Displaying items by tag: kiswahili

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa

Kila mzalendo wa nchi yetu hii tukufu, ___1___   ____ 2___ mashine ___3___  huwa na kazi ___4___ kufanya. ___5___
mzalendo mmoja atashindwa kutekeleza jukumu ____6___ ,wengine___7___. Ni muhimu mzalendo kuitunza nchi yake asije akaishia ___8____ atakapopata shughuli zake zimekwama.

   A   B   C   D 
 1.   mfano   zaidi   kama   sawa 
 2.  iliyo  ilivyo   ilipo   iliko 
 3.  :  ,  ;  __
 4.  inayohitajika   anayohitajika   wanaohitajika   zinazohitajika 
 5.  Maadamu  Ingawa  Ikiwa  Angalau 
 6.  aliyotengewa  alilotengewa   zilizotengewa   ilivyotengewa 
 7.  wataathiriana  wataathirikia   wataathiria   wataathiriwa 
 8.  kujikwaa ulimi   kujifia kikondoo   kujitia shemere   kujiuma kidole 


Sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa dada yangu ___9___. Tuliamka alfajiri na mapema ___10___. Tulikuwa na hamu kuu ya kuona binamu na bintiamu wetu wa toka nitoke yaani; ___11___ wetu. Baada ya kupata kisebeho, ___12___ kuelekea sokoni ___13___ tulinunua mboga za kila aina. Si mchicha, si kabeji, si ___14___ sukumawiki ___15___ alimradi tulikuwa na vingi vya kununua.

   A   B   C   D 
 9.   itakuwa ikiwadia   ikiwa iliwadia   ikawa inawadia   ilikuwa imewadia 
 10.   kuzitayarisha  kuwatayarisha   kujitayarisha   kupatayarisha 
 11.  wakoi  wanuna   masomo   maumbu 
 12.  tulishika zamu  tulishika kani  tulishika usukani   tulishika tariki 
 13.  ambayo  ambako   ambalo  ambao
 14.  mtungo wa  tita la  kicha cha  chane ya 
 15.  ___  ...  !  :


Kutoka swali la 16 - 30, jibu swali kulingana na maagizo uliyopewa.

  1. Kanusha
    Mtamba aliyenunuliwa jana ameuzwa tena.
    1. Mtamba aliyenunuliwa jana hakuuzwa tena.
    2. Mtamba ambaye hakununuliwa jana hakuuzwa tena.
    3. Mtamba hakununuliwa wala hakuunzwa tena.
    4. Mtamba aliyenunuliwa jana hajauzwa tena.
  2. Neno 'mtakimbiliana' lina silabi ngapi?
    1. 7
    2. 13
    3. 6
    4. 8
  3. Ni maelezo yapi yaliyo sahihi?
    1. Mloto ni mshororo wa pili katika ubeti wa shairi.
    2. Tarbia ni mashairi yenye beti nne
    3. Ngonjera ni shairi linalozungumzia historia ya mtu fulani.
    4. Mwandamizi ni kipande cha pili katika mshororo wa shairi.
  4. Ipi ni nomino nadhania?
    1. Kionjamchuzi.
    2. Kikosi.
    3. Uhodari.
    4. Mchanga.
  5. Sentensi: "Nyumbani mwao mlishiba watu na kuwatapika wengine nje", imetumia tamathali gani za usemi?
    1. Tashhisi, chuku.
    2. Tashbihi, kinaya.
    3. Sitiari, nahau.
    4. Sitiari, chuku.
  6. Andika wingi wa
    Wakala alikutatulia shida uliyokuwa nayo
    1. Nyakala waliwatatulia shida mlizokuwa nazo.
    2. Wakala waliwatatulia shida mlizokuwa nazo.
    3. Mawakala waliwatatulia shida mlizokuwa nazo.
    4. Mawakala walimtatulia shida mlizokuwa nazo.
  7. Chagua sentensi yenye kiwakilishi halisi
    1. Watu wale walieleza haja zao ila wanyonge ndio waliosaidiwa kwanza.
    2. Vijana hodari walipongezwa lakini wengine walikashifiwa.
    3. Daktari alimtibu mgonjwa wa kwanza lakini yule wa pili hakutibiwa.
    4. Tulitembea mjini kwa uangalifu ila mmoja wetu aliteleza na kuanguka.
  8. Ni nini maana ya kujipalia makaa ni?
    1. Kujiletea jambo
    2. Kujiwekea makaa
    3. Kujiletea madhara
    4. Kujisababishia jambo.
  9. Kitita ni kwa pesa. Tano ni kwa ______________________________
    1. funguo
    2. ndizi
    3. chokaa
    4. ngozi.
  10. Kucha ni kwa binadamu, mapezi ni kwa
    1. ndege
    2. wanyama
    3. wadudu
    4. samaki.
  11. Chagua jibu lenye kivumishi kilichoundwa kutokana na kitenzi
    1. Mpishi - mapishi. 
    2. Babaika - babaifu
    3. Angaza - mwanga
    4. Samehe - msamaha.
  12. Ni senteni ipi ambayo imetumia 'kwa' ya kuonyesha sababu ya jambo fulani kutokea? 
    1. Mwanafunzi amemwamkua mzazi wake kwa heshima.
    2. Mwalimu alimtuza alama nane kwa kumi.
    3. Wazee kwa vijana walipinga mswada huo wa fedha.
    4. Mkimbizi alituzwa kwa kushinda mbio hizo.
  13. Ni sentensi ipi inayoonyesha hali ya kutegemea?
    1. Msaidieni kuuinua dawati hilo.
    2. Mwalimu akija atawapeleka uwanjani.
    3. Mulika alisikiliza ushauri akaokoka.
    4. Changarawe ambayo ilisombwa iliuzwa.
  14. Chagua sentensi sahihi
    1. Alifua samaki wengi.
    2. Alifua samaki nyingi.
    3. Alivua samaki wengi.
    4. Alivua samaki nyingi.
  15. Chagua kihusishi katika sentensi hii Najua tofauti baina ya mazingira na mazingara.
    1. najua
    2. na mazingara
    3. tofauti
    4. baina ya

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31 - 40.

Katika miaka ya hivi karibuni, kumeshuhudiwa mabadiliko makubwa ya kijamii katika taifa letu. Miongoni mwa mabadiliko hayo ni kule kuendelea kwa taifa kuwa changa. Hii ina maana kuwa wananchi vijana walio na miaka chini ya thelathini na mitano ni wengi zaidi ya wale wenye umri mkubwa kuliko huo. Kwa sababu ya juhudi kubwa ya serikali, kufikia takriban miaka thelathini na mitano iliyopita, mbinu ya kujua kusoma na kuandika huchukuliwa kuwa kitu cha kawaida kama vile kuvaa nguo.

Tukitupa macho nyuma kabla ya utawala wa kikoloni kuingia huku kwetu yapata karne moja tu iliyopita, tutaona kuwa hali ilikuwa tofauti kabisa. Jumuiya zilizoishi katika sehemu ya bara hazikuwa zimeona wala kusikia mtu akiandika wala kusoma. Angetokea mtu awasomee makala wangemwona kama mwehu anayeboboka ovyo, kwani hicho kilikuwa kioja kikubwa.

Jumuiya za pwani zilikuwa na hali tofauti. Karne kadhaa hapo awali, wananchi hawa walikuwa wametembelewa na Waarabu kwa sababu ya kufanya biashara na kuwahubiria dini ya Kiislamu. Maingiliano haya yaliwanufaisha wananchi kwa njia ambayo labda haikukusudiwa. Walipata ujuzi wa kusoma na kuandika hati ya kiarabu ili waweze kusoma Koran katika lugha ya Kiarabu. Baadaye walitumia hati hiyo kuandika lugha zao za kienyeji. Maandishi mengi yalikuwa na lengo la kuhifadhi mafunzo ya dini ya Kiislamu.

Tukizingatia wazo hili la kuzichunguza baadhi ya jumuiya zilizoishi bara, tutaona kuwa zilikuwa na aina ya uandishi. Katika jumuiya mojawapo, kwa mfano, mgeni aliposema angekuja kutembea baada ya siku kumi, wenyeji wake walichukua ukambaa. Wakatengeneza mafundo kumi. Kila fundo liliwakilisha siku moja. Kila kulipokucha waliondoa fundo moja, mpaka fundo la kumi. Hii ikiwa njia mahususi ya kuhifadhi habari na ililingana na ile ya kuandika. Tunaweza kusema kuwa ilikuwa Wakoloni hawakuwa na mfumo mpya, labda kufikia sasa jumuiya hiyo ingekuwa imevumbua njia nyingine ya uandishi

  1. Kwa nini taifa letu linaweza kuitwa changa?
    1. Halikui kwa sababu ya vijana wengi.
    2. Kwa sababu si la zamani sana.
    3. Hakuna wananchi wenye umri mkubwa. 
    4. Idadi kubwa ya wananchi ni vijana.
  2. Watu wengi nchini wanajua kusoma na kuandika kwa sababu
    1. kumekuwa na utulivu nchini.
    2. wananchi wanaona faida ya kujua kusoma na kuandika.
    3. wananchi wenyewe wamefanya bidii.
    4. kumekuwa na mpango uliotekelezwa kwa miaka thelathini na mitano.
  3. Kwa mujibu wa taarifa hii, neno jingine lenyenmaana sawa na mbinu ni
    1. mafunzo
    2. wazo
    3. stadi
    4. hati.
  4. Ukoloni uliingia lini huku kwetu? 
    1. Miaka mia mbili iliyopita.
    2. Karibu miaka mia moja iliyopita.
    3. Karibu miaka hamsini iliyopita. 
    4. Miaka mia tatu iliyopita.
  5. Ni nini maana ya neno kioja?
    1. Ghasia.
    2. Ajabu.
    3. Maarifa.
    4. Wendawazimu.
  6. Ujuzi wa kusoma na kuandika ulifika pwani
    1. wakati wa kuingia kwa ukoloni
    2. muda mrefu kabla ya ukoloni
    3. muda mfupi baada ya ukoloni
    4. muda mrefu baada ya ukoloni.
  7. Chagua kifungu kilicho sahihi zaidi kukamilisha sentensi hii:
    Wenyeji wa pwani walitumia hati ya Kiarabu
    1. kusomea na kuandikia Koran na lugha zao.
    2. kusomea na kuandikia Kiarabu na lugha zao.
    3. kusomea na kuandikia Kiarabu.
    4. kusomea na kuandikia Kiswahili.
  8. Shabaha kuu ya kuandika wakati huo wa zamani ilikuwa
    1. kuhifadhi mafunzo ya dini za wenyeji
    2. kuendeleza lugha ya Kiarabu
    3. kuendeleza hati ya Kiarabu
    4. kuhifadhi mafunzo ya Kiislamu.
  9. Chagua jibu lililo sahihi zaidi
    Mwandishi analinganisha kuandika na kule kutengeneza mafundo kwa sababu
    1. shughuli zote mbili zilifanywa kwa mikono
    2. shughuli zote mbili zilikuwa zikifanywa kwa wakati mmoja
    3. shughuli zote mbili zilikuwa na lengo la kuhifadhi habari
    4. shughuli zote :nbili zilifanywa na wataalamu.
  10. Katika aya ya mwisho, maoni ya mwandishi ni
    1. kuja kwa Wakoloni kulibadilisha utaratibu bora wa uandishi
    2. kuja kwa Wakoloni kulibadilisha matumizi ya mafundo
    3. kuja kwa Wakoloni kuliendeleza njia ya uandishi
    4. kuja kwa Wakoloni kuliendeleza matumizi ya mafundo.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41 - 50.

Baada ya uhuru, Kenya ilihitaji kuikweza lugha moja ya kiasili kuwa lugha ya taifa. Wakenya hawakutaka kuitumia lugha ya Kiingereza kama lugha ya taifa. Hii ilionekana kuwa lugha ya kikoloni na kigeni. Hali ya kuwepo lugha nyingi nchini ilitatiza uchaguzi wa lugha moja. Kila kabila lilitarajia lugha yake kuchaguliwa, jambo ambalo lilikuwa gumu. Kuchagua Kiingereza hakungefaa kwani, mbali na wasomi, raia wengi hawakukijua. Hata sasa wananchi wengi bado hawajakimudu.

Serikali ilishughulikia suala hili la uteuzi. Hatimaye, Kiswahili kilitunukiwa hadhi ya kuchaguliwa. Kama lugha ya taifa, Kiswhili hutumika katika maongezi ya kawaida, mawasiliano ya kibiashara na kadhalika. Kiswahili kilichaguliwa kwa sababu kadhaa. Kwanza, baadhi ya wasomi walifikiria kuwa lugha hii ilikuwa na asili ya Kiarabu. Kwa sababu hii walifikiria kuwa, Kiswahili hakikuwa lugha ya kabila lolote. Pili, wengine waliamini kwamba Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha za kiafrika. Hivyo kingekubaliwa na makabila yote. Hata hivyo, wasomi wengine walishikilia kuwa hii ilikuwa ni lugha ya Kiafrika asilia bila mchanganyiko wowote.

Hivi leo hakuna ubishi wowote kuhusu asili ya Kiswahili. Hii ina maana kuwa Kiswahili kimekubalika kama lugha ya kiasili Afrika Mashariki. Pia ni kitambulisho cha utaifa wa nchi kama Kenya na Tanzania. Isitoshe, Kiswahili ni lugha mojawapo ya lugha za taifa nchini Kongo, Burundi na Rwanda.

  1. Ni nini kilichotatiza uchanguzi wa lugha ya taifa?
    1. Wakenya hawakutaka kuchagua lugha ya kikoloni.
    2. Makabila na lugha nyingi nchini Kenya.
    3. Hakukuwa na lugha maalum ya kiasili ambayo ingechaguliwa.
    4. Wakenya walijua lugha nyingi tofauti.
  2. Kwa nini haingefaa kuchagua Kiingereza? 
    1. Ilikuwa lugha ya wasomi na raia.
    2. Ilionekana kama lugha ngumu isiyoweza kueleweka.
    3. Si watu wengi walioweza kukiongea.
    4. Wenyeji walichukia wageni na lugha yao.
  3. Kulingana na taarifa, lugha ya taifa hutumika vipi nchini Kenya?
    1. Katika mawasiliano ya siasa na shughuli rasmi.
    2. Katika maongezi na mawasiliano ya serikali.
    3. Katika mawasiliano ya kawaida, biashara, siasa na dini.
    4. Katika maongezi ya kawaida na dini.
  4. Kwa nini Kiswahili kilichaguliwa hatimaye kuwa lugha ya taifa?
    1. Kwa sababu kilifikiriwa kuwa si lugha ya kundi lolote.
    2. Kwa sababu kilitumika kwingi barani Afrika.
    3. Kwa sababu uamuzi huo ulitolewa na wasomi.
    4. Kwa sababu kilifikiriwa tu kuwa ni lugha ya Kiarabu.
  5. Maana ya neno hatimaye ni
    1. mwishowe
    2. aghalabu
    3. tena
    4. mwanzoni.
  6. Uliposoma habari hii ulipata jumla ya maoni mangapi juu ya asili ya Kiswahili?
    1. Manne.
    2. Moja.
    3. Matatu.
    4. Mawili.
  7. Maana ya neno hadhi kama lilivyotumika katika kifungu ni
    1. ubora
    2. staha
    3. zawadi
    4. umaarufu.
  8. Lugha ya taifa nchini ni muhimu kwa kuwa 
    1. inapendwa na wananchi wote
    2. hutumika na watu wengi
    3. huimarisha amani na nchi jirani
    4. ni kitambulisho cha utaifa.
  9. Maana ya hakuna ubishi wowote ni
    1. hakuna kukubaliana tena
    2. hakuna jambo lisilo wazi
    3. hakuna jambo la kujadiliana
    4. hakuna pingamizi zozote.
  10. "Kiswahili ni lugha mojawapo ya lugha za taifa' inamaanisha
    1. ndiyo lugha pekee ya taifa
    2. ni lugha ya kimataifa
    3. ni lugha ya kiasili
    4. kuna lugha nyinginezo za taifa.

INSHA

Mwandikie rafiki yako barua huku ukimweleza namna ambavyo utatumia wakati wako wa likizo ili kujinufaisha.

MARKING SCHEME

  1. C
  2. B
  3. B
  4. B
  5. C
  6. B
  7. D
  8. D
  9. D
  10. C
  11. A
  12. D
  13. B
  14. C
  15. B
  16. D
  17. A
  18. A
  19. C
  20. A
  21. C
  22. B
  23. C
  24. C
  25. D
  26. B
  27. D
  28. B
  29. C
  30. D
  31. D
  32. D
  33. C
  34. B
  35. B
  36. C
  37. A
  38. D
  39. C
  40. C
  41. B
  42. C
  43. C
  44. A
  45. A
  46. C
  47. B
  48. D
  49. D
  50. D

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo.

Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Kuzinduliwa kwa katiba mpya ___1__ sana mtoto msichana. Hapo awali jamii tele sana ___2__ sana. Kuna vyakula kama mayai ambavyo ___3___ wanaume. Hata ___4__ zinazohitajika nguvu nyingi ziliachiwa wavulana.__5____ hapo awali, siku __6__ hadhi ya mtoto msichana ___7__ sana. Wakati huu elimu ya mtoto msichana inaenda __8___ na ile ya mvulana.

 
 1  ilimsaidia  zilimsaidia   mlimsaidia  kulimsaidia 
 2  ilimyanyasa  zilimyanyasa  ulimyanyasa   lilinyanyasa 
 3  ziliachwa  kiliachwa   iliachiwa   viliachiwa 
 4  kazi za sulubu  kazi za ujima   kazi za shokoa   kazi za gunda 
 5  Licha ya  Bighairi ya  Mbali na  Kinyume na 
 6  huu  hili   hizi   imevikwa 
 7  imeenezwa  imetia fora  imekwezwa  imevikwa vilemba
 8  mtawalia  mkabali   sadakta   sambamba 


Zamani __9___ zilimtweza msichana na alichukuliwa kama kitega uchumi. Alisubiri akomee ili __10__ na wazazi wake kupokezwa mahari. __11___ jamii hata ziliwatuma ___12__ kupeleka habari za posa pindi tu msichana __13___. Dunia imebadilika na ___14__ anayejifanya hajui kila kitu kiko wazi. Atajionea. Kumbuka ___15__.

 
  9  nyingi  mingi   wengi   mengi 
 10  aoe  aozwe   aoleshwe   ndoa 
 11  Kati ya  Baadhi ya   Miongoni mwa   Katikati ya 
 12  washenga  manyakanga   wahandisi   makuli 
 13  alipozaliwa  alikozaliwa   alimozaliwa   aliyezaliwa 
 14  yeyote  wowote   wote   yote 
 15  Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi  Kinga na kinga ndipo moto uwakapo   huwezi kulificha jua kwa ungo  mwana wa ndugu kirugu mjukuu mtu wa mbali 


Kutoka swali la 16 mpaka 30, chagua jibu sahihi.

  1. Kanusha sentensi ifuatayo:
    Barabara iliyokarabatiwa haijaharibika tena
    1. Barabara ambayo ilikarabatiwa haikuharibika tena
    2. Barabara isiyokarabatiwa haijaharibika tena
    3. Barabara iliyokarabatiwa haijaharibika tena
    4. Barabara iliyokarabatiwa haijaharibika tena
  2. Chagua usemi wa taarifa ulo sahihi "Mkutano utaanza saa tisa jion kesho," Kinara alisema.
    1.  Kinara alisema kuwa mkutano ungeanza saa tisa jioni siku ambayo ingefuata
    2. Kinara alisema kuwa mkutano ulianza saa tisa jioni siku iliyotangulia
    3. Kinara alisema kuwa mkutano unaanza saa tisa jioni siku ifuatayo.
    4. Kinara alisema kuwa mkutano ungeanza
  3. Unganisha sentensi zifuatazo:
    1. Unaweza kulinunua gari
    2. Usimalize akiba yako
      1. Unaweza kulinunua gari lolote angalau usimalize akiba yako
      2. Unaweza kulinunua gari lolote mradi usimalize akiba yako
      3. Unaweza kulinunua gari lolote ilhali usimalize akiba yako
      4. Unaweza kulinunua gari lolote seuze usimalize akiba yako
  4. Andika wingi wa:
    Baraza la mtihani la taifa limetoa tangazo
    1. Baraza la mtihani ya taifa limetoa matangazo
    2. Mabaraza ya mitihani ya mataifa yametoa matangazo
    3. Baraza za mitihani za mataifa zimetoa matangazo
    4. Mabaraza ya mitihani ya kitaifa yametoa matangazo
  5. Chagua sentensi iliyotumia -amba- kwa usahihi:
    1. Karai ambalo lililopotea ni lake
    2. Miguu ambazo zilizojeruhiwa ni za jirani
    3. Ujumbe ambao uliwafikia ni wa kweli
    4. Kitabu ambacho kilichopatikana kimechorwa simba
  6. Kutokana na kitenzi ‘iga' tunapata nomino
    1. Mwigo
    2. Igiza
    3. Igika
    4. Igizeni
  7. Chagua sentensi yenye kielezi kinachoelezea mengi kuhusu kivumishi
    1. Daktari alimtibu vyema mwathiriwa huyo wa ajali
    2. Tulihuzunika zaidi baada ya timu yetu kushindwa
    3. Mwanamuziki hodari zaidi atatuzwa zawadi nyingi
    4. Yeye ni mzuri kama jamaa hao
  8. Chagua aina za maneno yaliyopigiwa kistari.
    Wageni wale walialikwa tena lakini wengine hawakualikwa.
    1. Kivumishi, kielezi, kiwakilishi
    2. Kiwakilishi, kihusishi, kielezi
    3. Kielezi, kihusishi, kiwakilishi
    4. Kihusishi, kivumishi, kielezi
  9. Chagua kitenzi kilichoundwa kutokana na nomino:
    1. Mvumilivu - uvumilivu
    2. Mwaminifu - aminika
    3. Mapishi - pikika
    4. Wacheshi - ucheshi
  10. Ni mpangilio upi ufaao kwa vifungu vifuatavyo ili kuleta maana kamili?
    1. sharti lishughulikiwe
    2. Uhifadhi wa mazingira
    3. na kila mzalendo
    4. ni jambo ambalo
      1. (ii), (iv), (i), (iii)
      2. (i), (iv), (iii), (ii)
      3. (iii), (iv), (i), (ii)
      4. (ii), (iii), (i), (iv)
  11. Chagua methali zenye maana sawa:
    1. Usipoziba ufa utajenga ukuta
    2. vyote vyowevu si maji
    3. Samaki mkunje angali mbichi
    4. Usidharau kiserema chalima kuliko jembe
      1. (i), (iv)
      2. (i), (ii)
      3. (i), (iii)
      4. (iii), (iv)
  12. Chereno na Rahma ni mabibi zake Rashidi..
    Je, ndoa ya aina hii huitwaje?
    1. Mkemwenza
    2. Mitala
    3. Mwanyumba
    4. Nasaba
  13. Chagua sentensi yenye ‘karibu' na 'takriban'
    1. Mjomba anaishi karibu na mji huo
    2. Darasa hilo lina karibu wanafunzihamsini
    3. Mruka viunzi alikuwa karibu kuanguka
    4. "Karibuni kwenye kipindi chetu," mtangazaji alisema
  14. Nomino mate, mawaidha na manukato ni nomino katika ngeli gani?
    1. LI - YA
    2. I - I
    3. YA - YA
    4. U - YA
  15. Eleza matumizi ya -ni- katika sentensi ifuatayo:-
    Juma alicheka kwa sauti nilipoanguka chini:
    1. Nafsi
    2. Sababu
    3. Wakati
    4. Mtendaji

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31 mpaka 40.

