KISWAHILI KARATASI YA 1 Marking Scheme - 2017 MURANG'A MOCK EXAMINATION

Share via Whatsapp

INSHA

  1. Lazima
    • Hii ni insha ya mahojiano.
    • Mwanafunzi ajitambulishe(ajipe jina) na atambulishe mkurugenzi.
    • Mahonjiano yanapoanza yaonyeshe yalikuwa yamepangwa
    • Mtindo ni wa kitamthilia.
  2. Hii ni insha ya methali.
    • Kisa kionyeshe mhusika aliyepuuza ushauri wa mara kwa mara kisha akaathirika mwishowe.
  3.  
    • Swali hili ni la kutoa hoja zilizofafanuliwa.
    • Halina pande mbili.
    • Hoja za kupendekeza – ziwe kati ya 6-8 kutegemea hati ya mwanafunzi
       Hoja
      • Kuongezwa idadi ya askari- mafunzo yanatolewa kila mwaka, askari hufuzu kila mwaka.
      • Kutolewa ahadi za zawadi kwa wanaoripoti wahalifu.
      • Msamaha kutolewa kwa wahalifu wanaotubu/wanaobadilisha tabia.
      • Kuanzishwa kwa mpango wa nyumba kumi vijijini.
      • Kutolewa kwa nambari za dharura za polisi(hotlines) kwa wananchi.
      • Kutoa mafunzo ya kuimarisha uhusiano kati ya wananchi na polisi/askari.
      • Kamera za siri majijini na kwenye barabara.
      • Adhabu  kali kwa wahalifu wanaokamatwa.
  4. Hii ni insha ya mdokezo tamatishi.
    • Insha iishie kwa maneno haya. Asiongeze neno lolote mwishoni. Akiongeza amejitungia swali- atuzwe 01. Atumie nafsi ya kwanza.
    • Kisa kionyeshe
      1. hali ya aibu aliyoipitia
      2. hali ya mtamauko.
Join our whatsapp group for latest updates

Download KISWAHILI KARATASI YA 1 Marking Scheme - 2017 MURANG'A MOCK EXAMINATION.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest