Click a link below to access exams | |
2023 Class 8 Exams Many Sets>> | 2023 Grade 7 Exams Many Sets>> |
2023 Grade 6 Exams Many Sets>> | 2023 Grade 5 Exams Many Sets>> |
2023 Grade 4 Exams Many Sets>> |
Art & Craft | Music | Social Studies | CRE | IRE | |||
|
|
|
|
|
|
|
|
Science aad Technology | Agriculture | Home Science | Physical Education | ||
|
|
|
|
|
|
Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali 1-5.
(Mchezaji wa kabumbu amekutana na mkufunzi wake. Wanajadiliana kuhusu hali ya mchezaji.)
Kocha : Vipi kaka? Habari za asubuhi? Waonekana kuchechemea. Kulikoni? (akionyesha mshangao mkuu)
Mchezaji: Habari nzuri ila si sana. Ni kweli, nachechemea kutokana na maumivu ya goti langu la kushoto. Nadhani unakumbuka kilichotokea katika uwanja wa Mwagajasho tulipocheza dhidi ya timu ya Majimoto.
Kocha : Naam, nakumbuka ulichezewa visivyo ikakubidi kuuaga mchezo. Nilidhani ulipata nafuu. Je, umepokea matibabu yoyote hadi sasa?(alimgusa na kumpapasa gotini)
Mchezaji: Naam, bata sasa nimetoka kupokea huduma pale hospitalini Dawatamu. Daktari Siha amenishauri kuufanyisha mazoezi mguu huu ili goti lipone upesi. (akiukunja na kuunyosha mguu wake wa kushoto)
Kocha : Nakutakia afueni ya haraka bwana Kadenge. Kumbuka kuwa tutakuwa na mechi kali dhidi ya timu ya Wazee Hukumbuka wiki ijayo. Mchezaji: Aa! Nitakuwa nimepona kocha. Asante sana kwa kunikumbusha.
Kocha : Hewallah bwanamogo. Tutaonana wakati mwingine majaliwa
Soma kifungu kifuatacho kisha wilbu maswali 6 hadi 8.
Katika enzi za kale, watu hawakuwa wakivaa nguo zozote. Wacheshi husema kuwa walivalia suti ya Mungu! Miaka ilivyozidi kubingirika, watu wakaona umuhimu wa kujisitiri . Hapo, wakaanza kujifunika kwa ngozi za wanyama. Baadaye, walianza kutumia mablanketi na mashuka.
Leo hii tunapozungumza, kuna aina nyingi sana za mavazi kiasi kuwa ni vigumu kuchagua ya kununua. Kama ilivyo kawaida, watu hutofautiana katika chaguzi za aina na rangi za mavazi. Yapo mavazi ambayo ni ya wanaume pekee. Vilevile, kunayo yale ambayo ni ya wanawake tu. Baadhi ya haya ya kike ni kanchiri au sidiria, marinda, sketi, blauzi na mengineyo. Watoto nao hawajaachwa nyuma Yapo mavazi ambayo ni ya watoto tu. Je, wafahamu kuwa kuna mavazi yanayoweza kuvaliwa na wanawake na pia wanaume?
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 10 hadi 12.
"Wageni wetu waheshimiwa, wazazi, walimu, wakufunzi wa michezo, wachezaji na wanafunzi wenzangu, habari za wakati huu? Hakika, bila kubahatisha maneno, leo ni siku muhimu sana katika tukio ya humu shuleni ya mwaka huu. Naam, ni siku ya kutiwa katika rekodi ya kumbukumbu ili isisahaulike na yeyote. Kama tujuavyo sote, michezo ni njia mojawapo ya kuonyesha uwezo na talanta alizotujalia Mwenyezi Mungu. Naomba nigusie faida kadhaa za michezo. Michezo huipa miili yetu na kutufanya tuwe na afya bora. Kupitia michezo, uwezo wetu wa kushiriki vyema katika timu huonekana. Viungo vyetu hufanya kazi vizuri, uhusiano wetu na wenzetu hujengeka na mawasiliano miongoni mwetu huwa bora. Kujihusisha na michezo baada ya kazi za darasani na nyumbani hupumzisha akili. Tunapojiandaa kushiriki mchuano wa leo, nawatakia kila la heri. Asanteni kwa kunisikiliza."
Soma kifungu kifuatacho kisha vilbu maswali 13 hadi 15.
Kila Jumamosi, mama huenda katika soko la Marikiti ili kuuza bidhaa zake. Yeye huruza matunda ya aina nyingi kama mapapai, maparachichi, maembe, mananasi, machungwa na makarakara. Vile vile, huuza mboga kama kabeji, mchicha na sukumawiki. Aliacha kuuza nyanya na vitunguu baada ya bidhaa hizo kuwa ghali zaidi katika soko kuu.
Mimi ndimi mwanambee katika familia yetu, hivyo, mama huniachia majukumu kila aondokapo. Kaka zangu wawili na dada zangu watatu hunisaidia kufanya kazi pale nyumbani.
Jumamosi iliyopita, mama aliondoka kwenda sokoni kama ilivyokuwa kawaida. Tuliamua kugawana kazi pale nyumbani ili tuzimalize kabla hajarejea kutoka sokoni. Niliwaambia dada zangu wafue, wasafishe nyumba na kupika kishuka. Kaka zangu walitakiwa kufyeka nyasi, kuulengata ua na kuchoma taka. Ghafla, niliskia mlio wa mbuzi wetu. “Ni nani atakayewapeleka mbuzi malishoni?" Nikajiuliza.
Soma kifungu kifuatacho. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa
Uchaguzi uliokamilika hivi majuzi ulidhihirisha kuwa, kwa sasa, wananchi ni wapenda amani. Wengi walidhani kuwa, baada ya mshindi wa 16 urais kutangazwa, wakenya wangetafuta silaha za kutoana 17 na kuharibiana mali. Kinyume na hivyo, amani 18 kote. Huu ndio moyo wa uzalendo. Tukubali matokeo na tuendelee kufanya kazi ili kuboresha 19 Ni kweli bayana asiyekubali kushindwa 20 .
16 | A. meza ya | B. dawati la | C. kiti cha | D. kabati la |
17 | A. mamlakani | B. roho | C. ofisini | D. mikono |
18 | A. imetamalaki | B. imepungua | C. imezorota | D. imepotea |
19 | A. uhuru | B. umaskini | C. utawala | D. uchumi |
20 | A. ni mshindi | B. si mshindani | C. si mshindaji | D. ni mshindani |
Katika swali la 21 - 30, jibu swall kulingana na maagizo uliyopewa.
|
|
|
|
|
|
Read the following conversation and then answer questions 1 - 5
Cow: Hallo everyone. The other day our discussion did not come to an end as there fell a heavy rain. Let us discuss our importance to our master, man.
Dog: You all know how important I am to man. I make sure that you, the farmer and his family are safe. For that reason, I am the most important animal in the farm.
Sheep: But dog, you don't give our master any food product. I give him mutton which is good for his health. I also give him wool as well. This way, he's safe from cold weather. So, I am the most important anımal here.
Donkey: Who carries our master's luggage to the market? I am the strongest animal of all of u Are we together?
Chicken: I believe you all know that my meat is the most delicious. Whenever our master has special visitors, he depends on my meat and eggs to make them and his family happy.
Cow: You all know that the farmer uses my milk to make his children healthy. That aside, I provide skin and manure to the farmer. Since I provide more than all of you, I am the most important animal. (enters the farmer)
Man: Hey! Hey! I have been following in your argument keenly. Though some of you provide food products, some provide services. This means that each one of you is equally important to me. For that reason, you are all my friends.
Read the passage and then answer questions 6 to 9
In a warm simmer afternoon in a park or garden, bees are buzzing around the flowers. You might be sitting in the sun and feeling kind of lazy. But the bees are busy doing work that is important to you. Bees work very hard day and night. They are also very organized.
Bees are insects. They have three pairs of legs and four wings. Like all insects, they have a head, thorax and abdomen. They have mouth parts and a tongue for collecting nectar. Becs live in groups called colonies. They can also live in hives. They like flowers and you can see them from one flower to another. They collect nectar and pollen as food. They also make wax'which is used to make candles. Bees have a queen. There is only one queen in the hive. The queen lays eggs in the hive. There are other bees called workers. They make the hive and collect nectar. They also protect the hive. They sting anyone or anything that disturbs them.
Read the passage and then answer questions 10 to 12.
The are many species of wild cats ranging in size. Some of the wild cats are leopard, lions and tigers. Which of these did our domestic cats come from? Cats are more difficult to tame than other members of the dog family like wolf cubs or jackal cubs.
Like people, wolves, jackals and dogs live and work together naturally in packs. They are social animals. Cats are not at all like this. As wild animals, they live and hunt alone. They are naturally unsociable animals. This makes them difficult to tame. Even the kittens of domestic cats, if born in a different corner of the garden, can be difficult to tame unless brought into the house very young.
If you have both a cat and a dog in your house, you will notice the difference in their characters. The dog wants to take part in everything that is going on as a full member of the family. He sometimes barks at strangers to keep them away and has a much sense of responsibility to the house and family. But your cat simply lives with you because it suits him and takes no real part in things. Nobody ever heard of a cat yowling at a stranger or bitter at a burglar.
Read the passage and then answer questions 13 to 15.
Jack and I examined the bread-fruit. We were much struck with its broad leaves which were twelve or eighteen inches long, deeply indented and of a glossy smoothness like laurel.
The tree bears two or three crops of fruits in a year-much like wheatened bread in appearance. It is found in shape, about six inches in diameter with a rough outer skin. It forms the principal food of many south sea islanders. The fruit of the tree we inspected hung in clusters of twos and threes on the branches and were of various colours from light pea-green to brown and rich yellow. Jack said the yellow fruits were ripe. The trunk was twenty feet high, being quite destitute of the branches upto that height, where it branched off into a beautiful head. The wood which is durable and of a good colour is used to build native houses, the bark of the young branches being made into cloth. Another product of this wonderful tree is the gum which serves the natives for pitching their canoes.
Read the passage below. It contains blank spaces numbered 16 to 20. For each blank space select the best alternative from the choices given
Kimberly watched the moving van 16 to the house next 17 . Finally, some new neighbours. The house had stood 18 for months and Kimberly had been hoping a girl of her age would move in.
"Mom, they are here!" She 19 . "Well, let them settle and then we'll go over and say hello and welcome them to the neighbourhood," Mother said. Kimberly stared 20 and hopeful as the van door opened.
16 | A. wind up | B. pull up | C. get down | D. break down |
17 | A, place | B. apartment | C. door | D. room |
18 | A. empty | B. occupied | C. vacancy | D. still |
19 | A. whisper | B. barked | C. ordered | D. yelled |
20 | A. eyes apart | B. blindly | C. wide-eyed | D. loud and clear |
For questions 21 to 23. select the correct relative pronoun to complete the sentences,
For questions 24 to 26. choose the best alternative to replace the underlined words.
In questions 27 to 29. choose the best alternative to complete the sentences,
For question 30, select a different pronoun,
|
|
|
|
|
|
Questions
Use the map of Tira area to answer questions 1-7.
Use the map below to answer questions 32 to 33.
Study the diagram below and use it to answer question 54
PART II CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATIS
Marking Scheme
CRE
Study the map of Saru area and answer questions 1 to 7
Use the map of Africa to answer questions 16 to 19.
Use the diagram below to answer question 33.
Plains | Country | |
A | Lotikipi | Uganda |
B | Serengeti | Kenya |
C | Bilesha | Somalia |
D | Kaputei | Tanzania |
CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION
ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION
CRE
IRE
Use the diagram below to answer question 16.
P | Q | S | |
A | Style scar | radicle | fruit scar |
B | Radicle | plumule | endosperm |
C | Style | endosperm | cotyledon |
D | Fruit scar | plumule | radicle |
Soma vifungu vifuatavyo. Viina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo.. Chagua lifaalo zaidi kati ya uliyopewa
1 siku hiyo, Karanga 2 umuhimu wa ujirani 3 . Makuu 4 yalikuwa funzo kwake. Aliufahamu ukweli kuwa 5 . 6 mtaa wa kifahari 7 aliwabeza majirani 8 Aligaagaa pale kitandani kwa maumivu ya 9 . Alipoteza fahamu. 10 macho yake, alikuwa amezingirwa na madaktari!
A | B | C | D | |
1 | Tangu | Kweli | Hadi | Madhali |
2 | alidharau | aliukumbatia | aliudharau | aliubeba |
3 | nzuri | duni | mwema | mbaya |
4 | yaliyompiga | yaliyomsumbua | yaliyomgonga | yaliyomfika |
5 | mtegemea cha nduguye hufa maskini | fimbo ya mbali haiui nyoka | damu ni nzito kuliko maji | ndugu mui heri kuwa naye |
6 | Katika | Humo | Kule | Pale |
7 | aliishi | aliishia | alikoishi | alikuwa |
8 | wake | yake | wao | zake |
9 | ghafla | sasa | kali | taratibu |
10 | Alipovumba | Alipovumbua | Alipofumbua | Alipofunba |
Migomo 11 taifa letu sana. Ule wa madaktari 12 Disemba mwaka elfu mbili na kumi na sita 13 ndio mbaya zaidi. 14 wa ajali waliohitaji matibabu ya dharura waliachwa hoi 15 wa kuwajali.
A | B | C | D | |
11 | imeathiri | imeliathiri | imeliadhiri | imeadhiri |
12 | kwanzia | kuanzia | mnamo | tangu |
13 | labda | bora | ilhali | Kweli |
14 | Majeraha | Manusura | Majeruhi | Matapeli |
15 | bali | kweli | na | bila |
Kutoka swali la 16 hadi 30. jibu swali kulingana na maagizo.
Soma taarifa ifuatave kisha wilbu maswali 31 hadi 46.