Tarafa ya Kwasi ilikuwa maarufu kutokana na bidii za mchwa za wakazi wake. Uchumi wa tarafa nzima ulitegemea kilimo licha ya kuwa wenyeji wa eneo hili hawakuwa na mashamba makubwa bali vikataa vidogo vidogo tu. Hata hivyo wanatarafa hawa walijua jambo moja, kuwa ukilima pantosha, utavuna pankwisha na kwa hivyo walifanya bidii kubwa katika kilimo chao. Licha ya udogo wa vikataa hivyo, waliweza kupata mazao ya kazole kila msimu wa kuvuna ulipowadia. Tatizo kuu walilopambana nalo lilikuwa usambazaji na uuzaji wa mazao yao. Lakini kwa bahati nzuri pale tarafani palikuwa na mkulima mmoja wa miaka mingi. Yeye alikuwa na shamba kubwa na alinuia kuoa na kumfunza mwanawe mbinu bora za kilimo. Lengo lake lilikuwa mwanawe awe maarufu katika zaraa.

Si miaka mingi sana iliyopita. Mkulima huyu alifunga harusi ya kukata na shoka na ua la moyo wake, Bi Maridhia. Baada ya kuishi miaka minne wakitafuta mwana wao, Mola aliwafungulia njia. Bi Maridhia akajifungua totoshoo, mtoto si mtoto. Hungemwangalia mara moja. Alikuwa mrembo kuliko huralaini wa peponi. Kwa jina walimwita Baraka. Ujio wa Baraka uliwapa furaha kuu.

Kwa furaha hiyo walimwangusha karamu ya kukata na shoka. Yakini si yamkini Baraka alianza safari yake ya maisha kwa furaha. Utotoni alikuwa danga la mwana. Alikuwa mwenye tabia bulibuli. Maadamu waliishi unono, alilelewa kwa tunu na tamasha. Chochote kile alichokitamani alipewa na hata kuongezewa.

Kwake msamiati 'sina' au hakuna hakuujua. Alipata kila kitu labda kiwe hakikupatikana madukani. Naye Baraka shuleni alikuwa wembe uliokata kuwili. Alifuata nyay za wazazi wake ambao licha ya kuwa na vyao hawakudekeza hisia zozote za ugoigoi masomoni.

Baraka pia alikuwa mcha mungu. Alikuwa ngoi aliyewafurahisha waumini wa kanisa lao. Alisoma msahafu kwa uaminifu. Isitoshe hata wakati mwingine alisimama mimbarini na kuhubiri.

Waswahili husikika wakisema kuwa muda hupaa kama ndege. Baraka alijipata amejiunga na shule moja ya kifahari huko ng'ambo. Akiwa huko alitangamana na wanafunzi wa matabaka mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia. Licha ya kuwa na furaha ya kupata nafasi hiyo ya kipekee iliyotamaniwa na wengi aligubikwa na huzuni. Kule alijipata katika kisiwa cha ukiwa na upweke. Nayo asilimia kubwa ya wanafunzi ilikuwa na mienendo iliyozorota. Mavazi ya wengi yalipwayapwaya, mazungumzo yasiyozingatia tasfida na nywele zilisukwa kivoloya.

Jinsi muda ulivyozidi kumsonga, ndivyo Baraka alivyozidi kuhusudu tabia za wenzake. Hii ni kwa sababu alichelea kuitwa limbukeni asiyetaarabika. Alishawishika kufuata rubaa. Haukupita muda mrefu ambako aliyazika maadili yake katika kaburi la sahau. Baraka alipotoka kitabia na kupoteza matumaini.

Baraka hakuona sababu ya kuwasiliana na jamaa kule nyumbani kama ilivyokuwa kawaida yake. Alijiona aliyekomaa. Hakujali la togo wala la jando. Chochote alichokiona au kusikia aliiga tu.

Maadamu alikuwa Mwafrika, aliamua kujimbambua ngozi ili awe kama wazungu. Alianza kujutia kuzaliwa Afrika. Yeye hakujali methali isemayo mwacha mila ni mtumwa. Isitoshe, alitamani kubadili umbo la kiwiliwili chake ili awe na kiuno cha nyigu cha kufungasha na nywele za singa. Yote haya aliyadhaminia mapenzi ya wavulana.

Baraka alibahatika kumpata daktari wa kutibu ugonjwa wake. Kwa kutumia karo alienda kufanyiwa upasuaji. Alipeusha rangi ya ngozi yake. Vilevile alifanywa kuwa na umbo la kuwapendeza aliowalenga. Akawa amefanana na wazungu wenyewe.

Anasa zilimnasa. Masomo nayo yakasukumwa mlango wa nyuma. Kazi yake ikawa ni kuzurura kutoka klabu moja hadi nyingine. Wakati akifanya haya, wazazi walijua kuwa alikuwa akibingirisha gurudumu la maisha. Laiti wangalijua kuwa Baraka kabadilika.

Ajabu huajabiwa. Kumbe Baraka alikuwa amejipalia makaa. Alianza kuugua saratani ya ngozi. Nywele, kope na nyusi zilimnyonyoka. Uso wake ulisawajika na kupata mabaka na makunyazi. Vidonda vilishika usukani. Akawa hatazamiki hata mara moja. Halimashauri ya shule iliamua kumrudisha nyumbani akiwa hali mahututi. Alikuwa hajiwezi. Wazazi wake walipomwangalia hawakumtambua. karibu hakuwa yeye. Kovu lililokuwa shingoni ndilo liliwafanya wamtambue. Baada ya muda mfupi, Baraka aliaga dunia. Mama yake naye kusikia hivyo, alizirai na kuipungia dunia mkono wa buriani. Ikawa huzuni si huzuni katika jamaa iliyokuwa na utulivu.

  1. Ni kauli gani isiyo ya kweli kulingana na aya ya kwanza?
    1. Wakazi wa Kwasi walitegemea kilimo licha ya udogo wa mashamba
    2. Licha ya mashamba haya kuwa madogo wakazi walipata mazao mengi
    3. Katika eneo la Kwasi ni mkulima mmoja tu alikuwa na shamba kubwa
    4. Licha ya wakazi kubarikiwa kuwa na mazao ya kutosha, soko liliwatatiza
  2. Hii ni tamathali gani ya lugha iliyotumika katika kauli hii:
    Alikuwa mrembo kuliko huralaini wa peponi.
    1. Chuku
    2. Kinaya
    3. Ishara
    4. Tabaini
  3. Danga la mwana ni
    1. mtoto aliyelelewa na kudekezwa
    2. mtoto anayepata masomo ya ng'ambo
    3. mtoto anayezaliwa baada ya wazazi kusubiri kwa muda mrefu
    4. mtoto anayelelewa vizuri
  4. Kulingana na aya ya tatu Baraka aliku mwerevu shuleni kutokana na
    1. vitabu vingi alivyonunuliwa na wazazi wake
    2. ukweli kwamba, wazazi wake walipenda mtoto mwenye bidii masomoni
    3. shida nyingi iliyokuwa nyumbani kwao
    4. ukweli kuwa wanafunzi wengi shuleni walipenda michezo kuliko masomo
  5. Kuhusudu tabia za wenzake ina maana ya
    1. kuchukia tabia za wenzake
    2. kuandama tabia za wenzake
    3. kuvutiwa na tabia za wenzake
    4. kusikia tabia za wenzake
  6. Si kweli kusema kuwa,
    1. Baraka aliionea fahari asili yake
    2. Baraka hakupendezwa na maumbile yake
    3. Baraka alitamani kuwa kama mzungu
    4. Baraka alitaka kuwa na umbo ambalo lingewavutia wavulana kwake
  7. Kulingana na kifungu ulichosoma
    1. wazazi wa Baraka hawakuwa na mwao kuhusu tabia za mwana wao
    2. baba yake Baraka alipata fadhaiko la moyo akakata kamba
    3. baada ya kusikia kuhusu kifo cha Baraka, mama yake alirukwa na kichwa.
    4. Baraka aliaga dunia pindi tu baada ya kufika katika uwanja wa ndege
  8. Kifungu chaonyesha wazi kuwa
    1. wazazi wake Baraka waliaga dunia
    2. Baraka aliwapa wazazi wake fahari kubwa baada ya kurejea kutoka ughaibuni. 
    3. lilikuwa kosa kubwa kwa wazazi kumpeleka Baraka kwa masomo ya juu
    4. Baraka aliwapelekea wazazi wake aibu kubwa
  9. Kulingana na kifungu ulichosoma, ni kauli gani ambayo si ya kweli?
    1. Wazazi wa Baraka walikaa kwa miezi arubaini na minane bila kujaliwa mtoto
    2. Kuzaliwa kwa Baraka kuliwapa wazazi wake furaha kubwa
    3. Baraka alikuwa msichana mrembo sana alipozaliwa
    4. Baba yake Baraka alimlaumu Bi. "Maridhia kwa kukawia kupata mtoto
  10. Ni methali gani mwafaka kujumlisha ujumbe wa kauli hii?
    Mama yake naye kusikia hivyo alizirai na kuipungia dunia mkono wa buriani.
    1. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
    2. Hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe
    3. Kifo ki karibu ki kisogoni pako
    4. Ajali haina kinga wala kafara.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41 mpaka 50

Mengi yamesemwa kuhusu utiifu. Ukweli ni kuwa, watu wengi hudhani kuwa maisha yangekuwa mazuri ikiwa kila mtu angeruhusiwa kufanya atakavyo. Kulingana na mimi, ni makosa kufikiria hivyo madhali mienendo isiyodhibitiwa na sheria ni kiini cha vurugu na ukiukaji wa sheria nchini. Hebu fikiria hali ingekuwa vipi ikiwa mwendeshaji pikipiki angeiendesha kulia na kushoto katikati ya barabara na kupuuza sheria za trafiki? Hali kama hii huweza kusababisha msongamano mkubwa wa magari mjini, hivyo kuwafanya watu wachukue muda mrefu kabla ya kufika waelekeapo. Kutengenea au kuwa shwari kwa mambo hutokana na kila mtu kutafuta kanuni zote zilizowekwa.

Kila mtu hana budi kuelewa kuwa utiifu si udhaifu au woga. Ni hali ya kutambua kuwa kutii utawala wa kisheria huhakikisha kuwa kuna muumano na utangamano wa kijamii. Utiifu una maana ya kufanya yanayotarajiwa. Vilevile utiifu una maana ya kutambua na kukubali kuwa kufanya matendo mema ni bora zaidi kuliko kutekeleza jambo au matendo ya kibinafsi tu. Kwa hakika ni vyema kutafakari kuhusu tunayoambiwa na wenzetu au hata watu wengine. Hatufai kufuata kila maagizo tunayopewa bila kuyatathmini vizuri. Mathalani; ikiwa mtu atakuambia ujihusishe na ujambazi, unafaa kukataa.

Ukweli ni kuwa katika maisha ya kila siku, tunatii kanuni nyingi bila kufahamu au kujua. Hakuna mtu kwa mfano anayetulazimisha kuzingatia lishe bora au kufuata maagizo ya daktari. Wengi wetu huhudhuria shule au kazini kwa wakati ufaao bila kushurutishwa. Ikiwa kwa mfano una gari unalomiliki, hakuna anayekukalifu kulipeleka kwenye gereji likatengenezwe au likakarabatiwe. Hebu jiulize hapo ulipo; je, kwa nini watu hufanya mambo kama haya bila a kuagizwa au kukahiriwa? Ukweli ni kuwa, tendo lolote lile la kutotii au kutotekeleza yale yanayohitajika litakuwa na matokeo mabaya au hata ya kuhatarisha maisha ya watu.

Wanafunzi shuleni wanatakiwa kuvaa sare nadhifu. Wabunge nao wanafaa kuvaa suti. Bwelasuti ni kwa makanika. Hata hivyo wengi hawatii wala kuheshimu uvaaji. Hapo awaliamii nyingi zilikuwa zikithamini maadili sana. Hata hivyo sasa maadili ya jamii zetu yanazoroteka kwa kasi kiasi cha kushangaza. Hali hii imeletwa kutokana na mwingiliano mwingi wa taifa letu na yale ya kigeni. Mwingiliano huu unaweza kuleta upungufu wa maadili. Kwa watu wengi na hususan vijana, kwao upotovu wa maadili ndio ustaarabu ufaao. Kusifu au kuiga nyendo mbaya huchangia upalilizi wa uozo wa tabia. Hali kama hii ikiruhusiwa kuendelea inaweza kuifuja nchi yetu.

Vijana wengi hawataki kutii sheria za uvaaji. Wafaa wakumbuke kuwa mavazi yanaweza kumtukuza au kumtweza mtu. Hali hii italingana na vazi lenyewe, hadhira lengwa, wakati na hata cheo cha mvaliaji. Hebu fikiria askari akivalia bombo na kizibao huku amebeba bunduki yake, mwalimu naye avalie chepeo, kaptura na ndara miguuni, mkunga naye avalie suruali ya kumkaba mwili na blauzi nyembamba katika zanahati yake. Zote nilizotaja ni nguo lakini wanaozivaa ndio hawatii mahali na kanuni za jamii.

Jamii zetu hutuzaini tuweze kuvalia nguo zetu za kijadi wakati wa sherehe. Kama nilivyokuelezea, wabunge wetu hawaruhusiwi kuingia bungeni bila suti na asiyetii hupigwa marufuku. Je, inamaanisha wakivalia fulana waheshimiwa wetu watakuwa uchi? La hasha. Ni vile tu kwa kuvalia fulana waheshimiwa wetu watakuwa wamekiuka kanuni za bunge. Bila vikwazo hivi, baadhi ya waheshimiwa wangekuwa na vibindo vya kutia pesa zao. Bunge ni jumba la heshima linalostahili heshima zake

Nilishasema vijana ndio hawataki kutii katika masuala ya mavazi. Hawa ndio walio katika mstari wa mbele kukosoa mavazi ya jadi. Wengi wao wamelewa na usasa na hawaoni chochote kizuri kutoka jadi. Ni vibaya sana kukosoa mavazi yetu ya kale kwa kuwa yangali na bado yako na mvuto wake. Joho, vilemba, shanga na migwisho ilikuwa na maana kubwa katika vyeo vya wazee wetu. Mzee angelia kigoda akiwa amevaa vazi la utawala, heshima ilikuwa ikiongezeka maradufu.

Siku hizi sote tumekuwa mateka wa kigeni. Mitindo yetu ya uvaaji ni shaghalabaghala. Si rahisi kumtambua msichana au mvulana, mzee au kijana aidha mwanaume au mwanamke. Wote wanadai kuwa chochote kinachoingia mjini ni halali. Hii ndiyo sababu utawaona wavulana wetu wakivalia vipuli, vikufu na hata kusuka nywele. Ya wasichana sisemi kwa kuwa niliyokutajia ya wavulana ni lele.

Mavazi huvaliwa ili kujisetiri. Tuzipe kazi zetu heshima. Tuipe miili yetu heshima. Tukifanya haya yote na tusipokaidi wito, heshima itaturudia. Utiifu ni suala muhimu sana katika maisha ya binadamu.

  1. Aya ya kwanza imeonyesha wazi kuwa
    1. kufanya mtu atakavyo huliletea taifa furaha na ufanisi
    2. ni vibaya kudhibiti sheria za raia maadamu kufanya hivyo ni kuwanyima furaha
    3. uendeshaji ovyoovyo wa pikipiki husababisha kifo kwa mwendeshaji
    4. kufuata kanuni zote zilizowekwa hufanikisha mengi
  2. Ni methali gani mwafaka kuelezea ujumbe wa kauli hii?
    Kwa hakika ni vyema kutafakari kuhusu tunayoambiwa na wenzetu au hata na watu wengine.
    1. Enga kabla ya kujenga
    2. Cha mwenzetu kikinyolewa tia chako. maji
    3. Hakuna bahari isiyo mawimbi
    4. Habari ya nyumbani simfunulie jirani
  3. Aya ya nne imeonyesha wazi kuwa, kuzorota kwa maadili kunasababishwa na
    1. matukio na maisha ya kisasa
    2. kupenda na kuzifuata nyendo mbaya.
    3. kusifu na kuzifuata tabia zote za kigeni
    4. kufikiri tu kuhusu mataifa ya kigeni
  4. Kulingana na kifungu, ni nini hasa kinaharibu nchi yetu.
    1. Wananchi wachache wanaojivunia maadili yetu
    2. Vijana wengi wanaozidi kuiga maadili yafaayo
    3. Wazee walioshindwa kuwaongoza
    4. Kufuata ustaarabu wa kigeni na kupuuza maadili
  5. Vyote hivi ni vigezo vya kuzingatia mtu anapovaa ila
    1. watu unaolenga kukutana nao
    2. mtindo wa vazi lenyewe
    3. maneno yanayolengwa kuzungumzwa
    4. mamlaka ya anayevaa
  6. Kulingana na aya ya tano, ni kweli kusema
    1. kuna nguo nzuri na mbaya
    2. hakuna maana ya kuvaa nguo
    3. hakuna nguo nzuri au mbaya
    4. nguo nzuri ni zile zinazovaliwa katika shughuli maalum
  7. Kifungu kimeonyesha wazi kuwa,
    1. ukiingia makao ya bunge ujue lazima uvae tai na suti ya buluu
    2. makao ya bunge ni rasmi yenye utaratibu wake wa uvaaji
    3. makao ya bunge hushurutisha watu kuvaa kwa njia inayofanana
    4. katika makao ya bunge, bila suti afananishwa na aliye uchi
  8. Ni wazi kuwa vijana wanasahau
    1. mavazi ya kale ni vitambulisho vya nchi ya kisasa
    2. mavazi ya kale ni vitambulisho vya serikali kihistoria
    3. mavazi ya kale ni vitambulisho vya elimu kulingana na historia
    4. mavazi ya kale ni vitambulisho vya jamii kihistoria
  9. Zamani
    1. haikuwa rahisi kumtambua msichana katika kundi la wavulana
    2. wasichana na wavulana walivalia mavazi sawa
    3. mavazi yalivaliwa kulingana na jinsia
    4. watu walivalia mavazi sawa
  10. Fulana ni
    1. vazi linalovaliwa ndani ya shati
    2. vazi linalosukwa kwa nyuzi ambalo huvaliwa juu ya shati
    3. vazi linalofumwa kwa nyuzi kujikinga na baridi
    4. vazi lisilo na mikono linalosukwa kwa kutumia nyuzi

INSHA

Endeleza:

Tulipofungua mlango huo, hatukuweza kuzuia hisia. Tulitoa mayowe kwi!kwi!kwi! kwa yale tuliyoshuhudia...

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

  1. D
  2. B
  3. D
  4. A
  5. D
  6. C
  7. C
  8. D
  9. A
  10. B
  11. B
  12. A
  13. A
  14. A
  15. C
  16. D
  17. A
  18. B
  19. B
  20. C
  21. A
  22. C
  23. A
  24. C
  25. A
  26. C
  27. B
  28. B
  29. C
  30. A
  31. C
  32. A
  33. D
  34. B
  35. C
  36. A
  37. A
  38. D
  39. D
  40. B
  41. D
  42. A
  43. B
  44. D
  45. C
  46. C
  47. B
  48. D
  49. C
  50. A

QUESTIONS

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Amadi alipojiunga na shule ya chekechea, walimu wake walishuhudia kuwa alikuwa na kipawa cha ...................1................... muhula mmoja baadaye, aliweza kujitokeza jukwaani kukariri mashairi ya ...................2................... yaani yenye mishororo mitatu katika kila ubeti, walimu na wanafunzi wenzake wakawa ndio ...................3................... yake. Walimu walimpa mazoezi zaidi ili ...................4................... Kadhalika, Amadi ...................5................... masomo kiasi kwamba katika darasa la nane aliweza kufahamu aina za vivumishi kama vile: ...................6................... pamoja na akisami kama tusui tano ambayo kwa tarakimu ni ...................7................... 

  1.                  
    1. kihalali
    2. kipekee
    3. kigeni
    4. kiasili
  2.                
    1. tasdisa
    2. tathlitha
    3. takhmisa
    4. tarbia
  3.                          
    1. hadhira
    2. halaika
    3. msoa
    4. shabiki
  4.                      
    1. waimarishe
    2. waimarike
    3. aimarishe
    4. aimarike
  5.              
    1. alizithamini
    2. aliyathamini
    3. alimthamini
    4. aliuthamini
  6.                      
    1. ajabu, tamu, refu
    2. kubwa, tena, kiasi
    3. zuri, dogo, lo!
    4. chache, kwetu, vile
  7.                     
    1. 5/6
    2. 6/5
    3. 9/5
    4. 5/9

Kwa ...................8................... lugha ya Kiswahili imetanda kote ulimwenguni. Wenyeji asili  ...................9................... wakiongea lugha hii  ...................10................... awali ni waarabu. Waarabu wamepatikana kote pwani mzima  ...................11................... pwani ya Afrika Mashariki. Kwa muda wa miaka Kiswahili  ...................12................... humu nchini lakini mambo yamegeuka. Lugha hii sasa imepewa hadhi kubwa ...................13...................nyanja mbalimbali nchini. Lugha hii  ...................14................... pakubwa kuwaunganisha wananchi na kudumisha amani. Wakenya wengi wamejitolea kukuza lugha ya Kiswahili na hawataki tena,  ...................15...................

  1.                  
    1. kweli
    2. hakika
    3. vile
    4. sababu
  2.                
    1. walikuwa
    2. wamekuwa
    3. watakaokuwa
    4. waliokuwa
  3.              
    1. tangu
    2. mpaka
    3. kufikia
    4. hadi
  4.              
    1. mwa
    2. la
    3. wa
    4. kwa
  5.              
    1. haki kuthaminiwa
    2. hakikudhaminiwa
    3. haikuthaminiwa.
    4. haikudhaminiwa
  6.                
    1. kuliko
    2. kati ya
    3. zaidi ya
    4. katika
  7.              
    1. imechangiwa
    2. imechangia
    3. imechangu
    4. imechanga
  8.              
    1. kuididimiza
    2. kuididimia
    3. kuizungumza
    4. kuitunza

Kwa maswali 16-30, chagua jibu lifaalo kulingana na maagizo uliyopewa 

  1. Ni nini wingi wa sentensi ifuatayo: Ua mzuri umezingira nyumba yao.
    1. Nyua nzuri zimezingira nyumba zao. 
    2. Maua mazuri yamezingira nyumba zao. 
    3. Nyua nzuri zimezingira manyumba yao. 
    4. Maua mazuri zimezingira nyumba zao.
  2.  Ukiongeza robo kwa robo tatu utapata 
    1. robo 
    2. nusu 
    3. sudusi
    4. moja.
  3. Nomino uwele hupatikana katika ngeli gani?
    1. LI-YA
    2. U-ZI
    3. U-YA
    4. YA-YA.
  4. Ni sentensi ipi inayoonyesha kivumishi kimilikishi?
    1. Dawati lolote litakuwa la muhimu.
    2. Uzoefu wake ulimfaa zaidi.
    3. Mchezea tope humrukia.
    4. Chai hii ni tamu.
  5. Maana ya sentensi usingesoma sana ungefaulu ni
    1. ulisoma sana na haukufaulu
    2. ulisoma sana na ukafaulu
    3. kutosoma kwako kulikuwezesha kufaulu
    4. kufaulu kwako hakukutegemea kusoma sana.
  6. Ni sentensi ipi ambayo haijatumia istiara
    1. Mke wa kakangu ni kasuku.
    2. Ulafi wa fisi ulimdhuru
    3. Tutafaulu liwe liwalo.
    4. yeye ni mbwa koko.
  7. Chagua kundi la vihusishi pekee
    1. haraka, sana, asteaste
    2. baadhi ya, miongoni mwa, hali kadhalika
    3. mkabala na, nyuma ya, kando ya
    4. lo! kefle! lahaula!
  8. Bainisha matumizi ya karibu katika sentensi: Amejigonga ukutani karibu apasuke paji.
    1. Nusura
    2. Wakati
    3. Makaribisho
    4. Hali.
  9. Kipanga, korongo, mwewe na bata ni msamiati wa
    1. wanyama pori
    2. samaki
    3. vimelea
    4. ndege.
  10. Tunasema kitita cha pesa na numbi ya
    1. ndizi
    2. chokaa
    3. maua
    4. samaki.
  11. Kucheza ngoma goya ni
    1. kusakata densi bila malipo
    2. kufanya jambo lisilo la manufaa 
    3. kufanya mambo kinyume na sheria
    4. kuharakisha kufanya jambo.
  12. Abubakar amemwoa Aisha. Je, wazazi wa Abubakar na Aisha wataitanaje?
    1. Wacheja
    2. Mwanyumba
    3. Wakwe
    4. Kivyere.
  13. Kati ya magonjwa haya ni upi usio na chanjo?
    1. Polio.
    2. Kifaduro.
    3. Surua.
    4. Saratani.
  14. Ni pembe tatu ngapi ziko katika umbo hili?
    29 sfsfs
    1. Kumi na tatu
    2. Kumi na mbili
    3. Kumi na moja 
    4. Kumi
  15. "Ukitaka la waridi sharti udhurike." Babu aliniambia. Kwa usemi wa taarifa ni
    1. babu alinishauri kuwa ningetaka la waridi sharti ningedhurika
    2. babu aliniambia kuwa ningetaka la waridi sharti nidhurike
    3. babu aliongea kuwa ningetaka la waridi sharti ningedhurika
    4. babu alisema kuwa nikitaka la waridi sharti nidhurike. 

Soma kifungu kifuatacho kwa makini kisha ujibu maswali 31-40
Si siri kama jua la mchana kuwa demokrasia katika taifa letu la Kenya imekua haraka na kwa kiwango kikubwa. Bila shaka hili ni jambo la kujivunia kwani ina maana kuwa taifa letu liko miongoni mwa mataifa yanayoheshimu haki za binadamu duniani. Demokrasia ni mfumo wa kuendesha serikali iliyochaguliwa na watu wenyewe. Tangu tulipojinyakulia uhuru miongo mitano iliyopita, taifa letu limepiga hatua kubwa na kuimarisha ulingo wa siasa na wanasiasa.

Mwanzilishi wa taifa letu hayati Mzee Jomo Kenyatta aliposhika hatamu za uongozi, alihakikisha kuwa amewaunganisha wananchi wote wa nchi hii na kuwapa sababu tosha za kuionea fahari nchi yao. Aliasizi falsafa ya Harambee, ambao ulikuwa mwito wa kuwahamasisha wananchi kushirikiana na kuchangia maendeleo yao kwa kuvuta pamoja. Mwito huo ulileta ari na mshawasho kwa wananchi wa Kenya na kuwahimiza wafanye kazi kwa bidii ili kuinua uchumi wa nchi yao. Aliposafiri pasi na nauli mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na nane, makamu wake, Daniel Moi alichukua hatamu za uongozi naye akashikilia uzi huo huo na kuanzisha mwito wa Nyayo ambao ulimaanisha ya kuwa angefuata nyayo za mtangulizi wake na kuhimiza wakenya kuishi kwa amani, upendo na umoja.

Raisi Moi alikaa kwenye kiti cha enzi kwa miaka ishirini na minne. Isipokuwa hakuna kapu isiyokosa usubi, alifanya mengi ya kujivunia pia. Rais Kibaki alipochukua hatamu za uongozi baada ya kumbwaga mpizani wake wa karibu Uhuru Kenyatta, katika uchaguzi wa mwaka elfu mbili na mbili, taifa letu lilianza mchakato wa kujipatia katiba mpya. Katiba hii imebadilisha na kurahihisha uongozi wa nchi yetu. Mabadiliko mengi yamedhihirika hususan katika ulingo wa kisiasa. Siasa ya sasa ni tofauti na hapo miaka ya awali.

Kulingana na katiba mpya kuna nyadhifa zaidi ya tano ambazo mpiga kura atahitajika kuchagua. Nyadhifa hizi ni rais, gavana, seneta, mwakilishi wa wanawake bungeni, mbunge na mwakilishi wa wadi. Katiba hii imeimarisha viwango vya uwajibikaji miongoni mwa wanasiasa.

  1. Demokrasia hujitambulisha vipi wakati wa uchaguzi katika nchini ya Kenya?
    1. Rais anapoteua viongozi mbalimbali wa nyadhifa za kisiasa.
    2. Wapiga kura wanapopewa nafasi kuchagua viongozi wa kisiasa katika nyadhifa mbalimbali.
    3. Vyama vya kisiasa vinapowateua viongozi wazalendo wa vyama.
    4. Spika wa bunge anapowateua viongozi kuwalalisha wananchi bungeni.
  2. Kiongozi anayechaguliwa kidemokrasia nchini ili kuongoza taifa ni
    1. rais
    2. gavana
    3. mfalme
    4. waziri mkuu.
  3. Maudhui makuu ya fulsafa ya Harambee yalikuwa?
    1. Kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kudumisha amani nchini.
    2. Kuboresha kiwango cha uchumi kwa kuwaruhusu raia wafanye biashara.
    3. Kuhamasisha raia kufanyia pamoja kwa ushirikiano na kuchangia maendeleo yao kwa kuvuta pamoja.
    4. Kuhakikisha kuwa viongozi wote wanaochaguliwa wanawajibika kwa kila namna.
  4. Ni kauli ipi si sahihi kwa mujibu wa taarifa uliyoisoma?
    1. Rais wa kwanza wa taifa hili alijinyakulia mali mengi kwa manufaa ya Wakenya.
    2. Takriban miongo mitano imepita baada ya Kenya kujinyakulia uhuru.
    3. Mwanzilishi wa taifa la Kenya alienda njia ya marahaba akiwa uongozini.
    4. Kenya ilipata uhuru kutoka kwa wakoloni zaidi ya miaka hamsini iliyopita.
  5. Ni nini maana ya msemo "..Aliposatiri pasi na nauli..."?
    1. Alipotembelea jongomeo.
    2. Alipoaga.
    3. Alipotembea kwa miguu.
    4. Alipofariki.
  6. Kulingana na taarifa
    1. kauli mbili ya harambee iliwafanya wanasiasa kuimarisha siasa zao
    2. rais Moi aliongoza nchi ya Kenya kwa miongo mitatu
    3. rais Kibaki aliboresha maisha ya Wakenya kwa kuleta katiba mpya
    4. katiba mpya imebadili mtazamo wa siasa nchini.
  7. Taifa la Kenaya lilijipatia uhuru mwaka wa
    1. 1961
    2. 1963
    3. 1962
    4. 1964
  8. Neno 'miongoni mwa' limepigiwa mstari katika ufahamu liko katika kitengo kipi cha sarufi?
    1. Kiunganishi
    2. Kivumishi
    3. Kihusishi
    4. Kielezi.
  9. Methali nyingine yenye maana sawa na *hakuna kapu isiyokosa usubi'ni
    1. hakuna masika yasiyokosa mbu
    2. hakuna kovu la masimango 
    3. mwenye pupa hadiriki kula tamu
    4. kila shetani na mbuyu wake.
  10. Katika aya ya mwisho tunadokezwa ya kwamba
    1. katiba mpya imewafanya wanasiasa pekee yao kuajibika
    2. ni lazima mpiga kura apigie nyadhifa tano za uongozi
    3. bunge litakuwa na wakilishi wa wanawake
    4. spika, rais na makamu wake ni baadhi ya viongozi watakaochaguliwa na raia wakati wa kura. 

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41-50.
Suala la vijulanga na watu wazima kutumia mihadarati ni mojawapo ya matatizo yanayowatinga akili na kuwatesa watu anuwai siku hizi. Hapo awali jambo hili lilionekana kama mwiko. Siku hizi laonekana jambo la kawaida katika jamii zetu.

Dawa za kulevya zimekuwa tatizo sugu ambalo linahitaji kushughulikiwa kwa kila njia. Si jambo la mjadala tena na wala hatuwezi kujitia hamnazo kuhusiana na swala hili. Hii ni kwa sababu mihadarati imepenya kila mahali shuleni, vyuoni hata kazini. Watu wengi huanza tabia hii kimchezochezo na mwishowe huwawia vigumu kujikwamua; kumbe ni kweli walivyonena wahenga kuwa mazoea yana tabu!

Mihadarati hii ina athari nyingi. Wanaoathirika zaidi ni wanagenzi. Kadri wanavyoendelea kutumia dawa hizi ndivyo wanavyo kuwa waraibu. Utumiaji wa dawa hizi huwazuzua na kuwasisimua na mwishowe hushadidi katika matumizi yake. Madhara ya dawa hizi ni mengi, mathalani uvutaji wa sigara huchangia pakubwa katika kusababisha ugonjwa wa pumu. Mvutaji sigara huingiza moshi mwilini. Kumbe moshi ule huwa sumu. Moshi ule huharibu mapafu na umio. Vidole vya mvutaji huwa vyeusi. Harufu itokayo mdomoni mwake aidha si ya kupendeza.

Wapendao kupuliza hashishi pia hawajaachwa nyuma. Wao huona vimulimuli na kujihisi wenye nguvu za kulivunja jabali, wengine huonekana wachovu na hivyo kulala kupitia kiasi. Hawazingatii afya, hukosa malengo na hawalengi shabaha katika kazi. Aidha hukosa hamu ya kazi, chakula na hata maendeleo ya binafsi.
Wanafunzi wanapozama katika kuvuta bangi huacha shule kwa kuona elimu ikiwa sumbufu. Watu wazima wavutao bangi hutokwa na utu wakawa kama hayawani na kutenda matendo ya kukirihi kama vile ubakaji wa watoto na wanawake.

Miraa ni aina nyingine ya mihadarati. Utafunaji wake vilevile una madhara. Miraa humfanya mtu kupoteza usingizi na kuzembea. Iwapo matumizi yatakithiri, mtu hukosa uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Ni hatia kujihusisha na mihadarati kwa njia yoyote ile iwe ni utumiaji au uuzaji. Ni jambo la kukata maoni kuona baadhi ya vijana wakitumiwa na maajenti ili kuuza dawa hizi. yeyote yule atakayepatikana akihusika na vitendo vya kusafirisha, kuuza na kutumia dawa za kulevya atatiwa mbaroni, ashtakiwe, ahukumiwe na kufungwa jela kwani huu ni uhalifu.

  1. Suala la matumizi ya mihadarati ni baadhi ya matatizo yanayowatatiza watu ‘anuwai'. Neno anuwai linamaanisha
    1. watu wote
    2. watu wa aina na aina
    3. watu mbalimbali
    4. watu wengi.
  2. Kifungu 'hatuwezi kujitia hamnazo' kina maana ya
    1. hatuwezi kujifanya hatuelewi dawa za kulevya
    2. hatuwezi kuupaza athari za dawa za kulevya
    3. hatuwezi kukubali dawa za kulevya
    4. hatuwezi kukoma kutumia dawa za kulevya.
  3. Dawa ipi ya kulevya hukosesha watu utu?
    1. Hashishi.
    2. Pombe.
    3. Bangi.
    4. Sigara.
  4. Zifuatazo ni athari za dawa za kulevya isipokuwa
    1. kukosa hamu ya maandeleo ya binafsi
    2. kupuuza masomo
    3.  ubakaji wa watoto na wanawake
    4. kuwa na nguvu ya kufanya kazi.
  5. Uraibu humfanya mtu
    1. kupuuza matumizi ya dawa za kulevya
    2. kuzidi kutumia dawa za kulevya
    3. kuhalalisha matumizi ya mihadarati
    4. kuanza kutumia dawa za kulevya.
  6. Kati ya dawa zifuatazo ni ipi imehalalishwa humu nchini?
    1. Miraa
    2. Bangi
    3. Kokeni
    4. Hashishi.
  7. Athari za dawa za kulevya si pamoja na
    1. pumu
    2. kansa
    3. utasa
    4. utapiamlo.
  8. Watu wengi huanza kujiingiza katika dawa za kulevya kwa njia gani?
    1. Kimchezomchezo kwa kujitia hamnazo.
    2. Baada ya kujiunga na vyuo vikum. 
    3. Baada ya kuonyeshwa na wandasi.
    4. Wanapopatwa na shida.
  9. Athari gani anayopata mvutaji bangi?
    1. Hubaka watoto na wanawake.
    2. Huwa hayawani.
    3. Hutelekeza majukumu yao.
    4. Hukamatwa na polisi.
  10. Kichwa kifaacho makala haya ni.
    1. Uraibu wa dawa za kulevya.
    2. Unyama wa watumizi wa mihadarati.
    3. Madhara ya mihadarati.
    4. Matumizi ya dawa za kulevya.

INSHA

Umepewa dakika 40 kuandika insha yako.

Andika insha isiyopungua ukurasa mmoja na nusu ukifuata maagizo uliyopewa.

Wewe ni kinara wa wanafunzi shuleni. Andika hotuba utakayowatolea wanafunzi wenzako kuhusi umuhimu wa kudumisha usafi shuleni.

..........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

MWONGOZO

swa

 

Tagged under

MASWALI

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Jaza pengo kwa kuchagua jawabu lifaalo zaidi.

Mvua .................1.................... kidindia usiku .................2.................... Maria na ndugu .................3.................... wawili .................4.................... kuenda shambani .................5.................... walitarajia kupanda mbegu za aina mbalimbali. Kwa hakika vijana hawa hawakuwa watu wa kulaza damu .................6.................... walielewa waziwazi kuwa .................7.................... Jua lilipokuwa mtikati yaani .................8...................., walikuwa tayari wamekamilisha shughuli .................9.................... kufanya wakashika njia kurudi chengoni.

  1.                        
    1. ulikuwa unanyesha
    2. ilikuwa imenyesha
    3. ikawa ilinyesha
    4. ulikuwa ukinyesha
  2.                
    1. kuchwa
    2. kutwa
    3. yote
    4. kucha
  3.              
    1. zake
    2. yake
    3. wake
    4. wao
  4.                              
    1. walishika tariki
    2. walichana mbuga
    3. walienda nguu
    4. walikula mwande
  5.                
    1. ambalo
    2. ambayo
    3. ambako
    4. ambao
  6.                        
    1. :
    2. -
    3. ...
    4. ;
  7.                    
    1. Mwangata mbili moja humporyoka
    2. Ajizi ni nyumba ya njaa
    3. Haba na haba hujaza kibaba
    4. Usiache mbachao kwa mswala upitao
  8.                          
    1. alasiri
    2. machweo
    3. adhuhuri
    4. mawio
  9.                      
    1. walilopaswa
    2. waliopaswa
    3. walizopaswa
    4. walipopaswa

Kipindupindu au .................10.................... ni maradhi hatari ambayo husababisha .................11.................... Uele huu .................12.................... haraka huweza kusababisha kifo. .................13.................... kuzuia maambukizi yenyewe, .................14.................... kuzingatia usafi wa mazingira, kuchemsha maji ya kunywa na kuosha mboga na matunda .................15....................

  1.                        
    1. kichocho
    2. hijabu
    3. homa ya matumbo
    4. waba
  2.              
    1. kuhara damu
    2. kuendesha na kutapika
    3. kukohoa damu
    4. kuumwa kichwa na koo
  3.                      
    1. usiotibiwa
    2. usivyotibiwa
    3. usipotibiwa
    4. usingetibiwa
  4.                  
    1. Ili
    2. Lau
    3. Angaa
    4. Japo
  5.                  
    1. hawana budi
    2. tuna budi
    3. wana budi
    4. hatuna budi
  6.                    
    1. yapasavyo
    2. ifaayo
    3. ipasavyo
    4. vifaavyo

Kuanzia nambari 16 mpaka 30, jibu kila swali kulingana na maagizo uliyopewa.

