara wote ilipatikana wakiwa wafu 
    3. yakini majambazi wanamficha mwanamke aliyetekwa nyara 
    4. uchunguzi wa polisi kuhusu uhalifu huu umefana 
  5. Watu waliotekwa nyara huitwa:
    1.  Mahabusu 
    2. Majangili
    3. Mateka
    4. Majambazi
  6. Kulingana na taarifa hii, polisi wanashuku: 
    1. mwanamke mmoja haeleweki vyema kuhusu mauti au uhai wake.
    2. waliouawa pia walikuwa majambazi
    3. mwanamke yule alishiriki mauaji ya waliokufa.
    4. waliotekwa nyara walijisalimisha kwa hiari. 
  7. Miili ya waliouawa ilikuwa:
    1. imeoza
    2. imehifadhiwa 
    3. kando
    4. pamoja 
  8. Neno wahaka lina maana ya:
    1. wasiwasi 
    2. giza
    3. vichaka
    4. hakika
  9. Jambo ambalo ni gumu kuelewa kama vifo hivi huitwa: 
    1. kizunguzungu 
    2. kikweukweu 
    3. kitefutefu
    4. kizungumkuti 
  10. Mada mwafaka ya habari hii ni:
    1. Sitofahamu ya mauaji 
    2. Msitu wa wahaka
    3. Polisi wazembe 
    4. Taaluma ya utekaji nyara  

MARKING SCHEME

swa marking scheme

Tagged under
Page 11 of 14