Ajira ya watoto ni kazi ambazo zinawatumia na kuwaathiri vibaya watoto kati ya miaka mitano na kumi na saba kwa namna fulani kama vile kiakili, kimwili hata kimakazi. Madhila yanayowakumba watoto katika ulimwengu wa ajira ya w duniani ni mengi.
Sababu moja ya ajira ya watoto ni itikadi fulani katika jamii. Itikadi ni imani. fulani katika jambo fulani. Katika baadhi ya jamii, wazazi huzaa watoto wengi kwa minajili ya kuwatumia kuchuma. Wao huwalazimisha watoto hao kuajiriwa kuteka maji, kutema kuni, kufua nguo, shughuli za shambani miongoni mwa kazi nyingine nyingi. Waajiri huwapokea kwa mikono miwili kwa kuwa masharti ya kuwaajiri huwa nafinu..
Sekta inayowaajiri watoto wengi ni ile ya nyumbani. Jambo la kusikitisha ni kuwa zaidi ya asilimia tisini ni wasichana. Hawa nao mara kwa mara hutendewa unyama na ukatili na waajiri wao. Wakati mwingine, hawalipwi mishahara.
Duniani kuna visa vingi vya watoto kuingizwa katika shughuli za ukahaba na zile za kuchukuliwa video za ngono kwa malipo duni. Jambo hili limekithiri katika maeneo yenye shughuli za kitalii. Majiji tajika duniani nayo pia yana shughuli hizi. Isitoshe, watoto huhusishwa katika uchuuzi wa mihadarati.
Hatari ni kuwa wasipoangamizwa na ulevi wanaouchưuza, hupoteza uhai, katika vita vya magenge. Uwezekano wa watoto hao kuambukizwa UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa huwa jw sana,
Ni wazi kuwa njia moja na madhubuti ya kuangamiza jamii ni kuwaajiri watoto, Ustawi wa kiuchumi wa baadhi ya nchi za bara Asia unatokana na ukweli kuwa nchi hizi zinawatunza watoto wao, kizazi cha kesho, kizazi ambacho kimerithishwa elimu na maarifa ya kuendeleza na kukuza uchumi.
Mataifa hayana budi kuungana kuzua mikakati ya kutokomeza ajira ya watoto., Hatua ya kwanza ni uongozi. Lazima serikali za nchi ziwajibike.
Soma tagrifa ifuatayo kisha ujibu maswali 41 hadi 50.
Raha na Tele walikuwa marafiki wa chanda na pete. Urafiki wao ulishinda hata udugu. Uchungu wa mmoja aliyeuhisi ni mwenzake. Waliishi katika mtaa wa Timayo na kusoma katika shule ya Matokeobora.
Shuleni, walifanya bidii za mchwa. Mungu aliwajalia vichwa vyepesi. Raha alikuwa hodari katika somo la Kiswahili naye Tele alikuwa mweledi katika Sayansi na Kiingereza. Katika masomo haya, hakuna aliyeweza kuwapiku. Hata hivyo, katika mtihani wa mwisho wa muhula, Raha hakufanya vizuri katika somo la Kiswahili. Mwalimu alishindwa kusoma hati yake, jambo ambalo lilimpotezea alama kumi. Mawazo yake katika insha alikuwa ameyapanga vizuri lakini tatizo lilikuwa ni kukosa kuandika kila wazo katika aya yake. Tele naye alikuwa ameanguka katika Kiingereza kutokana na makosa yayo hayo. Mwalimu alishindwa kusoma mwandiko wake mbaya.
Bwana Busara, mwalimu wao wa darasa, aliwaita afisini mwake ili kufahamu sababu zao za kuanguka. Walikiri kuwa wangeutilia maanani mwandiko wao. Waliahidi kufanya kila wawezalo kuirekebisha hati yao. Tele aliwashangaza walimu katika chumba chao cha shughuli rasmi aliposema bayana kuwa yeye hunakili somo la Hisabati kutoka kwa wenzake. Hilo lilikuwa jambo ambalo mwalimu hakuwa amelishuku.
Mwalimu aliwaarabia kuwa ni kosa kunakili kazi za wengine. Hatimaye, mwalimu aliwashauri wasaidiane katika masomo yote kwa kuwa kila mmoja amejaliwa kipawa tofauti.
Wanafunzi wale walifuata ushauri wa mwalimu kwa makini. Mwisho wa muhula uliofuata, Raha na Tele walifua dafu: Waliibuka washindi na kuwa na raha tele. Hati yao ikawa ya kupigiwa mfano kote shuleni.
INSHA
Andika insha inayomalizika kwa naneno yafuatayo:
Zamani kidogo katika msitu wa Patapotea wanyama waliishi kwa amani na upendo. Walisaidiana katika mambo mengi. Siku moja ...........