  1. Chagua sentensi yenye kivumishi.
    1. Migodi ya dhahabu imefunguliwa kijijini.
    2. Shangazi alijifungua salama salimini.
    3. Wageni waliotarajiwa watafika baadaye.
    4. Kilichopotea jana kimepatikana.
  2. Andika wingi wa sentensi: Uwanja utakaochezewa mechi hiyo umeandaliwa.
    1. Viwanja vitakavyochezewa mechi hiyo umeandaliwa.
    2. Nyanja itakayochezewa mechi hizo imeandaliwa.
    3. Uwanja utakaochezewa mechi hizo umeandaliwa.
    4. Nyanja zitakazochezewa mechi hizo zimeandaliwa.
  3. Ni sentensi ipi iliyo katika hali timilifu?
    1. Naenda sokoni kununua mboga.
    2. Vijana hawajawapuuza wazee wao.
    3. Gari unaloliona haliendi mjini.
    4. Mjomba angenihitaji angenipigia simu.
  4. Mahali mahakamani anaposimama mshtakiwa wakati wa kesi huitwaje?
    1. Rumande.
    2. Dungu.
    3. Kizimba.
    4. Seli.
  5. Bainisha sentensi yenye na ya kiunganishi.
    1. Nguo ya mtoto ilifuliwa na kijakazi.
    2. Waashi wanaiczeka nyumba nyingine mtaani.
    3. Kidake ana kitabu kipya cha hadithi.
    4. Kasisi na waumini watakutana kwa ibada kesho.
  6. Andika kinyume cha sentensi hii: Mjomba amemnunua mtamba mkubwa.
    1. Mjomba amemwuza mtamba mdogo.
    2. Shangazi amemnunua fahali mkubwa.
    3. Ilalati amemwuza fahali mdogo."
    4. Shangazi amemnunua mtamba mdogo.
  7. Sentensi Amina amepigiwa simu' ina maana mbili. Zichague.
    1. Simu imepigwa kwa Amina. Simu iliyopigwa ni ya Amina.
    2. Simu ya Amina imetumika kumpigia. Simu imepigwa na Amina na mwenzake.
    3. Simu imepigwa kwa niaba ya Amina. Simu imepigwa ili kuwasiliana na Amina.
    4. Simu ya Amina imepigwa. Amina amempigia mwingine simu.
  8. Legea ni kwa legevu kama vile cheka ni kwa
    1. kicheko.
    2. chekesha.
    3. ucheshi.
    4. mcheshi.
  9. Unganisha: Kiatu kilikuwa kizuri. Kiatu hakikumtoshea.
    1. Licha ya kiatu kuwa kizuri hakikumtoshea.
    2. Aghalabu kiatu kilikuwa kizuri hakikumtoshea.
    3. Kiatu kilikuwa kizuri maadamu hakikumtoshea.
    4. Angaa kiatu kilikuwa kizuri hakikumtoshea.
  10.  Nomino ipi ya makundi ni sahihi?
    1. Seti ya nafaka.
    2. Jopo la mwandishi.
    3. Korija ya mvua.
    4. Kaumu ya sungura.
  11. Kanusha: Sayo alikimbia kwa kasi akashinda mbio hizo.
    1. Sayo hakukimbia kwa kasi wala hakushinda mbio hizo.
    2. Sayo hajakimbia kwa kasi wala kushinda mbio hizo.
    3. Sayo hakukimbia kwa kasi wala kushinda mbio hizo.
    4. Sayo hakukimbia kwa kasi wala hajashinda mbio hizo.
  12. Ipi ni tashbihi?
    1. Mwadime anatia akitoa.
    2. Mnyoofu kama kondoo.
    3. Shikuku ni sungura.
    4. Mwili wangu ulikataa kuenda
  13. Mtu anayefua visu huitwaje?
    1. Sogora.
    2. Mhunzi.
    3. Mjume.
    4. Mjumu.
  14. Chagua sentensi iliyoakifishwa ipasavyo.
    1. Bwana Juma - yule mwalimu mgeni - amepandishwa cheo.
    2. Twende (akasema rafiki yangu) lau sivyo tutachelewa.
    3. Aisha, dada, yangu mkubwa amefanya harusi.
    4. Je? Mzazi wako amefika mkutanoni?
  15. Ni methali zipi zilizo na maana sawa kati ya hizi?
    1. Maji ya kifuu ni bahari ya chungu. 
    2. Konzi ya maji yamkifu mtoto.
    3. Papo kwa papo kamba kukata jiwe.
    4. Maji yaliyotulia yana kina kirefu.
      1. (i), (iv)
      2. (i), (ii) 
      3. (iii), (iv)
      4. (ii), (iv) 

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali kuanzia 31 mpaka 40
Naikumbuka siku hiyo vizuri kana kwamba ilikuwa ni jana au juzi tu. Kama kawaida, mama alikuwa ameenda cheteni kuuza mboga na matunda. Baba naye alikuwa ameandama shughuli zake za uashi katika jengo moja huko mjini. Ilikuwa kawaida yangu kubaki na mnuna wangu. Basi siku ile, ilivyokuwa ada, nilimlisha, nikamwosha na kumvika yale tuliyoita mavazi japo hayakusetiri viungo vyetu barabara. Hata hivyo mtaa wetu ulisheheni watoto kufu yetu, wengine hata hali zao za kiafya, mavazi na mtindo wa maisha kwa jumla zilikuwa mbaya zaidi.

Mabanda tuliyoita nyumbani yalisongamana sana. Mara nyingi, sisi watoto tulienda kuchezea katika eneo moja wazi lililokuwa katikati ya reli na barabara moja pale mtaani. Eneo hili lilikuwa na jaa lililohanikiza uvundo wa kila aina. Hapo ungewaona walalahoi waliozumbua riziki yao kwa kusaka vyuma, fnakombo na chupa za plastiki mumo humo jaani. Waling'ang'ania nafasi hii na nguruwe, mbuzi, ng'ombe na ndege wa porini kama kunguru. Wageni nao walichepukia mbali kidogo huku wakiziba pua zao kujisetiri na uvundo huo uliokirihi. Ajabu ni kuwa kile kilichoonekana kama taka na wengine kiligeuka chanzo cha kupata riziki kwa idadi kubwa ya viumbe.

Tulipiga milundi, tukavuka mitaro ya majitaka na kujipenyeza katikati ya mabanda. Hatimaye tulifika kwenye eneo lile la kuchezea. Mara kwa mara nilimshika ndugu yangu mkono, asije kubwagwa na mahamali ambao aghalabu walipita bila simile. Tuliwakuta wenzetu ambao aghalabu walicheza katika makundi. Michezo ilipangwa kulingana na hirimu ya wachezaji wenyewe. Wadogo wetu walishiriki kibe, gungwi na kibafute miongoni mwa michezo mingine. Kwa upande wetu, tulitumia karatasi kujitengenezea mipira ili angaa tushiriki kipute.

Mchezo ulipokuwa umetunogea, nilisikia Rindo kikali si mbali sana kutoka pale tulipokuwa. Shughuli zote zilisitishwa ghafla kila mmoja adaposhikulikoshuhudiwa kishindo kile. Akili zangu ziliduru mara moja kwani sikumbha mugu Sijui nilikopata nguvu kama za buldoza nikausukuma umati hadi pale katikati. Mnung vangura kuwa amelala kingalingali huku akivuja damu kwa wingi. Alikuwa katika hali ya kutisha Wenzake walikuwa wakijaribu kumpangusa ngeu ile huku wakimwita licha ya umri wao mdogo.

Nilikimbia huku na kule nikilia kama mwchu. Kwa nyota ya jaha, msamariamwema mmoja alisimamisha gari akamchukua majeruhi. Mama mmoja alinishika mkono tukaingia garini huku likiondoka kwa kasi. Safari yetu ilitia nanga katika hospitali moja ya kibinafsi. Wahudumu walishikilia kuwa ndugu yangu asingehudumiwa minghairi ya kutoa arbuni. "Vipi nyinyi! Yaani mnathamini fulusi zaidi ya uhai wa binadamu? Mbona hivi lakini.?" Msamariamwema yule alisaili kwa ukali.

Hali ilipozidi kutokota, alitoa kitambulisho chake cha kazi. Kumbe alikuwa mhariri mkuu katika idhaa moja ya runinga. Wauguzi na matabibu walipoyaona haya, walimchukua mnuna wangu kwa haraka na kumpeleka katika chumba cha matibabu ya dharura. Yamkini waliogopa kuwa uozo na ubaguzi katika utoaji huduma pale hospitalini ungemulikwa na kuisambaratisha biashara yao.

Mkurugenzi wa hospitali ile alimwita chemba msaidizi wetu. Sijui walijadiliana kuhusu nini. Hatimaye niliruhusiwa kuingia katika wodi kumwona mdogo wangu ambaye alikuwa amelala na kutulia baada ya kupewa dawa ya kupunguza maumivu. Kule nje, shughuli ziliendelea kana kwamba hakuna lolote lililojiri. Kwa wengine, mkasa uliotusibu haukuwahusu ndewe wala sikio.

Mbio za sakafuni huishia ukingoni. Muda mfupi baadaye, polisi walifika na kueleza kwamba walishamtia nguvuni dereva aliyesababisha ajali kwa kuendesha gari kwa kasi huku amepiga maji. Waliomba idhini ya kunihoji ili wapate taarifa zaidi. Hata sikumbuki niliyowaambia kwani akili yangu ilikuwa kwa mnuna wangu wakati huo wote.

  1. Chagua jibu lililo sahihi.
    1. Matukio ya kifungu yalifanyika siku chache zilizopita.
    2. Wazazi wa mwandishi walifanya. kazi za kijungujiko.
    3. Mama wa msimulizi alikuwa mchuuzi.
    4. Baba alikuwa akiijengea familia nyumba yao mtaani.
  2. Mwandishi anasema kuwa;"
    1. kunao waliokuwa na hali mbaya zaidi yake mtaani.
    2. wote walioishi katika mtaa wao walikuwa katika hali sawa.
    3. familia yao ndiyo iliyokuwa na mavazi bora mtaani.
    4. hali yao ilikuwa mbaya kuliko jamaa nyingine mtaani.
  3. Jaa linalozungumziwa
    1. lilitatiza usafiri katika barabara na reli.
    2. lilitumiwa na wakazi wote kujitafutia riziki.
    3. lilikuwa sehemu ya watoto kuchezea kote mtaani.
    4. liliwafaidi wengi licha ya madhara kwa wengine.
  4. Kile kilichoonekana kama taka na wengine kiligeuka chanzo cha kupata riziki kwa idadi kubwa ya viumbe.'
    Chagua methali inayolandana na kifungu hiki cha maneno.
    1. Mkulima ni mmoja walaji ni wengi.
    2. Ganda la muwa la jana chungu kaona kivumo.
    3. Lake mtu halimtapishi bali humchefusha.
    4. Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
  5. Michezo walioshiriki watoto,
    1. ilitegemea umri wa washiriki na vifaa katika mazingira.
    2. ilichezwa na watoto wadogo huku wakubwa wao wakiwalinda.
    3. ilikatizwa mara kwa mara na tishio la usalama.
    4. iliwabagua waliokuwa wadogo kiumri.
  6. Yamkini kishindo walichosikia msimulizi na wenzake kilisababishwa ha;
    1. kupita kwa garimoshi hapo karibu. 
    2. kupigwa dafrau kwa mnuna wake.
    3. michezo waliyoshiriki watoto - uwanjani.
    4. kupita kwa gari katika mwendo wa kasi.
  7. Si kweli kusema kuwa;
    1. Watoto walijaribu kumpa mwenzao msaada.
    2. Wahusika katika kifungu walijaliana maslahi.
    3. Msimulizi alimpata nduguye akiwa amelalia mgongo.
    4. Mwandishi alijulikana kwa nguvit zake za buldoza.
  8. Hatimaye wahudumu walimshughulikia nduguye msimulizi kwa kuwa.
    1. ada iliyohitajika ililipiwa kikamilifi 
    2. waliamrishwa kufanya hivyo na mkurugenzi wao.
    3. walihofia uovu wao kufichuliwa katika vyombo vya habari.
    4. walihofia vitisho alivyovitoa msamaria mwema.
  9. Maana ya alimwita chemba ni kuwa
    1. alizungumza naye hadharani.
    2. alimwomba radhi.
    3. alisema naye faraghani.
    4. alimpigia simu.
  10. Msimulizi anasema kwamba hajui alivyowajibu askari kwa kuwa:
    1. alikuwa mdogo sana.
    2. aliwaogopa polisi.
    3. amesahau mambo mengi.
    4. alitatizwa na hali ya nduguye. 

Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali kuanzia nambari 41 mpaka 50
Malezi ya watoto yamekumbwa na changamoto anuwai. Hali hii inatishia mustakabali wa jamii kwani huenda tukakosa wa kupokeza usukani wakati utendakazi wetu utakapodidimizwa na umri. Hatua za dharura na za hakika hazina budi kuchukuliwa ikiwa tunataka kuliokoa jahazi letu kabla halijagonga mwamba. Lau sivyo, tutaishia kujiuma kidole mambo yakituendea mrama.

Hapo zamani, jukumu la kuwatunza watoto lilikuwa la jamii nzima. Hakika ilijulikana na wote kuwa mkono mmoja haumlci mwana. Hata pale wazazi wa mtoto walipotangulia mbele ya haki kabla mtoto mwenyewe hajakomaa na kuwa mtu mzima, walezi wengine walichipuka miongoni mwa familia, majirani au hata jamaa wengine ambao hawakuhusiana na mtoto huyo kwa damu wala usaha. Kwa njia hiyo, watoto wote walipata malezi yafhayo katika jamii.

Siku hizi mambo yamebadilika sana. Wavycle wengi wanawajali tu wanao huku wakiwapuuza mayatima na watoto. Kwa kukosa walezi wa kuwatunza, watoto wengine wasiobahatika katika jamii. Si ajabu kumwona mtoto akifanya mambo ya kuhatarisha maisha yake au wanajamii wengine huku watu wazima wamemkodolea macho tu na kujitia hamnazo. Ukiwasaili kuhusu kiini cha hali hiyo, watakujibu kuwa wanaogopa kubwekewa na wazazi wa mtoto huyo au 'Kila mmoja ajibcbee mzigo wake'. Wasilolijua watu kama hawa ni kuwa mtego wa panya huwanasa waliokuwemo na wasiokuwemo. Athari za matendo mabaya katika jamii hazichagui ni nani atakayehasirika.

Kuwanyima watoto malezi yafaayo kumewasababishia dhiki chungu nzima katika jamii. Kati ya dhiki hizo ni ajira ya watoto wenyewe hutafuta ajira za kijungujiko ili kujikimu. Wengi wa hawa hufanyishwa kazi za sulubu ambazo huwaathiri kiafya na ukuaji wao kwa jumla. Ilali hii aidha huendeleza ukuaji zaidi kwani hawapati fursa ya kubugia elimu ambayo ingewabadilishia mustakabali wao.

Kuna wale ambao huangukia mikono ya watu katili ambao huwaingiza katika ndoa za mapema, mila potovu kama vile wizi wa mifugo na dhuluma za kimapenzi. Madhalimu hao hawabagui umri wala jinsia bali huwakandamiza watoto hao bila kujali.

Jamii haina budi kuchukua hatua zifaazo kuhusiana na malezi ya watoto. Hili likipuuzwa, huenda tukaishia kujenga ukuta baada ya kupuuza kuziba ufa. Yeyote. asijipakatic mikono, na kusema 'kila mtoto ana mzazi au jamaa zake Tujue kuwa walezi wa kweli ni mimi na wewe. Tujali maslahi ya watoto na kuwalindia haki zao.

  1. Changamoto anuwai ni sawa na
    1. matatizo ya aina nyingi. 
    2. dhiki mbaya zaidi.
    3. vishawishi vya kushangaza.
    4. madhila madogomadogo.
  2. Tatizo linaloikodolea macho jamii kulingana na aya ya kwanza ni;
    1. kudhoofika kwa watendakazi 
    2. kukosa warithi.
    3. kukosa watoto
    4. kuvurugika kwa malezi.
  3. Mwandishi anasema kwamba hapo zamani;
    1. kila mzazi aliwalea wanawe tu ipasavyo.
    2. mayatima hawakuwa wengi ilivyo sasa.
    3. watoto waliwaogopa watu wazima kote.
    4. wanajamii walishirikiana katika malezi ya wana.
  4. Mtoto kufanya maovu machoni pa watu wazima bila kukanywa ni ishara ya;.
    1. dhuluma wanazofanyiwa watoto.
    2. kupotoka kwa vijana wasiojali maonyo.
    3. ubaguzi wa baadhi ya watu katika malezi.
    4. hofu waliyo nayo watu dhidi ya watoto wa majirani.
  5. Msemo kujitia hamnazo unarejelea tabia ya wanajamii ya;
    1. kujitia hatarini.
    2. kujifanya hawana habari
    3. kujifanya wanajua mengi.
    4. kujitia moyo kwenye tatizo.
  6. Ni kweli kusema kuwa,
    1. wapo wazazi wanaopinga kukosolewa kwa wanao.
    2. jukumu la kumrekebisha mtoto ni la mzazi pekee.
    3. shida zinazowakabili watoto wote ni za kujiletea.
    4. zamani hakukuwa na mayatima kama ilivyo sasa.
  7. Mwandishi anatuonya dhidi ya kupuuza matendo mabaya ya baadhi ya watoto kwa kuwa,
    1. shida ikitokea tutalaumiwa sote. 
    2. watoto wakiachwa wataharibika wote.
    3. maovu yakitendeka atawaathiri wahusika peke yao.
    4. madhara yakitokea tutaathirika sote.
  8. Madhara ya ajira ya watoto ni pamoja
    1. kulipwa mshahara duni, kupunguza umaskini.
    2. kudumaza ukuaji, maradhi ya kuambukiza.
    3. kuathirika kiafya, kuwanyima haki Sala ya elimu.
    4. kazi za sulubu, kuimarisha utangamano.
  9. Dhuluma want zopitia watoto si pamoja na;
    1. kudhalilishwa kingono.
    2. kuozwa wakiwa wachanga.
    3. kushirikishwa katika uhalifu. 
    4. kupewa ajira ya kuwakimu.
  10. Kichwa kifaacho zaidi kwa makala haya ni:
    1. Ajira ya watoto
    2. Haki za watoto
    3. Usipoziba u fa utajenga ukuta
    4. Tamaa mbele mauti nyuma. 

INSHA

Umepewa dakika 40 kuandika insha yako. Malizia insha kwa maneno yafuatayo huku ukiifanya iwe ya kusisimua zaidi.

............................................................................................................. bNilimshukuru Mungu nilipoamka na kugundua kuwa ilikuwa ni ndoto tu.

MWONGOZO

swa 3

 

Tagged under

MASWALI

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Taifa, ...................1....................... la Kenya, suala la elimu ...................2....................... kipaumbele. Si kwa matajiri na maskini bali pia wenye fanaka na ...................3....................... Hakuna anayebaguliwa kwa misingi, ...................4....................... ile. Hali hii inasaidia serikali kutimiza ...................5.......................
yake ya utoaji wa elimu ...................6....................... wote. Wazazi sasa hawana ...................7....................... yaani ni ...................8....................... wahakikishe kwamba wana wao wameenda shuleni kupata elimu.

  1.                        
    1. letu
    2. yetu
    3. zetu
    4. chetu
  2.                  
    1. imepewa
    2. limepewa
    3. zimpepewa
    4. ilipewa
  3.                          
    1. wenye shauku
    2. wenye sikitiko
    3. wenye ukosefu
    4. wenye uchungu
  4.                  
    1. zozote
    2. lolote
    3. wowote
    4. yoyote
  5.                      
    1. lengo
    2. kusudi
    3. asasi
    4. nia
  6.                        
    1. kwa
    2. ya
    3. katika
    4. wa
  7.                      
    1. ari
    2. hiari
    3. faradhi
    4. nia
  8.                              
    1. ghafla kama ajali
    2. hakika kama mauti
    3. kawaida kama sheria
    4. lazima kama ibada

Hata wale waliokuwa ...................9....................... mabinti zao mapema sasa, ...................10....................... wakikabiliwa na mkono mrefu wa sheria. Hata hivyo,
...................11....................... Pamekuwa na ongezeko kubwa la wanafunzi shuleni ...................12....................... inakuwa vigumu ...................13....................... mahitaji yao kikamilifu. Huenda viwango vya elimu ...................14....................... Ushauri wangu ni serikali iweze kudhibiti idadi ya wanafunzi ...................15....................... zaidi.

  1.                        
    1. wakiolesha
    2. wakiozesha
    3. wakioza
    4. wakiozwa
  2.                      
    1. wakajipata
    2. walijipata
    3. wengejipata
    4. watajipata
  3.                          
    1. hakuna msiba usiokuwa na mweziwe
    2. baada ya kisa mkasa
    3. hakuna mchele ukosao ndume
    4. baniani mbaya kiatu chake dawa
  4.                        
    1. ambayo
    2. ambapo
    3. ambalo
    4. ambacho
  5.                              
    1. kuyakidhi
    2. kuwakidhi
    3. kuikidhi
    4. kukidhisha
  6.                                      
    1. ikaathirika
    2. likaathirika
    3. zikaathirika
    4. vikaathirika
  7.                                
    1. wasiongezeka
    2. isiongezeke
    3. lisiongezeka
    4. usiongezeke

Kutoka swali la 16 mpaka 30, chagua jibu lililo sahihi.

  1. Chagua jibu lenye maelezo sahihi
    1. Mjumu ni fundi wa kufua visu.
    2. Sogora ni bingwa wa kuimba mashairi ngomani
    3. Dalali hushindiania bidhaa mnadani
    4. Mkalimani hutafsiri maandishi vitabuni
  2. Geuza sentensi ifuatayo katika hali ya kutendwa
    Mwashi stadi alijenga nyumba ya Tumaini
    1. Tumaini alijengewa nyumba na mwashi stadi
    2. Mwashi stadi alimjengea Tumaini nyumba
    3. Nyumba ya Tumaini ilijengwa na mwashi stadi
    4. Nyumba ya Tumaini ilijengewa na mwashi stadi
  3. Chagua sentensi ambayo itaunganisha sentensi zifuatazo kwa usahihi
    1. Mgonjwa alienda hospitalini mapema sana
    2. Mgonjwa alitibiwa kabla ya wengine
      1. Minghairi ya mgonjwa kuenda hospitalini mapema sana, alitibiwa kabla ya wengine.
      2. Mgonjwa alienda hospitalini mapema sana hivyo basi alitibiwa kabla ya wengine.
      3. Mgonjwa alienda hospitalini mapema sana ilhali alitibiwa kabla ya wengine
      4. Mgonjwa alienda hospitalini mapema sana licha ya kutibiwa kabla ya wengine
  4. Ni methali gani inayolingana na maelezo haya?
    Mtu hawezi kusahau shida au tatizo lililomkumba maishani hata kama tatizo hilo sasa limewishia
    1. Ukupigao ndio ukufunzao
    2. Mwenye kovu usidhani kapoa
    3. Hakuna mchele ukosao ndume
    4. Adhabu ya kaburi aijuaye maiti
  5. Chagua sentensi iliyotumia kielezi cha namna mfanano kati ya zifuatazo
    1. Ngoma ikipigwa mno hupasuka kiwambo
    2. Kijuzi aliyafuatilia masimulizi ya kasisi aliyevalia kiafirka
    3. Tabia zako za kunichunguza kisirisiri zitakoma
    4. Safari yetu ilikamilika salama salmini na kutuacha na mengi ya kusimulia
  6. Ni sentensi gani ambayo ni sahihi kisarufi
    1. Kiongozi huyo ni mhodari
    2. Changarawe ambayo iliyomwagika ni nyingi sana
    3. Shimoni mle kwenye nyoka pana majani
    4. Kitabu hicho kimechapishwa vizuri
  7. Ni upi usemi wa taarifa wa:
    "Ulienda wapi jana nilipokutuma nyumbani kwenu?" Mwalimu aliuliza
    1. Mwalimu alitaka kujua nilikoenda aliponituma nyumbani kwetu siku iliyotangulia
    2. Mwalimu aliniuliza nilienda wapi aliponituma nyumbani jana
    3. Mwalimu aliniuliza kwa nini sikuenda nyumbani kwetu aliponituma siku iliyotangulia
    4. Mwalimu alitaka kujua alikoenda alipomtuma nyumbani kwao siku iliyotangulia
  8. Mfupa unaoota meno kinywani huitwaje?
    1. Útaya
    2. Üfizi
    3. Shavu
    4. Kaakaa ngumu
  9. Chagua sentensi ambayo imetumia 'na' kama kiunganishi
    1. Wafanyakazi wote wameitwa na nokoa shambani
    2. Wafanyakazi waliokuja wanajulikana na nokoa wao
    3. Wafanyakazi na nokoa wao wanalima shambani
    4. Wafanyakazi walikuwa na matumaini ya kumwona nokoa
  10. Chagua jibu lenye kivumishi kilichoundwa kutokana na nomino
    1. Uaminifu - Mwaminifu
    2. Cheka - Mcheshi
    3. Legea - Ulegevu
    4. Pona - Uponyaji
  11. Kamilisha mapengo yafuatayo kwa nomino za jamii zifaazo
    Msichana mwenye ........................................... la nywele amebeba ........................................cha barua
    1. chane, kifurushi
    2. korija, kitita
    3. numbi, kikwaro
    4. shungi, kipeto
  12. Chagua umoja wa sentensi ifuatayo.
    Fito zilizoletwa hazikutosha kujengea mabanda hayo
    1. Fito iliyoletwa haikutosha kujege a kibanda hicho.
    2. Ufito ulioletwa haukutosha kujengea kibanda hicho.
    3. Fito ilitoletwa haikutosha kujengea banda hilo.
    4. Ufito ulioletwa haukutosha kujengea banda hilo
  13. Chagua jibu lenye kiwakilishi kionyeshi
    1. Wanafunzi wetu walifanya vyema lakini wale hawakufanikiwa
    2. Kitabu hiki ni changu ilhali wenyewe wanakidai
    3. Abiria huyo alimwonya ila yeye alizidisha mwendo
    4. Dirisha hili lina pazia bali mengine hayana
  14. Neno, nyang'anya' lina konsonanti ngapi?
    1. 9
    2. 3
    3. 6
    4. 4
  15. Geuza sentensi ifuatayo katika hali ya udogo Mtoto alifurahi aliponunuliwa mkoba.
    1. Kitoto alifurahi aliponur.uliwa mkoba. 
    2. Toto lilifurahi liliponunuliwa koba.
    3. Kitoto kilifurahi kiliponunuliwa kikoba.
    4. Vitoto vilifurahi viliponunuliwa vikoba. 

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31-40
Tangu ugonjwa wa ukimwi uchipuke ulimwenguni, umeathiri idadi kubwa ya watu katika jamii mbalimbali. Hata hivyo mambo mengi yamebadilika katika miaka michache iliyopita. Mwongo mmoja uliopita ilikuwa muhali kupata dawa ambazo zingewasaidia wawele wa ukimwi. Mosi, dawa zilizopatikana zilikuwa ghali sana. Kwa wagonjwa wengi, na hasa wale ambao walikuwa na uwezo duni kiuchumi, kupatikana kwa dawa hizo, kulibakia ruiya tu isiyoweza kutimizika. Tatizo jingine lilitokana na upatikanaji wa dawa zenyewe. Asilimia kubwa ya wagonjwa wa ukimwi waliishia kuangamia bila kupata auni yoyote.

Leo imekuwa ni almanusura kwa kuwa tunaishi katika awamu ambapo walioathirika na ugonjwa huu wanaweza kupata huduma bora. Zipo dawa ambazo zitumiwapo vizuri huweza kuyarefusha maisha ya mwele wa ukimwi. Hali ya maisha ya mgonjwa huyo inaboreshwa na kumpa nafasi si tu ya kuendelea kuishi maisha yake vyema bali pia kuchangia maendeleo ya nchi. Aidha hisia za watu kuhusu wagonjwa wa ukimwi zimebadilika kwa kiasi kikubwa. Zamani wagonjwa walipuuzwa na kutengwa. Hii haina maana kupuuzwa na kutengwa kumeisha.

Kwa ufupi tunaweza kudai kuwa, tangu kugunduliwa kwa uele wa ukimwi, juhudi kubwa zimefanywa ili kutafuta tiba pamoja na kinga zake. Mpaka leo, hamna maendeleo ya kuridhisha japo yapo matumaini makubwa. Zipo hatua nyingi zilizochukuliwa kupambana na uele huu lengo likiwa ni kuudhibiti katika viwango vya chini kabisa. Baadhi ya juhudi ambazo tunaziona ni kupitia kwa matangazo ya kuwatahadharisha vijana dhidi ya mapenzi ya kiholela na nyendo nyingine zinazoweza kuwatumbu kiza katika lindi la maambukizi. Dini na madhehebu mbalimbali yanahimiza nyendo zenye maadili kama njia kuu ya kuushinda ukongo huu. Vyombo vya habari aidha vimekuwa katika mstari wa mbele kutangaza kuhusu ugonjwa huu.

Tuko na makongamano na warsha mbalimbali ambazo zimeandaliwa ambapo mikakati mbalimbali hujadiliwa ili kuona upi unaofaa insani wa jamii mbalimbali. Mikutano ya aina hii nayo inakashfiwa kwa kujikita katika hoteli kubwa za kifahari katika miji mikuu mbali na upeo wa macho wa mwananchi wa kawaida ambaye vikao vyenyewe vinalenga kumwauni. Yaani wale wanaodhamiriwa kusaidiwa hawahusishwi utadhani wako na ugonjwa wa kuambukiza.

Mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali yamejizatiti kupambana na maradhi haya sugu. Pamoja na mashirika haya na makundi ya watu binafsi zipo dawa za kupooza ukongo huu. Waathiriwa nao huzitumia kupunguza athari zake ili kuyarefusha maisha yao kama nilivyokudokezea mwanzoni. Licha ya kuwepo kwa dawa hizi, kuna wale ambao hawazifaidi kwa vile hawamudu hata gharama ya usafiri ya kujiwasilisha zinakopatikana. Hawa ni wale akina yakhe wanaoishi katika mitaa ya mabanda na wengine wanaoishi vijijini mbali na ustaarabu wa mji. Hata baadhi ya walalahoi hujipata katika hali kama hii. Wachochole wengi hujiona wenye bahati hata kupata chakula cha mshindio. Wengi wanaotumia dawa hizi hulalamikia kuona kisunzi watumiapo vidonge hivi pasipo kula chochote.

Kwa sasa tunachoona hapa ni kuwa wale wanaojishughulisha na vita dhidi ya ugonjwa huu hatari wanalenga tu namna ya kuuzuia. Hawatilii maanani njia za kuwahudumia wahasiriwa wenyewe. Hawa wanaelekea kutelekezwa kabisa na mashirika husika pamoja na jamaa zao ambao huwaona kama mzigo mkubwa kwao. Umefika sasa wakati wa kushughulikia ndugu zetu hawa kwa mapenzi ya dhati.

Serikali za nchi za Kiafrika zinafaa kutoa dawa kwa bei nafuu ili kuwawezesha wanaougua kukabiliana na maradhi ainati ambayo huwanyemelea kinga yao inapodhoofika. Waja hawa wanaweza kupata bahati ya kuyasukuma mbele maisha ya vitoto vyao vikembe hadi vikaweza kujiangalia vyenyewe. Waathiriwa hawatakuwa wamenufaika kwa msaada huu peke yao tu bali pia watoto wanaowetegemea. Tumewaona watoto wengi wakiathirika baada ya wazazi wao kuwaacha mkono. Wagonjwa hawa wasipuuzwe kama kwamba wanashtumiwa kwa kuugua uele huu.

Uzingatiaji wa lishe bora umekuwa na matokeo mazuri sana miongoni mwa wagonjwa wa ukimwi. Suala la lishe bora kwa kweli si la maradhi haya tu bali maradhi mengine yote kwa jumla. Mgonjwa yeyote yule huweza kuona ashekali haraka na hatimaye kupona vizuri ikiwa anakunywa dawa na kuzingatia lishe hakutoshi. Uzingatiaji wa lishe bora umethibitishwa na wataalamu kuchangia pakubwa katika kuzuia kukonda na kudumisha uzani.
Ni wajibu wa kila mmoja wetu kujikinga na ugongwa huu na vilevile kuwanyoshea mkono wa msaada wanaougua. Huu ni ubinadamu na hata misahafu inapigia debe kujitolea huku.

  1. Chagua kauli isiyo ya kweli kulingana na na aya ya kwanza
    1. Kuna wakati dawa za kupunguza makali ya ukimwi hazikupatikana kwa urahisi.
    2. Wagonjwa maskini waliota mara nyingi kuhusu kupata dawa za kupunguza makali ya ukimwi
    3. Waathiriwa wa ugonjwa wa ukimwi hawakuweza kupata dawa kutokana na umaskini
    4. Kuna waathiriwa wa ukimwi ambao hufa bila kupata usaidizi wowote
  2. Aya ya pili inatudokezea kuwa,
    1. unyanyapaa wa wagonjwa wa ukimwi ungali unaendelea
    2. unyanyapaa wa wagonjwa wa ukimwi umeisha na wagonjwa ni sawa na wengine
    3. ni ugonjwa wa ukimwi tu ambao wagonjwa wake hupata unyanyapaa 
    4. Ukimwi ni miongoni mwa magonjwa ambayo hayana unyanyapaa hata kidogo
  3. Kulingana na aya ya tatu,
    1. juhudi za kuvumbua kinga ya ukimwi zimeambulia patupu
    2. tiba dhidi ya ukimwi imeweza kuvumbuliwa sasa
    3. mafanikio makubwa yamepatikana dhidi ya maradhi ya ukimwi
    4. wadau wana matumaini ya kupata tiba ya ukimwi
  4. Aya ya tatu imetuonyesha kuwa
    1. watoto ndio wako katika hatari ya kuambukizwa
    2. watu wazima ndio wako katika hatari ya kuambukizwa
    3. vijana ndio walio katika hatari ya kuambukizwa
    4. wazee ndio walio katika hatari ya kumbukizwa
  5. Ili kuudhibiti ugonjwa wa ukimwi kulingana na viongozi wa kidini,
    1. twafaa kujiheshimu na kuwa na tabia
    2. twafaa kuzingatia tabia nzuri na mbaya
    3. vijana lazima wajifunze kutumia kinga kisha kutubu dhambi zao
    4. twafaa kukiuka maadili na tabia za uasherati.
  6. Yaani wale wanaodhamiriwa kusaidiwa hawahusishwi utadhani wako na ugonjwa wa kuambukiza.
    Taja tamathali mbili za lugha katika kauli hii
    1. Chuku, istiara
    2. Ishara, kinaya 
    3. Kinaya, tashbihi
    4. Tashhisi, tashbihi
  7. Umuhimu wa kuwa na dawa zilizopo kwa sasa ni
    1. kuzuia virusi vya ukimwi visiingie mwilini
    2. kuua virusi vya ukimwi kwa kasi kubwa
    3. kupunguza kasi na makali ya kuenea kwa virusi mwilini
    4. kuongeza chembechembe za kuua virusi vya ukimwi
  8. Akina yakhe ni akina nani? 
    1. marafiki
    2. mtu asiye na kipato kikubwa
    3. wanaoshi mbali na mji
    4. wanaosusia dawa
  9. Msimulizi anapendekeza
    1. waathiriwa wapate lishe bora
    2. waathiriwa wapelekwe hospitalini
    3. waathiriwa watengwe na kuwekwa kando na wengine
    4. waathiriwa wafungiwe hospitalini mpaka wapone
  10. Chagua methali inayojumuisha ujumbe wa kauli ifuatayo
    Tumewaona watoto wengi wakiathirika baada ya wazazi wao kuwaacha mikono
    1. Upweke ni uvundo
    2. Mama ni mama ajapokuwa rukwama
    3. Uchungu wa mwana aujuaye mzazi
    4. Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba 

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41-50
Faulu alizaliwa katika familia iliyojiweza. Malezi yake basi yangeweza kutabiriwa. Alilelewa kwa tunu na tamasha, asijue maana ya msamiati wa kukosa. Wazazi wake walikuwa wafanyabiashara maarufu ambao walisafiri nchini na ng'ambo kwa shughuli hizo. Hata hivyo, hawakukosa muda wa kutangamana na mwanao. Walimwelekeza na kumfunza maadili na kanuni za kijamii, si kwa maneno tu, bali pia kwa vitendo.

Miongoni mwa mambo ambayo wazazi wa Faulu walitilia maanani ni umoja na mshikamano wa kijamii. Pamoja na kwamba walikuwa kiguu na njia katika kujiinua kiuchumi, hakuna sherehe ya kijijini, iwe harusi au matanga waliyokosa kuhudhuria. Wakati ambao mmoja wao alikuwa safarini, mwenzake alimwakilisha. Wanakijiji waliwapenda na kuwastahi, nao wakawa hawaishi kumsifia Faulu ukarimu na uchagamfu wa wanakijiji. Walimshauri kuhusu umuhimu wa kushirikiana na wengine na kumtahadharisha kuwa mtu pweke ni uvundo.

Jioni moja, Faulu na shangazi yake walikumbatiana kwa muda huku machozi yakiwadondoka. Kila mmoja alivuta kumbukizi zake na kuiona safari yao ya maisha iliyowapeleka katika njia tofauti hadi leo. Ajabu ya maajabu. Leo hii, aliyekuwa na hali siku zile amekuwa hoi na kuja kumlilia aliyeonekana mnyonge nyakati zile. Ama kweli, maisha ni mapishano.

Faulu anayakumbuka yote. Kama nilivyokuelekezea, wazazi wake walikuwa watu na vyao. Walimlea Faulu kwa tunu na tamasha. Siku zote alichohitaji aliambiwa chukua tu. Isitoshe, wazazi hawa walitenga muda wa kuwa na mwana wao kila mwishoni mwa wiki. Kila siku, baba yake alimpeleka shuleni kwa gari lake la kibinafsi na kumchukua jioni. Ama kukulikuntu, maisha ya binti huyu yalijawa nuru angavu.

Waswahili husema kuwa, mambo ni kangaja huenda yakaja. Faulu alipojiunga na darasa la saba, alianza kushuhudia mabadiliko katika uhusiano wa wavyele wake. Aidha, baba yake alianza kudhoofika kiafya kila uchao. Ilifika mahali akashindwa hata kumchukua bintiye shuleni akamwachia mkewe jukumu hili. Basi tangu hapo wakawa wakibadilishana nafasi na kulazwa hospitalini, akitoka huyu anampisha mwenzake.

Ulikuwa wakati wa alasiri, Faulu alikuja kuchukuliwa na shangaziye shuleni. Njiani walisafiri kimyakimya. Walipofika nyumbani wakakumbana na umayamaya wa watu. Majirani walionekana kumtuliza mama yake bila mafanikio. "Pole sana Faulu Baba yako ametuacha mkono," akasema jirani mmoja. Faulu, anakumbuka kihoro kilichomvamia kama kwamba ni jana. Hata baada ya mazishi, majirani walijaribu kumtuliza mama Faulu lakini alikuwa ameenda nguu. Usiku mmoja Faulu aliagana na mama yake kwenda kulala lakini hakumkuta asubuhi. Alikuwa kauaacha mwili wake tu huku roho ikishika njia ya marahaba.

Hivyo ndivyo Faulu alivyojipata yatima aliyetegemea hisani ya shangazi yake aliyenyakua mali yote ya marehemu kaka yake. Faulu akajipata haendi shuleni na badala yake akatwikwa ujakazi pale chengoni pa shangazi. Licha ya shangazi kupiga bei mali aliyopaswa kurithi Faulu, la Ibra ni kuwa aliambiwa eti hapakuwa na fulusi za kumwelimisha. Hapo ndipo niliposaidiki ya wahenga kuwa mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda.

Nao wahenga walisema kuwa penye nia pana njia. Faulu alimwendea mwalimu mkuu wa shule yake na kumweleza nususi ya mambo tangu shina hadi kilele. Naye mwalimu, kwa kuyaelewa manufaa ya kuwaelimisha vijana, alitafuta udhamini wa serikali na kumpa hifadhi kwake. Faulu hajasahau kumwomba Jalali amneemeshe mwalimu huyo. Nyota yake ya masomo iliyonekana kufifia ilianza kung'aa kwa nuru ya ajabu.

Faulu naye aliyakumbatia masomo kwa mikono miwili. Akasoma kwa hamu na kuwa mmojawapo wa wanafunzi bora katika viwango vyote. Baada ya kuhitimu katika chuo kikuu, alibahatika kama mtende, akateuliwa na rais kuwa waziri wa ugatuzi. Ama kweli, baada ya dhiki ni faraja kama si mchumia juani hulia kivulini.
Nayo mambo ya shangaziye yalimwendea upogo. Licha ya kutojaliwa watoto iligunduliwa kuwa alikuwa na saratani ya kizazi. Matibabu yalikifilisi kibindo chake na kumwacha hohehahe. Sasa akawa amepata mwanya wa kupata matibabu ya kina lakini kizingiti kikawa ukosefu wa hela.

Faulu alipozipokea habari za maradhi ya shangaziye, alijawa na huruma furifuri. Ama kweli damu ni nzito kuliko maji. Hapo alituma ujumbe shangazi aje ofisini mwake na hivyo ndivyo walivyokutana leo. Baada ya muda alimkaribisha shangazi yake katika ofisi yake na wakakaa kujuliana hali.

  1. Walezi wa Faulu walikuwa wazazi wema maadamu:
    1. walikuwa kielelezo chema kwa Faulu 
    2. waliweza kuzingatia desturi za kijamii
    3. walifanya biashara zao kwa bidii
    4. walisema na Faulu bila shida yoyote
  2. Kulingana na aya ya pili,
    1. Faulu alibainisha umuhimu na uwezo wa wanakijiji
    2. Wazazi wa Faulu waliungana na wanakijiji katika hali zote
    3. Wazazi wa Faulu walifurahia kutangamana na wanakijiji
    4. Faulu alijifunza maana ya ushirikiano kwa namna zote
  3. Chagua jibu sahihi kulingana na aya ya tatu
    1. Faulu na shangaziye wamekutana baada ya safari ndefu.
    2. Mapenzi ya shangazi kwa Faulu yalimfanya alie
    3. Maisha ya wahusika wote wawili yamebadilika
    4. Faulu amekuja kumwomba shangazi yake msamaha
  4. Faulu alipojiunga na darasa la saba,
    1. wazazi wake walianza kutopatana vyema
    2. wazazi wake walipeana talaka
    3. mama yake alianza kuugua
    4. baba yake alikataa kumchukua shuleni
  5.  Ni nini maana ya alikuwa ameenda nguu
    1. alikuwa amedhoofika kiafya
    2. alikuwa amepoteza matumaini
    3. alianza kutembea kwa miguu
    4. alianza kuugua kwa shida
  6. Chagua maana ya kifungu kifuatacho: Alilelewa kwa tunu na tamasha, asijue maana ya msamiati wa kukosa
    1. alipendwa na kushauriwa kuhusu hali yake
    2. alipendwa na kuonyeshwa yaliyomfaa kwao
    3. alipendwa na kurithishwa yote aliyoyataka
    4. alipendwa na kutimiziwa mahitaji yake yote.
  7. Yote haya yalifanyika baada ya vifo vya wazazi wa Faulu ila
    1. Faulu alipokonywa urithi wake
    2. masomo ya Faulu yalitumbukia nyongo
    3. mali ya wazazi wa Faulu yaliuzwa
    4. Faulu alipata kazi ya ujakazi
  8. Mwalimu alimfaaje Faulu?
    1. Kumpa makazi na kumlipia masomo
    2. Kumtafutia msaada na kumpa hifadhi
    3. Kumlipia masomo na kumwombea pa kukaa
    4. Kumtafutia mdhamini na kumpeleka nyumbani kwao
  9. Kulingana na kifungu ni kweli kuwa mwalimu mkuu
    1. alimsaidia Faulu kwa kumsikitikia tu
    2. hakumsaidia Faulu jinsi ilivyotakikana
    3. alimwongoza Faulu kushtaki maonevu
    4. aliyajua manufaa ya elimu kwa vijana
  10. Ni methali gani mwafaka kujumuisha ujumbe wa kauli hii?
    Licha ya kutojaliwa watoto iligunduliwa kuwa alikuwa na saratani ya kizazi
    1. Hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe
    2. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
    3. Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
    4. Baada ya dhiki ni daraja

INSHA

Endeleza insha hii kwa maneno yako
Tulipoelekea gwarideni, mgeni wa heshima alikuwa tayari kuanza hotuba yake. "Hamjambo wanafunzi .......................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

MWONGOZO

 swa ms

 

Tagged under

Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali yafuatayo

Wanyama na ndege wote waliandaa mkutano wao wa mwaka ili wajadiliane jinsi ya kuishi vizuri kama binadamu. Mzee Ndovu alikuwa kiongozi kwa upande wa wanyama. Ndege kwa upande wao waliongozwa na Mzee Mbuni. Baada ya maombi na sala, wote walijiweka tayari kuanza mkutano. Mara akaja Bundi. Wanyama walishtuka! Wakamwambia, "Usikae upande wetu, wewe si mwenzetu. Una kichwa cha Paka lakini unaruka kama ndege. Nenda upande ule wa ndege!"

Alienda upande wa ndege. Nao pia walimfukuza na kumwambia, "Toka kwetu, wewe si mmoja wetu. Sisi ndege hatuna vichwa vya Paka na macho makubwa hivyo!"

Bundi alikosa upande wa kukaa. Kwa wanyama alikataliwa, kwa ndege hakutakiwa. Aende upande upi? Alipoona pale hapakaliki, aliondoka akaenda zake. Hiyo ndiyo sababu Bundi hukaa peke yake wala hatoki mchana. Hutoka na kuwinda usiku tu. Naye huwawinda na kuwala ndege na wanyama wadogo wadogo. Je, wewe upo upande gani? Una msimamo au upo tu kama Bundi? Chaguo ni lako!

Maswali

  1. Neno 'waliandaa' ni sawa na?
    1. walihadaa
    2. walileta
    3. waliweka
    4. walitayarisha
  2. Mkuu wa wanyama alikuwa nani?
    1. Mbogo
    2. Kifaru
    3. Tembo
    4. Nyati
  3. Bundi alipofika mkutanoni alikuja huku?
    1. akipaa
    2. akikimbia
    3. akipeperuka
    4. akipepea.
  4. Wanyama walimkana Bundi kwa sababu?
    1. ya kichwa chake cha paka
    2. ya macho yake makubwa
    3. ya sauti yake ya kutisha
    4. mabawa, miguu na manyoya yake
  5. Habari hii inatufunza kuwa ni vizuri mtu kuwa
    1. na maumbile ya kipekee
    2. na maumbile mazuri
    3. mnyama au ndege
    4. na msimamo dhabiti

Soma kifungu hiki kisha ujibu swali la 6-10.
Maadili ni mwenendo mwema, mambo ya haki au yanayozingatia adabu na tabia njema. Wazazi majumbani ni vizuri wawe wakiketi na watoto wao na kuwapatia mawaidha mema kuhusu maisha. Naye mzazi awe mfano bora wa kuigwa na watoto wake. Walimu shuleni wasizingatie mafundisho ya mbili mara tatu tu na kuzingatia ngeli bali pia wawape wanafunzi nasaha na mawaidha mazuri kuhusu maisha mema, utu na adabu njema. Wakati mwingine nidhamu ni bora kuliko elimu ya shuleni. Elimu pekee haikamilishi utu wa mtu lakini nidhamu na uadilifu humtukuza mtu akatukuka na kuheshimika zaidi.

Watoto nao wasiwe wajuaji kupindukia eti kwa sababu wanavimbishwa vichwa kwa kuitwa majina ambayo hata hawajui asili yake; eti dotikomu na dijitali. Huo udotikomu na udijitali hauna thamani yoyote kwa mtu ni mlevi, mwizi, mjinga, asiye na utu wala nidhamu. Aliyeathiriwa na dawa za kulevya akilini ana faida gani hata kama ni dotikomu au dijitali?

Dunia imejaa matatizo mengi mno. Ni vyema kutumia akili vyema kwa kuwaza na kufikiri kabla ya kutenda kitendo chochote cha kijinga. La sivyo utakuwa mtumwa wa maradhi, majuto na mateso. Heri kuzuia kuliko kujuta.Majuto ni mjukuu huja kinyume.
Maswali

  1. Uadilifu au maadili ni kuzingatia nidhamu na
    1. tabia njema
    2. uzalendo
    3. afya bora
    4. elimu bora.
  2. Mzazi anaweza tu kumsaidia mtoto kuwa bora endapo yeye ni
    1. msomi
    2. mjuaji
    3. kielelezo
    4. mkali
  3. Walimu wanapowafundisha wanafunzi shuleni wazingatie pia kuwapa wanafunzi mawaidha mema na
    1. vichapo
    2. ushauri
    3. mafunzo ya elimu tu
    4. hesabu
  4. Watoto wanaopotoka na kuwa walevi wa dawa za kulevya huwa?
    1. wamevimbishwa vichwa
    2. hawafai kitu
    3. dotikomu na dijitali
    4. hawana maana
  5. Majuto ni mjukuu. Hii ni kusemsa kuwa______jambo ni vizuri kufikiria
    1. baada ya kutenda
    2. kabla ya kutenda
    3. wakati wa kutenda
    4. bila kutend

Soma kisa hiki kisha ujibu swali la 11-15
Juma alikuwa mtoto mvivu aliyeogopa kuenda shuleni. Wazazi wake walimbembeleza asikatae shule. Walimwambia kwamba kusoma kuna faida sana katika maisha ya baadaye. Yeye alichukia masomo. Alipenda kulala na kuamka wakati wowote aingie jikoni kutafuta chakula kisha aende zake kucheza. Alipowaona wazazi wake wakimsukuma sana aende shuleni, aliamua kujifanya mgonjwa. Alilala huku akitetemeka sana. Wazazi wake walidhani kuwa alikuwa mgonjwa.

Basi walimwita daktari mmoja wa hapo karibu. Akaja akamdunga sindano bandia na kumpa dawa ambazo hazieleweki. Mtoto yule akawa mgonjwa kabisa tena mahututi. Akawa anachungulia kaburi. Daktari yule alipoona hivyo, alitoroka na kumwacha Juma akikaribia kuaga dunia.
Naam, ugonjwa wa uongo ukazaa ugonjwa wa ukweli. Faida ni gani?

Maswali

  1. Juma aliogopa kuenda shuleni kwa sababu
    1. ya ugonjwa
    2. uvuvi
    3. woga
    4. uzembe
  2. Juma alipenda yote haya ila
    1. kulala
    2. kula
    3. kusoma
    4. kucheza
  3. Juma alipoona kuwa anasukumwa sana kusoma aliamua
    1. kuwa mgonjwa
    2. kujisingizia  ugonjwa
    3. kufa
    4. kuitiwa daktari
  4. Wazazi walidhani kuwa Juma alikuwa mgonjwa kwa kuwa alikuwa
    1. akilia
    2. akilala
    3. akitetemeka
    4. amekosa shule
  5. Kichwa kinachofaa zaidi taarifa hii ni 
    1. Msiba wa kujitakia
    2. Tamaa mbele mauti nyuma
      aliamua
    3. Jana si leo
    4. Kufa na kupona.

Soma kifungu hiki kisha ujaze pengo 16-20 kwa jibu lifaalo zaidi.
Siku moja mbwa __16____ na njaa, akatamani __17____ nyama. Lakini___18___na uwezo wa kupata nyama. Mbwa___19___ kulia. Paka akamwuliza, "Mbwa, kwa nini unalia?" Mbwa__20____kujibu.

   A   B   C   D 
16   ilikua  zilikuwa   alikuwa walikuwa 
 17  kula  kukula  akule  ikule
 18  haukuwa  haikuwa  hakukuwa  hakuwa
 19  ilianza  zilianza   alianza  ameanza
 20   hakutaka  haikutaka  haitaki  hakumtaka


Kutoka swali la 21 hadi 30 jibu kulingana na maagizo.

  1. Tambua kielezi katika sentensi hii.
    Watoto wazuri wameandika vizuri.
    1. wazuri
    2. watoto
    3. andika
    4. vizuri
  2. Andika sentensi ifuatayo katika hali ya ukubwa.
    Ndoo hii ilipasuka.
    1. Doo hili ilipasuka.
    2. Jindoo hili lilipasuka.
    3. Jidoo hili lilipasuka.
    4. Doo hili lilipasuka.
  3. Chagua nomino ambata katika sentensi. Garimoshi limebeba mkungu wa ndizi na sukari.
    1. ndizi
    2. sukari
    3. garimoshi
    4. mkungu
  4. Kisawe kipi kisicho ambatanishwa ipasavyo?
    1. Njia               -   Baraste
    2. Televisheni   -   Runinga
    3. Shamba        -   Mgunda
    4. Msichana      -   Mvuli
  5. Ipi isiyo sahihi katika kauli ya kutendua?
    1. Anika  -  Anua
    2. Penda -  Pendua
    3. Pakia  -  Pakua
    4. Funga -  Fungua
  6. Kamilisha kwa kiulizi sahihi
    Mlichukua  viti______?
    1. vigani
    2. ngapi
    3. vipi
    4. nani
  7. Jaza kwa kiambishi '-amba'.
    Mche_____ ulipandwa umemea
    1. ambayo
    2. ambacho
    3. ambalo
    4. ambao
  8. Ni kivumishi kipi kilichotumika katika sentensi hii?
    Zawadi alinipa kitabu kile jana.
    1. wakati
    2. kiashiria
    3. sifa
    4. kirejeshi
  9. Katika kamusi, baada ya neno 'mpira' wameandika nm. Hii inaonyesha nini?
    1. aina yake
    2. ngeli nyake
    3. wingi wake
    4. tahajia yake
  10. Kisawe kipi kisicho ambatanishwa ipasavyo?
    1. Ndoa yake ina doa.
    2. Shombo hiki kinanuka chombo.
    3. Uga wao una unga.
    4. Mwenye njaa hajatupa chakula kwenye jaa.

INSHA

Umepewa dakika 40 kuandika insha yako

Mwandikie mwalimu mkuu barua ya kuomba msamaha kwa kutohudhuria shule kwa siku nne bila ruhusa.

MARKING SCHEME

  1. D
  2. C
  3. A
  4. D
  5. D
  6. A
  7. C
  8. B
  9. A
  10. B
  11. D
  12. C
  13. B
  14. C
  15. A
  16. C
  17. A
  18. D
  19. C
  20. A
  21. D
  22. D
  23. C
  24. D
  25. B
  26. C
  27. D
  28. B
  29. A
  30. B

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata.

G6SwaMT2S22023Q1

Hapo zamani za kale, katika ulimwengu wa wanyama, paliishi Swara na Mbweha Swara na Mbweha walipendana kama chanda na pete. Wawili hao walikuwa na familia zao. Kila mmoja alikuwa na nyumba yake, mke pamoja na watoto. Mbweha alikuwa na watoto sita naye Swara alikuwa na watoto watano. Marafiki hao walifanya mambo yao kwa ushirikiano mkubwa. Walifuga wanyama kama vile mbuzi, ng'ombe, kondoo na ngamia. Wanyama hao waliwapa faida ya maziwa na wakati fulani kuwafanyia kazi.

Tofauti kubwa iliyokuwapo ni kuwa Swara alipenda shughuli za kilimo naye Mbweha alipenda sana ufugaji. Swara alipouza maziwa yake, alipanda miche kisha akaamua kuwekeza katika kilimobiashara. Alipanda mimea kama vile michungwa, mihindi, mitufaha na mingine. Alipovuna mazao ya mimea hiyo, alitoa gharama ya ukulima huo kisha akabaki na faida kubwa mno. Kwa kuwa kazi ilikuwa nyingi shambani, aliamua kuwapa wanyama wengine ajira. Kila alipovuna mazao yake, aliyauza na kuweka pesa alizozipata katika benki. Hiyo ilikuwa njia ya kuhakikisha kuwa pesa zake zisingeibwa na wahalifu. Uzalendo wa Swara ulijulikana sana alipolipa ushuru kutokana na mapato.

Kwa sasa, marafiki hao wawili ni matajiri wakubwa. Wakazi katika eneo hilo wanapenda sana kilimo, ufugaji na biashara. Vilevile, wao hulipa ushuru wa mapato mara kwa mara. Wamejifunza kwa Swara na Mbweha kuwa kulipa ushuru kuna manufaa makubwa katika nchi.

  1. Ukirejelea maisha ya Swara, ni jambo gani lililokuwa la mwisho kati ya mambo haya?
    1. kulipa ushuru
    2. kuuza mazao ya shambani
    3. kufuga wanyama
    4. kuanzisha kilimo
  2. Maneno 'walifanya mambo yao kwa ushirikiano mkubwa' yanaonyesha kuwa Swara na rafiki yake walizingatia methali gani?
    1. Achanikaye kwenye mpini hafi njaa.
    2. Majuto ni mjukuu huja baadaye.
    3. Mkono mmoja hauchinji ng'ombe.
    4. Panya wengi hawachimbi shimo.
  3. Ni kweli kuwa kama Swara asingekuwa na mifugo;
    1. angekosa wanyama wa kumfanyia kazi shambani.
    2. angekosa pesa za kuweka katika benki.
    3. angeshindwa kabisa kulipa ushuru.
    4. angeshindwa kuanzisha kilimo chake.
  4. Benki ilimpa Swara manufaa gani?
    1. Ilimpa mkopo alipokosa pesa.
    2. Ilimtunzia pesa zake.
    3. Ilimpa ushahuri kuhusu kilimo. 
    4. Ilimsaidia kuuza mazao yake.
  5. Marafiki wanaozungumziwa katika ufahamu huu walikuwa na jumla ya watoto wangapi?
    1. 6
    2. 11
    3. 5
    4. 4
  6. Swara alikuwa mzalendo kwa kuwa;
    1. aliipenda sana nchi yake.
    2. aliwapa wenzake ajira.
    3. alilipa ushuru kutokana na mapato.
    4. alikuwa rafiki wa Mbweha.
  7. Kifungu hiki kinaeleza umuhimu wa mambo yafuatayo isipokuwa;
    1. kilimo
    2. biashara
    3. ufugaji
    4. elimu
  8. Maneno 'Swara na Mbweha walipendana kama chanda na pete' ni mfano wa;
    1. tashbihi ya umbo
    2. tashbihi ya tabia 
    3. istiara ya umbo
    4. nahau ya upendo

Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata.

G6SwaMT2S22023Q2

Kijiji cha Ingusi kinapatikana kati ya masoko manne. Soko la Butere hujulikana sana kwa ununuzi wa mifugo kama vile mbuzi, nguruwe, kondoo na mbuzi. Katika soko lilo hilo, kunapatikana nguo za watu wa kike na kiume, watoto kwa watu wazima. Wanaotaka kununua viungo vya upishi kama vile mafuta, vitunguu, nyanya na chumvi nao wanaweza kununua katika soko hilo. Upande mwingine, utapata soko la Mumias. Kwenye soko hilo, unaweza ukanunua mifugo mbalimbali. Aidha, unaweza ukununua jezi za timu mbalimbali
kama vile Gor Mahia, AFC Leopards, Manchester United, PSG na kadhalika. Vifaa mbalimbali vinavyotumika nyumbani kama vile sufuria, vikombe, mabeseni, vijiko na visu viliuzwa sokoni hapo. Nyanya, mafuta ya kupikia, vitunguu, mdalasini na bizari pia huweza kupatikana katika soko hilo.

Soko la Imanga nalo linapatikana karibu na kijiji cha Ingusi. Kwenye soko hilo la Imanga, wanunuzi hupata bidhaa nyingi zisizopatikana katika masoko hayo mengine. Kile kinachopatikana kwenye soko hilo na lile la Butere ni viungo vya kupikia. Soko la Ugunja linafahamika kwa bidhaa moja muhimu sana. Wakazi wa Ingusi huenda kwenye soko la Ugunja kwa sababu ya kununua samaki mbalimbali kama vile mkunga, kipepeo, pweza na kambare.

  1. Ni nini kinachopatikana katika masoko matatu?
    1. vifaa vya kupikia
    2. viungo vya kupikia
    3. jezi za kuchezea
    4. mavazi mbalimbali
  2. Waliotaka kununua mifugo wangetembelea masoko gani?
    1. Butere na Imanga
    2. Butere na Mumias
    3. Mumias na Imanga
    4. Ugunja na Butere
  3. Soko lipi linalojulikana kwa bidhaa za aina moja pekee?
    1. Mumias
    2. Butere
    3. Imanga
    4. Ugunja
  4. Kifungu kimetaja samaki wa aina ngapi?
    1. 4
    2. 3
    3. 5
    4. 6

Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata.
(Kando ya barabara, Farida anakutana na Juma akiwa amebeba jembe.)

Farida: Hujambo Juma?
Juma : Sijambo Farida. Umeadimika sana. (Wanashikana mikono wakitabasamu.)
Farida: Si sana. Je, unatoka wapi na jembe?
Juma : Mimi pamoja na vijana wenzangu tumekuwa tukichanga bia shambani. Farida
Farida: Hewaa! Jambo zuri sana. Nami ninatoka katika shughuli za kufanya mazoezi. Tangu nilipokuwa na umri mdogo, nimekuwa                           nikifanya mazoezi mara kwa mara. Kesho nitahamia kule Marekani, nimechaguliwa kuwa mchezaji katika timu moja ya kandanda. 
Juma :  Hongera. Uamuzi huo ni wa busara mwenzangu. Ningependa nifike nyumbani ili nipumzike kiasi.
Farida: Buriani Juma.
Juma :  Buriani dawa. (Wanapigana pambaja kisha kila mmoja anaondoka.

  1. Ni kweli kuwa Farida;
    1. anapenda masomo.
    2. anapenda kilimo.
    3. anapenda afya yake.
    4. anapenda nchi yake.
  2. Nahau 'tukichanga bia' ina maana gani jinsi ilivyotumika katika mazungumzo?
    1. tukilima
    2. tukifanya bidii
    3. tukishirikiana
    4. tukizungumza
  3. Ni kweli kuwa Farida na Juma;
    1. wangeonana tena shule zikifungwa.
    2. hawakutarajia kuonana hivi karibuni.
    3. walisomea katika shule moja.
    4. walikuwa marafiki kwa muda mrefu.

Chagua jibu lifaalo ili kujazia nafasi zilizoachwa.

Kenya ni nchi __16__ makabila mengi. Makabila haya yanapatikana nchini__17__. __18__ tuishi vizuri, tunafaa kuwa na amani na umoja kati __19__. Umoja huo utatuwezesha kupiga hatua za kimandeleo na __20__ uchumi wetu.

   A   B   C   D 
 16.   yenyewe   lenye   yenye   lenyewe 
 17.  mote  pote   yote   kote 
 18.  Ikiwa  Ila  Ili   Lakini 
 19.  yetu  yenu   yao   yangu 
 20.  kuijenga  kuujenga   kuyajenga   kumjenga 
  1. Chagua sentensi iliyo sahihi.
    1. Mgeni mwenye amewasili ni huyu.
    2. Hii kalamu ilinunuliwa jana.
    3. Mtoto mgani mwenye mikono safi?
    4. Walitupa kalamu nzuri tukafurahi. 
  2. Ishara gani kwenye tarakilishi ambayo huonyesha chapa koza?
    1. I
    2. B
    3. X
    4. U
  3. Tambua aina za maneno yaliyopigiwa mistari.
    Wewe una kalamu ambayo ni nzuri.
    1. kivumishi, kivumishi, kiwakilishi
    2. kiwakilishi, kivumishi, kivumishi
    3. kiwakilishi, kiwakilishi, kivumishi
    4. kivumishi, kielezi, kivumishi
  4. Kipande cha kwanza cha mshororo wa shairi huitwaje?
    1. ukwapi
    2. utao
    3. vina
    4. mizani
  5. Tambua umoja wa;
    Makazi yao yamezungushiwa nyua nzuri.
    1. Makazi yao yamezungushiwa ua mzuri.
    2. Makazi yake yamezungushiwa ua mzuri. 
    3. Kazi yake imezungushiwa ua mzuri.
    4. Makazi yake yamezungushiwa ua zuri.
  6. Kiungo cha mwili ambacho huhifadhi mkojo tumboni huitwa _______________________.
    1. figo
    2. pafu
    3. kibofu
    4. moyo
  7. Chagua ukubwa wa;
    Mzee huyo amebeba ndoo iliyokuwa chini ya mti.
    1. Jizee hilo limebeba jidoo lililokuwa chini ya jiti.
    2. Kizee hicho kimebeba kidoo lilichokuwa chini ya kijiti.
    3. Zee huyo limebeba doo lililokuwa chini ya jiti.
    4. Zee hilo limebeba doo lililokuwa chini ya jiti.
  8. Soma ni kwa 'somewa' kama vile nyoa ni kwa ___________________________.
    1. nyoewa
    2. nyoana
    3. nyolewa
    4. nyoleka
  9. Nomino gani inayopatikana katika ngeli ya U-U kati ya nomino zifuatazo?
    1. ubua
    2. ukuta
    3. unga
    4. mkono
  10. Alama gani ya kuakifisha ambayo hutumika kuanzishia orodha?
    1. koloni
    2. ritifaa
    3. hisi
    4. koma

INSHA   

Mwandikie mwalimu wako wa darasa barua ukimweleza sababu zilizofanya ukakosa kuja shuleni juma lililopita.

MARKING SCHEME

  1. A
  2. C
  3. D
  4. B
  5. B
  6. C
  7. D
  8. B
  9. B
  10. B
  11. D
  12. A
  13. C
  14. C
  15. B
  16. C
  17. D
  18. C
  19. A
  20. B
  21. D
  22. B
  23. B
  24. A
  25. B
  26. C
  27. D
  28. C
  29. C
  30. A

Soma taarifa hii kisha ujibu maswali 1 hadi 5.

G4SwaMT2S32023Q1

Nyumba ni makao ya mwanadamu. Kuna aina nyingi za nyumba. Kuna nyumba zinazojengwa kuelekea juu, vibanda, msonge, mapango, hema, tembe, za mawe, za udongo, za zege na kadhalika. Sehemu za nyumba ni sakafu, kuta, milango, vizingiti, madirisha, dari na paa.

Katika nyumba kuna makabati, makochi na viti. Mekoni kuna majiko, majokofu, karo, chanja, susu, sahani, vijiko, mabakuli na vinginevyo. Anayejenga nyumba za kawaida huitwa mjenzi na anaye jenga nyumba aushi za mawe ni mwashi.

Mwanadamu hutumia nyumba kama pahali pa kuishi, kulala, kupumzika, kujificha, kula na kupikia. Wasomi hutumia nyumba kwa masomo. Watu wengine pia hutumia nyumba kwa biashara.

Maswali

  1. Makao ya wanadamu ni
    1. makochi
    2. sakafu
    3. nyumba
    4. msitu
  2. Nyumba zinazojengwa nyingine zikiwa juu ya nyingine huitwa
    1. vibanda
    2. ghorofa
    3. vizingiti
    4. hema 
  3. Ni aina ngapi za nyumba zilizotajwa kwenye kifungu?
    1. Tisa
    2. Saba
    3. Nane
    4. Sita.
  4. Sakafu iliyo juu ya nyumba huitwaje?
    1. Paa
    2. Dari.
    3. Kuta
    4. Gorofa.
  5. Anayejenga nyumba za mawe ni
    1. mjenzi
    2. mwokaji
    3. mjengaji
    4. mwashi.

Soma kisa kifuatacho kisha ujibu swali la 6 hadi 10.

Je, kwa nini mbuni ana shingo ndefu? Wajua kwa nini shingo hiyo haina manyoya? Zamani Mbuni na mamba waliishi pamoja. Walikuwa marafiki wakubwa. Waliishi kama ndugu lakini sidhani kama walipendana kwa dhati. Siku moja Mamba alihisi njaa. Alitafuta mizoga ya kula akakosa. Mbuni alikula mizizi ya miti na matunda ya porini. Yeye hakuwa na shida ya njaa,

Mamba alifikiri kitu ambacho angekula, akaona kuwa nyama ya karibu naye ni Mbuni. Akajifanya mgonjwa na kumwita Mbuni. Alimwambia kuwa jino lake lilikuwa linauma. Alimwomba aingize kichwa chake kwenye mdomo wake aone shida ya jino hilo.

Mbuni kwa kumhurumia Mamba akakubali. Alipoingiza kichwa mdomoni, Mamba alifunga kinywa ghafla. Mbuni alijivuta kwa nguvu sana hadi akatoka mdomoni mle. Ubaya ni kuwa, manyoya ya shingo yake yalibaki mdomoni mwa Mamba. Pia, shingo yake ilirefuka zaidi

Maswali

  1. Zamani, Mbuni na Mamba waliishi ______________________________
    1. majini
    2. pamoja
    3. kwa furaha
    4. nyumbani.
  2. Kwa kawaida chakula cha Mamba kilikuwa
    1. mbuni
    2. ndege
    3. mizizi
    4. mizoga.
  3. Mamba alipowaza sana alifanya nini?
    1. Alimla Mbuni.
    2. Aliingia majini.
    3. Alitamani kumla Mbuni.
    4. Alimkamata Mbuni.
  4. Kwa nini Mamba alijifanya kuumwa na jino? Alitaka
    1. kuling'oa jino
    2. kumnyoa Mbuni 
    3. kumla Mbuni
    4. kuumwa na jino.
  5. Mbuni alikubali kufanya nini?
    1. Kumtibu Mamba.
    2. kumla Mamba
    3. Kung'oa jino.
    4. Kukiingiza kichwa kinywani mwa Mamb

Soma hadithi hii kisha ujibu maswali 11-15.

G4SwaMT2S32023Q2
Kila asubuhi wakulima huenda kwenye makonde yao kulima. Baada ya siku nyingi wao hupanda mbegu. Mbegu zikiota hutokea miche. Miche hugeuka na kuwa mimea. Mimea hustawi kisha ikapaliliwa. Baada ya hayo, magugu yote hung'olewa. Mimea inazaa mazao. Mazao ya mimea yakikomaa huvunwa. Mavuno ya mimea hutumiwa kama chakula sana. Wengine huuza ili kupata pesa za kutumia nyumbani. Kazi ya ukulima ni nyingi na huchosha lakini ina faida sana! Kila kitu huanza mbali na hutengenezwa ili kiwe kizuri baadaye.

Maswali

  1. Wakulima huenda kulima kwenye ________________________________.
    1. ngumi
    2. mashamba
    3. mabonde
    4. makundi 
  2. Baada ya kulima shamba mkulima hufanya nini?
    1. Huvuna
    2. Hupalilia.
    3. Hupanda mbegu.
    4. Huuza. 
  3. Katika kupalilia, mkulima hutoa shambani magugu au ___________________________________.
    1. miche
    2. mbegu
    3. kwekwe
    4. mimea
  4. Wakulima hupalilia nini?
    1. Mazao
    2. Mimea
    3. Magugu.
    4. Mauzo.
  5. Wakati wa mavuno, wakulima huvuna
    1. mimea
    2. miche
    3. chakula
    4. mazao.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujaze pengo 16 - 20 kwa jibu lifaalo zaidi.

Unga ___16___ ngano hutengeneza vyakula ___17___ kama vile ,chapati na ___18___. Jana nilikula andazi moja ___19___ chai kikombe __20__
nikashiba.

   A   B   C   D 
 16.    ya   za   la   wa 
 17.  tamu   mamo   vitamu   matamu 
 18.  maandazi   wali   vibanzi   mtama 
 19.  na  kwa   ya   pamoja 
 20.  moja  mbili   mmoja   kimoja 


Jibu maswali kulingana na maagizo.

  1. Tegua kitendawili hiki.
    Ajenga ingawa hana mikono. 
    1. Kobe
    2. Ndege
    3. Konokono
    4. Kilema. 
  2. Kinyume cha kumeza ni _________________________
    1. kutapika
    2. kutoa
    3. kula
    4. kutema.
  3. Bainisha neno lililopigiwa mstari. Nilienda ila sikumpata.
    1. kihusishi
    2. kiunganishi
    3. kihisishi
    4. kitenzi.
  4. Ipi ni nomino katika ngeli ya A-WA?
    1. Kiti
    2. Kitabu
    3. Kidole
    4. Kipepeo.
  5. Chagua wingi wa sentensi ifuatayo.
    Mwaka umeanza.
    1. Miaka zimeanza
    2. Mamiaka imeanza
    3. Miaka imeanza
    4. Mamiaka yameanza.
  6. Jaza pengo kwa neno la adabu linalofaa.
    ____________________________ Vicky, naomba kupita.
    1. Simile
    2. Samahani
    3. Tafadhali
    4. Songea.
  7. Sehemu ya kompyuta inayoonyesha picha au maandishi huitwa
    1. kitufe
    2. kipanya
    3. kiwambo
    4. mashine.
  8. Tambua kivumishi katika sentensi hii.
    Watoto wadogo walipata zawadi nyingi. 
    1. nyingi
    2. watoto
    3. zawadi
    4. pata
  9. Jaza pengo kwa usahihi.
    Nzi ___ meruka
    1. i
    2. u
    3. ki
    4. a
  10. Barua ya kindugu huwa na anwani moja ya
    1. rafiki
    2. mwandishi
    3. mwandikiwa
    4. msomi.

INSHA

Umepewa dakika 40 kuandika insha yako.

Andika insha ya maelezo kuhusu;

                                                                                     UMUHIMU WA MAJI.   

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

______________________________________________________________________________________________________

MARKING SCHEME

  1. C
  2. B
  3. A
  4. B
  5. D
  6. B
  7. D
  8. C
  9. C
  10. D
  11. B
  12. C
  13. C
  14. B
  15. D
  16. D
  17. C
  18. A
  19. B
  20. D
  21. B
  22. A
  23. B
  24. D
  25. C
  26. A
  27. C
  28. A
  29. D
  30. C

Soma taarifa ifuatayo Kisha ujibu maswali 1 - 5

Mbu ni mnyama anyonyaye damu usiku tunapolala. Juzi, Maria alipokuwa amelala aliumwa na mbu. Aliamka ghafla na kuwasha taa. Mbu huyo aliruka na kutua kwenye ukuta. Alionekana amefura kwa damu aliyokuwa amefyonza.

Kwa upande mwingine wa ukuta kulikuwa na mbu mwengine. Mbu huyo hakuwa amenyonya damu. Alionekana mwembamba. Maria alipomwona mbu yule aliyekuwa ameshiba, alimpiga na kumwua. Mbu yule aliyekuwa na njaa aliruka na kujificha.

Maria alirudi kitandani na kulala tena. Mbu yule mwembamba alirudi kitandani na kumwuma Maria. Maria aliamka kwa mara ya pili na kuanza kumtafuta mbu huyu wa pili. Maria alikasirika sana kwa sababu usingizi wake uliharibika kwa mara ya pili. Kama Maria angemwua mbu aliyekuwa na njaa, asingeamka mara ya pili.

Maswali

  1. Chakula kikuu cha mbu ni
    1. damu
    2. maziwa
    3. kunyonya
    4. maji.
  2. Maria alipoumwa na mbu
    1. alijifunika vizuri
    2. aliamka na kuomba
    3. aliamka na kuwasha taa
    4. aliamka, akawasha taa kisha akamfukuza mbu huyo.
  3. Mbu husababisha ugonjwa gani?
    1. Tauni
    2. Malale
    3. Malaria
    4. Upele
  4. Ni kosa gani alilolifanya Maria?
    1. Kumwua mbu aliyekuwa na njaa. 
    2. Kutomwua mbu mwenye njaa.
    3. Kutomwua mbu aliyeshiba.
    4. Kumwua mbu aliyeshiba.
  5. Ili kujikinga na mbu lazima tujifunike kwenye
    1. chandarua
    2. hewa
    3. blanketi
    4. leso

Soma kifungu kifuatacho Kisha ujibu maswali 6-11

Mwanamke mmoja alikuwa akisafiri katika gari la abiria wakati wa usiku. Kwa bahati mbaya hakuwa na pesa za kutosha za nauli. Kondakta alipofika kwa mwanamke huyo, alimwomba atoe nauli yake. Mwanamke yule akatoa pesa alizokuwa nazo, lakini kondakta akasema kuwa hazikutosha.

Mama yule alimwelezea bwana huyo kuwa hakuwa na pesa zaidi, akamwomba amsamehe. Bwana huyo alikataa kabisa na kusema kwamba mama huyo atoke katika gari. Wasafiri wengine waliona uchungu sana hata mmoja wao akajitolea kumlipia bibi yule nauli. Kondakta alisema kuwa hangekubali pesa za mtu mwingine yeyote kwani yule mama alikuwa na pesa, ila alitaka kufanya mzaha tu. Mama huyo alizidi kulia hata akatokwa na machozi. Mtu yule aliyejitolea kumlipia alisema hakuwa akifanya mzaha. Mama alitoka huku analia.

Aliposhuka gari tu akanaswa na kushambuliwa na simba. Kwa bahati, palitokea gari la polisi. Walilifukuza like gari la abiria mpaka wakalishika. Walipoulizwa kiini cha kisa hicho yule kondakta alitaka kukana, lakini abiria wote walisema kwamba mwanamke huyo alikuwa katika basi hilo. Hapo yule kondakta akashikwa na kupelekwa mahakamani. Akashtakiwa na kufungwa kwa miaka kumi pamoja na viboko ishirini.

Maswali

  1. Mwanamke alikuwa akisafiri wakati wa
    1. mchana
    2. asubuhi
    3. usiku
    4. jioni.
  2. Neno nauli linamaanisha
    1. pesa za kusafiria
    2. chakula cha jioni
    3. nguo za safarini
    4. wasafiri.
  3. Watu wanaosafiri katika gari huitwa
    1. abiria
    2. kondakta
    3. watalii
    4. makanga.
  4. Mwanamke alitolewa nje ya gari wapi?
    1. Kituoni
    2. Nyumbani
    3. Mtoni
    4. Njiani
  5. Kondakta alishikwa na kupelekwa
    1. mahakamani
    2. jela
    3. stanini
    4. gerezani
  6. Neno 'mzaha' limepigwa mstari. Linamaanisha?
    1. Kumchezea mtu.
    2. Kumtembelea mtu.
    3. Kumwibia mtu.
    4. Kuliwa.

Soma habari hii kisha ujibu maswali 12-15

Katika kijiji cha Waso aliishi Mzee mmoja aliyeitwa Mtoro. Mzee huyo alikuwa mwenye tabia nzuri, tena mpole sana. Alipendwa na majirani zake wote. Walikuwa wakimwendea ili wapate mawaidha juu ya mambo na hasa wakiwa na matatizo ya kinyumbani.

Mzee Mtoro alikuwa na mke mmoja na mtoto mmoja tu. Mtoto huyo alikuwa msichana aliyeitwa Mrembo. Alikuwa mrembo sana. Watu wa kijiji chake walimpenda mtoto huyo kama vile walivyompenda baba yake.

Familia hii ilikuwa ikiishi maisha ya raha, furaha na amani. Kwa bahati mbaya, siku moja mama yake Mrembo alishikwa na maradhi ya kipindupindu na baada ya kuugua kwa siku chache alifariki. Jambo hili lilihuzunisha sana baba yake Mrembo na wanakijiji wote kwa jumla.

Maswali

  1. Majirani walimwendea Mtoro ili
    1. wabarikiwe
    2. wamfurahishe
    3. wapewe mawaidha
    4. awapende.
  2. Mzee huyu alikuwa na wake wangapi?
    1. Mmoja
    2. Wawili
    3. Hakuwa ameoa
    4. Watatu.
  3. Bahati mbaya iliyoipata familia hii ni
    1. Mrembo kufa
    2. Mtoro kufa
    3. ajali ya barabarani
    4. mamaye Mrembo kufa
  4. Maana ya neno 'kufariki' ni
    1. kufa
    2. kuugua sana
    3. kulazwa
    4. kupata afueni.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu swali la 16-20, kwa kutumia jibu bora zaidi.

__16__ huu chifu alikuja kutuongoza __17__ sherehe ya kupanda miti. Mgeni huyo alipofika alikaribishwa na mwalimu mkuu na __18__ na wanafunzi. __19__ watoto __20__ nyimbo nzuri kisha mwalimu mkuu akamkaribisha mgeni kutoa hotuba fupi.

   A   B   C   D 
 16.   Wiki   Juma   Mwaka   Siku 
 17.  katika   kwa    na   mwa 
 18.  kupiga   kushangaliwa   kukemewa   kupendwa 
 19.  Baada ya   Baadae   Baadaye   Baadawe 
 20.   walimwibia   waliiba   waliimbiana   walimwimbia 


Kutoka swali la 21-30, chagua jibu sahihi kulingana na maagizo.

  1. Watu huagana vipi usiku?
    A. Tuonane
    B. Alamsiki
    C. Habari
    D.Ndoto mbaya
  2. Jina kondoo' liko katika ngeli gani?
    1. A-WA
    2. KI-VI
    3. I-ZI
    4. LI-YA
  3. Kamilisha sentensi ifuatayo.
    Ningekusaidia _________________________ sina uwezo.
    1. wala
    2. kwa sababu
    3. lakini
    4. na
  4. Samaki huishi majini kama vile ng'ombe huishi katika
    1. kizimba
    2. kombe
    3. zizi
    4. mzinga.
  5. Sehemu ya mwili inayosaidia kupumua huitwa
    1. masikio
    2. ini
    3. moyo
    4. pua
  6. Andika sentensi ifuatayo kwa wingi.
    Yeye hutumia kisu kikali.
    1. Nyinyi hutumia kisu kikali.
    2. Wewe hutumia visu vikali.
    3. Wao hutumia visu vikali.
    4. Sisi hutumia visu vikali.
  7. Kamilisha methali ifuatayo.
    Asiyesikia la mkuu
    1. huvunjika mkono
    2. huvunjika guu
    3. huvunjika mkono
    4. ni mbaya.
  8. Nguo ya ndani inayosetiri uchi wa sehemu ya siri ni
    1. shimizi
    2. kizibao
    3. chupi
    4. kanzu.
  9. Tegua kitendawili kifuatacho.
    Fatuma mchafu
    1. Nzi
    2. Choo
    3. Mbwa
    4. Ufagio.
  10. Mtu asiyeweza kusikia huitwa
    1. bubu 
    2. kiziwi
    3. kipofu
    4. kiwete.

KUANDIKA: INSHA  

Andika insha kuhusu;

                                                                     USAFI WA MAZINGIRA.    

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

____________________________________________________________________________________________

QUESTION

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Jaza kila pengo kwa kuchagua jawabu lifaalo zaidi.

Nikikueleza jinsi __1__ kabla__2__maishani, hutaamini nitakayokueleza. Nilipitia shida baada ya __3__tangu nilipokuwa mtoto mchanga.__4__ tu nilipozaliwa, mama na baba yangu __5__. Mama aliamua kujiondoa akarudi nyumbani kwao. Nilibaki katika mikono ya baba aliyekuwa na __6__. Kila alipokasirika, alinipa kichapo cha mbwa. Maji yalipozidi unga, __7__ katika makao ya mayatima ya Jitunze. __ 8__ , maisha yangu yalibadilika na kuchukua mkondo mpya. Hata nilipokuwa katika darasa la nane, nilikuwa mwangalifu zaidi nisije nikapotoka. Nilikumbuka ya wahenga kuwa __9__.

   A   B   C   D 
 1.   nilipotesa   nilivyotesa   nilipoteseka   nilivyoteseka 
 2.  ufanisi  nifaulu  kufaulu   sijafaulu 
 3.  mingine  ingine  nyingine  mengine
 4.  Pindi  Namna   Lakini   Pia 
 5.  hawakupikika katika chungu kimoja   hawakuwa maji na mafuta   hawakuwa Lila na Fila   hawakubaidika kama mbingu na ardhi 
 6.  moyo thabiti  moyo mgumu   moyo mkunjufu   moyo mdogo 
 7.  nilihamishwa  nilihama  nilitorokea   nilijitosa 
 8. Huyo  Huko  Huo  Huyu
 9. mgaagaa na upwa hali wali mkavu mumunye huharibikia ukubwani kinga na kinga ndipo moto uwakapo papo kwa papo kamba hukata jiwe


Uamuzi wa mwanafunzi katika maisha __10__ mambo mengi mno. __11__ mwalimu na mzazi huweza __12__ kuhusu hili na lile, uamuzi wa kufuata ushauri au kuutupilia mbali huwa ni __13__ Lile analofaa __14__ ni kuwa akifanya uamuzi mzuri, atafurahia maisha. Uamuzi mbaya __15__na kilio na majuto.

   A   B   C   D 
 10.   huathiriana   huathiria   huathiriwa   huathiri 
 11.  Maadamu  Ingawa   Ikiwa  Ila 
 12.  kumwelekeza   kujielekea   kujielekeza   kumwelekea 
 13.  wake mwenyewe   yake yenyewe    wake wenyewe    yake mwenyewe 
 14.  kutilia maana  kutilia maanani   kutia maanani   kutia maana 
 15.  hutenga  huandama   huandamwa   hutengana 

 

Kuanzia nambari 16 hadi 30 jibu kulingana. na maagizo.

  1. Sentensi gani inayoonyesha kusudi la kufanyika kwa jambo?
    1. Nilienda nikamwona daktari. 
    2. Fanya mazoezi ulivyoambiwa.
    3. Nimekuja nikamwone mgonjwa. 
    4. Wanaimba kwa furaha.
  2. Ndege ni kwa 'kiota' kama vile kipepeo ni kwa ________________________________
    1. kiwavi
    2. utando
    3. kifukofuko
    4. kombe
  3. Sentensi 'Amechukua chake' ina maana gani?
    1. Amechukua anachomiliki, amechukua kinachomilikiwa na wengine
    2. Amechukua wanachomiliki, amechukua kinachomilikiwa na wengine
    3. Amechukua anachomiliki, amechukua kinachomilikiwa na mwingine
    4. Wamechukua wanachomiliki, wamechukua kinachomilikiwa na wengine
  4. Tambua jibu lililotumia 'm' kama mtendwa.
    1. mlionewa
    2. mlifagiliwa
    3. wampigia
    4. nilimchora
  5. Onyesha matumizi ya 'na' kwenye sentensi ifuatayo.
    Alikuwa na furaha alipojionea ng'ombe aliyenunuliwa na baba.
    1. umilikaji, pamoja na
    2. hali, mtendaji
    3. hali, pamoja na
    4. umilikaji, mtendaji
  6. Jibu gani lililo na kitenzi kutokana na nomino?
    1. imani - amini
    2. cheka - mcheshi
    3. tulia-mtulivu
    4. imani - mwaminifu
  7. Ulinganisho upi usio sahihi?
    1. pora- tembe
    2. jimbi - koo
    3. njeku - mori
    4. nzao - fahali
  8. Onyesha ukanusho wa;
    Wallowasili mapema wamekuwa uwanjani.
    1. Waliowasili mapema hawajawa uwanjani.
    2. Wasiowasili mapema hawajawa uwanjani.
    3. Wasiowasili mapema hawajakuwa uwanjani.
    4. Waliowasili mapema hawajakuwa uwanjani.
  9. Tambua aina za maneno yaliyopigiwa mistari.
    Wewe utaletewa hiyo mwakani
    1. kiwakilishi, kivumishi, kielezi
    2. kiwakilishi, kiwakilishi, nomino
    3. kiwakilishi, kiwakilishi, kielezi 
    4. kivumishi, kivumishi, kielezi
  10. Kifaa gani kitumikacho kupimia usawa wa unyookaji wa ukuta?
    1. pimamaji
    2. timazi
    3. fuawe
    4. bisibisi
  11. Sentensi ipi ambayo ni sahihi?
    1. Huyo mwenye anacheza ni mzuri.
    2. Miti yao yamepandwa yakanawiri.
    3. Mikunga mikubwa wamevuliwa.
    4. Matoto hayo yalitibiwa vizuri.
  12. Neno gani lililo na silabi ya sauti changamano?
    1. chama
    2. kamba
    3. maktaba
    4. fua
  13. Chagua umoja wa;
    Tutawasaidia wenye mafua.
    1. Nitawasaidia wenye mafua. 
    2. Nitamsaidia mwenye fua.
    3. Nitawasaidia mwenye mafua.
    4. Nitamsaidia mwenye mafua.
  14. Onyesha sentensi iliyo katika hali ya mazoea.
    1. Wachezao kwa bidii ndio wale.
    2. Hujafa hujaumbika.
    3. Huku ndiko kulikofyekwa.
    4. Hungenisaidia singefaulu. 
  15. Methali gani isiyokuwa na maana sawa na zingine?
    1. Mwanzo wa ngoma ni lele.
    2. Mwanzo wa mkeka chane mbili tu.
    3. Safari ndefu huanza kwa hatua moja.
    4. Mwanzo wa mvua mawingu.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata.

Kwa muda huo wote, sikujua kuwa angeweza kunifaa kwa lolote. Hata hivyo, siku moja nilielewa ukweli wa kauli kuwa jambo ulisolijua ni kama usiku wa giza. Siku hiyo, nilikuwa nimetulia tuli nje ya kijumba chetu cha msonge. Kijumba hicho kilijiinamia kwa majonzi na sikitiko ungedhani kuwa kingeanguka pu kama kidaka cha mnazi. Hakika, kuwa ndani na nje hakukuwa na tofauti yoyote. Wakati huo, nilikuwa hoi bin tiki kutokana na maradhi yaliyonifyonza nguvu na kuiguguna mifupa yangu daima dawamu. Aisee, ni wazi kama meno ya ngiri kuwa nilikuwa maskini wa nyama na tajiri wa mifupa. Nilikuwa dhaifu kama mkufu. Nzi angetua juu yangu, bi la shaka ningeanguka mithili ya mgomba uliokatwa.

Nilipokuwa papo hapo, nilifungua dafina ya ubongo wangu na kukumbuka nilivyoanza kuugua. Japc husemwa kuwa yaliyopita si ndwele tugange yajayo, mimi nilishikilia kikiki kuwa mavi ya kale hayaachi kunuka, ashakum si matusi. Nilikumbuka siku niliyowasili hospitalini ili nimsaili tabibu chimbuko la madhila yaliyonisibu na kuniletea masaibu chungu nzima. Daktari alinipasulia mbarika kuwa niliugua maradhi ya figo. Afanalek! Nilipigwa na butwaa chakari, nikabaki kinywa achama kama spana. Ukweli usiopingika ni kuwa nilidhani kwamba masikio yangu yalikuwa yakinichezea shere. Ghafla kama mawingu, nilianza kukonda na kukondeana kama ng'onda. Nilitembea kwa takilifu na kupepesuka ungedhani kuwa ni mlevi. Maadamu tulikuwa maskini wa sina sinani, sikuwa na jingine ila kusubiri siku yangu ya kufumwa na mvi wa manaya. Chambilecho wataalam na watalamidhi wa lugha, sililo budi hubidi. Wengine husema, mkono usioweza kuukata ubusu.

Nilizinduliwa kutoka mawazoni na michakacho kwenye majani yaliyokuwa karibu nami kama pua na mdomo. Nilipoangalia kwa makini, nilishangaa mshangao wa shilingi kuzama na pantoni kuelea. Aliyesimama mbele yangu alikuwa Zumbukuku, kijana tuliyesoma naye katika darasa moja. Sawa na jina lake, alikuwa mbumbumbu asiyeweza kuongeza moja kwa moja akapata mbili. Yakini yakinifu, asingeweza kutofautisha mbu, umbu na mbung'o. Takribani kila mwanafunzi katika darasa letu alimdhalilisha na kumtweza ungedhani kuwa ni tambara bovu. Kila tulipofanya mtihani, Zumbukuku aliongoza kutokea nyuma. Yeye ndiye aliyeburura mgwisho katika kila somo. Katika hali hiyo ya kupigwa na bumbuwazi kenyekenye, Zumbukuku alinijuza kiini cha mjo wake. Alinifahamisha kuwa baada ya kutoniona shuleni kwa siku kadhaa, alikata shauri kuwauliza wanafunzi wengine. Aliamini ya wajuzi wa lugha kuwa kuuliza si ujinga, ni kutaka kujua.

Wakati huo wa jua kuaga miti, alikuja kunieleza kwa mapana na marefu kuwa alikuwa amesemezana na wavyele wake kuhusu hali yangu. Alikuwa amewarai kuhusu haja yao ya kunifaa. Aliwakumbusha kuwa ndugu ni kufaana si kufanana. Nilishangaa mithili ya mja aliyeona jua likiwaka usiku aliponifahamisha kuwa wazazi wake walikuwa wamekubali kugharimia matibabu yangu. Aidha, yeye alihiari kutolewa figo moja katika upasuaji huo. Je, nilikuwa katika ndoto ama huo ndio uliokuwa ukweli kamili? Iweje kijana niliyedhani kuwa asingemfaa yeyote kwa lolote wala chochote anipige jeki na kuniaviza kwa kiwango hicho? Hewaa! Umdhaniaye siye kumbe ndiye. Ni nani asiyejua kuwa dau la mnyonge huendeshwa na Mungu?

Siku ya kufanyiwa upasuaji ilipofika, nilikuwa na wasiwasi wa mwasi. Nilitetemeka temtem mithili ya kuku mwenye manyoya haba msimu wa kipupwe. Mtima wangu nao ulidunda kwa jazba nusura ukivunje kifua changu. Hata hivyo, nilipiga moyo konde nisikonde. Nilijitia moyo kwa kauli ya wenye lisani za uhenga kuwa maji ukiyavulia nguo ni lazima uyaoge. Nasaha za mwalimu wangu wa Kiswahili kuwa mja hatindi rehema ali hai duniani zilijiradidi katika masikio yangu wakati huo wote. Baada ya saa kadhaa katika harakati za kufanyiwa upasuaji, niliyafungua macho yangu. Zumbukuku naye alikuwa yu salama salimini. Hali ya kila mmoja wetu ilikuwa shwari bila shari.

  1. Aya ya kwanza inaonyesha kuwa mhusika;
    1. hakujua kuwa maisha yake yangefaa kwa lolote.
    2. aliketi nje ya nyumba baada ya kufanyiwa upasuaji.
    3. alikuwa amekonda sana kutokana na maradhi.
    4. alikuwa amechoka hoi bin tiki.
  2. Maneno 'nzi angetua juu yangu, bila shaka ningeanguka' yanaonyesha kuwa;
    1. alikuwa mdogo kushinda nzi
    2. alikuwa dhaifu
    3. alikuwa mwembamba
    4. alikuwa asiye na umuhimu
  3. Chagua maana ya neno 'nimsaili' jinsi lilivyotumika katika kifungu.
    1. nimwulize
    2. nimweleze
    3. nimwonyeshe
    4. nimchunguzie
  4. Kwa nini msimulizi alidhani kuwa masikio yake yalikuwa yakimchezea shere?
    1. ujumbe alioupata ulikuwa wa kushangaza
    2. mambo aliyoyaona yalikuwa yasiyoaminika
    3. tatizo la figo liliathiri masikio yake
    4. mambo aliyoyakumbuka yalimletea huzuni
  5. Jambo gani hasa lililofanya mhusika asitafute matibabu zaidi?
    1. kukosa matumaini ya kupona 
    2. kukosa pesa za matibabu
    3. kukosa tiba ya ugonjwa wake
    4. ukosefu wa madaktari wenye ujuzi
  6. Chagua jibu lisilo sahihi kulingana na kifungu.
    1. Zumbukuku alidharauliwa na kila mwanafunzi katika darasa lao.
    2. Zumbukuku ndiye aliyevuta mkia katika darasa lao katika mitihani yote.
    3. Zumbukuku alikuwa mwenye wema wa moyo.
    4. Wazazi wa Zumbukuku walikuwa matajiri.
  7. Kutibiwa kwa msemaji kulitokana na;
    1. utu aliotendewa na madaktari na wazazi Zumbukuku
    2. wema aliotendewa na Zumbukuku na madaktari
    3. utu aliotendewa na Zumbukuku na wazazi wake
    4. wema alioonyeshwa na wanafunzi na Zumbukuku
  8. Wasiwasi aliokuwa nao mwandishi katika aya ya mwisho ulitokana na nini?
    1. Kutetemeka kama kuku mwenye manyoya haba.
    2. Kudunda kwa moyo wake kifuani.
    3. Furaha ya kufaulu kwa upasuaji huo.
    4. Kutojua ikiwa upasuaji ungefaulu au la.
  9. Methali 'mja hatindi rehema ali hai duniani' inatoa ushauri gani ilivyotumika katika kifungu?
    1. Kufa moyo ni jambo la kawaida maishani.
    2. Mtu hafai kuwa na wasiwasi maishani.
    3. Mtu hafai kuwa mwoga katika maisha.
    4. Si vyema kupoteza matumaini maishani.
  10. Kichwa gani kinachoweza kutumika kuwa ujumbe wa kifungu hiki?
    1. Gae huwa chombo wakatiwe.
    2. Baniani mbaya kiatu chake dawa.
    3. Ndugu mui heri kuwa naye.
    4. Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata.

Ufisadi ni kati ya matatizo yanayolihangaisha taifa letu siku nenda siku rudi. Ufisadi wenyewe umekita mizizi sio tu nchini humu bali pia katika bara zima la Afrika. Umekuwa mithili ya dondandugu lililokataa katakata kusikia dawa. Sijui niseme kuwa juhudi zetu zimeshindwa kulimaliza au nieleze kuwa hakuna mwenye haja ya kulimaliza dudu hili. Kabla ya kuingia uongozini, utawasikia watu mbalimbali wakila yamini kuwa watakabiliana na ufisadi kwa jino na ukucha. Shani hutokea watu hao wanapochukua hatamu za uongozi. Watu walewale walioulaani ufisadi hutokea kuwa mafisadi wakubwa. Wao huwa mithili ya mja aliyeonjeshwa utamu wa asali. Baada ya kuichovya, akaamua kuishi palipo na mzinga ili kutimiza la wahenga kuwa mchovya asali hachovi mara moja. Kadri tunavyozidi kulibembeleza jitu hili, ndivyo taifa letu linavyozidi kuzama katika lindi la dhiki na mashaka. Nchi yetu haipigi hatua kimaendeleo. Inachechemea, inapepesuka isijulikane inakoelekea.

Kwa mujibu wa takwimu za hivi punde, idara ya polisi ndiyo inayoongoza kwa ufisadi. Ufisadi katika idara hii umekithiri kiasi cha maafisa wa trafiki kupokezwa hongo mchana wa jua. Jambo la kuatua moyo ni kuwa maafisa hao wa trafiki wamechukulia hongo hiyo kama haki yao. Madereva na makondakta huwa hawana jingine isipokuwa kuwakabidhi hela hizo shingo upande. Kwa kuelewa kuwa mpiga ngumi ukuta huumiza mkonowe, huwa hawaoni haja ya kushindana na mwenye nguvu. Si walisema wajuao kusema kuwa mwenye nguvu mpishe!

Swali ambalo pengine unajiuliza ni je, madhara ya ufisadi ni gani? Madhara ya ufisadi katika taifa letu yarhekithiri. Ufisadi una madhara makubwa sana kwa uchumi wetu. Maendeleo hurudi nyuma kwa kuwa walio na uwezo wa kihela pekee ndio wanaopata huduma. Inapotokea kuwa watu wawili wanahitaji huduma kutoka katika afisi yoyote, yule aliye na pesa za kutoa hongo ndiye anayepewa huduma huku maskini akiwa ameshika tama kwa masikitiko makuu. Serikali nayo hukosa ushuru wa kutosha kwa kuwa walipa ushuru hukwepa kulipa ushuru kupitia ufisadi. Badala ya kulipa shilingi milioni moja kama ushuru, mtu hupendelea kutoa hongo ya shilingi laki mbili. Serikali hukosa pesa za kufanyia maendeleo na hivyo kuididimiza nchi katika lindi la ufukara. Wawekezaji nao hawawezi wakaanzisha miradi ya maendeleo katika nchi iliyoathirika na ufisadi. Katika nchi kama hiyo, mtu hulazimika kutoa hongo kwa kila jambo. Utoaji huo wa hongo hufanya wawekezaji kujiepusha na nchi kama hiyo.

Ufisadi nao huongeza kiwango cha maovu katika nchi. Wahalifu hufanya matendo yao maovu bila kujali iwapo watashikwa. Wanafahamu kuwa hata wakifumaniwa katika matendo yao ya uhalifu, watatoa hongo na kuachiliwa huru. Mara kwa mara, utaliona gari lililobeba abiria kupita kiasi likipita mbele ya polisi wa trafiki na kumpokeza polisi huyo shilingi hamsini au mia moja. Polisi hulifumbia jicho uovu huo na kuutuliza mfuko wake pesa za hongo. Ni mara ngapi umesikia kuwa mhalifu fulani amekuwa akitiwa mbaroni na kuachiliwa mara kwa mara? Ni kutokana na ufisadi ambapo kiwango cha wizi, ulanguzi wa mihadarati, uporaji na mauaji kimeongezeka.

Jambo jingine ni kuwa ufisadi umeongeza unyanyasaji katika jamii. Umewahi kusikia mtu anayejiona kuwa na uwezo mkubwa akimwuliza mwenzake "Utanipeleka wapi?". Huwa haina maana kuwa mwovu huyo hajatenda kosa. Huwa amemkosea mwenzake lakini hajali. Hajali kwa kuwa hata akishtakiwa, ana uhakika kuwa atatumia pesa zake kuwarambisha asali maafisa wa polisi na kuachiliwa. Ufisadi umejenga jamii ya mnyonge mnyongeni. Aghalabu tunaishi maisha ya 'mnyonge kupata ni mwenye nguvu kupenda". Wajane na mayatima wanapokonywa mali bila kujali. Maskini wanaojaribu kufungua biashara hukandamizwa na matajiri wanaotumia pesa zao ili wajiimarishe zaidi. Si shani kupata visa vya maskini wanaopokonywa mashamba na matajiri wenye tamaa.

Pendekezo langu ni kuwa serikali ijitolee mhanga kuhakikisha kuwa uovu huu umepotea. Maafisa wa kupambana na ufisadi wakae ange na kuchapa kazi usiku na mchana. Wahalifu wa ufisadi wanapotiwa mbaroni, kesi zao zifuatiliwe na kuhakikisha kuwa wameadhibiwa kwa njia inayofaa. Hili litakuwa funzo kwao na kwa wengine wenye nia kama zao. Raia nao wanafaa kukataa njia za mkato. Wafuate njia zinazofaa ili kupata kile wanachohitaji. Vita dhidi ya ufisadi ni vita vya jamii nzima. Vivyo hivyo, faida ya jamii isiyokuwa na ufisadi ni ya kila mmoja wetu.

  1. Kwa mujibu wa aya ya kwanza, ni kweli kuwa;
    1. ufisadi ni dondandugu lililokataa kusikia dawa nchini.
    2. Kenya ndiyo nchi katika bara la Afrika inayotatizwa na ufisadi.
    3. yapo matatizo mengi ambayo yanalisumbua bara la Afrika.
    4. Kenya inakumbwa na ufisadi pamoja na matatizo mengine.
  2. Chagua jibu lililo sahihi kulingana na aya ya pili.
    1. Madereva na makondakta hutoa hongo ili wasihangaishwe na maafisa wa trafiki.
    2. Maafisa wa trafiki hutoa hongo kwa kuwa mwenye nguvu mpishe.
    3. Madereva na makondakta wamechukulia hongo hiyo kama haki yao.
    4. Inadhaniwa kuwa idara ya polisi ndiyo inayoongoza kwa ufisadi.
  3. Maelezo yanayotolewa na kifungu yanaashiria kuwa ufisadi ukiisha katika jamii;
    1. kiwango cha ulanguzi wa mihadarati kitapungua.
    2. hakutakuwa na uovu katika jamii.
    3. maovu katika jamii yatakuwa machache.
    4. maafisa wa polisi hawatakuwa na kazi nyingi.
  4. Kauli 'watu walewale walioulaani ufisadi nhutokea kuwa mafisadi wakubwa' inaonyesha fani gani ya lugha?
    1. chuku 
    2. kinaya
    3. istiara 
    4. tasfida
  5. Nahau 'wakila yamini' ina maana gani jinsi ilivyotumika katika kifungu?
    1. wakiapa
    2. wakijaribu
    3. wakisema
    4. wakieleza
  6. Maneno 'ameshika tama' yanaonyesha kuwa;
    1. amezubaa.
    2. amehuzunika.
    3. ameudhika.
    4. amechanganyikiwa.
  7. Mtu anapomwuliza mwenzake kuwa "Utanipeleka wapi?" huwa;
    1. anadhani kuwa hakuna anakoweza kupelekwa.
    2. ana uhakika kuwa hatua itakayochukuliwa na mwenzake haitamwathiri.
    3. huwa ametoa hongo na hivyo hawezi akapelekwa popote.
    4. hana uhakika iwapo mwenzake anajua haki zake.
  8. Kwa mujibu wa aya ya tano, ufisadi una madhara hasa kwa;
    1. jamii kwa jumla
    2. serikali yetu
    3. wasiokuwa na uwezo
    4. wenye uwezo
  9. Mwandishi ana maana gani anapotumia maneno 'si shani'?
    1. si ajabu
    2. ni nadra
    3. ni muhali
    4. si kawaida
  10. Kwa mujibu wa maelezo katika aya ya mwisho, yawezekana kuwa;
    1. wahalifu wa ufisadi hawajawa wakitiwa mbaroni.
    2. hakuna maafisa wa kutosha wa  kupambana na ufisadi.
    3. wahalifu wa ufisadi huwa hawapati mafunzo ya kutosha.
    4. wapo raia wasiofuata njia zinazofaa wanapohitaji jambo fulani.

INSHA

Endeleza kisa kifuatacho. ukifanye cha kusisimua uwezavyo

Kila mmoja alikuwa amenyamaza kinya huku akisikiliza kwa makini. mara niliposikia jina langu likitajwa..................................................

MARKING SCHEME

  1. D
  2. D
  3. C
  4. A
  5. A
  6. B
  7. C
  8. B
  9. B
  10. D
  11. B
  12. A
  13. A
  14. B
  15. C
  16. C
  17. C
  18. C
  19. D
  20. B
  21. A
  22. D
  23. A
  24. C
  25. B
  26. D
  27. B
  28. D
  29. A
  30. D
  31. C
  32. B
  33. A
  34. A
  35. B
  36. A
  37. C
  38. D
  39. D
  40. A
  41. D
  42. A
  43. C
  44. B
  45. A
  46. B
  47. B
  48. C
  49. A
  50. D
Page 3 of 14